BINTI MDOGO WA KIZANZIBAR DEREVA WA MALORI MAKUBWA / KAACHA KAZI YA UTANGAZAJI TV/RADIO

  Рет қаралды 56,563

KTV TZ ONLINE

KTV TZ ONLINE

11 ай бұрын

Angalia Video Hii Mwanzo mwisho , Kisha Subscribe ili uendelee Kupata Habari Zote.
Follow Ktv Tz Online
Facebook | KTV TZ ONLINE
INSTAGRAM |@ktv_tz_online
Wasiliana nasi kupitia number
+255 625 323 932
Ktv Tz Online Journalists
cc: Sadia Rashid
cc: Sauti Byego
Camera Department"
Dadi Ali
Omar (OJ)
Nassor Shaibu
Abdallah Juma
Editors:
Juma Maulid
Dadi Ali
Video Zingine:
Angalia hapa - Diamond Platnumz Alivyolisha watoto yatima
- Ali Kiba akiwa Oman
• ALICHOKIFANYA DIAMOND ...
• NI KWELI ALI KIBA AMNU...

Пікірлер: 180
@AshaSeif-zb1ry
@AshaSeif-zb1ry Ай бұрын
Mashallah mungu azid kukupa kipaji akuondoshee husda z walimweng
@cloudinhoabdi868
@cloudinhoabdi868 10 ай бұрын
Just like any other job Sumaiya. Take it the way it is. I really admire your confidence and personality. Kenyans loves you. Watching from Tucson Arizona UNITED KINGDOM
@salyali7807
@salyali7807 10 ай бұрын
This is abusing to women.. there is nothing to congratulate you should feel sorry for her... she's been brainwashed and now she works like a .... may Allah guide her
@officialshoty8436
@officialshoty8436 11 ай бұрын
Hongera sn Sumayya... Mungu akusimamie ktk kila hatua... Hakika unaweza... ❤❤
@MTANGITHABITI-iw3qy
@MTANGITHABITI-iw3qy 10 ай бұрын
Nimependa Xn iyo Yani yani hata unavyo ongea unaongea kwakujiamini xf Xn
@user-si3ey6uu1g
@user-si3ey6uu1g 11 ай бұрын
Hongera xn sumaiya kwa kuwa mwanamke wa kwnza znz kuendesha gr kubwa allah akufnyie wps ktk maisha yko.
@nassirshaib6651
@nassirshaib6651 11 ай бұрын
Upo vizur mdogo wangu pambana usikate tamaa❤❤🇹🇿🇹🇿🇹🇿
@melchiadepaschal3097
@melchiadepaschal3097 10 ай бұрын
KTV TZ, naomba mawasiliano yenu, for advertise, thanks
@sakinaamani1486
@sakinaamani1486 10 ай бұрын
Mungu akutangulie na akuepushe na wanao husudu in shaa Allah
@daktari_mtangazaji
@daktari_mtangazaji 11 ай бұрын
Kila hatuwa Dua, mungu akusimamie katika maisha yako.
@FatmaMohammed-ry8yo
@FatmaMohammed-ry8yo 10 ай бұрын
Mashaallah tabarakallah Allah akulinde akuongoze natamani nami niendeshe
@daktari_mtangazaji
@daktari_mtangazaji 10 ай бұрын
@@FatmaMohammed-ry8yoInawezekana ni kwenda kusoma tu
@khamisjuma8501
@khamisjuma8501 11 ай бұрын
Good job my sister Salam zangu kutoka USA marekani
@MdNasr-jm8pj
@MdNasr-jm8pj 10 ай бұрын
Umejikaza my wanawake tusonge mbele Kwa maendeleo sio umbea😍
@TM-zs3rm
@TM-zs3rm 9 ай бұрын
Na unga mkono wanawake wote wanao kutoa na kuto kujali jinsi a. Nakupenda wewe. Wanawake tunaweza tu kujiamini na kupewa chance. Hongera dada.
@officialshoty8436
@officialshoty8436 11 ай бұрын
Hongera sn best... Mungu akusimamie ktk kila hatua... Hakika unaweza... ❤❤
@hawamohammed9740
@hawamohammed9740 10 ай бұрын
Wazanzibar ni wachapa kazi simunamuona na mama samia
@Fear_Allah394
@Fear_Allah394 10 ай бұрын
Allah akupe kazi ya stara utakayostirika na utakayoeza kuvaa mavazi mazuri ya kiisilam, amiin
@zaytunhijja6771
@zaytunhijja6771 10 ай бұрын
Ovyooo
@mwigaadam1179
@mwigaadam1179 10 ай бұрын
Kwani hii sio ya stara au??
@thadeimatenga4397
@thadeimatenga4397 10 ай бұрын
Acha unyanyasaji wa kijinga.
@salyali7807
@salyali7807 10 ай бұрын
Nikweli kabisa.. kila kazi zina mipaka yake... kwa mwanamke kufanya kazi hizi ni kujidhalilisha tu na kuumizwa afya zao... wanawake amkeni hizi propaganda zinafanya wanawake kuwa slaves wa ulimwenguni
@sabihaibrahim143
@sabihaibrahim143 10 ай бұрын
​@@thadeimatenga4397mhmm
@salummzee9739
@salummzee9739 11 ай бұрын
Maisha popote ndugu yng ajira ya sasa ujiripua popote penye uhalali tu jitahidi utatimiza ndoto zako life it's performances it's gose rass
@salyali7807
@salyali7807 10 ай бұрын
Hii ni kudhalilisha wanawake.. hizi kazi nzito ni za wanaume.. wanawake hawakuumbwa kwa kazi ngumu kama hizi... Wanawake amkeni hizi kazi waachieni wanaume watumike .. in the long run kazi hizi zitavunja afya zenu.
@Sheba4651
@Sheba4651 10 ай бұрын
Wanadanganyana wapo Jihadi, mimi mwanaume sitaki kuteseka kusaka chakula changu cha siku, imenilazimu tu, Allah ameshapanga mja wake, natamani niishi kama niko peponi ila haiwezekani, sitaki kusukuma rikwama ama semitela. Inakuwaje tena wanawake wameumbwa watumikiwe, wanalala zege, maziwa magumu kama ubao, wanajiona wapambanaji, wanafurahia mateso. Hawajitambui.
@allytindigwa7647
@allytindigwa7647 10 ай бұрын
Hongera sana,na hongera kwa Familia hii.❤❤❤❤❤
@habibukabwanga4908
@habibukabwanga4908 9 ай бұрын
Hongera sana mama
@hemednassor2362
@hemednassor2362 3 ай бұрын
mashAllah yuko vzur leo tu nimemuona na semitraler lake
@aziza9093
@aziza9093 10 ай бұрын
Mwnamke huwamakini sana kwkilajambo Allah akulida
@fababindawood8363
@fababindawood8363 10 ай бұрын
MASHA ALLAH NICE ALLAH AKUBARIK
@khadijauledi3293
@khadijauledi3293 10 ай бұрын
Hongera sana, umeshuka kwenye gari nimeona hujavaa viatu sahihi vya kuendesha gari, viatu vya kufunika, (UKUMBUSHO)
@firdaus7428
@firdaus7428 10 ай бұрын
Comfortable shoes is very important when you’re driving. Very good recommended.@Khadijauledi
@munaomar9532
@munaomar9532 11 ай бұрын
Allah akufanyie wepes pia usimame na mungu
@margarethpolepole7438
@margarethpolepole7438 10 ай бұрын
Huyo ni mwanamke wa shoka mnyamwezi mnzanzibar mchapa kazi sanaaaa kweli utumwa ulikuwa mwingi sana ukawapa nguvu sana wanawake jeshi kubwa mungu amsaidie sana huyu mnyanwezi mnzanzibar
@user-kb3dz5lr1s
@user-kb3dz5lr1s 10 ай бұрын
Mashaallah allah akudhidishie nakupe wepes zaidi katika kazi zko
@husseinkonz5192
@husseinkonz5192 10 ай бұрын
Hongera mdada japo ni lidude la barabaran jitahid urushe ndege tena
@user-wq2xy5mw1z
@user-wq2xy5mw1z 10 ай бұрын
Mashaallaah my sister. Uko vinzuri mungu akubariki sana 🙏
@mrishotufu6859
@mrishotufu6859 10 ай бұрын
Wanawake nawakubali sana kwanza nimajasiri nimewaona wakimlinda ayati kadhafi walibia mungu amùweke mahalapema pepuni
@charleskuyeko4400
@charleskuyeko4400 10 ай бұрын
Binti huyu namshauri atafute viza aende Canada akaombe kufanya kazi hiyo. Wapo Wanawake wengine Waafrika wanafanya kazi hiyo. Wanalipwa hela nyingi sana $40 kwa saa. Ni zaidi ya Sh.Milioni 20 kwa mwezi au sh.Milioni 5 kwa wiki. Wanalipa kwa wiki. Lakini kabla hajaenda huko ughaibuni anatakiwa aje huku bara atakutana na wanawake wenzake wengi wanaosafiri masafa narefu kama Congo. Rwanda, Zambia nk. Akishazoea hapa bara then aende zake Marekani au Canada. Nampongeza binti yetu huyo wa Kitanzania. Mungu ampe mwanga zaidi.
@malak-lz6kx
@malak-lz6kx 10 ай бұрын
Wanalipwa hyo lkn pesa yote hio inaenda kwenye matumiz pakulala kula na huduma nyingi binaadam
@daktari_mtangazaji
@daktari_mtangazaji 10 ай бұрын
@@malak-lz6kx😅😅😅 ndio lengo la kupata hela aty ili uweze kujikimu hizo zote haziwezi kuisha kwa icho unachosema wewe lazima itabakia ya save
@prosperintlwealthcompany8885
@prosperintlwealthcompany8885 10 ай бұрын
@malak-lz6kx
@malak-lz6kx 10 ай бұрын
@@daktari_mtangazaji 🤣🤣🤣
@sakinaamani1486
@sakinaamani1486 10 ай бұрын
Tena anatakiwa aondoke mara moja vile wame m expose asije akawa kama yule mma wakamkata mkono n wabaya baadhi ya wanadamu
@user-gx3sg3mf3z
@user-gx3sg3mf3z 10 ай бұрын
Safi sana dada pambana hiyo ni kazi kama kazi zingine mungu akubariki
@asalkhan9168
@asalkhan9168 11 ай бұрын
Hongera dada mi naona huku nilipo wanawake wanaendesha mabasi makubwa na magari ya mizigo
@eshasalim5496
@eshasalim5496 11 ай бұрын
Maa Shaa ALLAH, Tabaaraka ALLAH! ALLAH Akuhifadhi Ya Rabb. AMIIN
@user-hv3uy6fp3w
@user-hv3uy6fp3w 11 ай бұрын
Allah akusimamie kipenz akulinde na Kila baya 🙏
@greysonsanga
@greysonsanga 6 ай бұрын
The hero women congrats
@scoutpwanimchangani6711
@scoutpwanimchangani6711 11 ай бұрын
Ni kweli sio maderava hawajasoma. Bali ni uderava ni kazi kama kazi nyengine
@ahmedbaamironlinetv4753
@ahmedbaamironlinetv4753 10 ай бұрын
Congratulations ❤🎉🎉🎉
@nassorphamadi6065
@nassorphamadi6065 7 ай бұрын
Nice good job
@kassimabu9420
@kassimabu9420 Ай бұрын
Good job
@nooraomar2510
@nooraomar2510 10 ай бұрын
Maashaallah Allah akuzidishie kipaji chako
@ahmedbambo2673
@ahmedbambo2673 11 ай бұрын
mungu akusimamie katika ndoto yako dada
@AaAa-vm8bb
@AaAa-vm8bb 10 ай бұрын
Hongera sana Sumeiyah kwa ujasiri mkubwa Allah akupe Imani na ujasiri wa hali ya juu zaidi sasa wewe hutaki kuomba kijora kwa mume wako yeye jee akiomba kikoi utamnunulia?😂😂
@wardajumaa1272
@wardajumaa1272 11 ай бұрын
Mungu akusaidie dada
@arafamke
@arafamke 10 ай бұрын
Masha Allah akukinge na husida my
@nadiaali9147
@nadiaali9147 10 ай бұрын
Mashaallah ❤
@pavillioncry5241
@pavillioncry5241 10 ай бұрын
Nimesoma nae chuo cha udereva mbweni znz Tulikuwa tunafanya try pamoja Ana vituko uyoo
@nasibmbuguni5613
@nasibmbuguni5613 10 ай бұрын
Dada hongera sana pambana na maisha vizuri sana
@jebellwallace3509
@jebellwallace3509 10 ай бұрын
Big up
@user-gk3wz8wb3t
@user-gk3wz8wb3t 10 ай бұрын
Maashaallah. Maashaallah maashaallah Baaraka llahu feek
@fifo262
@fifo262 11 ай бұрын
Hongera my ❤
@dullahmuhamed3781
@dullahmuhamed3781 9 ай бұрын
Kila laheri kwakweli mungu akutangulie suiya
@fauzenkassim8424
@fauzenkassim8424 10 ай бұрын
Mashaallah 🥰 pambana Allah atakusaidia inshaAllah 🤲
@user-zn9xo4pk4p
@user-zn9xo4pk4p 10 ай бұрын
tunaweza hongera
@MwanaishaHemed-xi6rj
@MwanaishaHemed-xi6rj 10 ай бұрын
Hongera sana piga kazi maisha magumu
@bosskaree49
@bosskaree49 9 ай бұрын
Allah akufanyie wepes katika kazi zako
@scoutpwanimchangani6711
@scoutpwanimchangani6711 11 ай бұрын
Ni kweli sio kama Kila dereva Hana elimu. Ukweli haya ni maamuzi tunya mtu.
@bintqassimidarous1636
@bintqassimidarous1636 10 ай бұрын
Kwa Zanzibar mageni lakini kwa huku ulaya wanawake wanaendesha hadi ma train 🚊 tax na kila kitu
@margarethpolepole7438
@margarethpolepole7438 11 ай бұрын
Hongera sana mtoto wa kinyanwezi wa zanzibar kweli watu wa bara wanawake wa bara wanafanya kazi kubwa sana ungekuws mwanamke wa kiarabu halisi usingeweza wengi wao laini laini
@user-ps7ej3ep4e
@user-ps7ej3ep4e 10 ай бұрын
Ss uarabu na unyamwez umetoka wp Hapo
@malak-lz6kx
@malak-lz6kx 10 ай бұрын
Sio tatizo hlo vo tatizo ss waume zetu wanajua wajibu wao uyo engelikua ana mume wakumtunza kiislamu hta ilo gar asengeliendesha lkn maisha yamemfanya hvo kuwa ulaini sasa hpo tuwe bamba la kobe au
@saidwayawaya5356
@saidwayawaya5356 10 ай бұрын
Hongera sana my sister
@fardoshnassor7847
@fardoshnassor7847 10 ай бұрын
Mashalla Allah ❤
@mohddelo
@mohddelo 10 ай бұрын
Hongra sana umeweka historia ya zanzibar
@ZamdaMisembe
@ZamdaMisembe 11 ай бұрын
Mashallah 🙏 chamsingi kaz iwe ya Halali
@omarfauz1877
@omarfauz1877 10 ай бұрын
Hongera allah akupe wepesi
@munalove450
@munalove450 9 ай бұрын
Mashaallah ukhuty sumy😘😘😍😍
@muhammadmagtuf714
@muhammadmagtuf714 10 ай бұрын
Allah atakujaalia mume wa kheri in shaallah biidni Allah ❤
@allywawete5769
@allywawete5769 9 ай бұрын
God job
@jumamnemo8383
@jumamnemo8383 10 ай бұрын
Magari ya aina hiyo kweli yalikuwa hayapo hapa Zanzibar lakini wapo waliokuwa wanaendesha Malori kama Bi Sada Ibrahim Makungu.
@KIMALEX254
@KIMALEX254 9 ай бұрын
😊😊kenya ni kawaida ata ni wengi,
@salhkasmm558
@salhkasmm558 10 ай бұрын
Hay maisha hatujayazoweya waznz lakini nikawaida kwa nchi nyengine inatemea nguvu yako na akili yako piga kazi mazali halali
@hassanadam3007
@hassanadam3007 10 ай бұрын
Haile silas iko kila pahali❤❤❤
@neemamasudi7988
@neemamasudi7988 10 ай бұрын
Ongera sana
@ibra.mstudingfile8584
@ibra.mstudingfile8584 11 ай бұрын
Mashallah kijana mpambnaji Mume nipo hapa 😊😊
@shamsahaji6202
@shamsahaji6202 10 ай бұрын
😂mume wewe kwio???😂😂😂
@samsungoman5626
@samsungoman5626 11 ай бұрын
Maashallah
@rasjamal9854
@rasjamal9854 11 ай бұрын
Mashallah Maisha kujiamini na kuto kataa tamaa❤
@shamsahaji6202
@shamsahaji6202 10 ай бұрын
No.. mwanammke wa kwanza kuendesha lorry ni bi njiwa jamani.huyo atakua wa pili. Tunakuombea kila la kheri sist...Allah akulinde.
@josephsureeliajosephmion9997
@josephsureeliajosephmion9997 10 ай бұрын
Right
@lacksonnyika3770
@lacksonnyika3770 10 ай бұрын
Good fighting
@user-qo8uj1ym4m
@user-qo8uj1ym4m 10 ай бұрын
Fanya kz dd usiogipe maneno ya watu,jitume kwa jitihada zaidi
@abubakaradnan4689
@abubakaradnan4689 10 ай бұрын
Sio kweli sio mzanzibar ila ameishi sana Zanzibar na kama utamsikiliza kwa makini kiswahili chake kinatafauti baadhi ya maneno.
@khadijajuma7873
@khadijajuma7873 10 ай бұрын
Ongea kizenja bana. Onaongea kishua sana😊
@abubakaralliy8435
@abubakaralliy8435 10 ай бұрын
Anaongea kiswahili fasaha
@nassorphamadi6065
@nassorphamadi6065 7 ай бұрын
Please tunatak chuo cha uderev wa track apo zanzibar
@aminsnassibu8748
@aminsnassibu8748 11 ай бұрын
❤❤❤❤❤❤❤❤
@SurprisedDrill-ky9fi
@SurprisedDrill-ky9fi 21 күн бұрын
Hondera sana ila kama kuna uwezekano hio gari yako badilisha hilo jina la mbele(MAN)
@melchiadepaschal3097
@melchiadepaschal3097 10 ай бұрын
Welldone sister natamani kukwajili kwenye magari yangu.
@malak-lz6kx
@malak-lz6kx 10 ай бұрын
😂😂
@muhammedislam4875
@muhammedislam4875 10 ай бұрын
Ktv tz niliwamiss
@salumbinabed6906
@salumbinabed6906 11 ай бұрын
Usipinge nikweli tunaongoza kuvunja Sheria sio barabarnitu sehemu zote
@utaani1
@utaani1 6 ай бұрын
Mwanamke ambae ana income hata ndogo humuwezi kwenye ndoa. Mimi yashanikuta si kama nimesikia . Nawaonya wanaume ambao wanataka mwanamke mwenye income. Mwanamke hata kama ana income basi income yake hatodaidia chochote ndani ya nyumba na mwisho hata muda wake atakuwa hakupi ataanza dharau kibri jeuri na haki yako ya ndoa mume atakuwa hakupi
@mchawaamanmchawa593
@mchawaamanmchawa593 10 ай бұрын
Hongera ila usilewe sifa
@zuhura.suleimanmwamwari3083
@zuhura.suleimanmwamwari3083 10 ай бұрын
Kenyani jambo la kawaida hongera
@jojigeorige1056
@jojigeorige1056 7 ай бұрын
Go to Saudi Arabia....
@zanzibartvonline
@zanzibartvonline 4 ай бұрын
mm sijakushauri kwakazi hiyo
@husnamohamed9245
@husnamohamed9245 11 ай бұрын
Wanawake wakizanzibari kazaneni mufanye kazi msikae tu mume lete. Pesa yako Ingraham zaidi kuliko ya kugaiwa.
@fifo262
@fifo262 11 ай бұрын
Acha ujinga wewe
@salimmalaka256
@salimmalaka256 11 ай бұрын
​@@fifo262UJINGA WAKE NINI??
@abdulhamidmusa8962
@abdulhamidmusa8962 11 ай бұрын
@@salimmalaka256 haya mambo yanaharibu sana jamii ..hasa ya kislamu na tatizo linaanzia kwenye wanaume kuwajibika na kuwapa haki zao ....io nia aibu sana.
@Sheba4651
@Sheba4651 10 ай бұрын
Mwehu wewe. Unaona kutoka mapema alfajiri kutafuta kibarua ndio maisha ya peponi?
@malak-lz6kx
@malak-lz6kx 10 ай бұрын
Alhmdullah mumewng anajua wajib kwa mungu wke mwanamke anafanya kaz lkn sio hzi . Alafu wanaume wakiwatesa kimaisha mnaonewa kumbe mnapenda
@aliferuzi1537
@aliferuzi1537 10 ай бұрын
HONGERA SANA BINTI HAKUNA LISILO WEZEKANA FANYA KILE UNACHOKIFIKIRI UTAWEZA NDIO MAISHA HSKUNA ALIZALIWA DEREVA AU OPP PIGA KAZI SONGEA MBELE NA MAISHA NI HAYOHAYO
@mwigaadam1179
@mwigaadam1179 10 ай бұрын
Hili gari ni Tanzania na Sumaiyya ni Mama Samia ko wanawake wanaweza
@user-kf9hd8lh2m
@user-kf9hd8lh2m 10 ай бұрын
Najikuta napata nguv ya kupambana 😂
@user-gt1os3oh9h
@user-gt1os3oh9h 10 ай бұрын
KTV TZ nawez kupata nmb yenuu au nmb ya huyu derev sumaiya
@ktvtzonline
@ktvtzonline 10 ай бұрын
0717 619834
@nassorphamadi6065
@nassorphamadi6065 7 ай бұрын
Hicho ndiy kiliyo chetu
@sabihaibrahim143
@sabihaibrahim143 10 ай бұрын
mhmmm haya
@hamadfaki2503
@hamadfaki2503 11 ай бұрын
Mtume anasema,ukikosa haya fanya upendavyo
@AliAli-lw9bj
@AliAli-lw9bj 11 ай бұрын
Na pia kasema. Kutafuta rizik ya halali basi ni Jihadi
@salimmalaka256
@salimmalaka256 11 ай бұрын
KUFANYA KAZI SIO KUKOSA HAYA HATA WAKATI WA MTUME WANAWAKE WALIFANYA KAZI MUHIMU KAZI YA HALALI NA MAVAZI YA STARA.
@abdulhamidmusa8962
@abdulhamidmusa8962 11 ай бұрын
Hakuna mazingira ya kufanya kazi mwanamke wa kiislamu kwenye magari ya kontena...so stara hata kidogo na heshima yake itashuka.
@Sheba4651
@Sheba4651 10 ай бұрын
​@@AliAli-lw9bj Jihadi gani kuuza vitumbua maziwa nje, acheni kuwadanganya wanawake mkawapa matumaini ya shetani 😈
@hajiabdalla5772
@hajiabdalla5772 10 ай бұрын
Huko ni mshangao ila wachina na nchi nyenginezo warembo ndio kazi zao hizo kazi kazi
@user-zn9xo4pk4p
@user-zn9xo4pk4p 10 ай бұрын
hii tv ipo bdo
@hawaomary8486
@hawaomary8486 10 ай бұрын
Sio wakwaza mbona wanake wengi ni madereva
MUME WA DEREVA MWANAMKE WA LORI LA MAFUTA, AFUNGUKA MAZITO..
8:56
Global TV Online
Рет қаралды 23 М.
Became invisible for one day!  #funny #wednesday #memes
00:25
Watch Me
Рет қаралды 55 МЛН
I CAN’T BELIEVE I LOST 😱
00:46
Topper Guild
Рет қаралды 108 МЛН
USHAMBA HUU! Gari ya LEMA Yawaduwaza Wazungu
3:21
Global TV Online
Рет қаралды 56 М.
JE! ULIDANGANYWA HISTORIA YA ZANZIBAR- MANGAPWANI?
19:50
KTV TZ ONLINE
Рет қаралды 73 М.
SHUHUDIA ALICHOKIFANYA ALI "MCHAWI" MBELE YA MKUU WA MKOA
8:35
KTV TZ ONLINE
Рет қаралды 62 М.
JINSI YA KUENDESHA HOWO SINOTRUCK 290 GEAR 10
8:47
DRIVING TV KENYA
Рет қаралды 135 М.
ALIEKUA KWENYE MAPENZI NA JINNI,AHADITHIA MWANZO MWISHO
26:03
KTV TZ ONLINE
Рет қаралды 1,2 МЛН