mbona story humalizii ya yule wa shinyanga na yule dada wa UK
@fgbhgfchg53582 жыл бұрын
Km tapeli tujue okay,, km atnatumia kazi hii kutapeli, sasa wewe unaleta watu matapeli jamani
@edwardshirima32842 жыл бұрын
story zako ambazo azina mwendelezo
@Yusufu9402 жыл бұрын
Ndugu awana uruma wanachukuwa mali za yatima ndo lahana izi
@othmanmulendelwa96222 жыл бұрын
Story ya makofia uxiiweketena ana jiona supa star uki iweka xifatilii tena na wewe una jipendekeza kwa makofia achana nae
@jawharasalim70122 жыл бұрын
😂😂😂 Tulia buana
@ibrahimaziz71582 жыл бұрын
Hhhhhhhhhhh punguza presha jomba
@jongoathumani36902 жыл бұрын
Tanga kunani sheby alawi tuko pamoja mkuu
@bonnycostacosta73392 жыл бұрын
Tuko pamoja
@nassorhamad7555 Жыл бұрын
Uongo mtupu mtu mmoja unastory kibao
@fgbhgfchg53582 жыл бұрын
Km awezi kazi arudishe pesa
@josephjames45872 жыл бұрын
Story ya anania vipi mbona hautupi mwendelezo
@tututz1002 жыл бұрын
SIRI ZOTE KUHUSU
@ambassadorkatemeambassador28402 жыл бұрын
Mmmmh 😳 htarrrrr, sheb nipo kwa minchi nina story
@DavistarMataMediaDM2 жыл бұрын
0652992690 nicheki WhatsApp
@kiehbhzh7044 Жыл бұрын
Duuuuh ndugu wabaya kufa na kuzika mjomba kauza nyumba daah maisha aya pole sn
@jesusislord91902 жыл бұрын
jamani mbona watu wanapenda kudanganya watu mie nimezaliwa ziwa tanganyika kasanga..nimevua ziwa tanganyika ziwa rukwa ziwa Victoria..bahari ya hindi mchana na usiku...tena nikiwa mdogo miaka..11..mpaka miaka..20 hii miaka 9..yoote nilivuwa..hata kama nafanya kazi gani nzuri lazima nikavuwe..ni kweli baridi ya baharini kama hujaizowea..kesho lazima uumwe..hii kwamba wa vuvi wanatumia uchawi nakataa kabisa
@captainndoxy57692 жыл бұрын
Wewe ulikua hutumii wapo wanaotumia daily sema we hujabahatika kukutana nao kama upo Mza njoo kijiweni nikupeleke Ukaone kwa macho yako
@jesusislord91902 жыл бұрын
@@captainndoxy5769 mie sasa ivi nipo south Africa na nikiwa sielewi naenda Durban kuvua..nimevua kunduchi mbweni unununio.. bagamoyo feli sijaona hiyo kitu sema ukelewe niliona kweli wanaroga kwenye mitumbwi
@jackisonluvanda80882 жыл бұрын
Imani yake ndogo
@charlesmapunda59052 жыл бұрын
Shukuru Mungu Nyota yako haikutakiwa, hii ni sawa na kuishi mtaani kwako toka uzaliwe mpaka unakua Mtu mzima usiweze kujua kama Mtaani kwako kama Kuna Mchawi na kama hawana shida na wewe watakuacha mpaka Muda wao ukifika lazima wakufanye Msukule kama huna Yesu. Nje ya hapo Nyota yako haina kazi na hao Watu unakua kama Galasa tuu kwao. Haya mambo kama huyajui usibishe mshukuru Mungu akuweke mpaka utakapo pata Neema ya Uponyaji nje ya Hapo wewe ni Msukule Mtarajiwa
@jesusislord91902 жыл бұрын
@@charlesmapunda5905 msukule mtarajiwa mie??
@fgbhgfchg53582 жыл бұрын
Davistar mti mkavu kachukua pesa kazi ataki kunifanyia wala ajibu
@dorcaskidoti249 Жыл бұрын
😂😂😂😂😂😂😂😂😂 ulimtumia kiasi gani?
@Kalssambabo-gv6uh Жыл бұрын
Mmmh
@Kalssambabo-gv6uh Жыл бұрын
Yani hawa waganga wakujitangaza hata hawaaminiki bora kama yule anae sema alikua mganga hadi kuzim kidg utMuamnini lakini huyo mti moavu hadi nimuone kwa macho yangu