ANGEL NYIGU "SIPO sawa na ZUCHU kama Zamani/Wana CHUKI na MIMI/Bila Hela Sichezi wimbo'

  Рет қаралды 33,850

Rick Media

Rick Media

Ай бұрын

Dansa Angel Nyigu amepiga stori na Rick Media kuhusu kazi yake na kufunguka mambo mengi, kama kuanza kufanya kazi na Harmonize, uhusiano wake ulivyo na ZUCHU n.k
_________________________________________________________________________________
Kuwa wa kwanza kupata Habari zetu kwa ku-subscribe KZfaq channel ya RICK MEDIA. Tufuatilie kupitia Instagram, Facebook na Twitter kwa jina la @rickmediatz
_________________________________________________________________________________
Contact Us Now +255 742 447 854 | Normal Calls & WhatsApp
#AngelNyigu #Zuchu

Пікірлер: 46
@Husseinfashion
@Husseinfashion Ай бұрын
Nimekuwa wakwanza kukomenti apa naombeni like ❤❤
@dizzomontana7219
@dizzomontana7219 Ай бұрын
Dada endelea ivo ivo huez fanya kaz bure iyo ni ngumu no money no sevice
@auntiemylee3157
@auntiemylee3157 Ай бұрын
Hapo kwa kutotaka kufanya kazi tena akidai wanawake wakipanda kidogo tu zarau...uyu n mrs energy kwa mtazamo wangu😂
@PrincessHellen-pg1oy
@PrincessHellen-pg1oy Ай бұрын
Nampenda sana angle ❤
@fatumasaidi2592
@fatumasaidi2592 Ай бұрын
Hyu z hataki kuona mwanamke kwenye wcb
@paulmuyanga3445
@paulmuyanga3445 Ай бұрын
Sema Zuchu alidhani mnamchukua Simba 😂
@angelalyimo2862
@angelalyimo2862 Ай бұрын
Zuchu mshamba sana hajiamini
@veronicajustus4507
@veronicajustus4507 Ай бұрын
wapili
@nashnene6326
@nashnene6326 Ай бұрын
Mwandishi ana force bifu kuwa lazima liwepo
@user-ni2kv3yf6e
@user-ni2kv3yf6e Ай бұрын
Ila wadau mnachapia sms zenu😅😅😅
@user-hi8le2vb7z
@user-hi8le2vb7z Ай бұрын
UYO DEM AACHE UCHINGA KAZI ZIFOSIWA MJINI,,UKISUBIRI UTAUZA LAKINI UTACHELEWA...WE SEMA TU UNA BIFU NA ZUHURA...NA HUNA MUDA WA KUMTETEMEKEA UELEWEKE.
@auntiemylee3157
@auntiemylee3157 Ай бұрын
Fanya mchezo wa kuombwa na zombie
@VexMaizoOfficial
@VexMaizoOfficial Ай бұрын
🧭🤳 Nimkuwa wa kumi10 from Msumbiji Mozambiki 🇲🇿 PEMBA CariaCo❤❤❤ namkubali Angel N.
@nellymtambo8432
@nellymtambo8432 Ай бұрын
Si Mozambiki ni Mozambique na si cariaCo ni Kariakoo hovyoooo😏
@user-bc3lh5ss6c
@user-bc3lh5ss6c Ай бұрын
😂😂😂😂😂😂​@@nellymtambo8432
@msomsongera1150
@msomsongera1150 Ай бұрын
𝘏𝘰𝘯𝘨𝘦𝘳𝘢 𝘣𝘪 𝘥𝘢𝘥𝘢
@lazaromwambene4516
@lazaromwambene4516 Ай бұрын
❤❤❤❤❤❤❤❤
@muniraahmed624
@muniraahmed624 Ай бұрын
Hawa Watu 😂😂😂
@nishaabdula5015
@nishaabdula5015 Ай бұрын
Mkiwaga. Nashida mnakuwa wapole. Mkipata mnakuwa na menu jujuu
@user-is7ot7bq9x
@user-is7ot7bq9x Ай бұрын
Ko ulitaka awe mtumwa kisa tu hana pesa
@amosihokororo9702
@amosihokororo9702 Ай бұрын
Mimi MTU WA 26 kucomment
@user-gj7rb5zd7i
@user-gj7rb5zd7i Ай бұрын
Kwahy
@JechaMakameIssa-gs2bl
@JechaMakameIssa-gs2bl Ай бұрын
dada kajipata sasa
@user-yg2xi3su6k
@user-yg2xi3su6k 27 күн бұрын
My fav❤️🫶🏻
@michaelramadhan9466
@michaelramadhan9466 Ай бұрын
3
@mohammadoman8963
@mohammadoman8963 Ай бұрын
Acheni ujinga zuchu hana roho mbaya na mtu sema ww umebadilika mwenyewe kwa kujiona umekuwa usimsingizie zuchu bure
@ajuwaelie36elimokozi55
@ajuwaelie36elimokozi55 23 күн бұрын
Ukitaka kujua ubaya wa mtu mpaka uwe naye karibu je una ukaribu gani na zuchu mpaka useme hivo enjo kaongea hivo sababu ni mtu wake wa karibu.
@mohammadoman8963
@mohammadoman8963 23 күн бұрын
@@ajuwaelie36elimokozi55 watu wote wanaomzunguka zuchu wanasema zuchu ana sifa nzuri hata yy huyo aliwahi sema zuchu ana sifa nzuri vp leo ageuke km si unafiki
@merinakassembe118
@merinakassembe118 Ай бұрын
Lazima chuki iwepo wewe no mzuri zaidi yake halafu unakia lucheza zaidi hunategemea NIMI NA wewe imezidi mpaaka ijanja
@malkavoice2570
@malkavoice2570 Ай бұрын
We watu wamekuthaminisha umejipata alafu unawadindia kweli binadamu konyo
@nancyg8664
@nancyg8664 Ай бұрын
mfano wewe mtu akufikishe sehemu fulani af atumie iyo kama advantage ya kukumistreat utamchukuliaje uyo mtu et
@mwajumabinwa604
@mwajumabinwa604 Ай бұрын
zuchu kamkuta anafanya kazi na Vanessa mdee kusema kwamba wamemthaminisha apo niuwongo 😁😁😁
@malkavoice2570
@malkavoice2570 Ай бұрын
@@mwajumabinwa604 huyo Vanessa alimuachaje? Sisi tume.jua akiwa wasafi na Zuchu alikuwa akiwapeleka nje lkn anamtaja pekeake kama dencer wake hamjui kama hapo alimthamini na lengo la zuchu alikuwa amfikishe alipo lkn Sijasikia zuchu akimuongelea kwa lo lote lile ila yy akiulizwa anaanza kubwabwaja badala ya kutoa heshima tu kwa Zuchu na Wcb anajikuta kafanikiwa kuliko wcb hapo alipo yani
@svt3
@svt3 Ай бұрын
​@@malkavoice2570Angela kaisha enda inchi nyingi kucheza kuliko zuchu, Norway, Russia, Belgium..... zuchu ahajafika huko kote wewe America alienda na unajuwa kulibuma
@yusternyirenda7231
@yusternyirenda7231 Ай бұрын
​@@mwajumabinwa604hilo jambo angel mwenyewe ndio aliyesema kwenye interview alisema zuchu ndio alifanya aonekane sana na mtu aliyefanya kwenda nje ya nchi
@MajutoElliasi
@MajutoElliasi Ай бұрын
Wewe bado umefugwa miguu sijawai kuona unacheza nyimbo za konde naona bado unaogopa
@auntiemylee3157
@auntiemylee3157 Ай бұрын
Ni kama ufatilii vida zake zote...anacheza hadi za anjella
@mwajumabinwa604
@mwajumabinwa604 Ай бұрын
anafanya kazi kwaku lipwa nasio eti nyimbo imetredi mdo afanye apana
@kibibisafi3331
@kibibisafi3331 Ай бұрын
Konde halipi😅uyu anacheza kwa kulipwa😅
Inside Out 2: Who is the strongest? Joy vs Envy vs Anger #shorts #animation
00:22
ОБЯЗАТЕЛЬНО СОВЕРШАЙТЕ ДОБРО!❤❤❤
00:45
ПРОВЕРИЛ АРБУЗЫ #shorts
00:34
Паша Осадчий
Рет қаралды 7 МЛН
Mom's Unique Approach to Teaching Kids Hygiene #shorts
00:16
Fabiosa Stories
Рет қаралды 36 МЛН
LEONARDO ALIVYOWAVUNJA MBAVU WAFANYAKAZI WA CRDB!
17:39
Visit Tanzania
Рет қаралды 282 М.
Фильм про побег от родителей
0:59
Holy Baam
Рет қаралды 4,6 МЛН
Ах как прекрасно
0:17
Флюр Хафизов
Рет қаралды 28 МЛН
😆
0:20
Santi
Рет қаралды 7 МЛН
Они так быстро убрались!
1:00
Аришнев
Рет қаралды 1,9 МЛН