No video

OUR LOVE STORY W/ BEKA FLAVOUR AND HAPPY REUTER | EP 04

  Рет қаралды 101,926

Our Love Story Podcast

Our Love Story Podcast

Күн бұрын

Our Love story Podcast is a love genre chat podcast where two love birds chitchat on ho they met and their journey so far, including how they made each other in love

Пікірлер: 292
@reenvictoria
@reenvictoria 4 ай бұрын
This girl is next level smarties,,, brave woman she didn’t let men sit her home, she hustled her way.and now she live her desired lifestyle. Girls should learn from her ❤❤❤❤❤
@zeyounhabibty8587
@zeyounhabibty8587 4 ай бұрын
Mungu wangu ivi nikweli ukizaa mapenzi yote yanaenda kwa mtoto mke thamani na mapenzi yanashuka Zipo outing za mke tu na zipo outing za familia huwezi kusema haiwezekani mimi na ww lazima alia mwisho wa maisha alia anaondoka nyumbani anakuacha na mkeo mloanza mmoja wote hii sio sawa nafkiri wanaume mjirekebishe hapo, upendo wa mwanamke na mtoto tafauti boresheni ndoa zenu , wanawake wengi ndani ya ndoa tunaishia kulea watoto na kubaki kupenda nafsi zetu na watoto mapenzi tena yanakufa kabisa badala ya kuchoka kuyapambania , mjirekebishe wanaume ule upendo wenu , ila sio wote wapo wanaume wazuri tu tena sana wanao onesha upendo still kwa wakezao na kuwadekeza yarabi wanaume hawa wape umri mrefu ❤
@Ms_.Jada.
@Ms_.Jada. 4 ай бұрын
Yan shoga umeongeaa kweli kabisa , yan uuu no ukweli ambao wanaume hata waukataee vipi itakuja kuwacost haya mambo ndo yanafanyaga wanawake tuanze kufanya sirii haya ndo yanafanya ukikutana na mwanaume ankutunza anakispoil unabadilika alafu wanaanza kualalamika yan leo nimemuelewa happy vzuur mno alafu wanawake waelewa hatutakagi mazawaadi makuubwaa yani ni tule tu vitu tudogoo ila unaona yes mwanaume ananijali ni bhas tu wanaume hawajui
@HassanAli-dd3fv
@HassanAli-dd3fv 15 күн бұрын
❤❤❤❤
@kilalomaerlymauya6632
@kilalomaerlymauya6632 5 ай бұрын
sema happy amenyooka sana madhaifu anayo kidogo sema yuko vzuri beka tunza huyu demu kakuvumilia sana
@nafuwswedi2465
@nafuwswedi2465 5 ай бұрын
Alhamdulilah🙏🏾🙏🏾🙏🏾Mungu ametenda🙏🏾🙏🏾na Mungu awaongoze….TRUE LOVE NEVER DIE ❤❤Nawapenda sana
@mercypeledawson1622
@mercypeledawson1622 5 ай бұрын
Huyu dada ni vigumu sana kumsoma, so kwa wote mliotoa negative comments mnakosea sana jmn
@nin6324
@nin6324 5 ай бұрын
Kwanza Happy ndio anampenda zaidi Beka. She is a wife, mom, a good partner. Beka you are loved by a Tanzanite keep it
@RuqqyahFeisal
@RuqqyahFeisal 5 ай бұрын
Upo sahihi huyu dada wamemuelewa vibaya
@RuqqyahFeisal
@RuqqyahFeisal 5 ай бұрын
Yah huyu dada anampenda sana mwanaume wake
@jescachandarua5898
@jescachandarua5898 5 ай бұрын
Kbsaa wengi hawajamuelewa iyo mbn kawaida kwenye mazungumzo
@shuhudiamtasiwa6646
@shuhudiamtasiwa6646 4 ай бұрын
Happy ni mke sema huyu kaka anashida kwenye kujali hisia ya happy so happy anaongea kama anamkazia mpaka anaonekana kama anajiamini ni kama anapoteza radha ila mimi nimemuelewa sana na hakika beka asipobadilika na kumuelewa happy ataondoka tena siombei itokee ila beka abadilike
@fatumahussein9764
@fatumahussein9764 5 ай бұрын
This is me happy wallah I'm trying hard to shape my ❤ men think we need rich men to enjoy life hawajui vitu vidogo vidogo tukifanya pamoja vinatufanya mapenzi yazidi
@Ms_.Jada.
@Ms_.Jada. 4 ай бұрын
Ama kweli don’t judge a book by look it’s cover, Happy nilikuwaga namuona mwanamke flan hvii kumbe sio yan happy jins ulivo na vyote unavyovitamani ni kama sisi wanawake tulivo hapa ndo nimejua shida ipo kwa bekaa beka have to change , happy ni mwanamke mzuuri mnoo na anaweza kupata mwanaume wa ndoto zake any time ila kwa heshima ya beka ndo mana bado yupo nae ila beka akiendelea kuzingua ipo siku haapy atachoka kabisaa .
@GloryMaiko-yz6bq
@GloryMaiko-yz6bq 4 ай бұрын
Jamani mbona uyu dada yuko sawa ty me sijaona kama anakosea ❤yuko sawaa
@sophiaremmy6326
@sophiaremmy6326 5 ай бұрын
Beka ana u mimi mwingi sana…punguza kidogo kaka mu enjoy maisha
@irenembura8045
@irenembura8045 5 ай бұрын
Huyo ni Wife material na yuko straight forward. Kuongea ni sawa mrafi anaongea point! Beautiful couple!
@andrew0502
@andrew0502 4 ай бұрын
Anaongea huyo mmmh
@lilianestephanie7881
@lilianestephanie7881 5 ай бұрын
Wanawake ndivyo tulivyo. Yaani happy unayoyaongea ni kweli
@nuryatmussa9966
@nuryatmussa9966 5 ай бұрын
Mapenzi hayana uzee beka lazima utenge Muda mtoke wawil
@hamidaabdul6004
@hamidaabdul6004 5 ай бұрын
Watching from UK if you are not careful this woman is leaving you very soon wanawake tukianza kuongea hivi ujue tunachungulia kwingine na karibuni utatokwa .
@trice_yanga
@trice_yanga 5 ай бұрын
watu wa comment mnaniua mbavu😂😂😂🙌🙌beka acha ubahiri mpeleke happy vacation hata mara moja kwa mwaka😃
@TegemeoFitina-cj4vr
@TegemeoFitina-cj4vr 4 ай бұрын
Mumevumiliana mambo mengi sana sasa niwakati wa kufunga doa ❤❤❤❤❤
@RuqqyahFeisal
@RuqqyahFeisal 5 ай бұрын
Mbona huyu bint hana shida jmn,mnamponda bure tu jmn
@naseershiner6738
@naseershiner6738 4 ай бұрын
Wangap wameiangalia interview mwanzo mwisho Kama Mimi ?
@ClaireHappy
@ClaireHappy 5 ай бұрын
Guys mbona mnamsema san uyu Binti? Mbona yuko vzr anaongea kwa adab na hekima na Anamapenz mengi kwa baba mtoto wake achen ushamba
@fatumahussein9764
@fatumahussein9764 5 ай бұрын
And to my mum Alhamdullillllah she tried to keep beautiful moments to me n my bro tulienjoy akii na si etii alikuwa rich
@PrincessHellen-pg1oy
@PrincessHellen-pg1oy 5 ай бұрын
Kujishusha ni kwa wanawake na wanaume
@user-cb3yy8tp2u
@user-cb3yy8tp2u 5 ай бұрын
Sema beka mwanamke ni mzuri sana sema tabia yake hamuwezi kuendana kiujumla Hana adab kabisa na anataka awe juu Yako
@lisajulis1512
@lisajulis1512 5 ай бұрын
Wanawake wote mkiwa kama happy mtaheshimiwa ujinga ujinga utapotes😂
@everlisamsyananah1867
@everlisamsyananah1867 5 ай бұрын
Mungu awatunze naipenda sana hii couple....msisikilize ya watu
@user-fy9pw2zr8l
@user-fy9pw2zr8l 5 ай бұрын
Beka wew hujali kwenye mapensii wew kubali maana sisi wanawake tunataka kujaliwa
@denicdaud4702
@denicdaud4702 4 ай бұрын
😅😅
@petermwamanga724
@petermwamanga724 5 ай бұрын
This is so called Perfect Combo I luv it and wish u guys best life ever
@jamilahemed5131
@jamilahemed5131 5 ай бұрын
Happy alichoongea yupo sahihi nawatu mnamuelewa tofauti tu lkn 👎
@conceptaliwewa3903
@conceptaliwewa3903 5 ай бұрын
Kwel kabisa
@user-en6kf2db6f
@user-en6kf2db6f 5 ай бұрын
sema huyu Dem nimemuelewa beka do hamuelew mtu wake anapenda nn🙄
@RuqqyahFeisal
@RuqqyahFeisal 5 ай бұрын
Tupo pamoja
@aminanamoyo83
@aminanamoyo83 5 ай бұрын
Kweli binadam hakuna asiye na mapungufu Happy yu mrembo mashallah but unaongea sana mummy pia mbishi jirekebishe sometimes acha mambo yapite mtadumu Beker anakupenda ❤
@verobecamfipa8655
@verobecamfipa8655 5 ай бұрын
Kweli kabisaaaaa
@everlisamsyananah1867
@everlisamsyananah1867 5 ай бұрын
😅
@everlisamsyananah1867
@everlisamsyananah1867 5 ай бұрын
😅😅
@neemanziku5403
@neemanziku5403 4 ай бұрын
Binti anaongea Sana
@israeluronu9958
@israeluronu9958 5 ай бұрын
Kwenye mahusiano mwanamke akikusoma hakiliyako mapema akajua kucheza nayo watu wanaeza sema amekuchezea ufahamu..Beka mkeo kashakusoma kwamba kwake hupindui, kama umempenda kubali kubali kujishusha ilimradi maisha yenu yaende, ila angalia usiwe mtumwa wa hayo mapenzi.
@andrew0502
@andrew0502 4 ай бұрын
Hicho ulichokimalizia mwishooni Cha utumwa ndo huyu mwanamke anataka sasa koz ashajua Beka amependa kweli kweli so yeye anataka Kila kitu anachomwambia Beka afuate, sio rahic ivo hata km mtu umpende vp
@user-fx7ig1uy6t
@user-fx7ig1uy6t 5 ай бұрын
Happy ni mimi kabisa na sio kwamba hampendi beka ni vile watu hawatuelew kwa haraka
@user-rv4wm7ov3s
@user-rv4wm7ov3s 2 ай бұрын
kumbukeni hii ni interview ndo maan uyu anaongea na uyu anaongea ili nyie muwaelewe wala sio ubabe wala kuwa juu zaidi.....mi nmewaelewa sanaa na ndo maan wameelezeana best moment zao kama walikua hawapendani wasingefikia apa😂acheni makasiriko nyie watu😂😂😂
@khadijarashidy9304
@khadijarashidy9304 5 ай бұрын
Kipind kizuri ila mnatucheleweshea sana Jaman 😢😢
@gmako6
@gmako6 3 ай бұрын
yes, don't compare both of you find something mutual. Love is sacrifice.
@tausimohammedy
@tausimohammedy 5 ай бұрын
Masikini happy msome huyo baba Hana hela tu but anapenda afanye ivyo😂
@sund2553
@sund2553 5 ай бұрын
True nimewza hivyo
@Sindiiigirll
@Sindiiigirll 5 ай бұрын
Such an immature man😢,Yupo na wewe just because unamtoto wake girll please runnnnn
@HidayaNgala-uk8tt
@HidayaNgala-uk8tt 5 ай бұрын
Uyo mwanamke anakupenda sana sana SEMA tu anataka awe juuu yako, ila sisi wanawake ndo tulivo
@belak999
@belak999 5 ай бұрын
Labda ww ndio unataka kuwa juu ya mwanaume,
@everlyne8595
@everlyne8595 5 ай бұрын
Tatizo nyota
@sophiaremmy6326
@sophiaremmy6326 5 ай бұрын
Kutamani uonyeshwe mapenzi ndo unasema anataka awe juu yake au sijakuelewa mtoa comment
@itikamlagalila1911
@itikamlagalila1911 4 ай бұрын
​@@sophiaremmy6326si ndo apo
@rehemayona2223
@rehemayona2223 4 ай бұрын
Ndio kweli anataka kuwa juu ya mumewe😂😂
@iamcurthbertvevo5302
@iamcurthbertvevo5302 5 ай бұрын
Huyo glory anaeongelewa hapo si ni glory mosses au
@Mwanasconcho_
@Mwanasconcho_ 5 ай бұрын
Mmetisha sana aseee na story yenu😊
@NickTrickaddictedboy18
@NickTrickaddictedboy18 2 ай бұрын
NI MUDA WA MIEZI MIWILI NIKIISIKILIZA HII STORY, NILIKUA NACHEKI THEN NASTOP HATIMAYE LEO NIMEIMALIZA MPAKA MWISHO. WOW WHAT A NICE LOVE STORY OF YOU GUYS. MBARIKIWE KWA KWELI. LOVE FROM MAPUTO, MOZAMBIQUE I GO FOR THE NAME OF ARCHITECT - NICKSON KIMARO. HOLAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAA 😉😊😊😊😊😊😊
@babunabibii
@babunabibii 5 ай бұрын
mimi Kuna mmoja namtafuta message Moja kwa siku sijui kama tutafika huko.
@sagboison6297
@sagboison6297 5 ай бұрын
Pole yko babu
@AggyBarick-fh9wv
@AggyBarick-fh9wv 5 ай бұрын
Beka bahiri jamani ,mmmh
@MariaThomas-wm9iq
@MariaThomas-wm9iq 5 ай бұрын
Happy nimm mtupu cpend mwanaume anevaa heren
@walizanasiri4963
@walizanasiri4963 5 ай бұрын
Yani uyu ni mimi kabisa mtu unamwambia jambo moja kila siku😂😂😂 sipendi nikimwambia kitu kila siku ichoicho kaaah nalikasilikiaga ilo😅😅😅😂😂
@hbizzymelodist1344
@hbizzymelodist1344 5 ай бұрын
Bro jaribu ku -shape mwanamke wako hawezi kukukalia publicly hata kama unakoseaga vingine mwanamke wa hivi kumfurahisha ni ngumu sana
@DianaWilly-mr2pf
@DianaWilly-mr2pf 5 ай бұрын
Maisha ya nyumbani usipekeleke kwenye ndoa yko
@user-fz2qd5px1d
@user-fz2qd5px1d 5 ай бұрын
Beka anaongea sana kuliko happy Hampi chance😂
@bosschick2417
@bosschick2417 5 ай бұрын
What a nice couple in the world 🎉❤🎉❤❤
@esterdoriye8377
@esterdoriye8377 5 ай бұрын
Wanawake tusikilize dk ya 31:00 kuendelea 😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅acha nicheke ndo tabia zetu wanawake ila wanaume kama beka huwa ndo wanafuture nzuri tuwe wavumilivu kama happy😅😅😅😅😅😅😅 @happy ni mimi kabsa 😅😅😅😅
@user-ih9cw2nc2m
@user-ih9cw2nc2m 5 ай бұрын
Huyo mwanamke anaonekana mjuwaji sanaaaaaa na Hana Hali ya kujishusha kwa mumewake, nimtu anayependa awe juuuu tu Becka kuwa makini sanaaaaa maana Bado haja juwa kama Yuko na umuhimu gani ktk moyo wako anajiangaliya sana nafsi yake yaani nimtu wa mbinafsi, wale kutenda atendewe mwenzake lakini siyo yeye anaonekana mgumu kusameheee
@user-dy6mx4yc6y
@user-dy6mx4yc6y 5 ай бұрын
Bwahahahahha yan Haya n mahusiano yangu kbs na stor zetu huwa hivyohivyo😅Halaf happy ni mimi kbs af kwa mbele yan zaid with beka vois😅
@bosschick2417
@bosschick2417 5 ай бұрын
😅😅😅😅😂 happy ana wivu sanaaaa 😂😂😂❤❤❤❤
@djbegge_tz
@djbegge_tz 5 ай бұрын
Wow....hii love story nmeipenda
@ngwacahnyagwaswa9979
@ngwacahnyagwaswa9979 5 ай бұрын
Hapa nachoona mwanaume siyo mtokaji mwanamke mtokaji ❤ kaka m spoil kidgo 😂 ka mamaa😂
@princessvai6
@princessvai6 5 ай бұрын
Tunataka our love story ya mentor cherry na Elton please ipost na iyo🙏🙏 but kipindi kizuri sana🎉
@nanaleetz
@nanaleetz 5 ай бұрын
2015 mm namaliza form 4 ndo rumors kuhus beka na aslay zikaanza
@user-ou3rc4rr2j
@user-ou3rc4rr2j Ай бұрын
Mimi nilikuwa la tano 😂😂😂😂😂
@zepinashatibu5149
@zepinashatibu5149 5 ай бұрын
❤❤nimewapenda sana mnafaa muigize nyie 🎉
@ninjaisma7983
@ninjaisma7983 5 ай бұрын
Dem wako anapenda sana exposure not bad lakini tu asikuumize sana kila anachosema kiwezekane noo ..sometimes akuskilize ww mwanaume pia asikuforce everything ❤
@user-uj5wg9mm2t
@user-uj5wg9mm2t 5 ай бұрын
Mmmh huo mguu wa happy na yeye haviendan😂😂😂😂😂😂mguu kn fimbo ya pull
@VeronicaPeter-rm7ky
@VeronicaPeter-rm7ky Ай бұрын
Ila weweee😂😂😂😂😂
@Hajer-be2kh
@Hajer-be2kh 5 ай бұрын
Hiki kipindi hakijavutia 😂😂 hakuna hata mahaba mahaba mana hapo ni wanagombana tu
@agriparose3942
@agriparose3942 5 ай бұрын
Beka angalia sana huyu mwanamke Hana adabu wala hawezi kua chini yako we unaonekana hupondui kabisa kwake nae keshajua udhaifu wako
@itikamlagalila1911
@itikamlagalila1911 4 ай бұрын
Aina hii ya ushauri ni wa uharibifu,huyu dada kanyooka she is just perfect.
@erycah
@erycah 4 ай бұрын
​@@itikamlagalila1911kweli, wanaume wengi wanataka wanawake wasojielewa ili wawburuze, sema happy anajielewa na ajaua anataka nini, washazoea wanawake ni wa kudanganywa danganywa tu
@vumiliamadoshada4218
@vumiliamadoshada4218 5 ай бұрын
You both looking Good. Na nimependa interview yenu. Nyie wote wapole. Ebu Mu sort out tofauti zenu ili muchunge watoto zenu vizuri ❤
@athumanijumajuma5224
@athumanijumajuma5224 5 ай бұрын
Love is beautiful thing
@pendokissatu937
@pendokissatu937 5 ай бұрын
Hiki kipindii Ni Kitakuja Kuwa Kikubwaaa sanaaaaaa Keep Going ❤
@user-ve7xq9ov9u
@user-ve7xq9ov9u 5 ай бұрын
Mungu andeleye Ku wapa uvumilivu,yaku vumiliyana🎉❤
@madalanasri2226
@madalanasri2226 4 ай бұрын
Beka usikaze sana mtoe out mpenzi wako
@Fx_expertmoneymaker001
@Fx_expertmoneymaker001 5 ай бұрын
Mwanaume kitombi alaf mnam protect.. Alikosea ndio, tabia zake zilikua mbaya 😮
@PrincessHellen-pg1oy
@PrincessHellen-pg1oy 5 ай бұрын
😂😂😂😂 ila happy mbishi sana lakini beka hajakosea kumpiga maana Kuna Ile mwanaume Ana hasira mwanake ajishushe na hiy kusema happy alirudi alafu kapita chumbani ndo akatuma hapo amekosea alipaswa kusalimia akwanza ila ushauri kwa beka tu akishamjua mtu wako we ishi nae tu hivyo hivyo
@agriparose3942
@agriparose3942 5 ай бұрын
Kaka Kuna wanawake wareeeembo zaidi ya huyu waliopo tayari kua chini yako kukuskiliza na kutulia ndani mkajenga maisha huyu kwanza yupo juu yako pili alivyolelewa ni tofauti na wewe 3 anapenda maisha ya ku spend na mbaya zaidi anaweza kujitaftia na kama alivyoongea ataenda vacation mwenyewe..kazi kwako kukubali kua chini ya mke na kufanya atakacho nje ya hapo jiongeze
@Mwananchii
@Mwananchii 5 ай бұрын
Acha uchawi! Akumuacha utapata nini kwa mfano? @ Beka na Happy,We can see you love each other. Mungu awatunze🙏🏽
@khaykaw
@khaykaw 3 ай бұрын
Sio kweli eti wazee wasienjoy moments za wawili. Kuna watu Wana watoto hata 5 na wanaenjoy wenyewe. Wanawake ndo haya mambo tunapenda.
@user-xz2vl8up5e
@user-xz2vl8up5e 4 ай бұрын
mungu awatie nguvu muwe pamoja maisha yenu yote mnapendezana Sana
@IssaRenad
@IssaRenad 3 ай бұрын
amna mke umo at
@tropperben-xw5xr
@tropperben-xw5xr 5 ай бұрын
happy and beka you are good coup may be blessed , happy you know how to love in my on opion happy are greatest queen who knows how love a good caring man
@naah884
@naah884 5 ай бұрын
Usiwahi kuandika kingereza ni aibu😅
@rockyvlogs2214
@rockyvlogs2214 4 ай бұрын
@@naah884😂😂😂😂
@ashurajengela3926
@ashurajengela3926 5 ай бұрын
Beka apa kazini kwake kuna kazi aiseee mwanamke anaongea sana looohh 🙌🏻
@jafarynchimbi1150
@jafarynchimbi1150 5 ай бұрын
😂😂😂😂
@mercypeledawson1622
@mercypeledawson1622 5 ай бұрын
Yuko very strict ndo maana
@itikamlagalila1911
@itikamlagalila1911 4 ай бұрын
Sasa hii si ni show,,sa asipoongea itakuwaj😂😂
@happyalbert5089
@happyalbert5089 5 ай бұрын
Hapo pa kupenda wakwe Happy umenibariki sanaaa,mtafika mbali.
@zepinashatibu5149
@zepinashatibu5149 5 ай бұрын
Muoe kweli mzae watoto wengine wazur kama katoto kwenu
@user-oh2lq5vs1x
@user-oh2lq5vs1x 5 ай бұрын
❤ujana maji ya moto kazi bado tunayo 21:33
@elijahm.muthini
@elijahm.muthini 5 ай бұрын
Beka kaa rada huyu mwanamke penda sana kumsikiliza idea za wanawake ndio mara nyingi sisi mwanaume tunatumia kujengea familia👌
@IssaRenad
@IssaRenad 3 ай бұрын
nikweli
@azorindege3583
@azorindege3583 5 ай бұрын
Dk 10 nzima wanabishana😂😂😂😂😂 shemej mjuaji balaaaa😅😅😅
@anjemolin4469
@anjemolin4469 5 ай бұрын
😂😂😂😂😂😂
@djhajiztz
@djhajiztz 5 ай бұрын
akunashem apa
@kidatokassim7616
@kidatokassim7616 5 ай бұрын
Hiki kipindi kinapemdeza nice idea to this channel mmekuja na utofauti keep up the good work lakini mlete wanandoa mashuhuri kinanoga zaidi
@user-xu2gq5cj6s
@user-xu2gq5cj6s 5 ай бұрын
Mahusiano Yao wanafosi tu ila hawaendani kiakili kimtanzamo wala kimalengo
@israeluronu9958
@israeluronu9958 5 ай бұрын
Na mm nimekua Nikiona hivyo.
@user-fq2dl7qq4h
@user-fq2dl7qq4h 5 ай бұрын
Kweli
@sparrowhauk7715
@sparrowhauk7715 5 ай бұрын
Kweli aise yaani mitazamo tofauti kabisa
@tanzaniayetu5935
@tanzaniayetu5935 5 ай бұрын
Happy a4cus na namisha ,,sema anapnda bata
@ramaahke512
@ramaahke512 4 ай бұрын
New subscriber tokea tiktok😊
@Mary-ni1su
@Mary-ni1su 5 ай бұрын
Jaman walete navykenzo hapa
@denicdaud4702
@denicdaud4702 4 ай бұрын
😅😅😅 nahic hawez
@jamilaathumani5481
@jamilaathumani5481 4 ай бұрын
Yan hapa ninavyoona mim Hawa wamekuwa kwenye mapenzi lakin Kila mtu anamtazamo tofauti...Yan hawaendan kitabia ...alafu wamekutana wote wabinafsi na wabishi..ila hawaendan kitabia,,sijui kama wataishi pamoja zaid
@isayabendera
@isayabendera 5 ай бұрын
Hii ime turn kuwa argument. Shori anaongea sana.
@JacqDaniels-hu5xj
@JacqDaniels-hu5xj 5 ай бұрын
Hawa hawafiki mbali watu wa h. N ngumu kuishi coz Kila mmoja anataka kuwa mshindi sana mwanamke
@alexsudi
@alexsudi 5 ай бұрын
Hii ni love story 1:12:41 sio mabisho tena
@kibouttv7148
@kibouttv7148 4 ай бұрын
To be Honest BEKA Kwa huyu dada ni RED FLAG!! Ladies kama mwanaume hawezi kukufanyia vitu unavyovipenda RUN! Mwanaume akikupenda lazima atafanya chochote kwa ajili yako Trust me huyu Beka mbabaishaji sana yani hapa hakuna mwanaume in short mwanamke hatakiwi kucomplain hivi hapana wanawake jitambueni jamani acheni kusikiliza maneno ya wanaume angalieni vitendo zaidi mtanishukuru baadae
@MaulidMuongelwa-dw9gj
@MaulidMuongelwa-dw9gj 2 ай бұрын
Beka ana uswahili flani wa zamani lakini upendo anao ila akijirekebisha maisha ya mahusiano yenu yatakua matamu
@CheopsByamunguethienne
@CheopsByamunguethienne 4 ай бұрын
Poa❤ kbs mnafaa kuwa walimu kweli
@Official_Stephano
@Official_Stephano Ай бұрын
Kuna mjinga mmoja alipendwa na kila mtu na hakujali akasepa😥🙌🏿
@ezekielgeorge7389
@ezekielgeorge7389 5 ай бұрын
Hiki kipindi kipo poa 🎉 sana congratulations
@teddymosha1376
@teddymosha1376 5 ай бұрын
Hapo ni kweli kabisa dada teddy salon hiyo story naijua
@edinakyaruzi9226
@edinakyaruzi9226 5 ай бұрын
Angekuweka hapo kabisa kupitia yeye umemjua yeye baba watoto wako
@aimborannko4048
@aimborannko4048 5 ай бұрын
Ukishampiga mkeo noma
@shangwecharles9234
@shangwecharles9234 4 ай бұрын
Happy ana vitu vidogo vidogo vingi ambavo vimeumiza moyo wake na alishakata tamaa ila imani ndio inamfanya aendelee kua na mahusiano na beca lakin kuna mapenzi ya thaman kabisa yamesha toka
@infosante243
@infosante243 5 ай бұрын
Huyo mwanamke anaonekana mjuwaji ; na Hana Hali ya kujishusha kwa mume wake, ni mtu anayependa awe juu ya mume
@user-qh2cl3yb1m
@user-qh2cl3yb1m 2 ай бұрын
Jamni mm Sina mpenzi but Nina story ya kusher na watu wanipenushauri ivo😢😢😢😢😢
@user-ih6ng6sf6o
@user-ih6ng6sf6o Ай бұрын
Nawapenda sana kweli❤❤
@momie3246
@momie3246 5 ай бұрын
Looking good together guys😍
@dayana5513story
@dayana5513story 5 ай бұрын
Beka dinner date nikuzurula😅🤸
@Humanity21216
@Humanity21216 5 ай бұрын
😂😂😂😂
OUR LOVE STORY W/ DJ ALLYBI & MKEWE (MAMA SIMBA) | EP 03
54:03
Our Love Story Podcast
Рет қаралды 78 М.
OUR LOVE STORY W/ DIKO BY MONALISA AND GODFREY RWECHUNGURA | EP 06
52:15
Our Love Story Podcast
Рет қаралды 16 М.
WILL IT BURST?
00:31
Natan por Aí
Рет қаралды 26 МЛН
КАКУЮ ДВЕРЬ ВЫБРАТЬ? 😂 #Shorts
00:45
НУБАСТЕР
Рет қаралды 3,4 МЛН
طردت النملة من المنزل😡 ماذا فعل؟🥲
00:25
Cool Tool SHORTS Arabic
Рет қаралды 21 МЛН
BABA YANGU KIPOFU Full episode /31/ #love
40:19
BabaJoan
Рет қаралды 145 М.
OUR LOVE STORY W/ BSS S13 WINNER- ASAGWILE (WA NYIMBO YA NDOA) AND JACKLINE | EP 07
1:00:34
Beka Flavour - Nakupenda (Official  Video)
3:41
Beka Flavour
Рет қаралды 442 М.
#LIVE :  BLOCK 89 EXCLUSIVE INTERVIEW WITH OTILE BROWN  (JAN 13, 2020)
51:47
Beka flavour (Nakupenda ) Media Tour
4:31
Beka Flavour
Рет қаралды 83 М.