Pd.ALMACHIUS RWEJUNA-MAISHA MAGUMU,,,UKIAGA DUNIA ASUBUHI, JIONI WATU WANANUNUA MIZINGA YA POMBE_

  Рет қаралды 33,818

SAVIO PILGRIMAGE TV

SAVIO PILGRIMAGE TV

2 жыл бұрын

HAYO YAMESEMWA NAYE PADRI ALMACHIUS RWEJUNA WA JIMBO KATOLIKI BUKOBA WAKATI WA ADHIMISHO LA MISA TAKATIFU DOMINIKA YA 13 YA MWAKA C WA KANISA NA SHEREHE YA MOYO MTAKATIFU WA YESU PAROKIA YA MT. YOHANE MTUME NA MWINJILI TEGETA JIMBO KUU LA DAR ES SALAAM, IKIAMBATANA NA KUSHEHEREKEA SIKU YAKE YA KUZALIWA

Пікірлер: 45
@ezekielronoh4282
@ezekielronoh4282 Жыл бұрын
Umetumia mbinu ya hali ya juu kufikisha ujumbe.Heko,hongera na shukran
@user-md5qi3oj8u
@user-md5qi3oj8u 8 ай бұрын
Amazing speeches,
@aisiamkonyi4977
@aisiamkonyi4977 2 жыл бұрын
Barikiwa sana padre kwa kutukumbusha kwa habari ya utoaji
@admachiusrutta1760
@admachiusrutta1760 2 жыл бұрын
Mungu akubariki Father
@remymboya8834
@remymboya8834 2 жыл бұрын
Hongera San fr kwa neno zito ulilolitoa .hakika umetufungua sana.Mungu azid kukujalia afya ya kulihubir vema neno lake.
@jenipherkyando4822
@jenipherkyando4822 2 жыл бұрын
Baba nimekuelewa mungu wa mbinguni akutunze akufunike amina
@stadiusbyarugaba3533
@stadiusbyarugaba3533 2 жыл бұрын
Hakika n mahubiri mazuri sana
@samuelnyamota2483
@samuelnyamota2483 2 жыл бұрын
Ninebarikia sana kusikiliza maubili yako Fr mungu hakupe nguvu na uwezo ukafanye kazi yake kila mara
@stadiusbyarugaba3533
@stadiusbyarugaba3533 2 жыл бұрын
Usiache kusubscribe hii chaneli ili tuwe tunapata mahubiri mazuri kama haya
@asteriamguli2039
@asteriamguli2039 2 жыл бұрын
Asante Kwa mahubiri mazuri juu ya ukarimu
@baltazaryjohn1968
@baltazaryjohn1968 2 жыл бұрын
Kweli kbx grace umeenda majumbani kwako wamejenga Kama ikulu
@samuelnyamota2483
@samuelnyamota2483 2 жыл бұрын
Wow wow kweli Fr ameubili vizuri kabisa kama uwezi sikia ole wako
@mustaphamasobe8343
@mustaphamasobe8343 2 жыл бұрын
Asante Kwa mahubiri mazuri
@yohanautenga2733
@yohanautenga2733 2 жыл бұрын
Asante Kwa mahubiri mazuri Father
@peterrwegoshora1109
@peterrwegoshora1109 2 жыл бұрын
Mwenyezi Mungu Akubariki Sana, na Azidi kukuongezea mafundisho yanayo penya, Wewe ni miongoni mwa Mapadre ambao ni Hazina kwa Taifa letu.
@ziporakamalakamala5903
@ziporakamalakamala5903 2 жыл бұрын
Mungu akupe maisha mrefu mwenye masikiyo nasikiye.
@habibakhamisi3318
@habibakhamisi3318 2 жыл бұрын
Nimebarikiwa sana na mahubiri yako mtumishi mungu aendelee kukutia nguvu
@stadiusbyarugaba3533
@stadiusbyarugaba3533 2 жыл бұрын
Usiache kusubscribe hii chaneli ili tuwe tunapata mahubiri mazuri kama haya
@shijadeogratias317
@shijadeogratias317 Жыл бұрын
Asante kwa neno
@getrudegregory3876
@getrudegregory3876 2 жыл бұрын
Ahsante baba kwa mahubiri yako
@rogermiller165
@rogermiller165 2 жыл бұрын
Well said father. Tutoe ili tusaidie jamii yetu.
@japhethondieki534
@japhethondieki534 11 ай бұрын
Ujumbe ulioje! Kamili na wenye kushika roho na kujirejelea ki imani
@htenson
@htenson 2 жыл бұрын
Mahubiri mazuri Sana.
@josephinegravasiano8860
@josephinegravasiano8860 2 жыл бұрын
Mungu atuhurumie
@bahatiagape731
@bahatiagape731 2 жыл бұрын
Amina 🙏
@benaridethawiliam9439
@benaridethawiliam9439 Жыл бұрын
Mmmmmm
@merinachalinze6455
@merinachalinze6455 2 жыл бұрын
Amina! Kweli kbsa baba nimeona ukuu waMungu
@stadiusbyarugaba3533
@stadiusbyarugaba3533 2 жыл бұрын
Usiache kusubscribe hii chaneli ili tuwe tunapata mahubiri mazuri kama haya
@chareskatochareskato3778
@chareskatochareskato3778 2 жыл бұрын
Nimefurai Sana fr kwa maubili yako mazuri nayenye kutia moyo tumekumis Sana fr bkb jamani
@stadiusbyarugaba3533
@stadiusbyarugaba3533 2 жыл бұрын
Usiache kusubscribe hii chaneli ili tuwe tunapata mahubiri mazuri kama haya
@mtakatifugemma
@mtakatifugemma Жыл бұрын
Wewe padre njoo ututemberee huku arusha jamani tunahamu ya kuisikia sauti ya kimungu iliyopo ndani mwako
@baltazaryjohn1968
@baltazaryjohn1968 2 жыл бұрын
Wanatafuta hela za kujengea majumbnai kwao na kusaidia ndugu zao na kununua wake za watu
@romanilyimo8876
@romanilyimo8876 2 жыл бұрын
Mungu akusamehe ndg yng
@priscuskimario495
@priscuskimario495 2 жыл бұрын
Huyu padri yule wa kutaniko kigamboni, yani ni zaidi ya mahubiri mzee upendo wa nazi.
@stadiusbyarugaba3533
@stadiusbyarugaba3533 2 жыл бұрын
Usiache kusubscribe hii chaneli ili tuwe tunapata mahubiri mazuri kama haya
@gracemima5234
@gracemima5234 2 жыл бұрын
Munaitafisiri bibilia vibaya. Munayumia jina la Mungu kukusanya fedha kwa watu. . Mwizi wewe pesa wanazotowa wakitristu zinatakiwa ziende kwa masikini, Acheni kuwadanganya watu fedha munazo kusanya zinaenda kwa Mungu.Nyinyi wachungaji ni wezi wakubwa. Fedha za Mama Theresa zinaenda kwa masikini, haziendi kwa wahubiri wadanganyifu.
@stadiusbyarugaba3533
@stadiusbyarugaba3533 2 жыл бұрын
Natumaini wewe ni mkristo
@saimonijonas4356
@saimonijonas4356 2 жыл бұрын
Wakati Mungu anasema.Nitoleeni kondoo walio nona kwani walimpaje Mungu na Mungu hakuonekana? uwe na ufahamu wa neno usiwe na chuki.yawezekana uliliwa pesa na manabii wa uongo ukafikiri kila mtu yuko hivyo.Mungu aliposema mnitolee kumbuka waliopokea ni watu waliokuwa ni Makuhani.Yako mengi yakukuambia lakini nikushauri tu.Soma Bibilia.Mungu anamwambia Eliya nenda mpka kijiji cha Serepta.Utamkuta mwanamke mjane nimemuagiza akulishe,napo unasemaje? au wewe unamwamjni Mungu yupi?
@mustaphamasobe8343
@mustaphamasobe8343 2 жыл бұрын
We ndo unatafasiri vibaya! Soma Biblia utajua haki ya Haruni kuhani wa Mungu ilikuwa ni nini? Kuwapa masikini sio lazima ipitie kanisani!
@gideonibatangaki1317
@gideonibatangaki1317 2 жыл бұрын
Ulazimishwi kutoa nasikutegemea Kama ungesema hayo kutokana najinalako ningekuta jina lako ni Ashura nisinge kushangaa.
@benjaminkapelah7664
@benjaminkapelah7664 2 жыл бұрын
Hilo ndio kanisa la kitume
Padre Dkt Kamugisha: Nyota itaonekana/ Ota ndoto
8:56
Faustin Kamugisha
Рет қаралды 2 М.
Padre Dkt Kamugisha : Yesu anapoingia vivuli vinatoweka/ Nuru ni tabasamu
11:51
Smart Sigma Kid #funny #sigma #memes
00:26
CRAZY GREAPA
Рет қаралды 10 МЛН
Why Is He Unhappy…?
00:26
Alan Chikin Chow
Рет қаралды 76 МЛН
НЫСАНА КОНЦЕРТ 2024
2:26:34
Нысана театры
Рет қаралды 1,6 МЛН
Задержи дыхание дольше всех!
00:42
Аришнев
Рет қаралды 3,8 МЛН
Padre Dkt Kamugisha: Kusamehe ni kutakasa kumbukumbu.
7:00
Faustin Kamugisha
Рет қаралды 2,7 М.
Padre Dkt Kamugisha : TAWALA USO / TAWALA ULIMI
12:20
Faustin Kamugisha
Рет қаралды 7 М.
ALICHOZUNGUMZA PADRE AMIGU KATIKA KONGAMANO LA LITURUJIA,MAASKOFU WAFURAHISHWA NA HIKI..
1:07:10
Anastacia Muema - Pongezi Kwa Utume ( Official Video )
6:09
Anastacia Muema
Рет қаралды 695 М.
Smart Sigma Kid #funny #sigma #memes
00:26
CRAZY GREAPA
Рет қаралды 10 МЛН