SAFU MPYA WA UONGOZI WA BARAZA LA MAASKOFU KATOLIKI TANZANIA 2024-2027,RAIS,MAKAMU NA KATIBU MKUU

  Рет қаралды 20,087

KANISA KATOLIKI TANZANIA TEC

KANISA KATOLIKI TANZANIA TEC

13 күн бұрын

Karibuni sana katika Channeli hii inayomilikiwa na Baraza la Maaskofu Katoliki Tanzania {TEC}ikiwa ni moja ya chombo cha Uinjilishaji kwa njia ya Sauti na Video.Pia unaweza kutufuatilia kupitia mitandao yetu ya kijamii kama ifuatavyo.
INSTAGRAM: / kanisa_katolikitz
FACEBOOK: / barazamaaskofukatolikitz
Whatsup: 0738 916 628...KANISA KATOLIKI TANZANIA
Usisahau Kusubscribe,like na kushare maudhui yetu...

Пікірлер: 33
@matiredms917
@matiredms917 5 күн бұрын
Mimi ni Mlutheri lakini namshukuru Mungu sana kwa ajili ya Kanisa Katoliki kwa ushujaa ujasiri na uthubutu wa kuwaambia Watawala ukweli kinyume na uongozi wa kilutheri ambao unakubali ubabe wa Serikali hii dhalimu dhidi ya Wananchi kwa madai eti Askofu hakulelewa kueleza Serikali ukweli wa hali mbaya ya wananchi. Mungu awabariki sana TEC.
@matiredms917
@matiredms917 5 күн бұрын
Hongereni TEC kwa kujipanga upya ili kutetea Wanyonge dhidi ya huu Utawala uliokengeuka na ovu.
@lucimwica647
@lucimwica647 7 күн бұрын
Mungu awabarki na awaongoze katika utume,
@PriscaGasper-fu6ky
@PriscaGasper-fu6ky 9 күн бұрын
Mungu bariki uongoz wa TEC Mungu bariki kanisa katoliki
@Carolina-sm5zt
@Carolina-sm5zt 11 күн бұрын
Mungu awalinde Baba zetu wa Kiroho na awajalie Afya ya mwili na Roho 🙏🙏
@raphaelkessy7360
@raphaelkessy7360 11 күн бұрын
Mungu Bariki Kanisa lako Catholic na viongongozi wake pamoja nawa umini wake
@KennedyChaula-ny9mu
@KennedyChaula-ny9mu 10 күн бұрын
Asante MUNGU kwawingi wa Baraka unazotumiminia
@alexiamatewa6274
@alexiamatewa6274 10 күн бұрын
hongera sana Baba Askofu wetu wa Jimbo la Mpanda Askofu Euzebius Nzigirwa Kwa kuchaguliwa kuwa makamu wa Raisi wa TEC Tanzania
@jonaskweyamba9747
@jonaskweyamba9747 11 күн бұрын
Najivunia kuwa Mkatoliki, Nawaombea wote viongozi wa Balaza la Maaskofu TEC
@jenisiamlandali-e2y
@jenisiamlandali-e2y 11 күн бұрын
Mungu awasaidie sana ❤
@yungeelias9339
@yungeelias9339 11 күн бұрын
Mwenyezi Mungu awe kiongozi wenu Mkuu, Mkono wake uwe juu yenu
@gabrielsabudema-uw3sd
@gabrielsabudema-uw3sd 11 күн бұрын
Asante, mababa askofu
@jumannebasesa1100
@jumannebasesa1100 11 күн бұрын
Mungu awasimamie viongozi wetu
@emmanuellyatuu4103
@emmanuellyatuu4103 11 күн бұрын
Mwenyezi Mungu awaangazie na kuwasimami katika Utume wenu na majukumu yake🙏🙏🙏
@albertmaneno
@albertmaneno 11 күн бұрын
Majukumu mema Maaskofu wetu
@paulrwechungura4284
@paulrwechungura4284 11 күн бұрын
Mungu undelea kuliongoza kanisa
@mariamtepa1740
@mariamtepa1740 11 күн бұрын
Pigeni Moyo konde viongozi wetu na Mungu awajalie ujasiri wa kulilinda kanisa lake. Hizi mbambamba zisiwatishe
@jameskagulu4228
@jameskagulu4228 11 күн бұрын
Najivunia kuwa mkatoliki
@ezrashauri414
@ezrashauri414 11 күн бұрын
Kazi na sala
@workmantiktok
@workmantiktok 11 күн бұрын
mnajifanya watu kumbe ni zaidi ya shetani
@abubakarnyerere5263
@abubakarnyerere5263 11 күн бұрын
Mkaue Albino nanyinyi
@philbertrobert1084
@philbertrobert1084 11 күн бұрын
Na wewe kalawiti watoto kama ulivyozoea
@paulrwechungura4284
@paulrwechungura4284 11 күн бұрын
Wewe ni wa vibanda ,wala hamna kanisa ,kanisa ni moja tu katoliki
@philipinaawe736
@philipinaawe736 10 күн бұрын
Km unavyofanyaga?
@philipinaawe736
@philipinaawe736 10 күн бұрын
Hongereni sana viongozi wetu. Mungu awabariki sana
@abubakarnyerere5263
@abubakarnyerere5263 11 күн бұрын
Mnajificha kwenye kimvu cha dini ila siyo ninyi mnamakubwa ya kishetani utabiri wa yohana uko sawa mnakiti cha shetani vatcan
@GeraldMichael-tg4zd
@GeraldMichael-tg4zd 11 күн бұрын
Unajielewa unachokiongea wewe au umepagawa na Imani yako ya kishetani huko
@emmanuellyatuu4103
@emmanuellyatuu4103 11 күн бұрын
Ohoooooo😂😂😂😂😂😂😂
@philbertrobert1084
@philbertrobert1084 11 күн бұрын
Yaani wewe kwenye page ya kanisa la watu unafanya Nini? Kitu usichokipenda na unaendelea kukifuatilia tafsiri yake ni kwamba una msongo unahitaji tiba. Chukua hatua msongo unaua
@andrewdukho8795
@andrewdukho8795 11 күн бұрын
Majini yamempanda huyo
@Carolina-sm5zt
@Carolina-sm5zt 11 күн бұрын
Na wewe unakiti kipi kwani umeyashinda yote ya Duniani hapo Tu umetenda dhambi ya kuhukumu
MAKAMU WA RAIS TEC AFAFANUA KWA KINA MAANA YA PALLIUM ATAKAYOVALISHWA KARDINALI RUGAMBWA
14:14
Did you believe it was real? #tiktok
00:25
Анастасия Тарасова
Рет қаралды 21 МЛН
My little bro is funny😁  @artur-boy
00:18
Andrey Grechka
Рет қаралды 13 МЛН
🌊Насколько Глубокий Океан ? #shorts
00:42
HOTUBA YA KWANZA YA RAIS MPYA TEC BAADA YA KUCHAGULIWA,ASISITIZA HAYA...
5:18
KANISA KATOLIKI TANZANIA TEC
Рет қаралды 13 М.