Wewe mtangazaji huna akili maswali gani hayo unamuuliza 😕😕
@opaskali58186 жыл бұрын
raino paskari arapi Sam waukweri. mungu airaze roho. yamarehem pema. peponi aaami
@agathasanga27086 жыл бұрын
,maswali mengine yakijinga ww utangazaji acha ujinga umeshaambiwa nyumba umeiona unaboa bwana
@happywakuganda88146 жыл бұрын
Dorothy Mohamed watu engine ka wa senge
@bobzkibz386 жыл бұрын
Imani imetoweka kweli,badili ya kuwapa moyo waliofiwa na kuwapa pole kwa kuondokewa.mnaanza kuhoji maisha ya marehemu.kweli ubininadamu umebaki jina tu.Mungu akusamehe sam,Ameen
@leokamil20756 жыл бұрын
Dah Jamani Mungu amrehemu nimetokwa na machozi walahi.
@lashalashira30036 жыл бұрын
Ety nyumba alijenga lini wewe mpuzi sana hadi wamuuliza kama alitumia shs ngapi yani hata huna huruma kwakweri watu wapo msibani badala ya kuwa liwaza na kuwapa MOYO unauliza maswali ya kijinga atlist try to have some sence even if you don't have heart nkt I'm so disappointed in you people.......Rest in peace dear Sam wa ukweli I loved you
@alfredkishema37886 жыл бұрын
jaman n msimban au kuhojiana tena duhhh bongo bhana
@swabrinamasoud1066 жыл бұрын
Allah ailaze roho ya marehemu Sam pema peponi Amiin
@djonetz27306 жыл бұрын
We ni Afisa upelelez au mtangazaji mbona unabaka fani wew
@itetejoshua79926 жыл бұрын
Millard ayo ee Kaz yako tunajua so kama vp hilo tangazo achan nalo mzee baba
@mariammbughi27026 жыл бұрын
Itete Joshua atapataje ela mzee biashara matangazo
@rosepiere18576 жыл бұрын
Kiukweli tangazo hilo linaniboa sana ila sina jinsi kulikubali tu
@khadijaali9886 жыл бұрын
Rose Piere hilo tangazo ni wadhamini wake anaingiza mkwanja kuwatangazia biashara
@mandadavid66916 жыл бұрын
atakula wapi....
@bwegelanyakhaido30886 жыл бұрын
Itete Joshua lina bowa kinoma ilo tangazo
@virginiakibe18466 жыл бұрын
Ha ya maswali ya nyumba yakunjia wapi wakati watu sana huzuni Rip
@aminaomari97946 жыл бұрын
Mtangazaji umeniboa sana yani
@rashidmuna83726 жыл бұрын
Mallard Ayo hawa vijana wako wanauliza maswali ya kifala sana, shenzi sana. Naona page yenu imeanza kua ya kifala.
@francishura12266 жыл бұрын
Navichukia vyombo vya habari vya Tanzania mtu akifa watachunguza adi marehemu alikuwa anavaa chupi ya size gani akiwa mzima hawana habari siyo vizuri mungu hapendi usanifu hata kama mnatafuta ela kwa njia ya kusabuscribu siyo mpaka mtu afe R.I.P Sam nyimbo yako imewagusa wengi siyo wachawi tu kwani uchawi sio lazima kuloga hata ambaye ukifa anapeleleza maisha yako ni mchawi pia ana kweli bora wali tembele kuliko walimwengu duuuu mmenishinda tabia waandishi wa habari wa bongo tz shikamooni
@fatumasaid43706 жыл бұрын
Inalilahyi wahina lilah rajiuni
@nuratjuma40126 жыл бұрын
Nyie waandish wa habar kutu mie nikajua hata mwaweza Sema tumuombee duah ndug yenu lkn mwataka kujua kajenga nyumba bei gan..... Huo unaitwa unafk
@afrahnawas43846 жыл бұрын
Masha'Allah😍
@rizikeyernest92606 жыл бұрын
naona cki iz mtu star akifarik, waandish wa habar wanaulzia nyumba tuuu,
@emmanuelmahendeka61086 жыл бұрын
Millard naikubalisana Chanel yako lakinikwa watangazaji wanao vunjamisingi kama hao wanashusha hadhi ya chanel
@marrysiphaeli84826 жыл бұрын
We mtangazaji ni msenge sana
@johnmarco5526 жыл бұрын
Daaah watangazaji hadi nyumba mnafatilia jomoon!!
@nikomnanka56866 жыл бұрын
Hivi huyu ni binadam toleo la ngap? Au akili ameziacha nyumban anauliza upuz gani,,,,,,,,,,uwo
@hamissalum27215 жыл бұрын
I
@janethmales61096 жыл бұрын
we msenge mwenzio amepokerewa namungu we unauliza usenge kwenu kunahata gofu lachumba kimoja ebu jiulize kwanza ucha kuuliza usenge umeenda msibani tuliza mshono maswli yann mbwa ww
@sofiaahmed88806 жыл бұрын
Nyumba na mali ni pambo la dunia! sote tutaziacha, iliobaki Tumuombee mungu amrehemu Ailaze roho yake pema peponi!
@hafsaibrahim20086 жыл бұрын
Sofia Ahmed amin
@fatoomafatma66736 жыл бұрын
Yani uyu kaka boya kweli maswali yote yanini jaman watu wanamsiba wazingua nyumba nyumba kakae ww bc
@user-io8lq8yj9z Жыл бұрын
Daaah mungu akurehem
@jotiwapili52176 жыл бұрын
we unakurupuka tuu kwanza we kwenu unanyumba aina gani we unahoji watu kama umelewa. oya milad ayo angalia watu wakufanyanao kaz wenye kujitambua
@leontinawasango85226 жыл бұрын
kweli mmeenda kuoji nyuma ni usenge Mme huzi akili Yangu kabisa sio maswali hayosisi wote niwapita njia katika Dunia hii bwana ametoa na bwana ametoiaa jina labwana libarikiwe
@mbwanarajab72386 жыл бұрын
Sio kila jambo la kuhoji ndg zangu,hata maisha na Mali za watu tunahoji misiban!
@naimkendramahellah14356 жыл бұрын
Maswali ya kisenge kabasa inahusu nini sasa kaanza lini kujenga.millarday maswali ya kisenge
Watangazaji jamani Embu acheni unafiki na umbeya upo msibani fanya ya msibani mambo ya nyumba na Mali za marehemu zina zinakihusu nn? Kwani umeenda kuzika au ni kwenye maonyesho?
@nananonananon98196 жыл бұрын
Woiye Mungu ailanze roho yake pahali Pema peponi
@jaymapambanojuma8566 жыл бұрын
nyumba unataka kununua au binaadamu msiwe hivyo kwenye misiba
@marrysiphaeli84826 жыл бұрын
Mm sijasomea utangazaji ila siwezi kuuliza uwo upuuzi unaouuliza apo.
@bahatninga99146 жыл бұрын
R.I.P Sam ukwel umeniliza kwa kipande cha wimbo wako tu kaz ya mungu haina makosa mbele yetu nyuma yko .
@wakushineclassic7986 жыл бұрын
Sasa hapo mlikua mmeenda msiban au mlikua mmeenda kuangalia nyumba mbona mnakua hamtumii akili we mtangazaji Huna akili hata roho msenge wewe nyumba nyumba 😢😢 mnaboa kinoma
@hekimahamis41926 жыл бұрын
asa nyumba na msiba vinahusiana nn ndomaana marehemu kasema bora wali nayama kuliko walimwengu :kweli walimwengu hamna maana
@josefbangala32776 жыл бұрын
Unamdodosa marehemu kiasi hicho jamani maswali gani hayo?
@salhatkarimu54346 жыл бұрын
Chema hua akidum cjui kwa nn
@rosemaiko94056 жыл бұрын
Salhat Karimu kwa kweli
@aishasolimani63376 жыл бұрын
Yan ww mtangazaj msenge sana umeenda kwenye msiba au kuangalia mali alizoacha marehem😏😏 matako yako Unachakuuliza umekaria nyimba
@misedua16 жыл бұрын
nyumba nzurii inawahusu nini nyie mfariji tu, mengine wanajua wanafamilia wapale
@oman35276 жыл бұрын
Kweli utangazi wako mtu akishakufa ndio watafuta kiki kwagarama yake aliyotumia aisee sio kabisa huo niulimbukeni wa utangazaji badilikeni acheni ujinga hoji vitu vyamaana
@ayshamahariq66654 жыл бұрын
Inalilah wainailehimrajiun 😢 😢
@phiribetyatanasy12266 жыл бұрын
Polen familia ya sam ya ukweli/?
@rosemarykaroli95726 жыл бұрын
Maswali ya kisenge HIV nyie watangazaji mtakuwa Lin MTU ana huzun una muurza maswara ya Nyumba we unayo
@saigojames30636 жыл бұрын
unaulizia nyumba yanini au maisha yamtu kasha kufa
@rahmamavura4066 жыл бұрын
hivi nyie waandish mna akili kweli mtu yupo kwenye majonz mnamuuliza eti nyumba ningeweza kumuomba mungu atende miujiza ningeomba akufishe wewe unayeuliza maswali
@aminaomari97946 жыл бұрын
Khaaaa ww matangazaji unamaswali yakishenzi sana ww
@neemantui91546 жыл бұрын
we mtsngazaj ulienda kuangaliia nyumba au kujaj maswal yanyumba umenikera vibaya muno
@happybarack83546 жыл бұрын
ivi nyie mkoje mnahoji nin sasa nyumba mshaiona maswali ya kipuuzi acheni ufara nyie watangazaj muachen kaka wa watu apumzike r. I. p sam
@lillianmarco13016 жыл бұрын
We presenter umeishia la nne au..unauliza thamani ya nyumba unataka uwarudishie pesa au ??basi tuonyeshe ya kwako..na we milard unaokota watu mitaani waje kutangaza
@hafsaibrahim20086 жыл бұрын
R I P sam jamn dunian tunapita tu tunakumbushwa tumrudie mungu
@saudaabdallah84686 жыл бұрын
Millard tafuta watu waliosomea hizi kazi usiokote watu hawajui hata sheria ya uandishi wa habari kuna maswali si ya kuuliza kwanini amkazanie mtu hivo hivi anajua situation aliopo why hamkumtafuta Sam wakati yupo hai na mumuulize kama amejenga au la mbona wasanii wengine mnawauliza na tunajua leo 😭😭😭😭inauma sanaaa ethics za uandishi ni muhimu someni hata kwenye Google hata kama hamjasoma
@JayOtieno6 жыл бұрын
Mambo gani haya, maisha yake ilikua ya siri. Mbona kuweka kila kitu wazi jamani?
@sweetluc26606 жыл бұрын
Allah amrehemu
@twilumbakabelege34266 жыл бұрын
haya makubwa jamani hivi thamani ya nyumba ya MTU inakuhusu nn, ila inaboa duuuuu
@ashaali71546 жыл бұрын
Acheni maswali ya kizushi kumbe alikuwa anamjengea nani hadi asiishi mwenyewe.
@kwezifundikira20726 жыл бұрын
kwaiyo hiyo hamjaipenda mpaka mnataka nyingine jaman loh