PADRE DKT KAMUGISHA ''ACHA MTUNGI''/ WANAOKUHUKU WANAIHUKUMU SAKRAMENTI YA KITUBIO / MSHANGAE MUNGU

  Рет қаралды 35,040

Faustin Kamugisha

Faustin Kamugisha

4 жыл бұрын

Ni katika homilia ya Dominika ya tatu ya Kwaresma katika Parokia ya Mt. Yohana Maria Muzeeyi Jimbo Katoliki la Bukoba amewataka waamini kuacha kuhukumiana na kuzidharau sakramenti mbali mbali za Kanis

Пікірлер: 38
@faustinkamugisha8747
@faustinkamugisha8747 4 жыл бұрын
Nawashukuru watazamaji kwa maneno yenu ya kutia moyo, shukrani na ushauri wenu. Nawaomba mwendelee "ku-subscribe."
@sindaharayesergeskibo1147
@sindaharayesergeskibo1147 4 жыл бұрын
Faustin Kamugisha None can't wish and desire to listen to you.Keep on helping us improving our christianity.
@amiryluzilo7747
@amiryluzilo7747 3 жыл бұрын
Asante fr kamugisha nafatilia ktk mtandao sana nipo dayosisi ya DWT kanisa kuu kasulu
@fabiolapanga8680
@fabiolapanga8680 3 жыл бұрын
Father be blessed 🙏🙏
@marymgimwa9461
@marymgimwa9461 3 жыл бұрын
Nabarikiwa mno, tv online wote wangepata mengi na wangepona
@emmanuelmtunda1668
@emmanuelmtunda1668 4 жыл бұрын
Be blessed father Kamugisha nakufuatilia vizuri kabisa.Mungu awe nawe Katika utume.By Pastor Mtunda
@mitaocamilliusthegreatest9068
@mitaocamilliusthegreatest9068 3 жыл бұрын
Barikiwa sana padre Kamughisha
@kelvinosward7079
@kelvinosward7079 5 ай бұрын
Ameen ubarikiwe Sana Mtumishi wa Mungu
@renaldangeze747
@renaldangeze747 2 жыл бұрын
Asante padre kuwa mahubir natamani kuendelea kukusiiliza ila bando zinaisha haraka Mungu akubariki
@amosifransi3742
@amosifransi3742 4 жыл бұрын
Asante sana Fr kwa utume ulio tukuka barikiwa
@tinnahagustinolyelu4247
@tinnahagustinolyelu4247 11 ай бұрын
Mungu akutunze baba wewe ni tunu katika kanisa
@magretpeter9924
@magretpeter9924 4 жыл бұрын
Najivunia kuwa mkatoliki Asante baba kwa mafundisho yako hakika tunabarikiwa mapadri wetu mnavitu vikubwa sana na kanisa katoliki linautajiri mkubwa sana wa Imani
@eliasinvio1966
@eliasinvio1966 4 жыл бұрын
Napenda sana homilia ya Fr Kamugisha. Nimepata mahubili kama haya nilipokutana nawe chuo cha SAUT Bukoba. Mungu akupe nguvu. Nafatilia sana
@jastinekanjost8073
@jastinekanjost8073 3 жыл бұрын
🙏🙏
@sylviaaleuya8195
@sylviaaleuya8195 4 жыл бұрын
Kushangaa ni Mwanzo wa Kuabudu. Mungu anatuamsha tumwabudu. Amina
@tukimjila6673
@tukimjila6673 3 жыл бұрын
Barikiwa saaana baba padre mungu akupe siku nyingi za kuishi iriuhubiri nenola mungu
@frolenziaandrea7822
@frolenziaandrea7822 2 жыл бұрын
Amina 🙏
@asinthagervas2751
@asinthagervas2751 4 жыл бұрын
Wanadamu tutengeze mazingira tuache mazingara,Mungu ni mwema asante sana father
@lodgarkiria5231
@lodgarkiria5231 3 жыл бұрын
Asante sana Father
@user-ot1lf7kf3m
@user-ot1lf7kf3m 4 ай бұрын
Amen 🙏
@pasilisajerono7409
@pasilisajerono7409 3 жыл бұрын
God strengthen faith of Padre kamugisha to countiue in is mission.
@cecilialucas7655
@cecilialucas7655 4 жыл бұрын
Baba niko Oman nafuatilia mafundisho yako najiona kama nipo na kanisa ubarikiwe hatua zako zote
@marymary8313
@marymary8313 2 жыл бұрын
Amen 🙏🙏
@kadallajoseph1851
@kadallajoseph1851 6 ай бұрын
Pamoja pd
@severinepius8637
@severinepius8637 2 жыл бұрын
Nakubali
@filbertkato988
@filbertkato988 4 жыл бұрын
Aksante baba
@simonisianga7553
@simonisianga7553 3 жыл бұрын
Amina tuna barikiwa na maombiii ya padiri kamugisha
@mshangamjemmas3793
@mshangamjemmas3793 3 жыл бұрын
🙏🏿🙏🏿 wacha waseme.
@hilgathjoshua8804
@hilgathjoshua8804 3 жыл бұрын
Amina
@ayubumasili1334
@ayubumasili1334 3 жыл бұрын
Padri uko vizuri sana kwa mafundisho unayotufundisha ninabarikiwa sana
@modesterkatabi
@modesterkatabi Жыл бұрын
Ninakuombea BABA uendelee na kutuelimisha tunakuelewa
@richardkafuku963
@richardkafuku963 3 жыл бұрын
Kushangaa ni mwanzo wa kuabuduku"kamugisha we unamaono haswaa,kila kukicha nabarikiwa na mafundisho yako,siku nikifika bukoba lazima nikuone live niondoke na baraka zako!!👋
@annestasiarioba4826
@annestasiarioba4826 3 жыл бұрын
Nakufuatilia kutoka iraq....kushangaa ni hatua ya kwanza ya kuondoa mazingara...
@MarysianaPeter
@MarysianaPeter 3 ай бұрын
Mungu ongeza watumishi kama huyu watu tupone
@fabiolapanga8680
@fabiolapanga8680 3 жыл бұрын
Jaman huyu fadha ananikosha moyo san
@duncankipkurui6380
@duncankipkurui6380 3 жыл бұрын
Nimekua nikifwatilia mafunzo yako padre niya kutia moyo na kujenga ubarikia
@husha6372
@husha6372 14 күн бұрын
HAWANA changaa changaa ni pombe haramu kule pwani
@aderinaevodi1024
@aderinaevodi1024 3 жыл бұрын
Kutoka parokia ngote mungu akubaliki :
Fr Kamugisha: Atakaye kula chakula vizuri unamuona wakati wa kunawa/
29:52
ЧУТЬ НЕ УТОНУЛ #shorts
00:27
Паша Осадчий
Рет қаралды 10 МЛН
Double Stacked Pizza @Lionfield @ChefRush
00:33
albert_cancook
Рет қаралды 123 МЛН
Comfortable 🤣 #comedy #funny
00:34
Micky Makeover
Рет қаралды 13 МЛН
Задержи дыхание дольше всех!
00:42
Аришнев
Рет қаралды 3,8 МЛН
MAANA HALISI YA SAKRAMENTI YA KITUBIO NA PADRE MUTAMBO
33:36
MJUE MT.FAUSTINA,ALIVYOTOKEWA NA YESU, DOMINIKA YA HURUMA YA MUNGU
12:47
KANISA KATOLIKI TANZANIA TEC
Рет қаралды 1,7 М.
Rozari ya Huruma ya Mungu - Sali Sala Hii Kila Siku Saa Tisa Alasiri.
31:37
ЧУТЬ НЕ УТОНУЛ #shorts
00:27
Паша Осадчий
Рет қаралды 10 МЛН