Our Love story Podcast is a love genre chat podcast where two love birds chitchat on ho they met and their journey so far, including how they made each other in love
Пікірлер: 292
@reenvictoria4 ай бұрын
This girl is next level smarties,,, brave woman she didn’t let men sit her home, she hustled her way.and now she live her desired lifestyle. Girls should learn from her ❤❤❤❤❤
@zeyounhabibty85874 ай бұрын
Mungu wangu ivi nikweli ukizaa mapenzi yote yanaenda kwa mtoto mke thamani na mapenzi yanashuka Zipo outing za mke tu na zipo outing za familia huwezi kusema haiwezekani mimi na ww lazima alia mwisho wa maisha alia anaondoka nyumbani anakuacha na mkeo mloanza mmoja wote hii sio sawa nafkiri wanaume mjirekebishe hapo, upendo wa mwanamke na mtoto tafauti boresheni ndoa zenu , wanawake wengi ndani ya ndoa tunaishia kulea watoto na kubaki kupenda nafsi zetu na watoto mapenzi tena yanakufa kabisa badala ya kuchoka kuyapambania , mjirekebishe wanaume ule upendo wenu , ila sio wote wapo wanaume wazuri tu tena sana wanao onesha upendo still kwa wakezao na kuwadekeza yarabi wanaume hawa wape umri mrefu ❤
@Ms_.Jada.4 ай бұрын
Yan shoga umeongeaa kweli kabisa , yan uuu no ukweli ambao wanaume hata waukataee vipi itakuja kuwacost haya mambo ndo yanafanyaga wanawake tuanze kufanya sirii haya ndo yanafanya ukikutana na mwanaume ankutunza anakispoil unabadilika alafu wanaanza kualalamika yan leo nimemuelewa happy vzuur mno alafu wanawake waelewa hatutakagi mazawaadi makuubwaa yani ni tule tu vitu tudogoo ila unaona yes mwanaume ananijali ni bhas tu wanaume hawajui
@HassanAli-dd3fv15 күн бұрын
❤❤❤❤
@kilalomaerlymauya66325 ай бұрын
sema happy amenyooka sana madhaifu anayo kidogo sema yuko vzuri beka tunza huyu demu kakuvumilia sana
@nafuwswedi24655 ай бұрын
Alhamdulilah🙏🏾🙏🏾🙏🏾Mungu ametenda🙏🏾🙏🏾na Mungu awaongoze….TRUE LOVE NEVER DIE ❤❤Nawapenda sana
@mercypeledawson16225 ай бұрын
Huyu dada ni vigumu sana kumsoma, so kwa wote mliotoa negative comments mnakosea sana jmn
@nin63245 ай бұрын
Kwanza Happy ndio anampenda zaidi Beka. She is a wife, mom, a good partner. Beka you are loved by a Tanzanite keep it
@RuqqyahFeisal5 ай бұрын
Upo sahihi huyu dada wamemuelewa vibaya
@RuqqyahFeisal5 ай бұрын
Yah huyu dada anampenda sana mwanaume wake
@jescachandarua58985 ай бұрын
Kbsaa wengi hawajamuelewa iyo mbn kawaida kwenye mazungumzo
@shuhudiamtasiwa66464 ай бұрын
Happy ni mke sema huyu kaka anashida kwenye kujali hisia ya happy so happy anaongea kama anamkazia mpaka anaonekana kama anajiamini ni kama anapoteza radha ila mimi nimemuelewa sana na hakika beka asipobadilika na kumuelewa happy ataondoka tena siombei itokee ila beka abadilike
@fatumahussein97645 ай бұрын
This is me happy wallah I'm trying hard to shape my ❤ men think we need rich men to enjoy life hawajui vitu vidogo vidogo tukifanya pamoja vinatufanya mapenzi yazidi
@Ms_.Jada.4 ай бұрын
Ama kweli don’t judge a book by look it’s cover, Happy nilikuwaga namuona mwanamke flan hvii kumbe sio yan happy jins ulivo na vyote unavyovitamani ni kama sisi wanawake tulivo hapa ndo nimejua shida ipo kwa bekaa beka have to change , happy ni mwanamke mzuuri mnoo na anaweza kupata mwanaume wa ndoto zake any time ila kwa heshima ya beka ndo mana bado yupo nae ila beka akiendelea kuzingua ipo siku haapy atachoka kabisaa .
@GloryMaiko-yz6bq4 ай бұрын
Jamani mbona uyu dada yuko sawa ty me sijaona kama anakosea ❤yuko sawaa
@sophiaremmy63265 ай бұрын
Beka ana u mimi mwingi sana…punguza kidogo kaka mu enjoy maisha
@irenembura80455 ай бұрын
Huyo ni Wife material na yuko straight forward. Kuongea ni sawa mrafi anaongea point! Beautiful couple!
@andrew05024 ай бұрын
Anaongea huyo mmmh
@lilianestephanie78815 ай бұрын
Wanawake ndivyo tulivyo. Yaani happy unayoyaongea ni kweli
@nuryatmussa99665 ай бұрын
Mapenzi hayana uzee beka lazima utenge Muda mtoke wawil
@hamidaabdul60045 ай бұрын
Watching from UK if you are not careful this woman is leaving you very soon wanawake tukianza kuongea hivi ujue tunachungulia kwingine na karibuni utatokwa .
@trice_yanga5 ай бұрын
watu wa comment mnaniua mbavu😂😂😂🙌🙌beka acha ubahiri mpeleke happy vacation hata mara moja kwa mwaka😃
@TegemeoFitina-cj4vr4 ай бұрын
Mumevumiliana mambo mengi sana sasa niwakati wa kufunga doa ❤❤❤❤❤
@RuqqyahFeisal5 ай бұрын
Mbona huyu bint hana shida jmn,mnamponda bure tu jmn
@naseershiner67384 ай бұрын
Wangap wameiangalia interview mwanzo mwisho Kama Mimi ?
@ClaireHappy5 ай бұрын
Guys mbona mnamsema san uyu Binti? Mbona yuko vzr anaongea kwa adab na hekima na Anamapenz mengi kwa baba mtoto wake achen ushamba
@fatumahussein97645 ай бұрын
And to my mum Alhamdullillllah she tried to keep beautiful moments to me n my bro tulienjoy akii na si etii alikuwa rich
@PrincessHellen-pg1oy5 ай бұрын
Kujishusha ni kwa wanawake na wanaume
@user-cb3yy8tp2u5 ай бұрын
Sema beka mwanamke ni mzuri sana sema tabia yake hamuwezi kuendana kiujumla Hana adab kabisa na anataka awe juu Yako
@lisajulis15125 ай бұрын
Wanawake wote mkiwa kama happy mtaheshimiwa ujinga ujinga utapotes😂
@everlisamsyananah18675 ай бұрын
Mungu awatunze naipenda sana hii couple....msisikilize ya watu
@user-fy9pw2zr8l5 ай бұрын
Beka wew hujali kwenye mapensii wew kubali maana sisi wanawake tunataka kujaliwa
@denicdaud47024 ай бұрын
😅😅
@petermwamanga7245 ай бұрын
This is so called Perfect Combo I luv it and wish u guys best life ever
@jamilahemed51315 ай бұрын
Happy alichoongea yupo sahihi nawatu mnamuelewa tofauti tu lkn 👎
@conceptaliwewa39035 ай бұрын
Kwel kabisa
@user-en6kf2db6f5 ай бұрын
sema huyu Dem nimemuelewa beka do hamuelew mtu wake anapenda nn🙄
@RuqqyahFeisal5 ай бұрын
Tupo pamoja
@aminanamoyo835 ай бұрын
Kweli binadam hakuna asiye na mapungufu Happy yu mrembo mashallah but unaongea sana mummy pia mbishi jirekebishe sometimes acha mambo yapite mtadumu Beker anakupenda ❤
@verobecamfipa86555 ай бұрын
Kweli kabisaaaaa
@everlisamsyananah18675 ай бұрын
😅
@everlisamsyananah18675 ай бұрын
😅😅
@neemanziku54034 ай бұрын
Binti anaongea Sana
@israeluronu99585 ай бұрын
Kwenye mahusiano mwanamke akikusoma hakiliyako mapema akajua kucheza nayo watu wanaeza sema amekuchezea ufahamu..Beka mkeo kashakusoma kwamba kwake hupindui, kama umempenda kubali kubali kujishusha ilimradi maisha yenu yaende, ila angalia usiwe mtumwa wa hayo mapenzi.
@andrew05024 ай бұрын
Hicho ulichokimalizia mwishooni Cha utumwa ndo huyu mwanamke anataka sasa koz ashajua Beka amependa kweli kweli so yeye anataka Kila kitu anachomwambia Beka afuate, sio rahic ivo hata km mtu umpende vp
@user-fx7ig1uy6t5 ай бұрын
Happy ni mimi kabisa na sio kwamba hampendi beka ni vile watu hawatuelew kwa haraka
@user-rv4wm7ov3s2 ай бұрын
kumbukeni hii ni interview ndo maan uyu anaongea na uyu anaongea ili nyie muwaelewe wala sio ubabe wala kuwa juu zaidi.....mi nmewaelewa sanaa na ndo maan wameelezeana best moment zao kama walikua hawapendani wasingefikia apa😂acheni makasiriko nyie watu😂😂😂
@khadijarashidy93045 ай бұрын
Kipind kizuri ila mnatucheleweshea sana Jaman 😢😢
@gmako63 ай бұрын
yes, don't compare both of you find something mutual. Love is sacrifice.
@tausimohammedy5 ай бұрын
Masikini happy msome huyo baba Hana hela tu but anapenda afanye ivyo😂
@sund25535 ай бұрын
True nimewza hivyo
@Sindiiigirll5 ай бұрын
Such an immature man😢,Yupo na wewe just because unamtoto wake girll please runnnnn
@HidayaNgala-uk8tt5 ай бұрын
Uyo mwanamke anakupenda sana sana SEMA tu anataka awe juuu yako, ila sisi wanawake ndo tulivo
@belak9995 ай бұрын
Labda ww ndio unataka kuwa juu ya mwanaume,
@everlyne85955 ай бұрын
Tatizo nyota
@sophiaremmy63265 ай бұрын
Kutamani uonyeshwe mapenzi ndo unasema anataka awe juu yake au sijakuelewa mtoa comment
@itikamlagalila19114 ай бұрын
@@sophiaremmy6326si ndo apo
@rehemayona22234 ай бұрын
Ndio kweli anataka kuwa juu ya mumewe😂😂
@iamcurthbertvevo53025 ай бұрын
Huyo glory anaeongelewa hapo si ni glory mosses au
@Mwanasconcho_5 ай бұрын
Mmetisha sana aseee na story yenu😊
@NickTrickaddictedboy182 ай бұрын
NI MUDA WA MIEZI MIWILI NIKIISIKILIZA HII STORY, NILIKUA NACHEKI THEN NASTOP HATIMAYE LEO NIMEIMALIZA MPAKA MWISHO. WOW WHAT A NICE LOVE STORY OF YOU GUYS. MBARIKIWE KWA KWELI. LOVE FROM MAPUTO, MOZAMBIQUE I GO FOR THE NAME OF ARCHITECT - NICKSON KIMARO. HOLAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAA 😉😊😊😊😊😊😊
@babunabibii5 ай бұрын
mimi Kuna mmoja namtafuta message Moja kwa siku sijui kama tutafika huko.
@sagboison62975 ай бұрын
Pole yko babu
@AggyBarick-fh9wv5 ай бұрын
Beka bahiri jamani ,mmmh
@MariaThomas-wm9iq5 ай бұрын
Happy nimm mtupu cpend mwanaume anevaa heren
@walizanasiri49635 ай бұрын
Yani uyu ni mimi kabisa mtu unamwambia jambo moja kila siku😂😂😂 sipendi nikimwambia kitu kila siku ichoicho kaaah nalikasilikiaga ilo😅😅😅😂😂
@hbizzymelodist13445 ай бұрын
Bro jaribu ku -shape mwanamke wako hawezi kukukalia publicly hata kama unakoseaga vingine mwanamke wa hivi kumfurahisha ni ngumu sana
@DianaWilly-mr2pf5 ай бұрын
Maisha ya nyumbani usipekeleke kwenye ndoa yko
@user-fz2qd5px1d5 ай бұрын
Beka anaongea sana kuliko happy Hampi chance😂
@bosschick24175 ай бұрын
What a nice couple in the world 🎉❤🎉❤❤
@esterdoriye83775 ай бұрын
Wanawake tusikilize dk ya 31:00 kuendelea 😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅acha nicheke ndo tabia zetu wanawake ila wanaume kama beka huwa ndo wanafuture nzuri tuwe wavumilivu kama happy😅😅😅😅😅😅😅 @happy ni mimi kabsa 😅😅😅😅
@user-ih9cw2nc2m5 ай бұрын
Huyo mwanamke anaonekana mjuwaji sanaaaaaa na Hana Hali ya kujishusha kwa mumewake, nimtu anayependa awe juuuu tu Becka kuwa makini sanaaaaa maana Bado haja juwa kama Yuko na umuhimu gani ktk moyo wako anajiangaliya sana nafsi yake yaani nimtu wa mbinafsi, wale kutenda atendewe mwenzake lakini siyo yeye anaonekana mgumu kusameheee
@user-dy6mx4yc6y5 ай бұрын
Bwahahahahha yan Haya n mahusiano yangu kbs na stor zetu huwa hivyohivyo😅Halaf happy ni mimi kbs af kwa mbele yan zaid with beka vois😅
@bosschick24175 ай бұрын
😅😅😅😅😂 happy ana wivu sanaaaa 😂😂😂❤❤❤❤
@djbegge_tz5 ай бұрын
Wow....hii love story nmeipenda
@ngwacahnyagwaswa99795 ай бұрын
Hapa nachoona mwanaume siyo mtokaji mwanamke mtokaji ❤ kaka m spoil kidgo 😂 ka mamaa😂
@princessvai65 ай бұрын
Tunataka our love story ya mentor cherry na Elton please ipost na iyo🙏🙏 but kipindi kizuri sana🎉
@nanaleetz5 ай бұрын
2015 mm namaliza form 4 ndo rumors kuhus beka na aslay zikaanza
@user-ou3rc4rr2jАй бұрын
Mimi nilikuwa la tano 😂😂😂😂😂
@zepinashatibu51495 ай бұрын
❤❤nimewapenda sana mnafaa muigize nyie 🎉
@ninjaisma79835 ай бұрын
Dem wako anapenda sana exposure not bad lakini tu asikuumize sana kila anachosema kiwezekane noo ..sometimes akuskilize ww mwanaume pia asikuforce everything ❤
@user-uj5wg9mm2t5 ай бұрын
Mmmh huo mguu wa happy na yeye haviendan😂😂😂😂😂😂mguu kn fimbo ya pull
@VeronicaPeter-rm7kyАй бұрын
Ila weweee😂😂😂😂😂
@Hajer-be2kh5 ай бұрын
Hiki kipindi hakijavutia 😂😂 hakuna hata mahaba mahaba mana hapo ni wanagombana tu
@agriparose39425 ай бұрын
Beka angalia sana huyu mwanamke Hana adabu wala hawezi kua chini yako we unaonekana hupondui kabisa kwake nae keshajua udhaifu wako
@itikamlagalila19114 ай бұрын
Aina hii ya ushauri ni wa uharibifu,huyu dada kanyooka she is just perfect.
@erycah4 ай бұрын
@@itikamlagalila1911kweli, wanaume wengi wanataka wanawake wasojielewa ili wawburuze, sema happy anajielewa na ajaua anataka nini, washazoea wanawake ni wa kudanganywa danganywa tu
@vumiliamadoshada42185 ай бұрын
You both looking Good. Na nimependa interview yenu. Nyie wote wapole. Ebu Mu sort out tofauti zenu ili muchunge watoto zenu vizuri ❤
@athumanijumajuma52245 ай бұрын
Love is beautiful thing
@pendokissatu9375 ай бұрын
Hiki kipindii Ni Kitakuja Kuwa Kikubwaaa sanaaaaaa Keep Going ❤
@user-ve7xq9ov9u5 ай бұрын
Mungu andeleye Ku wapa uvumilivu,yaku vumiliyana🎉❤
😂😂😂😂 ila happy mbishi sana lakini beka hajakosea kumpiga maana Kuna Ile mwanaume Ana hasira mwanake ajishushe na hiy kusema happy alirudi alafu kapita chumbani ndo akatuma hapo amekosea alipaswa kusalimia akwanza ila ushauri kwa beka tu akishamjua mtu wako we ishi nae tu hivyo hivyo
@agriparose39425 ай бұрын
Kaka Kuna wanawake wareeeembo zaidi ya huyu waliopo tayari kua chini yako kukuskiliza na kutulia ndani mkajenga maisha huyu kwanza yupo juu yako pili alivyolelewa ni tofauti na wewe 3 anapenda maisha ya ku spend na mbaya zaidi anaweza kujitaftia na kama alivyoongea ataenda vacation mwenyewe..kazi kwako kukubali kua chini ya mke na kufanya atakacho nje ya hapo jiongeze
@Mwananchii5 ай бұрын
Acha uchawi! Akumuacha utapata nini kwa mfano? @ Beka na Happy,We can see you love each other. Mungu awatunze🙏🏽
@khaykaw3 ай бұрын
Sio kweli eti wazee wasienjoy moments za wawili. Kuna watu Wana watoto hata 5 na wanaenjoy wenyewe. Wanawake ndo haya mambo tunapenda.
@user-xz2vl8up5e4 ай бұрын
mungu awatie nguvu muwe pamoja maisha yenu yote mnapendezana Sana
@IssaRenad3 ай бұрын
amna mke umo at
@tropperben-xw5xr5 ай бұрын
happy and beka you are good coup may be blessed , happy you know how to love in my on opion happy are greatest queen who knows how love a good caring man
@naah8845 ай бұрын
Usiwahi kuandika kingereza ni aibu😅
@rockyvlogs22144 ай бұрын
@@naah884😂😂😂😂
@ashurajengela39265 ай бұрын
Beka apa kazini kwake kuna kazi aiseee mwanamke anaongea sana looohh 🙌🏻
@jafarynchimbi11505 ай бұрын
😂😂😂😂
@mercypeledawson16225 ай бұрын
Yuko very strict ndo maana
@itikamlagalila19114 ай бұрын
Sasa hii si ni show,,sa asipoongea itakuwaj😂😂
@happyalbert50895 ай бұрын
Hapo pa kupenda wakwe Happy umenibariki sanaaa,mtafika mbali.
@zepinashatibu51495 ай бұрын
Muoe kweli mzae watoto wengine wazur kama katoto kwenu
@user-oh2lq5vs1x5 ай бұрын
❤ujana maji ya moto kazi bado tunayo 21:33
@elijahm.muthini5 ай бұрын
Beka kaa rada huyu mwanamke penda sana kumsikiliza idea za wanawake ndio mara nyingi sisi mwanaume tunatumia kujengea familia👌
Hiki kipindi kinapemdeza nice idea to this channel mmekuja na utofauti keep up the good work lakini mlete wanandoa mashuhuri kinanoga zaidi
@user-xu2gq5cj6s5 ай бұрын
Mahusiano Yao wanafosi tu ila hawaendani kiakili kimtanzamo wala kimalengo
@israeluronu99585 ай бұрын
Na mm nimekua Nikiona hivyo.
@user-fq2dl7qq4h5 ай бұрын
Kweli
@sparrowhauk77155 ай бұрын
Kweli aise yaani mitazamo tofauti kabisa
@tanzaniayetu59355 ай бұрын
Happy a4cus na namisha ,,sema anapnda bata
@ramaahke5124 ай бұрын
New subscriber tokea tiktok😊
@Mary-ni1su5 ай бұрын
Jaman walete navykenzo hapa
@denicdaud47024 ай бұрын
😅😅😅 nahic hawez
@jamilaathumani54814 ай бұрын
Yan hapa ninavyoona mim Hawa wamekuwa kwenye mapenzi lakin Kila mtu anamtazamo tofauti...Yan hawaendan kitabia ...alafu wamekutana wote wabinafsi na wabishi..ila hawaendan kitabia,,sijui kama wataishi pamoja zaid
@isayabendera5 ай бұрын
Hii ime turn kuwa argument. Shori anaongea sana.
@JacqDaniels-hu5xj5 ай бұрын
Hawa hawafiki mbali watu wa h. N ngumu kuishi coz Kila mmoja anataka kuwa mshindi sana mwanamke
@alexsudi5 ай бұрын
Hii ni love story 1:12:41 sio mabisho tena
@kibouttv71484 ай бұрын
To be Honest BEKA Kwa huyu dada ni RED FLAG!! Ladies kama mwanaume hawezi kukufanyia vitu unavyovipenda RUN! Mwanaume akikupenda lazima atafanya chochote kwa ajili yako Trust me huyu Beka mbabaishaji sana yani hapa hakuna mwanaume in short mwanamke hatakiwi kucomplain hivi hapana wanawake jitambueni jamani acheni kusikiliza maneno ya wanaume angalieni vitendo zaidi mtanishukuru baadae
@MaulidMuongelwa-dw9gj2 ай бұрын
Beka ana uswahili flani wa zamani lakini upendo anao ila akijirekebisha maisha ya mahusiano yenu yatakua matamu
@CheopsByamunguethienne4 ай бұрын
Poa❤ kbs mnafaa kuwa walimu kweli
@Official_StephanoАй бұрын
Kuna mjinga mmoja alipendwa na kila mtu na hakujali akasepa😥🙌🏿
@ezekielgeorge73895 ай бұрын
Hiki kipindi kipo poa 🎉 sana congratulations
@teddymosha13765 ай бұрын
Hapo ni kweli kabisa dada teddy salon hiyo story naijua
@edinakyaruzi92265 ай бұрын
Angekuweka hapo kabisa kupitia yeye umemjua yeye baba watoto wako
@aimborannko40485 ай бұрын
Ukishampiga mkeo noma
@shangwecharles92344 ай бұрын
Happy ana vitu vidogo vidogo vingi ambavo vimeumiza moyo wake na alishakata tamaa ila imani ndio inamfanya aendelee kua na mahusiano na beca lakin kuna mapenzi ya thaman kabisa yamesha toka
@infosante2435 ай бұрын
Huyo mwanamke anaonekana mjuwaji ; na Hana Hali ya kujishusha kwa mume wake, ni mtu anayependa awe juu ya mume
@user-qh2cl3yb1m2 ай бұрын
Jamni mm Sina mpenzi but Nina story ya kusher na watu wanipenushauri ivo😢😢😢😢😢