Every part of this story ends in a dilemma.... Very educative big up men Davi!!
@gosbertmuta54213 жыл бұрын
Na tungereza twako😹
@stephenkariuki89743 жыл бұрын
@@gosbertmuta5421 So what freaky in so 'tungereza'
@gosbertmuta54213 жыл бұрын
@@stephenkariuki8974 😹😹😹😹😹😹😹so pain without enough English
@stephenkariuki89743 жыл бұрын
@@gosbertmuta5421 mind your life and leave mine. If you don't, i'm sure something heavier than the American Rapper Rick Ross will soon fall on you....you are too tiny for me to embark you on a shopping bag and go by chewing my cane
@kingalyeko75762 жыл бұрын
@@gosbertmuta5421 😂😂😂😂😂😂😂
@elizanzula83753 жыл бұрын
Mzee wa bakora uwanjani safi saana..
@bintkijangwa43053 жыл бұрын
Hii dunia ina mambo kweli huruma ya Allah inahitajika
@pilimusa77703 жыл бұрын
Sana
@monirangerera71553 жыл бұрын
Sana Yani asahivi ndo tunayajuwa mengi asahivi wenyewe waropoka subwanalah
@frankrobertkomba23183 жыл бұрын
namba 29 had 32 nmejifunza ktu,kulipza kisas sio poa kabsa unaweza kujiingza mtegon kwa mambo ya vsasi
@martinmaryogo36763 жыл бұрын
kwel hata mm najfnza mamb meng kiukwl
@fredmramba66123 жыл бұрын
Yani story hii ni nzuri Sana Ila ushetani mwingi umefanyika humu mpaka unweza Julia unwezaje kumtoa mtoto wako kafala sababu ya mali
@gosbertmuta54213 жыл бұрын
Kabsa maana najkuta nkiwa mganga ghafla nakarr kila step
@jamesswai65833 жыл бұрын
Yan jamaa una matukio mpaka kero. Kaa Sana na Mungu.
@msalimsali69893 жыл бұрын
Sasa ndio matukio yake afanyaje
@user-vb8ck9tt9o3 жыл бұрын
wekeni movie itakuwa yakishua sana .nakusihi plz davister
@gracesinddy90533 жыл бұрын
inabidi tumgeukie Mungu kwa roho na kweli maana Dunia sasa Ina wenyewe mabingwa wa kuangamiza roho za watu aisey inaniuma inaniuma Sana 😢😢
@tatukizunga91073 жыл бұрын
Tumerudi tena na bakora za kimkakatii
@doreenchiragwile34243 жыл бұрын
Wa 17 nipeni like zangu
@jacksondanda60673 жыл бұрын
Doreen unaendeleajee kamanda la ushauri
@ayshamahariq66653 жыл бұрын
hongera
@jacksondanda60673 жыл бұрын
Hebu nicheki watsp 0717410115
@sagaboymsouth3 жыл бұрын
Nan kasikia neno hospital ya uongozi😂😂
@mariamnuru99393 жыл бұрын
hehee
@sagaboymsouth3 жыл бұрын
@@mariamnuru9939 🤝
@nasrasway71433 жыл бұрын
😁😁😁
@macamezunguzungu56973 жыл бұрын
Pamoja saana ulipo nami nipo🙏🙏🙏💪🇹🇿
@thewomanofsteel39703 жыл бұрын
Nimewahi wa11💃😁,,Tunaendelea na aliekuwa mzee wa kazi a.k.a wa kutembeza bakora za kimkakati
@heritier51193 жыл бұрын
Mzee wa bakora za kimkakati aangalie asijetembezewa bakora za kimkakati na malkia
@highzacknnko9685 Жыл бұрын
Sasa nasikiaga waarabu wanayo majini huyu dada wa kiarabu alikuwa hana majini
@josephinemumbua1593 жыл бұрын
Asante Kwa story yenye mafuzo tele
@brigitharmacha49913 жыл бұрын
Watching from 🇴🇲 Eeee Mungu tunaomba rehema kwa taifa letu la Tanzania .lete33
@khadijaomari93443 жыл бұрын
natamani kujua dereva wake alitembezewa bakora au ali nusulika 😀😀😄😀
@eliasjoel47453 жыл бұрын
😆😆😆😆😆
@hadijashabani8903 жыл бұрын
Naleo nimechelewa jamani mzee wa bakora anachapa bakora za kimkakati
@Pedeshee0111 ай бұрын
Yaani mimi nitaenda jamaa keshanipa ramani niwapate warembo niwachape bakora za kimkakati tu utajiri mimi sina mpango nao,wa kwanza nakutaka wewe hadijah nahakikisha nakuchapa haswaa
pamoja sana hii stories ata ukiitengenezea movie inakuwa km season hivi
@kisurangusa5543 жыл бұрын
Kuna bwana misosi, mussa chessa na mzee wa bakora za mikakati hawa watu watatu ni nani zaidi, kwangu naona wote wakali,
@johnassilvester16003 жыл бұрын
Huyu jamaa kazidi duhu
@highzacknnko9685 Жыл бұрын
Huyu noumaaaaa
@swamweliteobady44963 жыл бұрын
Mzee wa bakola wanifulaisha kweli Kwahyo jamaa lilikua kubwa lkn Hakua na hakili
@mariamnuru99393 жыл бұрын
😂😂😂😂 haezi sema alivo shugulikiwa
@ayshamahariq66653 жыл бұрын
🤣🤣🤣🤣🤣 haezi
@mariamnuru99393 жыл бұрын
@@ayshamahariq6665 leo umechelewa
@gerardmushi55163 жыл бұрын
haha ha
@IGL-x1d3 жыл бұрын
@@mariamnuru9939 eeeee😥
@benomwazembe47653 жыл бұрын
Hili balaa, Matengenezo ya gari M 12
@somoeawadh77743 жыл бұрын
Barikiwa sana bro Davistar 🙏
@mariamnuru99393 жыл бұрын
Devistar yuko poa sana
@ayshamahariq66653 жыл бұрын
sana
@vicentsandess11153 жыл бұрын
Leo nawaona kama wakondan hv??😂😂😂😂😂
@kenyanniggar3572 жыл бұрын
me nataka zile dawa za kucharaza bakora mtu
@kisurangusa5543 жыл бұрын
Maisha ikaendelea, maisha ikasonga, wakileta nyodo na matharau wanapigwa bakora za mikakati,
@obillaezra62053 жыл бұрын
Chessa na huyu ni Kiboko
@limajblessed71323 жыл бұрын
Mzee wa bakora za mkakati
@meckylucy2153 жыл бұрын
Sichezi Mbali story Inafundisha sna
@aiyamhassan13213 жыл бұрын
Wa mwisho as usually davista big up broo tunaendelea kujifunza mengi kupitia hizi story...
@philipoluzege32003 жыл бұрын
Mwendelezo wa bakora za kimkakati na zakimsisimko 😄 🤣
@kalssambaboo99323 жыл бұрын
Hasa wee kila mtu mkeo hawara mke mmmh huyo muhindi na jamaa wakahama wameyataka wenyewe kwanza kitendo chakumuona mtu yupo ndani kwako hujiulizi kapitia wapi huyu bado humuogopi tuuh nabado unaendelea kumfatilia
Ila kumjua mke wako ni rahis, umesema anafanya kazi bank mara alifungua saloon kubwa na eneo umetaja, inabidi uwe mwangalifu vile unaexpose watu ambao hawahusiki
@saidhamad5333 жыл бұрын
Dah! Iyo ajali ya hale ya basi la simba mtoto alifariki na shemeji yangu dah! Kwaiyo ulisababisha na kifo cha shemeji yangu😭😭
@aishabeka55623 жыл бұрын
Poleee
@monirangerera71553 жыл бұрын
@Said Hamad samahani nimecheka Sana ulivyo sema shemeji yako alikuwepo Ulivyo shangaa pole sana ajali nyingi za uwongo umeona sasa aropoka mwenyewe
@miriamngosha68563 жыл бұрын
Dah maskini pole mwaya ndiyo mambo ya wadamu lakini tumsamehee tu
@highzacknnko9685 Жыл бұрын
Shetani tuu mpendwa
@heritier51193 жыл бұрын
Shida ya nn kupata utajiri wa mashaka.
@idanyahmed87013 жыл бұрын
Tutengenezee grp wtsap tuwe tunalipia😄
@mariamnuru99393 жыл бұрын
hata mm niko n iyo idea
@sapnaabdallah10843 жыл бұрын
Itabidi Nijiunge na Whatssap
@adbulmama50653 жыл бұрын
Allahu aca uyitwe Allahu kweri we ni khafuru Rahimu .kweri inasikitisha aca uyitwe Allahu yaa Allah yaa Rahmani tunusuru sisi waja wako 🙆🙆
@gerardmushi55163 жыл бұрын
asante davista
@sarahmichael75383 жыл бұрын
Davista, naona stori inakutesa mpaka hengachifu imelowa jasho
@costavalenci76993 жыл бұрын
Huyu jamaa mpaka saa hii bado anaogopesha 🤔🤔💃
@sapnaabdallah10843 жыл бұрын
Anaogopesha saana
@IGL-x1d3 жыл бұрын
@@sapnaabdallah1084 sana
@credo78373 жыл бұрын
Alafu kwel hiyo ajali hata KZfaq ipo😲😲😲
@nurafedrick3783 жыл бұрын
Mhindi asubiri bakora zamikakati sasa🤣🤣🤣🤣🤣🤣nikama ajali walipata mahalipengine sasa kwakuwa mlikuwa na beef akaona atakupata
@gosbertmuta54213 жыл бұрын
Me nkajua jamaa kaja kuzfata bakola labda alinogewa
@tracyirene89173 жыл бұрын
Nangoja kwa Hamu hicho Kipande kingine 🤔! Ngoja Muhindi Tuone Kama Tashughulikiwa 🤣🤣🤣
@mariamnuru99393 жыл бұрын
leo wa 7 Alhamdulilah😊😊
@ayshamahariq66653 жыл бұрын
Hongera
@vicentsandess11153 жыл бұрын
Hongera my💖
@iadeclementine56043 жыл бұрын
No20 watching from🇬🇦
@ashelizakaria63063 жыл бұрын
alafu kingine devist muulize huo uwezo wakupotea ulikuwa ndani ya nchi tu au hata nje yanchi alikuw anaweza mfano kutamuka mfano nataka niwe ufaransa
@djmtengwatz10993 жыл бұрын
Wewe Unatamani Kua mchawi wewe😃😃😃😃ila kweli swali zuri😊 kama unapotea unaweza potea na watu inakua hakuna kupanda ndege😊
@tatukizunga91073 жыл бұрын
Oyooooo kama kawa no 1
@ayshamahariq66653 жыл бұрын
Oyoooooooo
@is-hakayussuf99813 жыл бұрын
Acha na mimi ni comment sio nasoma za watu tu
@hillarykirui42573 жыл бұрын
I am delighted to listen to this story I even lack the adjective to explain this happiness.🇰🇪🇰🇪
@happymrema67283 жыл бұрын
Zambi zako sijui Kama utasamehewa umeuwa Sana
@charleshaule53043 жыл бұрын
it is true, the same to me
@kyangwechoma61123 жыл бұрын
hiro
@r14kgroup683 жыл бұрын
Bakora za kimkakati
@mabulamasunga73783 жыл бұрын
Movie safi hii,
@jacksondanda60673 жыл бұрын
Nimewacharaza bakora kimkakati
@mariamnuru99393 жыл бұрын
hehhehe bakora daily za kimkakati😂😂😂
@stidejustin11563 жыл бұрын
Yani saiv ku comment naona Bora hizo MB niangalie tu 😂😂
@mariamnuru99393 жыл бұрын
hahhaha
@imagepower36413 жыл бұрын
mzee wa bakora 🙉unatisha
@kahindiwanje903 жыл бұрын
Safi Sana broo.
@khadijaomari93443 жыл бұрын
muhindi karudi tena duuh kuna watu sio wahoga moto utamuwakia tena
@abbyadams86913 жыл бұрын
Shamba boy, mzee wa bakora za kimkakati 🤪🤪🤪
@heritier51193 жыл бұрын
Ajali zote zipo youtube
@happykajeli54533 жыл бұрын
Kwakweli walikuwa wanajitakia mtu ushapigwa bakora lkn bado tu sijui kwann walikuwa hawaogopi
Mr bakora za mikakati ulikuwa na nguvu za ajabu sana. Unatoka huko kwenye bakora nanyumbani kama kawaida bakora zinaendelea kwa wake zako duuuh hatari. Ni kweli ulipowaonya watu wasiwageuze watu kinyume na maumbile. Ni kweli kabisa ni sodoma na gomora. Watu waache huo mchezo maana wanaona ni fashion kumbe shetani anawatumikisha.
@pilimusa77703 жыл бұрын
Kabisaaa
@shizaarfred40593 жыл бұрын
Alikuwa amepedwa dawa na mzee chibalonza na ndomana ulikuwa akikutembezea hizo bakora za kimkakati ni lazima uzimie au ufe kwahivyo zilikuwa ni nguv za giza
@msalimsali69893 жыл бұрын
Tunaendelea kuchapana bakora za kimkakatii 😁👉
@martinmaryogo36763 жыл бұрын
hahahahaaaa
@kisurangusa5543 жыл бұрын
Na nani tena,
@ayshamahariq66653 жыл бұрын
wa kwanzaa😂😂💃💃💃💃🇪🇭🇪🇭
@pilimusa77703 жыл бұрын
Hongera❤❤❤❤❤😘😘😘😍😍😍
@ayshamahariq66653 жыл бұрын
@@pilimusa7770 Asanngu wngu ❤❤❤❤❤😘😘😘😘😘😘😘😘
@suleimanmustapha1013 жыл бұрын
@@ayshamahariq6665 hongera sana kipenzi changu❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️
@fatmaalrshdii76153 жыл бұрын
@@ayshamahariq6665 ongera yako sana
@IGL-x1d3 жыл бұрын
@@suleimanmustapha101 Asante wngu😘😘😘😘😘
@catherinewanjiru71363 жыл бұрын
Nimewahi leo👍👍
@salisali37383 жыл бұрын
Daaa mpaka hale umefika
@sapnaabdallah10843 жыл бұрын
Kwa Hiyo huyu Jamaa Alikuwa Hawezi kupigana anawapiga bakora tu zakimkakati 😁😁
@shamilakalinga4373 жыл бұрын
Tuko pamoja san davister na mzee wa bakora
@ayshamahariq66653 жыл бұрын
Hujambo wngu 😍😍 vp homa❤❤
@shamilakalinga4373 жыл бұрын
@@ayshamahariq6665 sijambo mama vp wew
@shamilakalinga4373 жыл бұрын
@@ayshamahariq6665 miss you sweetheart
@ayshamahariq66653 жыл бұрын
@@shamilakalinga437 Alhamdulillah pia mm wngu
@ayshamahariq66653 жыл бұрын
@@shamilakalinga437 Hunshndi mm wngu ❤❤❤❤
@thebeautifulone79822 жыл бұрын
Ili bakora afathali lingeoza likatike shida zingepungua Tanzania
@highzacknnko9685 Жыл бұрын
😃😃😃😃😃 ilikuwa inalindwa na malkia wake
@maureenmwende35153 жыл бұрын
Keep up davi
@johnassilvester16003 жыл бұрын
Mzee wabakora huyo
@rashidjuma13383 жыл бұрын
Dvistar Mara itaendelea🏹
@apostleshillah5611 Жыл бұрын
Jesus is number one
@francisgaudence5113 жыл бұрын
Bakora za kimkakati 😁😁😁😂
@faridamushi16823 жыл бұрын
Asee
@nasrasway71433 жыл бұрын
Kama vile moves
@kawtharsaleh92293 жыл бұрын
Hasa hiyo kazi yako na malikia inamana haina mwisho yani kusema mkataba wengi inaisha hapa mana naona nikuuwa tuuh watu naww watt wako nikuwatoa tuuh
@samaboy25923 жыл бұрын
Noma sana
@credo78373 жыл бұрын
Khaaa mzee wabakora wew nishidq sas😥😥😥
@aishaally88113 жыл бұрын
Hachoki
@credo78373 жыл бұрын
@@aishaally8811 hatari sanaa yaan anaua balaa
@tracyirene89173 жыл бұрын
Kabisa !!Hatari Kweli!!
@credo78373 жыл бұрын
@@tracyirene8917 sanaaa mkorofi
@credo78373 жыл бұрын
@@tracyirene8917 mzim wew
@lenniefei67103 жыл бұрын
Muhindi kajiombea mwenyewe bakora za kimkakati kishenzi🤣🤣🤣
@Laila-lz4ij3 жыл бұрын
Atasobwa kuzimu kumtumikia malkiya kama waliotangulia😁
@kingwamaratz60623 жыл бұрын
Sawa mkuu wakwanza leo
@voodothurday3 жыл бұрын
Mhindi inaonesha alizipenda bakora za mikakati, kaenda kuzitafutia sababu tena...
@johanesthobias87423 жыл бұрын
Naona umeanza ng'oma ya hakuna kulala Davista nikama story inakaribia kuisha.
@ashelizakaria63063 жыл бұрын
Ila RAIA bana mtu kashakuja kwako usku mbele ya mkeo ukafanyiwa unyakuzi kama ule bado akili haizunguki unaende police hujiulizii jmn uyu mtu siyo wakaida apo unatakiwa umuachie mungu tu
@happyoshea3 жыл бұрын
Tuendelee 33 💃💃
@credo78373 жыл бұрын
Waaoh
@vicentsandess11153 жыл бұрын
Leo wamakaa mageton eti🤣🤣🤣🤣🤣
@aishaally88113 жыл бұрын
Kuhusu xhati tuxhakata tamaa
@vicentsandess11153 жыл бұрын
@@aishaally8811 😂😂😂
@mashafestusmramba75773 жыл бұрын
Lkn mbona kila matukio yana fanyika mwendo wa usubuhi ama mchana kwa kifupi sio usikuu
@rogermomodesty35683 жыл бұрын
Oyaa
@johanesthobias87423 жыл бұрын
Davista muulize kama mtoto alikuwa na asili gani?
@fatmaalrshdii76153 жыл бұрын
Mtu makini katika ubora wako pamoja Sana Ka Ka angu wa ukweli ulipo nipo