Pata faida hadi Mil. 7 Kwa kilimo Cha matango katika nusu heka tu

  Рет қаралды 35,564

AGALUS  TV

AGALUS TV

4 жыл бұрын

Kilimo Cha matango kinalipa

Пікірлер: 184
@kajunagify
@kajunagify 3 жыл бұрын
Asante kwa kazi nzuri. Kwa spacing ya 70x60cm robo eka (na siyo nusu) ndo inaingia miche 2900. Tafadhali tusaidie tuwe na hakika kama ni nusu au robo tunayoiongelea hapa.
@AGALUSTV
@AGALUSTV 3 жыл бұрын
Nusu eka wastani nimechukulia mita 35 na mita 1 ima sm 100 so ktk mita 35 ina jumla ya sm 3500 so ukichukua 3500÷60 utakua na mashimo 58 iyo ni shimo kw shimo Kwa mstar kw mstar sm 3500 gawa kw 70 utakua na mistari 50 Sasa ukizidisha mashimo 58× mistari 50 jumla utakua na mashimo mangapi??? Tusaidiane hesabu ndugu maana izi hesabu za kuzidisha sometimes mziki….
@kajunagify
@kajunagify 3 жыл бұрын
@@AGALUSTV Asante kwa response ya haraka. Kwa hiyo umeconsider ukubwa wa cm 3500x3500 ambayo hiyo ni ROBO eka. Nusu eka ni 3500x7000 cm na eka nzima ni 7000x7000 cm. Inafurahisha zaidi maana hapo nusu eka inaweza kutoa up to 14 Millions
@user-br3sc8bm4t
@user-br3sc8bm4t 2 жыл бұрын
Shukran sana kwa somo Zuri Sana nimejifunza kitu Allah akubariki
@AGALUSTV
@AGALUSTV 2 жыл бұрын
Amin🙏
@CraftWithAnnaya
@CraftWithAnnaya 3 жыл бұрын
nice work keep up the good work.. well done
@AGALUSTV
@AGALUSTV 2 жыл бұрын
Thank you
@Maha-fl9qe
@Maha-fl9qe Жыл бұрын
Allah akuzidishie elimu brother .Ameen 🤲
@AGALUSTV
@AGALUSTV Жыл бұрын
Amin✍️🙏🏿🙏🏿🤝👏
@joscelynemuna3411
@joscelynemuna3411 3 жыл бұрын
Nimefurahia somo sana! Masoko ya matango nayapataje brothee
@AGALUSTV
@AGALUSTV 3 жыл бұрын
Yapo ndugu
@moregracerecordlabeltv5893
@moregracerecordlabeltv5893 3 жыл бұрын
great work here,,, very educative
@AGALUSTV
@AGALUSTV 3 жыл бұрын
Thank you
@athumanabdury9093
@athumanabdury9093 6 ай бұрын
Naomba kuuliza vp nitapataje mbegu bora
@AGALUSTV
@AGALUSTV 6 ай бұрын
Zipo MADUKA ya Kilimo
@rizikiramadhani8678
@rizikiramadhani8678 3 жыл бұрын
Elimu yako ni nzuri sana mkuu mungu akubariki sana ila naomba jina la hiyo mbegu
@AGALUSTV
@AGALUSTV 3 жыл бұрын
Amina ndugu Bt jina ni Seminis, hybrid seeds . jina la kibiashara ila ukienda tu dukani kaulizie mbegu za matango za hybridi izi kidogo Zina Bei Kat ya 30 elfu had 40 apo zinacheza kwa pacts ambayo ina mbeg 1000
@magrethjoachim4371
@magrethjoachim4371 3 жыл бұрын
Soko nalipataj
@AGALUSTV
@AGALUSTV 3 жыл бұрын
Magret. Soko lipo ni kujitangaza tu na kufuatilia maeneo mbali mbali
@allworldstrendshere1378
@allworldstrendshere1378 4 жыл бұрын
Nimeipenda hii ahsante sana kwa makala nzuri
@AGALUSTV
@AGALUSTV 4 жыл бұрын
Thnx kaka naomba usubscribe upate zingine zijazo
@AGALUSTV
@AGALUSTV 4 жыл бұрын
Asante nawe B blessed
@user-qm2ds9mr9r
@user-qm2ds9mr9r Ай бұрын
Kwenye gharama za uwekezaji hukuweka gharama za kamba, umwagiliaji maji, vyombo vya kutumia kumwagilia sumu hivyo.
@AGALUSTV
@AGALUSTV Ай бұрын
Yes tunashukuru kwa hilo
@abeliasajile2535
@abeliasajile2535 3 жыл бұрын
Pole na kazi naomba msaada nimeliona Matango lakini ni machungu shida iko wapi naomba msaada tafadhali
@AGALUSTV
@AGALUSTV 3 жыл бұрын
Pole Nawe bt iyo shida Mara nyingi uwaga ni upungufu wa maji
@husseinfungafunga4475
@husseinfungafunga4475 4 жыл бұрын
Elimu nzuri saan,watanzania tuthubutu tutaweza
@AGALUSTV
@AGALUSTV 4 жыл бұрын
Yes
@mbazimoses9030
@mbazimoses9030 Жыл бұрын
Namba za cmu
@flozzykenya7018
@flozzykenya7018 4 жыл бұрын
Good content
@AGALUSTV
@AGALUSTV 3 жыл бұрын
Thnx
@michaelgershon9077
@michaelgershon9077 3 жыл бұрын
Kazi nzuri, nimeelimika na nimehamasika sasa naenda kulima matangoooooooooo
@AGALUSTV
@AGALUSTV 3 жыл бұрын
Karibu tuwekeze kwenye kilimo ki bihashara
@athumanabdury9093
@athumanabdury9093 6 ай бұрын
Kabisa na mimi naenda kulima matango make maharage na mahindi ni pasua kichwa sana
@athumanabdury9093
@athumanabdury9093 6 ай бұрын
Ila sasa masoko sijui kama tutatoboa na vp kusafirisha kutoa mzigo shambani kuupeleka sokoni naomba ufafanuzi mkuu
@AGALUSTV
@AGALUSTV 6 ай бұрын
Karibu ktk kilimo
@AGALUSTV
@AGALUSTV 6 ай бұрын
Apo ufanye uchunguzi ktk eneo lako je itakuaje
@pulcheriamayombo5222
@pulcheriamayombo5222 2 жыл бұрын
Asante kwa somo zuri naomba majina ya dawa na mbolea
@AGALUSTV
@AGALUSTV 2 жыл бұрын
Ok
@joviangeofrey7212
@joviangeofrey7212 2 жыл бұрын
@@AGALUSTV nililima ila baada ya muda nikawa nakuta wadudu ndani. Dawa gani ya asili iliyo nzuri?
@AGALUSTV
@AGALUSTV 2 жыл бұрын
Apo dawa ni za dukani tu 🙏🤝 zipo za wadudu hupigwa kila wiki , 🤝🙏
@obeymunisi2059
@obeymunisi2059 3 жыл бұрын
safi sana kwa channel nzuri
@AGALUSTV
@AGALUSTV 3 жыл бұрын
🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏
@ashangonyani7989
@ashangonyani7989 3 жыл бұрын
Asante nashukuru kaka
@AGALUSTV
@AGALUSTV 3 жыл бұрын
Pa 1 sana ndugu Barikiwa🙏🙏🙏
@GOBAMUSHROOMTV
@GOBAMUSHROOMTV 5 ай бұрын
Mbolea ya kiwandani mnayotumia ni aina gani
@AGALUSTV
@AGALUSTV 5 ай бұрын
ZA kupandia, kukuzia, na matunda
@Maha-fl9qe
@Maha-fl9qe Жыл бұрын
Ma shaa Allah
@AGALUSTV
@AGALUSTV Жыл бұрын
Barikiwa ndugu
@ramadhankyando3101
@ramadhankyando3101 4 жыл бұрын
Safi sana mkuu
@AGALUSTV
@AGALUSTV 4 жыл бұрын
Asante sana
@linuskagenyi4208
@linuskagenyi4208 2 жыл бұрын
Asant kwa somo lako mimi nataka kulima kama mafundisho ya kweli
@AGALUSTV
@AGALUSTV 2 жыл бұрын
Karibu
@TitoLemoFirelandTv
@TitoLemoFirelandTv 4 жыл бұрын
Nzuri
@AGALUSTV
@AGALUSTV 2 жыл бұрын
Pamoja🙏🤝
@abdallahmgaya7521
@abdallahmgaya7521 Жыл бұрын
Muwe mnataja aina Bora za viuatilifu kwa Kila zao kwa uzoefu wenu
@AGALUSTV
@AGALUSTV Жыл бұрын
Sawa ndugu tunashukuru kwa ushauri 🙏🏿✍️🤝
@ibnushaka2028
@ibnushaka2028 Жыл бұрын
Nice
@AGALUSTV
@AGALUSTV Жыл бұрын
Welcome
@husseinfungafunga4475
@husseinfungafunga4475 4 жыл бұрын
Safi saaaaana
@AGALUSTV
@AGALUSTV 4 жыл бұрын
Thnx
@vicentkamwaya3542
@vicentkamwaya3542 4 жыл бұрын
Safi, Mkuu hujasema tango unaweza kuvuna kwa mda gani mpaka linazeeka
@AGALUSTV
@AGALUSTV 4 жыл бұрын
Tango lililo hudumiwa vizur huchukua adi wiki 6 ndipo mavuno yanaweza Isha shambani
@samweligerediusi1794
@samweligerediusi1794 Жыл бұрын
Mwalimu mi ni mfutiraji sana wa makala zako ila kwa mimi ambae nipo dare es salaam nawezaje kupata shamba la kukodi?
@AGALUSTV
@AGALUSTV Жыл бұрын
Kwa wapi sasa ilo shamba unataka
@mbazimoses9030
@mbazimoses9030 Жыл бұрын
Namba zenu
@AGALUSTV
@AGALUSTV Жыл бұрын
Wasap +255765467484
@lawrenciamkolwe796
@lawrenciamkolwe796 2 жыл бұрын
Naenda kulima Naomba kujua to soko la kuuzia matango
@AGALUSTV
@AGALUSTV 2 жыл бұрын
Masoko hayapo special kwa Ajiri y Matango ila tunatumia masoko YETU aya aya
@lawrenciamkolwe796
@lawrenciamkolwe796 2 жыл бұрын
Sawa nashukuru
@AGALUSTV
@AGALUSTV 2 жыл бұрын
PA 1, sana 🙏
@akilimalimali253
@akilimalimali253 3 жыл бұрын
Asante kwa elimu hii nzuri! Naomba kufahamishwa kwamba kipindi cha kiangazi ni maji kiasi gani yatahitajika kwa mmea mmoja?
@AGALUSTV
@AGALUSTV 3 жыл бұрын
Asante bt kiukweli kiasi cha maji kukwambia kipimo ni ngumu ila ni uzoefu tu uwekaji wa maji utaangalia unyevu nyevu kwenye udogo
@musakiswa5678
@musakiswa5678 Жыл бұрын
Hizi mbegu nazipata wapi?
@AGALUSTV
@AGALUSTV Жыл бұрын
MADUKA ya Kilimo hasa maeneo ya mjini
@maryjescafrida4331
@maryjescafrida4331 4 жыл бұрын
Vipi hatuwez kuanza kwa kusia mbegu kweny kitalu alafu ndo upande shamban ?? Km ndio je kitaluni tango litakaa kwa muda gani....au ni vzr tu kupanda moja kwa moja?
@AGALUSTV
@AGALUSTV 4 жыл бұрын
Inawezekana kwenye ktalu pia ingawa miche ubebaji utakusumbua kwani Miche Ni raini Sana so ni vzur kupanda 1 kw 1 shambani bt kw kitalu mbegu uchukua pia siku 5 adi 7 kuota itategemea na unyevu nyevu uliopo kwn mbegu y tango Ni ngumu kdogo kuota bt na baada y siku 21 baadae itakua tayar kupeleka Shamba hii hutegemea na pia ukuaji wake bt kw ushaur vizur kupanda 1 kw 1 ndugu
@nahyamohamed805
@nahyamohamed805 2 жыл бұрын
Mungu akueke uzidi kutufunza..kaka naomba no yako ya what's up mm niko kenya .
@AGALUSTV
@AGALUSTV 2 жыл бұрын
Amina🙏🙏 +255765467484
@clementinawilliam2366
@clementinawilliam2366 Жыл бұрын
Jamani nitapata niche ya dragon fruits
@AGALUSTV
@AGALUSTV Жыл бұрын
Upo wapi
@tumainyohana6469
@tumainyohana6469 3 жыл бұрын
Mbona aujatoa gharama za uwekezaji then ndio uatafaida boss
@AGALUSTV
@AGALUSTV 3 жыл бұрын
Iyo video iangalie ndugu yote shida umesoma kichwa cha habari tu
@user-wg2zt9cm5v
@user-wg2zt9cm5v 10 ай бұрын
Nitawatafuta nataka kulima matango niko mbezi mwisho
@AGALUSTV
@AGALUSTV 10 ай бұрын
Karibu sana ndugu
@latifamkulazi8378
@latifamkulazi8378 3 жыл бұрын
Naomba kujua ukivuna awamu ya kwanza ndobasi au yanajirudiatena
@AGALUSTV
@AGALUSTV 3 жыл бұрын
Kila wiki utachuma mara 1 au Mara 2 utaendelea kuvuna ndani ya wiki 3 au 4 yatakua yameisha kwani kukomaa hutofautiana so utatoa yaliyokomaa ukisubir wiki ijayo yakomae mengine. Ndani ya mwez basi kama hutumii kilimo cha green house
@latifamkulazi8378
@latifamkulazi8378 3 жыл бұрын
@@AGALUSTV naomba kujua kwa ukubwahuo unawekutumia sh.ngapi ghalama za green house?. Ila Samahani kwa usumbufu.
@YahayaAthumani-vw5ht
@YahayaAthumani-vw5ht 5 ай бұрын
ukulima kwenye kiloba yatakubali
@AGALUSTV
@AGALUSTV 5 ай бұрын
Sawa tu
@YahayaAthumani-vw5ht
@YahayaAthumani-vw5ht 5 ай бұрын
namba zenu
@AGALUSTV
@AGALUSTV 5 ай бұрын
Utapata
@akilimalimali253
@akilimalimali253 3 жыл бұрын
Naomba msaada miche inaweka maua matunda yakianza tu yakiwa bado madogo yananyauka hayarndelei kukua msaada please
@AGALUSTV
@AGALUSTV 3 жыл бұрын
Vp uliweka mbolea ya matunda??? Na unauhakika imefanya kaz vzur? Maana kama kuna mvua nyingi mbolea hupotea kiurahisi
@akilimalimali253
@akilimalimali253 3 жыл бұрын
@@AGALUSTV niliweka CAN na mvua ni chache sana
@AGALUSTV
@AGALUSTV 3 жыл бұрын
Apo inabidi uchek mbolea ya maji ya kuzuia maua nenda duka la Pembe jeo waambie naitaji mbolea ya maji ya kuzuia maua. Ninachokiona apo ni mbolea haija yeyuka vzuri lakini pia kama miche bado midogo maua ya mwanzo uwa yanakanyauka ivyo ivyo. Yatakuja maua mazur. So pia waweza mwagia maji kuyeyusha mbolea ya CAN
@akilimalimali253
@akilimalimali253 3 жыл бұрын
@@AGALUSTV OK asante
@AGALUSTV
@AGALUSTV 3 жыл бұрын
Pa1
@rashidiruheba186
@rashidiruheba186 2 жыл бұрын
Sina hesabu ya maji au unalima kipindi Cha masika
@AGALUSTV
@AGALUSTV 2 жыл бұрын
Ooooh ongeza apo ndugu kwenye hesabu zako🤝
@catherinemlaponi7832
@catherinemlaponi7832 2 жыл бұрын
Hili zao linapandwa maeneo gani zaidi na linastawi maeneo ya hali zipi zaidi?, vipi linahitaji maji mengi au? Wakati wa msimu wa mvua unaweza kulima??
@AGALUSTV
@AGALUSTV 2 жыл бұрын
Maeneo yenye joto ndyo yanakubali zaidi. Kipindi cha mvua si rafik sana
@catherinemlaponi7832
@catherinemlaponi7832 2 жыл бұрын
Ahsante sana
@AGALUSTV
@AGALUSTV 2 жыл бұрын
Barikiwa🙌🤝
@eliusmwayinga2014
@eliusmwayinga2014 Жыл бұрын
Njole
@AGALUSTV
@AGALUSTV Жыл бұрын
🤝
@gracebenjaminnapokeakatika9565
@gracebenjaminnapokeakatika9565 2 жыл бұрын
Je wakati gani naweza kulima matango hayo kipind cha mvua au kiangaz?
@AGALUSTV
@AGALUSTV 2 жыл бұрын
Kiangaz ndyo Yana soko zuri
@leo-de3mz
@leo-de3mz 3 жыл бұрын
Mbegu zipi za hybrid ni bora
@AGALUSTV
@AGALUSTV 3 жыл бұрын
Karibu zote hybrid hazina shida iniladi tu kampuni isichakachue
@julianaboniphace7351
@julianaboniphace7351 8 ай бұрын
0 L
@AGALUSTV
@AGALUSTV 8 ай бұрын
Unamaana
@thomasmsalilwa569
@thomasmsalilwa569 3 жыл бұрын
Nimebarikiwa na elimu yako..... Vipi kuhusu Hali ya hewa inayofaa zaidi ni ipi??
@AGALUSTV
@AGALUSTV 3 жыл бұрын
Amina kwa kubarikiwa ndugu ila kwa ujumla kilimo cha bustani kina kubali hali ya hewa yeyote ile na matango ni miongoni mwa mazao ya bustani wewe ni kucheza na maji na madawa tu
@frankoctavian7410
@frankoctavian7410 3 жыл бұрын
Kipindi kizuri sana, naomba number zenu tuwasiliane please
@AGALUSTV
@AGALUSTV 3 жыл бұрын
🙏🙏🙏🙏
@mkumbokitundu8536
@mkumbokitundu8536 3 жыл бұрын
Napenda muwe mnaja na wasiano yenu
@AGALUSTV
@AGALUSTV 3 жыл бұрын
Ok tutalifanyia kaz. ASANTE KWA KUFUATILIA CHANNEL YETU
@sporalyatuu3542
@sporalyatuu3542 2 жыл бұрын
Mimi niko Dar nikitaka usimamizi wenu nitapata na ninikiasi gani. Darasa hili linavutua sana mbarikiwe
@AGALUSTV
@AGALUSTV 2 жыл бұрын
Usimamazi inawezekana japo kwa kua maribu na kufuata maelekezo. Kwa maelekezo zaidi tuwasiliane wasap. +255765467484
@rogersmadeni4815
@rogersmadeni4815 Жыл бұрын
Natamani nianze Sasa hivi
@AGALUSTV
@AGALUSTV Жыл бұрын
Karibu sana ndugu
@salimmpemba1370
@salimmpemba1370 2 жыл бұрын
kilimo kinalipa lakini mbona hamjatuma namba ya mtaalamu
@AGALUSTV
@AGALUSTV 2 жыл бұрын
Hakika kilimo ni biashara🙏
@kashindekalungwana8588
@kashindekalungwana8588 Жыл бұрын
Vitabu namba za simu
@AGALUSTV
@AGALUSTV Жыл бұрын
OK ucjali vinakuja ndugu
@lawrenciamkolwe796
@lawrenciamkolwe796 2 жыл бұрын
Mbegu natoa wapi jamani
@AGALUSTV
@AGALUSTV 2 жыл бұрын
Upo wp
@annacredakavusha1521
@annacredakavusha1521 3 жыл бұрын
Namba ya cm naomba
@AGALUSTV
@AGALUSTV 3 жыл бұрын
0786097274
@zully756
@zully756 2 жыл бұрын
Naomba contact zenu
@AGALUSTV
@AGALUSTV 2 жыл бұрын
Zipo apa👇 kzfaq.info/get/bejne/gJ9-gM5l0Mq2Z40.html
@mosespeter9742
@mosespeter9742 3 жыл бұрын
Je ni wakati gani wa kupiga dawa ya wadudu,na kupiga mbolea ya matunda na hiyo busta unaipiga mche wa tango ukiwa na siku ngapi
@AGALUSTV
@AGALUSTV 3 жыл бұрын
Wadudu ni kukagua majani kama yataanza kuliwa hasa kuanzia jani la 2, busta hutegemea idadi ya majani ukubwa pia mara nyingi ndani ya wiki 3, hadi 4
@robingozbert3838
@robingozbert3838 3 жыл бұрын
Nahitaji kulima mtanisamami
@AGALUSTV
@AGALUSTV 3 жыл бұрын
Karibu Ila samahani ilo neno la mwisho sijalielewa vizuri umeandika mtanisamami
@latifamkulazi8378
@latifamkulazi8378 3 жыл бұрын
@@AGALUSTV yaan kumfatilia anapohitaji msaada wa shambani
@ndiyumviyekejo390
@ndiyumviyekejo390 3 жыл бұрын
Nimevutiwa naomba naomba yako
@AGALUSTV
@AGALUSTV 3 жыл бұрын
Poa, 🙏🙏
@florakibona8042
@florakibona8042 3 жыл бұрын
Kaka samahan naweza pata namba yako
@AGALUSTV
@AGALUSTV 3 жыл бұрын
Ucjali
@telflondon2041
@telflondon2041 3 жыл бұрын
Nahitaji kulima vp unaweza kutupatia msada wa shamba
@AGALUSTV
@AGALUSTV 3 жыл бұрын
Karibu
@elizabethchogo4664
@elizabethchogo4664 2 жыл бұрын
wapi utauza
@AGALUSTV
@AGALUSTV 2 жыл бұрын
Wewe upo wapi
@AGALUSTV
@AGALUSTV 2 жыл бұрын
Wewe upo wapi
@conselamwageni8551
@conselamwageni8551 3 жыл бұрын
Vipi kipindi cha mvua unaweza lima kama hauna greenhouse
@AGALUSTV
@AGALUSTV 3 жыл бұрын
Yes 👍 unaweza ila maandalizi ya shamba lako ndyo cha msingi weka mifereji na panda juu y vituta pia hakikisha tunda haligusi chini Kuna somo hili la upandaji wa matango imefafanua vzuri kzfaq.info/get/bejne/id2EdKp3vtrTg2w.html
@pauloyame5882
@pauloyame5882 2 жыл бұрын
Matango yangu matunda yanakufa
@pauloyame5882
@pauloyame5882 2 жыл бұрын
Naomba ushauri
@AGALUSTV
@AGALUSTV 2 жыл бұрын
Mbolea ya matunda kw wingi
@AGALUSTV
@AGALUSTV 2 жыл бұрын
Mbolea y matunda apo
@pauloyame5882
@pauloyame5882 2 жыл бұрын
Nitumie mbolea ngani
@AGALUSTV
@AGALUSTV 2 жыл бұрын
Apo Mchek Muuda Duka la pembejeo akupe mbolea ya maji ya kulinda matunda ambayo I naweza Tumika ktk eneo lako🙏🏿🤝
@neyhassanimsulwa4993
@neyhassanimsulwa4993 3 жыл бұрын
Tunaomba utupatie contact zako tafadhali
@AGALUSTV
@AGALUSTV 3 жыл бұрын
Ata umu ndugu unaweza uliza chochote nikakusaidia ndugu yangu. Kwani muda wowote wewe comment tu ntakusaidia tu usijali
@AGALUSTV
@AGALUSTV 3 жыл бұрын
Swali lolote wewe uliza tu
@AGALUSTV
@AGALUSTV 3 жыл бұрын
Swali lolote wewe uliza tu. Kuhusu SoMo husika
@eliphalseverin5071
@eliphalseverin5071 3 жыл бұрын
@@AGALUSTV vipi kuhusu soko lake lipoj ntaka nilime nitapata wap soko
@AGALUSTV
@AGALUSTV 3 жыл бұрын
Soko itategemea na msimu utakaolima ila soko ni wewe utakavyojitangaza na kufuata wanunuzi
@mwanaidijuma4114
@mwanaidijuma4114 3 жыл бұрын
Kati ya mbolea na dawa unaanza kuweka nini
@AGALUSTV
@AGALUSTV 3 жыл бұрын
Samahani swali lako halija eleweka vzuri mbolea katika hatua gani na mbolea aina gani y kukuzia kupandia au na dawa unazungumzia ipi ya kuua wadudu au tunaomba uliweke sawa kdogo swali ndugu
@mwanaidijuma4114
@mwanaidijuma4114 3 жыл бұрын
@@AGALUSTV mbolea ya kukuzia na dawa ya kuulia wadudu unaanza kuweka nini kati ya hivo
@AGALUSTV
@AGALUSTV 3 жыл бұрын
Ok bt mbolea ya kukuzia uwa Ni mapema Sana Tena Ni vzur ukapiga y maji yaan mche unapoanza kutengeneza kamba tu mbolea ianze kupigwa au kuwekwa pale chini ukichanganya na ya matunda pia Kama hakuna unyevu nyevu hakikisha unamwagia maji kulainisha mbolea ya y matunda pale chini na y kuku Zia endapo y kukuzia umetumia y chumvi chumvi Sumu ya wadudu hutegemea na Hali ya mche wako kama hauja Anza kushambuliwa si lazima Sana unaweza acha Ila ikifika stage ya kutaka kutoa maua Apo jitaidi kupiga sumu hasa ya kantangaze yule mdudu anaekaa katika ua ndani na ua linapojifunga uwa anafungwa kwa ndani so tunda likitengenezwa utakuta tango Lina kidonda . Tango lenye kidonda halifai sokoni Nazani tumejibu swali ndugu Ila tunashukuru Sana kwa ushirikiano wako
@mwanaidijuma4114
@mwanaidijuma4114 3 жыл бұрын
Asante kwa kunielewesha
@AGALUSTV
@AGALUSTV 3 жыл бұрын
Karibu tena ndugu pia nakushukuru kwa ushirikiano wako ktk channel yetu
@zabronemmanuel-eo1om
@zabronemmanuel-eo1om 2 ай бұрын
Huna group la whatsapp
@AGALUSTV
@AGALUSTV 2 ай бұрын
Hakuna group kwa SASA.ila soon litakua tayari
@akilimalimali253
@akilimalimali253 3 жыл бұрын
Tango kunyauka sehemu za karibu na ncha au eneo la karibu na kikonyo husababishwa na nn?
@AGALUSTV
@AGALUSTV 3 жыл бұрын
Apo kwenye ncha cjaelewa ncha jani au
@akilimalimali253
@akilimalimali253 3 жыл бұрын
@@AGALUSTV sehemu ya juu kuelekea kikonyo tango linakuwa Galina mwonekano mzuri hilo eneo linakuwa limenyauka. Lakini pia mbolea ya can huwekwa kila baada ya muda gani
@samirhumud7408
@samirhumud7408 Ай бұрын
​@@akilimalimali253weka kila baada wiki 1 mpka ukuwe vizur
MAZAO 3 YENYE MUDA MFUPI ADI KUVUNWA
9:25
AGALUS TV
Рет қаралды 36 М.
Smart Sigma Kid #funny #sigma #comedy
00:25
CRAZY GREAPA
Рет қаралды 17 МЛН
버블티로 체감되는 요즘 물가
00:16
진영민yeongmin
Рет қаралды 114 МЛН
UPANDAJI WA MATANGO: HATUA ZOTE
10:07
AGALUS TV
Рет қаралды 16 М.
Mwone Mizengo Pinda akipambana shambani kutafuta pesa
4:09
JINSI YA KUHUDUMIA MICHE YA MATANGO
5:37
AGALUS TV
Рет қаралды 8 М.
Is biologische voeding gezonder?
39:00
Zembla
Рет қаралды 762 М.
KILIMO CHA NYANYA KWA MTAJI KIDOGO -KANUNI MUHIMU NA BAJETI (PART 2)
22:44
AJE -FARMS ; MASHAMBA YANAYOTEMBEA
Рет қаралды 2,6 М.
JINSI YA KUPANDA TANGAWIZI HATUA KWA HATUA
8:17
AGALUS TV
Рет қаралды 17 М.
Smart Sigma Kid #funny #sigma #comedy
00:25
CRAZY GREAPA
Рет қаралды 17 МЛН