Prof Kabudi awarudisha wabunge shuleni kwa muda

  Рет қаралды 294,257

Mwananchi Digital

Mwananchi Digital

7 жыл бұрын

Bunge lilimepitisha mapendekezo ya mapato na matumizi ya wizara ya Katiba na Sheria kwa mwaka wa fedha 2017/18 huku waziri mwenye dhamana Prof Palamagamba Kabudi akitumia muda mwingi kutoa somo la sharia bungeni.

Пікірлер: 243
@thegreatsource2953
@thegreatsource2953 4 жыл бұрын
Mbona sisikii "Taarifa Mheshimiwa Mwenyekiti" 😂😂😂😂 Watu wanaogopa kuumbuliwa na Professor🤣🤣🤣 Kama unamkubali Professor Kabudi, Gonga like twende sawa!
@hajiramadhani2699
@hajiramadhani2699 3 жыл бұрын
Kawaida ya sheria za bunge waziri anapoongea mbunge haruhusiwi kutoa taarifa wala muongozo
@jacksonwillson4369
@jacksonwillson4369 3 жыл бұрын
😄😄😄😄😄😄
@eventelias3566
@eventelias3566 4 жыл бұрын
Wanaofuatilia speech za Mh.Kabudi baada ya BBI Kenya tujuane.
@nicholasmaina7775
@nicholasmaina7775 4 жыл бұрын
Huyu waziri anafaa awe rais wa Africa mashariki he is a great Man I like him very much
@eng.lameckkagaali4814
@eng.lameckkagaali4814 3 жыл бұрын
Í
@isaacmboya1719
@isaacmboya1719 3 жыл бұрын
Isaac mboya naomba mungu anisaidiie kumuelewa professor kabudi
@isaacmboya1719
@isaacmboya1719 3 жыл бұрын
Watu kama kabudi walikuwa wapi
@isaacmboya1719
@isaacmboya1719 3 жыл бұрын
Kumbe shida ni uelewa wetu nikiwemo na mimi profferser unastahili heshima upewe aman ya moyo appreciate that we fight because we differ in our level of understanding proffer never give up tupo tayari kujifunza
@newbornhaule1635
@newbornhaule1635 6 жыл бұрын
Nimejiona niko darasani uko vizuri mimi nikati ya watu nisiopenda wanaoongea kwa sauti bali HOJA na WELEDI Mzee uko vizuri....
@nyamwizajoseph6241
@nyamwizajoseph6241 5 жыл бұрын
Newborn Haule asate
@margarethsolomon9823
@margarethsolomon9823 7 жыл бұрын
Wanadhani kubaghazana ndio kushinda hoja au kuonekana kuwa umeongea. Ahsante sana Pro. Palamagamba. Longalonga za hovyo zinaweza kupungua na hawa watu kuheshimiana.
@romanstephen4101
@romanstephen4101 5 жыл бұрын
Huyu Prof. Namkubali sana, ni moja kati ya watu muhimu sana kwa taifa
@kalingamazda
@kalingamazda 3 жыл бұрын
profeosor wa majalalani
@mussasadick770
@mussasadick770 Жыл бұрын
Wanasheria wengi watanzania hawaijui Sheria bali wengi ni madalali
@user-js3jk3gw9h
@user-js3jk3gw9h 10 ай бұрын
​kalingamazdap😊
@user-js3jk3gw9h
@user-js3jk3gw9h 10 ай бұрын
P
@andreajeremia436
@andreajeremia436 5 жыл бұрын
Yaani Prof Kabudi ni kichwa kweli kweli,ni mtu mwenye historia ya nchi hii ya ndani sana,na anayethubutu kuisema
@bobwanjala1401
@bobwanjala1401 4 жыл бұрын
Profesa Kabudi Palamagamba ni msomi na ana ustadi ya hali ya juu. Umakinifu wake haulinganishwi na yeyote. Mzee amekalia kigoda, mtii. Kongole kwako guru Kabudi. New York, Marekani tuko nawe mwalimu.
@nicholasmaina7775
@nicholasmaina7775 4 жыл бұрын
Tanzania you have a great Man very smart and a teacher he is a true leader
@isaacmboya1719
@isaacmboya1719 3 жыл бұрын
Asante baba unastahil heshima kumbe shida, ni uelewa wetu nikiwemo na mimi I appreciate that we fight because we differ in the Level of understanding
@godifalsafa6956
@godifalsafa6956 4 жыл бұрын
Huyu professor huwa anaongea kwa KUWAFUNDISHA HAKIKA NI PROFESSOR 🔥🔥🔥🔥
@levinekalikuela4916
@levinekalikuela4916 4 жыл бұрын
Thank you sooo much Professor. You are at the point. What is lacking in the country is poor education and Spirit of humour among the people. Educate and Train them. We shall be transformed. Congratulations for your brain.
@mkomatembo
@mkomatembo 5 жыл бұрын
Safi sana Profesor Kabudi Waziri wa Sheria Wafungue macho wailewe Sheria na Unaifahamu Kinagaubaga. Upo Vizuri. Sana. Hata Wabunge Wa Upinzani Wanakuitika kwa Heshima na Adabu.
@augustinomariano1764
@augustinomariano1764 7 жыл бұрын
hapa ndipo unapojua kuna wazee wengine wapo mle bungeni wakubwa miili tuu, yani vitu muhimu vinaongelewa na kutolewa elimu bado WANABEZA yani kuna wamama wanapiga tu kelele hapa ndipo unapojua kuna waheshimiwa wengine their level of appreciation of issues is DIMINISHING...
@emanuelmlowe6854
@emanuelmlowe6854 5 жыл бұрын
augustino Mariano yuko vizuri sana
@emanuelmlowe6854
@emanuelmlowe6854 5 жыл бұрын
augustino Mariano mimama mingine inapiga kelele kama wako bar ya mbege
@nyabittanervar1315
@nyabittanervar1315 5 жыл бұрын
Ni kati ya Mawaziri bora wa Sheria waliowahi tokea Tanzania''' wengi wanasoma sharia ila kupambanua wengi hawewezi'''''
@bobjulieoneheartband
@bobjulieoneheartband 5 жыл бұрын
Mungu Akubariki kwa somo ulilosaidia Wabunge siku hii, Mimi nimekuwa muumini wa kukufuatilia speech zako I guess utakujakuwa zaidi ya Msaada kwa nchi yetu, Heshima kwako Kiongozi.
@samwelmaburi3522
@samwelmaburi3522 4 жыл бұрын
Kwa huyu jamaa tu hat lisu akasome.
@ibrahimgwasma235
@ibrahimgwasma235 3 жыл бұрын
Hivi Ni vichwa vichache vilivobaki Mungu akulinde vema
@berthamakortha8387
@berthamakortha8387 Жыл бұрын
Good job MUHESHIMIWA we ❤u Dr. Yote ni mazuri na tunatoa shukrani nyingi tumekuelewa KIONGOZI. Thanks so much
@barryryoba1489
@barryryoba1489 4 жыл бұрын
Asante Sana RAISI WANGU NDUGU MAGUFULI Kwa Kumuona Huyu Prof Kabudi Na Kumteua Kua Mmoja Wa Mawaziri Ktk Serikali Yako.
@samwelmaburi3522
@samwelmaburi3522 4 жыл бұрын
Tanzania one kabudi bigup sanaa!!!.
@philipobenson1410
@philipobenson1410 5 жыл бұрын
Kabudi ni jembe sana, nachompenda huyu mzee ni kwamba huwa anatoa elimu kwanza ndo naenda kwenye hoja.
@kamejathegreat689
@kamejathegreat689 6 жыл бұрын
aiseee,,waziri kabudi uko makini, vizuri sana
@nkyabosi4827
@nkyabosi4827 4 жыл бұрын
Damn he’s a true professor
@mikelmasanja2522
@mikelmasanja2522 5 жыл бұрын
Halima mdee kama namuona vile alivyonywea kisura kimekuwa kidogo kama piritoni huyo ndiye professor wa Sheria na mwalimu wako tulia ujifunze usiwe unapiga kelele tu.
@jacoblaiser7634
@jacoblaiser7634 4 жыл бұрын
Heshima kwako Prof. Unastahili nafasi hiyo uliyonayo. Mungu akupiganie
@jeremiahagrrey1147
@jeremiahagrrey1147 3 жыл бұрын
MAY GOD PROTECT YOU OUR FUTURE MAGUFULI AMEN .
@jacoblaiser7634
@jacoblaiser7634 3 жыл бұрын
I salute you A ''Cardinal Professor''
@mgosimungkwanzmsambaa2492
@mgosimungkwanzmsambaa2492 2 жыл бұрын
Kwakweli ktkt mawazili wote nnaowakubali plo kabudi nakukubali san wew nizaid ya geneaz asante san mungu akubaliki san ktk safali ya maisha yako. Mungu ibaliki tanzania mungu wabaliki viongozi wetu
@isaacbhudoma8750
@isaacbhudoma8750 3 жыл бұрын
The living encyclopedia 😘😘
@allymllanzi4245
@allymllanzi4245 6 жыл бұрын
Natamani siku moja nikutane na pro kabudi
@josephkafumu3006
@josephkafumu3006 Жыл бұрын
Daaaa nakukubali sana mzeee wangu mungu akupe maisha malefu tuendelee kujifunza mambo mengi toka kwako
@frankmusa808
@frankmusa808 7 ай бұрын
Taarifa mweshimiwa
@jumamavind7713
@jumamavind7713 3 жыл бұрын
Profesa Kabudi nijembe jingine la watanzania,tumtumie vizuri
@josephkaimenyi4613
@josephkaimenyi4613 Ай бұрын
Uyu proffesor anafaa akue Rais wa tanzania
@hassanhasano6201
@hassanhasano6201 6 жыл бұрын
Safi professor wape elimu waelewe
@nuhubalandya9164
@nuhubalandya9164 5 жыл бұрын
Mzee uko vzr sana Leo nimekuelewa.
@hasionshekiondo6680
@hasionshekiondo6680 4 жыл бұрын
prof kabud ni mtu mwenye hekma zake na mtu anaefanya kitu ambacho anakitambua ila kuna wengine humoo acha tukae kimya wanakaz ya kushangilia na kupiga makosi alafu ni 0 tu
@richardkamenya3228
@richardkamenya3228 6 жыл бұрын
Ili kuweza kufukikua hatua yoyote ile ya mafanikio ni muhimu kufahamu kanuni au sheria za asili zinazotawala matokeo unayotarajia na kufahamu historian ya jambo lolote ni muhumili mkuu was kujenga hoja zenye mashiko tujenge tabia yakusoma ili kujenga hoja zenye mashiko Big up My Role Model Pro Kabudi
@mariethaawaki3008
@mariethaawaki3008 7 жыл бұрын
sina la kuongeza,heshima kwako mzee tunakuombea na uendelee kutuelimisha
@phillipianboy9069
@phillipianboy9069 4 жыл бұрын
Kutoka kenya mpaka bungeni nimetokea kumkubali sana huyu prof hatare
@frankmusa9254
@frankmusa9254 5 жыл бұрын
vizuri sana mhe.prof palamagamba kabudi kwa ufafanuzi mzuri .
@samwelmaburi3522
@samwelmaburi3522 4 жыл бұрын
Duuh!! Nmekubali cna chama ila nna prof.
@benedictmrisho1800
@benedictmrisho1800 2 ай бұрын
Kama ibara ya 8 ya katiba ya URT inaheshimiwa watekelezewe matakwa ya katiba ya umma ( katiba watakayoshiriki wote kuitunga na kuipitisha kwa umoja wao). Maneno huumba. Tuombe Mungu Mh Prof uyaone ungali hai.
@davidmrisho7588
@davidmrisho7588 2 жыл бұрын
Huyu mwamba mungu ampe maisha maref anafaida kubwa kwa nnchi yetu
@sabihimngetuka6971
@sabihimngetuka6971 6 жыл бұрын
Ukiona kimya vitu vinaingia
@deogratiuswilson8994
@deogratiuswilson8994 7 жыл бұрын
Tunahitaji watu kama hawa bungeni, sio vinginevyo.
@majurakiboga3430
@majurakiboga3430 7 жыл бұрын
Deogratius Wilson broo inabid aserch wengine tena ktk profession zingne ili kila wizara kuwe na kichwa
@franktimothkisimbo5354
@franktimothkisimbo5354 4 жыл бұрын
Daah nondo nzuur saan hasa kwa walimu wa uraia,civics na general study
@linkreuben5804
@linkreuben5804 4 жыл бұрын
Jamaa somi sana, limeenda shule Anafaa kuwa kiongzi Tanzania!
@paulotarimo206
@paulotarimo206 3 жыл бұрын
N kiongozi mzuri Sana
@onesmojustice2348
@onesmojustice2348 3 жыл бұрын
Nimerudi hapa baada ya kuona huyu ndo anafaa kuwa makamu wa raisi Tanzania baada ya jpm kulala.
@apostlelukumay1856
@apostlelukumay1856 3 жыл бұрын
Ahsante Sana Mh; Prof Kabudi kwa elimu teule
@ConrardSondas
@ConrardSondas 4 жыл бұрын
Profesa uko vizuri
@benochengele2296
@benochengele2296 4 жыл бұрын
You were there When the Law was Law and when the President was President!
@emanueljoshua9393
@emanueljoshua9393 4 жыл бұрын
Aaah muzee wewe material
@shedeck8974
@shedeck8974 3 жыл бұрын
Huyu jamaa anajua aisee...
@mako331
@mako331 7 жыл бұрын
tuna wabunge wengi hawana uelewa kabisa wa katiba, safi Jpm kutuletea wasomi humu, sio porojo
@josephgomalo41
@josephgomalo41 5 жыл бұрын
Wabunge vilaza wanatumia madesa ya pale kwenye mdigirii.. wanakopi tu..!
@erickchitumbi1308
@erickchitumbi1308 5 жыл бұрын
Kabudi unajua
@nkyabosi4827
@nkyabosi4827 4 жыл бұрын
Yani mpaka spika anatabasamu hi ni lecture kweli
@thefeedstv9762
@thefeedstv9762 4 жыл бұрын
we spoke when the law was low and when the president was president
@romeraphael6472
@romeraphael6472 5 жыл бұрын
Naonaga unaongea points sana sijui ni nini adi naisi unazungumza ukwel mm sio mwana CCM
@mohammedmdangwe2056
@mohammedmdangwe2056 5 жыл бұрын
huyu ni rais ajae
@abdillahkhamis2059
@abdillahkhamis2059 2 жыл бұрын
Nakubali kazi professor wewe ni mtu mahimu cn katika taifa letu
@tonynuru435
@tonynuru435 4 жыл бұрын
NOW NDO NIMEPATA JIBU KWANN MUUNDO WA BENDERA YETU YA TAIFA INAFANANA NA MUUNDO WA NCHI YA TRINIDAD AND TOBAGO 🇹🇹🇹🇹 !!
@issayamshana3750
@issayamshana3750 3 жыл бұрын
Samahan tutafutane 0744412614
@ufunuoeliya7868
@ufunuoeliya7868 5 жыл бұрын
jamaaa Kichwa duu
@abdulkarimurassa3548
@abdulkarimurassa3548 4 жыл бұрын
Huyu jamaa yuko makini sana, uprofessa wake ni wa uhakika
@humphreymwihambi4330
@humphreymwihambi4330 2 жыл бұрын
Kwahiyo wengine sio wa uhakika?
@ahmedjamal5084
@ahmedjamal5084 6 жыл бұрын
Prf nakuheshim saaaaaaaana hii hotuba nairudia nakurudia umetoa elimu kubwa mno
@mashakamarikomalyante243
@mashakamarikomalyante243 6 жыл бұрын
huyu kweli ni msomi
@richifrenki135
@richifrenki135 5 жыл бұрын
Mzeeee uko safiiiiiiii wape mawee wakarambaa hoo
@samwelmaburi3522
@samwelmaburi3522 4 жыл бұрын
Kwa huyu jamaa tu hata lisu akasome yaan ni zero brain.!!
@ConfusedDaisies-rb5
@ConfusedDaisies-rb5 5 ай бұрын
Safi sana prof
@vstvst3135
@vstvst3135 3 жыл бұрын
Kabudi for president.
@nelibaba
@nelibaba 7 жыл бұрын
Tanzania inaelekea mahala pazuri
@petrolukumay6627
@petrolukumay6627 6 жыл бұрын
hongera mzee
@khalidawadh9352
@khalidawadh9352 2 жыл бұрын
Hongera pro kwa lecture
@busegamediatanzania
@busegamediatanzania 4 жыл бұрын
Embu sema Palamagamba Kabudi
@andrewndambuki2207
@andrewndambuki2207 4 жыл бұрын
Great legal mind
@florafilbert9817
@florafilbert9817 4 жыл бұрын
Ndo raha ya kuwa na wasomi
@kiwisesenior4273
@kiwisesenior4273 6 жыл бұрын
uko vozuri saana waziri
@mariethaawaki3008
@mariethaawaki3008 7 жыл бұрын
uprofesor wako ni wa halali.
@josephjosephat7826
@josephjosephat7826 4 жыл бұрын
Hahahahaaaaaaaaaaa !!!!!!!
@lupakisyomsese8210
@lupakisyomsese8210 6 жыл бұрын
Baba kiukweli unaimudu nafasi uliyopewa
@michaelmathew8309
@michaelmathew8309 5 жыл бұрын
Umenifundisha kitu pro.Kabudi
@lameckgunze6376
@lameckgunze6376 3 жыл бұрын
Msidhani Raisi ni binadamu mmoja anayetembea la hasha ! Raisi ni Taasisi imekaa vyema mno
@sdawalokole9489
@sdawalokole9489 7 жыл бұрын
kubaghazana.........kabudi oyeeeeeeee
@majurakiboga3430
@majurakiboga3430 7 жыл бұрын
Tigahwa Mugongo lissu na wanasheria uchwara vichwa chini
@barakangogo7391
@barakangogo7391 7 жыл бұрын
paramagamba anatisha kuna wabunge wanasheria walikuwa wnapotosha uma
@josephgomalo41
@josephgomalo41 5 жыл бұрын
Sababu ya madesa ya pale kwenye mdigirii.. wanakopi tu..!
@eastafricabrokerkiller8028
@eastafricabrokerkiller8028 3 жыл бұрын
Kabudi kweli umenifurahiaha
@franceyaraby4342
@franceyaraby4342 3 жыл бұрын
Much respect my lecture in KZfaq
@jumadema7646
@jumadema7646 4 жыл бұрын
Wape shule hao jamaa zetu!
@fanbullalukasa486
@fanbullalukasa486 4 жыл бұрын
Ukiona wabunge wasumbufu wasomi wamekaa kimya ujue somo limeingia hapo wapinzani nimewakubari kwa uturivu na ndio maendeleo safi sana,ukiona comment ya kupinga ujue hata darasani alikuwa mtolo
@chia9963
@chia9963 7 жыл бұрын
hiki nacho nikichwa
@majurakiboga3430
@majurakiboga3430 7 жыл бұрын
Chia sana
@noelchao292
@noelchao292 3 жыл бұрын
Tena kichwa kikubwa sanaaa
@benedictmrisho1800
@benedictmrisho1800 2 ай бұрын
"Ibara ya 8 ya katiba ya URT wananchi ndio mamlaka ya nchi sio sisi wah wabunge"
@bellutbellut3049
@bellutbellut3049 3 жыл бұрын
Prof Kabudi anafaa kuwa makamu wa Rais wa Tz .
@benedictmrisho1800
@benedictmrisho1800 2 ай бұрын
"Don't dare me we spoke when the law was law and the president was the president ( Mwl Julius Nyerere)."
@zebedayophilimon7834
@zebedayophilimon7834 3 жыл бұрын
Kumbe jamani kabudi ni jembe Kia's hiki 🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🙏
@masanjemuyenjwa2434
@masanjemuyenjwa2434 5 жыл бұрын
The next president that i wish to be
@rodrickmzuna66
@rodrickmzuna66 3 жыл бұрын
That is how ithink too
@harunilibangite7205
@harunilibangite7205 3 жыл бұрын
Sasa waziri wa mambo ya nje ni nan kama huyu ni wa katiba na sheria tena !!!??
@georgelukuba7696
@georgelukuba7696 4 жыл бұрын
MOJA KATI YA HAZINA MUHIMU KATIKA NCHI HII NI MH. KABUDI
@kagamedimaria4787
@kagamedimaria4787 3 жыл бұрын
Jamaa anatosha kua naibu rais wa tz
@redmondmulilo174
@redmondmulilo174 6 жыл бұрын
iyo nafasi ya waziri mku angegombea ichocheo cha uwaziri mku ndani ya bunge kama sipa alafu awemtendaji kweli wa serikali. make mda wowote anafukuzwa kazi na rais. alakini sipika wa bunge hawezi kufukuzwa kazi na rais
@jumakatema6348
@jumakatema6348 5 жыл бұрын
Rais ni tasisi. huyu mtu sio wa kawaida
@robertmwaipaja4794
@robertmwaipaja4794 Жыл бұрын
Hongeraxanaprof.kabundi
@killianwambura9584
@killianwambura9584 4 жыл бұрын
Hongera pro Kabudi
@sadikidaudi1223
@sadikidaudi1223 5 жыл бұрын
Professor
@margarethsolomon9823
@margarethsolomon9823 7 жыл бұрын
Serkali ishauriwe, isimamiwe na wabunge hapo bungeni kwa kupitia waziri mkuu na baraza la mawaziri na si vinginevyo. Madaraka ya Rais yaheshimiwe. Acheni kubaghazana, tusubiri kura toka kwa wananchi zituingize Ikulu. Tusitoane macho Ona CUF sasa wanavunjana miguu, tunaenda wapi jamani!!!!!!!!??????
@sundayharris8549
@sundayharris8549 4 жыл бұрын
tulieni mfundishwe bure... maana yake wengi hampo vizuri kisheria.
@gabrielmeshack7876
@gabrielmeshack7876 5 жыл бұрын
Kwa wasomi hawa TANZANIA tunaenda mbere piga kazi pr.
@mafurudonald4217
@mafurudonald4217 4 жыл бұрын
Kabudi
Prof. Palamagamba Kabudi Amwaga Madini Bungeni
41:02
Global TV Online
Рет қаралды 108 М.
Waziri Ashindwa Kujizuia  "Nitaleta Marks Zenu Hapa"
14:04
Global TV Online
Рет қаралды 325 М.
Amazing weight loss transformation !! 😱😱
00:24
Tibo InShape
Рет қаралды 55 МЛН
БАБУШКИН КОМПОТ В СОЛО
00:23
⚡️КАН АНДРЕЙ⚡️
Рет қаралды 13 МЛН
Zitto Kabwe VS Waziri Kabudi Bungeni leo 'Siingii mtegoni ng'o'
5:47
Azam TV - Historia ya kusisimua jaji mkuu mpya wa Tanzania
7:41
SUGU: "Please Don't Shut Me! Tubishane kwa Hoja na Siyo Bunduki"
11:24
Global TV Online
Рет қаралды 466 М.
Mahojiano na Tundu Lissu
27:29
KTN News Kenya
Рет қаралды 74 М.
DAKIKA 20 ZA PROF KABUDI, WABUNGE WAKIKOSOA KAMPENI YA MAKONDA
21:40
Mwananchi Digital
Рет қаралды 182 М.
HOTUBA YA RAIS KIKWETE BUNGE LA KATIBA MARCH 21 2014 BUNGENI DODOMA
36:46
ZITTO KABWE: "Tulieni Niwapige Nondo, Hamna Pesa Nyinyi"
8:01
Global TV Online
Рет қаралды 661 М.
Amazing weight loss transformation !! 😱😱
00:24
Tibo InShape
Рет қаралды 55 МЛН