Davista mata, kanumba, mirad ago, sky worker, Zabron ni watu sana hawa
@shanearmarukusi44633 жыл бұрын
Jamani wanaitaji kwenda kwa marasta Tujuane tupene kampni me najua zabron hana roo mbya atatupeleka tu c unaona ata jana katoka kumpeleka mtu kwa marastar 😂😂 askari kupandishwa vyeo zaid ya vitatu piga kelelee kwa rastake weeuweweeee 😘
@levinaaloyce42193 жыл бұрын
🤣🤣🤣🤣
@shanearmarukusi44633 жыл бұрын
Jikupanga tu c tuaze safari
@florencerose8593 жыл бұрын
Davita story iendele nizuri sana number 46 47 nangonjea
@oscarlemamaringo80813 жыл бұрын
Davistar nashukuru kwa kutupa hii hadithi nzuri zabron yuko vizuri sana
@deusdeodavid53603 жыл бұрын
Pole san Zabron ila ungekua na Angel saiv mngekua na watoto wakubwa ila apangalo Mungu hakuna wa kilipangua
@fatmaalrshdii76153 жыл бұрын
Mtu makini katika ubora wako pamoja sana kaka angu wa ukweli nimekuja kuitika jina ticha nipo jana na leo
@nelsonpatricioestanislaus71443 жыл бұрын
Pamoja sana. 🇲🇿🇲🇿🇲🇿🇲🇿🇲🇿
@livingwaterchurchmbulukahama3 жыл бұрын
Leo wa 13 like zangu plz
@aishasaid67493 жыл бұрын
Pole sana broo
@kawtharsaleh92293 жыл бұрын
Pole zabron kwamsiba wee mwenyewe sababu uliambiwa ufungishwe ndoa mala baba mala mama mala dada watapitwa
@Zamb903 жыл бұрын
Jamaa anaasila sana na wakina panda ukazibe
@somoeawadh77743 жыл бұрын
Story pambe kabisa 💃
@tanzaniabestchoice85483 жыл бұрын
Wa nne nipeni like zangu zabron Kama zabron na davista mtu makini
@aishahemedi78693 жыл бұрын
Sawa kaka
@kusahbrown4363 жыл бұрын
Wee zabron number ya marasita tunaipata aje
@shanearmarukusi44633 жыл бұрын
🤣😂🤣😂🤣😂 tupo weng
@elizabethauma22603 жыл бұрын
Hata mimi naitaka
@marysteven6053 жыл бұрын
Me wa Nyamhoza
@systemnatubukwajinalababam89763 жыл бұрын
Hapo Sasa mzee baba. Utamu ukobado hee nitakuita habibi Sasa. Habibi hapo hapo. Ukigeuka utanihemesha. Miguu juu habibi . Utamu upo hapa.
@sapnaabdallah10843 жыл бұрын
Leo nimechelewa naombeni like zenu wapendwa 😍😍😍
@fatmaalrshdii76153 жыл бұрын
Ulikuwa wapi na wewe pole
@sapnaabdallah10843 жыл бұрын
@@fatmaalrshdii7615 ahsante my nilikuwa nimeenda kutembea 😍
@fatmaalrshdii76153 жыл бұрын
@@sapnaabdallah1084 Ongera yako sana jamani mimi tangu nije Omani niwandani kama utumbo naona kutoka apa safari ya Tanzania tu
@sapnaabdallah10843 жыл бұрын
@@fatmaalrshdii7615 jamani pole mm Naona upo Kama maziwa ya kuku Maana uo utumbo muda mwengine unatoka nje
@winnyenockwinnyenock69863 жыл бұрын
Duh uko kama mimi naelekea mwaka wa tatu sjawah kwenda hata popote nipo ndani tu mpk nahisi akiri inachoka😂
@aminamrope17973 жыл бұрын
Shukrani sana
@qelseykenya39333 жыл бұрын
Best STORY in DAVISTAR MATA CHANNEL AWARD WINNING STORY👏👏👏👏
@elizanzula83753 жыл бұрын
Pole sana kwa kupoteza sweet wako angel your lover. ..God will reple the gap
@venahsithole64633 жыл бұрын
Pole sana mzee baba kwa kifo cha Angel
@rehemalaizer71233 жыл бұрын
wa kwanza😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😃😃😃😂😂😂😂😂😃😂😃😃😃😃😃😃😃😃
@fatmamucha44193 жыл бұрын
Hongera
@jacksonnyange53343 жыл бұрын
Kama umejua story inaanza kuwa mbaya nipe like
@popoali66413 жыл бұрын
Thanks
@petermwantole94333 жыл бұрын
Dah,,kweli zablon uko real,,,Rodgers (baharia) alikua best angu ni mtu Tanga alikua ,kweli hiyo story ya south alinisimulia hata kabla ya kipindi ,na kweli alitoa kitabu jamaa,,,mara ya mwisho nlikutana nae Morogoro jamaa
@nurafedrick3783 жыл бұрын
Masikini kumbe ndokuliendagaa hadi Angel kufariki pole sana kwahapo pia
@fatumakubo94633 жыл бұрын
Mm napenda upole wa zabron na davistar hadi raha natamani mngekuwa ndg zangu ningeenjoy sanaa
@rosecruiz43483 жыл бұрын
Pole sana zablon kwa mikasa iliyo kufika
@rosecruiz43483 жыл бұрын
Mbona nime miss neno misosi hua yanongesha sana hii story
@wantangosaimon52953 жыл бұрын
Duh pole xana mzee walikutosa ila wew bado ulikuwa na upendo wa kweli kwao
@pilikhamis29243 жыл бұрын
Nipo shem.wangu pole sana ww ni shujaa nakwambia
@francisgaudence5113 жыл бұрын
Nice story
@babymkuya3593 жыл бұрын
Wow leo 26 like zangu plzz
@adamnasango17433 жыл бұрын
Sintosahau: unasimulia matatizo yako unaenda zako
@sheikhaalmandhari1253 жыл бұрын
Nime wahi sana leo
@mwitawakimara36493 жыл бұрын
Umeludia tena shat duu wewe nishida brothers pole
@rafiakinyoa42473 жыл бұрын
Na mm nimewah 💕
@nancychissamo3793 жыл бұрын
Nimewaiiiiiii🤩🤩🤩🤩
@philipmbaabu6169 Жыл бұрын
Ile ilirisi ya kupumua niliipenda sana.
@miriamngosha68563 жыл бұрын
Weka 46 bro fasta hurry up
@stivenmgonja59083 жыл бұрын
In the building as usualy
@bebebebe56773 жыл бұрын
Pole san zabron umepamban san
@evalynclemens28613 жыл бұрын
Nimewai wa 22💃
@KariukiRoysambu3 жыл бұрын
Safi
@bintimanazil92493 жыл бұрын
Huhuuu following
@janendzadze71793 жыл бұрын
Jamani namba ya marastar Davistar
@ezekiaandrew84203 жыл бұрын
Nipoooo
@shakiraabbas75383 жыл бұрын
Leo afazari nimekua wa 88 Alhamdulilah😂
@caimedia3 жыл бұрын
Ilikuwa ni Airtel kipindi hicho ilijulikana kama Zain, ukiweka vocha ya 2000/- unapewa nyongeza ya 2000/- na kuanzia SAA sita usiku ilikuwa free
@allykibabe81823 жыл бұрын
Daaaah
@winnyenockwinnyenock69863 жыл бұрын
😂😂😂south africa kwa minguu😂😂😂
@mariamfritsi49433 жыл бұрын
Siku nyingi sikuwa hewani niliishia part 28.
@titinmbega41283 жыл бұрын
Hii story ni tamu kimbia...u sikilize🥰😂😂
@pilimusa77703 жыл бұрын
Karibu tena
@mariamfritsi49433 жыл бұрын
@@pilimusa7770 shukrani
@jamesngalijah37103 жыл бұрын
🙌🙌🙌🙌
@carolinetev26313 жыл бұрын
Sifa sana vitu fine
@aishahemedi78693 жыл бұрын
Sawa
@marthamaligo4583 жыл бұрын
🔥🔥🔥🇴🇲🇴🇲
@geraldkilowoko70423 жыл бұрын
Kuna sehemu umeiruka ulivyoenda Chini ya ziwa tanganyika .... ulichinja mbuzi na. Kikatokea ....
@rappertinno41843 жыл бұрын
Wanji wanji 2nasololea mastory
@becatemba9830 Жыл бұрын
Bro zeb ni mara yk ya pili kupanda boti una kumbuka baada ya kutoroka na wachawi kidogo uliwe nyama ukatoroshwa umepitia meng pl xn tuko pa moja mkuu
@kimsamespa84903 жыл бұрын
Heri ulitoka migondini sababu ulikua ukufe
@abdulrahimdaniel7853 жыл бұрын
Leo nimewai Wa 5
@twaibumikidadi73773 жыл бұрын
histor ya lodger nlshaiskia n noma safar ya Afrika ya kusin zaid ya mara 3 n nomaaaa ya historii hiyoooo.
@salmajumanne89143 жыл бұрын
Mapema nimekua wa 20
@remigjohn48433 жыл бұрын
Leo hujaelezea biryan ulilopikiwa akwa mama enjo
@fatmaalrshdii76153 жыл бұрын
Amesaau baada ya kumkumbuka enjo wake Jamani
@jotafungo46223 жыл бұрын
Wabongo wabaya aisee 20000/=😂😂😂
@husseinmhajam71063 жыл бұрын
Leo wa sita jaman
@ayshamahariq66653 жыл бұрын
Alhamdulillah nmekua wa kwanza 💃😍🙄🇪🇭🇪🇭
@aminamrope17973 жыл бұрын
Hongera🥰🥰
@ayshamahariq66653 жыл бұрын
@@aminamrope1797 shkuran chidada changu 😍😍
@nguwalofakhr59653 жыл бұрын
Ndiooooo 😂🤣🤣😂
@ayshamahariq66653 жыл бұрын
@@nguwalofakhr5965 🤣🤣🤣🤣🤣
@sapnaabdallah10843 жыл бұрын
@@ayshamahariq6665 hongera Yako 😘😘
@magdalenaselestinmbawala93733 жыл бұрын
Namkumbuka uyo kaka nasimulizi yake nili sikiliza rojaz
@aliaalooya38963 жыл бұрын
Leo nime wahi🤣
@wantangosaimon52953 жыл бұрын
Kweli ukimsaidia mtu nawe utasaidiwa na ukimpenda mtu nawe utapendwa ndo mfumo wa maisha ulivyo
@mariamfritsi49433 жыл бұрын
Ukimsaidia mtu basi potezea usitegememee utarudishiwa fadhili tenda wema uende zako basi.
@philipmbaabu6169 Жыл бұрын
Hii ajali bila shaka hikuwa ya kawaida.
@salmasalma82033 жыл бұрын
Asnt kw muendlez
@shanizshanta77873 жыл бұрын
Nilikuwa wapi jamani🤦♂️🤦♂️🤦♂️🤦♂️
@asiasalim46343 жыл бұрын
🤣🤣🤣🤣Uliacha na kuuza nguo mzeee WA MISOSI
@systemnatubukwajinalababam89763 жыл бұрын
Ukicheka tu wanikamata sana
@mloladavid55733 жыл бұрын
Mimi wa kumi natatu
@awadhrajab95273 жыл бұрын
Piga Kazi
@hamadwaziri1213 жыл бұрын
Pill. Ukujee huku
@abdallahahmedussi59623 жыл бұрын
Story Nzuri Sana, inahuzunisha, inafunza, inatia moyo, inatia ujasiri we Hali ya juu, Katina maisha Hakuna Kimaya tamaa
@pilimusa77703 жыл бұрын
Ndiyo nimefika. Asantee
@hamadwaziri1213 жыл бұрын
Haya mama
@greatness2543 жыл бұрын
Ati akasema "yes good idea"😆😆😆😆😆
@hamisihassan26203 жыл бұрын
Zabron watoto wazuri wazuri wapita hapo nyuma yako do something bhana.
@valentinandukuvalentinandu47793 жыл бұрын
santa dav
@mbarikiwambarikiwa39883 жыл бұрын
Zabron kwa hyo Sasa hvi umeoa Mzungu au?? Make nimeona una kitoto cha mixer ya kizungu na Umesema ni wako.
@karrolleschon39863 жыл бұрын
🇰🇪🎤🎤🎤
@ceciliastanslaus68623 жыл бұрын
31 jamani
@roseuwambe80893 жыл бұрын
🤣🤣🤣pole jamani kufungua akaunti unatumiwa 20000🤣🤣🤣🤣ilasikuizi haina ajaya kuhangaika unatumiwa xpress mone kwa jina unachukua benk
@igurusitv65533 жыл бұрын
Wa 67
@ayshamahariq66653 жыл бұрын
Somoe pili Aisha Aiyam Amina Shem lngu Eric mimi blessed Nura sapna violine cute emmy Nguwalo Fm morn Hamix Fatma nawengineo njoooooooon mabo tarar🇪🇭🇪🇭😍😍
@nguwalofakhr59653 жыл бұрын
Ndiondio Aysha 😂 leo umewahi unatamba
@somoeawadh77743 жыл бұрын
Mm hapa sweetheart, Nahisi pia mm sina kivuli 😂😂😂
@aiyamhassan13213 жыл бұрын
Nimewasili kipenzi chng
@ayshamahariq66653 жыл бұрын
@@nguwalofakhr5965 umeonaeeee🤣🤣🤣🤣
@ayshamahariq66653 жыл бұрын
@@somoeawadh7774 🤣🤣🤣🤣🤣
@maryamumapenzi12573 жыл бұрын
Yani tuna saidia watatu watatu
@nurafedrick3783 жыл бұрын
South Africa miguu kweli ulikuwa mzima kweli??mana chixi ndohutoka mfano Mombasa hadi Nairobi chix😄i mtu naakili zake uongo mybe utembee mwezi😂😂
@Fm-MornStar20143 жыл бұрын
Inawezekana kabisa, maana sio mfululizo. Kulingana na Google mwezi mmoja mfululizo kutoka Mwanza hadi Johannesburg, sasa mpe mtu mwenye afya mwezi na nusu, akiwa na kupumzikapumzika njiani.