No video

NILIJARIBU KUIBA MTOTO MUHIMBILI KUNUSURU NDOA YANGU

  Рет қаралды 25,792

Wasafi Media

Wasafi Media

Күн бұрын

www.youtube.co...
WATCH WASAFI TV📺
AZAM - 411 | DSTV - 296 | ZUKU - 028 | STAR TIMES - 444 & 333 | COCONUT TV - 20 | DODOMA CABLE - 113
LISTEN WASAFI FM 📻
88.9 DAR/ZNZ/PWANI 📻 | 104.1 DODOMA 📻 | 94.5 ARUSHA 📻 | 97.3 MBEYA 📻 | 94.9 MWANZA 📻 | SHINYANGA 106.3 📻 | KIGOMA 101.7 📻
Follow Us On:
INSTAGRAM: / wasafitv || / wasafifm
TWITTER: / wasafitv || / wasafifm
FACEBOOK: / wasafitv
𝑪𝒐𝒑𝒚𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕 ©2021 𝑾𝒂𝒔𝒂𝒇𝒊 𝑴𝒆𝒅𝒊𝒂. 𝑨𝒍𝒍 𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕𝒔 𝒓𝒆𝒔𝒆𝒓𝒗𝒆𝒅.
#wasafi #wasafitv #wasafifm

Пікірлер: 86
@sophiakimaro5174
@sophiakimaro5174 5 ай бұрын
Kuliko kuiba ni bora ku adapt mama yangu.ukweli mwanamke akikosa mtoto ni changamoto .Mungu awasaidie wagumba matumbo yoote yaliyofungwa yafunguliwe kama Sarah wa Ibrahim.
@user-ce5ci8np8k
@user-ce5ci8np8k 4 ай бұрын
Sana ni mtihani
@ndolepeter2770
@ndolepeter2770 5 ай бұрын
Mumgu ndy faraja chukua mtt yatima au wandug mlee kwa upendo kama mwanao na Mungu atakulipia
@zakiamseka9698
@zakiamseka9698 5 ай бұрын
Bora yatima wa ndugu akikua wanamchukua inauma😢
@tabiasaidi2931
@tabiasaidi2931 5 ай бұрын
Mungu waangalie wagumba wote na wanao chelewa kupata watoto kwajicho lako lenye huruma kwamaana ww ndie dokta mkuu kwa madokta wote kwa neno lako ulisema hakuna tasa wala mwenye kuharibu mimba muda umefika sasa wa kutimiza maneno yako mataka tifu mungu wetu usie shindwa na lolote mikononi mwako tenda sasa kama ulio tenda kwa sala .
@christinenibampa2675
@christinenibampa2675 4 ай бұрын
Amin
@ConsciousBNB
@ConsciousBNB 5 ай бұрын
Mama pole sana kwa changamoto kubwa kama hiyo 😢 Kama hutojali mimi pia ni mwanao wa kufikia sababu pia sina Mama 🥺🙏
@ednaJF1028
@ednaJF1028 5 ай бұрын
Yani nyie acheni tu! Maicha haya.
@annajoseph9955
@annajoseph9955 5 ай бұрын
Mim nilichelewa tu mwaka mmoja lakin niliyoyapitia ni mungu ndio anajua aiseee
@MeckitilidaTushabe-or9hu
@MeckitilidaTushabe-or9hu 5 ай бұрын
Yesu ninjibu dada Amin Yesu anaweza amin
@user-po5pt3sp6c
@user-po5pt3sp6c 4 ай бұрын
Pole Sana....Mimi Naheshimu Sana Wagumba....Mungu Mkubwa Atakupa Kitu Kizuri Kuliko Mtoto
@ziadasalimu1730
@ziadasalimu1730 5 ай бұрын
Tafuta pesa utaishi maisha mazuri tu na utasau hayo yote Kuna watu wameezaa watoto kumi kumi na Bado wanatabika kwenye ndoa zao, na Kuna watu wameezaa na wanaume za watu na hizo mali pia hawazipati, na uzuri wewe ulikuwa mke wa ndoa haki Yako ungeipata tu, ushauli wangu pambana tutafute pesa hakuna kaburi la MGUMBA Dunia hii makabri yote ni sawa
@user-rb7qo3di6q
@user-rb7qo3di6q 5 ай бұрын
Ww una kiwango kikubwa cha ujinga unalinganisha pesa na mtoto pesa nini
@vickyshayo7880
@vickyshayo7880 5 ай бұрын
Kabisaaa
@user-nb6bw5co4n
@user-nb6bw5co4n 5 ай бұрын
Ww huelewi kama pesa nifuraha kwako OK
@shekhainahgloryraphael2419
@shekhainahgloryraphael2419 5 ай бұрын
Bonge la point
@JoyceMkeka
@JoyceMkeka 5 ай бұрын
Inauma Sana kukosa mtoto mungu akutie nguvu kipenzi changu
@mwanas2
@mwanas2 5 ай бұрын
pole sana mama mtihan hutoka kwa Mungu tafuta mwana wakumlea tu japo upate faraja.Mimi nna watoto watano nachekwa kila siku na walimwengu ilifika mahali nikaona bahati ni laana.ila nikikaa nikaangalia watu wanavyoteseka kupata watoto basi sina budi kukaa nakushukuru Mungu kwa uzazi nilioupata.
@ruqaiamohammed345
@ruqaiamohammed345 5 ай бұрын
Pole sana dadangu mungu ana kusudio lake kutokupa mtt 😢😢😢
@mamamwajei8789
@mamamwajei8789 5 ай бұрын
YESU ni jibu la mambo yote....muite tu ktk roho na kweli naye atakuitika atakuonyesha mambo makubwa na magumu usiyoyajua
@agnessjohn1222
@agnessjohn1222 4 ай бұрын
Mungu afungue tumbo lako afute machozi yako akufanyie kicheko kama alivyomfanyia ana
@annajoseph9955
@annajoseph9955 5 ай бұрын
Hakuna kitu kinaumiza kama kukosa mtoto aiseee mwanamke yoyote analijua hilo
@veronicangwale7159
@veronicangwale7159 5 ай бұрын
Mungu yupoooo
@FelisterKisendi-yb7uj
@FelisterKisendi-yb7uj 5 ай бұрын
Yupo Mungu mpaji mama,mwamini yeye tutapata muujiza wako
@RashidAbbas-zy6xx
@RashidAbbas-zy6xx 5 ай бұрын
Aisee stori nimeipenda
@maimunamsakamali9152
@maimunamsakamali9152 5 ай бұрын
Nakuelewa sana dada angu me nimepitia hiyo hali nilikaa ktk ndoa miaka 16 bila mtoto hadi nikamruhusu mume wangu aoe na tukapata mtoto Kwa bi mdogo lakinu Mungu mkubwa sana mwaka wa pili na Mimi nikapata katoto. Ka kike
@user-rj4cd7oc4x
@user-rj4cd7oc4x 4 ай бұрын
Maashaallah
@SalmaBinyaga
@SalmaBinyaga 2 ай бұрын
Maashaallah inatokea hiyo
@user-ug9nl8lo1o
@user-ug9nl8lo1o 5 ай бұрын
Husiwaze sana kikubwa umuombe mungu
@FatimaAli-of4gh
@FatimaAli-of4gh 5 ай бұрын
Kwani isingewezekana ukapandishiwa mbegu ukazaa maana nasikia watu wanafanya hayo 😢😢😢😢
@Njeriii536
@Njeriii536 5 ай бұрын
Mmh pesa nyingi mno ndio maana wengi hawawez kumudu garama
@joycekambuga6286
@joycekambuga6286 4 ай бұрын
Pole sana Mungu akutetee.
@fatmaalnabhani3609
@fatmaalnabhani3609 5 ай бұрын
Mamangu badili ya kuiba mtoto unaweza kuomba kihalali
@user-xh7xf2ki3r
@user-xh7xf2ki3r 4 ай бұрын
Pole sana mama Allah ni mwema atakupa mtoto
@paulmushi2428
@paulmushi2428 5 ай бұрын
La,! Pole sana Dada yetu
@vickgrace4487
@vickgrace4487 4 ай бұрын
Mungu yupo wewe UTAZAA saiz watu wana miaka 53 na Wana zaa.... Dada NENDA kwa watu wa Mungu..
@user-mw5xs2wx8n
@user-mw5xs2wx8n 5 ай бұрын
Mungu hajakuonea mama hawana heri naww watoto
@shekhainahgloryraphael2419
@shekhainahgloryraphael2419 5 ай бұрын
Pole sana dear, mimi nilifanya adoption, nilichukua mtoto wa mwaka mmoja, kwa sasa ana miaka 7, najisikia kufarijika sana kuitwa mama, nakushauri fanya hivyo na na wewe.
@zakiamseka9698
@zakiamseka9698 5 ай бұрын
Hongera sana
@zaitunimasangula4668
@zaitunimasangula4668 4 ай бұрын
Ulifanyaje ndg mbona nasikia process ngum
@user-rb7qo3di6q
@user-rb7qo3di6q 5 ай бұрын
Mm nakupa pole mama Nakuunga mkono na Mungu alikulinda kwani hukua na dhamira mbaya juu
@user-hw3nv4ld2u
@user-hw3nv4ld2u 5 ай бұрын
Mungu akutie nguvu Mimi nilikaa miaka saba nakuelewa ila wewe ni supa umani
@user-gs7tf2lz4b
@user-gs7tf2lz4b 5 ай бұрын
Ombirangu kirasiku mungu awa peuzao
@rajabubakari5881
@rajabubakari5881 4 ай бұрын
Pole mama
@user-ug9nl8lo1o
@user-ug9nl8lo1o 5 ай бұрын
Mungu atakujaalia utapata mtoto, nakushauli uje Dar, hapa Dar, lipo kanisa maeneo ya Kigogo Polisi post, yupo mchungaji anaitwa Malache Joseph, mungu atakusaidia
@Zainab_salat
@Zainab_salat 5 ай бұрын
Kwani binadamu ndo anatoa watoto Mungu
@OmanOman-dd5qk
@OmanOman-dd5qk 5 ай бұрын
Nashabgaa auanauza watoto huyo​@@Zainab_salat
@ednaJF1028
@ednaJF1028 5 ай бұрын
Amen 🙏🏻 Kweli Mungu halali ipo siku Mungu atamjaria siku moja
@lynnpaul8634
@lynnpaul8634 5 ай бұрын
Mungu anaweza amini siku yako ipo,na usiijiite mgumba mamayangu
@user-mi7cd8ch1b
@user-mi7cd8ch1b 5 ай бұрын
Hakuna kitu kizuri kama kuitwa mama hata mtto asikufae lkn umezaha pesa sio kitu cha samani kama mtto ukipata ndio unasema wakazigan lkn kama haujapata unatamani Allah kareem
@pascalhabonimana813
@pascalhabonimana813 5 ай бұрын
Pole sana
5 ай бұрын
Wachafu midia
@user-co1tx2cz1r
@user-co1tx2cz1r 5 ай бұрын
Dada nakupongeza
@haidhabushiri9558
@haidhabushiri9558 5 ай бұрын
Naomba kukutanishwa na uyo mam mm pia ni muhanga😢
@petermanala6138
@petermanala6138 5 ай бұрын
Pole inauma
@user-nj7yx5yy4n
@user-nj7yx5yy4n 4 ай бұрын
Nipe no ya simu nitakuelekeza utatue changamoto Kama hutojali
@user-ml5tq8hj2x
@user-ml5tq8hj2x 5 ай бұрын
Kuiba mtoto sio sababu maana vituo vya yatima vipounaenda unapewa shughuli ipo kwenye utu wa mumtunza huyo mtoto kama wako
@Zainab_salat
@Zainab_salat 5 ай бұрын
Umeona
@dayana5513story
@dayana5513story 5 ай бұрын
Mpaka😢Pole Mungu ndo mjua yote
@vickyshayo7880
@vickyshayo7880 5 ай бұрын
Watoto ni mpango wa Mungu wanawake ndio wanaonyooshewa tu kidole ila pia wansume nao wanayo matatizo ya uzazi
@evaemil856
@evaemil856 4 ай бұрын
Roho hiyo ya kutaka kuiba, Mungu aiondoe na kukisafisha. Ebu fikiria huyo uliyetaka kumuibia mtoto kama ungefanikisha ukakuta mwenyewe pia amepitia mateso makubwa kama wewe je ungejisikiaje?
@user-gs7tf2lz4b
@user-gs7tf2lz4b 5 ай бұрын
Muguakijibu mama
@haidhabushiri9558
@haidhabushiri9558 5 ай бұрын
Mim najua unavyohisi 😢mungu tusaidie
@FatimaAli-of4gh
@FatimaAli-of4gh 5 ай бұрын
Pole dada yote hiyo kheir watt wa siku hizi mtihani mtupu
@elizaberthlyimo8286
@elizaberthlyimo8286 5 ай бұрын
Sisi ambao hatuna watoto tunanyanyasika sanaaa
@user-mq4qc2jw4v
@user-mq4qc2jw4v 4 ай бұрын
😢😢pole ndugu yangu Mungu yupo usikate tamaa
@darajalakidatukilomgi2362
@darajalakidatukilomgi2362 5 ай бұрын
Unaiba mtoto kunusuru ndoa? Kuiba mtoto ni dhambi kama unaiba Kwa Nini isiwe unaiba Kwa roho yako inapenda kuwa Mama
@petermanala6138
@petermanala6138 5 ай бұрын
Na je hajui madhara Kwa anae muibia yeye hamtaki mwanae kwani
@mohamedsaide3405
@mohamedsaide3405 5 ай бұрын
Mm Nina miaka 16 mwaka Leo mke wangu ninae lakini Mimi nina mtoto mmoja.
@jamilagadaf7196
@jamilagadaf7196 5 ай бұрын
Pole sana mama
@DoreenVictor-qi9ld
@DoreenVictor-qi9ld 5 ай бұрын
Ila mm ninaimani kwa sasa utapata maana mbinu ninyingi kwa sasa
@gaudencekangipe7910
@gaudencekangipe7910 4 ай бұрын
Mtimbira kwetu jamani
@ireneshikuku
@ireneshikuku 5 ай бұрын
Hakuna ukumba unayo nitafute
@carolinedicksonmwanry3354
@carolinedicksonmwanry3354 5 ай бұрын
Unaptikana wapi Irene
@ednaJF1028
@ednaJF1028 5 ай бұрын
Kwahiyo wewe Dada Doctor wanasema tatizo lako nini? Labda ungejaribu nje ya Tanzania
@swaumuabdallah6886
@swaumuabdallah6886 5 ай бұрын
Km hana pesa ya kwenda nje utamlipia ghalama
@ednaJF1028
@ednaJF1028 5 ай бұрын
@swaumuabdallah6886 Hilo sio jibu. Mimi nimetoa wazo. Na kwenda nje sio watu wote walioenda nje walikua na pesa. Kama hivyo yeye anavyo Sema ameazisha tahasisi pia Kuna tahasisi ambazo husaidia anaweza changing pesa ili akafanyiwe vipimo nje yote hiyo ni kutafuta uvumbuzi .and for me saying that was just a suggestion.
@rehemamgata224
@rehemamgata224 4 ай бұрын
Mi ninaamin hakuna mgumba dawa zipo
@user-eu3xx5kn1w
@user-eu3xx5kn1w 5 ай бұрын
2095amepigaje hapo
@lynnpaul8634
@lynnpaul8634 5 ай бұрын
Jamani watu wapo makini balaaa😅
@mwashumkigoda
@mwashumkigoda 4 ай бұрын
M
@user-eo4hd8xu6d
@user-eo4hd8xu6d 5 ай бұрын
😂😂😂2095
@bakarikayugwa3295
@bakarikayugwa3295 5 ай бұрын
Mgumba huna kizazi
@preciouspeter6126
@preciouspeter6126 5 ай бұрын
Kuna mgumba na tasa
@Catherine-mh8sw
@Catherine-mh8sw 5 ай бұрын
​@@preciouspeter6126mgumba ndiyo nani na tasa ni nani
When you discover a family secret
00:59
im_siowei
Рет қаралды 14 МЛН
OMG what happened??😳 filaretiki family✨ #social
01:00
Filaretiki
Рет қаралды 13 МЛН
王子原来是假正经#艾莎
00:39
在逃的公主
Рет қаралды 11 МЛН
Dalili Za Mwanaume Anaekupenda Kwa Dhati
6:19
Topten Tv
Рет қаралды 329 М.
BABA YANGU KIPOFU Full episode /31/ #love
40:19
BabaJoan
Рет қаралды 111 М.
SNURA: NIMEACHA USANII,FUTENI NYIMBO ZANGU NIKI.FA MSINIPOST
6:50
The Story Book : Tukifa Tunazaliwa Upya ! REINCARNATION
29:47
Wasafi Media
Рет қаралды 424 М.
IRENE UWOYA Amfunda Paula Mbele ya Marioo Sikiliza maneno hayo..
3:41
When you discover a family secret
00:59
im_siowei
Рет қаралды 14 МЛН