Leonardo alivyotisha ktk fainali ya cheka tu

  Рет қаралды 1,288,213

Sky revolution

Sky revolution

Күн бұрын

Пікірлер: 372
@esaukalanje5378
@esaukalanje5378 Жыл бұрын
Zembwela anajiona yeye ni legendary kwamba Hakuna jipya kwake huu ni unafik wa Hali ya juu kifupi ni kwamba Dogo anajua zaid yake tena sana, kanuna Kama bundiii
@KhojaNasri
@KhojaNasri 9 ай бұрын
Roho Zaifu tuu na Hana Cha kuchekesha zembel
@supertal2943
@supertal2943 7 ай бұрын
Hata japo ange smile tu!
@emmanuelmasoko1013
@emmanuelmasoko1013 5 ай бұрын
Zembwela anachekea tumboni
@elmiaxmed6870
@elmiaxmed6870 4 ай бұрын
Msenge tu
@mohammedkidody5618
@mohammedkidody5618 4 ай бұрын
Mshamba tu
@CharlesRutandula
@CharlesRutandula 4 ай бұрын
Wangapiiiiiii tumemuona Tx dullah apo nyuma ya zembweee Wakati wa mungu ndo wakati sahihii😊
@YusuphMarcOgaga
@YusuphMarcOgaga 2 жыл бұрын
Zembwela anadhani u jaji ni kuwa kauzu......aangalie British Talent show ajifunze ujaji anamuondoa mtu kwenye reli anadhani anakosea
@willykikwete3176
@willykikwete3176 2 жыл бұрын
Dogo yupo vizuri kiukweli. Nakutakia kila lililo jema kwako!
@georgedamas7097
@georgedamas7097 2 жыл бұрын
Zembwela umeongeza mzuka kwa Dogo big up.
@georgesamwelchacha7680
@georgesamwelchacha7680 2 жыл бұрын
Zembela anazingua Mpelekeni kwenye bondi za korosho huyo make ni mgumu hachekagi huyo 😂😂
@emmanuelmasoko1013
@emmanuelmasoko1013 5 ай бұрын
Anachekea tumboni
@AsumanAbubakar
@AsumanAbubakar 2 ай бұрын
Atakuwa ana bandama 😂😂😂
@mackzedon6611
@mackzedon6611 2 жыл бұрын
Anaweza sana huyuu jamaa
@gladnessmrosso2990
@gladnessmrosso2990 2 жыл бұрын
Huyo jaji mwingine amekaa Kama bodyguard 😂😂😂😂😂😂😂😂😂
@kennyamen628
@kennyamen628 2 жыл бұрын
Zembwela uyo
@Lee-ng5wh
@Lee-ng5wh 2 жыл бұрын
Mpk anaboa
@michaelibrahim3746
@michaelibrahim3746 Жыл бұрын
Very nice
@OfficialKajenga
@OfficialKajenga 3 ай бұрын
Jaji ni atary huyo
@OfficialKajenga
@OfficialKajenga 3 ай бұрын
Jaji ni atary huyo
@josephkioko1809
@josephkioko1809 10 ай бұрын
That guy In suit Ako serious sana.
@langemwepesi
@langemwepesi 3 ай бұрын
Haawezi enjoy hii show anajifanya amevaa uhusika wa kijinga kweli,jiachie jienjoy😂😂😂
@3kings63
@3kings63 2 жыл бұрын
We need comedy like this one wengine wao wanajua wanawake tuu hakati tuna maisha ya zaman ambayo ni zaid ya kichekesho
@OrecyOwden
@OrecyOwden 2 жыл бұрын
Yah point
@newgeneration9524
@newgeneration9524 2 жыл бұрын
Wanaongelea kuhusu ngono tuu
@amimuabdul9023
@amimuabdul9023 2 жыл бұрын
Nataman saan kuona bato ya huyu mwamba pamoja na Mr. Romantic
@TracyAtitwa
@TracyAtitwa 6 күн бұрын
Jamaniii!!!Zembweee hiyo ni uchoyo ata kucheka pia haaah😢😂😂,,big up nduguu 🙏💥
@jamesmachiwa3679
@jamesmachiwa3679 10 ай бұрын
Kiukweli Nashidwa Kujua Kwa nn Sijawahi Ona Comedian Anaeweza Nikuta kuchekesha. Naombeni Siku Moja Tanzania itakwe nda kunitambua na Mm nitaipeperusha Bendera kote mbali
@edwardjosephchacha7167
@edwardjosephchacha7167 Жыл бұрын
Yani watu wengine walikuwa wanacheka zembwera maana alikuwa amekaza sana
@SolomonMoses-s6t
@SolomonMoses-s6t Ай бұрын
I love this video It's takes me to somewhere
@MagrethAlly-wd5sx
@MagrethAlly-wd5sx Жыл бұрын
I favorite the song ❤❤❤❤rose and fenny the qn of power
@jomwenomkal
@jomwenomkal Жыл бұрын
Sky revolution tishaaa saaaanaaaa mwamba orecy in the beat
@user-pt9wu7ff1p
@user-pt9wu7ff1p 5 ай бұрын
Leonaldo we hufai nakutakia matawi kaka fumba mbali mana huzuirik tu wewe Mungu awe nawe blood mmasai shabik yako apa,,❤
@user-nb1pn9qh4e
@user-nb1pn9qh4e 7 ай бұрын
Blo wewe ni fundi nakubali lakini Nina option Moja utunge Story "make msomi na Mme ambae hajasoma Kwamba sasa ikatakiwa wote wawepo kwenye mkutano make na Mme sa mkutano huo unfanyika Kwa kingereza mume hajasoma sasa itakuaje Ili wasiumbuke wakakubaliana Kwamba ikitokea habali yakucheka make atashika pua Ili mMewe nae acheke asije kuonekana tofauti sasa make kasahau Yale makubaliano kashikwa namafua kashika pua Mme kama sikacheka watu wakaandamana wakasema jamaa chi bonge lastory wewe fundiutajua unafanyaje
@peterkyebwe2089
@peterkyebwe2089 Ай бұрын
Dogo Leonard upo vzr mie kaka yko npo kama shabiki wko geita karibu my name peter or raster upo vzr nakufatilia toka final yko na eliud upo njema Sana..
@amantz6508
@amantz6508 Жыл бұрын
Mkali wa misimu yote ndaro OG🎉🎉🎉❤
@davidjosehp6566
@davidjosehp6566 2 жыл бұрын
Good boy kazi nzuri
@robbysonpeter8575
@robbysonpeter8575 2 жыл бұрын
Niaje
@janesmbuzi3935
@janesmbuzi3935 Жыл бұрын
Kwani zembwela nini jamani 🤣🤣🤣🤣😂😂😂
@abidandastanmaliyatabu1373
@abidandastanmaliyatabu1373 Жыл бұрын
Zembwela hacheki kakunja kweli ,😂😂😂😂😂
@AbednegoMashukra-sm4uf
@AbednegoMashukra-sm4uf Жыл бұрын
Blessed kjana
@ahmedmsangi1653
@ahmedmsangi1653 2 жыл бұрын
Kweli utabiri wangu ulitimia
@user-nj9wy5be2t
@user-nj9wy5be2t 10 ай бұрын
Noma sana Ila zembwela acha izo sapot vijana bsna
@user-kw8bo1ut8s
@user-kw8bo1ut8s 6 ай бұрын
Ulistahili ushindi kaka angu love u
@oscarmarandu7621
@oscarmarandu7621 2 жыл бұрын
Alafu hatuna time na zebwela si tunacheka tuu.
@fadybeatz
@fadybeatz 2 жыл бұрын
😅😅😅mamae iyo ya daladala ilishanitokea
@user-cp9fb3hd6k
@user-cp9fb3hd6k 7 ай бұрын
Unaweza Sana
@happynkya9770
@happynkya9770 Жыл бұрын
umetisha lakini naomba kuuliza huyo zembwela hapo amekuja kufanya nn
@OrecyOwden
@OrecyOwden Жыл бұрын
Ahahahaa hahahaha
@nicholausmbilinyi3587
@nicholausmbilinyi3587 2 жыл бұрын
Kinachomfanya zembwela asicheke ni nini sasa??watu wengine bwana...Hahahah..kujitesa usicheke ndo nini??
@OrecyOwden
@OrecyOwden 2 жыл бұрын
😂🤣🤣
@azizakitele9165
@azizakitele9165 2 жыл бұрын
Alafu anaonekana kabisa anaigiza pozi
@vickydan2869
@vickydan2869 2 жыл бұрын
Kujitesa tyuuu
@victormbugobola802
@victormbugobola802 Жыл бұрын
Anavungaga tu et upo serious😂😂😂
@edwardjosephchacha7167
@edwardjosephchacha7167 Жыл бұрын
😅😅😅😅 yani zimbwera bwana au karazimishwa kushiliki maana sio kWa usilias kama huo ...
@chimdamianvi752
@chimdamianvi752 2 жыл бұрын
Dah yani mim sichoki kutazama hii
@user-gc8bx8zh3n
@user-gc8bx8zh3n 10 ай бұрын
Mmm hicho kibaba kipo Kama bodigadi sura ngum hatakiwi kabisa kuwa sehem hiyo
@pillyramadhani3726
@pillyramadhani3726 10 ай бұрын
Congratulations ♥️
@user-fb2pi4kt7f
@user-fb2pi4kt7f 7 ай бұрын
Umeuwa mwanangu 👏👏
@YesseSaimoni
@YesseSaimoni 27 күн бұрын
Hahha Jamaa hacheki kabisa
@alfredbizimana7814
@alfredbizimana7814 Жыл бұрын
Hilo lijama jeusi limenuna kamamfuko wa mkaa uliyo loana kwenye maji, senge sana! Kwani limekuja ku judge Nini hapo, Bora walipeleke Sudan likakutane na wenzake🏃🏃🏃
@salamasaidi6620
@salamasaidi6620 Жыл бұрын
😆😆😆😆😆
@gibsonjosephat6352
@gibsonjosephat6352 4 ай бұрын
Nilizembwela kuma
@deboraelias3333
@deboraelias3333 4 ай бұрын
😂😂😂😂 kilichompeleka cheka tu ni kitu gani sijui
@HusseinSuleiman-g3b
@HusseinSuleiman-g3b 5 күн бұрын
We mzee mwenye miwan acha figisu Cheka bas umekaa umenuna kama paka kanyimwa samaki
@barakaelikana8726
@barakaelikana8726 Жыл бұрын
Aliyemuona TX DULLA nyuma ya zembwela weka likè hapa
@mariamally8548
@mariamally8548 3 ай бұрын
Hapo hapa mchekeshaji hata mmoja hao wote vicheko vyao vipo karibu
@Baba_Ben.
@Baba_Ben. 3 ай бұрын
Kwa kweli
@joakimukenedy3582
@joakimukenedy3582 2 жыл бұрын
Zebwela mnamwejaga wa nini narisura lake kama tako
@victoriarichard8761
@victoriarichard8761 5 ай бұрын
😂😂😂😂
@AishaAthumanimohamedi
@AishaAthumanimohamedi 5 ай бұрын
😂😂😂😂wewe
@AishaAthumanimohamedi
@AishaAthumanimohamedi 5 ай бұрын
Yako Tena nimechoka Kwa saunti. Mnooo
@glifehack5997
@glifehack5997 2 ай бұрын
😂😂😂😂😂😂😂
@grace-t5m
@grace-t5m 15 күн бұрын
Acha wivu
@adammanyendi7577
@adammanyendi7577 2 жыл бұрын
Uko sawa kaka
@user-rs4ft6ig7v
@user-rs4ft6ig7v 8 ай бұрын
Wew Ni Mwamba💪
@kalistkalisa5825
@kalistkalisa5825 2 жыл бұрын
Nakubar kaka
@TryphoneGotham
@TryphoneGotham 26 күн бұрын
Daaaaah huyu mwamba ni hataree 🔥🔥🔥
@hasnajuma5567
@hasnajuma5567 2 жыл бұрын
Hapo kwakuludi kwa wenzako nimecheka mpaka bas🤣🤣😆
@jarukhan_tz1326
@jarukhan_tz1326 2 жыл бұрын
Bofya hapo juu usikie Diamond alichokisema juu ya huyu dogo, "Leonardo lazima nimtimue"
@bumbuli4170
@bumbuli4170 2 жыл бұрын
Zembwela mshamba sana
@husseinchiaseeds2653
@husseinchiaseeds2653 2 жыл бұрын
Huyo mwenye miwani sasa
@davianofficial6972
@davianofficial6972 2 жыл бұрын
Zembwela mjinga kwamba ndo kujitofautisha au nn ushamba tu
@emmanuelmasoko1013
@emmanuelmasoko1013 5 ай бұрын
Anachekea tumboni
@AsumanAbubakar
@AsumanAbubakar 2 ай бұрын
Daah uyu ndo no one comedy tanzania nanianabisha nihatali sana 😂
@ALIMOHD-bk9lr
@ALIMOHD-bk9lr 3 ай бұрын
This guy is talented surely.
@josephiligo5855
@josephiligo5855 2 жыл бұрын
Baba Levo kanunu Sana
@user-rr5wq6sg6c
@user-rr5wq6sg6c 4 ай бұрын
Sio baba levo ni zembwela
@adamrajabu231
@adamrajabu231 2 ай бұрын
KAMA UMEMUONA TX DULLAH GONGA LIKE HAPA😂😂
@Benkimelock
@Benkimelock 11 ай бұрын
Uyo jamaa wa macho nne anajilazimisha asicheke kbx yaan😂😂😂
@emmanuelmasoko1013
@emmanuelmasoko1013 5 ай бұрын
Anachekea tumboni
@user-qs7jb4fu4h
@user-qs7jb4fu4h 4 ай бұрын
Zembwela ana madeni vikoba adda yaan
@PendasonMdegela
@PendasonMdegela Ай бұрын
Zembwela yupo serious hatare. Lazima akachekee kwake
@mohammedkidody5618
@mohammedkidody5618 4 ай бұрын
Huyu leonardo anajw mpk anakera😂😂😂
@GivenMwatebela-hi3tr
@GivenMwatebela-hi3tr 2 ай бұрын
May God keep you longer
@Salmaismai
@Salmaismai Жыл бұрын
Zembwela jaman😂😂😂😂😂
@jovinjames6130
@jovinjames6130 Жыл бұрын
Wanng kuna mjomb aliyevaa miwan achek cjuh ana bandama
@emmanuelmasoko1013
@emmanuelmasoko1013 5 ай бұрын
Anachekea tumboni
@kondoatown8765
@kondoatown8765 2 жыл бұрын
Majaji wamejaji kihalali kbsaa
@GoodluckMwakibuja
@GoodluckMwakibuja 2 ай бұрын
Kama unamkubali Tia like
@lewismpangala927
@lewismpangala927 2 жыл бұрын
Zembwela Kama FBI agent
@ufugajiwetu7782
@ufugajiwetu7782 Жыл бұрын
Ana sifa tu
@lamerckmsuya5513
@lamerckmsuya5513 2 жыл бұрын
Kaliiiiiii
@NaphyMacmillan-jh3vc
@NaphyMacmillan-jh3vc Жыл бұрын
Tulia kwa kutulia msanii wngu apa Naphy sky sky revolution njoo dom tufanye kaz
@user-ts4zn1sx7h
@user-ts4zn1sx7h 28 күн бұрын
Namkubal hyo kinaja ❤❤❤❤
@user-ih7zp7kc2u
@user-ih7zp7kc2u 3 ай бұрын
Kazi ya bibi inaonekana Leonard
@Rarpha
@Rarpha Ай бұрын
Tx dullah alikuwepo hapoo
@HusseynShekalage
@HusseynShekalage 14 күн бұрын
umetisha
@YahayaShabani-px1sh
@YahayaShabani-px1sh 9 ай бұрын
Zembela unanini umenuna mwanzo mwisho na tinted yako usoni🤣😂🤣😂🤣
@johnzakayo114
@johnzakayo114 5 ай бұрын
Ana masifa tu na yeye,au roho ya kukunja
@mohammedkidody5618
@mohammedkidody5618 4 ай бұрын
Kama jambazi
@MagdalenaHoja-jh9qg
@MagdalenaHoja-jh9qg 4 ай бұрын
Katajwa na dymondi kwenye nyimbo anavimbaaaa kashakua maarufu anajikuta
@user-en6kd4yy6m
@user-en6kd4yy6m Жыл бұрын
Ametisha mwamba 😂😂😂😂,ila zembwela mb!!
@phillydepay2790
@phillydepay2790 2 жыл бұрын
So good
@user-do5vd5uu2e
@user-do5vd5uu2e 11 ай бұрын
Achekeshi ndo mana zembwela kabinyau safi sana
@antazypoka3752
@antazypoka3752 3 ай бұрын
Chekesha ww
@AthumanYuda
@AthumanYuda Ай бұрын
This guy is amazing
@victorosong132
@victorosong132 3 ай бұрын
Kiongozi awe na akili timamu😂😂😂
@fatmakhamis9982
@fatmakhamis9982 2 жыл бұрын
Haishi hamu hii comed hasa yahuyu jamaa nampenda
@Edumastermind01
@Edumastermind01 3 ай бұрын
I dont know what language he is speaking lakini jamaa anajua sana
@Harmocriss-xb5id
@Harmocriss-xb5id 10 ай бұрын
Ila kusema kweli wana komed bang lazima
@user-mt1dr8ph3p
@user-mt1dr8ph3p 2 ай бұрын
Nimejikuta nacheka mpaka majirani wakajuwa leo nina mchepuko ndani 😂😂😂😂😂 wasoma comment msinikanyage please
@Achuzkix
@Achuzkix 2 ай бұрын
Niko na wewe 😂
@ramadhanally6405
@ramadhanally6405 Ай бұрын
haa wanawza
@irenekaro2848
@irenekaro2848 11 ай бұрын
Zembwela alishazoea kuchkesha kwa kutumia nguvu sasa vijana wa sikuizi wanatumia akili sana ndo maan acheki
@rashidkipingu7358
@rashidkipingu7358 3 ай бұрын
Umetisha sana
@Jamilahjm-l3c
@Jamilahjm-l3c Ай бұрын
❤️❤️❤️nakukubali sana
@ElkanaPetro
@ElkanaPetro Жыл бұрын
Noma
@HahaRichard
@HahaRichard Ай бұрын
😂😂😂😂😂 unaweza ukakaxlika alafu unacheka bila kutaka
@yonenedady996
@yonenedady996 2 жыл бұрын
Darr uyo mwana fund xana
@masatumalima5367
@masatumalima5367 2 ай бұрын
Kuna jitu hapo lina roho mbaya limekunja sura tu
@yusuphmaginya5859
@yusuphmaginya5859 3 ай бұрын
Kwa kifupi huyu jamaa ana akili sana ktk ucheshi wake
@samwelcharles4450
@samwelcharles4450 2 жыл бұрын
Hahahaahah guyz hii ya dereva kusali ilintokea nilimuona dereva wa basi nililopanda kabla ya safari akapga njia ya msalaba hakiamungu niliwaza safari nzima afuu ilikua usiku
@strong8534
@strong8534 Жыл бұрын
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
@medardboniphace2477
@medardboniphace2477 Жыл бұрын
Nakukubal bro 😂
@davianofficial6972
@davianofficial6972 2 жыл бұрын
So talented
@maxmilianimwakaniki2671
@maxmilianimwakaniki2671 2 жыл бұрын
Nakukubali Sana leonaldo
@joeljohn6351
@joeljohn6351 3 ай бұрын
Zembwela kama senge vile lipo seriously wakat yeye mwenyew alikuwa hatuchekeshi kabisa
@FrankJohn-ij2uh
@FrankJohn-ij2uh Жыл бұрын
nakukbrii..Sana'a
@JoyceAdamukisagati-hy7gr
@JoyceAdamukisagati-hy7gr 2 ай бұрын
Jaman hapo nisehemu ya kucheka sasa mtu kama unajua hutaki kucheka sasa umeenda kufanyanini?? unatisha wenzako bana
@OLIVERSTEPHANO-gy3bu
@OLIVERSTEPHANO-gy3bu 2 ай бұрын
Zembwela bonge la nyau roho mbayaaa Tu jamaa anajua kuliko yeye hapo awali
@hukuUJERUMANI
@hukuUJERUMANI 2 жыл бұрын
".. kata ushanga hamna namna"🤣🤣🤣
@rashidimakanjila
@rashidimakanjila Жыл бұрын
Tktk
@user-nb1pn9qh4e
@user-nb1pn9qh4e 7 ай бұрын
Bana kunA story fulani hiv mke na mme mke msomi mme hajasoma sasa yule mke akawa nimwajiliwa kwenye kampuni ikatokea mkutano kila mtu aende namwenzake sasa mkutano unafanyika kwa kingereza mme hajasoma wakakubaliana ili wasiumbuke kwamba ikitokea story ya kuchekesha mke kwakua yeye atakua ameelewa atashika pua ili mmewe acheke wakaingia mkutanoni story ya kwanza ikawa inachekesha akshika pua wakacheka jamaa alikuwa makini ili asimuaibishe mkewe sas mke kashikwa namafua gafla sunajua chafya mala pu kasahau makubaliano akashika pua mume wacha aangushekicheko wakamtimua
@user-wb5nl9yt5n
@user-wb5nl9yt5n Жыл бұрын
Moumaa sana
ROASTING (NDARO VS LEONARDO)
15:34
Cheka tu
Рет қаралды 882 М.
Magic trick 🪄😁
00:13
Andrey Grechka
Рет қаралды 44 МЛН
Kids' Guide to Fire Safety: Essential Lessons #shorts
00:34
Fabiosa Animated
Рет қаралды 14 МЛН
Joker can't swim!#joker #shorts
00:46
Untitled Joker
Рет қаралды 39 МЛН
NDARO NA LEONARDO WALIVO KIWASHA CHEKA TU
9:21
Ndaro Tz
Рет қаралды 293 М.
Ndaro na Leonardo Waoneshana Ubabe Jukwaani, Ona hapa nani mkali?
21:33
"Hizi hesabu mnaona nazidisha mimi nilipata F ya hisabati"
33:56
BBC News Swahili
Рет қаралды 147 М.
ROASTING NDARO(MAPENZI) VS LEONARDO( POMBE)
12:28
Cheka tu
Рет қаралды 444 М.
Leonardo amwaga vicheko kwa wafanyakazi wa CRDB BANK
17:48
Sky revolution
Рет қаралды 3,4 М.
Magic trick 🪄😁
00:13
Andrey Grechka
Рет қаралды 44 МЛН