PCK na Elly anayedai kuwalipa Mbosso na Ray Vanny Toronto na kupoteza show wararuana mtandaoni

  Рет қаралды 21,382

Simulizi Na Sauti

Simulizi Na Sauti

27 күн бұрын

Tembelea sns.co.tz/ kwa taarifa zaidi

Пікірлер: 165
@kaditokenya6873
@kaditokenya6873 26 күн бұрын
Kikubwa kuelewana wanetu tusukume gurudum la mziki wetu sote tunapambania kombe la mafanikio ❤
@mahmoudmihanjamu669
@mahmoudmihanjamu669 26 күн бұрын
Waswahili nongwa mpaka ugenini😂😂😂
@verbalverbal2019
@verbalverbal2019 25 күн бұрын
Habari zako na Mbosso sisi hatuzijui, unatukera na vidharaudharau vyako, mara useme sisi huku bongo ndio tunapapatikia mastar huko ulaya hampapatikii wasanii, haya leo unasema watu wanavi-bundle vya mia tano, yaani unaonekana una ulimbukeni fulani hivi, kama hutaki backlash usituhadithie shida zako kwenye mitandao especially kama huwezi kuwa respectful unavyojielezea, watafute wenyewe directly
@user-vq2cb7fn8f
@user-vq2cb7fn8f 25 күн бұрын
Mbona naskia we mwenyewe tapeli wa kimataifa jamani hee dunia si mama
@user-en6kf2db6f
@user-en6kf2db6f 25 күн бұрын
SNS sindio wanayakuza mbwa Hawa nahuyo kijana wa TikTok
@vt-kn6qf
@vt-kn6qf 25 күн бұрын
the conflict of interest, ila acheni kuitana waburundi wala watanzania kwa sababu waburundi, na wacongomani ndo wanajaza tamasha zenu nyinyi wa promotor , ukizingatia watazania ni wachache mno acheni kungobana please from North Dakota 🇺🇸
@zitongwang6278
@zitongwang6278 25 күн бұрын
Bro wew NI muongo pck nadhani yupo sahihi Kwa kuwa wew ulianza kuwaatack mbosso na rayvany MITANDAONI , na kama ulijua kabisa umemlipa pck basi ungeanzana naye na sio wasanii .😁🇹🇿
@gypsummzuri_tz
@gypsummzuri_tz 26 күн бұрын
SASA KWANINI UMLIPE PCK NA SIYO MENEJA WA MBOSSO AU RAYVANNY???
@Vivannykizzy
@Vivannykizzy 26 күн бұрын
Yy ndo amewaita kule na anaewalipia kila kitu so lazma alipwe yy
@SadaDamas-jh2gt
@SadaDamas-jh2gt 25 күн бұрын
Mueleweshe vixr maana haelewi kinachozungumzwa na wahusika
@SadaDamas-jh2gt
@SadaDamas-jh2gt 25 күн бұрын
kiukweli hapo PCK ni tapeli
@Gody360
@Gody360 25 күн бұрын
Kazi ipo apo waongo waotee
@user-eb3hf1lm9e
@user-eb3hf1lm9e 19 күн бұрын
Yeye ndo alikuwa amewapeleka huko hivyo Elly alipaswa kumlipa
@FredrickMatiku-xf2uk
@FredrickMatiku-xf2uk 25 күн бұрын
Mziiiki wetu una safari ndefu sana kama mapromota tu wanagombana
@caesar7745
@caesar7745 25 күн бұрын
Mkataba uko wapi unaonyesha ulilipa pesa
@hashimuuhehwa4252
@hashimuuhehwa4252 25 күн бұрын
Kwa watu wanaoshirikiana biashara hiyo sio hoja labda kama biashara ya kitapeli sawa,
@mrfashion1687
@mrfashion1687 25 күн бұрын
Elly David yupo sahihi, ila watu wachahce wamemtapeli
@jumamuhamed8636
@jumamuhamed8636 25 күн бұрын
Yupo sahihi na nn unatetea ujinga uyo Elly ni tapeli mkubwa
@Gamba81
@Gamba81 25 күн бұрын
Wote ndiyo walewale 🇿🇦
@HalimaKassim-yz3we
@HalimaKassim-yz3we 25 күн бұрын
Umeonae mbona hata yy anaongeaga bongo
@worldhappiness1181
@worldhappiness1181 25 күн бұрын
Wabongo as always, they need to be serious ofcause
@__B.O.B
@__B.O.B 25 күн бұрын
Le Professori Elly David Katalama
@jumamuhamed8636
@jumamuhamed8636 25 күн бұрын
Tapel tu uyo mbwa
@paulhema5713
@paulhema5713 25 күн бұрын
Sasa wewe Elly si ungeongea na hao psk na sio kuwachafua wasanii wa Tanzania...
@hashimuuhehwa4252
@hashimuuhehwa4252 25 күн бұрын
Yeye anahaki ya kulalamika biashara ni kushirikiana anaeshirikiana nae ndie aliyetengeneza mazingira magumu kwa mwenzie
@homeandaway2811
@homeandaway2811 25 күн бұрын
ELLY we mwenyewe unatia aibu, unaongea too much umeshindwa kutumia akili kuwa huwezi mpa PCK pesa bila kuwasiliana na wasanii au mameneja wao, huo ni ujinga. Kwenye shughuli yako walikuja kuenjoy kama wengine. Mambo ya mademu wake sijui mkewe yametokea wapi wewe mdomo mrefu mno Elly. Umetapeliwa kwa ujinga wako punguza mdomo mwanaume wewe ujue.
@MS.independent8934
@MS.independent8934 25 күн бұрын
Mchukulie hatuwa uyo jambanzi Koko ana wachafua watu bure Kwa ujinga wake na njaa zake
@user-et8lc7tb3p
@user-et8lc7tb3p 25 күн бұрын
Is true
@officialaftab8760
@officialaftab8760 20 күн бұрын
Eeh Bwana Noma Bro .Izzatkhan Canada
@ndikumasabodiegovevo9091
@ndikumasabodiegovevo9091 24 күн бұрын
Ismail niyonkuru njo umuskie pck Tena kapiga mtuu😂😂😂😂
@TTT80533
@TTT80533 10 күн бұрын
Ni Sisi ameruibia Pesa Mingi İcyo ni Ki Devil 😈 na kuji explain na Uongo Ukimwona anasema Unazani ni mtu mzima Shetan PCK
@missamirajiiddy7077
@missamirajiiddy7077 26 күн бұрын
Wewe muongo na una penda sifa sana
@danieldaudi1631
@danieldaudi1631 25 күн бұрын
Wewe ni koloboi kweli walio kuwepo wanatoa taalifa pipi wewe unakulupuka tu
@kwisa4899
@kwisa4899 25 күн бұрын
kwani kasema yeye ndio kalipa mbona akusema yeye kalipa wewe nawe mwongo mwongo tu
@ZiyandaMhlana
@ZiyandaMhlana 26 күн бұрын
Iknw you do nice
@sonnyr1899
@sonnyr1899 25 күн бұрын
Huyu si ndio ule yule alinanili na Wema kipindi kile hadi ikaleta tafran?
@mylasadick5189
@mylasadick5189 25 күн бұрын
Nani PCK au ?
@TTT80533
@TTT80533 25 күн бұрын
Uyo uyo Mwizi devil 😈 PCK
@homeandaway2811
@homeandaway2811 25 күн бұрын
Wewe Elly kama mlilipana na PCK ungepambana nayeye , umekosea kuwachamba hao wasanii hawahusiki na mambo yenu. Uliwasiliana na hao wasanii moja kwa moja? Usiwalaumu, pambana na PCK.
@rosemahenge9071
@rosemahenge9071 25 күн бұрын
Kapumbavu haka kajamaa ndiyo mana hatutaki kukaamini
@Markhomestz
@Markhomestz 23 күн бұрын
Sure kabisa
@user-ui5zo9re8b
@user-ui5zo9re8b 25 күн бұрын
Wasaniwako pole sana pisic
@youngtuso3048
@youngtuso3048 23 күн бұрын
Huyu jamaa Elly anapoint ukimsikiliza Kwa umakini
@asajilepaulmwikombe458
@asajilepaulmwikombe458 25 күн бұрын
PCK ni promoter mkubwa kitambo anandaa show nchi mbali mbali tunamjua kuja kwenye show hiyo sio sababu si ukumbi wa starehe bwana unampakazia tuuu wewe ndio kamba kaka wadanganye wasio mjua PCK maelezo yako hayaja jitosheleza kabisa
@dublea4118
@dublea4118 25 күн бұрын
Ndio tumekubali but usisahau kwamba PCK ni tapeli na muongo
@Official83640
@Official83640 24 күн бұрын
SASA KM MUANDAA SHOW NDY ACHUKUE PESA NA KUSEMA ANAWAPELEKA PALE KWENYE SHOW KUMBE HAJAWAAMBIA KINA MBOSO ACHENI KUMTETEA TAPELI HUYO NA NDY MAANA KILA NCHI HAKAI KWA UTAPELI HALAFU SIJDA KUBWA SIJUI ANASWALI NN
@TTT80533
@TTT80533 10 күн бұрын
@asajilepaulmwikombe, umelipwa na Ule Shetan mkubwa eti ni PCK wakuibia Wa Maskini Mwizi Mkubwa Shatan mwenye hana Huruma yeyote
@elijahbaraka9470
@elijahbaraka9470 25 күн бұрын
Wee elly umekaa miaka mingapi Canada adiulete mtu toronto
@hashimuuhehwa4252
@hashimuuhehwa4252 25 күн бұрын
Acha ushabiki wa kitoto jamaa ana hoja ya msingi na ipo wazi kabisa tatizo uelewa wako tu, Harafu hoja yake mbona ipo wazi kabisa na inaeleweka sasa wewe unakwama wapi
@jumamuhamed8636
@jumamuhamed8636 25 күн бұрын
​@@hashimuuhehwa4252hoja gan uyo Elly tapel tu uyo ww unamjua vizur uyo??
@shukranikayange2275
@shukranikayange2275 19 күн бұрын
Nataka kwenda Toronto
@dennisevarist
@dennisevarist 16 күн бұрын
Haya wenye daddy yao sijui pastor wao waje wamuone huku, nilimpiga mawe kule fb wakasema namuattack baba yao wa kiroho 😂😂, mchungaji gani huyu anahangaika na mambo ya dunia. Ameona uchungaji haujamlipa kageukia mambo ya masela, kuokoka kwa style hii ni noma.
@darlenedada651
@darlenedada651 25 күн бұрын
Bora wewe umesemaPCK
@HassanMussa-vk3tj
@HassanMussa-vk3tj 25 күн бұрын
Pck mwizi kawaibia wasani
@sarastephano3409
@sarastephano3409 19 күн бұрын
Huyo pck anahistoria ya utapeli na wizi kitambo mkumbuke alivyomtapeli wema
@gilbertmwakalebela2862
@gilbertmwakalebela2862 25 күн бұрын
Sasa ww Elly kumbe ulimlipa PCK af unakuja na shutoma kwa wasanii kua umewalipa, si umdai Pck kwanini ulikuja kuwasema wasanii kua umewalipa wakati umemlipa promota. Waombe radhi wasanii wetu
@johnmichaellukindo21
@johnmichaellukindo21 25 күн бұрын
Pck kachukua pesa dola 4000 ya appearance lakini mbosso x Ray hawajui!
@mohdmohd8428
@mohdmohd8428 25 күн бұрын
Fact
@kshayofurniture2941
@kshayofurniture2941 25 күн бұрын
Huyo pck ni promoter sio kiongozi wa mbosso au meneja rayvany
@user-lk9rh5xp4u
@user-lk9rh5xp4u 25 күн бұрын
Wabongo bana kutwa vijembe tutakua lini jaman haaa
@user-gc5wi8qq5l
@user-gc5wi8qq5l 25 күн бұрын
Hiv huyu elldavid anamjua phyno kwel ellydavd ana Nguvu gan ya ela kumleta msanii tajiri tena wa nigeria unapo mzungumzia phyno ni kam unamzungumzia olamide kwel ellydavid anazngua
@josephdionizy2868
@josephdionizy2868 25 күн бұрын
Yaaan kumbe amemaanisha pyino mnyama
@dicksonbrown862
@dicksonbrown862 22 күн бұрын
😂
@tradamus4158
@tradamus4158 22 күн бұрын
Hata huyo jamaa anaongea uongo saabu mbosso mimi ndio nimemleta huku Canada 🇨🇦 😂
@Gody360
@Gody360 25 күн бұрын
Ni vitaaaa😂😂😂😂😂😂
@saidmanjuti7441
@saidmanjuti7441 23 күн бұрын
mwangalien vizuri huyu elly david sio proffesional kabisa pesa umemmpa pck unaenda kuwatukana kina rayvany na mbosoo kabla ya kutoka nje kuanza kusema umetapeliwa unge kaa chini uangalie ulie mpa pesa ni nan uchukue ata hatua ya kuongea na ma meneja wao kabla ya kutoa hizo pesa na kama pck amekutapeli ni hallai yako kabisa kwasbabu wew sio proffesional
@AfroMedic
@AfroMedic 12 күн бұрын
Huu ni umaskini 😂😂 mnaleta uswahili nchi za Watu 😂Hii ni comedy 🎭 simulizi za sauti 😂
@elijahbaraka9470
@elijahbaraka9470 25 күн бұрын
Elly wee leo unajitetea kuitwa maskini wakati wee kila mara una dharau maskini. Na unavyo nyonga mdomo sasa
@riosingingandmore8224
@riosingingandmore8224 25 күн бұрын
Elly anadharau sana watu kuingilia ya sio muhusu
@jacktonmakau3397
@jacktonmakau3397 25 күн бұрын
Pck ni mwizi Tu wakawaida.
@salma_6j975
@salma_6j975 25 күн бұрын
Yule mtoto tapeli sana...mpk ticktock ndio kazi yake kuchafua watu na kutapeli...muongo muongo sana yule ellydevid
@KhadijaDija-ir2hq
@KhadijaDija-ir2hq 25 күн бұрын
Kwani uyu pck si ndo yule wa wema😂😂😂
@sophiekindem9071
@sophiekindem9071 25 күн бұрын
Duuuhhh, mnaleta Uswahil mpaka Canada 🤔😢😢👎🏽👎🏽👎🏽 shame on you guys! 🤷🏽
@thomsanga7956
@thomsanga7956 25 күн бұрын
Daah!! Promota maskini wanashida sana aisee!!
@khurlainashly5686
@khurlainashly5686 16 күн бұрын
Wanaume wanacambana😂😂 okay 👍
@Gamba81
@Gamba81 25 күн бұрын
Eti mabando yetu ya mia tano unamaliza na zarau au sio wakati wewe umeambiwa hauna ela umekasilika acha zarau wewe
@Khairath
@Khairath 24 күн бұрын
Mbosso hataki ajulikane kama alienda club kwenye uongoz atapigwa fain 😢😢😢
@josephdionizy2868
@josephdionizy2868 25 күн бұрын
Yaaan huyu jamaaa akili anazo ila anajitoa ufahamu tu sasa hapo mboss anahusikaje we mdai uliemlipa
@kwisa4899
@kwisa4899 25 күн бұрын
Hawa awaeleweki mbona nawewe udai pesa za kina mbosso na Ray kama ulililipa mkataba upo wapi?
@JulianaJackson-lz6vq
@JulianaJackson-lz6vq 23 күн бұрын
Nmecheka kama Mazuri...pck 😂😂😂Elly Mswahili asaaaa bando za 500 khaaaa
@hasani565
@hasani565 26 күн бұрын
Wote ma promota uchwara tu hawana lolote.Njaa tupu...una mana Gani vikiki vya bongo wakati si ndio wewe ulijilipua kama wewe choko
@KennethMgona-jy4vc
@KennethMgona-jy4vc 26 күн бұрын
Muongo kweli
@GraceWilliam-d1w
@GraceWilliam-d1w 25 күн бұрын
Mtukuze mungu wewe Elly mamiziko ya kodunia ya nini ? Wewe mtafute mungu mbona inajichelewesha
@hashimuuhehwa4252
@hashimuuhehwa4252 25 күн бұрын
Toka wewe uanze kumtafuta umemuona!? Sababu wewe mtumwa basi unataka wote wewe watumwa hee!!
@caashamacalini3887
@caashamacalini3887 25 күн бұрын
Huyu pck muongo hela kachukua usiseme hanauwezo wa elf 4 anapata zaidi ya hiyo, wewe muongo pck umechukua hela Mimi binafsi hiyo hela ninayo Acha kusema uwongo mburundi wewe unajifanya mnjanja Sheria huku tunazielewa wenyewe Sana wewe ndio tukuchafue
@aishaabdallah7769
@aishaabdallah7769 25 күн бұрын
Pck kanitapeli na mimi 12.000$
@priscillachristiansen4331
@priscillachristiansen4331 25 күн бұрын
Pole Elly
@omarzinga7046
@omarzinga7046 25 күн бұрын
Elly go with fact ukitaka wasanii wachukue mwenyewe kutoka bongo kimikataba usidandie mishe za watu Elly David 😂😂😂
@SurprisedBakedCustard-vp8oi
@SurprisedBakedCustard-vp8oi 26 күн бұрын
Kaazi kweli kweli lol 😅
@dinocastico8495
@dinocastico8495 22 күн бұрын
Acheni mambo ya kike. Sasa kama alipewa pesa yeye pck ww onyesha mkataba wa kumlipa pesa ili uwe na haki na umzibe mdomo mboso aliye kanusha na kukukana. Msilalamike lalamike
@blackschooltv
@blackschooltv 25 күн бұрын
Kwahiyo Mna mgombania MBOSSO
@bizomenyimanaelias5455
@bizomenyimanaelias5455 25 күн бұрын
pck ni promoter mkumbwa wew tangia zamani😂😂😂
@kshayofurniture2941
@kshayofurniture2941 25 күн бұрын
Ila wabongo bana dah 😂 wanakiwasha popote 👐
@wisemaliva5376
@wisemaliva5376 23 күн бұрын
Huyu anaitwa pc kari?😂😂😂au nimesikia vibaya!
@esterpaul5856
@esterpaul5856 23 күн бұрын
Kumbuken PCK ni bonge la Tapel ..naanza kuamin kwa huyu kaka katapeliwa pesa..
@afronur1354
@afronur1354 24 күн бұрын
Hivi kwanini mnawapa airtime haya marundi ‘ waacheni wakapewe kwenye vi nchi vyao huko
@mohdmohd8428
@mohdmohd8428 25 күн бұрын
Vdeo ya kwanza kasema mbosso kabeba hela, levo za mbosso na vanny boy kuja club tu 4k imeisha😂
@hashimuuhehwa4252
@hashimuuhehwa4252 25 күн бұрын
Kuelewa jambo kumbe ni kazi! Sasa hujamuelewa nini hapo mbona kaeleweka vizuri sanaa!!
@jamilaathumani5481
@jamilaathumani5481 25 күн бұрын
Inavyoonyesha apo mmezungukana ila sio poa...kwann mnataka kutumiana kupitia wasanii ..mnawaharibia wasanii ...ila apo wamezungukana ila sio poa
@billskeez92
@billskeez92 25 күн бұрын
Mahakama imehamia huku mitandaoni jameniiiiiii😂😂😂 mlipane mitandaoni aise
@abdimutesi1393
@abdimutesi1393 20 күн бұрын
Pck Nimwizi na mimi kaniibiya dollars Zangu eti atanisafirisha nawenzangu wengi mwizi uyo
@jacksonmsendo3478
@jacksonmsendo3478 26 күн бұрын
Uyo pck tapeli nasikia kitambo ata bongo nasikia alitapeli akakimbia
@salomewandya7257
@salomewandya7257 25 күн бұрын
Litapeli likubwa hili
@aishaarusha894
@aishaarusha894 25 күн бұрын
Aliwatapelini nyinyi
@ghhhhy1812
@ghhhhy1812 21 күн бұрын
😂😂😂Mbav zang mie
@imanuelnguya9277
@imanuelnguya9277 25 күн бұрын
😂😂😂😂😂
@bildivaivess3379
@bildivaivess3379 25 күн бұрын
Mnatutiliya kekele tu bure izi inchizetu uku zina sheriya, issue kama iko serious mahakama inaweza litatuwa bila ata shida na muongo atajulikana tuu 🤷‍♂️🤷‍♂️
@lusekelosolomon313
@lusekelosolomon313 25 күн бұрын
Hiyo ni Toronto ya njombe?
@user-mw1fw2jt2n
@user-mw1fw2jt2n 23 күн бұрын
Hapa kuna vita yakibiashara ndo nlchogundua
@chilubafedrick5740
@chilubafedrick5740 25 күн бұрын
hyu kaenda viral kuwalaum akna rayvany na mboso alaf pesa kampa mtu mwingne, how come PCK ndio meneja wao?? we mvae uliempa pesa mzeee
@rosemahenge9071
@rosemahenge9071 25 күн бұрын
Sasa huyu mbwa sijui Eliya sijui nani hizo mashida zake na PCK kwa nini awaingize kina Rayvann na Mbosso pumbavu hayo mabundle yetu ya mia tano kwani huwa unatuwekea ww mmfyuuuu pambana na shida zako😂😂 hayatuhusu
@thelonewolf4429
@thelonewolf4429 26 күн бұрын
Mshapigwa nawa nijeria uko
@d-manb-free3478
@d-manb-free3478 25 күн бұрын
Hutu si and Yule future husband 😂😂😂
@sund2553
@sund2553 25 күн бұрын
Future husband wa wemasepetu😂 anyway hawa wa tz wameenda kuendeleza roho mbaya hadi nchi za watu
@TravoAnandi-qz7fo
@TravoAnandi-qz7fo 25 күн бұрын
Wameyakanyaga kwa digala..pick ila elly kwel baharia msumbuf
@OnlyRuky
@OnlyRuky 25 күн бұрын
😂😂😂😂😂😂😂😂
@hamismohamed3541
@hamismohamed3541 23 күн бұрын
Hii ni maajabu😂
@surusuru1994
@surusuru1994 25 күн бұрын
Huyo burudi sinyole alombia wema pesa nakubuka 😂😂
@hashimuuhehwa4252
@hashimuuhehwa4252 25 күн бұрын
Picha ya Mboso ilikuwaje ukiwekwa hapo hapo ndio tatizo lilipoanzia, Eti hana uwezo wa Dolla mia mbili mmm
@hasani565
@hasani565 26 күн бұрын
Wewe na huyu mrundi mmepeana hela ili yule mrundi ajifanye ana waleta club ..ndio mapromota kama Nyie mnaona wasani wabongo Wana taka kuza sura kwenye hizo pub zenu
@meddy6090
@meddy6090 25 күн бұрын
Asa apo tumwelewe nani jamani
@mam_salum
@mam_salum 16 күн бұрын
Huyu sindie alie kuwa bwana wa wema sepetu
@SuzanneMbotcha
@SuzanneMbotcha 26 күн бұрын
Pumbavu ww
@godwinmwakibibi274
@godwinmwakibibi274 18 күн бұрын
Gari ulishachukua kwa Wema sepetu Au ulimwachia
@user-ui5zo9re8b
@user-ui5zo9re8b 25 күн бұрын
Psk nimwizi
@salomewandya7257
@salomewandya7257 25 күн бұрын
Saana
@TTT80533
@TTT80533 25 күн бұрын
Mkubwa uyo ni Devil
@aishaarusha894
@aishaarusha894 25 күн бұрын
Piganeni muuwane😂😂😂😂
@AbdulatifuRamadhani
@AbdulatifuRamadhani 23 күн бұрын
Mh
@Jassmin-media-official
@Jassmin-media-official 25 күн бұрын
Wasanii wako tena jamani
@Official83640
@Official83640 24 күн бұрын
Ukisema anapenda sifa utakuwa unajisifia ww. Yaani ww na yy wote matapeli na mnapenda kiki haswaa haswa ww Pck dah wasiokujua ndy watakushangaa mno Wema hd leo anajuta kulala na ww akikumbuka Milioni 40 zake😂😂😂😂
@brownmoses9543
@brownmoses9543 25 күн бұрын
Hii ndo changamoto ya mtu mweusi😅
@blackschooltv
@blackschooltv 25 күн бұрын
Kumbe vita sio ya Wasanii ni Mapromota ... alafu wewe Elly Maswala ya kiume na Mademu unaweka hazani wewe sio Mwana ... ni Mwanahawa
Slow motion boy #shorts by Tsuriki Show
00:14
Tsuriki Show
Рет қаралды 10 МЛН
What it feels like cleaning up after a toddler.
00:40
Daniel LaBelle
Рет қаралды 88 МЛН
MOROGORO AFRIKA KUSINI WATU WANA ROHO NGUMU HATARI😳🙌🏼
5:58
SAFIRI DUNIA!
Рет қаралды 1,9 М.
Nabii Kiboko ya Wachawi afunguka alivyotimuliwa Tanzania ndani ya saa 24
8:03
ЗАКЛИНИЛО ГАЗ 🤯
0:16
Top YouTubs
Рет қаралды 562 М.
#vtx1800 #колесо #дтп  сложный ремонт диска
1:00
Глобус Мото
Рет қаралды 2,4 МЛН
что за звук?
0:15
Мурат 07 манипулятор
Рет қаралды 3,5 МЛН
BMW M5 VS COBALT  QANCHAGA TUSHDI 😱💣
0:17
Comfort zone avto
Рет қаралды 2,6 МЛН