#TheBarTender ... Episode Number 11 🍹🍸 . . Leo Kwenye TV Atakuwepo Baba Malcom, Zohan #NikkiMbishi Kwenye Counter ya #TheBarTender 🍹 na Kupiga Mastory na #BabaAko #Jonijooo . . Big Shout Out To ..... @rhapsodys.dar 🏙
Пікірлер: 1 000
@JulianDamas5 жыл бұрын
Hii interview imenifumbua sana kuhusu wasanii. Nimejua why nikki mbishi sio msanii anayepewa promo sana. Its because HE KNOWS MUCH kushinda wanaotaka kumtumia. NIKKI YOU ARE A GENIUS BRO
@tamimukombo30975 жыл бұрын
Huwa naamini mimi nina IQ kubwa sababu nliweza kujisemea moyoni tangu siku ya kwanza nimemskia nyimbo ya nikki mbishi kwamara ya kwanza nikiwa kidato chapili 2011 pasina promo wala shinikizo lolote kuwa huyu jamaa ni msanii wakipekee mkali zaidi kuwahi kurap Africa nanilitokea kupendezwa hadi leo kwa namna jamaa anaghani na lifestyle I'm proud to be nikki mbishi fun
@bartonussiri67815 жыл бұрын
Mwamba Jonijooo tokea nianze kuangalia interviews zako zote za TheBarTender sijaona Mtu genious kama Nikki Mbishi I appreciate That
@victorodera27565 жыл бұрын
Mad love from Kenya, nikki is a bright dude....never missed any of your show...i had to write a comment coz of the high IQ that nikki have.
Nikki Mbishi is the genious infact. I love this Guy.
@thabitdaudi98155 жыл бұрын
lakn ulutegema nin kwa mtu aliesoma computer engineering hio course bila division 1 husomi. so offcourse he is bright
@danielmadenyeka42485 жыл бұрын
Huko na nako utabamba tu Jonijoo. Salute sn kijana
@dambwelahiphop4 жыл бұрын
You have too
@edwardmbele67525 жыл бұрын
Jonijoo leo kakutana na teke za mbavu 😂😂😂 Nick sio mtu mzuri 😄😄
@aggreymgallah62505 жыл бұрын
dr unju bin unuk baba Malcolm comrade kipepe you are doing well bro
@barakachawe62415 жыл бұрын
Amezoea kukutana na wabana pua ambao hawajasoma leo kakutana na msomi + genius Mr Unju 📚
@nasibushekulamba42575 жыл бұрын
Mojaa ya interview kalii za bartender🙌🏿🙌🏿
@mecksedeckkauzeni57035 жыл бұрын
interview kama hizi naonaga ulaya
@azizijuma99595 жыл бұрын
Nikki the most genius mc ever seen in Tanzania
@edwardsichilengwe23305 жыл бұрын
Azizi Juma kabisa
@kimani7545 жыл бұрын
NGWAIR i do approve Nikki too
@lawrancejosephat73875 жыл бұрын
Kazi nzuri sna kaka #JONIJOO creativity ya hali ya juu mtu hachoki kutazama INTERVIEWS zako hku akirudi rudia wala hazichoshi big uppp bruv 🙏💯💯
@mrmangetown43235 жыл бұрын
Leo babakoo umeingia geto la mhuni jasho limekutoka 😀😀😀
@tumainifuraha1995 жыл бұрын
Haaaaaaa huyo ndo the said of Dr UNJU,the Genious,Terabites majina kibaaao! baba akoooo leo umepatikana mzee!!
@mbawilehasheem74385 жыл бұрын
Baba ako niki mbish umtisha mkali i didn't expect you could be dat genius 4 real dont judge a book by its cover ✊
@wa2kusitz6505 жыл бұрын
Jonijoo kama sisi ndio mabosi zako na unakubali hili,tunaomba NIKI MBISHI ALUDI TENA APO,,,,BABAAKO
@mvungigaming5 жыл бұрын
Naunga mkono hoja...
@mvungigaming5 жыл бұрын
Naunga mkono hoja...
@modricabdis27965 жыл бұрын
Sure
@pantaleodamas68795 жыл бұрын
😄😄😄
@rohityalsina59725 жыл бұрын
Naunga oga mkoro uga ega oga hoja mkono
@collinsnjuguna31195 жыл бұрын
nikki mbishi duuuh!!! i say ya leo nimeipenda.....yani uyu jamaa ni msomi ivi na hata haringi walai...heshima yangu imepanda zaidi mkubwa wangu....toka .pande za thika road kenya.
@rosenamilia41405 жыл бұрын
Don't JUDGE a book by the COVER ,take your time to read what is inside. Nikki Mbishi umetisha. Big up Bro.
@emmanuellaizer45485 жыл бұрын
hahahaha ya leo imekuwa kicheko kwangu Mr. Mbishi anajibu kama vile hajui kumbe ndiyo kasema jibu! embu tusiwe Mwijaku jamani;;;;~
wameenda kupiga magot kwa dozen n Adam mchomvu wana lia lia kuzimia studio waonewe huruma hii game sio ya huruma watu wanafany kz
@hkmeme54374 жыл бұрын
@@ellybissack8284 nimerepeat Mara nyingi, yani nineipenda
@sezaboy29405 жыл бұрын
This guy is speaking his mind, that is a mere truth. I hate this behaviour of our artistes bowing down to radio presenters.
@khalifkarama5 жыл бұрын
The guy is talented and smart.. Nikki mbishi 👍
@adolphmwangoje28875 жыл бұрын
I see genius nick 😂😂😂 jonijo huyo cyo lelemama wanamjuwa IYUNGA MUST
@mussa54615 жыл бұрын
Amesoma pale must Mbeya kumbe
@shaphyvuai68054 жыл бұрын
Mbeya computer science
@jumalove26315 жыл бұрын
Leo umekutana na msomi duuu jamaa katisha saana kama umekubali Leo jojo kachemka gonga like
@chikanunoizmekah85405 жыл бұрын
Mjuba
@ramsokhamis92625 жыл бұрын
Yaaaan baalaa watu Kama awoo tunawaita The brighter thinker..
@kyataonline52624 жыл бұрын
NIKKI MBISHI !!
@haroonmdou29545 жыл бұрын
daaah huyu jamaaa bhn n kweli mbishi kila swali yeye kameza tuu #jonijoo baba ako umechemka ww leo wahuni siyo watu wazuri💪💪
@adamlyanda94505 жыл бұрын
Hip pop is consciousness jonijoo... Niki much respect bro...sema nini iyo photosynthesis.. Kama umeteleza ..ni kitendo cha mmea kujitengenezea chakula.Sema umetisha mzazi still material yana flow
@officer12085 жыл бұрын
Wangapi ndo tunaangalia leo hii Interview ya Nikki mbishi,Tujuane. UNJU NI genius.
@babubomba85635 жыл бұрын
Mwisho wasiku kuwe na na tunzo za bartender itakua nzur babaaaaako
@fibonaccimwadime94795 жыл бұрын
Kazi nzuri bro #wahuni sio watu wazuri kutoka +254 namkubali jonijooooo.....babaAkooo
@leeskillz37345 жыл бұрын
Sio #babaako ni slogan ya #MotraTheFuture
@fibonaccimwadime94795 жыл бұрын
@@leeskillz3734 haina vanga that guy is super genius amepita maswali yote ya jonijoo isipokuwa yale extra moja kamlemea bt tried his best ,i have not seen a guy with confidence like this #Nikki mbishi big ups
@leeskillz37345 жыл бұрын
@@fibonaccimwadime9479 huyo ni #babamalcom ni shida hakoseag we tafuta interview zake ila usisahau ile ya #jonijo akiwa na #nikkimbishi kweny #timesfm
@allysudi44295 жыл бұрын
Haahahhaahh baba malcom umetisha mzee baba wauni hatukosag mswal since we at skull and MC should knw more as u did...congratulation bro
@hawadutch64785 жыл бұрын
Nikki mbishi arudishwe tena. He's genius 🙆
@Norbert_Assenga5 жыл бұрын
Doooh this is the best interview i have seen this year✌🔥🔥 mad respect Unju
@khalifamkali42865 жыл бұрын
UNJU UMEUA HII INTERVIEW YA GENIUS MOTHER FANTA.... LONG LIFE KAKA
@ashanalinga87195 жыл бұрын
😁😁😁😁😁😁😁Leo ndo leo Jonijooo umekula za uso daah sikutegemea kama Niki mbishi Yuko vizuri kiasi iko Nilikuwa namchukulia Poa ila Leo amenikomesha mpaka Mimi duuh wahuni kweli siyo watu😁😁😁😁😁Jonijoo baba ako
@shallyakida8195 жыл бұрын
😂😂😂😂😂😂
@salimsalem59915 жыл бұрын
cjawah coment toka kipind hiki kimeanzaa ILAAA N mbishi ni Genious maswal nimependa ulivojibu kazi nzur broo
@shabannyangido33054 жыл бұрын
Naku
@khalidhamis58115 жыл бұрын
Nikki unaakili nyingi San acha wakuite mbishi nimekuelewa San ankoli big-up
@sabamillion20765 жыл бұрын
A pure meaning of GENIOUS..#UNJU
@maryamammar14885 жыл бұрын
Nimefurahi sana Leo nikki Ana akili sana masha Allah 💖
@dkensmopainvevo36835 жыл бұрын
Lazima ukifua umwage povu 😂😂😂🔥🔥😂💯💪🇰🇪🇰🇪🇰🇪👊daaa! Unju wee ni hatari
@ibrahimzubery99944 жыл бұрын
Joninjooo babako mtubaya hapo muhuni simtu babako nikibishi noma Leo umekula uchochoro mkali
@norahprotas17695 жыл бұрын
Iyo ndo faida ya kwenda shule!!! jonijo fanyeni mpango wa kutowa tuzo za hapo kwenye maswali aiseee my bro Nik leo kipindi chako kakipeleka kisomi snaaaaaaa!!!!
@nowtv3005 жыл бұрын
we need this kind of rappers.not only gifted but rapper should also be elite n literate cyo unaimba imba utumbo afu kichwa kibovu. A supa bigup bro UNJU UNJU
@Cyper2555 жыл бұрын
Ngoja aje Nikki wa Pili na PHD yake tuone kama yupo vizuri kichwani au ni elimu ya kukariri.
@azizymasawe20905 жыл бұрын
Ukonga stand up
@shaphyvuai68055 жыл бұрын
Definition of genius.... Dr Unju... namkubali sanaaaaa
@christinalrene11325 жыл бұрын
Babaako wahuni Sio watu umechezea za uso leo😂😂😂#NIKKI MBISHI🙌🙌🙌
@atenionesmo_A104 ай бұрын
nouma mzee
@luomusicchannelfromtanzani56505 жыл бұрын
Interview kali kuliko zote 2019
@paulsylvester78775 жыл бұрын
Babaako Nikki mbish umetisha kwa maswal Duuuuu wasanii walioenda shule
@kibwamoko87675 жыл бұрын
Unju ni noooma. Ana diploma tu lakin ni mjuzi wa mambo hvyo. Hawa ndio magenius tunao wataka. HIVi ushaongeza elimu yako kk. We ni Fundi sana Niki mbishi. kama unakubali gonga like hapa.
@paschalmasanja14835 жыл бұрын
Nimependa sana u genius wa jamaa, big up. Kwenu ni pale ulipozaliwa siyo alipozaliwa baba yako. Baba akoooo
@shaphyvuai68055 жыл бұрын
Nikki mbishi unju bin unut.....uko poa sanaaaaa kwa lyrics kalii iLa kujifnya too much know on everything ndio mbya vitu vingne potezea sio kila kitu unachukulia too personal nakukubali sanaaaaa keep good music like kma unamkubali unju
@joesimba5 жыл бұрын
Mi sio country boy 😂😂😂 • country boy(m) • young killer(m) •gigy money(f) • lulu diva(f) • dude(m) • master j(m) • romy jones(m) • kitale(m) • chege(m) • madam ritha(f) • NIKKI MBISHI(m) NOTE: Female=27.3% Male =72.7%
@hezbonmahaulane77985 жыл бұрын
Jonijoo yaaan kati ya bartender zoooote me nimeenjoy ya kwanza ya #GIGYMONEY & #NIKKI MBISHI hizi ni noumaaaaaaa babuuuuuuu
@yahayamzaramu92033 жыл бұрын
Mimi pia broo nirio injoy zaidi ni ya nkki na gygy
@goodlucktemu31495 жыл бұрын
ivi like mnazipelekaga wapi namimi naombeni jamani...
@peterlibelinah85975 жыл бұрын
NIMEKUELEWA SANA NIKKI MBISHI KILE KITENDO CHA Q CHILLLAH KWENDA KULIALIA KWA B DAZEN ILI AMSAIDIE NI UJINGA NA UKOSEFU WA AIDIA MPYA KATIKA ANACHOKIFANYA KIUKWELI Q CHIEF NI MTU MKUBWA SANA KIMUZIKI ...... HONGERA SANA NIKKI MBISHI KWA KUONGEA UKWELI
aliyeona Nikki ameayapika jicho makalio ya Martha alike
@Rick-pr6ym5 жыл бұрын
Tangu show ianze hii ndo show kali kuliko zilizopita...... Jamaa yupo smart sana, anajibu vizur sana...... Interviews za wana hip hop znakuaga lit sana.....
@thabitdaudi98155 жыл бұрын
jamaa kanishangaza had mimi he is freaking genius daah
@sashayusufu60454 жыл бұрын
napenda maswali yako lakini ungetoa zawad Kwa wanao jibu
@mayamohamad7105 жыл бұрын
,😂😂😂jmn Nikki usivae mwani upo poa tuu handsome
@evancevlado50495 жыл бұрын
Leo mmekutana na jiwe UNJU BIN UNUQ...the Genius hahahahaaaa
@lawrencewilfredlugendo87815 жыл бұрын
Aiseee sijawahi kucoment you tube ila huyu jamaaa kafanya nicoment maaana kwa kumwangalia tuuu nikasema hawezi chomoka maswali ya jonijo ila kampangua jonijo kama ajax alivompangua real Madrid kwake.akili mingi bro@niki mbishi
@godblessmhando13265 жыл бұрын
show kal
@dennismwalagho58585 жыл бұрын
i lyk this interview...eeeh bwana q-chillah amezidi kazi kulia lia tu mtu mzima oyoooo
@charlestobby60315 жыл бұрын
Nick Mbishi you are genius bro nimesikiliza interview nzima sijakereka hata kidogo especially sehemu ya maswali hapo umeniacha hoi you made my day Bro😂😂😂
@Nelsonmlay5 жыл бұрын
Sikuwahi kuwa fan wa nikki ila nimemkubali kwaanzia leo huyu jamaa ni hatar
@jumachillo5 жыл бұрын
Brother niki anachokiandika n anachochana ni mara 1000 ya anachoongea kwenye interview ! swali langu umemkubali kwa interview au mziki wake?
@Nelsonmlay5 жыл бұрын
@@FreshFizzo kabisa
@georgemagori21585 жыл бұрын
Nikki Mbishi n msanii hatar xnaa bongo tafta nyimbo zake uckilize ndugu
@elishamalila59045 жыл бұрын
huyu unju ni shida nice interview
@mudykhalid27085 жыл бұрын
Nadhani leo walikua hawakuelewi washakufahamu unju mtu mkubwa ubongo mkwabwa best interview ever seen b4
@amanihamidu20955 жыл бұрын
Tukiwa na mastaa 50 tz kama nikk mbishi game litafika mbali namkubali maisha yangu yote 🏁✊🏿
@emmanuelmasanula74645 жыл бұрын
Tunamsubiri huyo Nikki wa Pilli wao tuone usomi wake, jonijo mleteee kwenye hii kitu asee.
@ramadhankiduwanga49325 жыл бұрын
nikki mbishi shule imekaa kijanja hpo
@hkmeme54375 жыл бұрын
Nikk mbishi ni genius huyu jamaa
@shulekongwechrisdadchrisda4015 жыл бұрын
Unju the genius noma sana haijawah tokea kabisaaaa show Kali jonijoo kasomeee
@hansmaston19495 жыл бұрын
Plz jonijo uyu mtu mleye tena mala yapili unafanya intervew ksli lkn intervew ya uyu jamaa nikar kuliko zote jamaa anaakili nyingi sana
@danieromaiko35695 жыл бұрын
mwanaume kamili haogop maswali yakijiinga nakubali baba ako
@bluesportstvtz40335 жыл бұрын
Kozi ya kibaaabeeee, af kimyaaaaa. Ila watu wana kozi za makelele wanaitwa wasomi. Nikki zohan is the real genius.
@zuberysaugga36055 жыл бұрын
The best interview kwenye the bar tender 🙌🙌🙌jamaa aliua asee schokagi kuicheki
@jangajr65045 жыл бұрын
Mumuite na Yule Nikki Mwenye masters Tulinganishe uwezo wa kichwaaa
@jumanyamhanga86065 жыл бұрын
Haaahaaa
@rogermbogo24235 жыл бұрын
Huyuu muhun anajuaaa
@denismrutu96555 жыл бұрын
Hawezi yule
@fadhilfedha95335 жыл бұрын
Jonijoo leo umekutana na babaaako mwenyewe hahahahaaa...wise ones chill like nobodyz business.
@georgeburchard48725 жыл бұрын
Dr Unju! Aaaah! Noma sana!! Uko deep sana! Kama hujui vile kumbe ndio jibu! Kichwa matata sana! Kina vitu vingi sana na leo ndio nimeelewa kwa nini wimbo kama kijusi wimbo bora wa hip hop kuwahi kuusikia umetoka kichwani kwako!!
@modooutfits13395 жыл бұрын
Katika Bartender zote zilizopita hii imeua zote Nikki mbishi salute
@sadickmjengera95995 жыл бұрын
Mwambie Dada ajali usafi mana katema kitu kutoka mdomoni mwake kupitia mkono wake kisha ajanawa anaendelea na kazi
@najmamohamed60605 жыл бұрын
Umeonaeeh.. alafu alipotema tu akapangusa nakitambaa alicho nacho mkononi
@jezaadamumbale7045 жыл бұрын
Hahahahah mko makin san
@AhmedHussain-pd8vl5 жыл бұрын
Kwaiyo
@beatricekamengekamenge55435 жыл бұрын
😂😂😂watu mko makini ngoja nirudie nione
@BigZhumbe5 жыл бұрын
Dakika ya ngapi?
@TheLasn75 жыл бұрын
Interview bora kabisa. Hongera nikki. Tunataman wasanii wawe na level hizi za uelewa wa mambo. Sio wote ila wengi wawe hivi mfano ukiwa na nikki wote wawil..game inaweza kupata muelekeo mzuri
@normanmhina56015 жыл бұрын
Nikki 🙌🏾🙌🏾🙌🏾🙌🏾
@marysilayo95295 жыл бұрын
Sijawah comment ila kwa huyu noma sana .....ni genius sana huyu.
@dastonamichaels18545 жыл бұрын
Unju nina madada wazurii wabichi tuma mshenga...
@sureboitv42745 жыл бұрын
Jamaa kapasua nakubali sana bonge la inter view
@exodusezekielkaitira62385 жыл бұрын
nicki genious aka dr unju...smart mind
@shabanimbaga89215 жыл бұрын
What a Genious 🙌🙌🙌.. Nick u're a realy 'Mbishi'
@balneoshujaashupav94565 жыл бұрын
Ana haki ya kuitwa mbishi ( Respect my bro Nikki mbishi)
@modooutfits13395 жыл бұрын
Jonijo umekutana na teke la vandame
@preciousrey16395 жыл бұрын
Shikamoo broo unjuu......Baba ako umepatkana leo😁😁😁
@ommyp7rajaa4155 жыл бұрын
Leo broo joni joo umekutana na teke la Vanne dame 😂😂😂😂
@truppdizz73305 жыл бұрын
Aaaaah nikki mbishi we nyoko mamae
@justinejoasi73905 жыл бұрын
Kama uneona Nikki mbishi kinywaji kinaisha haraka gonga like
@rashidyrashidy39235 жыл бұрын
This man is GENIUS 🇹🇿🇹🇿🇹🇿
@tunuyaomar50175 жыл бұрын
Mzee NIKI hapo kwenye ngonjera hadi mm nimecheka...🤣🤣..ila ongea ya NIKI imenikumbusha x wangu wa utotoni....😍
@lucasroswe65445 жыл бұрын
Mbishiiii
@sarahmwasege75735 жыл бұрын
Baba Malcom,unakuwa genius sana bwana. I do appreciate you bro
@stevenmaketa80514 жыл бұрын
Kama umeskia. Nikki nakasema Rujewa Mbarali ndio home gonga like twende sawa
@luxtiller57735 жыл бұрын
genius Nikki hii ndo interview bora kuliko zote nilizoangalia big up nikki, jonijooo and wasafi tv
@nkwabitz2335 жыл бұрын
WCB Firee.
@getujohn36304 жыл бұрын
Ndo uyo Alexander Bellam🤣🤣🤣something like like that.....but ckumbuki vizuriiiiiiiii.......we mbishi wew
@hassannyeme79485 жыл бұрын
watu wamesoma but they follow their dreams...!!! he loves Hip Hop..but is an educated man..#Unju
@hamisinanyata12375 жыл бұрын
Shikamoooo unju. Upo vizur sana mwote mwote. Kwel we ni kichwa cha Taifa.
@Cyper2555 жыл бұрын
Kwanini T. I. D na Q Chillah mnalia lia kwa Adam Mchomvu.
@hkmeme54374 жыл бұрын
Hatari sana
@justinesanga88094 жыл бұрын
Oi jonijoo arudi tena mbishii best interview..never seen beforeeee piga kelelee kwa unju akeeeeeeeeeeeeeeeeee
@officialslogantz41815 жыл бұрын
Nice my brother Niki. Photosynthesis ni kitendo au tabia ya mmea kujitegenezea chakula kwa kutumia mwanga wa jua kupitia majani au ukijani wake.
@joesimba5 жыл бұрын
Kajibu haraka haraka tu, ila nahisi hata hilo alikua anajua