No video

Part 1: GIGY MONEY amchana ZUCHU "Ningekupiga/SIJAWAHI Mtamani DIAMOND/Anatafuta UADUI na Mimi

  Рет қаралды 22,823

Rick Media

Rick Media

2 ай бұрын

Hii ni sehemu ya Pili ya Mahojiano ya Rick na Gigy Money. hapa anaelezea Chanzo Cha Ugomvi wake na Zuchu ambaye walianza kurushiana Maneno kwenye Mitandao ya Kijamii
_________________________________________________________________________________
Kuwa wa kwanza kupata Habari zetu kwa ku-subscribe KZfaq channel ya RICK MEDIA. Tufuatilie kupitia Instagram, Facebook na Twitter kwa jina la @rickmediatz
_________________________________________________________________________________
Contact Us Now +255 742 447 854 | Normal Calls & WhatsApp
#GigyMoney #Zuchu

Пікірлер: 67
@Lucyshie254
@Lucyshie254 2 ай бұрын
Giggy money to the world nampenda aki ❤❤❤❤❤❤❤
@stellahnestrey3769
@stellahnestrey3769 2 ай бұрын
She is smart
@naomidavid6390
@naomidavid6390 2 ай бұрын
Kwa hizi comment mbn kama watu wanamchukia sana huyu dada 😢
@JumaNyoni-ob2wz
@JumaNyoni-ob2wz 2 ай бұрын
Ila ukitumia akili gift ni strong woman...hajawahi kuwa na manager hajawahi mtegemea mtu Ila huyo zuchu anaingiza hela wasafi anaimba na anatombwa hivi hebu wasituchanganye....gigy tunakuelewa.
@user-wi6uk1vz1h
@user-wi6uk1vz1h 2 ай бұрын
Le Salaud c'est toi même espèce de jaloux 😂
@eggysulle7988
@eggysulle7988 2 ай бұрын
Meno ya gigy 🔥🔥
@joesplatnumz
@joesplatnumz 2 ай бұрын
Sai naona giggy kizungu una improve 🎉🎉🎉🎉😂😂😂
@fatmahamad-ng8vp
@fatmahamad-ng8vp Ай бұрын
hongera sana dada
@HanchoJunior
@HanchoJunior 2 ай бұрын
Dada wa connection..ndo mana mond kakuacha hatak uchafu kwenye timu yake alikupa fursa jukwaan ukufanya umalaya akamua akuache lakn mond anawasapot sana wanawake kwenye game ila haujieshim na mond ni kioo kwa jamii kwa Sasa na ni mfanya biashara Alie sirias na kazi yake...we enendelea na connection zako....🎉🎉 Dada huyooo😅
@subrynerysegerow1323
@subrynerysegerow1323 2 ай бұрын
Gigy kupigana hawezi kashapigwa na zee cute vibaya vibaya 😂 kwahy hata zuchu anaweza kumnyuka gigy
@yusternyirenda7231
@yusternyirenda7231 2 ай бұрын
Zuchu na diamond hawana hata muda na wewe masikini ya mungu 😂😂😂😂 AIBU
@user-fx7ig1uy6t
@user-fx7ig1uy6t 2 ай бұрын
Mimi na hasira zangu hvi siwezi kuhoji mtu mwenye tabia za gigy
@amelinahgetange946
@amelinahgetange946 2 ай бұрын
,,😂😂 utamfanyaje😂😂
@rehemamahmud855
@rehemamahmud855 2 ай бұрын
Gigy ❤
@channyanjen9047
@channyanjen9047 2 ай бұрын
Wewe acha kujishauwa wewe hawuwezi kupiga zuchu ni kwaju zuchu hawezi kujipa sifa mbaya kwenye mitandao
@Glory_Ade
@Glory_Ade 2 ай бұрын
Mbona Diamond alikuita wewe mzee?😂 Mnaomalizia maisha we na Mange na haumsemi? Unamtaka! Ndio maana una hasira na Zuchu 😂 Tupumzishe bana. Kama alivyosema Simba- unazeeka vibaya sana😂
@Lina4285baby
@Lina4285baby 2 ай бұрын
She’s not your enemy because you are the one who is talking about her 24 seven is getting too much get a life dammm
@Glory_Ade
@Glory_Ade 2 ай бұрын
💯💯
@user-wi6uk1vz1h
@user-wi6uk1vz1h 2 ай бұрын
👍👍👍👍👍
@user-wi6uk1vz1h
@user-wi6uk1vz1h 2 ай бұрын
Zuchuuuuu Forever Queen ❤️❤️❤️💯💯👍
@SADIKIMAPESA-yn7mo
@SADIKIMAPESA-yn7mo 2 ай бұрын
WEWE MALAYA UNATAKA KIKI KWA ZUCHU USHAJIZALILISHA KWENYE JAMII PUMBU WEWE HATUTAKI KUKUSIKILIZA😂😂😂
@tinaminja5500
@tinaminja5500 2 ай бұрын
Makasiriko ya nn jaman😂😂😂 afya ya akilii😂😢😢😢
@SADIKIMAPESA-yn7mo
@SADIKIMAPESA-yn7mo 2 ай бұрын
ACHA KUMCHAFUA ZUCHU WEWE MALAYA TUNAJUA UNALIPWA UMCHAFUE TAHILA WW MTOA NDOGO😂😂😂😂😂😂
@user-zv2ng6ov2k
@user-zv2ng6ov2k 2 ай бұрын
Zuchu nae ninani nimukewamtu ao
@beyondintrusion1663
@beyondintrusion1663 2 ай бұрын
Hemu Lia tena 😂​@@user-zv2ng6ov2k
@rahmaidd8818
@rahmaidd8818 2 ай бұрын
I THINK DEFINITION YA MANIPULATION INATUMIKA VIBAYA HAAAA😂😂
@Glory_Ade
@Glory_Ade 2 ай бұрын
Labda ndio neno alalojua tu😅😅. Juu inavyotumika sasa😂😂
@chany9950
@chany9950 2 ай бұрын
Love you Gigy💪🏾💪🏾🏎️😘
@Jtiiiiiiiiiii
@Jtiiiiiiiiiii 2 ай бұрын
Malaya mukubwa mujini .ongeleya chuma cha chuma vile ameku…..achana na Zuchu wew
@user-zv2ng6ov2k
@user-zv2ng6ov2k 2 ай бұрын
Gigi wewe nimrembo zaidiya zuchu musame tu
@habibamsemo6443
@habibamsemo6443 2 ай бұрын
Wandishi wa riki midia wachonganishi wakubw nyie mnatafuta kiki acheni ujinga washamba wakubw
@Glory_Ade
@Glory_Ade 2 ай бұрын
Malaya tu!!! Kila siku wewe ndio unaongelea Zuchu saa hii mwaka wa pili? Your life lazima iwe imejaa uchungu zako😅 ndio ujue wewe hauna maana kwake ushaiskia amekutaja? Sasa ni mwaka wa pili 😅 ila wewe week haumalizi😂 Akili yako imejaa Zuchu Diamond, Zuchu Diamond na wao loh hawakusemi😂 must be a difficult life😂😂
@user-wi6uk1vz1h
@user-wi6uk1vz1h 2 ай бұрын
hein ZUCHU DIAMOND ; ZUCHU DIAMOND hé dans sa bouche 😂😂😂
@AffectionateFloppyDisc-us4ge
@AffectionateFloppyDisc-us4ge 2 ай бұрын
Anaemuongelea hana hata muda nae 😂😂😂😂yy kutwa kumtaja zuchu ..si afanye yake tu😅😅😅😅
@lunangabenjamin3121
@lunangabenjamin3121 2 ай бұрын
Kwanini husingemchukuwaga moses iyob ingependezaga sana.
@azizaissa4010
@azizaissa4010 2 ай бұрын
Siku nyingine mwambie aoshe k yake kwanza
@PrincessHellen-pg1oy
@PrincessHellen-pg1oy 2 ай бұрын
Upuuzi tu Gigy anajitoaga ufahamu
@sharlharl5890
@sharlharl5890 2 ай бұрын
Malaya sugu huyu hebu aendelee kutombwa hadharani and leave zuchu out of her mouth nanyi waandishi washenzi ka mikundu zenyu
@stellahnestrey3769
@stellahnestrey3769 2 ай бұрын
My goodness, are you a human being?
@alsam4881
@alsam4881 2 ай бұрын
Ongea kiswahili acha kuongea broken english,Sura mbaya domo kaya wewe.
@MohamediKalanje
@MohamediKalanje 2 ай бұрын
Gigy tatzo unaowazngumzia hawajawah kukujibu sasa kwann usiachana nao
@user-jh3jc8ef4y
@user-jh3jc8ef4y 2 ай бұрын
Koma wee umuache zuu wetu nyokoo
@user-ie2uk7im4w
@user-ie2uk7im4w 2 ай бұрын
❤❤❤gygy
@asyakhatib7942
@asyakhatib7942 2 ай бұрын
Alivosema ni kweli ona sasa chuma alivokuzalilisha 😂ety unajifanya unajisamini
@qamaryasalim9531
@qamaryasalim9531 2 ай бұрын
Lazima mumuongelee Zuchu jamani
@Glory_Ade
@Glory_Ade 2 ай бұрын
SIKU MOJA ATA UONGEE UKOSE KUTAJA ZUCHU NDIO TUJUE WEWE NI MKUBWA😂😂
@muksinimbaruku1233
@muksinimbaruku1233 2 ай бұрын
Ameulizwa na hii ni show usipanic
@user-xq6rg2pb1x
@user-xq6rg2pb1x 2 ай бұрын
Ila uyu dada dishi kama limeyumba
@user-fx7ig1uy6t
@user-fx7ig1uy6t 2 ай бұрын
Uyo zuchu umpige akutizame tu...
@Lulucut
@Lulucut 2 ай бұрын
Hilo jiko la gig sjui akipika hewa ya chakula inatokea wapi au moshi
@Taito-brand
@Taito-brand 2 ай бұрын
Kil nikimuona gigy naon connection kichwani😂😂😂😂
@rachelpeter7032
@rachelpeter7032 2 ай бұрын
😂😂😂😂😂😂ila ung'eng'e wa gift😂😂
@Happizo
@Happizo 2 ай бұрын
Huyu dada hajielewagi kabisa aseee...kiki anazifanya haziendani kabisa
@marleshjimmy1972
@marleshjimmy1972 2 ай бұрын
One side nakuelew gigy kama unavyosema ulimpenda natuseme zuchu kakoseya ila kama shoga ake kwanini wew hukumfata live umwambie kama rafiki kakukosea kama yeye labda ameshindwa but ukiongelea mtaandaoni unaonekana wew ndio unachuki ila kama nawew ungekuwa rafiki wakweli ungepiga hatua wew ila kama hukupiga basi nawew ulitaka kuwa adui
@lilianmrope1598
@lilianmrope1598 Ай бұрын
Huyu nae aache kumwongelea zuchu
@officialmugoli
@officialmugoli 2 ай бұрын
Kingereza cha kuchekesha duh!
@millahboo
@millahboo 2 ай бұрын
wafate wenyewe waombe msamahaa acha kuomba msamaha kiaina! ulivyo mnyamba zuchu live wewe kama kweli ulikua unajua uungwana nikutafutana kwanini ukumtafuta baada ya kuona hiyo post? ila ukaenda live ukaanza kubwabwajaa duuh nimejua kwanini huna shogaa😂
@irenematari6218
@irenematari6218 2 ай бұрын
Chagua kimoja basi kwa lugha
@JamalAbas-fe5dj
@JamalAbas-fe5dj 2 ай бұрын
Nchii ya kijinga hii mtu anataja uchii anatukana kila interview yake halafu anaachwa tu mwanamke gani anaongea kupitilizaa anabowa
@yama_virginhairthequeen1065
@yama_virginhairthequeen1065 2 ай бұрын
Hama iinchi mjusi ww matusi unayajua? Nyie ndio wabakaji wenyewe khengeeeee umelazimoshwa kusikiliza
@habibamsemo6443
@habibamsemo6443 2 ай бұрын
Acha ujinga ww msitafute kiki
@beyondintrusion1663
@beyondintrusion1663 2 ай бұрын
Umpige zuchu wewe 😂😂 siku zote aliekuwa na mdomo hajui kupigana
@AishaHaji-jn7sg
@AishaHaji-jn7sg 2 ай бұрын
Kingereza kibovu R na L nyingi anajikuta mmarekani yaan kwa akili za kishenzi anaona kajibu maswaaaali Shame on you unaesema mabaya ya wenzako wewe mabaya yako unaona hukosei
@MoviesAde
@MoviesAde 2 ай бұрын
Gigy sio kwa ubaya ila ongea kiswahili, sababu maneno ya kingereza unayoyatamka hayaendani na unachoongea, if i may ask do you know the meaning of “manipulator” cause you spell it somewhere is not convenient to spell, it doesn’t bring the meaning of what you’re talking about, sio kwa ubaya lakini😒
Magic trick 🪄😁
00:13
Andrey Grechka
Рет қаралды 37 МЛН