MAFUTA - Waimize WAISILAAM kuingia katika UISILAMU كافة hakuna SHAHADA ya kuingia katika USALAFI - acha kuropoka ropoka
@majidiabdi4243 ай бұрын
Eti wasiokua MASALAFI wameigeuza Biashara - wakati anachangisha Na anawatoza Wanafunzi Ada Wakati Hakuna Mtume alie Toza Waisilamu ADA - MAFUTA jangalie Makosa yako yakiwemo Kudumizha ulipaji WAKO wa RIBA ( BIMA )
@RuqaiyyahJumaa15 күн бұрын
Allah akuhifadhi shekhe wetu❤
@user-lo6ds5kd1x4 ай бұрын
Wewe nikama wao
@RamaKimbeu-tw4po4 ай бұрын
JAMBO HILI NI KUBWA SABABU LINAGAWA
@MuhammedFoum-kr5kc9 ай бұрын
Antaa mukamalu😅😅😅😅😅 kila sheikh unamkosoaa au huna kaz hua mshez w😅😅😅
@nasriramadhani39802 жыл бұрын
Amuiwezi dawa salafia
@bacteria5184 Жыл бұрын
Kwani madrasa za sheikh barahiyan haifundishi dini
@HuyuHapa-xl7lr Жыл бұрын
Asalamu alaikum warahmatullah wabarakatuh, wacheni kumfuja shekh wetu kassim mafutta tunampenda sana allah amhifadhi
@karimdaud3993 Жыл бұрын
Ndugu zangu na mashehe zetu . Tukumbusheni DINI YETU sio kila siku kukosoana mnakua kama mmetumwa na wasio kuwa waislam . Mtume s.a.w Hakua salafi wala sufi wala salafi jadiidu wala walaaa wala . SIO MAWAIDHA hayo . SOMESHENI ELIMU KAMA HAMNA VIREJESHENI VYOMBO VYETU . tushachoka tushachoka Tushachoka
@AjsProSigns Жыл бұрын
MUNASOMA MAJINA YA VITABU VYA WANAZUONI VIWAPE TAZKIYAH. ILI MKITUKANA IONEKANE NI DINI... KAELIMISHENI BILA KUMTAJA BARAHIYANI KWA DINI NI BARAHIYANI TU?
@stoic_guild3 күн бұрын
Mnajiita Salafy halaf mnafanya editing za Uongo😳😳 kwny hyo thumbnail hayo machozi mloweka kwa Barahiyani ni ya Kweli au mnafurahisha nafsi zenu kwa Uongo. Ama kwel ninyi ni pandikizi la wayahudi kwny Uislamu.
@lilianmakwati5228 Жыл бұрын
Ivi ni kwa nini waislamu kwa waislamu wanapigana vita kila uchao?
@karimdaud3993 Жыл бұрын
Na wewe usiwe mnyinga mzee tafuta ELIMU NA TOA ELIMU tafuta BIHUSNIL HATIMA
@pavillioncry52412 жыл бұрын
Haya teambie ww mafua Hizbi salfii ni wepi kama sio majadida
@abuushaymaatz2 жыл бұрын
Ukisha taja jadida Hilo linafahamika Kuwa ktk misingi ya mahizib baada ya Ile mitatu 1.Uongo 2.Khiyana 3.Talbisat Unaongezeka 4.Kuwapagaza watu wa Sunnah jina "Jadida" na huu ni usulubu wa watu wa jahiliya kuwaita watu wa Haq Kuwa wemekuja na njia mpya, pili ni usulubu wa Masufi kuwapagaza ahlu Sunnah laqab ya "Wahabi"
@mdoekibai5063 Жыл бұрын
Wee kweli mafta yataa yani huelewki laamakana lah walaajihata laa
@abuumansour63077 ай бұрын
Yaani vile ambavyo hujaelewa wewe ndiyo ukajaalia kwamba mazungumzo hayaeleweki. Hii ni akili ya wapi Ustadhi? Ilifaa ukosoe ulichoona kina dosari na siyo kutumia lugha nyepesi isiyo na qima kudogosha kitu kikubwa. Lakini jitahidi kufuatilia vizuri mambo hususani zinapojitokeza fitan na migogoro na umuombe msaada kwa Allaah kuijua haki na siyo maneno ya kishabiki na kutetea kusiko na faida yaa hayyaaka llaah. Allaah atuongoze sisi na ninyi katika njia ya sawa. Tunamuomba Allaah afya na salama.
@jakuabdull34 Жыл бұрын
barahiyani alichokipanda ndicho atakacho kivuna amevunjia heshima masheikh wengi huyo mwache nae apewe haki yake ya kisheria na wenziwe.
@LumolaSteven Жыл бұрын
Sahihi
@lilianmakwati5228 Жыл бұрын
Poleni sana kwa kazi ya fitina mnayoifanya
@user-yj5on8cz3e4 ай бұрын
Allah, hawaongoe kassimu mafuta na kundi lako ongereni kwa kuwaletea watu,usalafi mpya kama wema waliotangulia wangekuja na man hajji yenu mpya ya usalafi,uislamu usinge fika mbali,si tunasema Allah atatuadhibu kwa majina mnayoita mahizbi,Ila atatuhukumu kwa matendo yetu kiukweli kiundi chenu,mmekifanya ni chama kilichozuka baina ya salafi wa kweli na kuwarubuni watu kwa usalafi mpya mpo karibu na kupatia lakini ni hamna tofauti na vikundi vyengine mmetupa mipaka mpaka wale wanaolingania sunna mmewatia katika bidaa Allah awaongoe kwakweli na anawaona dhulma mnazowafanyia watu,nahuo mwenendo so wa masafi bali mpo fitna tuu,salafi hawakutoana katika njia ya allah.leteni nukta hata moja inayowafanya muwatoe watu katika sunna wameharifu Jambo gani la wema waliotangulia kiitikadi na tahuwidi so kupiga kelele tuu
@MohamedAbdallahSaid11 ай бұрын
Katika Uislamu ikhtilaf zimekueka .Vijana wasome uislamu vizuri kabla kufuata radd za ulamaa. Hapo utajua walioongoka na waliopotoka. Muangalie Sheikh lugha yake na matamshi yake itakupa ishara aliongoka na aliepinda. Kadhalika vijana wajue mwisho sote mpaka hao Masheikh wanafanyiana majadala au malumbano tutakwenda pekee kwa Allah kuhukumiwa .
@bacteria5184 Жыл бұрын
Je masheee ni wa saudia tu ama misri,Mauritania,Syria,sudan mbna hakuna salafiya kutoka saudia
@faidamuhamed3011 Жыл бұрын
Kalma imeeleweka lkn shk asingetumia swigha ya kumuita kua ni (mjasiliamali dhaalim) hii sijapenda binafs ama suala la kutofautiana kati shkh nani alikua na msimamogani hii ni maarufu Haina shida
@amerwelder7786 Жыл бұрын
Yaani iyo ndo sifa Yao wanajion wao hawanamakosa na pia wao wamekamilika
Endeaneni mupeane nasaha kwa njia njema na sio kufedheheshana mitandaoni. Sasa radi zenu mwatupa sisi ama nyie?? Acheni tabia hizo tangazeni dini tupate faida hatutaki radi zenu
@allymahaba3425 Жыл бұрын
Nyie Mawahhabi hamna jipya zaidi ya kubishana kila siku. Mnausaidia nini Uislam kwa da'waa zenu za kiWahhabi? Mtalumbana mpaka mnaingia kaburi. Rudini kwa Mtume (SAW). Mnawatukuza mno hao masheikh wenu wa kiWahhabi kuliko Mtume (SAW). Hata kunukuu Hadith za Mtume mnaona shida. Wewe unanukuu rai za maulamaa wa Kiwahhabi tu!!!! Hao maulamaa wenu Uthaymin, Ibn Taymiya, Ibn Baaz na wengineo bado sio mitume. Mkitukuza rai zao mnazipuuza Hadith za Mtume wetu. Tumuogope Allah. Tutakutana nae Siku ya Kiama.
@skjjsj1889 Жыл бұрын
Yaani badala ya kulingania dini watu hawajui dini kazi yako malumbano nn Matokeo ya kulimbana
@abdallahally8422 жыл бұрын
Mna maradhi ya akhlaq na kibri
@abuuabuu4831 Жыл бұрын
Watu wa Tanga kwa mipasho hamjambo
@Dr.SheikhIBRAHIMSAID.-nf1qx8 ай бұрын
Nahiyo ni kweli kabisa,,, Sheik Mukbil mwanzo amekuwa ni Mushia,, Sheikh Mukbil wasema maneno ya Salaf ( mashekh walio tangulia katika KArni mema ) maneno yao si Hhoja كلام السلف ليس حجة
@allymnzava381811 ай бұрын
Kibri kimekujaaa wewe sheikh
@alijabu62262 жыл бұрын
yaan ww kassim mafuta unakosea wapi ww shekh mzimaaa ww baada uelimishe ww kazi yako ni kulumbana tuuuuuu . au unataka unekane unajuaaaaa acha kibriiiii
@alijabu62262 жыл бұрын
unajita swlfi swleh unajiswlihishaje wkat bado upo dunianiii ww
@muhamadyusufu66632 жыл бұрын
Mche allah
@abuushaymaatz2 жыл бұрын
Huelewi maskini, Allah akuuongoze biidhinih
@mhrmahir34102 жыл бұрын
Kwan akisema huyo salim barahiyan na wengine mbon mnakua kimya hamsem kuambia acheni ivo nanyi bali tuaona mkishangiria maneno yazumzwayo na masahasim wake huyu shekh Lakin mtu akisemwa yeye atakiwa atulie kimya asijibu akae ivo ivo hata km jambo linaayhir Kwel jaman hii ni haqq hem jaribun kulinganusha ikiwa kwel mnataka haq jamaa
@abuuabuu4831 Жыл бұрын
Huyu amefubdishwa kutuletea taharuki Tanzania
@majidiabdi4243 ай бұрын
MAFUTA unatapatapa -Hakuna Mtume alie tumwa Na USALAFI wala hakuna Aya wala HADIITH za kisafi - Na Hakuna Mlango katika Milango 8 ya JANNAH wa MASALAFI - Acha kuimiza WAISILAAM kujiunga Na CHAMA chako cha kisalafi - USALAFI si katika Dini yake ALLAH WETU Mlezi
@FatumaNuru-g9z29 күн бұрын
Hakuna mtume Ansari
@khamissalum9285 Жыл бұрын
Masalafi wasasa woteeeeee niwaroho wa madaraka tuuuu