Nina utaalamu kidogo wa mambo ya video, naona canon 1dx ni camera ya uwezo mkubwa ambao kwa kipindi hiki sidhani kama ni lazima sana, ungepata sony a7iii na ukafocus kwenye sound recording inatosha sana
@yohanahbyzehomba1352 Жыл бұрын
Sony sh ngapi?
@yohanahbyzehomba1352 Жыл бұрын
Canon 1dx hii inatumika kwenye movie au kwenye nn?
@victaboy72733 ай бұрын
Fanya na wewe tuone
@bettyronyo10942 жыл бұрын
Hello brother greetings from here Dallas Texas in the USA 🇺🇸. We are really enjoying your program
@ramadhanishabani2743 Жыл бұрын
Mtumie kamera
@user-yw3wr8ct8p5 ай бұрын
pongezi kwenu.
@dandeal22692 жыл бұрын
Nimekubali hii story n ya kwel
@acimamalingano85562 жыл бұрын
Together mr everything 💪
@bakari-si1pw2 жыл бұрын
Pamoja sana brother
@fatumakhamisi10022 жыл бұрын
Dahhhh nimeguswa nitachangia chochote asee Ngoja tuone hali inaruhusu vipi
@nurudaud39932 жыл бұрын
Amina🙏
@jesusislord91902 жыл бұрын
sasa wewe ulikuwa unasomeshwa unakula hela za dada na kaka...na mama ... eti unapata shida we hujawahi kupitia shida
@eliyaerick51822 жыл бұрын
Sometimes naumia Sana nkiona baba yangu wa kiroho Mr Davista akisisitiza kuhusu camera...I wish ningekuwa na kazi I hope ningetoa nyingi Zaid 😥😥Yesu atafanya njia🥺
@frankvianey24382 жыл бұрын
Baba wa kiroho? au role model wako hebu tofautisha haya mambo kaka
@lizzybeth63442 жыл бұрын
Baba wakiroho,🤷😂😂😂
@eliyaerick51822 жыл бұрын
@@frankvianey2438 sio role model cz ninayofanya au kupenda I'm sure hapendi just kipind chake kinanilea na kunifungulia mengi sioni shida kumuita hvo
@frankvianey24382 жыл бұрын
@@eliyaerick5182 nimekuelewa boss wangu
@milley71852 жыл бұрын
Pesa z kichawi zipo especially kw watumushi wa Mungu na wAganga unaenda dukani unashngaa galfa mwenye haelewi akurudishie Chenji ama Lal anakurudishia nimeexperinece hiyo michezo si mizuri
@petermangale93142 жыл бұрын
Sasa hapa picha ndo limeanza
@annamwita75482 жыл бұрын
Nami leo wa 3
@kiehbhzh70442 жыл бұрын
Mr. Davista Allah atakushika mkono kwa hitaji lako