AMUA UNACHOTAKA LEO - JOEL NANAUKA

  Рет қаралды 94,574

Joel Nanauka

Joel Nanauka

Жыл бұрын

🔥🔥🔥 Unataka KUJIFUNZA Zaidi? Nenda hapa: joelnanauka.selar.co 🔥🔥🔥

Пікірлер: 112
@mireillentunzwenimana4349
@mireillentunzwenimana4349 Жыл бұрын
From burundian ipo siku ntaletaga ushuhuda kwa kitu kikubwa ulichobadilisha kweny maisha yangu taingia tanzania sababu yako asante kwa kunibadiaha
@mugishaflorence8590
@mugishaflorence8590 Жыл бұрын
Tutaenda pamoja
@rosesesala9131
@rosesesala9131 9 ай бұрын
Wewe ni mwalimu wangu mkubwa sanaa katika maisha yangu ,,
@necciakodi
@necciakodi Жыл бұрын
Brother Joel,kupitia elimu yako na vitabu in just 3months nimweza kununuwa pikipiki yakutembelea thank so much,God bless you brother NANAUKA
@nurdininanjota4056
@nurdininanjota4056 Жыл бұрын
Elimu kubha sana hii bado tunakuitaji
@mtotompole1040
@mtotompole1040 9 ай бұрын
😢 Haya Mafunzo Ndio Yanayo Faa Mashuleni Asante Sana Mwalimu 🎉 NAOMBA NAMBA ZAKE MWENYE ANAZO #KENYA
@cornerbrezz1207-lc6rg
@cornerbrezz1207-lc6rg Ай бұрын
MUNGU akubaliki sana kaka Joel nanauka
@josephmichael9555
@josephmichael9555 Жыл бұрын
Kila point yako inanipa matokea asante sana mr Joel balikiwa sana hakika wewe ni mtumishi wa Mungu mwenye uaminifu wa hari ya juu sana.
@mwanaidiamanzi914
@mwanaidiamanzi914 9 ай бұрын
Mungu akupe maisha marefu, umenibadilisha sana
@alexlucas1571
@alexlucas1571 7 ай бұрын
Mhhhhh mbona ni Mimi kabisaaaa hapa nazungumziwa kabisa, 😭
@felixobare8135
@felixobare8135 Жыл бұрын
so powerful brother
@194summer
@194summer 7 күн бұрын
kubariki mnooo
@abdulymussa3008
@abdulymussa3008 Жыл бұрын
Be blessed bro kwenye maisha saizi tunahitaji personal development education University tunapat living certificate itusaidie kuishi
@faudhiasalum7279
@faudhiasalum7279 Жыл бұрын
Power message ✍️📝📝✍️✌️
@amanigeorge9886
@amanigeorge9886 Жыл бұрын
Mungu akupe maisha marefu brother.tuendeLe kupata mafunzo
@amosnshija
@amosnshija 6 ай бұрын
Unastahili Sana bro! Mungu akulinde Sana!
@lwangakajembula8085
@lwangakajembula8085 Жыл бұрын
Kilichopungua kwangu ni uhusiano mzur na watu
@Selemanially-xz8ly
@Selemanially-xz8ly 23 күн бұрын
Mungu akubariki
@Simondeus360
@Simondeus360 Жыл бұрын
Mawazo makubwa xana bro
@user-qd4pn2ev7s
@user-qd4pn2ev7s 4 ай бұрын
Kaka ulisema vitu ambavyo mtu anavisikiliza Kila Kila siku ndiyo humkaa na kumuathiri basi nishakuwa addicted na masomo yako yaani siwezi kushinda bila kukusikiliza 😢na matokeo nayaona
@andrew0502
@andrew0502 3 ай бұрын
Natamani nisave hii speech
@brackskinyozi3280
@brackskinyozi3280 2 ай бұрын
Naendelea kukufatilia....kaka....sai...naona kuna kitu nimeanza kujifunza....naona.. maisha yangu yatanza kubadilika... kupitia wewe.....barikiwa....sana🙏
@InnocentLeonard-gy1mn
@InnocentLeonard-gy1mn 2 ай бұрын
Aisee Kuna kitu kikubwa nimekitoa kwako toka nimeanza kukusikiliza nimeona tofauti kubwa
@timothykengere2535
@timothykengere2535 Жыл бұрын
Shukrani 📚📚 Ndugu Nanauka nguvu ndio mzingi na subira 🎙️
@geofreykangaho1149
@geofreykangaho1149 Жыл бұрын
Najifunza vitu vingi saana kutoka kwako Kaka Joel Nanauka 👏🤝🙏
@saumusanjiama6991
@saumusanjiama6991 2 ай бұрын
Unatufungua akili shukran sana
@salamahamadisudi1912
@salamahamadisudi1912 3 ай бұрын
Nilikuwa na tabia ya kutumia pesa vbaya lkn toka nilipoanza kufatilia miaka mitatu nyuma nimebadilika kusema ukweli.. Mungu akubariki kaka joel
@aderiderkihupi7240
@aderiderkihupi7240 Жыл бұрын
Mungu n mwema
@tukaesanatu2754
@tukaesanatu2754 9 ай бұрын
Asante baba kuna siku nitatoa ushuhuda wangu, Sababu ya mafundisho yako. Mungu akulinde usaidie wengi ufahamu.
@veronikacleophas5702
@veronikacleophas5702 Жыл бұрын
Umeniondolea hofu katika maisha yangu nakukubali sana
@mangasinikusaya8157
@mangasinikusaya8157 Жыл бұрын
Life changing speech ❤❤
@jumaahassan4707
@jumaahassan4707 Жыл бұрын
Asante sana broo umenisidia sana kujitambua nini nataka kwenye maisha yangu
@tukaesanatu2754
@tukaesanatu2754 9 ай бұрын
Ushauri wako ni mzuri sana kaka,asante ubarikiwe, Mimi nitafata ushauri wako. Mwakani nitakutafuta nikiwa nimeanza biashara yangu. Nitaomba ushauri zaidi kutoka kwako. Mungu akulinde.
@user-ex7qz6uo1y
@user-ex7qz6uo1y 3 ай бұрын
BWANA akusaidie sana mtumishi
@davidonlinetv1468
@davidonlinetv1468 7 ай бұрын
I learnt a lot through your speech .your talented bro! God bless you .heal 'em
@gerraldgready8051
@gerraldgready8051 Жыл бұрын
Asante kaka Joel nanauka nabalikiwa sana kupitia ww kaka Joel nanauka Mungu akujalie maisha marefu
@solomonnzebele-nz3is
@solomonnzebele-nz3is Жыл бұрын
Asant sanaaaa kaka Joel namshukulu Mungu kwa kukufanya uzaliwe Tanzania ili tuweze kupata mafanikio kupitia ww. Thanks so much umefanyika baraka sana ktk maisha yangu
@wilsontungu3524
@wilsontungu3524 10 ай бұрын
Nakubali sana we mwamba natumia kanuni zako katika maisha,yapo ninayoyaishi na mengine Bado...ila hatua ni kubwa
@saidirajabu3475
@saidirajabu3475 Жыл бұрын
Nakukubali sana kaka Joel
@user-so1sr4hl9e
@user-so1sr4hl9e 7 ай бұрын
Asante sanaaa nataman kuja kwenye masomo yako live siku moja
@japhethcharles5791
@japhethcharles5791 Жыл бұрын
Genious!!!!!
@missmfinanga3000
@missmfinanga3000 7 ай бұрын
Very powerful speech.🔥🔥
@SizzoSela29-sh8nz
@SizzoSela29-sh8nz 4 ай бұрын
Hilo somo linanihusu mimi kabsa
@ishengomabashweka9592
@ishengomabashweka9592 Жыл бұрын
Nashukuru sana kaka leo kuna kitu umenifunua
@user-qt2yl9tl4f
@user-qt2yl9tl4f Жыл бұрын
Kaka Joel Mm ninaomba Unisaidie Kutimiza Malengo Yangu Mimi niwe ninawajibika Kwako Katika Malengo yangu.
@jacklinentabo2380
@jacklinentabo2380 Жыл бұрын
Powerful teachings! Continuation please!! My mentor, Kaka Joel be blessed 🙏🙏
@SmilingBeignets-qt9dh
@SmilingBeignets-qt9dh 5 ай бұрын
❤❤❤❤
@SarahNsajigwa-up8sv
@SarahNsajigwa-up8sv Жыл бұрын
Asante sana kaka Joel kwa kutufundisha
@dicksonkarithi5637
@dicksonkarithi5637 Жыл бұрын
You are so creative. From today my life will not be the same. Barikiwa
@jameskaizilege1692
@jameskaizilege1692 4 ай бұрын
Mungu akubariki kaka naitaji kitabu Cha kujifunza
@alexlucas1571
@alexlucas1571 Жыл бұрын
Amen kaka nimekuelewa sana
@fadhilikiyungi1741
@fadhilikiyungi1741 Жыл бұрын
Thanks brother for your teaching
@angelmollel2002
@angelmollel2002 Жыл бұрын
Umenivisha somewhere, be blessed
@medlucas5686
@medlucas5686 11 ай бұрын
Asante bro ingawa unaweza kuamua Hali zikagoma kuhusu muda hapo ni sawa huwezikutimiza Marengo yako kwa mda unaotaka nashukuru kwa elimu
@mwitakihani686
@mwitakihani686 7 ай бұрын
Hakika Joel umenitoa mbali
@oscarj....5979
@oscarj....5979 Жыл бұрын
I feel so blessed
@user-jr4fe9pv5s
@user-jr4fe9pv5s 7 ай бұрын
Safi Sana,elimu nzuri
@anodimdindikasi4823
@anodimdindikasi4823 9 ай бұрын
Asante sana kaka umechangia kubadilisha namna ya ufikiri wetu you are so speacial and change maker
@julianalaly2095
@julianalaly2095 Жыл бұрын
Umenipa nguvu kaka.
@FELISTERPETER-jf9jv
@FELISTERPETER-jf9jv 11 ай бұрын
Asante sana Joel nikianzaga kukufatilia napata mabadiliko makubwa sana.
@ruwaidamabrouk1797
@ruwaidamabrouk1797 Жыл бұрын
Amazing kaka joel naendelea kijifunza kila leo Mungu Akubariki
@happynescostat7420
@happynescostat7420 10 ай бұрын
Tunakuelewa!
@Francoiskasangala-gc8vx
@Francoiskasangala-gc8vx Жыл бұрын
pôle Sana Kaka sasa n'a penda ni ulize kwenye kazi. ngambo ya familia ya mke ao familia ya mume ni wapi ambapo tuta wa weka kwenye ma kampuni zetu. ? kwa sa baba kuna utata apokweli. asante .
@ramakatonyongo1389
@ramakatonyongo1389 Жыл бұрын
kaka Nanauka nakukubali sana
@michaelyona9573
@michaelyona9573 Жыл бұрын
Godbless you
@HussainOmar-ub5hi
@HussainOmar-ub5hi Жыл бұрын
Asante sana,mm ni mmoja wapo naumli miaka 40 najutia mambo mengi sana sikuyafanya na sasa cn hata biashara nilio simama nayo ndo nashituka sasa uml umekwenda, nahitaji vitabu vyako nisome itanipa nguvu.
@user-pd7zf3tc9q
@user-pd7zf3tc9q 2 ай бұрын
Asante sana
@yahyasirlim4928
@yahyasirlim4928 Жыл бұрын
asante brother kwa elimu hakika tunanufaika
@joharisaid4394
@joharisaid4394 Жыл бұрын
Bro mungu amekuumba Kwa ajili ya kuwasaidia watu yaani Kwa mtu yeyote akifuata mafunzo Yako atafika mbali sana.mungu akupe miaka mia
@user-hd4tg3wt1u
@user-hd4tg3wt1u Жыл бұрын
apo njo kaka umeni gusa na ju tiya kumbe
@ismailgumbo289
@ismailgumbo289 Жыл бұрын
Shukran mkuu, mungu akuhifadh na kupe kheir nyingi. Sisemi sana ila nimekuelewa.
@janviervenasi
@janviervenasi Жыл бұрын
Nikwel kwenye maisha
@zawadigasper9544
@zawadigasper9544 Жыл бұрын
asante kaka mungu akubariki
@songolomeshake6206
@songolomeshake6206 Жыл бұрын
Ubarikiwe mtumishi
@dorotheakapufi
@dorotheakapufi Жыл бұрын
Barikiwa kaka
@amosnshija
@amosnshija 6 ай бұрын
It's good
@user-ln9px2vh6r
@user-ln9px2vh6r 7 ай бұрын
Bro nakufatilia saaan ❤❤❤❤
@damariszuckschwert9489
@damariszuckschwert9489 Жыл бұрын
I'm here from fix you!!
@WanjeCharo-qp2ou
@WanjeCharo-qp2ou Жыл бұрын
Hujambo kaka?" Mimi naitwa Wanje kutoka Kenya na hua nafatilia masomo Yako sana nashukuru Yana nisaidia. Lakini naomba unisaidie kama naweza kupataje vitabu vya elimu ya mafanikio...
@raymondngeze3461
@raymondngeze3461 Жыл бұрын
Kweli ndg anguu
@lameckgunze6376
@lameckgunze6376 Жыл бұрын
Blessed
@ashangonyani7989
@ashangonyani7989 Жыл бұрын
Asante kaka angu
@dorickmichael
@dorickmichael Жыл бұрын
Tumesubir sana hiyo training namna ya kuamua kinachotakiwa
@fatmamayunga5792
@fatmamayunga5792 Жыл бұрын
Nakukubali Sana umenibadilishia maisha
@deoabel9948
@deoabel9948 Жыл бұрын
Bro wewe ni hatar
@nathanmao159
@nathanmao159 Жыл бұрын
Asante kwa elimu hii
@joelnanauka
@joelnanauka Жыл бұрын
Naahukuru sanaaa
@AbiggaAmos-fo1hw
@AbiggaAmos-fo1hw Жыл бұрын
ninahitaji vitabu kaka, napataje
@faudhiasalum7279
@faudhiasalum7279 Жыл бұрын
🙌🏿🙌🏿🙌🏿
@kaslali2039
@kaslali2039 Жыл бұрын
punguza matangazo
@solangesine1874
@solangesine1874 Жыл бұрын
I really learned alot of things from u .
@happinessezekiel6446
@happinessezekiel6446 8 ай бұрын
Umenifungua akil yanguuuu
@JacklineWiston-lf1zy
@JacklineWiston-lf1zy 6 ай бұрын
❤❤❤❤
@mohammedrashid2906
@mohammedrashid2906 Жыл бұрын
Shukuran
@josephatjosephat7448
@josephatjosephat7448 Жыл бұрын
Maisha yang yamebadilika toka nianze nianze kukusikiliza
@joelnanauka
@joelnanauka Жыл бұрын
Nashukuru sana kusikia hivyo
@magrethdamiano6305
@magrethdamiano6305 8 ай бұрын
💪
@stevenobunde9345
@stevenobunde9345 Жыл бұрын
Oui
@denisamos6225
@denisamos6225 Жыл бұрын
✊✊
@mosesmargana431
@mosesmargana431 Жыл бұрын
Am waiting a new skills
@andrew0502
@andrew0502 3 ай бұрын
Duu huyu jamaa hapa aliupiga mwingi, kifupi nauliza Joel Nanauka umepigaje hapo?
@baboudeira9249
@baboudeira9249 Жыл бұрын
🇧🇮🇧🇮🇧🇮
@boscobalame8018
@boscobalame8018 Жыл бұрын
Tupo online 🤔
@syderpatrick668
@syderpatrick668 Жыл бұрын
mi naomba ushauri jamani nimeshindwa kufanya maamuzi
@zebedayodaniel-ci1uz
@zebedayodaniel-ci1uz Жыл бұрын
Hyo kitabu ya timiza malengo yako yapata wapi brother????
@joelnanauka
@joelnanauka Жыл бұрын
Karibu sana 0762 31 2171
@monicajohn6270
@monicajohn6270 Жыл бұрын
​@@joelnanauka Nimeacha kazi za ndani nimeanzisha biashara kubwa Kwa mafunzo yako Asante sana bro Mungu akuongezee kila itaji lako
@HappyNtandu-ww1jq
@HappyNtandu-ww1jq Жыл бұрын
Mimi ninalima pashen ila napata changamoto ya maji ktk eneo langu wakati was kiangaz naomba ushauri
@beatriceliving-wy9ec
@beatriceliving-wy9ec Жыл бұрын
Chimba kisima
Jinsi ya kuweka malengo na kufanikiwa
1:05:12
Joel Nanauka
Рет қаралды 431 М.
JINSI YA KUONGEZA THAMANI YAKO ILI UINGIZE KIPATO ZAIDI - JOEL NANAUKA
1:11:12
Универ. 10 лет спустя - ВСЕ СЕРИИ ПОДРЯД
9:04:59
Комедии 2023
Рет қаралды 2,6 МЛН
FOOTBALL WITH PLAY BUTTONS ▶️❤️ #roadto100million
00:20
Celine Dept
Рет қаралды 35 МЛН
THEY WANTED TO TAKE ALL HIS GOODIES 🍫🥤🍟😂
00:17
OKUNJATA
Рет қаралды 2,8 МЛН
Ishi Katika Uwezo Wako Wa Kipekee Sehemu Ya Kwanza
17:27
Joel Nanauka
Рет қаралды 104 М.
LIFE WISDOM : KWA NINI WANAKUCHUKULIA POA - JOEL NANAUKA
13:30
Joel Nanauka
Рет қаралды 30 М.
KUSUDI LA MAISHA YAKO - JOEL NANAUKA EPISODE 02
10:00
Family of Praying Women
Рет қаралды 8 М.
UBONGO WA MWANADAMU - JOEL NANAUKA
13:23
Joel Nanauka
Рет қаралды 67 М.
DR IPYANA ft JOEL NANAUKA // DAMU YA YESU NA UTAJIRI
18:43
Dr Ipyana
Рет қаралды 44 М.
Vitu Vinavyopoteza Focus Yako Kwenye Maisha - Joel Nanauka
14:16
Hamasika Tv
Рет қаралды 45 М.
LIFE WISDOM : IJUE NGUVU ILIYOPO NDANI YAKO - JOEL NANAUKA
15:34
Joel Nanauka
Рет қаралды 15 М.
Mkakati Binafsi wa uwekezaji (Personal InvestmenT Strategy)by Emilian Busara
1:42:10