Wapendwa tumwombesana Mungu atuepushie hii roho ya kishetan. Pia tumwombe ktk roho na kweli
@mashaelieazer61204 жыл бұрын
Kumbuka shetani haki vitu vya bure,na kazi ya shetani ni kuua,kuharibu,lakini kwa mungu ni furaha,amani,upendo,uzima wa milele.
@estherwangare76554 жыл бұрын
Kazi ya shetani ni kuiiba kuaribu na kuua na watu kama hawa uwa wana chukuliwa hatua gani
@ramadhanothman81103 жыл бұрын
Du kweli unajua utajiri mgumu
@mackynicky82784 жыл бұрын
Kwa shetani hakuna cha bure kweli, Mali na vitu vyote vya duniani ni vya Mungu.
@carolmuchiri99214 жыл бұрын
Hadhithi Zuli kwa kweri, Kumbe Pia Hao Wanganga Wajiitao Hodari Hufa, Na Kama Wanadamu Mwa Fahamu hivyo Mbona Mwa Wafatafata, Jameni Geukieni Kwa Mwokozi Yesu, Yeye Peke Ndio Kiboko ya Mambo Yote Amini 🙏🙏👍👍👍
@rahmahamisi76044 жыл бұрын
Hallelujah
@mathiaslambert14544 жыл бұрын
Uongo
@syliviafrancis4864 жыл бұрын
kzfaq.info/love/BD68LtmFXPUJtEc7T509CQ
@euniceeunice76804 жыл бұрын
@@mathiaslambert1454 uongo?soma torati ya Musa uone waganga walivyo awana nafasi mbele za Mungu ni nyinyi waislam mnapenda waganga mashekh wotee waganga ni wachawi mganga awez kua mkristo
@mwatimasaleh4234 жыл бұрын
Acha unafik mjinga wewe uliona sheikh gani mganga ukiona mganga jua hana imani ktk dini fuuuu
@furahinimbwambo4 жыл бұрын
Kumbe waganga wanakufa lakini Yesu anaishi milele jamani tumrudieni Mungu tusidanganywe na mambo yanayopita, utajiri na heshima vina Bwana,
@abuuaymankhudhaifa79814 жыл бұрын
Yesu pia snitch tu, lazima afe.
@hebronsdaughter16614 жыл бұрын
Kweli kabisa vinavyo onekana vyote vitapita
@linvi_chemutai5 ай бұрын
@@abuuaymankhudhaifa7981He is Alive. Find Jesus find peace ❤
@rachelcharles51904 жыл бұрын
Kipindi kizuri sana kaka kinatujenga na kutupa experience za maisha na mambo mbalimbali yanayo tuzunguka ubarikiwe sana brother
@jamilaally31724 жыл бұрын
Dah kwer maisha ni safar ndefu dah shukran ndugu tunajifunza mengi kupitia juhudi zako big up kido.# actually life is very difficult but don't lose your hope to Allah SubhanaAllah b'se Allah is able above of Anything.
@user-il1bv6vs9q4 жыл бұрын
Wah the world is a darkness,, i cover my self with blood of Jedus christ Amen
@eveimbusi59404 жыл бұрын
Amen
@moureenmwende39894 жыл бұрын
Amen
@juliejulie87044 жыл бұрын
Jameni hakuna kitu kibaya kwenye maisha kama umaskini na hakuna kitu kizuri zaidi na kuridhika na Hali yako nashukuru Mungu sijaumbwa na moyo wa tamaa napambana na Hali ya warabuni ili niwape maisha mazuri wanangu wasiishi Kwa shida kama nilivyoishi Na namshukuru Mungu Kwa kila hatua vijana pigeni kazi Mungu atawabariki hakunaga cha bure hapa duniani
@eliasgembe9344 жыл бұрын
Pole kijana kwa hayo uliyo ya kutana nayo..unaonaeeee .sas rud kwa mungu wako amen
@georgetavalentine46864 жыл бұрын
Can't stop watching on your vds,unajua sana kazi yako keep it up
@pqolai77404 жыл бұрын
Asante sana kaka saupi yako nzuri na hizi zina sisimua sana mwenyezi Mungu atunusuru scs binadamu
@eddywedy18984 жыл бұрын
Hii show bila kukoment chochote ntakuwa mbinafsi jamn mungu atulinde hii pumz yetu isije ikatupoza hapo kesho kiama🙏
@sadaukovizurikakanyimbozak67534 жыл бұрын
Allah atujalie mwisho mwema pamoja na vizazi vyetu lnshallah
@ayshamahariq66654 жыл бұрын
Mungu atunusuru tamaa n mbaya shkuran bro Davistar kwa mafunzo 👏
@hamismabula58134 жыл бұрын
Kama tunamaanisha Muumba wetu, aliye hai, mwenye enzi, tunayemtegemea 100% basi tuandikeni "Mungu" siyo "mungu!" mungu wa herufi ndogo ni shetani ndg zangu tunaotoa ushauri hapa!
@suzankumburu3104 жыл бұрын
Hamis Mabula na sio Mungu ni "MUNGU"kwa herufi kubwa zote
@hamismabula58134 жыл бұрын
@@suzankumburu310 Sawa kabisaaa!
@trophainamagogwa79664 жыл бұрын
Kabisa wewe umesoma maandiko nimeipenda kauli yako
@trophainamagogwa79664 жыл бұрын
@@suzankumburu310 ya Kwanza herufi ndiyo ya muhimu zaidi hata Jina lako anza na herufi kubwa siyo ndogo
@hamismabula58134 жыл бұрын
@@trophainamagogwa7966 Asante sana kwa kukazia juu ya hilo.
@trophainamagogwa79664 жыл бұрын
Africa kuna Mambo hakika Mungu atusaidie tumjue Mungu wa kweli
Napenda utuendelezee yule pastor. Mm napenda sanaaa kukufatilia.vipindi vyako Viko sawa
@khadijajuma14084 жыл бұрын
Subhana Allah Yarabby tunusuru na familia yetu
@fauziakassim3234 жыл бұрын
Tamaa si nzuri kuna kazi au biashara ambazo unaweza Fanya ili uwe tajiri utajiri ni akili tu bora msimamo haaa hata huna aibu unazungumzia mbele ya watu ungemuomba mungu akusamehe tu hiyo ni siri yako jamani tamaa acheni
@tamariophant69194 жыл бұрын
Hakuna cha bure kwa shetani,shetani nimuuaji tuu, ukifanya kaz kwa mikono yako ipo siku mungu atakutoa chini ulipokua mpaka juu, cha muhimu tuwe wavumilivu
@danrevelian4 жыл бұрын
Huo upigaji picha uko sawa kabisa,mwambie tu cameraman wako aongeze ubunifu yaani awe na shots nyingi za kuficha identity ya mgeni wako,all in all kazi nzuri sana...!!!
@DavistarMataMediaDM4 жыл бұрын
Sawa nitalifanyia kazi
@justinmmbando53864 жыл бұрын
@@DavistarMataMediaDM safi broo
@sarahkhwaka28644 жыл бұрын
Jesus Christ!May God almighty help us youths.waiting for part 2 .
Utajir unasiri kubwa kweli hadi kizunguzung kwa hiyi story,🙆🙆🙆🙆
@stellakins37703 жыл бұрын
Hahahahah
@godfreyjoseph83994 жыл бұрын
Mungu atulinde na huku kupenda vitonga shetan yupo kazini muda wote
@fauziasitara50594 жыл бұрын
Duhhhh noma mwenyezi mungu atuepushie tamaa kwa nafasi zetu
@kokayusuph59544 жыл бұрын
Davistar. Usishangae kesho uka kuta watu wame tengeneza movie na wamepiga mihela kupitia story za kwenye platform yako
@beautyibrahim84284 жыл бұрын
😂😂Kabisa
@rayt9844 жыл бұрын
Sijui nianze Mimi!!
@marthamshana90504 жыл бұрын
Kweli
@jimmyaaron76444 жыл бұрын
Hongera story nzuri, muendelezo plz
@alawitv28434 жыл бұрын
Mikasa..nakikubali sana kipind hiki gonga like kama unakubaliana hiki kipind
@kinabukheri93284 жыл бұрын
Kipindi kinatufunza dunia
@joycekunyanja10272 жыл бұрын
Makete ni ndan ya mkoa wa njombe sio iringa.maisha haya bila Mungu tutateseka sana
@merinajuma1394 жыл бұрын
Mmmmh kaka mtangazaji unamoyo ww kuftlia hya mambo yakutisha🙌
@mackynicky82784 жыл бұрын
Mzee baba Davistar unaogopa hadi umekunja sura 🤣🤣
@jazzymkalitv55354 жыл бұрын
😂😂😂
@salehfrank94483 жыл бұрын
Tu msifu mungu ja Mani.yesu ni mwema sana.utajiriwake sio wama sharti.
@SamsungA-su2qj4 жыл бұрын
Japo napata tabu huku arabuni lkn kwa pesa na utajiri wa kichawi siutaki
@khadijaahmada25444 жыл бұрын
Ijawa napita kwenye bonde la uvungu wa umauti kamwe sito acha kupambana...nko dubai nakomaa na napata hela zangu japo hadhikidh mahitaj ila si kwa njia hio..Allah atunusuru sisi na kizaz chetu...
@lewismpangala9274 жыл бұрын
Kuna tabu kweri kweri waarabu tena
@susankaburu1404 жыл бұрын
Wacha tukae na mwarab siz.
@lovenesskalenge26832 жыл бұрын
Aisee nilipo batizwa kwenye Kanisa la Yesu Ni Bwana na mwokozi wa mataifa yote . Najua kabisa Yesu yupo na anatendaa kikubwa uvumilivu na yeye shetan kazi yake kukatisha tamaa. Yesu Naomba niangalie kiumbe chako niwe na mwisho safii🙏🙏
@manbanshaban92534 жыл бұрын
Duh,,,kisa kizuri sana lkn kila nikimcheki jamaa mi naona sura kama ya aslay.
@teychriss32484 жыл бұрын
Hahahaha uwiii
@albeleenalberto1584 жыл бұрын
😂😂😂😂😂
@starluzenja98614 жыл бұрын
😂😂kweli
@saidahj25434 жыл бұрын
Acha niwe maskini mwenye amani...
@elizanyaga35024 жыл бұрын
😂😂
@benardpaul12714 жыл бұрын
😁😁 hio ni ukweli
@Githinji074 жыл бұрын
Davistar my first time kukuona ukiongea mimi hukusikia ukiongea ukisimulia handithi kazi mzuri kaka.
@florencendatila91834 жыл бұрын
Mungu atusaidie tumuishie yeye unaeza ukajiona uko safe kuna ndugu yako kapata tamaa anakutoa kafala😂
@estermosha19853 жыл бұрын
😂😂😂
@kiehbhzh70444 жыл бұрын
jamani tuafanyeni kazi utajili ni mtihani sana bora uwe tajiri peponi kuliko kuwa tajiri duniani kijana muombe mungu akusamee ulichokifanya
@pezasally82044 жыл бұрын
Daaah aseee kiongoz fany mpango wa part twebee bas
@abdillahkhamis43034 жыл бұрын
Nakubali sana davistar mata mr fax unatupa kitu roho inapenda
@esterelias81894 жыл бұрын
Duuuh omba mungu usingiwe na hii roho napinga kwa damu ya Yesu huo utumwa wa kishetani.
@happinessmwenda27734 жыл бұрын
MUNGU NI MWEMA SIKU ZOTE NA UTAJIRI WAKE HAUNA MASHARTI.SHETANI KAZI YAKE NI KUHARIBU NA KUTIA AIBU POLE MRUDIE KRISTO YEYE TAJIRI WA MATAJIRI NA HAFI
@gladysmamatwins10194 жыл бұрын
Kabisaa..... yeye hafi, wala haendi retire hivi karibuni..... wala hana expiry date.
@namirihamisi38994 жыл бұрын
Uwongo mtupu hili ni kundi la waganga feki wanatumia mitandao kueneza ujinga yaani kuwatowa watu kwenye imani zao za kweli hawa watu enzi ya mwalim walikuwa hawana nafasi wanatiwa viboko na kifungo juu sasa hivi wapo huru sana tafuteni kazinhiyo sio kazi.
@abdulrahmanhassan92544 жыл бұрын
Mwenyezi mungu atunusuri, tufanyeni kazi jamanii kwenye maisha hakuna njia ya mkato
Eeeh Mungu Uturehem, Uwaepushie wanetu kupenda utajiri wa njia ya mkato.
@syliviafrancis4864 жыл бұрын
Please subscribe to my KZfaq channel kwa story Kama hizi kzfaq.info/love/BD68LtmFXPUJtEc7T509CQ
@fauziasitara50594 жыл бұрын
Ameen
@zuhramsuya81944 жыл бұрын
Amin
@shifaazawadi44384 жыл бұрын
Kongole bro Davistar endelea nakazi hiyo ss pia tunapata maarifa yakujikinga kupenda vya bure
@inspiremotivatekenya22864 жыл бұрын
Wuuueeeeh🙆♂️..Tubu tubu thambi
@zaitunishee44314 жыл бұрын
Matangazaji macho jamani ata iyo historia siisikii🙊🙊💋💋
@nurafedrick3784 жыл бұрын
Huo niunyama wahali yajuu kijana rohoo ngumu sasa ubongo damu yamamayako ndoulekwamiezi tano halafu kafara kila baada yamiezi mbili amatatu jamani siutamalixa UKoo wote angekuambia angalau kilamwaka ila huo utajiri Bora nife masikini eti mkeo atakuwa mamayako jamani hii nikweli
@demitrahawkins54574 жыл бұрын
Nura Fedrick 🙏🙏😭😭
@bertinaafonsorapaz83454 жыл бұрын
We acha2,khaa..afu mbona huyu alikuwa anaangalia2 masharti ya mwenzie mbele ya mganga?mmhh
@roseuwambe80894 жыл бұрын
Eemungu tunusuru tutafte kwa halali🙏🙏
@zulfaismael18584 жыл бұрын
Inalillahi wainailleyhi rajiun.(All comes from thee and shall go back to thee)Tuwache matamanio ya dunia maana maisha ya dunia ni mafupi,tuwe wenye kuridhika na kile tulichopewa na Mola hata kwa uchache wa mpunga.Kiufupi tusiweze kumuasi Mola Muumba na Mlezi wetu kwa matamanio ya nafsi zetu maana kwake ndio marejeo yetu soote na adhabu Yake ni kali mno kwa yule anaye Mshirikisha.
@latefalatefa55944 жыл бұрын
Emwenyezi mungu naomba nipemoyo wauvumilivu niheri nifanye kz kwawarabu naamini nitafanikiwa tu nama neno lako linasema nitaibariki kaziyamikono yenu🙏Ameni
@allahisone63864 жыл бұрын
Osha Hammaaamu hadi kielewekeee
@zakiahaji16833 жыл бұрын
@@allahisone6386 kieleweke vo 😂😂😂😂
@joycetimothy29564 жыл бұрын
Yan kakaAa upo vzul hatuchok kukuangalia in short hauboi 😘😋😋
@happyjumanne52034 жыл бұрын
Davistar I really love you mooo,good job bro
@rukiammangammanga11663 жыл бұрын
Mama mzazi kabisaaa daaaa😥😥
@anithabuberwa22534 жыл бұрын
Kweli tamaa mbaya 🙉 🙉🙉🙉🙉 mpaka mnatafuna minyama msiyoijua ni ya mnyama gani!!!!!🙆🙆🙆
@zaidanawadhi26644 жыл бұрын
Kazi nzuri, part 2 kaka.
@deelissa27464 жыл бұрын
Davistar 😍😍😍 sina namna
@mussaonesmo51954 жыл бұрын
First one bro like yako kama kawaida, nakubali sana tunajifunza kupitia Davister Mata, respect kwako bro
@mamajecha78563 жыл бұрын
Tunabeba mimba kwa uchungu nakuzaa vile vile matokeo yke mmh Mungu tuafu na utuhidi
@fozyafozya40604 жыл бұрын
Nice story 👌👍
@mussaonesmo51954 жыл бұрын
Kama kawaida kaka sifungi data nasubiri kuwa nawe pamoja katka mwendelezo coz najifunza mengi kupitia kazi zako, Kazi nzuri sana
@DavistarMataMediaDM4 жыл бұрын
Shukrani
@cjdivinah21624 жыл бұрын
Shetani hana mamlaka kwa maisha yetu....mwombe Mungu na utie bidii naye atakusaidia
@jasminali59214 жыл бұрын
Yarabi tunusuru sisi waja wako tupe rizki kwa njia ya halali yarabi 😭😭😭😭😭😭
@aminamodi89274 жыл бұрын
Hivi mwapenda kucheza na mind set za za watu kuleta story za urongo kama waamini unachosema basi wewe na huyo mjinga mwenzio onesha sura yako tukuone ns kukupa ukweli kuwa huo niuzushi na kukukumbusha kabla ya uzushi huu nini ulifanya kabla na wewe mc huna kazi ya kufanya wamaliza MB za watu PUMBAVU NYIE
@fredrickthomas21733 жыл бұрын
Huyo dogo muongo sana
@georgetavalentine46864 жыл бұрын
Duh!ila Mungu atuepushe na huyu kiumbe aitwae shetani
@yohanamussa83364 жыл бұрын
Utajiri wa shetani una siri za ajabu sn
@husnaothuman16093 жыл бұрын
Mungu Nisamehe.. Nitakufa Masikini....mm Jmn Ila Kwz Mzazi .. Hapan
@nawwafomar45184 жыл бұрын
ahaa hii ndio siri ya rafiki zangu kutoka kuleeeee ndio maana wanatajirika
@youngyayoo28054 жыл бұрын
Utajiri unatoka mbali sana
@tatukhalidshija72554 жыл бұрын
Allah atunusuru na haya majaribio ya shetani
@phleriahwanga43064 жыл бұрын
Allah ndio shetani mwenyewe.. Mlilie Yesu🙏
@saidyssaley15094 жыл бұрын
@@phleriahwanga4306kwa vile you mdogo lkn Ukikua utajua Allah ni nani na shetani ni nani ,,,, NA ALLAH akuonyeshe njia kabla pumzi yako haijakatika
@kiri58073 жыл бұрын
@@phleriahwanga4306 ukome wewe usimtukane Allah . wewe unamrusi alokuumba na kukupa pumzi za bure akakuumbia dunia . ni mshenzi sana. wewe km unamtusi namuomba Allah akuoneshe utukufu wake akuzibiye hiyo pumzi yake unayoringia Amin.
@kiri58073 жыл бұрын
@@phleriahwanga4306 Mimi siwezi kumtusi Yesu maana ni mtume km mtume Muhammad ila laana za Allah ziwe juu yako mbwa wewe.
@phleriahwanga43063 жыл бұрын
@@kiri5807 Hahhahahahaa basi maombi hayo ata hayaskiki😂😂 maana allah sio Mungu😂 Ni shetani mkubwa nanimerudia ni shetani mkubwa.. Wacha anikatize pumzi tujue 😂😂😂
@annajoseph99554 жыл бұрын
Watu wanapenda kitonga loh mungu atusaidie tu
@bebisheni43804 жыл бұрын
nguvu za mwenyezi mungu ziwashukie mshindwe na mregeee
@kizakadafiomar20674 жыл бұрын
Ahhh Niatar sanah kbx
@maxwellssemakula15654 жыл бұрын
Jaribu kutuletea part 2 kwa haraka kidogo plz
@angeljasson43764 жыл бұрын
hongera kaka kwa kazi nzur
@DavistarMataMediaDM4 жыл бұрын
Shukrani
@annaanyango65103 жыл бұрын
Nothing coming freee a good life is to struggle then you believe in god you'll have everything broooo
@fauziayassin79873 жыл бұрын
Huyu jamaaa mbna anamponda mwenzake akat walienda pamoja
@acruxe58104 жыл бұрын
Davistar nakubali mku
@khadijaomar84274 жыл бұрын
Misikule ya maneno ya kuambiwa🤣🤣🤣
@faridasilwani96764 жыл бұрын
😂😂😂 joy na mwenzake
@estheramiry84834 жыл бұрын
Huyu mwongo makete kulikuwa hakuna daladala wala vigari vidogo kulikuwa na gari moja tu linaitwa mwafrika mpaka leo, hakuna dala dala wala gari dogo linatoka iringa kwenda makete.
@faridasilwani96764 жыл бұрын
Watakuwa walienda njombe awo
@fredrickthomas21733 жыл бұрын
Huyu dogo muongo sana
@aboudjuma5234 жыл бұрын
Mwendelezo davistar
@valenakomba76864 жыл бұрын
Mwenzio alikuwa tayari ni mchawi na mzoefu wa kula zile nyama. hata ile misukule kwaake kilikuwa siyo kitu cha ajabu kwake. ila tu ule uchawi wa utajiri alikuwa hana.
@bertinaafonsorapaz83454 жыл бұрын
Kama ndoto dahh😂😂😂maisha haya,mapito ya mwenzio unaweza kuhis movie
@arafampoma33994 жыл бұрын
Mtangazaji bwana eti story yako ni mzuri sana ulivyo nisimulia allahakbar mungu atupe mwisho mwema ishallah
@africanstears77554 жыл бұрын
aisee brother....hatari sana
@hildaemmanuely49614 жыл бұрын
Sema alikuwa anasema maneno siyo dua Mana ukisema dua hiyo husomwa kwa watu wema
@geraldrobert18014 жыл бұрын
Davista, wewe umejuwaje kwamba misukule huwa haionekani!!? Tuweke wazi Mr Fact 🏃🏃🏃🏃
@igurusitv65534 жыл бұрын
Mkuu upo hadi huku hahahahah
@lizzaitun50974 жыл бұрын
Kazi njema,,,nasikia Tanzania Kuna majabu kumbe hivi ndivyo Mambo uwa
@yohanahbyzehomba1352 Жыл бұрын
Wew uko wapi? Nchi gani?
@naimanurdin89844 жыл бұрын
Acha niendelee kupigika Oman kutafuta Pesa Yangu kihalali ila naamin madhali nna nia na khofu ya Mungu nitafika malengo kwa hiki kidogo changu cha halali nikipatacho
@mr.booster55754 жыл бұрын
Huyu jamaa anayehadithia ninmuongo iringa to makete unaenda kwa daladala wakati Ni zaidi ya kms 300 kwa Basi
@paulinekhasandi37284 жыл бұрын
Tanzania mna mambo kumbe si wote matajiri wa kutoka kwa Mungu mrudiyeni mungu heri ufee masikini wa kweli. Kumbuka hakuna cha bure
@magejuliani52934 жыл бұрын
Tamaa tu zinawasumbua! Hamna cha bure
@geraldrobert18014 жыл бұрын
Huyo mzee nahisi atakuwa ni MWAKIPANDE 😂😂😂 Gonga LIKE kama unakubaliana namimi
@umbeaeastafrica79434 жыл бұрын
Sio yule wa Loliondo?😂😂😂
@teresiahkiarie84404 жыл бұрын
Shetani hana kitu chake duniani kazi yake ni kuimba na kuua may God protect us from any evil in Jesus mighty name
@babymansouth11644 жыл бұрын
+254 Leo hamjafunikaa jamaniisasa siwatamjuaa shilawadu😈😬 Ila Maisha haya Duh Yaani wanadamu tunafanyayoyote ili tupatePesa na maishamazuri Allah tusaidiee😢😢😡