Kipindi cha Allccess kilipata bahati yakuvinjali katika kisiwa cha Zanzibar nakufika hadi nyumbani kwa Mkuu wa Mkoa wa Mji Magharibi Zanzibar Ayoub Mahmoud.Tazama hapa
Пікірлер: 75
@omarngwali39304 жыл бұрын
Hongera kiongozi ayoub wewe kiongoz bora daima nitakuombea kwa Allah akuongoze maisha ya dunia na akhera....
@fatmamohd86472 жыл бұрын
Mtangazaji uko vizuri😘
@mwakahassan87424 жыл бұрын
Maa shaa Allah nakupnd sanaa mh Allah akulinde na mahasid wa kila aina krb kujenga kwetu makunduch Allah akuzidishie moyo uwo uwo
@jeaff195 жыл бұрын
hongera sana kiongozi wetu mungu akubariki baraka tele uzidi pata uzibiti na ushupavu wakukabiliana na majukumu na akulinde na maadui. wewe ni mtu muhimu sasana.
@fauziaalbahrihuyukijanahod93184 жыл бұрын
Yaani ndio kazi yako unaifanya kisomo
@aboumaburaramadhan41884 жыл бұрын
Mashallha mzee kajitahid 18. Mashalha mungu atuwekee
@businessideas.13504 жыл бұрын
Kupitia kauli za mkuu wetu wa kazi nimejifunza mambo mbali mbali na mm sina budi kuyafanyia kazi. Kiukweli hatuto kusahau daima . May allah bless you.
@ibrahimsuleimani64285 жыл бұрын
Namkubali sana mkuu Wa mkoa
@hamisabeid11094 жыл бұрын
Namkubali sana kiongozi mchapa kazi hongera sana kwa uchapaji wako kazi
@salehhassan874 жыл бұрын
Ww ni mwamba nakuombea duwa sn kiongoz wangu nakukubali sn kiongoz wangu
@manahiljamal80534 жыл бұрын
Maa Shaa Allah hongera Sana tutakukumbuka Sana kwa mchango wako mjin magharib
@wahidasalum67074 жыл бұрын
mungu akulinde na wanafiki muheshimiwa mm nakukubali sana
@neememmanuel98114 жыл бұрын
nenda ACT acha kuwa Ccm Zanzibar ACT ndio habari ya mjini
@aishanassor80573 жыл бұрын
Mm nakuombea kwa Allah akupe mwongozo uliowema pamoja na sote Amin
@hajivuai34544 жыл бұрын
Karibu sana Makunduchi mh koz ndo makao makuu ya Mkoa wa Kusini Unguja
@ahmadakishingo19354 жыл бұрын
Sio makao makuu
@rasterwangu97084 жыл бұрын
kwahio pale tunguu sipo
@sadakhamis12614 жыл бұрын
Shukran kwa kukuelewa historia yako
@sadakhamis12614 жыл бұрын
Na kupenda saana na kufatilia ni mzenj lakini naishi maskat oman.. Nimehuzunika saana kupelekwa mkoa wa kusini... Mkoa wa mjini magharibi unachapa kazi vizuri.. Mungu akusimamie ktk kazi zako na pia akulinde na hasadi za waja.. Aamiin
@sadakhamis12614 жыл бұрын
Huwezi kuniangusha jembe langu.. Mashallah... Tunatamani zenj iwe km omani kwa maendeleo
@dazuuhmd8194 жыл бұрын
Hongera sana fanya kazi kiongozi
@gangmore90912 жыл бұрын
Mapinduzi Tukufu or Mauwaji Tukufu kila mtu atahukumiwa alichokichuma insha Allah
@abdallahahmed31664 жыл бұрын
mashallah allah akusimamie ayoub ww ni kiongozi mwema mpaka sasa sijaona ubaya wako
@allmindhir38894 жыл бұрын
Mungu akupe ujasiri huo huo ulio nao ww nimfano w kiongozi ulie bora ni muda mfupi2 tumeona mabadiliko ktk mji wetu w mjini magharibi unapinga uchafu n uovu w kila aina hujali hyu ni mtoto w nani wala ananyadhifa gni piga kazi muheshmiwa unapo simama n Allah hkuharibiki kitu hta wkupeleke ppote Inshallah
@zabibujumakhamis68344 жыл бұрын
all mindhir
@abdulihamadi23584 жыл бұрын
Daa!!! Roho inaniuma kuona ayubu kahamishwa
@firstname6005 жыл бұрын
Mkuu karibu kwetu.
@ALIkhelefengineer4 жыл бұрын
ahsante,,,
@kherysamiryamsaaka58984 жыл бұрын
Mm binasfi napenda uwe raisi wa zanzibar kwasababu unajituma san
@munguaibarikitanzanianawat92544 жыл бұрын
Mashallah
@husseinkonz51924 жыл бұрын
Hyo kuhamishwa mjini wengi tumeumia kweli chema hakidumu
@salmatalhiyn32254 жыл бұрын
Huwezi Amini Nalia Kama Nimefiwa😭😭😭
@allyderossi97424 жыл бұрын
Hussein Konz NI FITNA 2UUU ZA WA2 WABAYAA!!.
@sadraaly34102 жыл бұрын
Tamaa ya ardhi babaaaaa
@manyotaskipper57654 жыл бұрын
Utakuta WAZANZIBAR WANAMCHUKIA HUYU AYOUB KISA TU CCM kwa wensojua HAZINA HUYU KIJANA NI HAZINA KUBWA YA UONGOZ WA ZANZIBAR NA TANZANIA
@masoudmasoud81384 жыл бұрын
Hana mpango wowote
@kassimomar75894 жыл бұрын
Bimnafsi namkubali mkuu huuyu wamkowa
@mathnasaeed38064 жыл бұрын
Mr president turejeshee Ayoub wetu mjini wa kajengwa warejeshee mtu waoo
@amourmtungo6234 жыл бұрын
Education, education, education. Hii ndio njia pekee kwa wananchi wa Zanzibar kujikomboa. Lakini tukiwa sote tuna elimu ya juu nani atataka kutumwa?
@farhatfatma124 жыл бұрын
Kwa Africa wasomi mpaka sasa hawajatusaidia sana kwa maoni yangu. Na kadri shahada zao zikiwa nyingi na wao huzidi ujinga. Ni maoni tu.
@aboubakarmansour11894 жыл бұрын
Kwa viongoz wa CCM Ww ndy pekee ninayekukubal kwa kuchapa kaz bila ya uoga na huko nenda kawanyooshe
@nohatredbutlove57864 жыл бұрын
Huyu jamaa kiukweli yupo tofauti na ccm wote
@farhatmohd32854 жыл бұрын
Ndio maana wakamchukia
@jarsjam88944 жыл бұрын
Nenda ukawaneemeshe wengine na ukae kwa salama
@khamischichi71694 жыл бұрын
I will never seen be4 Iblve he will B Psndt o ths country
@fatmajumaa10694 жыл бұрын
Km wewe muandishi wa habari ukikutana na mkuu wa mkoa ayuob unayepi ya kumuuliza
@subrynerysegerow13234 жыл бұрын
Fatma Jumaa yepi ndiyo nini?
@nachunachu74664 жыл бұрын
Ndoto yangu kukuona I wish soon
@omaralyvuai47704 жыл бұрын
tɦaռҡ ʏօʊ ɮʀօtɦɛʀ
@chocolatepudding35454 жыл бұрын
Nenda kaaa ukoo
@hamadsaidi93764 жыл бұрын
Eti zanzibar ipo shwari na salama sana huna haya wewe
@maryammaram26124 жыл бұрын
😁😁😁 kulikoni tena zenj hukoo
@mbaroukhmza28924 жыл бұрын
Ukimuona mkuu wa mkoa anapenda sana kuonekana kwe vyombo vya habar ujue anapenda kiki fulani, kuna wakuu uko wanafanya kaz kama punda kimyakimya wakiamua kiki bac watawafunika wate ao wapenda kiki, lakini wao akah,
@ukhtyrayyan78844 жыл бұрын
Mbaruku inaakili weeee.saaa.apo anakiki.gani.wacha rohoooo mbaya na uhasidi
@hajiyahya83804 жыл бұрын
Mbarouk Hmza tatizo ww ni nbinafsi.
@alimussa26554 жыл бұрын
Ayubu mbona wamekutowa mjini wamekupeleka shamba kuna nini hapo au nd masenge wamekupiga vibwanga dah tutakumis hapa tauni kulikuwa shwarii lakini kwa hali inavyokwend sasa ivi vidole tutatiwa vya macho
@hafsabakar61724 жыл бұрын
Big up mr Ayoub Iwill remember u. No one like u
@saidsoud59674 жыл бұрын
Huyu si CCM ana damu ya ACT
@harithwhite5894 жыл бұрын
0:51 Zanzibar ya vibanda
@hassanhajj68044 жыл бұрын
Muhimu amani ,kuna nchi zina maghorofa,mall shop ,fly over ,lakini amani wanaisikia na upendo wanaisikia tu ,Zanzibar na wanatamani wangezaliwa kwenye ivi vibanda