Tusimsahau mtangazaji jamani anaiweza kazi yake vizuri Sanaa
@omaryjuma80022 жыл бұрын
Bibi wnazungumza Safi Sana
@ashurajengela39262 жыл бұрын
UPENDO, HESHIMA,UELEWA, UTII NA UAMINIFU vinahitajika KATIKA NDOA MUNGU TUSAIDIE 🙏🏻🥰
@Awatee2 жыл бұрын
Amiin Yarabby 🤲
@khadijahali48372 жыл бұрын
Ameen
@alphamulokozi352 жыл бұрын
Ashura Tunamtaka Diwani Wetu
@Awatee2 жыл бұрын
@@alphamulokozi35 hahah diwani uyo kwio si kajipeleka mwenyewe 🤣
@neemazee18642 жыл бұрын
@@alphamulokozi35 😂😂😂😂😂
@peter46502 жыл бұрын
Kweli mapenzi sio pesa.....jumba kubwa zuri hivyo na bado amani hakuna
@starshor24342 жыл бұрын
Yani bibi amejibu vizuri sana
@danielmkama242 жыл бұрын
Millard ayo unafatilia taarifa mpk mwisho hadi raha! 💥💥💥
@bakariomari87582 жыл бұрын
Upuuzi mtu unahangaikia maisha umefaulu baadae unajiua kisa mwanamke
@eliaskahory71162 жыл бұрын
Huyu Bibi aise yupo vzur
@rssymeh70872 жыл бұрын
Na ukija hapa kucomment useme kitu unauhakika nacho...msiongee kufurahisha umati maana hakuna amjuae mwanaume au mwanamke kwa undani...ni heri mnyamaze kuliko kuhukumu na kuwaongelea vibaya😏
@yassintaibrahim242 жыл бұрын
Kwa Kweli Maana Kunawatu Wanarosoka Utadhani Walikua Mabodgurd Wa Marehemu Swalha
@user-fs7xc2bb5d2 жыл бұрын
Nikweli wengine wanakomment tu
@chockmaumba4712 жыл бұрын
Bibi umeongea vzr sana. Nimempenda sana
@ramsikhamis70832 жыл бұрын
Ata mm kiukwelii bib yuko Safi saanaa ✊🏾
@chockmaumba4712 жыл бұрын
Umeona eeh rams
@suleamberforreal74012 жыл бұрын
Mwanzah 🙌🙌 ni pazur haswaah ntakuj hko sku1
@sharonayuma32452 жыл бұрын
Huyo bibi anazungumza safii sana ,,😕
@princessoprah70282 жыл бұрын
🤣
@omanmobile57462 жыл бұрын
Huyo marehemu anaonekana alikuwa mtu ambae hana shoo mbovu.yaaan hajatuli😘😘😘bibi umeongea vizuri sana
@jumakapilima72952 жыл бұрын
Hata kama alikuwa hatulii hiyo si sababu ya kumuua
@omanmobile57462 жыл бұрын
@@jumakapilima7295 ndugu yangu mke anauma asikwambie mtu labda hujampenda utaona kawaida.kingine utaendaje sehemu tena hotel hata kama unaenda kupiga picha tu bila idhini ya mme wako??!! Yani huyo.kaka kiufupi alivumilia mengi ndani ya hiyo miezi 5 kwa sabubh gani huyo dada anainekana alikuwa wa kishua sana yanj mtoto wa mijjni mpaka amepitiluza maana ukiangalia hiyo family ya huyo dada kuna wadogo zake 2 alikuwa akiishi nao hapo nyumbani.family yenye maadili mema haiwezi ruhusu watoto wakaishi kwa dada yao haga kama kaolewa na mwanaume mwenye uwezo kimaisha kwa hali ya sasa siyo vyema kabisa hata kwa muislamu pia
@jumakapilima72952 жыл бұрын
@@omanmobile5746 Kaka nakubaliana na wewe, lakini Kwa Hali yoyote ile haihalalishi kuua kaka
@omanmobile57462 жыл бұрын
@@jumakapilima7295 nimtihani kwa kweli ALLAH awapunguzie azabu ya kaburi🙏🙏
@agapepalangyo43162 жыл бұрын
Wanaume poleni kwa kweli. 1. Petro 3:7. Wanaume mmeambiwa ishini na wake zenu kwa akili. Someni maandiko mpate kupona.
@shabansalee49242 жыл бұрын
Sasa ss tunakosa gani
@yusuphkidoto37282 жыл бұрын
Akili zipi izo tuelekeze bac
@sarahmsangi72432 жыл бұрын
Sawa dada agape!!!!lakini kumbuka kuna shetani na kuna akili na kuna Mungu lakini efeso 4_27 biblia inasema wala msimpe ibilisi nafasi,kama ibilisi akipata nafasi akili inakuwa haina kazi tena maana anakuwa anacontrol
@mamadangote22282 жыл бұрын
Amina mpendwa ubarikiwe
@T.B.JOSHUALEGACYLIVESON30yrs2 жыл бұрын
Afu bonge la mjengo❤️🙌
@godfreysamson30692 жыл бұрын
Hahaha dah nomaa sana noma sanaaaaaa.
@peaceisrael81582 жыл бұрын
Haya makasiriko sio mazuri kabisa ni matumizi mabaya ya uhai sasa amepoteza vyote..namsihi asirudie tena ..RIP na MALISASI SIO MAZULI BIBI KASEMA APO!
@venasbengway34052 жыл бұрын
Yeye pia amejiua...sasa kapata faida gani. Vitabu vyote vya dini vinasema moto unamsubiri kwa kujiua mwenyewe na kumuua mtu mwingine. Hatupaswi kuhukumu au kutoa maisha ya mtu mwingine. Ni mwenyezi Mungu pekee mwenye mamlaka ya kuchukua uhai wa mtu.
@cattymoganah70642 жыл бұрын
😂😂😂😂
@peaceisrael81582 жыл бұрын
@@cattymoganah7064 unacheka😁😁😁
@agnestemba73722 жыл бұрын
Ukimwambia bibi sogea hapa , unatakiwa umwambie naomba bibi usogee hapa , kijana kuwa na nidhamu
@geofreyniyonkuru57242 жыл бұрын
Hata mi nimeshangaa
@selemanihussein78732 жыл бұрын
Hata mimi sijapenda alivyomkokota mkono utafikiri ni rika yake.
@agnestemba73722 жыл бұрын
Kwa kweli
@abednego38762 жыл бұрын
Inaonekana Uyo kk alivumilia vijimambo flan ivi yakamshinda.. muhoji na ndugu wa marehemu mume wake waandishi kuweni fair 😀. Izi media zetu zinaumwa sana.
@mereyamhomesmariamhomes34642 жыл бұрын
Ndoa inamiezi 5 tuu
@simonmasunga73982 жыл бұрын
huyu mwandishi ni nazi, bibi kasema ni mgeni halafu anauliza je matukio hayo ni ya mara kwa mara mahali hapo jinga sana , uliza kwa hekima
@nishaabdula50152 жыл бұрын
@@mereyamhomesmariamhomes3464 uwezi juw wenda walianza kuw n mhusiano muda mrefu mana uyu alikuwa Mke mdogo
@nishaabdula50152 жыл бұрын
Itakuwa ivyo ivyo maana uyo Dada ane naonekana yumo. Nae ila uyo kaka nae kasha jiripuwa Nayy kf
@aminamwaba35452 жыл бұрын
Umeona eee upande wa mume vip
@hawashamasi91152 жыл бұрын
Mtangazaji umefanya disrespect kwa ......mama usinge mvuta sawaaaah
@veronicakitalika44342 жыл бұрын
Tena inabidi waanze kujitambulisha maana hizo camera wengine hasa wazee zinawashitua
@hassanrashid94362 жыл бұрын
nikwel aliteleza hapo
@annaherman51452 жыл бұрын
Ngoja tupambane nawanaume wetu walio panga ata chumba kimoja
@chikujoshua55362 жыл бұрын
Jirani yetu pumzika kwa amani
@aminamussahmsumuka65582 жыл бұрын
Mara alienda Kuangalia mpira akachelewa kurudi mambo yanakuwa mengi sana
@navongelysrlynsozsye84942 жыл бұрын
TIBA PEKEE YA MAMBO KAMA HAYA NI YESU KRISTO PEKEE
@ramadhankatoto72142 жыл бұрын
Huyo uliemtaja huwa anazidaka risasi, wazee wa opportunist bana
@mussamussa94462 жыл бұрын
@@ramadhankatoto7214 au anageuza risasi kuwa maji? vichwa maji bana
@hamzaswaibu94702 жыл бұрын
Ww unaongea punba
@aaSs-yf8oq2 жыл бұрын
Yes anao uwezo wa kuzuia ukimuami na kumtumikia
@saramairajohn91162 жыл бұрын
@@aaSs-yf8oq uko sahihi kwa mwenye akili timamu🙏💕
@merryemmanuel42222 жыл бұрын
Pole familia
@hafidhabdallah31292 жыл бұрын
INNALILLAHI WAINA RAJIUN
@floraladislaus11422 жыл бұрын
Bibi nimemuelewa anajibu kisomi,maana maswli had yanachosha wa2 wana huzun
@lucylucy36782 жыл бұрын
Bibi shikamoo upo juuu san bibi yng.
@rosejoseph98112 жыл бұрын
Safi sana bibi.umejibu vizuri mno
@marcansayo71102 жыл бұрын
🤣🤣🤣🤣😀🙈Yan wewe rose
@florencebudoya38142 жыл бұрын
Kuta hizi zinaficha mengi.
@hajiabdalla57722 жыл бұрын
Tatizo umalaya na ujeuri mana mtu anahangaika maisha halafu mke anakufanya kama mwehu hakujali hakusukilizi na ujeuri na umalaya uvivu .kiasi umwage damu mtihani kweli
@estherpeninah78422 жыл бұрын
Wewe pia utaua yaonekana
@hajiabdalla57722 жыл бұрын
@@estherpeninah7842 nikiwa naishi na wewe mwenye tamaa kila unaemuona unamtamani nakumwaga mavi
@mwanajumamohammed63272 жыл бұрын
Bb kackia puuuh tena kackia phuuu bb kackia noma sana
@khadijahali48372 жыл бұрын
Kwa kweli tukasema tumevamia
@neemazee18642 жыл бұрын
@@khadijahali4837 tukasema tena tumevamiwa
@khadijahali48372 жыл бұрын
@@neemazee1864 😁😁😁
@joharichuri54292 жыл бұрын
😁😁😆😆
@edwingwesso68182 жыл бұрын
Ni nyumba
@muhammadkipangatv26742 жыл бұрын
Jifunze qura kwa hukmu gusa maandishi ya bluu kzfaq.info/love/iIyK3R72QZNvRlzWezWIKw
@bakarihamdouny19562 жыл бұрын
nikweli mapenzi ya nauma ila hadi kufikia kuuwa au kujiuwa huo niulimbukeni wa ma mapenzi...
@aminaomary64532 жыл бұрын
Wwww ujui ata kazi yako
@husseinashura85362 жыл бұрын
Masha Allah jumba jumba kweli
@nadyasalim79562 жыл бұрын
jumba si la kitoto haikuwa hata na haja yeye ya kuhangaika kupamba alikuwa atulie ndani
@kabwelasutiviraka47652 жыл бұрын
Hivi mnaowahoji hao mnawalipa maana nyie Ayo tv mnatengeza hela kupitia watu kuangalia taarifa zenu
@medsongaddaf92902 жыл бұрын
Mh kiukwel ni bora angechukua uamuzi mwingine kuliko na siyo kumuua kikatili ivo dah wanau Me
@jescajulius80232 жыл бұрын
Poleni na ndoa zenu akaa!!
@aminahahlubayt73992 жыл бұрын
Hvyo mtu unaishi vizur hv unafeli wapi kutulia na mumeo?dah
@sadockchengula55422 жыл бұрын
Hili suala la mahusiano halina formula wa syllabus rasmi. Na kanuni za ndoa yako mimi haziwezi nisaidia. Unaishi na mtu aliyezaliwa na wazazi wengine, kabila lingine na utamaduni tofauti inahitaji kuchuja madhaifu ya kila mmoja wetu ili tukae sawa.
@mariyammariyam65842 жыл бұрын
Tamaa nyingi Hakuna jingine
@sarahmsangi72432 жыл бұрын
" wadada wengi huwa wanapenda wanaume wenye pesa ,lakini unakuta wanapenda pesa na hawajampenda
@yasintakahamba13202 жыл бұрын
Waliozoea kudanga na wanaume wengi hawawezi kutulia na mwanaume mmoja matokeo yake mwanaume asie ongea ana kujibu na risasi Kama huyu alivyo fanya
@conasmalale10732 жыл бұрын
Bibi anaongea vzr kweli
@rosemarykipesha42422 жыл бұрын
Ukichagua mwenye pesa kuliko mcha mungu. Mwanaume ametumia nguvu kuliko akili ameharibu maisha yake mwenzie na watoto wake pia
@jimmykimotuo80652 жыл бұрын
Kweli kabisa, inasikitisha sana, si bora angejiua yeye mwenyewe akamwacha Dada wa watu😭😭😭
@mwanatz59802 жыл бұрын
Majirani munasikia risasi kila siku hamuripoti atakwa mjumbe mtihani kwakweli.
@magretkijanga60382 жыл бұрын
Nyamaza risasi,unawezaje kuwahiii...
@mariyammariyam65842 жыл бұрын
🤣🤣heti wamezoea khaaa hongera zao
@labanakyoo41772 жыл бұрын
Labda alidhani mkewe anamsaliti akaamua kumuua
@rithakuyala99512 жыл бұрын
Mungu atuondolee roho za kishetani
@melisacake56402 жыл бұрын
Bibi anajibu maswalii vizuri sana
@user-po8hz7xw9j2 жыл бұрын
Mhhh hilo jumba ndomn yule dada alikuwa akipiga lakini hatoki
@michaelkapaya59962 жыл бұрын
Hapo kwa Mwanaume(saidi) sio kwa swalha bhana!!
@georgedaniel49622 жыл бұрын
We mtangazaji mjinga sana kwanza huna nidhaku unavuta bibi wa watu eti sogea basi!we vipi umekuta wasukuma wastaarabu na wenyenidhamu wengne ungeikimbia a maik
@lilyrose79832 жыл бұрын
Hata mi nimeona yaani kamvuta kama katoto
@mawazomwamba26672 жыл бұрын
😭😭😭😔😔😔
@esthermoses32322 жыл бұрын
Muwahoji na ndugu wa mwanaume tusikie
@MisosimitamuC2 жыл бұрын
Hâta akihojiwa ndugu wa Mme. Kitendo alichofanya huyo kaka ni ukatili. Akikukwaza muache hâta kama kafanya kitu chochote kibaya
@peterkatumaini95082 жыл бұрын
Jamani swala la mausiano ni gumu sana tukio limetokea pia Imani na ofu ya mungu itawale ila msijadili zambi ya mtuhumiwa tumwachie mungu na atuepushe hatua Kama za mtuumiwa
@lucasmhagama81662 жыл бұрын
Kitendo Cha kuua unataka wahojiwe iweje? Hata ufanyie nini huwezi kutoa uhai wa mwenzio
@khadijahali48372 жыл бұрын
Bibi umejb vzr hapo huwezi kumjua mtu ya moyoni mwake kwa kumuona tuu usoni
@ramsikhamis70832 жыл бұрын
Apoo mm nimemwelewaa Sanaa kiukwelii 🍾✊🏾
@khadijahali48372 жыл бұрын
@@ramsikhamis7083 🙂
@iddiustadhi5702 жыл бұрын
Jamani dunia twaipeleka wapi
@tajilimtoto50092 жыл бұрын
Maninti wa vivu muenderehe kupenda wanaume wenye pesa
@festinamwakipale39192 жыл бұрын
Ila.kubadilisha.badilisha.wanawake wengine wanakuwa wachawi watanzania.tumheshimu Mungu tutapona
@fauzishabani26222 жыл бұрын
Heshima ipo juu Mwanza . Ukileta zako unatulizwa
@upendosaid74432 жыл бұрын
Wanawake wengine atujaturia kwenye ndoa
@ashurahamis71632 жыл бұрын
Mhu jamani hatuwez juwa ya ndan mke wa kwanza bona alikimbia kwann aiache mujengo huo
@festinamwakipale39192 жыл бұрын
Na wanaume wasiacheache
@safiayussuf93082 жыл бұрын
Hata km alikukosea mke wako. C umrudishe kwao? Inahaja gani kumdhulumu roho yke? Utakwenda kujibu kwa Allah
@annakisiga8892 жыл бұрын
Mwanddishj unakela bibi kakwambia yeye ni mgeni lakin inazidi kuuliza hamsikiagi Rosas zinalia
@aishaaziza56572 жыл бұрын
Mungu atakufanyia wepesi
@RandB_Channel2 жыл бұрын
Jamani kuna watu hawajipendaki kweli. Ona hilo jumba
@sky-wz5zi2 жыл бұрын
Bibi aliskia "pu, halafu tena pu 😀
@chihungotisho16422 жыл бұрын
Bibi Safi Sana hyu.
@angelmwoleka78922 жыл бұрын
Bibi nimempenda bure
@eunicefalex440310 ай бұрын
Bibi kanichekesha eti yeye ni mgeni kahamia juzi 😂kila siku nakuona
@kabwelasutiviraka47652 жыл бұрын
Bibi ana upeo mkubwa na IQ zake inaonekana iko juu kuliko mtu anayemuoji
@ipiscooking68142 жыл бұрын
Kha!😅🤣😂
@catherinemuhagama73382 жыл бұрын
😂😂
@mzeewakibegi51052 жыл бұрын
🤣🤣🤣kwakweli
@lilyrose79832 жыл бұрын
😂😂😂😂
@catherinemzurikwao32652 жыл бұрын
Ni kweli
@eliaskahory71162 жыл бұрын
Duuuu Maamuz bwana atar saaana. Sasa kaacha huo mjumba Kamuachia Nan aasa
@rizikiabdalla25012 жыл бұрын
Kamuachia mtt wake si anae mmoja
@christercheru83282 жыл бұрын
Tafuteni mama ya mtoto alikimbia jumba lote hilo kuokoa maisha yake
@jellynesssemu94062 жыл бұрын
Acha nitafute maisha yangu aisee wanaumme 🙌🙌🙌
@samiraabdimahamed44492 жыл бұрын
Nimesikia Pia mke wa kwanza alimuuwa pia
@hanifatanzania72582 жыл бұрын
@@samiraabdimahamed4449 Subuhanallah kweri au stolituza watu kikitokeakitu
@Zainab-sq1tc2 жыл бұрын
@@samiraabdimahamed4449 heeeh jomon kaua na bado yuko anakula bata
@juliussilvestar89882 жыл бұрын
Jelly Ness wanawake badilikeni vitabu vya dini vyenyewe vimewapa onyo wanawake mtaongoza kwenda motoni na jehanamu si mimi vitabu vya Mungu hivyoooo.Wanawake ni chanzo cha kuharibika amani kabisa.Tulia na ndoa.Mwenzio anahangaika mpate maisha timiza wajibu wako mwanamke acha Tamaa na midomo ya ovyooo.
@dinnocelestin18942 жыл бұрын
Ubora wa hii interview umesababishwa na waliohojiwa. Lakini mtangazaji ni sifuri kabisa
@nasreenmeshack43432 жыл бұрын
Mtu kashasema mm mgeni anarudia tena mshawai kusikia mlio km uo siku za nyuma🌝
@tantinebettynduwimana3802 жыл бұрын
unamwambia sogea hapa bila tafadhali utamlipa ngapi
@happinessnyambita81392 жыл бұрын
jumba zur lkn hajuna amani
@rehemaaweso90052 жыл бұрын
Nyumba kalii ila mke hayupo mpka saa sita usiku dahha😔
@ayshahussein20722 жыл бұрын
Xaph
@welcometoeat1652 жыл бұрын
Aisee bonge jumba kudadek 🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥
@saraphinajoely70472 жыл бұрын
Hujui kapataje ndugu yangu
@pendomariki65622 жыл бұрын
Yaani
@gundajr28832 жыл бұрын
Bibi kasem ni mgen lkn ndoa anajua ina miez 5
@israeleliah71632 жыл бұрын
Bibi ana hana dogo
@ahadibuzingo95022 жыл бұрын
Dada uyo kaka atalaaniwa nenda kwa amani rip
@CHITUS2 жыл бұрын
Mke wa mtu usupa6 wa nn ukikubali kuolewa ulale bila nguo, maana yake acha manjonjo yko yote lea familia. Hili ni funzo kwa wanawake wa ulimwengu huu wa sasa. Wajue ndoa ni agizo la Mungu mwenyewe na c ngonjera na madrama, Enyi wake watiin waume zenu, lakn Leo mmebadili Ss mnataka mwanaume amtii mwanamke haki sawa zmewapa vbur sna wanawake wa Leo utii hakuna kila kitu 2ko sawa solution yake ni haya tunayoyaona leo.
@johnmwanjala59512 жыл бұрын
umemfanya Vibaya kumkamata Bibi Kama Mtuhumiwa
@mwanduelizabeth22822 жыл бұрын
Mungu akubariki sana Bibi umeongea vizuri sana hakika nimekuelewa.Bora ukosee kujenga nyumba utaibomoa ujenge nyingine kuliko kukosea kuoa au kuolewa .R.I.P
@itNeza2 жыл бұрын
Tuwe Waaminifu LasivyoDhuuu. 😶
@emmanuelnyaki50512 жыл бұрын
Bora jumba LA udongo kuna amani teeeeleee kuliko jumba LA kifahari aiseee
@deusdedit7892 жыл бұрын
TUZIDISHE IBADA WATU WENGI HAWAPENDI UFANIKIWE. TUZIDISHE IBADA..UPENDO..HESHIMA UELEWA NA UTII KWENYE NYUMBA ZETU. PIA KABLA HUJAINGIA KWENYE NDOA NAOMBA TUCHUNGUZANE NA KUPEANA MDA WAKUJUANA VYEMA MAANA YAZAMANI SI YA SASA MAMBO YAMEBADILIKA.
@bayujaphary.90862 жыл бұрын
"Inalilahi wainailayhi rajighuwn "
@saraphinajoely70472 жыл бұрын
Polen
@rukiaiddyyahaya95062 жыл бұрын
Utajir una sir nyingi sana unaona nje mtu kapendeza shida za ndani mungu anajua bora uwe masikini lakini una amani
@adrophinakamugisha50142 жыл бұрын
Me niliishia kuwaza wewe bora umeliweka wazi,maana nimeangalia iyo nyumba nikakumbuka na yakuchomana moto Kigambon
@nereaigogo44422 жыл бұрын
Lakini kwenye hili swala umaskini na utajiri vimesingiziwa tu
@rukiaiddyyahaya95062 жыл бұрын
@@nereaigogo4442 katizame mdogo wa mwanamke kasema shemeji yake kaleta waganga nyumban wanini waganga?
@rukiaiddyyahaya95062 жыл бұрын
@@adrophinakamugisha5014 kabisa tamaa ukiiendekeza ndio mwisho unaroga upate mali mali zenyewe za moto haziliki kwa raha tuweke imani kwa mungu tunapita dunia isitudanganye
@jamesponeca89122 жыл бұрын
Hapo ni Kwamwanaume,SIO KWA MWANAMKE,HIYO NYUMBA IMEJENGWA KWA MIEZI MITANO,
@lilyrose79832 жыл бұрын
Sasa nini maana ya ndoa?Kama walikuwa wanaishi wote Ina maana ni nyumba yao wote
@jacklinejacklinejonh65302 жыл бұрын
Unawajuwa
@lilyrose79832 жыл бұрын
@@jacklinejacklinejonh6530 Yaani hata simwelewi huyu ndugu?
@abisinamustafa31182 жыл бұрын
Bibi kasikia puu puu akasikia tena puuu
@omanquine37702 жыл бұрын
Majibu mumejiandaa nayo au mnachukua maamuzi tu bila kujua kuna hukumu huko muendako
@mligosandrah78512 жыл бұрын
Dah bro kavuruga system yote ya watoto wake mtu ukiona humuelewi mpe talaka haya umeua na wewe umejiua jamani umeacha mali zako watoto wako na wazazi kwasababu ya wivu tu
@leokamil62842 жыл бұрын
Kawatia hasara wazazi wa Binti .Umenena vyema kabisa
@marthageorge75382 жыл бұрын
Kumbe na yeye amejiua
@khadijahali48372 жыл бұрын
@@marthageorge7538 kajia tyr
@huguetteigiraneza47602 жыл бұрын
Kwaule wakat huwez kuji control
@agapepalangyo43162 жыл бұрын
Hii ya mwanaume kujiuwa sijaelewa vizuri. No kweli wamekufa wote?!
@ameedamilja79922 жыл бұрын
Wanaume wenye pesa ndio huwa Ego zao hawajiamini, kila siku wanawaza kubiwa tuu.
@amii24362 жыл бұрын
kzfaq.info/get/bejne/osdybKuSlcC5ZYE.html
@mersianantibakazi84742 жыл бұрын
Jamani wenye wame wafuga ndevu muishi nao kwa akili.amina hamza bado wapo
Nasikia nae kajiuwa, mait imekutwa baharin yazaniwa kuwa ndiye
@mcstanb77592 жыл бұрын
Ziwani ndugu mwanza hakuna bahari
@asumaathuman60942 жыл бұрын
Ziwan
@nicholausmanyanda97042 жыл бұрын
Baharini Mwanza 🙄
@chockmaumba4712 жыл бұрын
Ok Stan pamoja
@williammbuzimai57442 жыл бұрын
Jina la Said naliogopaaa;
@Abdalakangile12 жыл бұрын
Endeleeni kusema mwanaume ambaye hana hela wanini muendelee kuuwawa matukio mengi ya wana wake kuuwawa na waumezao unakuta mzee ana miliki kimango ndefu na chuma juu kaeni chonjo