Masha Allah umealaza vizuri na vp ikiwa ni shamba tuyanyumbani kiyasi maitaji hayauzu kwa kiyasi kidogo
@AGALUSTV Жыл бұрын
Tupo pamoja ndugu.mtaji utapungua sana
@UmmyAhmad-jr9qlАй бұрын
Kumbe uchum tumeukaria wenyew ,asante kwa kutupa elim
@AGALUSTVАй бұрын
Mungu ATUSAIDIE Sana. Barikiwa pia
@mohammediramadhani5812 жыл бұрын
Umesema kwa maeneo ya joto itachukua miezi miwil na nusu adi mitatu na kwenye bardi miezi minne adi mitano hii inategea Aina ya mbgu au mbegu yoyote ile itatofautishwa kwa sababu ya iyo Hali ya hewa
@AGALUSTV2 жыл бұрын
Mbegu, huduma na Hali ya hewa
@CraftWithAnnaya4 жыл бұрын
nice work keep up the good work.. well done
@AGALUSTV2 жыл бұрын
Thank you
@marcomugeta35283 жыл бұрын
Asante Sana, nipoBukombe- Geita mbegu gani inanifaa kwa mahindi
@AGALUSTV3 жыл бұрын
Mbegu hutofaitiana eneo na eneo hivyo ni vizuri ukaenda duka la pembe jeo karibu nawe atakushauri zaidi kw eneo ulilopo ni mbegu gani utumie
@FarmingWithJoshe3 жыл бұрын
Hata nami mapanga kupanda mahindi hivi karibuni,,shukrani sana,,
@AGALUSTV3 жыл бұрын
Tunakutakia mafanikio mema ktk kaz zako Mungu akubarikk
@user-lv5zf8oh8b2 ай бұрын
Mm nafulaiya uduma tako
@AGALUSTV2 ай бұрын
Barikiwa Sana ndugu
@altafhajji59823 жыл бұрын
Asante mkuu
@AGALUSTV3 жыл бұрын
Barikiwa sana ndugu🙏🙏🙏
@ibrajames62883 жыл бұрын
Thanks much
@AGALUSTV3 жыл бұрын
Pa 1 ndugu bt Siku nyingine usifanye kama ulivyo fanya kuweka link za video zako kwenye channel ya mtu. Bila mawasiliano na Muhusika kiukweli umenipa kazi sana kuzidelete link zako. Ni vzuri tukawasiliana. Barikiwa sana🦶🦶🙏🙏
@MWALIMUMBUNIFU894 жыл бұрын
Kazi nzuri
@AGALUSTV4 жыл бұрын
Thnx
@danielmwakatuma14383 жыл бұрын
Asante kwa kutufundisha ujasilimali.
@AGALUSTV3 жыл бұрын
Pa1🤝🤝
@francismua78253 жыл бұрын
Cool
@AGALUSTV3 жыл бұрын
🤝🤝🤝🤝
@jumaduba54893 жыл бұрын
Nashukuru kwamaelekezo
@AGALUSTV3 жыл бұрын
Pa 1
@stanfordshao84364 ай бұрын
Mahindi no aina Gani
@AGALUSTV4 ай бұрын
Mbegu za chotara /hybrid zinazaa. Onana na bwana shamba ktk eneo unalotaka kulima muulize ni mbegu gani ktk eneo langu zinazaa vizuri
@KhalidKhan-ud9cz4 ай бұрын
Mzuri Sana kweli 💖
@AGALUSTV4 ай бұрын
TUPO PAMOJA NDUGU 🙌🤝
@faridamsangi44162 жыл бұрын
Mimi nipo kilmanjaro wilaya ya hai. Je ni mbegu gani nzuri ya mahindi ya kuchoma na aina gani ya mbolea?
@AGALUSTV2 жыл бұрын
Ni vizuri ukawasiliana bwana/ bibi shamba w karibu nawe
@josephinembelenge45785 ай бұрын
Nina Eka 9 nimejipanga kulima mahindi ya kuchoma msimu huu wa mvua za masika,vipi nitauza mahindi yangu ukizingatia nalimia ndani ndani sio rahisi kupata wateja wa rejareja sana ila ni pwani
@AGALUSTV5 ай бұрын
Jitahid ufanye savey ya soko kwanza
@mercymichael4766 ай бұрын
Nimepata ujuzi zaidi asante.Niko Arusha mbegu inayofaa ni ipi?kilimo ni cha umwagiliaji.
@AGALUSTV6 ай бұрын
Hongera Sana karibu ktk kilimo. Kuhusu mbegu c rahisi kukwambia ila ushauri tembelea duka LA Pembe jeo la karibu AU mwone bwana shamba aliyekaribu nawe. AU wakulima w karibu na shamba unalotaka kulima wao WATAKUPA uzoefu ktk eneo lao ni mbegu gani nzuri
@abdulhabibu1011 Жыл бұрын
Vizuri kwa somo zuri ila sijasikia gharama za umwagiliaji
@AGALUSTV Жыл бұрын
Apo hutegemea na eneo ndugu
@genytoaquimo15964 жыл бұрын
good
@AGALUSTV4 жыл бұрын
Thnx
@MWALIMUMBUNIFU894 жыл бұрын
Safi sana , na hongera sana,
@AGALUSTV4 жыл бұрын
Thanks
@ramadhankyando31014 жыл бұрын
Safi mkuu
@AGALUSTV4 жыл бұрын
Thnx
@AGALUSTV4 жыл бұрын
Thnx
@gracebenjaminnapokeakatika95652 жыл бұрын
Ni mbegu gani ya mahindi nzuri ambayo tuitumie
@AGALUSTV2 жыл бұрын
Hybrid 628 kwa kwetu Mbeya
@bashirosman79782 жыл бұрын
Mbeegu ipi Ni ndefu
@AGALUSTV2 жыл бұрын
Kwa wapi
@chrispinbanzi69603 жыл бұрын
Hapo gharamaya viwatilifu haipo.
@AGALUSTV3 жыл бұрын
Ipo ila ni lugha tu nimetumia jina la sumu au dawa za wadudu
@hamisikagunila72722 жыл бұрын
mbegu gan bora kwa mahindi ya kuchoma?
@AGALUSTV2 жыл бұрын
Upo ukanda upi? Mkoa gani maana mbegu zinatofautiana kulingana na eneo I
@sharifukhalid20653 жыл бұрын
Napenda sana hili zao
@AGALUSTV3 жыл бұрын
Karibu. Ndugu
@jamesernest31073 жыл бұрын
ILA KIUKWELI MAHINDI NI ZAO AMBALO NI ZURI SANA
@AGALUSTV3 жыл бұрын
Ni kweli ndugu Ila ukijua tu kulitunza yaan muhindi ni zao vumilivu Sana kw iyo ukuhudumia kidogo tu yatazaa vzur
@anethkaria37923 жыл бұрын
Najifunza mengi ahsante sana
@AGALUSTV3 жыл бұрын
Karibu sana
@jamesernest31073 жыл бұрын
Nimeipenda hii
@emanuelimassawe78233 жыл бұрын
Je kiteto mkoa wa manyara kunafaa kwa kilimo hicho
@AGALUSTV3 жыл бұрын
Mahindi ndugu yangu kw tz hii yanalimwa sehemu yeyote ilo somo nikukuonesha tu mahindi yako endapo utauza kw lengo la kuuza mabichi faida yake itakuaje ukilinganisha na makavu pia unatakiwa uyaandae vipi mahindi yako kw sifa za kuuza mabichi
@safiyaramadhan96162 жыл бұрын
Namba yako jaman
@AGALUSTV2 жыл бұрын
Wasap +255765467484
@sospeterwilliam48682 жыл бұрын
Vijijini kule kaka ni shida mbolea Aina ya smadi wanayo tatizo hii elimu au wataalamu wa Kilimo hawapo na lembejeo za Kilimo nitatizo mnawasaidiaje kupata huu utaslamu?
@AGALUSTV2 жыл бұрын
Tusadiane kueneza elimu🙏
@FriendsandFamilyVlogsUK4 жыл бұрын
Massallah nice
@AGALUSTV4 жыл бұрын
Your welcome
@samweliherman36593 жыл бұрын
Namba ya.simu ya mnuñuzi
@AGALUSTV3 жыл бұрын
Kuna mbinu tu za kupata soko bt hakuna namba moja kwa moja
@johnmsalluka75303 жыл бұрын
Mbegu nzuri ni zipi majina yake
@AGALUSTV3 жыл бұрын
Sorry braza mbegu hutofautiana na mazingira yaan hali ya hewa so ni ngumu kukwambia mbegu nzuri ni ipi
@zawadikalugira2676 Жыл бұрын
Naomba kujua mbegu Bora ninunue mbegu Gani? Yaani kampuni Gani? Na mbolea yakaampuni gani mamba Yako tafadhali
@AGALUSTV Жыл бұрын
Mbegu utegemea na eneo ni vizuri kumwona bwana shamba aliyekaribu AU duka LA Pembe jeo lililo karibu
@angelinamsemwa55923 жыл бұрын
Vipi kuhusu sweet corns kaka? Zinalimwa kama mahindi ya kawaida tu au kuna utofauti?
@AGALUSTV3 жыл бұрын
Kila kila ktu kinafanana izo mbolea pia shida ayo mahindi y corns yanashambuliwa sana na wadudu so udhibiti zaid ya wadudu ni muhimu
@abdallahahmed90432 жыл бұрын
.
@winnienjau81343 жыл бұрын
Hiyo ni mbegu gan inaitwaje
@AGALUSTV3 жыл бұрын
Hybrid 628
@margaretmkangala77747 ай бұрын
Hiyo mbegu ya mahindi ya kuchoma inaitwaje?
@AGALUSTV7 ай бұрын
Tembelea duka LA Pembe jeo WATAKUPA wanayo itumia
@hassanally27433 жыл бұрын
Mmh
@AGALUSTV3 жыл бұрын
Hatari
@francismartin29384 жыл бұрын
Nimeona baba mungu akubariki sana
@AGALUSTV4 жыл бұрын
Amina
@charlesmadia56553 жыл бұрын
Ni mahindi aina gani yaani jina lake yanayofaa Kwa kuchoma?
@AGALUSTV3 жыл бұрын
Mbegu hutegemea na eneo ulilopo maana naweza kwambia jina kumbe haifai ukanda uliopo hayata weza kubali
@lugekahibi68833 жыл бұрын
Sina ya mbegu za mahindi ya kuchoma kwa Mia wa Pwani ni zip Mkubwa, pse.
@lugekahibi68833 жыл бұрын
Sina za mbegu
@AGALUSTV3 жыл бұрын
Ngoja tunalifanyia Kaz swali lako ndugu maana mbegu hutofautiana kulingana na Hali ya hewa ya ukanda mfano mbegu za nyanda za juu kusini mikoa ya iringa, mbeya rukwa Ni tofauti na maeneo yenye joto bt umesema kw maeneo ya pwani au
@lugekahibi68833 жыл бұрын
@@AGALUSTV mkoa wa Pwani, Mkuu.
@AGALUSTV3 жыл бұрын
Ok bt kiukweli Mimi nafahamu mbegu za nyanda za juu kusini uwa natumia hybrid 628 zipo kwenye mfuko wa kaki ndyo nzur kw kúchoma kw upande wetu Sasa kwa uko ulipo nipe muda kdogo tufanye uchunguzi kidogo uku tukisaidiana ndugu lakini unaweza ulizia izi mbegu hybrid 628 Kama zinapatikana
@kornelijoseph47483 жыл бұрын
kwa mkoa wa pwani mbegu ipi inafaa nipo huku
@AGALUSTV3 жыл бұрын
Sory mbegu siwez kukwambia mbegu fulani ni bora zaid kuliko nyingine cha msingi nenda dukani la pembejeo mchek muuzaji au wakulima wa eneo husika watakwambia mbegu kwa eneo lako
@jurakikiyonjo704110 ай бұрын
Nimisiki.kaka
@AGALUSTV10 ай бұрын
Ok
@sirkipingu67213 жыл бұрын
Ivi waeza panda mihogo na mahindi ktk shamba moja na ikastawi bila shida ?
@AGALUSTV3 жыл бұрын
Yaaah japo muhogo ikiwa midogo
@patrickrobison70913 жыл бұрын
Ni mbegu gan nzur zaid hapa zinazofaa?
@marcomugeta35283 жыл бұрын
Mbolea zipi zinafaa kwa kilimo cha mahindi, zitumike muda gani?
@AGALUSTV3 жыл бұрын
Mbolea zipo za kupandia, kukuzia na matunda na utumika kwa muda kulingana na wtk husika kuna wa kupanda, kukuzia na kuweka za matunda pia
@patrickrobison70913 жыл бұрын
Ni zipi hizo mbolea kiongoz?
@eyksaz36773 жыл бұрын
Zao hili ni AJABU!! Faida mpaka Mil 7, kzfaq.info/get/bejne/g7p6h9iYzLavdKc.html
@AGALUSTV3 жыл бұрын
Karibu Sana ndugu
@AGALUSTV3 жыл бұрын
Apo ni kuotea soko tu bt kuzaa lipo vzur
@eyksaz36773 жыл бұрын
Okay
@josephinembelenge45785 ай бұрын
Hiyo ni mbegu Gani mkuu?
@AGALUSTV5 ай бұрын
Iliyolimwa apo AU
@ashangonyani79893 жыл бұрын
Vema nayafanyia Kazi mafundisho yako.
@AGALUSTV3 жыл бұрын
Nashukuru barikiwa sana🙏🙏
@amosikiboko1032 жыл бұрын
Naitaji mawasliano yako
@AGALUSTV2 жыл бұрын
Okay
@flevouronlinetv1333 жыл бұрын
Hivi kaka haya mahidi kwel kwenye hekal moj unaweza kupata hay mahid 9000 na je hayanaxhida kwel kuhusu uuuzaji
@AGALUSTV3 жыл бұрын
Yaaah ni matunzo tu mahindi unapata ayo yaliyo mazuri . Kuhusu uuzaji ni ubunifu wa ku time soko maana ukivuna msimu wa mahindi yakiwa mengi apo yatakusumbua. Lazima ujue ni msimu gani mahindi yanakua adimu nawe nenda katoe uo muda
@remymavika99763 жыл бұрын
ko shamba limejilima? mana hujapigia gharama za kulima
@AGALUSTV3 жыл бұрын
Yawezekana uli skip ilo somo bt gharama ya kulimia shamba ipo apo ndugu fuatilia vzuri
@remymavika99763 жыл бұрын
@@AGALUSTV Unanichosha tu, nimerudia sijaona. ni dakika ya ngapi!?
@AGALUSTV3 жыл бұрын
Any way but gharama za kukodi ni inategemea na eneo bt kat ya lak 1 hadi laki na nusu apo
@remymavika99763 жыл бұрын
@@AGALUSTV sio kukodi, gharama za kulilima shamba! kukodi umeweka, ukaanza kupigia gharama za mbegu na vibarua wa kupanda bila kulima shamba
@AGALUSTV3 жыл бұрын
Pole sana ndugu naomba usiskip Fuatilia vizur tu ila imetajwa ni 70 elfu kulima. Inapatikana kwenye dk 3 na sekunde 21 Ivi