Amina Amina Mchungaji Meshack, Jina la Mwokozi Yesu ndo jiya ya Uzima peke 🙏🏾🙏🏾🙏🏾♥️🇰🇪
@elizabethmbugua77012 жыл бұрын
I like this guy May the Lord keep him and watch over him.
@jacquelynegaspar28652 жыл бұрын
cgjmb,m,c
@damarisnjeri7820 Жыл бұрын
Amen
@happytz61902 жыл бұрын
Damu ya Yesu ikufunike meshack sikù zote za uhai wako tuombe uzima sikù moja nitatafuta unihuburi habari njema
@irineochieng24552 жыл бұрын
Mungu wetu aachilie ulinzi ju yako uendapo uingiapo! Hakuna mipango ya giza itafaulu ju yako Meshack🔥🔥
@linetm53562 жыл бұрын
Mungu akubariki kaka Meshack kwa kutuelimisha na pia sheby thank you for whatever you're doing may God protect you in all ways.
@happynesskimt62492 жыл бұрын
Mwenyezi Mungu ukimuomba kwa lugha yoyote Ile anaisikia;Na Sio kiarabu pekee, nazan I tumeelewana 😇
@deodatusmaliti77902 жыл бұрын
Amina Meshack asante sana tunajifunza mambo makubwa sana atukuzwe Yesu Kristo aliyekupatia wokovu wake.
@jossyayielo75762 жыл бұрын
Mungu akuwekee ulinzi wa kutosha......tuelimishe zaidi.....asante🇰🇪🇰🇪
@timjones6344 Жыл бұрын
Jehovah awalinde watu wa Mungu mnapoendelea kujuza watu elimu ya kiroho.
@emmyfountain68252 жыл бұрын
Acheni Yesu ajivunie watu wake Mungu tulindie Mtumishi wako Meshaki.
@dallasabinchar51282 жыл бұрын
Cheikh yusuf diwan ame weka wazi tena step by step uongo wa uyu jamaa naomba watu wataka kuelimika kweli wa endeni channel KZfaq ina jina lake ni cheikh yusuf diwan
@upendoluv71972 жыл бұрын
Hyu mwamba Ni Mashine Aisee nahisi Namuelewa ngoja niendelee kumsikiliza
@drnow15282 жыл бұрын
Shetani ana uwezo wa kuanzisha madhehebu
@heritier51192 жыл бұрын
Siku za mwisho Siri za giza zitawekwa wazi Ili wengi wajue
@veronicaseiyo40572 жыл бұрын
Davistar munguvakuzidishie na akufanyie wepesi kwa hii Kazi. Hii ni kujitolea kuokoa watu kwa neema ya mungu tu
@farahmohammedpretty82812 жыл бұрын
Safi mr davista no moja likes zije basi
@linahmwende83972 жыл бұрын
Pamoja sana Meshack na David
@credo78372 жыл бұрын
👍
@harunsarafu508 Жыл бұрын
Kwa Maana hiyo Islamic sio Dini ya Mungu ni ya Majini wana takiwa kukombolewa kwakweli na Damu Ya Yesu kristo kiboko ya Majini
@africaauntheticcivilizatio69852 жыл бұрын
Meshack no msomi Sana Mungu alimuandaa kwa ajiri ya kukomboa watu
@josephkibona79212 жыл бұрын
Mjadala ni mkali! story inatuongezea maarifa namna ya kumfahamu mungu
@admerarobert34852 жыл бұрын
Bwana YESU akubariki Sana Mtumishi meshack nakukumbuka Mahonda Zanzibar ulipokuja kutoa neno kwenye kuchangia Kanisa letu
@damarisnjeri7820 Жыл бұрын
Davistar asante kwa hii.platform yako lakini ukweli usemwe Yesu ndio njia ya pekee
@winifrida86412 жыл бұрын
Wakwanza🔥🔥
@philipoluzege32002 жыл бұрын
Roho wa Mungu ataachiliwa juu ya ulimwengu na kila lililoko kwenye ngiza litawekwa wazi hakuna mafumbo ambayo yatabaki tumbu na kuiamini injili ya Yesu Kristo kiama kipo karibu
@marianachriss24442 жыл бұрын
Haleluyaaaa Haleluyaaaa litukuzwe milele Jina la YESU KRISTO
@philipoluzege32002 жыл бұрын
@@marianachriss2444 Amina
@linetm53562 жыл бұрын
Amen and glory be to God
@lydiaedwin39982 жыл бұрын
Mara nyingi nasikiliza story za watu Ila Leo nimebaini umuhimu wa hiki kipindi . Mungu awalinde Meshack na Dav
@hopejohnson7352 Жыл бұрын
Meshack mdogo angu fungua kabisa bas💚💚
@oduoratieno26132 жыл бұрын
Wow l learn a lot through this channel
@estasage4982 жыл бұрын
Mishale yao waadui kwa ajili yenu iwarudiye kwa damu ya mwana kondoo. Amen
@mahomamahoma7752 жыл бұрын
Aisee nachukia sana jmaaa anaelezea vituu,wew una interrupt,anaachaa kuelezea anachoelezea anaanza kukujib ww tena ww unampoteza, tulia jamaa aongee,ukitaka kuuuliza andika maswali utayauliza mwishon,lengo lako unataka ubalance stori lakini sio kwa hivyo unavyoenda,kwa dizain hii itaenda mpka episode ya 200,soma comment zetu
@navokisembo2 жыл бұрын
Uneona eee. Yaani Davista anaenda nje ya topic sasa anamchanganya huyu kaka. Uliza maswali mwishoni jamani Davista please
@jamesrichard542 жыл бұрын
Nakubari kama unamwelewa mechack Naomba like zenu twende sambamba
@jeffmulei88952 жыл бұрын
hanaye mpinga yesu ndiye kaviri
@drnow15282 жыл бұрын
Bwana yesu asifiwe
@upendoluv71972 жыл бұрын
Ni kweli Majini wanaingia Msikiti..Munakumbuka Mnyeshani aliambiwa akitoka tu msikitini aite Jina mwenye jina ataitika amsaidie ambae Ni jini
@nickolousrajabu50012 жыл бұрын
Mungu akulinde akutunze mchungaji meshaki
@linkreuben31082 жыл бұрын
Jamaa anaelimu kubwa hadi raha! Waislamu wamepigwa changa la macho; wanamwabudu lusifa bila kujua!! ASANTE YESU KWA KUOKOA MAISHA YANGU! AMENI, I!!
@marrypius576 Жыл бұрын
Yesu apewe sifa
@dearmassawe582 жыл бұрын
Hivi ni kwaninii watu wengi wanaosimuliaga kuhusu hayo mambo ya kichwawi huwa wanabehua😂😂
@peterngeri94422 жыл бұрын
mutumshi ubarikiwe zaidi hufatilia mafundisho mazuri una ufahamu mkumbwa ukiongozwa na Roho mtakatifu uliovu muelezea yesu na Roho mtakatifu MUNGU kwa umbo la mwanadamu ndio maana YESU akasema na kondoo wangu ninao wasiokuwa wa zizi hili
@mercykariithi79192 жыл бұрын
Tangu umeanza Mikasa sijasikiza Mkasa mzito na unamafunzo mazito na yamafunzo kama haya real eye opener
@abeidmohamed21002 жыл бұрын
وَٱلَّذِيٓ أَوۡحَيۡنَآ إِلَيۡكَ مِنَ ٱلۡكِتَٰبِ هُوَ ٱلۡحَقُّ مُصَدِّقٗا لِّمَا بَيۡنَ يَدَيۡهِۗ إِنَّ ٱللَّهَ بِعِبَادِهِۦ لَخَبِيرُۢ بَصِيرٞ (Ali Muhsin Al-Barwani) Na hayo tuliyo kufunulia kutoka Kitabuni ni Kweli yenye kusadikisha yaliyo kuwa kabla yake. Hakika Mwenyezi Mungu kwa waja wake ni Mwenye khabari na Mwenye kuona. -Surah Fatir, Ayah 31
@oduoratieno26132 жыл бұрын
Thank u mchugaji
@driftdumper89272 жыл бұрын
Huyu Meshark anaelewa uislamu nje ndani sidhani Kama Kuna mtu anaweza kumshinda!! Maana anauchambua vilivo
@marianachriss24442 жыл бұрын
Tena Sana , BWANA YESU KRISTO ndio Mungu wa kweli na hapana mwingine Yeyote asiyemkiri YESU KRISTO ameshahukumiwa
@asiimweperfect70534 ай бұрын
Damu ya yesu ikufunike meshack
@violinenyakara50282 жыл бұрын
Nimetazama vipindi vingi vya Davista moto, ila ya Meshack ni moto zaidi, sababu anaeleza ulimwengu wa kiroho vizuri na kwa uwazi, ananukuu vifungu kwa Bible na Quran vizuri kabisa Mungu akwezeshe uendeleze injili mbele Kila ulimi utakiri Yesu ni Bwana, wasiojua washike hilo
@zakiarama98422 жыл бұрын
Sio kweli mungu ukimuomba kwa lugha yoyote anakulinda maaana hata hizo lugha kaleta yeye
@igurusitv65532 жыл бұрын
Sasa kwa nini uislamu ni lazima ibada ifanyike kwa kiarabu tu?
@igurusitv65532 жыл бұрын
@@benjathekingofficialshows 🤣🤣
@beatricearon64392 жыл бұрын
Uje uwahoji wote mazige na meshark💪
@macamezunguzungu55842 жыл бұрын
Namba 3 bora💪
@matukicmagere33312 жыл бұрын
Yes
@benedictormaduhu90412 жыл бұрын
Davista unaforce Sana kuongelea uislam uliza mwaswali yatakayoleta majibu ya maisha aliyoishi akiwa mchawi na maisha yake baada ya kuokoka unamyumbisha Sana
@peninahmwangi50982 жыл бұрын
and the truth well set you free
@drnow15282 жыл бұрын
Tuwe macho ndugu zangu
@amiruwezo49602 жыл бұрын
Waulize Wenye elimu sio huyo sawa
@florencerose8592 жыл бұрын
Ndulele kumbe inakazi nyingi sana😃😃
@abdimohamed39532 жыл бұрын
Sana mkuu hata Mimi nimeitumia sana kwenye biashara wakat huo ni mdgo naniliambiwa nikinga dhid ya chuma ulete naniliamini ina fanya vzur
@heritier51192 жыл бұрын
Juma Njemba alikuwa mchawi Mkubwa sana kigoma
@navokisembo2 жыл бұрын
Davista andika maswali uulize mwishoni kama unavyofanyaga acha mtumishi atupe ushuhuda maana tunapoteza story mara unapomuingilia. Note that
@plastidiacasmiry22342 жыл бұрын
Mmh ... nazidi kujifunza!
@sakshidijadijajuma27142 жыл бұрын
ndiyo wape ya kwao meshack sheh gani badala ya kuelimisha et anatukana alafu hajibu hoja yeye ankosoq matamsh tu kumbe hoja ndo izo izo mung akulinde
@martinmaryogo36762 жыл бұрын
kuna mtu anaitwa sheikh, diwani msearch hapo youtube uskie anavokosoa mtumish mesharck, na anadai kuna baadhi ya maneno mesharck anayatamka lakin hayo maneno hayapo katk lugha ya kiarabu wala hyo kuran, sasa yy anayatoa wap, ingawa mwisho nmemdharau huyo shehe kwa kusema kuna majin mazuri na majin wabay a
@sakshidijadijajuma27142 жыл бұрын
nilisha mskiliza we mskilize vzr ansem hytamkwi ivyo ila n hyo hyo alfu hpngi hoja ankosoa matmsh
@kahindiwanje902 жыл бұрын
💪💪🇰🇪🇰🇪🇰🇪
@hillarykirui42572 жыл бұрын
bombshell
@valentinandukuvalentinandu47792 жыл бұрын
kurudi kwa Yesu
@peter-tj6oo2 жыл бұрын
Huyu kweli balaa
@mercylynmasila12582 жыл бұрын
Leo ni mechelewa but tuko pamoja mbarikiwe
@reisezone45742 жыл бұрын
sasa ndio nimeelewa kwanini uwa mayai huwa yanatumika kwenye uchawi kumbe ndio maana yake hiyo duh aisee balaa
@sabinakawembe6012 жыл бұрын
6
@MishiPapalan2 жыл бұрын
Dav umeishiwa sasa ivi huna kazi ndio mana unaleta udini
@saidessry99422 жыл бұрын
natoa challenge kwa wakristo wote wanipe dalili inaonesha quran ukiisoma unakuwa karibu na mashetani au ni kitabu cha mashetani pili dalili kwamba uislamu si dini ya mungu kisha wanipe dalili inayoonesha biblia ni kitabu cha mungu dalili inayoonesha ukristo ni dini ya mungu dalili kwenye biblia yesu anasema yeye ni mungu
@saidessry99422 жыл бұрын
Ndio mana wanajifanya kama hawajaiona waache wakaulize sijui lini watapata jibu
@bantusworshipingpraisingan42942 жыл бұрын
Davista unampoteza mtumishi wa Mungu kuongea hunampoteza Aki flow kile anachoongea. Jifunze kuonji vizuri please. Jamaa yupo vizuri sana. Please mwache aongee atiririke vizuri husimkatishe.
@amosjblack96142 жыл бұрын
Wa 12 leo 🇰🇪 🇦🇪
@saadahiddy87892 жыл бұрын
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣uyu jamaa mungu amsameeh dah
@rab7922 жыл бұрын
Huyu Jamaa Mtaftie Mazingee Kishkii sio Saizi Yake
@khadijaomari93442 жыл бұрын
alikuwa mchawi uyu ajajificha kwenye dini
@lilhydon4528 ай бұрын
Huyu jamaa ni mwarabu mweusi alieokoka
@raphaelkirumbi13422 жыл бұрын
Sorry kwamba Mhojiwa yuko vizuri sana ila anayehoji ni Shiiidaaaa
@sistertrashid24882 жыл бұрын
Davistar mbona wamakonde wamekukaa Sana
@godlovem71392 жыл бұрын
Davista kuna MTU anasema unatumia maji ya Ray eti kweli??
@kingmayadhamuke2 жыл бұрын
Kila msilamu ana malaika mwenye anamlinda nasio jinni
@angel-eg8ig2 жыл бұрын
Brother ungeongelea zaidi kuhusu uchawi wako na uokofu wako ungefurahisha wengi, haya mengine unajichanganya na kutuchanganya hadhira
@deodatusmaliti77902 жыл бұрын
“Ukiwa msomi sana wa Qur’an utakuwa karibu sana na maruhani”-Shekhe Meshack. Asante shekhe…
@saidessry99422 жыл бұрын
nipe ushahidi ukisoma quran unakuwa karibu na Allah nakupa ushahidi hakika tumeiteremsha hii quran kuwa shifaa na rehma kwa waumini..... hakika ya allah yupo karibu na waja wake wema wapi quran inasema ukiisoma unakuwa karibu na mashetani kinyume chake ukiisoma quran ina kuweka mbali na mashetani
@joycemushi7252 жыл бұрын
😁😁😁
@deodatusmaliti77902 жыл бұрын
@@saidessry9942 Shekhe Hassan ameweka wazi sana jambo hilo, njooni kwa Yesu kuna uzima wa milele.
@brendajadevera95972 жыл бұрын
Jee na ukiwasha tuu ubani for fun does it means unajiconnect na majini?
@johalisemalima69792 жыл бұрын
Khadith sahih Muslim 2814a book 52 hadith 62.... kila muislam anajini shetani.... khadith hiyo hapo
@jumajuma8312 жыл бұрын
Mmmmmmmmmmh
@sasamama79342 жыл бұрын
Ahli adiyar ni watu walio fariki ndio wanaitwa ahli diyar sio watu wa mwisho
@interiorpaintingdesign93072 жыл бұрын
bana mtumishi meshark itabidi nikutafute maana kuna mwislamu ambae nilimfanyia kasi na tukasumbuana sana tangu wakati huo nasumbukana sana. mara mikosi hasara.
@MishiPapalan2 жыл бұрын
Uisilamu ni dini na dola ukirsito ni dini na firmasoni nenda kacheza kwaya kanisan unaelekea unajuwa sana kunengua hasani
@igurusitv65532 жыл бұрын
Pinga hoja kwa hoja, unatofautishaje uislamu na Dola? Jifunze usiwe mahamuma 🤣🤣🤣🤣
@rebound2179 Жыл бұрын
Kweli kabisa, Quran ilikuja miaka elfu kukanusha Biblia, na kutunga hadithi mbadala(za uwongo) ilhali waandishi wa Quran hawakuwa hata wamezaliwa matukio ya Biblia yakitokea!😂😂😂😂😂😂😂
@valentinandukuvalentinandu47792 жыл бұрын
kama huyo mchawi mkubwa alikufa Yesu anamlinda vip na pengine kaenda jehanamu
@millyaketch49689 ай бұрын
Asifiwe yesu davisttar,uyu jamaa yuko sawa ,lakini ywaa zunguka sana mpaka ywatoka injee ya story,the story don't flow totally,
Amini Khadija maana huyu anasema yaliyoandikwa jifunze sio kusema hivyo
@abeidmohamed21002 жыл бұрын
Biblia imetangulia kabla ya Quran ni kweli .lakin haikuja kuipinga biblia Bali kuswadikisha yaliomo.hizo
@alimatambwe34022 жыл бұрын
Huyo paster ni muongo Muislam siyo lazima uombe kiarabu tu hata luha yoyote unaomba huyo anataka tu sifa
@paulgaramangonyo80235 ай бұрын
Ni wapi uliskia swalaa kwa msikiti kwa lugha nyingine
@florencerose8592 жыл бұрын
Huyu Hassan ni mwurabu anakielewa hii lugha sana 🤣
@credo78372 жыл бұрын
🤣🤣🤣
@saidessry99422 жыл бұрын
anasukumiza tu
@benedictormaduhu90412 жыл бұрын
Tunatamani Sana kusikia matukio aliyopita na namna alivyookolewa wewe unamuuliza kuhusu uislam tena
@katembotv98962 жыл бұрын
Numéro téléphone wastp
@johalisemalima69792 жыл бұрын
Davista kwani?? Yule shekh wa mkoa wa dar alipomwambia yule shekh waliokuwa wanagombana kuwa marehemu shekh alisoma akapindishwa mdomo... je??? Yule shekh..alikuwa hasomi dua???? Jibu alikuwa anasoma.... jibu alimzidi kafara
@jamesngalijah37102 жыл бұрын
Kule upande mwingne jamaa kasema anakupga na radi ujue
@winifrida86412 жыл бұрын
🤣🤣🤣Mungu mkubwa Mungu mkubwa
@winifrida86412 жыл бұрын
Kweli waarabu uwa nawaona wanasalimia kushoto na kulia pia ubani kufukiza asubuhi na jioni kila siku yani sasa mimi naelewa mana mengine nimjionea mwenyewe japo sikuwa najua nini maana
@credo78372 жыл бұрын
Utalogwa
@winifrida86412 жыл бұрын
@@credo7837 kumbe piya mshale umekugusa
@credo78372 жыл бұрын
@@winifrida8641 aaawap sipo huko nakuhitaji bado nakupa tahadhari😂
@winifrida86412 жыл бұрын
@@credo7837 🤣🤣🤣shukran ila hawawezi naamini waliwahi kunijalibu sana mwisho wa siku yule mzee wa kiarabu yeye akapata koma ghafala tu na walinichukia sana wakawa wananiita mimi mchawi wanasema kuwa usiku uwa natoka naenda tanzania basi hapo ndo nilijua jinsi gani mungu ananificha mimi
@credo78372 жыл бұрын
@@winifrida8641 🤣🤣🤣acha uongo
@navokisembo2 жыл бұрын
Davista jamani Hebu sikiliza, yaani huu ushuhuda ni mzuri ila una maswali mengi yako nje ya topic. Kama wataka jua kati ya biblia na quraan basi hudhuria ile mikutano ya wakristo na waislamu. Acha tuenjoy ushuhuda bana. Too much non topic questions
@alimatambwe34022 жыл бұрын
Huyo ni njaa zinamuuma Uislam ndiyo Dini ya haki hata ukikashifu Allah tayari kisha itakasa
@tututz1002 жыл бұрын
MCHAWI HASSAN
@heritier51192 жыл бұрын
Quran iliandikwa uislamu ulianzishwa na mapadre watano waliuacha ukatoliki sababu ya kupinga utaratibu wa kutoa mke. Historia inasema hivyo
@francismwamboi65532 жыл бұрын
Davistar huyu jamaa anakudanganya katika hizo aya..tafsiri hiyo ni ya urongo