Bunge lilimepitisha mapendekezo ya mapato na matumizi ya wizara ya Katiba na Sheria kwa mwaka wa fedha 2017/18 huku waziri mwenye dhamana Prof Palamagamba Kabudi akitumia muda mwingi kutoa somo la sharia bungeni.
Пікірлер: 243
@thegreatsource29534 жыл бұрын
Mbona sisikii "Taarifa Mheshimiwa Mwenyekiti" 😂😂😂😂 Watu wanaogopa kuumbuliwa na Professor🤣🤣🤣 Kama unamkubali Professor Kabudi, Gonga like twende sawa!
@hajiramadhani26993 жыл бұрын
Kawaida ya sheria za bunge waziri anapoongea mbunge haruhusiwi kutoa taarifa wala muongozo
@jacksonwillson43693 жыл бұрын
😄😄😄😄😄😄
@eventelias35664 жыл бұрын
Wanaofuatilia speech za Mh.Kabudi baada ya BBI Kenya tujuane.
@nicholasmaina77754 жыл бұрын
Huyu waziri anafaa awe rais wa Africa mashariki he is a great Man I like him very much
@eng.lameckkagaali48143 жыл бұрын
Í
@isaacmboya17193 жыл бұрын
Isaac mboya naomba mungu anisaidiie kumuelewa professor kabudi
@isaacmboya17193 жыл бұрын
Watu kama kabudi walikuwa wapi
@isaacmboya17193 жыл бұрын
Kumbe shida ni uelewa wetu nikiwemo na mimi profferser unastahili heshima upewe aman ya moyo appreciate that we fight because we differ in our level of understanding proffer never give up tupo tayari kujifunza
@newbornhaule16356 жыл бұрын
Nimejiona niko darasani uko vizuri mimi nikati ya watu nisiopenda wanaoongea kwa sauti bali HOJA na WELEDI Mzee uko vizuri....
@nyamwizajoseph62415 жыл бұрын
Newborn Haule asate
@margarethsolomon98237 жыл бұрын
Wanadhani kubaghazana ndio kushinda hoja au kuonekana kuwa umeongea. Ahsante sana Pro. Palamagamba. Longalonga za hovyo zinaweza kupungua na hawa watu kuheshimiana.
@romanstephen41015 жыл бұрын
Huyu Prof. Namkubali sana, ni moja kati ya watu muhimu sana kwa taifa
@kalingamazda3 жыл бұрын
profeosor wa majalalani
@mussasadick770 Жыл бұрын
Wanasheria wengi watanzania hawaijui Sheria bali wengi ni madalali
@user-js3jk3gw9h10 ай бұрын
kalingamazdap😊
@user-js3jk3gw9h10 ай бұрын
P
@andreajeremia4365 жыл бұрын
Yaani Prof Kabudi ni kichwa kweli kweli,ni mtu mwenye historia ya nchi hii ya ndani sana,na anayethubutu kuisema
@bobwanjala14014 жыл бұрын
Profesa Kabudi Palamagamba ni msomi na ana ustadi ya hali ya juu. Umakinifu wake haulinganishwi na yeyote. Mzee amekalia kigoda, mtii. Kongole kwako guru Kabudi. New York, Marekani tuko nawe mwalimu.
@nicholasmaina77754 жыл бұрын
Tanzania you have a great Man very smart and a teacher he is a true leader
@isaacmboya17193 жыл бұрын
Asante baba unastahil heshima kumbe shida, ni uelewa wetu nikiwemo na mimi I appreciate that we fight because we differ in the Level of understanding
@godifalsafa69564 жыл бұрын
Huyu professor huwa anaongea kwa KUWAFUNDISHA HAKIKA NI PROFESSOR 🔥🔥🔥🔥
@levinekalikuela49164 жыл бұрын
Thank you sooo much Professor. You are at the point. What is lacking in the country is poor education and Spirit of humour among the people. Educate and Train them. We shall be transformed. Congratulations for your brain.
@mkomatembo5 жыл бұрын
Safi sana Profesor Kabudi Waziri wa Sheria Wafungue macho wailewe Sheria na Unaifahamu Kinagaubaga. Upo Vizuri. Sana. Hata Wabunge Wa Upinzani Wanakuitika kwa Heshima na Adabu.
@augustinomariano17647 жыл бұрын
hapa ndipo unapojua kuna wazee wengine wapo mle bungeni wakubwa miili tuu, yani vitu muhimu vinaongelewa na kutolewa elimu bado WANABEZA yani kuna wamama wanapiga tu kelele hapa ndipo unapojua kuna waheshimiwa wengine their level of appreciation of issues is DIMINISHING...
@emanuelmlowe68545 жыл бұрын
augustino Mariano yuko vizuri sana
@emanuelmlowe68545 жыл бұрын
augustino Mariano mimama mingine inapiga kelele kama wako bar ya mbege
@nyabittanervar13155 жыл бұрын
Ni kati ya Mawaziri bora wa Sheria waliowahi tokea Tanzania''' wengi wanasoma sharia ila kupambanua wengi hawewezi'''''
@bobjulieoneheartband5 жыл бұрын
Mungu Akubariki kwa somo ulilosaidia Wabunge siku hii, Mimi nimekuwa muumini wa kukufuatilia speech zako I guess utakujakuwa zaidi ya Msaada kwa nchi yetu, Heshima kwako Kiongozi.
@samwelmaburi35224 жыл бұрын
Kwa huyu jamaa tu hat lisu akasome.
@ibrahimgwasma2353 жыл бұрын
Hivi Ni vichwa vichache vilivobaki Mungu akulinde vema
@berthamakortha8387 Жыл бұрын
Good job MUHESHIMIWA we ❤u Dr. Yote ni mazuri na tunatoa shukrani nyingi tumekuelewa KIONGOZI. Thanks so much
@barryryoba14894 жыл бұрын
Asante Sana RAISI WANGU NDUGU MAGUFULI Kwa Kumuona Huyu Prof Kabudi Na Kumteua Kua Mmoja Wa Mawaziri Ktk Serikali Yako.
@samwelmaburi35224 жыл бұрын
Tanzania one kabudi bigup sanaa!!!.
@philipobenson14105 жыл бұрын
Kabudi ni jembe sana, nachompenda huyu mzee ni kwamba huwa anatoa elimu kwanza ndo naenda kwenye hoja.
@kamejathegreat6896 жыл бұрын
aiseee,,waziri kabudi uko makini, vizuri sana
@nkyabosi48274 жыл бұрын
Damn he’s a true professor
@mikelmasanja25225 жыл бұрын
Halima mdee kama namuona vile alivyonywea kisura kimekuwa kidogo kama piritoni huyo ndiye professor wa Sheria na mwalimu wako tulia ujifunze usiwe unapiga kelele tu.
@jacoblaiser76344 жыл бұрын
Heshima kwako Prof. Unastahili nafasi hiyo uliyonayo. Mungu akupiganie
@jeremiahagrrey11473 жыл бұрын
MAY GOD PROTECT YOU OUR FUTURE MAGUFULI AMEN .
@jacoblaiser76343 жыл бұрын
I salute you A ''Cardinal Professor''
@mgosimungkwanzmsambaa24922 жыл бұрын
Kwakweli ktkt mawazili wote nnaowakubali plo kabudi nakukubali san wew nizaid ya geneaz asante san mungu akubaliki san ktk safali ya maisha yako. Mungu ibaliki tanzania mungu wabaliki viongozi wetu
@isaacbhudoma87503 жыл бұрын
The living encyclopedia 😘😘
@allymllanzi42456 жыл бұрын
Natamani siku moja nikutane na pro kabudi
@josephkafumu3006 Жыл бұрын
Daaaa nakukubali sana mzeee wangu mungu akupe maisha malefu tuendelee kujifunza mambo mengi toka kwako
@frankmusa8087 ай бұрын
Taarifa mweshimiwa
@jumamavind77133 жыл бұрын
Profesa Kabudi nijembe jingine la watanzania,tumtumie vizuri
@josephkaimenyi4613Ай бұрын
Uyu proffesor anafaa akue Rais wa tanzania
@hassanhasano62016 жыл бұрын
Safi professor wape elimu waelewe
@nuhubalandya91645 жыл бұрын
Mzee uko vzr sana Leo nimekuelewa.
@hasionshekiondo66804 жыл бұрын
prof kabud ni mtu mwenye hekma zake na mtu anaefanya kitu ambacho anakitambua ila kuna wengine humoo acha tukae kimya wanakaz ya kushangilia na kupiga makosi alafu ni 0 tu
@richardkamenya32286 жыл бұрын
Ili kuweza kufukikua hatua yoyote ile ya mafanikio ni muhimu kufahamu kanuni au sheria za asili zinazotawala matokeo unayotarajia na kufahamu historian ya jambo lolote ni muhumili mkuu was kujenga hoja zenye mashiko tujenge tabia yakusoma ili kujenga hoja zenye mashiko Big up My Role Model Pro Kabudi
@mariethaawaki30087 жыл бұрын
sina la kuongeza,heshima kwako mzee tunakuombea na uendelee kutuelimisha
@phillipianboy90694 жыл бұрын
Kutoka kenya mpaka bungeni nimetokea kumkubali sana huyu prof hatare
@frankmusa92545 жыл бұрын
vizuri sana mhe.prof palamagamba kabudi kwa ufafanuzi mzuri .
@samwelmaburi35224 жыл бұрын
Duuh!! Nmekubali cna chama ila nna prof.
@benedictmrisho18002 ай бұрын
Kama ibara ya 8 ya katiba ya URT inaheshimiwa watekelezewe matakwa ya katiba ya umma ( katiba watakayoshiriki wote kuitunga na kuipitisha kwa umoja wao). Maneno huumba. Tuombe Mungu Mh Prof uyaone ungali hai.
@davidmrisho75882 жыл бұрын
Huyu mwamba mungu ampe maisha maref anafaida kubwa kwa nnchi yetu
@sabihimngetuka69716 жыл бұрын
Ukiona kimya vitu vinaingia
@deogratiuswilson89947 жыл бұрын
Tunahitaji watu kama hawa bungeni, sio vinginevyo.
@majurakiboga34307 жыл бұрын
Deogratius Wilson broo inabid aserch wengine tena ktk profession zingne ili kila wizara kuwe na kichwa
@franktimothkisimbo53544 жыл бұрын
Daah nondo nzuur saan hasa kwa walimu wa uraia,civics na general study
@linkreuben58044 жыл бұрын
Jamaa somi sana, limeenda shule Anafaa kuwa kiongzi Tanzania!
@paulotarimo2063 жыл бұрын
N kiongozi mzuri Sana
@onesmojustice23483 жыл бұрын
Nimerudi hapa baada ya kuona huyu ndo anafaa kuwa makamu wa raisi Tanzania baada ya jpm kulala.
@apostlelukumay18563 жыл бұрын
Ahsante Sana Mh; Prof Kabudi kwa elimu teule
@ConrardSondas4 жыл бұрын
Profesa uko vizuri
@benochengele22964 жыл бұрын
You were there When the Law was Law and when the President was President!
@emanueljoshua93934 жыл бұрын
Aaah muzee wewe material
@shedeck89743 жыл бұрын
Huyu jamaa anajua aisee...
@mako3317 жыл бұрын
tuna wabunge wengi hawana uelewa kabisa wa katiba, safi Jpm kutuletea wasomi humu, sio porojo
@josephgomalo415 жыл бұрын
Wabunge vilaza wanatumia madesa ya pale kwenye mdigirii.. wanakopi tu..!
@erickchitumbi13085 жыл бұрын
Kabudi unajua
@nkyabosi48274 жыл бұрын
Yani mpaka spika anatabasamu hi ni lecture kweli
@thefeedstv97624 жыл бұрын
we spoke when the law was low and when the president was president
@romeraphael64725 жыл бұрын
Naonaga unaongea points sana sijui ni nini adi naisi unazungumza ukwel mm sio mwana CCM
@mohammedmdangwe20565 жыл бұрын
huyu ni rais ajae
@abdillahkhamis20592 жыл бұрын
Nakubali kazi professor wewe ni mtu mahimu cn katika taifa letu
@tonynuru4354 жыл бұрын
NOW NDO NIMEPATA JIBU KWANN MUUNDO WA BENDERA YETU YA TAIFA INAFANANA NA MUUNDO WA NCHI YA TRINIDAD AND TOBAGO 🇹🇹🇹🇹 !!
@issayamshana37503 жыл бұрын
Samahan tutafutane 0744412614
@ufunuoeliya78685 жыл бұрын
jamaaa Kichwa duu
@abdulkarimurassa35484 жыл бұрын
Huyu jamaa yuko makini sana, uprofessa wake ni wa uhakika
@humphreymwihambi43302 жыл бұрын
Kwahiyo wengine sio wa uhakika?
@ahmedjamal50846 жыл бұрын
Prf nakuheshim saaaaaaaana hii hotuba nairudia nakurudia umetoa elimu kubwa mno
@mashakamarikomalyante2436 жыл бұрын
huyu kweli ni msomi
@richifrenki1355 жыл бұрын
Mzeeee uko safiiiiiiii wape mawee wakarambaa hoo
@samwelmaburi35224 жыл бұрын
Kwa huyu jamaa tu hata lisu akasome yaan ni zero brain.!!
@ConfusedDaisies-rb55 ай бұрын
Safi sana prof
@vstvst31353 жыл бұрын
Kabudi for president.
@nelibaba7 жыл бұрын
Tanzania inaelekea mahala pazuri
@petrolukumay66276 жыл бұрын
hongera mzee
@khalidawadh93522 жыл бұрын
Hongera pro kwa lecture
@busegamediatanzania4 жыл бұрын
Embu sema Palamagamba Kabudi
@andrewndambuki22074 жыл бұрын
Great legal mind
@florafilbert98174 жыл бұрын
Ndo raha ya kuwa na wasomi
@kiwisesenior42736 жыл бұрын
uko vozuri saana waziri
@mariethaawaki30087 жыл бұрын
uprofesor wako ni wa halali.
@josephjosephat78264 жыл бұрын
Hahahahaaaaaaaaaaa !!!!!!!
@lupakisyomsese82106 жыл бұрын
Baba kiukweli unaimudu nafasi uliyopewa
@michaelmathew83095 жыл бұрын
Umenifundisha kitu pro.Kabudi
@lameckgunze63763 жыл бұрын
Msidhani Raisi ni binadamu mmoja anayetembea la hasha ! Raisi ni Taasisi imekaa vyema mno
@sdawalokole94897 жыл бұрын
kubaghazana.........kabudi oyeeeeeeee
@majurakiboga34307 жыл бұрын
Tigahwa Mugongo lissu na wanasheria uchwara vichwa chini
@barakangogo73917 жыл бұрын
paramagamba anatisha kuna wabunge wanasheria walikuwa wnapotosha uma
@josephgomalo415 жыл бұрын
Sababu ya madesa ya pale kwenye mdigirii.. wanakopi tu..!
@eastafricabrokerkiller80283 жыл бұрын
Kabudi kweli umenifurahiaha
@franceyaraby43423 жыл бұрын
Much respect my lecture in KZfaq
@jumadema76464 жыл бұрын
Wape shule hao jamaa zetu!
@fanbullalukasa4864 жыл бұрын
Ukiona wabunge wasumbufu wasomi wamekaa kimya ujue somo limeingia hapo wapinzani nimewakubari kwa uturivu na ndio maendeleo safi sana,ukiona comment ya kupinga ujue hata darasani alikuwa mtolo
@chia99637 жыл бұрын
hiki nacho nikichwa
@majurakiboga34307 жыл бұрын
Chia sana
@noelchao2923 жыл бұрын
Tena kichwa kikubwa sanaaa
@benedictmrisho18002 ай бұрын
"Ibara ya 8 ya katiba ya URT wananchi ndio mamlaka ya nchi sio sisi wah wabunge"
@bellutbellut30493 жыл бұрын
Prof Kabudi anafaa kuwa makamu wa Rais wa Tz .
@benedictmrisho18002 ай бұрын
"Don't dare me we spoke when the law was law and the president was the president ( Mwl Julius Nyerere)."
@zebedayophilimon78343 жыл бұрын
Kumbe jamani kabudi ni jembe Kia's hiki 🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🙏
@masanjemuyenjwa24345 жыл бұрын
The next president that i wish to be
@rodrickmzuna663 жыл бұрын
That is how ithink too
@harunilibangite72053 жыл бұрын
Sasa waziri wa mambo ya nje ni nan kama huyu ni wa katiba na sheria tena !!!??
@georgelukuba76964 жыл бұрын
MOJA KATI YA HAZINA MUHIMU KATIKA NCHI HII NI MH. KABUDI
@kagamedimaria47873 жыл бұрын
Jamaa anatosha kua naibu rais wa tz
@redmondmulilo1746 жыл бұрын
iyo nafasi ya waziri mku angegombea ichocheo cha uwaziri mku ndani ya bunge kama sipa alafu awemtendaji kweli wa serikali. make mda wowote anafukuzwa kazi na rais. alakini sipika wa bunge hawezi kufukuzwa kazi na rais
@jumakatema63485 жыл бұрын
Rais ni tasisi. huyu mtu sio wa kawaida
@robertmwaipaja4794 Жыл бұрын
Hongeraxanaprof.kabundi
@killianwambura95844 жыл бұрын
Hongera pro Kabudi
@sadikidaudi12235 жыл бұрын
Professor
@margarethsolomon98237 жыл бұрын
Serkali ishauriwe, isimamiwe na wabunge hapo bungeni kwa kupitia waziri mkuu na baraza la mawaziri na si vinginevyo. Madaraka ya Rais yaheshimiwe. Acheni kubaghazana, tusubiri kura toka kwa wananchi zituingize Ikulu. Tusitoane macho Ona CUF sasa wanavunjana miguu, tunaenda wapi jamani!!!!!!!!??????
@sundayharris85494 жыл бұрын
tulieni mfundishwe bure... maana yake wengi hampo vizuri kisheria.
@gabrielmeshack78765 жыл бұрын
Kwa wasomi hawa TANZANIA tunaenda mbere piga kazi pr.