NI NENO JEMA KUMSHUKURU. WIMBO WA KATIKATI DOMINIKA YA 11 MWAKA B
Пікірлер: 74
@johndgurty9011Ай бұрын
Nyie hongera sana Mungu awabariki sana
@angelakweka2607Ай бұрын
Hongeren sana ☺️☺️☺️
@flavialatinus2162Ай бұрын
Mmetisha sana!congrats❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤
@VenasLujinya22Ай бұрын
Hongereni sana🔥🔥
@susanmuchiri944Ай бұрын
Napenda huu Wimbo. Well sung . Melodious
@despinae.mdendeАй бұрын
Safi Sana Wimbo niupendao Sana Mungu awabariki sana.
@christinanyamtema6516Ай бұрын
Hongera Sana , mungu awabariki katika wito wakumuimbia nakulitukuza Jna lak
@winnieavit5985Ай бұрын
Sauti ya II Aiiiiiiiiiii!
@amambiastephen178Ай бұрын
Nyie ni baadhi ya wale ambao wanatambua sababu ya kuumbwa kwao. Hongereni sana!
@mutongoreprostudiosАй бұрын
Shukrani sana na karibu sana. Ubarikiwe
@PILICHIGILO-fm3yoАй бұрын
Safiii sana wimbo mzuri na mnaimba vizur
@veronicanyangwilamalindilaАй бұрын
Mbarikiwe sana. Mmeimba vizuri sana
@djkuokoa2348Ай бұрын
🙏🏻
@waromokelloАй бұрын
My Monday morning is sorted with the beautiful voices. I have loved this song before and its better and better
@mutongoreprostudiosАй бұрын
Be blessed
@EmmanueliRaphaeliАй бұрын
Mbarikiwe sanaa nduguzangu kwa kaz nzur sauti tam hadi raha ❤❤❤❤❤❤❤
@josephatomusilwa5685Ай бұрын
Tunawafwatilizia maeneo haya -Kitale. hongereni sana
@mutongoreprostudiosАй бұрын
Shukrani sana. Ubarikiwe mmno
@bobrobert3374Ай бұрын
Hongereni kazi nzr
@INNOCENTSHAYO-fk5hoАй бұрын
Hongeren sanaa
@kathbetmgao7590Ай бұрын
Mwita izack mume mtarajiwa wa ______________ upo vizuriiiii
@israeldanda7789Ай бұрын
Eehh, aisee Kazi imetulia sana. Upako lazima upatikane hapo kwa namna ambavyo uimbaji umekuwa wa makini na kwa utulivu. Mbarikiwe sana Pro Studio na Marafiki wa Kigoma!
@novatusdonald7406Ай бұрын
Imenenwa vyema
@mutongoreprostudiosАй бұрын
Ubarikiwe sana na sisi tunasema asante saaana.
@RevocatusLegiusАй бұрын
Mmetisha hatariiii
@user-fh2po4qk4gАй бұрын
Safa sana hii nawapenda sana
@RevocatusLegiusАй бұрын
Hongereni saaana pro studios. Mnajua mpaka Sasa mnatishaa❤❤❤
@AngelicDoctorАй бұрын
Kitu safi
@abelmochama680Ай бұрын
Pro studio kazi safi sana 🎉🎉🎉
@evaalute2556Ай бұрын
Mungu aendelee kuwatunza.awalinde daima.Ili KAZI hii njema isivamiwe na ibilisi.. hongereni sana..🌹🌹🌹👏👏👏🌹🌹🌹🌹
@mutongoreprostudiosАй бұрын
Tunashukuru sana. Mungu akubariki wew na familia yako
@veronicamutakyala419Ай бұрын
Wimbo mzuri sana Hongera waimbaji na engineers kwa kazi nzuri.. Mungu aendelee kuwainua ❤🎉
@mutongoreprostudiosАй бұрын
Asante sana. Karibu
@DinahEdward-xu6niАй бұрын
Hongerani sana Kwa uinjulishaji mtoto wa Mama angu🙏🙏🙏
@bethermichael2574Ай бұрын
Asante dada 😍🙏🏿
@jamesmboyi30Ай бұрын
No comment mambo ni 🔥🔥🔥🔥🔥🔥
@bethermichael2574Ай бұрын
Familia ❤️
@user-ej7uf9bd4oАй бұрын
Hongera sana kwa kazi nzuri
@zachariamganga4955Ай бұрын
Kazi nzuri hongereni sana Pro Studio kwa kazi nzuri mnazoendela kuzifanya "Mungu azidi kuwabariki na kuwapa maarifa zaidi na zaid
@mutongoreprostudiosАй бұрын
Shukrani saana. Tunashukuru
@JohnDamian-sh8gmАй бұрын
Naomba kujiunga nipo kigoma mwanga
@BikiramariaMshindajiАй бұрын
Nzuri sana
@innocentcyprian3215Ай бұрын
Mulemule mambo mazuri sana nabarikiwa sana ❤❤❤❤
@OGT456Ай бұрын
Wimbo mzuri sana🥳🥳🥳
@niyonkuruoswald580Ай бұрын
Hongeraaa sana !!!
@fidelisluvanda3585Ай бұрын
Lol, mnanibariki sana
@AGUSTINONGIYIMBELEАй бұрын
🎉🎉🎉🎉❤🙏🙏🌷🌷🌷
@mariamwinyi-pi9cnАй бұрын
Hamjawah feli nyie watu❤❤
@mutongoreprostudiosАй бұрын
Shukrani saana.
@felisterligwaАй бұрын
❤❤❤❤ hongereni sana
@salomemhalule5213Ай бұрын
❤❤❤
@EGBERTUS-fo2ieАй бұрын
🙏🙏🙏
@ndisabhiyenyakamwe8106Ай бұрын
Safi sana wimbo mzuri saaaaaaana barikiwa sana kwa wote
@michaelwambua6038Ай бұрын
🔥🔥🔥🔥
@remigiuskahamba7440Ай бұрын
Lovely...Safi sana...
@mutongoreprostudiosАй бұрын
Shukranii
@user-fh2po4qk4gАй бұрын
Asante kushukuru
@RevocatusLegiusАй бұрын
@@user-fh2po4qk4g aminaaa
@Arati896Ай бұрын
So Lovely ❤
@mutongoreprostudiosАй бұрын
Thanks 🤗
@PATRICKKYALO.SacredVoicesKenya28 күн бұрын
Mwita and the team...kazi safi
@laurentinalaurent8952Ай бұрын
❤🎉🙏
@user-hj7qe5dl9uАй бұрын
🙏🙏🙏🙏
@RachelMnanilaАй бұрын
Nzuri
@alexprosper7267Ай бұрын
Ansbert Ngurumo my role model.Pole kwa kuwa kwenye kizingiti ila nakuombea urejee Tz .Tungo zako nazipenda sana hasa Misa yako uliyotunga.
@titokibiki3034Ай бұрын
yuko wap huyo mwamba
@EmanuelPaulo-gn8qfАй бұрын
Kizingit gani Tena mwamba
@AnsbertNgurumoАй бұрын
Asante. Tuendelee kumwomba Mungu. Kwa neema yake, narejea nyumbani. Siku na saa vitajulikana baadaye.