Ila huyu dada kafanana na Masha love kama unakubaliana na Mimi gonga like hapa👇
@mutomubaya2 жыл бұрын
Somo kubwa hapa ni Kwamba ndoa ilfanywa kwa desturi za Ki islamu. Makosa ya vijana wengi TZ wakusoma Dini vyema kiasi cha kufahamu elimu ya Tawhid. Kuna habari kwamba mganga au wanganga waliruhusiwa kuingilia mambo ya ndoa hiyo. Ikiwa ni hivyo, viumbe hao huwa ni hatari, hugombanisha watu na kuharibia mtu Dini kabisa. Ni jukumu la Ulamaa nchini wawaonye watu wasiangamie. Wawaelimishe vijana na hata wazazi na Waislamu wapya. Njia sahihi ni ile ya Allah.
@freduallughano23012 жыл бұрын
Njia sahihi ni ile ya asili yako kama ni mwafrika.
@ramadhanimtetu72462 жыл бұрын
@@freduallughano2301 Afrika ni pana ina Dini nyingi ikiwepo Uislam Ukienda Misri , Moroco , Algeria au Tunisia au Sudani kote Huko ni Afrika Na Imani zao Za Asili ni Islam Hivyo Acha Maneno Maneno yenye Viashiria vya Chuki
@user-sc4iv7qp9b2 жыл бұрын
shida kubwa ni ujinga wa wengi katika baadhi ya waislamu kutokuijua dini yao na misingi yake mtu huwezi kuidhulmu nafsi ya mwenzako na bado ukaongeza na yako mwenyewe pia.. ni sawa upitie shida au migogoro kiasi gani , pia ni wazi khofu ya Mungu haikuwepo vyote chanzo ni ujinga maana angejua alichokitenda matokeo yake kwa Mujibu wa dini yake ingemfanya apate khofu ya Mungu
@SMG109L2 жыл бұрын
@@freduallughano2301 Dini ya asili ni uislamu.
@angelyahya4182 жыл бұрын
i see watu wanalazimisha swalha kuonekana alikua na tatizo lkn huyo saidi hiyo ilikua ndoa ya ngap kwake? and besides ndoa still alikua na wanawake wa pembeni mpk mama yake mzazi alisema alikua na wanawame wengi sana hamuoni hiyo ni shida?? Shida ya wabongo mwanamke akiwa na muonekano mzur huyo ni malaya na hiki kitu kinapoteza wengi.... ingekua swalha ana sura ya mjomba wake kusengekuepo na comment za namna hiyo .... Tubadili Mtazamo ktk mahusiano if not kila siku kutakua na matukio na wanawake msikingie vifua wanaume wana mambo mengi sana na wao wanaona ni vzr kuwa na wanawake wengi pasipo kujua wanaharibu afya ya akili kwa mke au mpnz wake All in All RIP
@bettymwigune81502 жыл бұрын
👏👏👏👏👏
@annethsongwe60632 жыл бұрын
🙌
@olivamwaikuyu57572 жыл бұрын
1
@thomasdunstan82632 жыл бұрын
Nawewe nimojawapo mwenyetabia kama za huyomke
@vevo31302 жыл бұрын
umesema kweli....yaani at last nimekutana na mtu mwenye akili kwenye comments....so many ni psychos u can tell kwa comments tu
@esthershaban61032 жыл бұрын
Mmmh huyu dada kafanana na Masha love
@danielmtanda12232 жыл бұрын
Ila dada kwa miaka umetupiga chenga😅😀
@neemasawe70162 жыл бұрын
Alivyobabaika kwnz wakat wa kujibu😂
@madamhappymwalongo36532 жыл бұрын
🤣🤣🤣
@phelgonaamondi72512 жыл бұрын
Atleast amesema mabaya ma mazuri...wengine wanasema mazuri tu
@ms_caramel26882 жыл бұрын
Hio nyumba ya huyo kaka wamepita wanawake wengi jmn 🤲🙌
@ghatititus71362 жыл бұрын
Yaani kwa kweli alioa wake wengi
@happinessteven24012 жыл бұрын
ameweka maagano na watu wengi
@salomewandya72572 жыл бұрын
Zaidi ya watano ata mama yk alisema
@hidayakisensi27472 жыл бұрын
Pesa a babuu🤣🤣
@saimonijonas43562 жыл бұрын
Dini yake inamruhusu,mkumbuke hilo???
@zuwenaabdallah77482 жыл бұрын
Ila said alikuwaga anachukua vyuma kwelikweli wake zake wote warembo😘
@ghostelmendez72062 жыл бұрын
Sahh uko sawa
@jacquelinekahamba78722 жыл бұрын
pesa
@MsMayna-ih6uq2 жыл бұрын
Kuna wanaume hawafai au hawajaumbiwa ndoa kbsa... na baahdi ya wanawake vilevile!
@hamidaalhabsi85682 жыл бұрын
Subhanaallah hasira hasara Mama yake Anamtetea mwanae kumbe mwanae ndie mkorofi upendo bila kuona wazazi bila wazazi mngepatikana? Mbona mama yake anakuja kutembelea ukimpenda uwa penda na boga lake matatizo kweli
@olivajoseph16972 жыл бұрын
Said ulikuwa ukioa kilasiku. Hongera mama mzaa chema. pesa zinamfanya mtu afanye anacho weza
@ismailmatari9162 жыл бұрын
Unakimiss wakati ulisha achika kitambo na nyie waandishi ulizeni naswali ya msingi yanayoendana na wakati bush it: R I P wapendwa mungu awafanyie wepesi huko muendapo🤦
@fatumakassim37932 жыл бұрын
Wanawake mnaomhukum swallher mnaniumiza Sana,,aisee,,,hivi imeandikwa wapi ,mwanamke ndio anatakiwa kutulia kwenye ndoa tyu,,?jukumu la kutulia nilawanandoa wote mwanamke na mwanamme,,nasi mwanamke tyu,,,,,
@delphinkakudji2 жыл бұрын
😢he needed someone to help him ,he was stressed and he didn’t know what to do. Stress nyingi uzaa hasira 🙏🏾. So sad 😞
@emmanuelmwesongo71772 жыл бұрын
Mbona uyo dada mwingine kiherehere ivo kwan anaulizwa yeye khaa🤣
@victoriamajeni34742 жыл бұрын
Na alisema alikua rafiki wa swalher uyu alihojiwa Hadi msiban kwa swalher kumbe mnafikii tu
@gracejonh40222 жыл бұрын
Anafanana na mke wa hamorapa
@SalmaBinyaga2 ай бұрын
@@gracejonh4022Ni yy
@issayasosolo60332 жыл бұрын
Marehemu kapuzika hawezi kuyajibu haya yote, Msimpe njia ngumu huko aliko nyinyi wanadamu kwani ninyi niwakamilifu, jibu litakuwa hapana si wamilifu Basi acheni apumzike, Tafakari ya kwako Kwanza marehemu kamaliza kazi yake hapa duniani!
@dorisonesmo88142 жыл бұрын
Ibaki kuwa fundisho kwa wengine kuua na kujiua ni dhambi kuliko yasemwayo
@yasinrasheed57432 жыл бұрын
Mungu amekataza kujiua ama kuua nafsi yoyote tayari Hilo Nikosa, mwenyezi Mungu anaahidi ukifanya kitendo cha kujiua utaishi motoni milele
@thedon80482 жыл бұрын
💪💪
@silyvesterrichard7582 жыл бұрын
Ni kweli Kaka maana huyo aliyekuwa mke wake anakuambia alikuwa na upendo Sana sasa kwa sababu hawezi kujibu wamwache apumzike
@maximillianmagesa27582 жыл бұрын
Kabisa wamwache apumzike kwa amani.
@chrissmichaelmashouda17262 жыл бұрын
Yaaani Kusikia ajali imetokea hakukufanyi uache kusafiri...tusikiapo haya ya ndoa hakukufanyi kuacha kuamini bado kuna waume na wake Bora wanaishi it's matter of selection tuu🤞
@mwitaagness4552 жыл бұрын
Huyu alimkuta hana kazi na kuna mwingine anasema pia alimkuta hana kwa kifupi wanataka kusema mali ni halali yao Marehem ndo alimkuta akiwa vzr, hata wafanye nini haez pewa chochote hao, mama anakir said qlikuwa na wake wengi, swalleher ndo mke nhie wengine simliondoka swalleher kavumilia mpk kifo😭😭
@samwelpaul69442 жыл бұрын
je watoto wanatambulikaaa ?
@priscarkasitu81012 жыл бұрын
@@dorahwillson1807 Swalha angekuwa hai angepewa mali.sasa atapewa shemeji,mama mkwe, au Baba mkwe?Kwa hapo watoto walivyo wengi Yule Mama naa anaweza pewa.au huyo mama Saidi
@felexulomi77932 жыл бұрын
Ukiona ela yako yako inakupeleka kwenye umalay maisha yako yatakua mafupi san
@doreencharles28362 жыл бұрын
𝙿𝚘𝚒𝚗𝚝
@azizaabeid20552 жыл бұрын
Kabisa ndugu
@dorahwillson18072 жыл бұрын
Daaah umenena kweli
@limymasele212 жыл бұрын
Umeonaeee?
@kwisa48992 жыл бұрын
Duh word
@saumusalimuhassan24992 жыл бұрын
Kumbe kakaang alikuwa mtu wa hivyo, mtihani kwakweli.
@mohamedally63902 жыл бұрын
Sema mwamba alikuwa anapenda kuchukuwa pisi kaliii
@saimonijonas43562 жыл бұрын
La!! maana hata huyu anauehojiwa!!! du!!! simchezo.
@ahz69072 жыл бұрын
@@saimonijonas4356 wa kawaida sanaa
@lilyrose79832 жыл бұрын
@@ahz6907 😂😂😂
@fauzimohamed57572 жыл бұрын
@@saimonijonas4356 alikuwa anapenda wanawake wale cha wote
@uvuvweweonyetenyevwe13482 жыл бұрын
Wadangaji hao
@fatmaqhta85282 жыл бұрын
Poleni Wafiwa Innalilah wa Innalilah Rajiun pepo iwe makaazi yake 😭😭😭🇰🇪🇰🇪
@kekiplus1andonly2 жыл бұрын
Mmmmmmh Tanzania 👑😇
@mwanduelizabeth22822 жыл бұрын
Basi hapa nimeamini huyu Said alikuwa ana wivu sana na alikuwa mkorofi sana maana kwa maelezo tu ya huyu dada wanawake wote hao walikimbia said alikuwa na matatizo .Wivu ukizidi sana matokeo yake ndio Kama haya ni mauti.R.I.P Swallher & Said.
@aishachambo86632 жыл бұрын
Mama alisema mwanawe alikuwa na wake wengi sana
@salomewandya72572 жыл бұрын
Yes alisema
@sarahomary36152 жыл бұрын
Yani aliropoka yule mama jamani
@aishachambo86632 жыл бұрын
@@sarahomary3615 kasema kweli
@happnessjoseph71912 жыл бұрын
@@sarahomary3615 hajaropoka alisema kwa Nini amefanya tukio la hivi mbona hakuwahi kufanya kwa wake zake wengine.
@noonelike63822 жыл бұрын
SIFA ZA AKINA SAIDI: 1)Wana midudu (mibolo) mikubwaaa. 2)Wana hasira Sana 3)Wana roho za kwa Nini. 4)Wana sumbuliwaga Sana na maradhi ya tumbo. 5)Wana penda utani ila Wana wahi kukasirika. 6)Wana desturi ya kuperekesha wanawake (wapenzi wao). 7)Wana mapenzi Sana na mama zao wazazi. 8)wanapenda Sana ndugu zao. 9) asilimia kubwa wanapenda Sana michezo ya kubahatisha (kamari), Hawa jamaa huwaambii kitu Katika issues za kubeti. 10) wasafi kwa nje, ila siyo nguo za ndani. 11)Wana kuwaga na viarufu kama vya beberu la mbuzi lililo komaa. 12)Wana wivu Sana wa mapenzi ,ila ni wazinzi Sana, wanapenda Sana kuhisi vibaya wanawake wao. Ahsante!.
@noonelike63822 жыл бұрын
😆
@harousaissa72352 жыл бұрын
Iyo kwel my wala hujakosea
@teehassan47312 жыл бұрын
Ni kweli hujakosea ngumi mkononi
@luciamashauri57232 жыл бұрын
Inabid nicheke2 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
@deusdedit7892 жыл бұрын
@No one like 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🙌🙌nimecheka jaman 😂😂😂😂😂😆😆😆
@aminasuleiman81202 жыл бұрын
Huyo dada hapo pembeni anatamani ahojiwe yy au nayy x maana anavyosaidia kujibu maswali yasiomuhusu🤣🤣🤣💃💃💃
@dorothyannan81842 жыл бұрын
Kwa maelezo ya huyu, Said alikuwa na msongo wa mawazo pia.
@saimonijonas43562 жыл бұрын
Nachokiona,ni huyu jamaa baada ya kufilisiwa hakukutana na watu wa kumkansel.Naalitembea na vidonda moyoni na akili mwake.Hivyo alijikaza kiume.Na ikapelekea kuwa nahofu na kila mtu ama niadui wa maisha yake.Kiukweli alilaumiwe kama aafufuka saizi kisha aelezee maswaiba yaliyo ndani ya moyo wake,yawezekana watu wengi watatoa machozi.
@lifeofyuri40202 жыл бұрын
Kwa maelezo ya make said alikua na shida kwenye mental health (he was depressed,he had an obsetion with perfection Yani watu wenye hii tunasema ni Alpha,what he says goes.. he had anxiety and he was late in it mpk akawa suicidal when things don't go the way he wanted)
@yudatadeimdoe92152 жыл бұрын
Of course you are right
@samueljoseph65422 жыл бұрын
Obsession***
@TAASISI2 жыл бұрын
I need to know more about Alpha male I feel like I am like that
@olivajoseph16972 жыл бұрын
Huyu Said nae alikuwa na Majanga na mama ake alikuwa anakaa kimya tu
@anithanithaa26512 жыл бұрын
Afadhali tuskie na upande wa Pili maan Hiyo familia ya Said wanajitahid Sana kumtetea Ndugu Yao 😪😪😪
@TamuzaKale2 жыл бұрын
Hahahaahaha
@zulfahalily60952 жыл бұрын
Kabisa nawakati ndo kafanya tukio
@ayshamahariq66652 жыл бұрын
@@TamuzaKale 😂😂😂😂
@ayshamahariq66652 жыл бұрын
@@zulfahalily6095 kabisa
@lilyrose79832 жыл бұрын
Sio family ya Said tu mpaka shemeji yake anamtetea
@ngoshachaula1722 жыл бұрын
Muongo uyu dada miaka 23 khaaaaaaa😆😆😆😆😆👏
@nengabablizer3332 жыл бұрын
Sema uyo said anajua kuchagua kweli yaaan 😂😂😂
@filberthabashi28702 жыл бұрын
Hahaha ni kweli alikuwa mchaguaji na mpambanaji saana
@saimonijonas43562 жыл бұрын
😁😁😁😁😁
@asifiwekitunga46552 жыл бұрын
Sanaa
@fleviakazungu45602 жыл бұрын
Apo kwel
@exaverymtumba79072 жыл бұрын
🤣🤣🤣🤣alikua anajua kuchagua
@Idafa2 жыл бұрын
Alikuwa ana wivu kwa vile alikuwa anajua anachokifanya huko nje na wanawake wengine. Mwizi always anahisi na yeye anaibiwa hivyo anachunga mali yake kwa uangalifu sana ila alikuwa na matatizo ya akili.
@zaipazzi94902 жыл бұрын
Ata kama mkali lakini alikuwa anaishi na msongo wa mawazo na saikorojia yake haikuwa nzuri sema hakuwa na mtu wa kumfuatiria na kumrudisha kwenye mstari. Ni jibu la tatizo lake, msongo wa mawazo hakuwa sawa.
@neyhemed54852 жыл бұрын
jaman 2022 si ndo huu jaman au mi sijaelewa
@eliamaruma78462 жыл бұрын
Uwiiii kumbe alikuwa na wanawake wengi uwiii
@salomewandya72572 жыл бұрын
Wote wanawake zake warembo lazima awe na wivu
@petermahimbo34582 жыл бұрын
Nilikuwa naitafuta hii
@ummyhasheem22452 жыл бұрын
@@petermahimbo3458 Akii ata mimi🤣🤣🤣tena Masha Allah hasa
@ashurajengela39262 жыл бұрын
Jamani sasa mbona awa wake zake wamekua wengi mno khaaa ?! Kila mtu ni mke wake ?! Saidi nayeye hapana khaaa haya uyu anasema kaishi nae adi 2022 na uku ndo na swalha wamefunga ndoa mwezi wa 12 jamani 🙌🏻,, sema mama ake alisha sema alikua nao wengi
Hasira kupitiliza,wivu kupitiliza,madeni ya mamilioni na anamiliki chuma ya moto😂😂😂😂 kaa mbali hapo ni hatar sana
@sanoureyaliwadoakaroyo16962 жыл бұрын
Mwanza Uyuu Dada Ni Muongoo Na Umrii Amedanganya pili Amesema Aliondoka kwenye Ndoa Yke na Said Mwanzo mwa Mwaka 2022 mpka hpo ni Muongoo Akiwa Saidi Alimuoa Swalha December mwaka 2021 Uyuu Danga ni Muhungo Jmn
@isackakyoo15332 жыл бұрын
Kwakwel umri amedanganya
@mwanatz59802 жыл бұрын
Kwaiyo alikua anawivu sana na mkorofi pumzika kwa amani amen 🙏.
@BM_Smart2-62 жыл бұрын
Kwa hiyo interview tu ya huyo mwanamke. Ni wazi kuwa jamaa alikuwa na wivu kupitiliza na hasira. Kosa kubwa hapo ni kumiliki chuma! Na kukosea maamuzi ya wapi kuitumia, hatujui ukweli ni upi na uongo ni upi ila ndiyo hivyo tena chuma kimeshatema shaba!!!
@anthonikabuye82102 жыл бұрын
😂😂😂
@jescajulius80232 жыл бұрын
Haha
@hadijajohn74342 жыл бұрын
Oooooh SALHA umekuwaa kama mchezo wakuingiza umemuachia wago zako historia ambayo haifutiki machoni mwao na taswirwa yako mama inampitia machoni kwake kama atakuona hivi saa nyingine ukisikiliza vizuri lNTAVYOO ukewenza ni mvaya ndio lile neno tukose wote R.I.P SWALHA ukewenza umekuponza sanda mlio iyona getini imejibu pole sana mama SWALHA kupoteza akiba yako mungu akupe faraja dada Amina R .I.P SWALHA
@aishaalbalushaishabalush82912 жыл бұрын
😭😭😭😭😭
@mathewdyzymaleyafrica91282 жыл бұрын
RIP SAIDI
@maisarah68192 жыл бұрын
Ukweli mtupu ddangu..wanawake Allah atustiri😭😭 utajir n mtihani/ Umaskin n mtihan.
@mayilahamisi37302 жыл бұрын
Dah! Huyo Chawa wa mke wa marehemu alivyo na Kipwipwi cha kuonekana kwenye camera na kuhojiwa 🤣🤣🤣🙌🙌🙌
@raphaelsenzia88352 жыл бұрын
Kumbe na ww umeona😂😂
@mariamomar17352 жыл бұрын
Hahaha huyo cyo chawa kunguni haswa
@jacklinegideon80742 жыл бұрын
Masikini alikuwa na shida jamani 😭😭 ni vile watu hawakuona hilo
@khadijasalum23022 жыл бұрын
Huyu marehemu alikuwa na mitihani mingi yote pombe
@hidayakisensi27472 жыл бұрын
Ila mama iyo miaka 23 hapo kwa umri wako uwenda tumepigwaa🤣🤣
@pretykileotv41862 жыл бұрын
😂😂😂😂😂
@missshenenga32202 жыл бұрын
Tena na kitu kizito
@mariamjuma41362 жыл бұрын
Siye tunataka aliofunga nao ndoa Ao wapita njia imekula kwao Alikuwa ana subira na wanawake😔😌mungu amsamehe alipokosea
@paulinaswalehe52982 жыл бұрын
Ww umesemaa ukwelii,mshukuruu Mungu Kwa kuchukua hatua.
@Official836402 жыл бұрын
Tangu nimeanza kufatilia interview huyu mwanamke wa5 niliyowaona wakihojiwa mama Ashraf mke wa kwanza watoto 2 Kuna mama Naa mke wa pili ndy aliyechuma nae kuanzia kiwanja hd nyumba miaka 6 wameishi wamepata mtoto 1 Kuna yule asiyemuoa kazaa nae watoto 2 kuna huyu hajazaa nae kakaa nae miaka 2 Mwisho Marehem Swalha wameishi ndy baadae ndoa miezi 5 wamependana ndy wakafa hawakubahatika kupata mtoto Hapo sasa asisemwe Swalha hajatulia wenyewe mnaona maneno ya ma x wanavyotoa ushuhuda 2022 ndy wameachana na huyu Swalha kaishi nae hd mwaka jana 2021 wamefunga ndoa sasa huyu wameishi wapi hd kufika mwaka huu na Swalha yupo humo ndani yaani Ma x hawaeleweki interview zao wanajikanyaga familia nayo vile vile dah. Tukubali Saidi alikuwa kivuruge hapo kuna watoto wengine hawajaonyeshwa wala kuhojiwa wazazi wao jaman ifike kusema tusihukumu mkamilifu hakuna
@wardw30222 жыл бұрын
umeona kumbe
@khamisdaima14552 жыл бұрын
Na hapo Huyo said asingelikua na Mali usinge muona mtu kujitokeza hapo
@judithcha-mushala88522 жыл бұрын
Huyu jamaa kwa shuhuda hizi anaonekana alikuwa na matatizo ya ugonjwa wa akili, shuhuda inaonyesha alishawai kumeza vidoge na pombe ili ajiue
@sarahgaula22202 жыл бұрын
Washafika 7
@mo_hustler90992 жыл бұрын
Sema huyu mwamba kazingua Bora angejiua akiwa hana watoto sasa amejiua huku ameacha watoto Unafikiri watoto wataishi kwenye mazingira gani? Cjapenda jamaa alichokifanya Bora angeachana na huyu mwanamke
@zayanazayana53532 жыл бұрын
Kuna vitu majumbani tunavichukulia poa utaona mtu ana tabia za ajabu ukali mwingi kumbe ana tatizo la akili bl kujua matokeo yke hasara na misiba
@judithcha-mushala88522 жыл бұрын
Kweli kabisa alikuwa mgonjwa wa akili
@salomewandya72572 жыл бұрын
Kabisaaa ukiona hivi bora ujitoe
@chomasongidion60472 жыл бұрын
Kijana utulivu ziroo,tamaa mbele mauti nyuma,nakwasasa wanawake kuna jambo la kujifunza,ukiiona mwanaume haeleweki muachie mbolo yake,tembea na kuma yako huenda ukapata mtakae endana nae,maisha matamu hakuna mtu atafurahi mateso,swalha aliishi kwa mateso makubwa
@nickodemsimchimba5942 жыл бұрын
Naona pembeni Kuna danga lingne linataman kuongea au kuchomekea maneno 🤣🤣🤣🤣
@hidayamakuka78762 жыл бұрын
😂😂😂😂😂
@rosestigeneriksson83872 жыл бұрын
Una miaka 23🤣🤣🤣
@madamhappymwalongo36532 жыл бұрын
🤣🤣🤣🤣
@hawasaid71512 жыл бұрын
Amefanana na mashalove
@annayessa52562 жыл бұрын
Sana had me nimeona ivo
@maisarah68192 жыл бұрын
Tofauti n maziwa tuu apa
@marryeliasmarryelias92892 жыл бұрын
Mimi Dada huyu dada kanipiga na kitu kizito, alikaa na saidi miaka 2 afu Ana watoto3, inaana alikua akijifungua na kubeba mimba au Mimi ndio sijaelewa🙇🙇🙇
@mcback43842 жыл бұрын
Huyo Dada nyuma si ndio alisema ni rafiki yake salha kabisa kumbe ni rafiki yake pia huyu, inaelekea pia alikua mke wake
@ahz69072 жыл бұрын
sishangai kusikia hata huyo dada wanyuma keshaliwa na saidi
@lilyrose79832 жыл бұрын
😂😂😂
@gtgmediaproduction7642 жыл бұрын
Alikuwa maraya tu pesa bira Yesu
@Awatee2 жыл бұрын
🤣🤣🤣Yesu kafanyaje tena jmn
@paulinacherement25342 жыл бұрын
Innalillah wainna ilaih rajiun. RIP brothers.
@michaelmchodo33072 жыл бұрын
Basi sawa
@maryevarist85832 жыл бұрын
Dah
@athumanibakari56562 жыл бұрын
Alimuachia watoto 3 alaf hajawah kuzaa nae apo sijaelewa😂😂😂
@verenabenjamin78932 жыл бұрын
Amjamuelewa alikuwa akiishi nae na watoto watatu means watoto wa said
@shaniramsale53242 жыл бұрын
Hata mimi sikuelewa🤣🤣🤣
@samiajabu22562 жыл бұрын
Hapo tyu kwa miaka 23 unaongopa
@naftaribulenya58472 жыл бұрын
Si ndio hapo Sasa kumbe umeisoma na wewe🤣🤣
@nataliakenny94992 жыл бұрын
Nyoote mlikua wake zake akini nahisi mtu aliempenda Sana alikua swallher,,maana hi inaitwa kufa na kuziana jmn duh
@bettynkunga23212 жыл бұрын
Angekuwa anampenda angempiga na kumuua, angejiua mwenyewe kuthibitisha anampenda
@miriamwinston99082 жыл бұрын
Upo sahih kwan ameshindwa kuwaua wote hao.aliopita nao kaamua kumuua swallher ili asibaki akapendwa na mwingine ameona bora wote waende tu
@emmysfitnessandforex94032 жыл бұрын
Nyoko nyie ndo mkinyanyaswa mnahisi mnapendwa...jua kutofautisha...huenda kafanya hayo kwasababu ya aibu...huwez kumuua unayempenda
Aseee Huyu mtoto nimemwelewa kichiz naipataje mawasiliano #millardayo
@doreencharles28362 жыл бұрын
🤣🤣🤣🤣🤣
@musason16802 жыл бұрын
@@doreencharles2836 frusa asee nikiipata hii najiweka
@mbarikiwambarikiwa64792 жыл бұрын
Unataka ukachote maji kwenye kisima cha said 😅😅
@musason16802 жыл бұрын
@@mbarikiwambarikiwa6479 🤣🤣🤣 me nimemwelewa t mtoto asee
@fizomedia51122 жыл бұрын
Shida siijui mi nadhan hayo maden aliyolipa yalimchanganya huyu jamaa
@fizomedia51122 жыл бұрын
Mi wala simsemi huyo jamaa mpaka kuamua kujiua sio jambo dogo
@fizomedia51122 жыл бұрын
Maisha yangekua bila mawazo yoyote makubwa wala sio sababu kusema mwanamke bali kachanganywa tu na maisha aisee🤮😓dah haya maisha yana siri nyingi
@catherinemuhagama73382 жыл бұрын
Namm nlsema hvyo huyu jamaa maisha ndo yalmchanganya tu swalher imekua njia ya yy kujiua tu basii,ila kama alyachoka si angejiua mwenyew tu kulko kuua dada wawatu yan binadamu bhana
@fizomedia51122 жыл бұрын
@@catherinemuhagama7338 kweli kabisa yani
@sarahomary36152 жыл бұрын
@@catherinemuhagama7338 kwakweli yani dah mdada WA watu ndiyo tegemezi kubwa kwao maskini
@teddyoscar68762 жыл бұрын
Na yule mtoto wake Ashrafu anaonekana atakua kama baba yake daah maskini Mungu amnusuru huyo Ashrafu, Said hakuwa mtu mzuri naona alikua na madudu kichwani
@rinaldaoman78922 жыл бұрын
KWELI kabisa yuke ashrafunanaonekana ana roho.mbaya sana
@ednajeremiah9282 жыл бұрын
Mimi naona hayo yote ni kumdhalilisha marehemu said kafakufa wakujibu hayo yote ni nani????????😭😭😭😭😭😭
Said alitaka makuu. Said wa mapepo congratulations gal u left him
@mathewdyzymaleyafrica91282 жыл бұрын
apepoulimpa hii ni mitihani amabayo hakufanikiwa kushinda wivu ulizaliwa na upendo wakupitiliza kwa wake zake hata kujiua na kuchanganyikiwa uchumi ulikua unamsumbua kuhusu ushirikina mke a mwisho ndio alikutwa na hivyo vijimambo mpaka babayake kuitwa na kuja na mganga kitulize
@neemamathew74652 жыл бұрын
Haya mambo ya uke wenza sass jamn,, kumbe alikuwa na wanawake weng
@amirmbuyu57332 жыл бұрын
Huo sio ukewenza,wakewenza huishi kwenye ndoa ya mume mmoja kwa wakati mmoja,hao wanawake wa Said Kila mmoja ameishi nae kwa wakati tofauti, acha upotoshaji kama hauelewi waulize wanaojua
@neemamathew74652 жыл бұрын
Ndyo ni sawa,,, rakn hayo ndo madhara ya kuolewa na mwanamme ambae alishawahi kuwa na wanawake weng wengne amezaaanao🙄🙄
@alextz58773 ай бұрын
Ndo muache kukimbilia wanaume wenye pesa hamjui wanapata je hzo money but mapenz ya kweli siyo pesa ni upendo na amani ndani ya nyumba
@hawashosi2 жыл бұрын
Poleni
@sabihaibrahim1432 жыл бұрын
Wapo wengi hao wake utahoji wangapi
@aishaalbalushaishabalush82912 жыл бұрын
😂😂😂😂😂😂
@vesitinarevocatus73332 жыл бұрын
Kwani saidi alikuwa nawakewangapi
@leokamil62842 жыл бұрын
Saidi wa kumuombea tu Mungu amsamehe alikuwa na matatizo. Swallha kawa victim tu Mungu ampumzishe kwa amani Swallha watu wamemzomea sana bora ukweli uwekwe hadharani hakuwa malaika
@swaggerizedninjagoseprocom85232 жыл бұрын
23yrs old
@piusphilip3072 жыл бұрын
Mwandishi mbona umemtolea mbavuni huyo mpambe wa mjane hahahahahahaha
@goodhelpnolland67922 жыл бұрын
Sasa huyo mwingine mbona anadakia maada wakati hajahojiwa yeye
@zainabwage46582 жыл бұрын
Uyo mwengne mke wa homorapa pia ni rafik wa marehem wote
@ciarmnyone7382 жыл бұрын
🤣🤣🤣🤣
@neemaboniphace3492 жыл бұрын
🤣🤣🤣🤣🤣
@shukranichomolla49772 жыл бұрын
Mmmh dada eti tuangalie na wanaume wenyewe utamjuaje si mpaka uingie uyaone
@isaacmwaseba99722 жыл бұрын
KUNA WATANZANIA AKILI KICHWANI HATUNA MMEAMBIWA NI KAZIKWA WAPI MOJA KWA MOJA TAFAKARI WANAUME WA HUKO KABLA YA KUMLAUMU MTU TAMBUA ASILI YAKE KUPIGA NI KAWAIDA TU. HUYO MWAMBA KWAO HUKO MARA NI SHUJAA ILA KIBINADAMU SIO KABISA.
@monadinadi52952 жыл бұрын
Hyo said ni mkorofi Sana pia labda alikuwa na maden bank yote yanawezekana. Jmn marehem asemwi lkn mmmh alikuwa htr said. Hya hyo mama mkwe amesema kaonewa wkt said ndio alikuwa mkorofi Asante Dada umeongea km familya ya swallaher.
@mrpresident36202 жыл бұрын
Huyu saliha ilikuwa hapendeki na wazee wake wanasema uongo leo ukalale mkoa siku 3 unatoka unaenda mpirani bila ya izini ya mumeo
@rosefredy53982 жыл бұрын
Miaka 23 jaman hahaha mbon mkubwa usoni au macho angu
@damariszuckschwert94892 жыл бұрын
Ngono za mapema. Miaka 23 ashaolewa na kuachika?
@welcometoeat1652 жыл бұрын
Mambo mengi mjini mtu akifka miaka 20 utasema anamiaka 40 🤦🤦🤦🤦🤦🤦🤦jua kali
@rosefredy53982 жыл бұрын
kwakweli tunazeeka mapema uwii
@malak-lz6kx2 жыл бұрын
Wabongo kwa kujifanya watoto hawakuwii bs mastaa wamezidi kabisa.
@lilyrose79832 жыл бұрын
@@malak-lz6kx Mi mwenyewe Nina 40 lkn ukiniuliza nitakwambia 25😂😂😂 sijali Wala nn 😂 😂
@missmoona44972 жыл бұрын
Bora shoga uli move on mapemaaaa vinginevyo saaiz tungelikuwa tuna lia msiba wako, pia mkulya si wakumchezea nina historia nao hilo kabila ali wah ishi na ndugu yangu alinusurika kukatwa sikio sio kwa mbio zile ndugu yangu yule😂😂😂😂hapo ndio siku alio move on mbali na hapo alichezea vipigo vya mbwakoko yule hata ndugu alikuwa hapend no kutoka mke lkn vipigo sasa🙌🙌🙌🙌nakushikiwa silaha mara kwa mara kina muraa wanatabu sana aiseee
@fatmafatu11282 жыл бұрын
🤣🤣
@giftpeter91182 жыл бұрын
Miak 23 mmmmh
@timelessdaddy.25422 жыл бұрын
Sura imevimba iyo ati miaka 23 kenge ww
@zainabwage46582 жыл бұрын
Labda 46
@catherinemuhagama73382 жыл бұрын
🤣🤣🤣🤣Jamanii watuuu
@mdta81612 жыл бұрын
😂😂😂😂
@sophiakassim67842 жыл бұрын
😅😅😅😅 kajua kutuvunga zee zima iloo
@suzyclement38992 жыл бұрын
Si alikua analia jamani... Na wengn ndo walivyo umbwa na Mungu
@mariej69622 жыл бұрын
Yeye mwenyewe na mazingira aliyopitia ilikuwa ni timed bomb 💣. Vidada vyenyewe maskini haviwezi kujua hatari yoyote, vinajipeleka tu, moral of the story, olewa na mtu unayemjua kweli siyo kwa hisia za mapenzi ya siku 2 au 3.
@soberkaleya51482 жыл бұрын
Yakobo 4a: 6 Lakini hutujalia sisi neema iliyozidi;....." *TUNAPOKEA SASA TOKA KWA MUNGU NEEMA ZAIDI NA KUONGEZEKA KWA UTENDAJI WA NGUVU ZAKE MAISHANI MWETU. UJUZI WA NENO LAKE UNATUFANYA TUTEMBEE KATIKA WINGI WA NEEMA AMBAYO HUZAA UPENDELEO, UZURI, NIA NJEMA, MAPENZI MEMA, UKAMILIFU, UTUKUFU NA UWEZO KATIKA MAISHA YETU, HALELUYA!!!*
@ashurakiswamba70852 жыл бұрын
Sifa za marehem kumbe hata swalha angeachika balaaaa huyo said hapo mwanza maana hana sifa za kuzungumzia bora mtu unyamazee
@salomewandya72572 жыл бұрын
Duh nasikia Mwanza wasichana wengi kapita nao
@josephlorri4312 жыл бұрын
Ashura ulimfanya nini diwani wetu
@mbarikiwambarikiwa64792 жыл бұрын
Pesa dear ukiwa nayo unafanya lolote.
@kazkaz19432 жыл бұрын
Kuoa oa ni kujitia mikos tu kila nyuchi ina mambo yake nyingine ukilamba kali kama jiki na maisha yako yanakua meupee kama yameoshewa jik mia mbovu hupati🥺🥺
@happinessteven24012 жыл бұрын
😅sitaki bhn
@noonelike63822 жыл бұрын
Kweli kabisa 👌
@daudimwidimakihanda53862 жыл бұрын
🤣🤣🤣🤣🤣 Nyuchi ina jiki we bwana mbavu zangu
@Awatee2 жыл бұрын
@@daudimwidimakihanda5386 🤣🤣🤣🤣watu wana maneno humu
@aishaalbalushaishabalush82912 жыл бұрын
😂😂😂😂😂😂
@emmakifimbo67922 жыл бұрын
Mmmh jamaa marehemu alijua kuchagua wake zake wote wazuri sana kama mke wangu
@mwawekomiuda97792 жыл бұрын
Kutokana na maelezo inaonekana ana matatizo tangu kazini kwake na na wivu mwingi vyote vilikua vinamzingua na kwa kua alikua na hasira za karibu. Bila shaka ndio yametokea hoyo. Lkn kila mtu ana mwisho wake.
@jacklinebrightness45132 жыл бұрын
Marehemu Side alikuwa anapenda wanawake weupe mwee
@ashamakelele70022 жыл бұрын
Alikuwa anapenda mashangingiiiiii
@ezabethenock35642 жыл бұрын
Wakury wanapend wanawak weupe
@fatmasaid94002 жыл бұрын
Roho ya kujua kumbe ni yake
@ashamohamed93742 жыл бұрын
Nimejaribu kufatilia lakin asilimia kubwa ya ss wanawake tunatak kushindan na mwanaume ww ukisha olewa kubali kuwa chin mumeo akikukataz jambo usifany pia kuna kuomba ruhusa na kuaga asilimia kubwa ss wanawake hatujui kuomba ruhusa tunaaga pia pale tunapoag tukikataziwa bc usiende lakin mtu umekataziw ila ww unaenda mwish wa siku utatokea tu ugomv wanawak wote walio ojiwa wote hawakubali kushindwa nao wanatak wafany kama mwanaume anavyo fany
@nururaymond52 жыл бұрын
Mungu atupe mwisho mwema Ila Said inaonyesha hakuwa mwaminifu...ana wanawake wengi kwa kipindi kifupi kifupi...na inaonyesha wkt anaoa na nje Anaendelea kuupiga mwingi kulingana na hadithi za hao wanawake wengine unagundia jamaa alikuwa anakata mti na kupanda mwingine.,.,,na huenda Swallah Ndio aliolewa KWA NDOA wengine waliishi ama walifunga Ndoa ya kimila maana Hawa wanawake wengine wanavyopenda Camera wangeshatoa na picha zao za harusi
@zaraally22952 жыл бұрын
Wakurya na wasukuma wanapenda kumiliki wanawake wengiwengi ni tatzo😢😢😢😢
@jacklinekanunu53902 жыл бұрын
Usiwafananishe wasukuma na wakurya wako tofauti sana.
@estherkimario79402 жыл бұрын
Said alikuwa kivuruge Ila sasa dada kwel una miaka 23 mmmmh uwongo huo mbona hufananii kuwa na miaka hyo
@jackyluns82242 жыл бұрын
Kwahiyo ulitaka akuambie miaka 30 Ni miaka yake kwani inakuuma nini kwanza humfaham hebu tuachie ndugu yetu
@mariyamgharib9402 жыл бұрын
😁😁😁
@lilyrose79832 жыл бұрын
Hata mimi pia nina 40 lkn ukiniuliza nitakwambia Nina 25 😂😂😂sijali Wala nn 😂😂