PATA MAKAZI BORA NA YA KISASA KIGAMBONI DAR ES SALAAM

  Рет қаралды 24,742

Shirika la Nyumba la Taifa

Shirika la Nyumba la Taifa

6 жыл бұрын

Kwa makazi bora na ya kisasa yaliyopangiliwa vyema Shirika la Nyumba la Taifa sasa limekamilisha ujenzi wa makazi hayo na sasa waliowahi wameshahamia na bado kuna fursa chache ndani ya makazi hayo yaliypo eneo la Mwongozo, Kigamboni jijini Dar es Salaam.

Пікірлер: 42
@makongorowassira6593
@makongorowassira6593 4 жыл бұрын
Ndani mnakosea kujenga kana kwamba wanunuzi wote wanafanana, jaribuni kujenga kwa style tofauti na kuweka kama samples na kuruhusu wateja kuja kuangalia samples na hapo ndo mnachukua maoni ya aina gani za nyumba mjenge. Sio mnajenga nyumba nyingiiii ambazo ni mawazo ya mtu mmoja tu (mchoraji). Hizo nyumba watanunua watu amabao hawajaona nyumba sehemu zingine. Build more contemporary styles zenye muonekano wa kuvutia kwa kutumia vifaa hivyo hivyo mlivyotumia. Vyoo pia viwe vikubwa na kuwe na closets sio lazima mtu kununua mikabati kujaza vyumbani na jikoni. Kuna michoro ya bure online kwanini msiangalie na kujiongeza kidogo. Hizo nyumba hazina tofauti na zile za zamani za polisi kota na National housing za mikoani na Magomeni.
@kilimanjaroflavour
@kilimanjaroflavour 3 жыл бұрын
Yaani umeseka kila kitu nilichokua na waza sana. Tatizo la watanzania hawako exposed kabisa. Wangetoka hata nje ya nchi kuchukua ideas kwa nchi jirani.
@sashoright8213
@sashoright8213 2 жыл бұрын
Umenisuuzaa Mana kila ulixhosema ndo nakiwaza iv kwann wasiulze au kuomba ushaur Jamani Aya mitandaon awaon wamezipanga vizur lkn ndani majanga matupu Yan apo jikon loh majanga Amna makabati wanakaa chin au ndo bas na hiyo master mbona Haina choo jamn au master kwakua Ina pembe
@birianination7097
@birianination7097 2 жыл бұрын
Hivi inasaidia kujenga kwa garama nafuu hivyo kusaidia watanzania walio wengi kuweza kumiliki nyumba kwa bei nafuu.
@neemayatosha1618
@neemayatosha1618 11 ай бұрын
Utafikiri vikota vya polisi au magereza. Kwakweli nunueni tu,kha!
@jafetiwilson8092
@jafetiwilson8092 2 жыл бұрын
Kazi nzuri sana,,nimezipenda nyumba zenu
@ShirikalaNyumbalaTaifa
@ShirikalaNyumbalaTaifa 2 жыл бұрын
Karibu saana
@vibestudio4707
@vibestudio4707 4 жыл бұрын
BG up NHC
@jacksommndellah7794
@jacksommndellah7794 4 жыл бұрын
Barabara zarami sasa kwenye iyo mitaa au muanze kujenga barabara zamitaaa kwanza alafu nyumba itapendeza sana
@user-ng6yt2od7l
@user-ng6yt2od7l 3 жыл бұрын
Nzuri maana ata hiyo sina
@rashidbusanya7166
@rashidbusanya7166 4 жыл бұрын
07/11/2019 Leo nauliza hizo nyumba bado zinapatikana? Pia naomba bei yake
@mariamwakabuta1034
@mariamwakabuta1034 3 жыл бұрын
Hizo kota
@marianakapeller4699
@marianakapeller4699 2 жыл бұрын
Magufuli oyeee
@bibimzee7880
@bibimzee7880 4 жыл бұрын
Jee mtu wa kigeni mnasuhusu kuja kununua mnaruhusu
@shomarymussa6970
@shomarymussa6970 5 жыл бұрын
Nawapongeza sana mnaboresha mazingira ila mnachafua kwaiyo miwaya ya umeme kukatiza juu kilamahali kama tupo gugulethu South Africa
@ShirikalaNyumbalaTaifa
@ShirikalaNyumbalaTaifa 5 жыл бұрын
Ahsante kwa maoni yako tunayafanyia kazi.
@MWALIMUMBUNIFU89
@MWALIMUMBUNIFU89 4 жыл бұрын
VYOO VYA KUKAA SIO DEAL, BADILISHENI MIFUMO YA VYOO
@horizongroup-tanzania6363
@horizongroup-tanzania6363 2 жыл бұрын
Akili hewa kabisa! Eneo ni zuri sana lkn nyumba bure kabisa
@ladylady8440
@ladylady8440 4 жыл бұрын
Bei
@marionntomola1686
@marionntomola1686 2 жыл бұрын
mh!
@sumatanjunior231
@sumatanjunior231 4 жыл бұрын
Mbona landscaping/ bustani hazijatunzwa? Na ni nani yupo responsible kutunza bustani na mandhari? Au nyasi zikishaota ndiyo chaka.
@antoinekatembo8520
@antoinekatembo8520 4 жыл бұрын
Eeh Joseph Haule nikajua ni yule Pfofesa wa hip hop kumbe...!
@margaretmkangala7774
@margaretmkangala7774 5 жыл бұрын
Hii ni 2019 bado zipo?
@yaimuganyizi1026
@yaimuganyizi1026 4 жыл бұрын
Natamani mngekuwa mnauza tu viwanja maana hizi nyumba design bado ni changamoto sana, ni za kizamani mno hadi zinakatisha tamaa kwakweli. Pia zipo karibu mno, au inawezekana mtu kujijengea uzio wake? Location nzuri sana, hapo ndo mlipatia.
@makongorowassira6593
@makongorowassira6593 Жыл бұрын
Hawa watu wavivu sana kufikiria, wanawaza kupiga tu. Nyumba zao labda ninunue then nibomoe😂
@margarethpolepole7438
@margarethpolepole7438 3 жыл бұрын
Nyumba nyingi za nhc zinaibwa sana vifaa ukiingia au kununua ndani ya miaka 3 tu kila kitu kimeharibika tunataka garantee miaka mingapi kabla haijaharibika
@makongorowassira6593
@makongorowassira6593 4 жыл бұрын
Jengeni nyumba zenye mvuto wa kisasa sio kama Nyumba za zamani. Hakuna mvuto kabisa hapo, sijui wahandisi wetu wanakosea wapi
@rahimaaaaa8699
@rahimaaaaa8699 4 жыл бұрын
mbona Hii mijengon imerudi ZAMANI. msambusa hauna dili fatilia nyumva za ulaya na Philippines
@rehemaradhid5716
@rehemaradhid5716 4 жыл бұрын
Nzuri bei gani
@rehemaradhid5716
@rehemaradhid5716 4 жыл бұрын
Zinauzwa bei gani
@sashoright8213
@sashoright8213 2 жыл бұрын
Nyaya za umeme zingepotishwa chin kuepusha kizogo #NSSF
@omarikessy2339
@omarikessy2339 6 жыл бұрын
Bei gani?
@kilimanjaroflavour
@kilimanjaroflavour 3 жыл бұрын
Yaani hilo jiko mungu wangu! Ni nani ali design hizo nyumba🤦‍♀️🤦‍♀️🤦‍♀️
@margarethpolepole7438
@margarethpolepole7438 3 жыл бұрын
Nyumba zenu haziendani na ramani au miundo ya nyumba za kisasa ramani zenu ni za kizamani nendeni na wakati
@eddietaz710
@eddietaz710 3 жыл бұрын
national housing wanatakiwa kutafuta mtu awafundishe kupaka Rangi,
@hanifawaliya7976
@hanifawaliya7976 5 жыл бұрын
Hapo si kama unaishi kambini tu. Ndo mambo ya kuvizia wake na watoto wa watu hapo
@daliamtanganaki6687
@daliamtanganaki6687 4 жыл бұрын
Hahahahaa hanifa kweli kabisa kama ulikuwepo, hapo ni vishawishi vya kutosha
@rukiabaybe8594
@rukiabaybe8594 4 жыл бұрын
Hata oman kunahali nyumba zimefanan zote nyeupeee wengine wamenunua na wengine wanarent
@sweetyjanne255
@sweetyjanne255 3 жыл бұрын
Shida Vijumba Vyenu Mnajengaga Vyumba Vidogoo Yaani Hizi Zinafaa Kwa Mabachelor Ila Sio Mtu Mwenye Familia Kwani Mkijenga Nyumba Nzuri Zenye Vyumba Vya ukubwa Mzuri na Vyoo Mkaweka Vya Maana kutakuwa Na Shida Gani
@TM.Sullusi
@TM.Sullusi 3 жыл бұрын
Huwez ku sustain haja ya kila mtu, ndo maana mtu hajazuiwa kujenga ya kwake kwenye kiwanja chake.
@upendolema3323
@upendolema3323 Жыл бұрын
@@TM.Sullusi umejibu vema👏
That's how money comes into our family
00:14
Mamasoboliha
Рет қаралды 11 МЛН
100❤️
00:19
MY💝No War🤝
Рет қаралды 21 МЛН
Wawekezaji wa Ndani Wanavyochangamkia Fursa Morocco Square..!!
32:51
Shirika la Nyumba la Taifa
Рет қаралды 1,8 М.
711@KAWE
1:02
Taste of Luxury
Рет қаралды 30 М.
MABASI YA MWENDOKASI KUJA KIVINGINE
ITV Tanzania
Рет қаралды 25
DODOMA: JENGO LA MAKAO MAKUU YA TMDA
0:52
Taste of Luxury
Рет қаралды 1,8 М.
That's how money comes into our family
00:14
Mamasoboliha
Рет қаралды 11 МЛН