No video

BILIONEA WA MA-RANGE, ALIYEACHA KAZI YA POLISI AWE DEREVA, ALIVYOKIMBILIA UINGEREZA, WAZUNGU WAMTII.

  Рет қаралды 440,156

Millard Ayo

Millard Ayo

Күн бұрын

Пікірлер: 576
@ericamwkyokile4681
@ericamwkyokile4681 5 ай бұрын
Hongera sana kaka yangu Chris.Nafurahia uwepo wako.ulivyokuwa zamani ndivyo ulivyo hujabadirila.mcheshi,mpenda watu,mwenye huruma.Ngwembe kama Ngwembe Mungu akutunze.
@vemmusttraders-kw5sx
@vemmusttraders-kw5sx Жыл бұрын
Mzee wa Ndugu zanguni ndani ya Millard ayo tv 😂 huyu baba ananispire sana mm kama kijana siku moja na mm nitafika alipo inshallaAllah🙏🏽
@Jifunze_Kiswahili1
@Jifunze_Kiswahili1 9 ай бұрын
Kama ukikomaa, sehemu yoyote, ukikomaa. Lazima utatoboa tuu. Asante sana @Chriss
@TheBestPhone7918
@TheBestPhone7918 Жыл бұрын
Hongera sana fighter nakubali sana kupiga kaz hasa biashara utumishi wa kuajiliwa serikalin siukubali kabisa
@josephineotieno2389
@josephineotieno2389 Жыл бұрын
I must say meet him in person he’s such a good person and an inspiration n a serious man
@pheymack6682
@pheymack6682 Жыл бұрын
Ungera mkuuu
@festongonyani152
@festongonyani152 Жыл бұрын
Yes...mnyalu mwenye akili nyingi, HONGERA SANA KAKA.. Mzee wa madungujeshi,kazi ni kipimo Cha UTU...
@EleziaNzowa-el7gi
@EleziaNzowa-el7gi 10 ай бұрын
Hii ni big up kwa kweli safi nimependa upambanaji wake kuacha kazi na kufanya biashara watu huwa wanaona kama ajabu, kitu nikuamua tu safi sana kaka umeniongezea sivi ya kuendelea kupambana waoo
@elizabethswai7777
@elizabethswai7777 11 ай бұрын
Anne Njeje njoo humu Kuna kk yako wa Isanga Mbeya,akipe Range Mokooo💃💃💃💋
@Sharifarajabudebe
@Sharifarajabudebe Жыл бұрын
Kutoka nje kufanya kazi hakikisha unajinyima na Kujifunza Kwa watu wengine
@othumanomari1589
@othumanomari1589 Жыл бұрын
Hongera kwakutambua kaziya uporisi Niya unyanyasaji mungu Aibariki kaziyako go bress you
@rogersmaokola3147
@rogersmaokola3147 Жыл бұрын
Kaka hii interview imenipa elimu kubwa sana, na imefanya niwejasiri zaidi nitakapopitia changamoto Big up sana bro kwa kujibu maswali Kwa uzuri sana
@yama_virginhairthequeen1065
@yama_virginhairthequeen1065 Жыл бұрын
Me too my mom always says don't Quit 😢
@faithjonathan3845
@faithjonathan3845 Жыл бұрын
Kweli kabisa. Ukifanya kazi huwezi kushindwa kutoboa. Tatizo wabongo tunataka tuanze na mtaji wa mamilionina hatuna uvumilivu wa kuanzia chini tukainuka taratibu
@abigaelraphael5139
@abigaelraphael5139 Жыл бұрын
Naongezea hapo tatizo wabongo tukitoboa starehe zinakuwa nyingi sana. Angalia huyu kaka ni mfano wa kuigwa katengana na mke wake lakini anaijali familia yake bado. Ndo maana kafika mbali na ataendelea kufika mbali
@mambazizephania
@mambazizephania Жыл бұрын
Hongera kaka Mungu aendelee kukutetea na kukupigania
@tomjohn1080
@tomjohn1080 11 ай бұрын
Bado sijaiskiliza poa, but kabisa millard ayo, angefanya ii kitu mwenyewe bwana uyu brother ni mtu mzito. Ana tu inspire vijana wengi, Salute kwake.
@sammymdemeka7937
@sammymdemeka7937 Жыл бұрын
Good story it touches life! You are hero Son of Africa keep it up! You have made it happen
@ngambikomsu64
@ngambikomsu64 Жыл бұрын
Ni kweli kabisa ,hakuna asiyetaka ueekezaji shida ni aina ya mikataba. Kila mtu anapenda uwekezaji wa kuboresha. Hata wahindi walioichukua Railways TRC walikuwa wawekezaji.
@franklaurent4042
@franklaurent4042 Жыл бұрын
Huyu jamaa kwa kweli anastahili pongezi
@lyrics_forum
@lyrics_forum Жыл бұрын
Niliagiza Gari kwake 2018 na Likanifikia kwa Wakati huyu Jamaa yuko Humble sana. Jamaa Hana Baya kiukweli
@merrynancesimon1562
@merrynancesimon1562 Жыл бұрын
Yaani huku ulaya ubaguzi wa rangi sio mchezo hongera sana my brother KC umevuka mnoo one love Asante kwa kutia moyo tusikate tamaa❤❤❤❤❤❤💋💋💋
@geofreybarama4000
@geofreybarama4000 Жыл бұрын
Namkubari sana lukosi anafanya kazi kiulafiki pia ni mtani sana..
@abigaelraphael5139
@abigaelraphael5139 Жыл бұрын
Mungu hamtupi mja wake anaonekana ni mcha Mungu sana
@hodgebukaya5112
@hodgebukaya5112 Жыл бұрын
Kwanza Hongera Sana Bro, Ubaguzi Kweli Upo Katika nchi za wazungu, Lakini Wengine Walikua Sio wabaguzi Bali Walikua Hawakuamini.
@bilid4128
@bilid4128 Жыл бұрын
😅😅😅walikuwa hawamuamini
@AnethEdward-nf6sc
@AnethEdward-nf6sc 10 ай бұрын
Ubaguzi c nje hata hapa nyumbani hata ktk familia kikubwa Kila mtu apambane kuzishinda changamoto.
@loitushulyamat2738
@loitushulyamat2738 Жыл бұрын
Hongera sana nasary kwa kupewa sifa ya smartness na smart person
@hegiselkok9888
@hegiselkok9888 Жыл бұрын
Kweli huyu broo wetu Nassary katuwakilisha, kaskazin hatokag fala
@hassanmpemba5747
@hassanmpemba5747 Жыл бұрын
Masha Allah ukijituma mungu atakupa tu kwani alishasema jisaidie nikusaidie
@contempo_builders
@contempo_builders Жыл бұрын
Well said.
@abelsimon2997
@abelsimon2997 Жыл бұрын
Hakuna fungu km Hilo kwny bibilia.jisaidie nikusaidie
@zawadichalale4047
@zawadichalale4047 Жыл бұрын
Hivi huo mstari nasikiaga sana unapatikana kwenye kitabu gani?
@mariamgodfrey53
@mariamgodfrey53 Жыл бұрын
Kwenye bible hakuna andiko kama hilo
@mariamgodfrey53
@mariamgodfrey53 Жыл бұрын
@@zawadichalale4047 kwenye bible hakuna andiko kama hilo hayo ni maneno ya dunia tu
@user-rv7zt6tj3d
@user-rv7zt6tj3d Жыл бұрын
Kujiamini, kuthubutu na juhudi ktk kazi na iman ktk unachokifanya, hard working pay hongera kila mt kazaliwa mtupu, yot ni kutafuta na nidhamu ya kazi, big up sana unatia hamasa kwa hawa vijana wet bongo wamelegea mwili mpk akili 😂😂, wakikutana na maboss wanaweza kuwafunilia mik*ndu ili tu waoate pesa. Mung awasameh kwakwel awape maarifa waamke wafanye kazi.
@user-dz3rl1ki6u
@user-dz3rl1ki6u 11 ай бұрын
Haha Yan kwenye kulegea miili na akili hapo umetisha
@user-sn6dc9gh8k
@user-sn6dc9gh8k Жыл бұрын
Oh!dear Lord i give all praise,honor and glory for us🙏🙏❤❤
@ismailkasago8408
@ismailkasago8408 Жыл бұрын
This geneous should be protected Ndio wanao tunza Ajira za watu wengi.
@amanimanase8798
@amanimanase8798 Жыл бұрын
Hongera sana kwa mafanikio,lkn hii interview angeifanya sky bundala aiseee tungepata madini mengi sana kutoka kwa huyu mwamba
@joshuamuro9494
@joshuamuro9494 Жыл бұрын
Kweli kbsaa
@kaliskaguzkalis4424
@kaliskaguzkalis4424 Жыл бұрын
Duh! huyu jamaa kweli amekaa ki Polisi Polisi, ongela mzee.
@lilyelisante-cl1sl
@lilyelisante-cl1sl 10 ай бұрын
Nimemuelewa sn na nimejifunza sn na kanipa nguvu mara mbili ya kupambana yuko vzr interview yenye faida sn kwangu mb zimeenda kwa faida Asante sn Millard 💕
@MwigaKatumpula-mi3zt
@MwigaKatumpula-mi3zt Жыл бұрын
Mwandishi bana unataka kujua kiwango Cha pesa MTU ana kwambia anaingia zaidi ya makontena 20🙌🙌😃😃
@MwanaishaShattry
@MwanaishaShattry 10 ай бұрын
Nimejifunza kitu kizuri hapa. Salute kaka❤
@robertnyenza2988
@robertnyenza2988 Жыл бұрын
Naona Madungu jeshi naMinada mingi sana East Africa ukiacha Tanzania, Mungu akusimamie
@LavishHatTV
@LavishHatTV Жыл бұрын
It's an exclusive Inspiration mashallah 👌💯🔥🔥🔥✅🔥 congratulations buddy ukija Kenya boss tucheki
@ThobiasWalila
@ThobiasWalila 5 ай бұрын
Bg up
@omarymkamba3045
@omarymkamba3045 Жыл бұрын
Hongera sana jamaa ana nidhamu sana
@experiuscyliro5313
@experiuscyliro5313 Жыл бұрын
Big up sana kwa huyu Mnyakyusa/Mnyalukolo
@rademm8924
@rademm8924 Жыл бұрын
Mhehe aliezaliwa Mbeya
@victorchris5144
@victorchris5144 Жыл бұрын
Apart from business man, this guy is a comedian tho😂😂😂😂 #madungujeshi #babydungu😂😂😂😂
@emmanuelfari8924
@emmanuelfari8924 Жыл бұрын
UBARIKIWE zaidi 🙏🤝
@peternyambui7492
@peternyambui7492 Жыл бұрын
❤❤❤👏👏👏👍🏼👍🏼
@iddimngazija1957
@iddimngazija1957 Жыл бұрын
Kazi ni kipimo cha utu👏👏👏👏
@ReubenMonyo
@ReubenMonyo 5 ай бұрын
Hongera sana broo kwakwel umenifumbua macho niongeze bidii ya kupambana kwenye biashara yang kwakwel waliomsikiliza broo wetu naamn hawatokata tamaa ameamsha watu weng walioanza kukata tamaa asante sana nakushukr sana napia nawashukuru wote mulioamn kiiman mung awabariki🙏🙏
@allytv1714
@allytv1714 Жыл бұрын
Big up mzungu mweusi Mungu akuongezee zaidi
@leganmichael6148
@leganmichael6148 Жыл бұрын
Una hamasa sana mkuuu, hongera unatupa nguvu ya kuendelea kupambana sisi vijana.
@BrysonMayunga-lc6mq
@BrysonMayunga-lc6mq Жыл бұрын
Jamaa anaongea kwa kujiamini na amenifurahisha Sana very hustler❤
@ChristinaLumato-gq3ri
@ChristinaLumato-gq3ri 10 ай бұрын
Mungu akubariki sana kaka yangu
@allyhussein4625
@allyhussein4625 5 ай бұрын
utupe namba yako
@zephaniamayeye4902
@zephaniamayeye4902 Жыл бұрын
Excellent aiseee
@gadisonmichael7805
@gadisonmichael7805 Жыл бұрын
huyu mwamba nouma sana nakubali kc mzee wa madungu jeshi
@samniza1763
@samniza1763 Жыл бұрын
We are proooud of you mnyalukolo, tell'm what we are made of, diasporans are disciplined, no chawas or viroboto, when we mean it, we mean it. That's why huwa hatuwaelewi viongozi wetu wapowapo tu, sio kwa wananchi but kula bata tu. Kazi kazi tu.
@hamadkipenzy6905
@hamadkipenzy6905 6 ай бұрын
Big up brother na big up kwa Ayo TV Ayo TV inapambana kuonyesha chachu ya maisha kuliko kukata tamaa na kujibweteka vijana tupambane tuache kupoteza muda muda nimali sana usikubali kuwa mzigo au tegemezi tumia vyema nafasi yako ulipo kuweza fika utakapo kila kitu hakikosi kikwazo
@cosmassanga9581
@cosmassanga9581 Жыл бұрын
Touching and powerful message . Kc team big up
@paschalmichael7250
@paschalmichael7250 5 ай бұрын
N.B kwenye biashara yoyote kuwa competative ws bei, wanaofanikiwaa sana ni wale wanaokusanya faida ndogo ndogo pesa izunguke
@StanslausMaregesi-nq2dm
@StanslausMaregesi-nq2dm Жыл бұрын
so far huyu jamaa anakitu kikubwa cha kuinspire vijana wengi wanaojitafuta.. big up sana kwake na kwa AYO TV
@NewardNgoya-uy4up
@NewardNgoya-uy4up Жыл бұрын
Safi sana baza , maisha ni vita ,hakika umepigana na umeshinda
@NewardNgoya-uy4up
@NewardNgoya-uy4up Жыл бұрын
Mungu akupe maisha marefu uendelee kujengea heshima Tanzania
@aisharamadhani1948
@aisharamadhani1948 Жыл бұрын
Mashaallah najipanga nikipata pesa nakuja kuchukua gari
@wangweemmanuel9048
@wangweemmanuel9048 Жыл бұрын
This man is positive
@respiciusjohn9936
@respiciusjohn9936 10 ай бұрын
Aisee mkuu uko vizuri, umenipa nguvu zaidi ya kusaka chambi, 🎉 bravo bro, umeni inspire sana!! Tuchape kazi vijana
@edgartemu8299
@edgartemu8299 7 ай бұрын
Hii interview ni kubwa Sana kwenye maisha yangu Daa!! Yuko positive sana
@rapshinekenya1996
@rapshinekenya1996 Жыл бұрын
great inspiration
@hanifamziray277
@hanifamziray277 Жыл бұрын
Hongera sn ukianguka nyanyuka usikate tamaa
@nicolauswandao8988
@nicolauswandao8988 Жыл бұрын
Hongera sana Mwalukosi
@user-gu2nr1cf5g
@user-gu2nr1cf5g Жыл бұрын
I can see your hard work
@serafineslaa1082
@serafineslaa1082 Жыл бұрын
Wapo vizuri sana.Hongereni .Nikipata hela nitawatafuta mnabei nzuri
@allenmushema5844
@allenmushema5844 Жыл бұрын
this guy is so inspiring 🙌🏾
@hildaminja5148
@hildaminja5148 Жыл бұрын
Hongera sana. I wish ningeendelea. Woga unatukwamisha sana.
@geeva99
@geeva99 Жыл бұрын
Dah baby dungu imeenda kwa 11?!! Iyo fair sana gari nzuri sana iyo
@TALLUBOY
@TALLUBOY Жыл бұрын
Kuanzia leo ayo Marenji ntayaita madungu jeshi Leo umeongea vzl sana mwanangu Kwa kutuletea elimu ya mabandari
@hamisamanzi7234
@hamisamanzi7234 10 ай бұрын
Shida mikataba jamaa kaongea,serikali angalieni mikata ya kuua nchi haifai,uwekezaji kwanza ulio na tija siyo wakiboya
@hussainsikander9357
@hussainsikander9357 Жыл бұрын
Hongera kwa historia yako umetoka mbali
@ezekieltozo923
@ezekieltozo923 11 ай бұрын
respect sanaa mkuu, umenimotivate sana, mbeya city on top
@kihozanakilimobiashara7969
@kihozanakilimobiashara7969 5 ай бұрын
Umeni inspire sana bro,Much respect to you.
@alextanzania
@alextanzania Жыл бұрын
Chris anajieleza vizuri na ana sound kama vunja bei.
@alphaleahibrahim8904
@alphaleahibrahim8904 Жыл бұрын
wote wa nyanda zaa juu za kusini
@andrewmashika3756
@andrewmashika3756 Жыл бұрын
Hongera sana,.. keep up the good work!
@ruffgan
@ruffgan Жыл бұрын
Weraaaaa. from Isanga to Ayo TV. Hardwork pays. We are Prouuud. Na bado game ndio kwanza inaanza.
@DavidMbwilo-qk1bz
@DavidMbwilo-qk1bz Жыл бұрын
Waliokulia isanga mbeya hamna garasa tujuane hapa Kwa like watoto wa green city💥💥
@zaitunimwinuka6650
@zaitunimwinuka6650 Жыл бұрын
Tupo
@rebeccampeta6650
@rebeccampeta6650 Жыл бұрын
Tupo baba
@DavidMbwilo-qk1bz
@DavidMbwilo-qk1bz Жыл бұрын
@@rebeccampeta6650 inapendeza
@mwasoprince3459
@mwasoprince3459 Жыл бұрын
Kwetu kyela
@PaulPhilimon-mm6jl
@PaulPhilimon-mm6jl Жыл бұрын
Tupo wengi sana wa isanga
@mohamedomarikionga4681
@mohamedomarikionga4681 Жыл бұрын
I Can See Your Hard Work Brother!!
@Life_ofShacky
@Life_ofShacky 5 ай бұрын
Anachokisema chriss kuhusu maisha ya Ulaya kama Stamp 2 dah n ngumu sana yan ngumu noma sana
@MedrickFredy-kb3uh
@MedrickFredy-kb3uh Жыл бұрын
My role model 🔥
@alloycemillinga1673
@alloycemillinga1673 Жыл бұрын
Noma sana
@slimshed55
@slimshed55 Жыл бұрын
REAL G.. SSLUTE 2 THE GANGSTA
@odoieriasmonga6591
@odoieriasmonga6591 Жыл бұрын
Asante sana my brother Kwa ushauri wako mzuri sana
@halimahalima1488
@halimahalima1488 Жыл бұрын
Wow it's amazing 😊
@halimaabubakar6702
@halimaabubakar6702 Жыл бұрын
Hongera sana brother ❤
@finiasfidelis1475
@finiasfidelis1475 Жыл бұрын
Ndugu zanguni, Hongera Mr. Lukosi
@tecratzmwakyambomwakyambo7243
@tecratzmwakyambomwakyambo7243 Жыл бұрын
Huyu alitakiwq ahojiwe na mirad Ayo
@bashirmrisho8491
@bashirmrisho8491 Жыл бұрын
A humble billionaire
@mosesdavid-vm5hk
@mosesdavid-vm5hk Жыл бұрын
uyo mjuba mzee wa madungu namkubari sana anasaidia vijana wengu kupata gari kwa bei cheeeeeeee
@lampadshigonko3006
@lampadshigonko3006 Жыл бұрын
😅😅anatumia jina gan mtandaoni ili kumpata
@UpepoVlogs
@UpepoVlogs Жыл бұрын
​@@lampadshigonko3006 CHRISS LUKOSI
@cymone6159
@cymone6159 11 ай бұрын
Mtu pekee sana anatu inspire Mungu akuinue zaidi
@SBE-E
@SBE-E Жыл бұрын
KC Love this guy🇰🇪
@AlenKinyina
@AlenKinyina Жыл бұрын
Hongera sana brother wewe ni mpambanaji , acha kabisa life la ubaguzi lipo , Ila unavyokomaa ndivyo unavyopenya kwa neema tu. Nilbaguliwa darasani uko UK lakini niliibuka Kama best student
@rajabuamiri5202
@rajabuamiri5202 Жыл бұрын
Asante sana kaka umenijenga sana na kidogo nilichonacho
@johansenrauben6166
@johansenrauben6166 Жыл бұрын
Kwanza ni mupongeze lakini pia tuna omba kuunganishwa na hawa mahasala wezetu ili tupeane network na connection
@SalmaAs-wl5bn
@SalmaAs-wl5bn Жыл бұрын
Ongera sana kaka yangu uvumilivu ni kitu kizuri katika utafutaji nina shida kidogo mume wangu anahitaji kazi nisaidie yupo Tanzania kazi yeyote anafanya napitia wakati mgumu
@hamadiacha2mwambamtalika272
@hamadiacha2mwambamtalika272 Жыл бұрын
Salute kwako mwamba
@queenraphaher7736
@queenraphaher7736 Жыл бұрын
Kaka Mungu akubariki. Namba za simu
@Joshua-gl1pe
@Joshua-gl1pe Жыл бұрын
Ayo TV 🔥
@johnjoseph1106
@johnjoseph1106 Жыл бұрын
History yake nzuri
@angelosambi1087
@angelosambi1087 5 ай бұрын
Nadhani akili kubwa duniani ni akili ya biashara na uwekezaji maana mazungumzo ya wafanyabiashara na wawekezaji huwa ni ya busara na utulivu kuliko mazungumzo ya wasomi ambayo mengi ni nadhalia. Bado najifunza
@faudhiasalum7279
@faudhiasalum7279 Жыл бұрын
Hongera sana 🙏🏿🙏🏿
@zablondeo551
@zablondeo551 Жыл бұрын
Nice nimeipenda
@fiderebizimana319
@fiderebizimana319 Жыл бұрын
Nakubari mupambanaji Sana du ape kazi dufanye kazzzi naomba iniajiri sinakazi nabo reka uku sauzi wanaduteza wafurika wenzetu
@fatumasaid9882
@fatumasaid9882 Жыл бұрын
Kwel kaka mtaj wa maskin ni nguvu zake mwenyewe
@otmarmkali8883
@otmarmkali8883 Жыл бұрын
Pole sana kaka, kisukari unapona dawa zipo ila sio za hospitali. Askari mwenzako amepona mwanzo hakuamini. Siponeshi mimi ila namfaham aliepona na alipoponea,
@SalmaAs-wl5bn
@SalmaAs-wl5bn Жыл бұрын
Naomba namba zako nipo uarabuni wapo wengi sana wanataka dawa kisukari
@devotamakundi3657
@devotamakundi3657 11 ай бұрын
Toa namba yako tuongee aise
@user-yz2it2qm3p
@user-yz2it2qm3p 5 ай бұрын
Mungu yu mwema naomba hapohapo taarifa ya dawa ya sukari
@user-yz2it2qm3p
@user-yz2it2qm3p 5 ай бұрын
Naomba no zako
@florabuzoya3948
@florabuzoya3948 Жыл бұрын
Wooow🔥🔥🔥umeniinspire balaa
@priscusmboya4300
@priscusmboya4300 Жыл бұрын
Boss hongera sana
@HamiduJuma-v2b
@HamiduJuma-v2b Ай бұрын
KC team where the best
Kids' Guide to Fire Safety: Essential Lessons #shorts
00:34
Fabiosa Animated
Рет қаралды 14 МЛН
👨‍🔧📐
00:43
Kan Andrey
Рет қаралды 10 МЛН
小丑把天使丢游泳池里#short #angel #clown
00:15
Super Beauty team
Рет қаралды 42 МЛН
Parenting hacks and gadgets against mosquitoes 🦟👶
00:21
Let's GLOW!
Рет қаралды 12 МЛН
Natengeneza Millioni Ishirini kwa Wiki - Kyando
5:35
TAHA ONLINE TV
Рет қаралды 38 М.
Dakika 30 za Mtanzania Hallen aliyetajwa FORBES kuwa Bilionea ajae
32:50
Kids' Guide to Fire Safety: Essential Lessons #shorts
00:34
Fabiosa Animated
Рет қаралды 14 МЛН