Welcome to our official KZfaq Channel... Please feel free to follow us on social media Telegram 👇 t.me/inEGTV Instagram👇 efathageneralst... TikTok 👇 www.tiktok.com/@efathageneral... Facebook 👇 efathagenera...
Пікірлер: 37
@AmaniJasipa3 ай бұрын
Baba MCH mwingira mungu akulinde daima nakupenda sana baba yangu
@yehugkgk10 ай бұрын
Ubarikiwe sana mtumishi
@user-so4ju9cw2y5 ай бұрын
Mimi naitwa jackisoni fute nipo zambia naomba munisaidie namba ya muchungaji wa tunduma kuna watu huku wanataka kuungana na kanisa la efatha
@MussapauloUsalanje-rd3tyАй бұрын
Amina mtumishi
@amanduspeters78939 ай бұрын
1. Amua kusikia mambo yatakayojenga ubora wa maisha yako tu - Sikiliza waliofanikiwa katika mazingira kama yako 2. Kataa na futa habari zote zinazoonyesha kushindwa 3. Weka Malengo yako - na buni namna gani unataka ukife hapo 4. Tumia muda mwingi katika kile unachotaka kikupe faida- Chora Ndoto yako 5. Lipa Gharama - achana na mambo na watu wasiokupa faida 6. Agana na Mungu katika unachokifanya
@bishoptvalbert41126 ай бұрын
WATUMISHI WA MUNGU VIJANA USIISHI MAISHA YA MAIGIZO • Usilazimishe kuvaa suti wakati uwezo wako halisi ni kushona suruali ya kitambaa na koti la mtumba Iishi hiyo hatua kwa furaha, ujasiri na moyo wa shukurani ukijua NI HATUA TU KWENYE MAISHA UNAPITIA, HAUTAKUWA HAPO MILELE na ukidumu kuwa mwaminifu kwenye wito na huduma yako, kuna siku UTAZIDIWA NA WINGI WA NGUO HADI USHINDWE UVAE IPI UACHE IPI! Wote tumepita huku, Wote tumepitia haya, Ni hatua tu kwenye ukuaji binafsi na kuaminiwa na Mungu! • Usilazimishe kutaka kuishi nyumba nzima wakati uwezo wako halisi ni chumba na sebule! Utajikuta hela yote inaishia kwenye kodi tu, huna kingine ulichofanya. Kubali kuishi kwenye chumba na sebule au chumba kimoja, huku ukimtumikia Mungu kwa furaha na uaminifu, SIKU SI NYINGI MUNGU ATAKUHAMISHA HAPO NA MAISHA YATAKUWA NA MWONEKANO BORA ZAIDI! Wote tumepita huko, Wote tumepitia haya, Ni hatua kwenye ukuaji binafsi na ukuaji wa huduma ili kuaminiwa na Mungu na mambo makubwa mbeleni! •Usilazimishe kutembelea gari binafsi au ya kukodi wakati kiwango chako halisi ni daladala au bajaj na bodaboda! Utajitesa, utajiumiza, utakuwa dissapointed mno kwenye maigizo yako hayo. Panda daladala kwa furaha na humo nena kwa lugha na kusifu kwa moyo wa shukurani kwa hatua hiyo. Siku zinakuja MAGARI UTAKUWA NAYO, NA UTAENDESHWA NA DEREVA BINAFSI! Wote tumepitia hayo, Mungu ametupitisha huko, MIMI ASKOFU DICKSON CORNEL KABIGUMILA NAPANDA BODABODA NIKIWA DAR ES SALAAM KWA AJILI YA FOLENI, NDIO USAFIRI WANGU BORA NA HAIMAANISHI NIMEISHIWA AU NINA HALI MBAYA, NAOKOA MUDA, NATUMIA MUDA WANGU VIZURI! NA UPAKO UKO PALEPALE, NEEMA IKO PALEPALE, NA KIBALI KIMEJAA KAMA CHOTE! Usisahau hili, "Maisha yapo kwenye hatua tofauti tofauti na watu wapo kwenye viwango tofauti tofauti" (Askofu David Oyedepo) USIIGIZE MAISHA KUWA HALISI JAA SHUKURANI KWA ULIPO HUKU UKIMWAMINI MUNGU KWA HATUA BORA ZAIDI KESHO, Askofu Dickson Cornel Kabigumila ABC GLOBAL DUNIANI 15.01.2024 Picha ya kwanza ni mimi mwaka 2010 nikiwa field TAZARA na ya pili ni jana Jumapili 14.01.2024 ABC GLOBAL SABASABA
@shakilaibrahim32718 ай бұрын
Amina
@DainesMlowe-in9uy3 ай бұрын
Nicee
@jamesandanje845911 ай бұрын
Amen 🙏 be blessed thanks
@fidonifidel6 ай бұрын
Jamani Mafundisho kama haya ya watumishi adimu muwe munaruhusu kudaunilodiwa ili tuwaonyeshe wengine .
@annaamani44367 ай бұрын
Amina baba
@MagangaMasunga6 ай бұрын
Ameen mtumish wa mungu
@user-hp1xe4tf4p Жыл бұрын
Ameen 🙏🙏🙏
@D_erek_018 Жыл бұрын
Perfect Daddy 🙏🙏
@user-vo6vl1hq7x Жыл бұрын
Sawa Daddy, thanks,
@seciliajohn14562 ай бұрын
Baba mchungaji nahitaji namba zako unisaidie Ili tuwasiliane Kuna muda moyo wangu umevunjika sana ila Bado cjakata tamaa nahitaji maombi yako
@bonifacebochela4717 Жыл бұрын
Aminaa
@lisajoanmark17483 ай бұрын
❤
@user-zo6um7zq1b7 ай бұрын
Napokea kwajina la yesu
@eliudmwamlima26912 ай бұрын
Naomba nambazako.mchungaji
@macedoniusfrances8410 Жыл бұрын
Barikiwa 🙏🙏🙏 🇹🇿🇹🇿🇹🇿
@consolatamedard6593 Жыл бұрын
Amen
@neematinda5738 Жыл бұрын
🙏
@eliudmwamlima26912 ай бұрын
Namba
@VictorNdeoya11 ай бұрын
Napokea maisha hayo kwajina la yesu
@ElineMmary-tw8zc Жыл бұрын
Nikweli kabisa wajifunze kwa walio weza
@seciliajohn14562 ай бұрын
Naitwa Cecilia john, naitaji maombi yako, baba wa efatha, sina mtoto nina miaka 38 niliondolewa kizazi baba nisaidie, nimelia sana, nimechekwa sanaaaaa, ila nina imani ipo cku nitapata watoto baba nisaidie nami niondoe aibu hii
@wittnessamson93602 ай бұрын
Karibu kanisani Secilia
@glorytv5292 Жыл бұрын
Ameeee ongera mt
@barakaayubu61267 ай бұрын
Natamani kuonana na mwingira USO Kwa USO nitafanyeje Ili nifanikiwe katika hili?