Рет қаралды 471
Burudika na wimbo Ni Wapi..? ulioimbwa na Kwaya ya Bikira Maria nyota ya Bahari, kutoka Parokia ya Bikira Maria nyota ya Bahari - Bumbire Jimbo Katoliki la Bukoba.
Wimbo maalum kwaajili ya Parokia hiyo, uliotungwa na Frateri Elius Mugishagwe wa Jimbo Katoliki la Bukoba.
www.radiombiu.co.tz
#RmSautiYaFaraja