NONDO ZA ASKOFU NGALALEKUMTWA KWENYE MISA YA KUMUAGA RAISI MKAPA/ASIMULIA MAMBO MAZITO/AGUSIA KITABU CHAKE CHA MY LIFE MY PURPOSE
Пікірлер: 36
@filbertdominiki79657 ай бұрын
Ee Mungu Mwenyezi mbariki mtumishi wako
@azigarykadinde62703 жыл бұрын
Nampenda sana askofu ngalalekumtwa
@AshaBay-xg7wp3 ай бұрын
Amina
@drmatongoro73 жыл бұрын
Ulihubiri kufupi na maneno mazuri katika ibada hiyo, pole sana bishop najua siku hiyo ulikuwa unaumwa lakini ulitimiza wajibu wako wa kutoa neno katika siku mhimu na ya kitaifa
@deogratiasmashimbi22814 жыл бұрын
Homilia imetulia sana. Ina ujumbe mujarabu. Baba Askofu Ngalalekumtwa ameitendea haki mimbari. That’s why I love Catholics
@AdenAdiliano-rh8zf11 ай бұрын
Barikiwe sana Askofu
@KumaZoom-ux5hm11 ай бұрын
Homilia nimeipenda
@enosykilufi5334 жыл бұрын
Amina baba Askofu.
@consolathambuya25634 жыл бұрын
Amina baba
@edsammakallo4844 жыл бұрын
Mahubiri sahihi, kwa mtu sahihi. RIP
@masanjaelias58294 жыл бұрын
kazeeka kweli aisee
@sarafinafranci84814 жыл бұрын
Lakini bado ananguvu.
@lucasmagima51124 жыл бұрын
Omba utakalo nikupe 🙏🙏🙏🙏
@hilarypangamawe66692 жыл бұрын
Hiki kitabu Cha Mzee. Mkapa Kiko wapi?
@amosmoses78004 жыл бұрын
Mimi ni MLUTHERI na wala sitetereki wala kuhofia kitu. Lakini tunavyoendeshwa na hii serikali chafu ya kiBaguzi ya ccm ni UONEVU mkubwa wa haki za raia. Serikali ya ccm ya KIKATOLIKI ndio iliochukua Utawala baada tu ya uhuru ( uhuru wa bendera ) hadi ivi sasa ccm ya KIKATOLIKI wanaendelea kutawala inchi. Hakukuwepo wala musitegemee kuwepo na Raisi kutoka dhehebu jengine inchini Tanzania. Ata hao waislamu ni mizuzu tu isiojitambua hadi Leo hii. Wengi ndio waliopigania uhuru. Wengi ndio waliouwawa kwenye mapambano. Lakini wengi wao ivi sasa wanatumika kwa ajili ya KURA. idadi yao ni kubwa kwenye visanduku. Kwavile wanajulikana ni Maboya tu. Akili hakuna na Elimu hakuna. Tunaelewa agenda ya serikali ya ccm tokea ianzishwe ni KUWAWEKA WAKATOLIKI INCHINI NAFASI ZA JUU KATIKA KILA MAENEO. JESHINI. POLISH. MAGEREZA. WIZARANI.IDARANI. VYUONI. MAENEO NYETI YA IKULU . MAENEO NYETI YA UCHUMI. MAENEO NYETI YA MIHELA . Uyo aliefariki tunamjua ni mtu aliekuwa akiendeleza na kusimamia AGENDA na MAAZIMIO ya Mzee kambarage. Hatushangazwi kuona mazishi yake yakigarimu maBilioni ya hela za inchi katika kipindi ichi kigumu cha UCHUMI . Embu tusubiri mazishi ya Mzee ruhsa watamfanyia nini ^^^ ccm ni chama cha WAKATOLIKI ..kimeasisiwa kwa malengo malumu. Wapumbavu na Wajinga wataendelea tu kukipigia kura ili wapate kofia na sh 20, 000 .huku wakiendelea kula dagaa wakavu na sembe. Nguo zao viraka vitupu. Elimu kwao inaishia darasa la saba. Ili awe tu mjinga Asione mbele. Hakuna MLUTHERI aliepo ccm ila atakuwa zezeta hilo. Jhkgfd
@Ambagaye4 жыл бұрын
Wewe siyo Mlutheli kuliko Lowassa na Sumaye; halafu hukumbuki gharama zilizotumika katika mazishi ya Dr Ali Juma.
@worframtimoth97814 жыл бұрын
Yani kinacho kuuma ni kuona viongoz wa kikatolik wakihusiana na viongoz wa serikali. Sasa kanisa katolik linaisaidia serikali katika maendeleo, unategemea nini?? Elimu, afya, project za maendeleo nk.
@marcelinamassawe1004 жыл бұрын
Inaonekana unamzigo wa chuki kwenye moyo wako unaongea usichokijua