Aki I like the story Davistar big up brother form kenya
@euniceeunice76803 жыл бұрын
Jamaa alie umba dunia wala mtoto wake alie kuja kufa duniani 😍😍😍😍😍😍👌👌alafu una kuta kijitu ànaseka Mungu ana mtoto aya mmesikia?kasema bible ni takatifu aya anaambiwa kuzimu na sio clubs..jamani eehh akuna kama Yesu akuna
@euniceeunice76803 жыл бұрын
Kuzimu akuwah lala ila dunia alivyo fika alilala kidogo ndo mjue Mungu jins gan anatupenda Sisi wanadamu..apa duniani upo uhuru ole wako ww usie mjua Yesu..
@yvettekyalika9073 жыл бұрын
🤔Ce témoignage doit être traduit dans les autres langues ! Nous croyons avoir souffert, mais , kuko watoto wanatesa kweli ! MUNGU anisamehe na kuliyakanya nilikuwa nayo, kusikiya iyi ushuuda nadjifunza mingi ; HUMILITY... Aksanti sana kwa team yako yote Davista... May GOD blessed you forever...
@fatmamucha44193 жыл бұрын
Nimewahi namm Leo hongera davistar kz nzur
@egospeltz94863 жыл бұрын
Hii simulizi ni super itatuponza unasubiria, kama mlinzi aingojavyo asubuhi. IIa kwa mimi imenifunza sana the power of our Jesus💃💃🎉
@mwanzandaki7863 жыл бұрын
#Davista umekumbuka yule mzee wa kisesa alikuambia dawa za kuona wachawi sio nzuri na wachawi wakijua unawaona wanaweza kukuua kabisa sasa saizi ndio naelewa kwanini alisema vile
@DavistarMataMediaDM3 жыл бұрын
Nimekumbuka aisee
@mashamramba34613 жыл бұрын
Yaap alimwambia tena kwamba zile dawa za kuona wachawi si nzuri
@yvettekyalika9073 жыл бұрын
❤️Merci à toute l'équipe pour ce témoignage très édifiant ! Anadjuwa kweli ku report uyu ndugu!.. Aksanti kwa kazi muzuri munafanya..MUNGU awakumbuke na yote tunadjifunza!
@beatricekweka66833 жыл бұрын
Nilimiss hako ka back ground music aisee...🔥🔥🔥💥😇😇😇 Duuhh tusisahau kuomba Mungu kwa kweli kwa Kila Jambo tunalolifanya looh 🙌🙌🙌🙌🙌
@Teacher_013 жыл бұрын
Jaman leo nimewai ilaa nimeipenda sanaa hii story sana sana hapo davista anapomuuliza zabron kwa nn hakuchagua mama kubwaa haha😂😂😂 davista mzee wa mama kubwaa
@marymary67583 жыл бұрын
Hahahaha unapenda wamama dav
@Teacher_013 жыл бұрын
Na ww umeligundua iloo mary
@violinenyakara50283 жыл бұрын
Santa davista, nimekwama you tube hii story 🔥🔥🔥
@pilimusa77703 жыл бұрын
Kabisaa.
@zettyhassani22443 жыл бұрын
Du mungu mwema ,tuvumbue macho Kaka zablon
@neemalambo97903 жыл бұрын
Davistar upo juu, story inafululiza bila kukawia, na kila kipengele ni kirefu cha kutosha,,🔥🔥🔥
@charlesmapunda59053 жыл бұрын
Leo msilalamike mmepewa kitu mchana kweupe, Lakini kuna watu wako fasta na simu balaa
Unatak kuvunja mashart ya kunawa maji du let's wait next episode what gone happen???? Congratulation DM
@ayshamahariq66653 жыл бұрын
Wap daa pili somoe violine mtoto mimi mimi cute emmy riziki💃💃 njooon mambo tayariiiiiiiiiiii🙄🙄🇪🇭🇪🇭🇪🇭🇪🇭💃💃💃
@pilimusa77703 жыл бұрын
Ndiyo nimefikaaa. Asantee.😂😂😂
@ayshamahariq66653 жыл бұрын
@@pilimusa7770 karbu chidada changu 🤣🤣😍😍
@zuriethbashir4383 жыл бұрын
Davista nunua Mike ndogo unapata shida
@alitoufik54773 жыл бұрын
Weweeeeeeeeeeee Zabron na halfcust twende kz Davistar kz nzr tunakusubiria leo leo hata km SAA 6 usiku lkn 18 utuekeeee leo
@sultanaswaleh47083 жыл бұрын
Poaaa
@estermarua1673 жыл бұрын
Dav unakera tupia hata vitatu unaboa ni saw na unatupa dawa
@eshalibaba11953 жыл бұрын
@@estermarua167 😂😂😂😂angefanya dozi kutwa mara 3
@kibibi78263 жыл бұрын
Tunasubiria sana jamani...Asante davista
@salumbunga2403 жыл бұрын
Davistar kijan wako hp mtu mweny utu wang
@kanyangezafaraniddi65183 жыл бұрын
Jamanii mm niko saa kumi usiku silale mpak niimalize🇨🇦🇨🇦
@semwandambaza21843 жыл бұрын
Davista naomba Hilo Sweta....nimelipenda,,,,stori nzuri sana
@wantangosaimon52953 жыл бұрын
Aaah make miaka hyo gamboshi inavuma ndo kulikuwa na skendo ya wachuna ngozi au ndo hao walikuwa wanazipeleka huko?
@nurudaud39932 жыл бұрын
asante mungu kwa huyu kiumbe wako naelimika kupitia shuhuda yake 🙏 asante mr davistar mata kwa kutusogezea mambo mazur😊
@euniceeunice76803 жыл бұрын
Jamani eehh tujue baada ya kifo kuna maisha mengine ya milele..njia ya kwenda mbinguni ni moja tuu Yesu kristo..kama auna uyo basi ww ni bureeeeeee..tumkubali Yesu tumkatae shetani na majini wake wotee na waganga wake wotee na wachawi wake wotee ..akuna mganga aliye tumwa na Mungu akunaaa..mganga anae ongozwa na Mungu ni wa hospital tuu ndio maana kuna shule..ila aho wengine ni wachawi tupu ..Mungu alivyo muumba mwanadamu pale eden akukua na magojwa..alie leta mateso magonjwa ni shetani baada ya ile zambi..sasa nyinyi mnao swali na majini cha moto mtakiona nyinyi mnao enda kwa waganga cha moto mtakiona nyinyi mnae mpokea uyo mganga na sumu zake cha moto mtakiona...kuzimu kupo na shetani anaingiza watu kila siku kila second..alie mkubali Yesu awezi enda kuzimu maana ana nguvu ndani yke...bible mchawi jini shetani agusi iko kitabu...unakuta mtu anasema eti bible ni gazeti...gazeti then shetani aogope???au mnazani shetani ana nguvu??shetani Ana nguvu apa duniani tena kubwa..ndio maana Yesu alikufa kwa ajili yetu?ile ni sadaka ya damu kwa ajili ya mwanadamu...zamani ukifanya zambi lzm utoe sadaka ya damu ya mnyama au ndege...ndipo unasamehewa zambi zako...baada ya damu ya Yesu akuna tena kuua mnyama maana tuna damu ya Yesu..ndio silaha kubwa ni jina la Yesu na damu yke..ivi amjiulizi kwann kwa shetani ni damu na nyama za binadamu ndizo zinatumika amjiulizi???Mungu amekataza mwanadamu kula au kunywa damu ya mnyama maana uhai wa mnyama upo ktk damu...tuokoane jamani tumpokeee Yesu kristo..
@dorcaskidoti2493 жыл бұрын
Maneno ya Yesu..Ndimiii ndie njia ya uzima na kweliii!!!!! Hakuna aendae kwa baba yangu ila kupitia kwangu!!! Atakae nikana mbele zawatu naami ntamkana mbele za Baba yangu,, anamanisha huko mbinguni nae atakukana.
@dorcaskidoti2493 жыл бұрын
Maneno Ya Yesu..chochote muombacho ombeni kwa jina langu naami ntamsihi Baba yangu wa mbinguni atawapa!!!! Je kati yenu ninani mwanae atamuomba samaki akampa nyoka?? Au yai ukampa nge??? Siwezi bila Yesu mimi si chochote bila Yesu.
@euniceeunice76803 жыл бұрын
@@dorcaskidoti249 ooh sawa saiz nimekuelewa..bila Yesu ni bureeeeeee..watu wanapuuza
@ayshamahariq66653 жыл бұрын
@@euniceeunice7680 kabsa
@moreenmbatha11473 жыл бұрын
nimeweza leo tena💺💺🇰🇪🇰🇪🇰🇪
@aminsalimali7933 жыл бұрын
Safi sana davistar Mungu akubariki
@oduoratieno26133 жыл бұрын
OmG every step of this story is so painful and made my tears drop
@firdaussheikh48173 жыл бұрын
It hurts really. Hope every parent will think twice before leaving the child behind
@nusaebahkeis67743 жыл бұрын
Aliesikia viuno 2 tuungane
@daishajumanne59903 жыл бұрын
duh dakika 2 tu watu kama wote
@chazgunda58233 жыл бұрын
Camera man ni kilaza kwel kwel kila sku anaelekezwagwa kitu kimoja tu🥴
@adamnasango17433 жыл бұрын
😅😅😅😅
@tonywambua95053 жыл бұрын
Still following up no matter what
@kautharmickidad16983 жыл бұрын
Namba 3
@pilimusa77703 жыл бұрын
Hongera
@shristinangitu26073 жыл бұрын
Stor hinasisimuwa sana
@susannyamwitha13543 жыл бұрын
Watching from Kenya, came Kenya tujuwe kama Kuna wachawe
@sultanaswaleh47083 жыл бұрын
Kenya hatuamini mambo hayo.japo yako huko vijijini,sehemu za likoni.kuendelea hadi tanga.loo ¡ lkn TZ mwisho...story INA bamba
@nurafedrick3783 жыл бұрын
@@sultanaswaleh4708 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣likon tena tobaaaa mbona Niko hapo nasioni jamani
@mashamramba34613 жыл бұрын
Ukitaka utaona tuu .
@peterdaniel90503 жыл бұрын
Afrika yote inauchaw ila kunakuzidiana
@nurafedrick3783 жыл бұрын
@Aida Khamsa hakuna inch ambayo hakuna uchawi dunia ximaa Kuna uchawi
@reubenlameck62253 жыл бұрын
Sehem ya 18 please
@oscarlemamaringo80813 жыл бұрын
Mambo ni moto hii story ni nzuri
@badymsuya60933 жыл бұрын
Dah yeah
@aiyamhassan13213 жыл бұрын
Eeeeh hatariiii na nusu davista asante sanaaa
@alexjos76253 жыл бұрын
dah inakata sehemu tata tata sanaa..dah
@joycedzuya23303 жыл бұрын
Davistar tiririsha story baba usijali kuhusu bundles tumeweka Wi-Fi kwa ajili yko wacha kutubania
@ayshamahariq66653 жыл бұрын
Leo mapema mapema kabla ya uxingizi🇪🇭🇪🇭🇪🇭🇪🇭🇪🇭😍😍🙄🙄😍😍
@pilimusa77703 жыл бұрын
Kabisaa. Leo davistar kajitahidi
@pilimusa77703 жыл бұрын
😂😂😂😂😂
@ayshamahariq66653 жыл бұрын
@@pilimusa7770 kabsa 💃💃😍😍🤣🤣
@ayshamahariq66653 жыл бұрын
@@pilimusa7770 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
@saadiaali56093 жыл бұрын
Magharubi swala ya saa moja
@hamadwaziri1213 жыл бұрын
Blessing davista
@jamesngalijah37103 жыл бұрын
Tupo pamoja mr mata
@wantangosaimon52953 жыл бұрын
Davis's anapenda mijimama hahahaaa uwiiiii
@justooluoch24682 жыл бұрын
Ukosefu wa 'atmospheric pressure' ndio inasababisha kutosikia njaa. Inje ya sayari ya dunia yani baada ya maili 500 kuenda juu angani haipo na pia ndani ya ulimwengu wa kiroho pia " atmospheric pressure" haipo.
@upendoluv71973 жыл бұрын
Genius Zabron
@valentinandukuvalentinandu47793 жыл бұрын
davi hapo ndo maana nakupenda frm kenya wacha tuendelee
Saa nxingine Zablon wafurahisha ati binti wakishobe
@mariamshabani68533 жыл бұрын
Asente Sana
@griezmannmhalaka43383 жыл бұрын
Davista unapenda ma mmama kumbe
@nakundwamkubwe78233 жыл бұрын
Sio swala ya saa moja ni swala ya Insha inaswaliwa saa mbili kasoro. By the way kupitia hizi story nimejifunza ni vizuri kuweka kinga ktk nyumba zetu ili viumbe wanabaya wasiingie hata ktk vipando vyetu pia.
@pilimusa77703 жыл бұрын
Pia kusema bismillah kabla ya kula na kabla ya kuanza chochote. Maana utakula na mashatani
@mariamripiti21373 жыл бұрын
❤❤
@popoali66413 жыл бұрын
To day is number one
@pilimusa77703 жыл бұрын
Hongera
@sheikhaalmandhari1253 жыл бұрын
Twende kazi
@babyboss28863 жыл бұрын
Nmefika kwa mpigoooo
@daishajumanne59903 жыл бұрын
davi ungetuma hata 3 dabo
@pilimusa77703 жыл бұрын
Kabisaa
@allykibabe81823 жыл бұрын
Kalikuwa qazur daaah..hii
@marysteven6053 жыл бұрын
Maswali ya Zab kwetu ni faida tunapata darasa kuhusu sir za shetan,
@aishasaid67493 жыл бұрын
🔥🔥🔥🔥🔥
@asiasalim46343 жыл бұрын
Hii story nahisi natazama move Netflix walahi maana na imagination hatar😉😂
@deelissa27463 жыл бұрын
Munakula Alf muda wa kunya unanawaje wewe 🙊
@ochuboysosman83763 жыл бұрын
Leo 4
@dorcaskidoti2493 жыл бұрын
Huwa siachi kuwaombea wasafiri wote..na wagonjwa mahospitalini na waliopo nyumbani..Damu ya Yesu iwe juu yao.
@suleymanally47293 жыл бұрын
Damu yayes ilikua lita ngap?
@dorcaskidoti2493 жыл бұрын
ally nikama chemichemi ya bahari haikauki wa haishiii....Jiulize na ujijibu majini wachawi wanaliogopa jina na Damu ya Yesu ww ninani hadi unalikejeliii??
@pilimusa77703 жыл бұрын
@@suleymanally4729 😂😂😂😂😂
@suleymanally47293 жыл бұрын
@@dorcaskidoti249 itakua ilikua mapipa elf 10.maan kaaah!! Ntuach kdg kila mmoj kwadam hahah dam ipi hio isiokauka? Mnamuonea t
@bintimrope3 жыл бұрын
Ulimwengu na maajabu yake 🙄🙄
@pilimusa77703 жыл бұрын
Kabisaaa
@patrickmngongo67673 жыл бұрын
Wapili leo
@saidjuma253 жыл бұрын
kazii ipo poaa sana
@babymkuya3593 жыл бұрын
😍😍😍
@firdaussheikh48173 жыл бұрын
Je, ni kweli wale watu wamekatwa ndimi?🤔🤔🤔 Ya tisha!! Mungu atuongoze😓😓😓😓😓
@tamaraseff.97073 жыл бұрын
Hahaaaa twede adi 20 nko sawaaa
@reubenlameck62253 жыл бұрын
Duh hatariiii sana
@reubenlameck62253 жыл бұрын
Mhendelezo please
@aminaismail42213 жыл бұрын
Heee nimewahi kidogo watu hamzimi data na wifi
@peninahkariuki46793 жыл бұрын
Tuko pamoja bado nafwatilia,ushuhuda mzito sana 🇰🇪
@monicasimpilu62573 жыл бұрын
Kumbe vitu vingi duniani vinatoka kuzimu. Mungu tutetee waja wako.
@kawtharsaleh92293 жыл бұрын
Kaka davistar nawee ss amchague mmama wann anachukua saizi yake
@hajiabdalla57723 жыл бұрын
Da vista inaonesha unapenda mijimama .ile minofu nofu mili mikubwa
@pilimusa77703 жыл бұрын
😂😂😂😂😂😂
@fatmaalrshdii76153 жыл бұрын
Mtu makini katika ubora wako pamoja sana kaka angu wa ukweli ulipo Nipo
@mohdnasser8943 жыл бұрын
tangu mlipo towa story hiyi neipenda sasa
@maryamevarista94733 жыл бұрын
Eti mungu anaitwa jamaa kweli😅😅😅😅😅
@happyoshea3 жыл бұрын
Davista safari hii umetuweza mzee baba 😂. Zile story nyingine zilikuwa zina vumilika ila hii na ya Juliana zimetukalisha kimyaa muda wote tupo KZfaq
@pilimusa77703 жыл бұрын
Kabisaaa
@daudimziwanda95363 жыл бұрын
Ya juliana ni ipo hiyo
@sitiabubakar28923 жыл бұрын
Leo ntalala kweli😭😭😭
@roseuwambe80893 жыл бұрын
Sasa davista ingekua wewe unge chukua jimama naakati kuna mabinti😂😂😂😂😂🤣🤣🤣🤣
@jangombeboys45363 жыл бұрын
💪💪💪
@upendoluv71973 жыл бұрын
Wachaaa weeee round mbili 🤣🤣🤣😃
@ericklukumay17773 жыл бұрын
Nimekula ugali dagaa nikashushia na story ya gamboshi sasa Niko vzr nasubiria cha jion nishushie na gamboshi nilale
@pilimusa77703 жыл бұрын
Duh nakuonea donge.
@djbless62013 жыл бұрын
😋😋😋
@rosecruiz43483 жыл бұрын
Ooh ndio maama yule mganga akakatwa kofi na kivuli kumbe ndio kilikua kina kusaidia
@halimaaa38603 жыл бұрын
😁🔥🔥🔥
@nurafedrick3783 жыл бұрын
Hadi train inatumia kuni kweli kuna mambo chini yajua
@livefilms44683 жыл бұрын
apo sasa nlisubiria hio no 18 sana naona imedunda
@idanysedrc12003 жыл бұрын
Watu wako fast sanaaaa duu zablon kajua kutunyoosha