Ni katika homilia ya Dominika ya tatu ya Kwaresma katika Parokia ya Mt. Yohana Maria Muzeeyi Jimbo Katoliki la Bukoba amewataka waamini kuacha kuhukumiana na kuzidharau sakramenti mbali mbali za Kanis
Пікірлер: 38
@faustinkamugisha87474 жыл бұрын
Nawashukuru watazamaji kwa maneno yenu ya kutia moyo, shukrani na ushauri wenu. Nawaomba mwendelee "ku-subscribe."
@sindaharayesergeskibo11474 жыл бұрын
Faustin Kamugisha None can't wish and desire to listen to you.Keep on helping us improving our christianity.
@amiryluzilo77473 жыл бұрын
Asante fr kamugisha nafatilia ktk mtandao sana nipo dayosisi ya DWT kanisa kuu kasulu
@fabiolapanga86803 жыл бұрын
Father be blessed 🙏🙏
@marymgimwa94613 жыл бұрын
Nabarikiwa mno, tv online wote wangepata mengi na wangepona
@emmanuelmtunda16684 жыл бұрын
Be blessed father Kamugisha nakufuatilia vizuri kabisa.Mungu awe nawe Katika utume.By Pastor Mtunda
@mitaocamilliusthegreatest90683 жыл бұрын
Barikiwa sana padre Kamughisha
@kelvinosward70795 ай бұрын
Ameen ubarikiwe Sana Mtumishi wa Mungu
@renaldangeze7472 жыл бұрын
Asante padre kuwa mahubir natamani kuendelea kukusiiliza ila bando zinaisha haraka Mungu akubariki
@amosifransi37424 жыл бұрын
Asante sana Fr kwa utume ulio tukuka barikiwa
@tinnahagustinolyelu424711 ай бұрын
Mungu akutunze baba wewe ni tunu katika kanisa
@magretpeter99244 жыл бұрын
Najivunia kuwa mkatoliki Asante baba kwa mafundisho yako hakika tunabarikiwa mapadri wetu mnavitu vikubwa sana na kanisa katoliki linautajiri mkubwa sana wa Imani
@eliasinvio19664 жыл бұрын
Napenda sana homilia ya Fr Kamugisha. Nimepata mahubili kama haya nilipokutana nawe chuo cha SAUT Bukoba. Mungu akupe nguvu. Nafatilia sana
@jastinekanjost80733 жыл бұрын
🙏🙏
@sylviaaleuya81954 жыл бұрын
Kushangaa ni Mwanzo wa Kuabudu. Mungu anatuamsha tumwabudu. Amina
@tukimjila66733 жыл бұрын
Barikiwa saaana baba padre mungu akupe siku nyingi za kuishi iriuhubiri nenola mungu
@frolenziaandrea78222 жыл бұрын
Amina 🙏
@asinthagervas27514 жыл бұрын
Wanadamu tutengeze mazingira tuache mazingara,Mungu ni mwema asante sana father
@lodgarkiria52313 жыл бұрын
Asante sana Father
@user-ot1lf7kf3m4 ай бұрын
Amen 🙏
@pasilisajerono74093 жыл бұрын
God strengthen faith of Padre kamugisha to countiue in is mission.
@cecilialucas76554 жыл бұрын
Baba niko Oman nafuatilia mafundisho yako najiona kama nipo na kanisa ubarikiwe hatua zako zote
@marymary83132 жыл бұрын
Amen 🙏🙏
@kadallajoseph18516 ай бұрын
Pamoja pd
@severinepius86372 жыл бұрын
Nakubali
@filbertkato9884 жыл бұрын
Aksante baba
@simonisianga75533 жыл бұрын
Amina tuna barikiwa na maombiii ya padiri kamugisha
@mshangamjemmas37933 жыл бұрын
🙏🏿🙏🏿 wacha waseme.
@hilgathjoshua88043 жыл бұрын
Amina
@ayubumasili13343 жыл бұрын
Padri uko vizuri sana kwa mafundisho unayotufundisha ninabarikiwa sana
@modesterkatabi Жыл бұрын
Ninakuombea BABA uendelee na kutuelimisha tunakuelewa
@richardkafuku9633 жыл бұрын
Kushangaa ni mwanzo wa kuabuduku"kamugisha we unamaono haswaa,kila kukicha nabarikiwa na mafundisho yako,siku nikifika bukoba lazima nikuone live niondoke na baraka zako!!👋
@annestasiarioba48263 жыл бұрын
Nakufuatilia kutoka iraq....kushangaa ni hatua ya kwanza ya kuondoa mazingara...
@MarysianaPeter3 ай бұрын
Mungu ongeza watumishi kama huyu watu tupone
@fabiolapanga86803 жыл бұрын
Jaman huyu fadha ananikosha moyo san
@duncankipkurui63803 жыл бұрын
Nimekua nikifwatilia mafunzo yako padre niya kutia moyo na kujenga ubarikia