PART 2:DUUUH!!! TAZAMA MTU ANAVYOTOLEWA MAJINI KWA KUTUMIA MAFUTA YA MOTO YALIYOKO JIKONI

  Рет қаралды 37,816

Wasafi Media

Wasafi Media

4 жыл бұрын

Mganga Manyaunyau ameonyesha namna anavyotoa majini mikosi kwa kutu,ia ,afuta ya moto yaliyopo jikoni...

Пікірлер: 147
@KankuliNsumbu
@KankuliNsumbu 9 ай бұрын
Uyo doctor kweli kweli mimi namukubali uyo baba 🎉🎉🎉
@wcbkatuni
@wcbkatuni 4 жыл бұрын
Kama unaangalia uku unasoma comment like tujuane
@mwamini1545
@mwamini1545 Жыл бұрын
Kweli kabisa anasemesha ukweli asante sana
@adamnguvu1020
@adamnguvu1020 Жыл бұрын
*Unashangaa mafuta njoo kwetu Maji yamoto tunakudumbukiza kabisaaa ktk pipa lamaji linalochemka nahuungui*
@amanmyolo5359
@amanmyolo5359 Ай бұрын
❤❤❤❤Asalam alaiqm Warahmatulah wabarakatu
@konvictibra4986
@konvictibra4986 Жыл бұрын
Njoo south Africa uwasaidie watu wanateswa mno nauchawi nauchawi
@Dr.manyaunyau
@Dr.manyaunyau 2 ай бұрын
Sawa
@amanmyolo5359
@amanmyolo5359 Ай бұрын
Namba ya Dr tafadhali
@straightkonect1613
@straightkonect1613 4 жыл бұрын
Kama umeona kwa Dokta lipo GYM hebu ongeza glass
@saidabdullah7273
@saidabdullah7273 4 жыл бұрын
Katika vitu ambavyo sina imani navyo ndio hivi siamini Kabisaaaaaaa imani yangu kwa mungu anatosha Kabisaaaaaaa.
@abdulrahmanhassan9254
@abdulrahmanhassan9254 4 жыл бұрын
Elimu hii akifanya mzungu tunasema sayance akifanya mwaafrica tunasema ushirikina. Waafrica sisi niwatu waajabu kweli
@carentemu9141
@carentemu9141 2 жыл бұрын
Wape erimu haoo Dr manyaungau
@sadyroger7624
@sadyroger7624 4 жыл бұрын
Wcb nyie kiboko . Ila uyo manyau nyau Noma jamani. Uyo ana kipaji acheni masiala dah hongela Sana mkuh
@billionmaffia6562
@billionmaffia6562 4 жыл бұрын
Muhuni wakishua 😀😀😀
@twahamjanakheli4182
@twahamjanakheli4182 Жыл бұрын
Mi naamini kwasbabu kipaji hicho mungu kanipa kukamata majini mapembe vitu vyaajabu kutibia kwaiyo nashkuru na baada ya kumuamini Allah ila uchawi upo hicho naamini anae bisha mi kwasbb natibia pia na kuzuza namuamini manyau nyau namfahamu
@Dr.manyaunyau
@Dr.manyaunyau 4 жыл бұрын
Dr.+255712553169.+255755631291.tbt mawenzi karibuni
@amanibakari5061
@amanibakari5061 4 жыл бұрын
kama unaamin uchaw Upo na daw zipo 👍
@fatmakhanii1676
@fatmakhanii1676 4 жыл бұрын
Tumezoea waganga vibanda vya udongo leo mambo ya gym na blenda juu dahh
@sarahhamisi2070
@sarahhamisi2070 4 жыл бұрын
sipendag/ mambo yanayousu/,ushirikina/ilahuyu kaka anajua/kujieleza
@fathiyaanwar4535
@fathiyaanwar4535 2 жыл бұрын
Namba ya simu basi sisi wengine tuko mbali na shida tunZo.
@ladyG25
@ladyG25 11 ай бұрын
❤❤
@wambokimani682
@wambokimani682 Жыл бұрын
Wueh.....noma sana
@hedayaabeid3196
@hedayaabeid3196 3 жыл бұрын
Nakuja na mm nioge 😂😂😅😀
@joshuamuseti3018
@joshuamuseti3018 2 жыл бұрын
abo sawa kabisa
@Dr.manyaunyau
@Dr.manyaunyau 2 ай бұрын
😊😊😊
@merycheo4348
@merycheo4348 4 жыл бұрын
Uko vzr saana doctor sema tuko mbarii
@amourabdallah2978
@amourabdallah2978 4 жыл бұрын
Nakumbuka mwaka 2008 kuna mganga alikua anaitwa Kinyulikira yupo Tandika Azimio alishafanya sana hayo mambo mpaka kufunga mzigo wa kuni kwenye chupa ya soda '
@simonfilbert7008
@simonfilbert7008 4 жыл бұрын
Aisee manyaunyau anaongea point sna
@dianacheruto9408
@dianacheruto9408 3 жыл бұрын
kweli
@owlbig
@owlbig 4 жыл бұрын
Nivizuri muwe mnatuletea watu kama awo watalaam kuliko kutuletea wenye hawajui kitu cocote kile wenye wanacukia ayo mambo ya uyo doctor niwatu wenye kujipenda wawo wenyewe tuu ndowanajiona wasafi wengine niwafanya mazambi na ilo sio vizuri kama unacukia ayo mambo kwanini uweke apa kwenye comment ujinga kwanini usibaki kimia ukumbuke uyo ni mtu kama weye ila tuu anakipaji cake nayeye pia anamuokopa Mungu kama wewe aca sasa kumu jugement kwasababu kumu jugement mtu nikosa kwa muumba kwasababu sio wewe ndo umemuumba
@asmajamani2967
@asmajamani2967 4 жыл бұрын
SANTINO IRAKOZE..@upo sahihi wengine wanajiona mungu watu wakat wenyew ni wakosaji wanapenda kuwakosoa watu wanganga wakat na wao wanamuomba mungu.wengi walio comment wanamsema vby manyaunyau wakati ndio kipaji chake ila awajichangai wao wenyew wanakipaji cha udhinifu sasa sijui wanamfulaisha mungu yupi ety
@owlbig
@owlbig 4 жыл бұрын
@@asmajamani2967 kabisa ilo ni kweli sipendi watu wenye wanajiona wawo ndo wasafi kuliko wengi
@asmajamani2967
@asmajamani2967 4 жыл бұрын
@@owlbig ndio ivyo tena watu atufanani kila mtu anajiona yy ndio inamfaa pepo kuliko mwenzie...@tunajitowa ufahamu wakati sote hakimu wetu ni mungu yy ndio anajua kila kitu kuhusu sisi
@owlbig
@owlbig 4 жыл бұрын
@@asmajamani2967 kabisaaa
@owlbig
@owlbig 4 жыл бұрын
@Mafia Respect Studio unajuaje kama Mungu amepinga?nakama Mungu alipinga mwaaciyeni Mungu tuu ila sio wewe umu judge mtu mzenzako bro ilo ndokosa letu sisi wa Africa tunapenda kufatia maisha yawatu kuliko kujenga yetu
@bjzee1981
@bjzee1981 4 жыл бұрын
Huu ni ushirikina tu. Kwa comments hizi yaonyesha ni kiasi gani wa Tanzania wengi ni wa shirikina. We mganga hebu vuta noti zitoke BOT zikufuate.
@twahamjanakheli4182
@twahamjanakheli4182 Жыл бұрын
Ndugu yangu huwezi kuvuta hela kama hela ila tunavutaga makopela ambayo yanachukua hela kila siku ukilikamata ndo unatafuta dawa zake ili uzitoe izo hela unaweza kulipasua halafu.usione hata mia ila ukizipata dawa zake ndo utatoa izo hela na kuzitumia
@mtzhalisi2232
@mtzhalisi2232 2 жыл бұрын
Mwambie aanze kuchovya mafuta kwanza kabla ajachovya hiyo dawa....uchaga og unashindwa kujiongeza?
@harunchilimba5427
@harunchilimba5427 4 жыл бұрын
Poza naikubali sana huku sisi tunatumia kukinga shamba na nyumba
@khamisallynaulidi2420
@khamisallynaulidi2420 3 жыл бұрын
Ndungu zangu waislam kweli uchawi upo lakini manyau nyau ni,mshirikina! Tusi muamini mshirikina!
@selemanimsahani3919
@selemanimsahani3919 4 жыл бұрын
Huu ni upepo wa kisulisuli
@benedictflorence2870
@benedictflorence2870 3 жыл бұрын
😂😂🤣🤣kumamae haya ni mazingaombwe/KiiniMacho
@hedayaabeid3196
@hedayaabeid3196 3 жыл бұрын
Mm nasumbuka mno ucku silali naona watu ndani
@fayeezabdallah2217
@fayeezabdallah2217 Жыл бұрын
Natk nikusaidy upo tyr
@billionmaffia6562
@billionmaffia6562 4 жыл бұрын
Kumamae walahi 😀😀😀😀
@khamissebe9078
@khamissebe9078 4 жыл бұрын
The guy resembles enock Bella of yamoto band😁😁😁
@mamlomalichela6700
@mamlomalichela6700 4 жыл бұрын
Mganga anatumia blenda cku his baada ya kinu😋😋😋😋maendeleo ya uchaw
@NoLimitHD.
@NoLimitHD. 4 жыл бұрын
Hehehe umeniua ndungu yangu 😂😂😂😂😂
@bellaabu5726
@bellaabu5726 4 жыл бұрын
Kkkk wamekaa kidigitale zaidi
@mamlomalichela6700
@mamlomalichela6700 4 жыл бұрын
Hamna mganga hapo
@griffinsomondi7422
@griffinsomondi7422 4 жыл бұрын
Amerahisha tu.... But trust in God
@fatinaaman241
@fatinaaman241 4 жыл бұрын
Duh aisee yupo vzr
@gammygregy5955
@gammygregy5955 4 жыл бұрын
Bwana dkt umejipanga vyema mazingira mazuri
@Dr.manyaunyau
@Dr.manyaunyau 2 ай бұрын
Asante
@emmanuelmasemba7612
@emmanuelmasemba7612 4 жыл бұрын
Dokta weka no zako ,Mimi nasumbuliwa na chumaulete kwenye biashara yangu
@abdullmalik7847
@abdullmalik7847 4 жыл бұрын
Hatari
@KankuliNsumbu
@KankuliNsumbu 9 ай бұрын
Wewe ndo ungeaziwa ili tuamini
@abdulmalikngola9244
@abdulmalikngola9244 4 жыл бұрын
Dawa ya Corona vipi dokta
@mrjagenmuuz5704
@mrjagenmuuz5704 4 жыл бұрын
Mganga wa dıgıtal duh
@muhammedkhamis416
@muhammedkhamis416 4 жыл бұрын
Mganga wa kwanza kumuona na utajiri 😂😂😂😂 mganga wa kidigitali
@bintiiddy7043
@bintiiddy7043 4 жыл бұрын
Haiwezekan kuaguwa watu wapate pesa afu wewe ufe maskin 😁😁
@muhammedkhamis416
@muhammedkhamis416 4 жыл бұрын
@@bintiiddy7043 umeona ee 😂😂kamaliza mbanda kaona magu anabana kaamua kuingia chimbo kutumia mlango wa kushoto
@ogenylaurent7961
@ogenylaurent7961 2 жыл бұрын
Nina Ndugu yangu anapesa na majumba zaidi ya matano na ukienda nakutibia hata kama hauna pesa kikubwa vifaa vyako kuhusu pesa anazo za kutosha ila sadaka yoyote utatoa
@zainabukabura9876
@zainabukabura9876 4 жыл бұрын
Tia number yako ya simu plz
@amourabdallah2978
@amourabdallah2978 4 жыл бұрын
Hayo mazingaombwe sasa mbona hio kitu kitambo sana watu wanaweza ambao hata sio waganga
@asiliyakechuma4319
@asiliyakechuma4319 4 жыл бұрын
amour abdallah nipe namba yako nikujaribu alafu utanipa matokeo
@suleimanmuhammed7152
@suleimanmuhammed7152 3 жыл бұрын
ule mti nimti gani jina lake haswa unaitwaje bustani ile
@benedictflorence2870
@benedictflorence2870 3 жыл бұрын
😂😂😂
@mwamini1545
@mwamini1545 Жыл бұрын
Mutagazaji weka namba za Doct
@yaqoubsalim99
@yaqoubsalim99 4 жыл бұрын
Ukitaka upone kwa haraka, chukuwa mafuta ya kupikia, weka jikoni halafu jitumbukize ndani
@dianacheruto9408
@dianacheruto9408 3 жыл бұрын
🤣🤣🤣
@julejule3760
@julejule3760 4 жыл бұрын
Duh atar nkuja uko
@hamoudcreator6343
@hamoudcreator6343 4 жыл бұрын
Mungu Yupo. HUO NI UCHAWI TU. Hamna lolote..
@asiliyakechuma4319
@asiliyakechuma4319 4 жыл бұрын
BongoOops nipatie namba yako nikujaribu alafu utanipa majibu
@TALLUBOY
@TALLUBOY 4 жыл бұрын
Iyo IPO kunamzee mmoja Yeye anatoa miogo yakukaanga Kwenye kalai ya bila kitoeo Kwetu tunatumia spoku yabaskel Yeye anatoa kwa mkono
@jirabison2974
@jirabison2974 2 жыл бұрын
Mawasiliano Plz
@shukurushanane6335
@shukurushanane6335 4 жыл бұрын
wewe mganga uko sawa kabisa, wazungu wameua sana tamaduni zetu
@beatricechristian9257
@beatricechristian9257 4 жыл бұрын
Shukuru Shanane kweli kabisa ndugu.
@bjzee1981
@bjzee1981 4 жыл бұрын
Kuna tofauti ya Doctor na witch doctor . Nonsense . Hilo ni ua tu linalo itwa money plant
@ogenylaurent7961
@ogenylaurent7961 2 жыл бұрын
Pole
@johannesmadembwe6932
@johannesmadembwe6932 4 жыл бұрын
mganga unasaga dawa na brenda hahahaa
@ogenylaurent7961
@ogenylaurent7961 2 жыл бұрын
Ajabu nini sasa
@emilymideva8783
@emilymideva8783 4 жыл бұрын
Woow l hp ningekua karibu huko TZ.
@rafiki3433
@rafiki3433 4 жыл бұрын
watanzania wote, wakenya, wa Africa wote nawakaribisha kwenye account yangu ya KZfaq. tafadhali SUBSCRIBE kwenye kituo changu cha youtube. Kama wewe ni mpenzi wakupenda kwangalia story Basi unaweza ku subscribe channel yetu ili usipitwe tafazali na asante kwa wale watakao subscribe
@jabirstevenn3805
@jabirstevenn3805 4 жыл бұрын
Naomba namba yako 0717976132
@rafiki3433
@rafiki3433 4 жыл бұрын
Jabir Stevenn kwa nini
@jabirstevenn3805
@jabirstevenn3805 4 жыл бұрын
@@rafiki3433 kawaida tu naomba namba yako nikupigie yangu mimi 0717976132
@jabirstevenn3805
@jabirstevenn3805 4 жыл бұрын
Natatizo kidogo linanisumbua sana yani sina amani
@rafiki3433
@rafiki3433 4 жыл бұрын
Jabir Stevenn wende uka ni text kwenye instagram @ rafiki.2
@davidwalalason7630
@davidwalalason7630 4 жыл бұрын
Og hii tiba imekwenda shule am so much interested nayo since nimeskia inatibu stroke, my mom n dad are suffering from this shit
@blaiseally6306
@blaiseally6306 4 жыл бұрын
🤦🏽‍♂️🤦🏽‍♂️🤦🏽‍♂️🤦🏽‍♂️Where is mo-town-Sagna,
@salminkhan4267
@salminkhan4267 4 жыл бұрын
Duh
@williamnyanda2295
@williamnyanda2295 4 жыл бұрын
Usgalud doctor wakati unamuona
@shanizyusuf8210
@shanizyusuf8210 4 жыл бұрын
Jmn mm naomba namba ya manyau nyau nipeni jmn nina natizo namtafuta cku nyingi jmn naomba namba
@Dr.manyaunyau
@Dr.manyaunyau 4 жыл бұрын
0712553169
@veronicanyakire9807
@veronicanyakire9807 4 жыл бұрын
Hayo matawi kwetu ni mboga. Inautelezi ikishapikwa, naona utelezi umesaidia mafuta kuteleza asiungue
@willystv9364
@willystv9364 4 жыл бұрын
Hebu jaribu nawewe
@nickisaack5858
@nickisaack5858 4 жыл бұрын
Acha kukoment ujinga hauwezi kuzuia ungua kwa uterezi
@rhinaamiry8535
@rhinaamiry8535 4 жыл бұрын
Tena inaitwa derega sio poza up km mlenda
@africansytravelandtours4729
@africansytravelandtours4729 4 жыл бұрын
ata bamia unatumia
@suleimanmuhammed7152
@suleimanmuhammed7152 3 жыл бұрын
jinalake unaitwaje haswa
@idinado4524
@idinado4524 2 жыл бұрын
Watanzania wezangu msiamini ata kidogo ata awafanyie miujiza gani msiamini atakee amini aende kitakacho mkuta atakuja aniambie😄😄😄😄😄😄
@adolphmwangoje2887
@adolphmwangoje2887 4 жыл бұрын
Daaaaaaa manyaunyau kitambo popobawa anamjuwa vzur huyo jmaaa ktsha
@josephsangali7754
@josephsangali7754 4 жыл бұрын
Alikuwa anaogelea?
@westerndaddy9594
@westerndaddy9594 4 жыл бұрын
Nakubali
@billionmaffia6562
@billionmaffia6562 4 жыл бұрын
Sema muhuni wakishua
@johnsimon6926
@johnsimon6926 4 жыл бұрын
Mbona atamaliza majani sasa!
@bintiiddy7043
@bintiiddy7043 4 жыл бұрын
Mganga umeowa? Je kama umeowa umkeo anachpkaga Kweli? 😁😁😁
@ummuismail7597
@ummuismail7597 4 жыл бұрын
hahaa uganga wa analog
@khamisjuma5863
@khamisjuma5863 4 жыл бұрын
Hatar napooza ilo uchaw umefundishwa na majin nahaohao wanatoa dawa inawezekana vp ya panya hyo kutafuna na kupulza
@merycheo4348
@merycheo4348 4 жыл бұрын
Pindi zur saan muhuni
@kevstv3289
@kevstv3289 4 жыл бұрын
naona mna2fundisha kurogq
@leonardflavour7533
@leonardflavour7533 4 жыл бұрын
Uganga namazoeziiiiiii!🙈🙈🙈🙈🙈🙈🙈🙈🙈🙈🙈🙈🙈🙈
@isayayetero2525
@isayayetero2525 4 жыл бұрын
Vp
@zumbeshauri8114
@zumbeshauri8114 4 жыл бұрын
wala sio fundi sana hayo majani yanatereza pia umeweka maji kwahiyo mafuta hayana ukali tena kwani mie mtu alie teguka mkono au mguu unachukua majani yakutereza unachoma jembe jikoni liungue kabisa kisha unachukua majani kisha unachukua mafuta kwenye tambaa kisha unachoma kwenyejembe unamkanda mtu lakini huungui
@asiliyakechuma4319
@asiliyakechuma4319 4 жыл бұрын
Zumbe Shauri mwenzako amexha tajirika
@zumbeshauri8114
@zumbeshauri8114 4 жыл бұрын
asiliyake Chuma! wala sijakataa
@chafumirro5617
@chafumirro5617 4 жыл бұрын
Kwani hana jiko la gesi??mpk atumie la mkaa
@dr.bilallymaster6784
@dr.bilallymaster6784 4 жыл бұрын
Kwanini dawa yako ifanye kazi kwenye mafuta pekee. I think ni kutokana na uterezi wa majani hayo, ni usani umetumika
@zumbeshauri8114
@zumbeshauri8114 4 жыл бұрын
Dr. Bilally Master umeonae ndugu yangu bilally hawajui kuwa uterezi unasaidia mafuta yasichome
@sirq183
@sirq183 4 жыл бұрын
Lkn mafuta yakipataga moto saana haya topot uwa yanatuliaaa mbona hayo mafuta yanatopota km ya maharage
@ogenylaurent7961
@ogenylaurent7961 2 жыл бұрын
Kwasababu kuna dawa imeingia
@homesaickofficial7407
@homesaickofficial7407 Жыл бұрын
Na nimafuta ya nazi na yana dawa
@hajiabdalla5772
@hajiabdalla5772 4 жыл бұрын
Tapeli .acha vitisho wewe
@euniceeunice7680
@euniceeunice7680 3 жыл бұрын
Sasa uyu anaitwa doctor kasomea wp????😂😂😂😂awa ni wachawi tupu mganga yyte yule lzm awe mchawi yan lzm haruke na wachawi wengine usiku...uyu ni mchawi amna kitu ..anawaibia watu tuu pesa zenu yan uyu na wachungaji fake awana tofauti yyte ile
@ogenylaurent7961
@ogenylaurent7961 2 жыл бұрын
Watu km ninyi mnaongoza kwenda wa wachawi
@binthawa2973
@binthawa2973 4 жыл бұрын
Anapatikana wapi dokta... Yan anaongea kama dingi dah
@fathmasalim7934
@fathmasalim7934 4 жыл бұрын
Npo kenia naitaji No.
@rebekabarakakibangokibango6552
@rebekabarakakibangokibango6552 4 жыл бұрын
Mtangazaji usikubali kuingizwa chakike hapo kama anasema haungui wewe paka hilo boza halafu weka mkono kwenye chungu hauwezi kuungua huyo mzee mjanja sana
@bjzee1981
@bjzee1981 4 жыл бұрын
Si ange nyanyua hicho chungu am mwagie mbona ana paka
@nickisaack5858
@nickisaack5858 4 жыл бұрын
We vipi. Kwa hiyo ndo unataka tusemeje
@charliechomba3953
@charliechomba3953 4 жыл бұрын
Tupo Zambia tunaomba na namba yake
@Dr.manyaunyau
@Dr.manyaunyau 4 жыл бұрын
+255712553169
@irenegudluck1214
@irenegudluck1214 4 жыл бұрын
Muongo🤣🤣🤣🤣
@bobxaiitommez8145
@bobxaiitommez8145 4 жыл бұрын
Number ya dokta 0712553169
@jabirstevenn3805
@jabirstevenn3805 4 жыл бұрын
asante sana mimi naomba namba yake jamani namatatizo namba yangu hiyo 0717976132
@jabirstevenn3805
@jabirstevenn3805 4 жыл бұрын
Mbona sikuoni kaka
@Dr.manyaunyau
@Dr.manyaunyau 4 жыл бұрын
0712553169
@benedictflorence2870
@benedictflorence2870 3 жыл бұрын
Karibu Tanga uje Tukuroge na ww uone
@amanibakari5061
@amanibakari5061 4 жыл бұрын
uyu mganga kama ndo wakwel coz sidhan kama wale waganga matapel wanaweza kkubal kafanya interview, so kuna waganga na matapel na matapel ni wengi ndomana raia hatuamin waganga
Smart Sigma Kid #funny #sigma #memes
00:26
CRAZY GREAPA
Рет қаралды 19 МЛН
My Cheetos🍕PIZZA #cooking #shorts
00:43
BANKII
Рет қаралды 24 МЛН
Vital'o FC 0-4 Yanga SC | Highlights | CAF CL 17/08/2024
10:10
DUH! HUU NDIO MSOSI WA MACHALII WA CHUGGA CHRISTMAS NI BALAA
10:00
Millard Ayo
Рет қаралды 926 М.
TAJIRI WA MABUS  SUPER FEO ATOA SIRI YA KUWA BILIONEA
10:36
Wasafi Media
Рет қаралды 16 М.
The Story Book UCHAWI (Season 02 Episode 05) with Professor Jamal April
34:26
Smart Sigma Kid #sigma #memes #funny
0:35
CRAZY GREAPA
Рет қаралды 2,1 МЛН
How Sigma girl Caught Red handed #funny #youtubeshorts
0:22
mountainlion5
Рет қаралды 35 МЛН
Симба освободил ИХ…🐙#симба #симбочка #тигра
0:43
Симбочка Пимпочка
Рет қаралды 1,6 МЛН
ТЫ С ДРУГОМ В ДЕТСТВЕ ПОШЕЛ В ПОХОД😂#shorts
0:59