PADRE KITIMA ALIVYOKULA KIAPO CHA UAMINIFU MBELE YA MAASKOFU NA RAIS MPYA TEC

  Рет қаралды 11,173

KANISA KATOLIKI TANZANIA TEC

KANISA KATOLIKI TANZANIA TEC

22 күн бұрын

Karibuni sana katika Channeli hii inayomilikiwa na Baraza la Maaskofu Katoliki Tanzania {TEC}ikiwa ni moja ya chombo cha Uinjilishaji kwa njia ya Sauti na Video.Pia unaweza kutufuatilia kupitia mitandao yetu ya kijamii kama ifuatavyo.
INSTAGRAM: / kanisa_katolikitz
FACEBOOK: / barazamaaskofukatolikitz
Whatsup: 0738 916 628...KANISA KATOLIKI TANZANIA
Usisahau Kusubscribe,like na kushare maudhui yetu...

Пікірлер: 26
@wollefernando1257
@wollefernando1257 14 күн бұрын
Hongera...tunakuamini na tunakutakia majukumu mema, Mwenyezi Mungu akutangulie.
@VicentMauka
@VicentMauka 16 күн бұрын
MUNGU akupe hekima zaidi ÀMEÑ ÀMEÑ ÀMEÑ 🙏
@MichaelJastine
@MichaelJastine 18 күн бұрын
Amen mungu awepamoja nawe
@piusmapunda5900
@piusmapunda5900 19 күн бұрын
Hongera sasa Father Kitima. Unaupiga mwingi....... Mungu awe pamoja nawe daima!
@Arbogast-dp5nx
@Arbogast-dp5nx 18 күн бұрын
Baba kitima tunakutakia utume mwema 🎉
@marcobahati800
@marcobahati800 18 күн бұрын
Hongera sana baba mungu akuatamie kama kuku aatamiavyo vifaranga wake ukalitangaze vyema neno la mungu ktk kweli
@elidifridajingu3153
@elidifridajingu3153 20 күн бұрын
Fr kitima na fr msaga wote hao ni matunda ya jimbo katoliki la singida. Hongereni sana, utume mwema na majukumu memaaaaa❤❤❤
@willynjia978
@willynjia978 20 күн бұрын
Huyo anaewaapisha sio Fr. Dulle wa Singida?
@Amatha_K
@Amatha_K 20 күн бұрын
All the best our spiritual father. We pray for you
@elidifridajingu3153
@elidifridajingu3153 20 күн бұрын
Fr kitima hongera sana muhaja!
@francismigongwa4146
@francismigongwa4146 11 күн бұрын
Utume mwema Baba Kitima
@BurtonLwiva
@BurtonLwiva 20 күн бұрын
Hongera sana
@rutashobyanovath1116
@rutashobyanovath1116 18 күн бұрын
🎉
@jovinusferdinand2544
@jovinusferdinand2544 20 күн бұрын
Ni askofu wa lind
@patricksoko1279
@patricksoko1279 20 күн бұрын
Rais mpya wa tec ni nani?
@josephlorri431
@josephlorri431 20 күн бұрын
Wolfgang Pissa,Askofu wa Lindi
@thomasardoph
@thomasardoph 20 күн бұрын
Hivyi father. Kitima kwanini hajawai kuteuliiwa kuwa Askofu ..
@celestinshayo7295
@celestinshayo7295 20 күн бұрын
Kwani ni lazima yeye ateuliwe? Kwa nini uulizie kuhusu yeye tu? May be wakati wake haujawadia!
@hgrintercon9537
@hgrintercon9537 20 күн бұрын
Kwani kafa!?
@michaelvincentmhagama337
@michaelvincentmhagama337 20 күн бұрын
Uaskofu siyo shauri la mwanadamu, bali Uaskofu ni shauri la Roho Mtakatifu.
@josephlorri431
@josephlorri431 20 күн бұрын
Changamoto za nadhiri za kichungaji
@thomasardoph
@thomasardoph 19 күн бұрын
@@celestinshayo7295 Huwa najiuliza sana pamoja na yule Method Kilaini hakuwai kuwa Askofu mkuu ila Askofu Msaidizi..
MAKAMU WA RAIS TEC AFAFANUA KWA KINA MAANA YA PALLIUM ATAKAYOVALISHWA KARDINALI RUGAMBWA
14:14
Khó thế mà cũng làm được || How did the police do that? #shorts
01:00
1❤️
00:17
Nonomen ノノメン
Рет қаралды 13 МЛН
你们会选择哪一辆呢#short #angel #clown
00:20
Super Beauty team
Рет қаралды 50 МЛН
WAZIRI MWANAFUNZI WA FR.KITIMA ASIMULIA KISA CHA KUSISIMUA MBELE YA WAAMINI NA MAASKOFU
5:16
MFAHAMU ASKOFU NZIGILWA "WALEI NIMEISHI NAO VIZURI,MPANDA WAJIANDAE NINA MIPANGO MINGI".
43:27
Khó thế mà cũng làm được || How did the police do that? #shorts
01:00