Рет қаралды 24,742
Kwa makazi bora na ya kisasa yaliyopangiliwa vyema Shirika la Nyumba la Taifa sasa limekamilisha ujenzi wa makazi hayo na sasa waliowahi wameshahamia na bado kuna fursa chache ndani ya makazi hayo yaliypo eneo la Mwongozo, Kigamboni jijini Dar es Salaam.