Ukweli utabakia kuwa ukweli huyu jamaa ni level ingine . anajua anachoongea na Shelia imekaa vema . mifano hai anayo . mungu amjaalie sana .
@sammabula73596 жыл бұрын
I love this man let him run 4 presidency in future I will campaign for him
@binbadru16542 жыл бұрын
mie naona mnahangaika tu sheria nzuri za kufuata ni zile alizotuletea M/Mungu peke yake,huko mliko ni mzunguko tu hamtapata suluhisho
@uthmanihimbawe52442 жыл бұрын
Umesema kweli
@muhammadkassim62912 жыл бұрын
Sahihi
@jovenaryjoseph13606 жыл бұрын
Great speech. I salute you Prof.
@kennedjohn57855 жыл бұрын
Wow!!I've enjoyed your presentation Prof.
@paulina.baynit79706 жыл бұрын
Hongera sana baba kweli umesomea na unajua vyema unacho kisema, Mungu akubariki sana baba.
@SayilugandyakiluluАй бұрын
Congratulate my father 4zt
@r14kgroup683 жыл бұрын
Sina Cha kuongeza wakupe umakamu warais
@hamismwangi46426 жыл бұрын
Huyu waziri akianzaga kuongea nakaa kimya kumsikiliza anaijua Tanzania vyema ni moja ya tunu zetu tulizobarikiwa akiongea hutotamani amalize
@kaizamulinda6336 жыл бұрын
Kabudi ni baraka kwa Taifa
@alihijiiddi89776 жыл бұрын
MUONGO HUYU HUMFAHAMU TU MUONGO KWA MAMBO YA MUUGANO NA KASOMESHA MAZUNGUMZO YAKE SINTOFAHAMU HUYU ANAWAZUBAISHA NYIE TU NA VICHWA VIBOVU MCHONGANISHI HUYU ANALOZUNGUMZA LEO KESHO HAJUWI AZUNGUMZE VIPI 😇😇👹👹👀👀
Si Wakatoliki tu mheshimiwa waziri hapa ni suala la Biblia hivyo nakubali kuwa suala la sheria ya ndoa ya mwaka 1971 si ya kuchezea hovyohovyo.
@teddymwageni17633 жыл бұрын
Biblia agano la kale linaruhusu
@Expedito2512 Жыл бұрын
Kwa masuala ya ndoa kwa wakatoliki ni ngumu zaidi
@teddymwageni17633 жыл бұрын
African life span imeshuka jamani punguzeni umri wa kuolewa mwanamke uanzie 16.pia umri wa kustaafu uwe 50 kwa hiari na 55 kwa lazima, watu wanakufa bila kutumia pesa zao
@obedmwakalonge1372 Жыл бұрын
Mzee alikuwa na Vichwa asee
@eventelias35664 жыл бұрын
7.17 naomba unitajie Mh. doh!😂😂😂
@emmanuelmlowe-ew7gx Жыл бұрын
Kaburi ni shida kwel
@andrewmsuya22325 жыл бұрын
Nikweli mueshimiwaaa
@lukalulambo82972 жыл бұрын
Ishi miaka mingi profesa
@fpyusuphmagige39545 жыл бұрын
Wewe Mzee unajua nafurahi kukufahamu. Naweza sema wewe sio Mzee bali ni kijana. Nakumbuka prof Shvji alisema ujana sio umri Bali ni fikra. Nakupenda sana Prof Palamagamba Kabudi
@danielmkulat1598 Жыл бұрын
Wambie ukweli baba
@MbataNgonkola-sl8lv2 ай бұрын
Bi mdashi rudisha hii kichwa
@sudaissoud36703 жыл бұрын
Jamaa simpendi huyu..
@teddymwageni17633 жыл бұрын
Kakufanya Nini? Hupaswi kuyatoa ya moyoni mwako kwenye media
@emmanuelmlowe-ew7gx Жыл бұрын
Samia aliumiza sana watanzania kumwondoa huyu jamaa na lukuvi halafu akaweka watu ambao niwezi watupu.
@johnedward24896 жыл бұрын
Umenena vyema!
@aloycemabula86496 жыл бұрын
Huyu ni noma, kweli kasoma sio mchezo
@rahmsjames93656 жыл бұрын
Bola muongeze wanawake hata 2 au 3
@e-mzambuli66472 жыл бұрын
Tarime Ni ajari
@jumamavind7713 Жыл бұрын
Kama utashindwa kumuelewa huyu jamaa basi utakuwa unamatatizo
@saidieiddy13813 жыл бұрын
Palamagambaaaaa
@williamgideme2689 Жыл бұрын
Palamagamba endelea kutuelimisha, hata ile sheria ya kujamiiana, ya kijana wa kiume kuitwa kabaka na wa kike akizaa anarudi shule yule wa kiume anafungwa maisha. Inaakilllliiiiii? Kuna mambo ya kifanya . KUFUNGWA MAISHA AU MIAKA 30, TUNAIANGAMIZA ZAIDI KIMAADILI.
@allybamba311010 ай бұрын
unatakiwa uwe raisi baba
@sasha-ri7tf3 жыл бұрын
Hata ukitowa macho kama umevuta cocaine,lanaa na halalbadri za wenye kudhulumiwa zitakuandama tu.
@emmanuelmlowe-ew7gx Жыл бұрын
Huyu angekuwa rais tungejinoma
@masala80992 жыл бұрын
kabudi ni mlevi apuuzwe
@mdedsm55222 жыл бұрын
Nmekulewa sana kweli ww ni msomi
@sabihimngetuka69715 жыл бұрын
Tungependa kila muda itafsiliwe sheria hasa kpind cha matukio yenye utata
@novesnuhunathan26653 жыл бұрын
#Kabudi
@sakowamakavu57116 жыл бұрын
Yuko na mkazo na hoja zake na maelezo yake
@pauldaniel56856 жыл бұрын
sako Wamakavu because he has facts. Kwa msomi na mtu muelewa kwa jambo fulani ni vema kuzungumza kwa vielelezo na si maneno tu.
@maghanighanichali9519 Жыл бұрын
Mwamba waambie watakuelewa tu
@ibrahimbaila17496 жыл бұрын
kiukweli watu wanafariki mapema. so ataumri wakuolewa nilazima iww16 ataule usemi was chini 18 tufute
@richardfrank11484 жыл бұрын
Babu hatarisana wewe
@jaliabahat15202 жыл бұрын
udini tu Lindi na mtwala talime ajali tu
@nuhubalandya91645 жыл бұрын
"Huku chini hakujafungwa" nin maana yake ? cjamwelewa
@rahimbpingu60825 жыл бұрын
ujaelewa nini? chini hakujafungwa!!!!!!!!!!
@nasibugunda79274 жыл бұрын
Ukienda kunya weka kioo ujiangalie huko chini
@rahmsjames93656 жыл бұрын
Kwahyo mnakubari kuzini mkae mke 1
@josephmchila64676 жыл бұрын
Astrong speech
@engibertmzaula94615 жыл бұрын
abarikiwe Rais aliyekuona kuwa unafaa,,,,mm n Mwanafunz Wa sheria hakika nimekutaman Mheshimiwa wazil Wa sheria
@abrahamkibona70385 жыл бұрын
Sasa kelele za nini nyie wabunge?
@josephkafumu3006 Жыл бұрын
Aaaa wewe nikichwa mzeeeee nakukubali sana
@mwawekomiuda97792 жыл бұрын
Umetoa sana mifano ya ulaya na ulaya ni wakiristo. Ss waislam M'mungu ktk uislam ameweka kila kitu sawa kabisa. Kazi iko kwenu wakristo kila siku mnatunga sheria zenu upya
@mwawekomiuda97792 жыл бұрын
@Phillip Mbuligwe Sijaandika kila mwaka ila mnatungiwa sheria mpya mpya hata kitabu chenu mmejitungia agano jipya. Mnajipangia wenyewe tu mnavyotaka. Kwani tatizo nn? Si ni ukweli mtupu. Ss nitafakari nn ????
@pelgroup439 Жыл бұрын
Elimu ndogo n sumu, kasome uelewe
@emmadora7848 Жыл бұрын
Shule ni muhimu sana
@mwawekomiuda9779 Жыл бұрын
@@emmadora7848 what do you mean?
@shekhally57412 жыл бұрын
Badili sheria zote duniani lakini si ya dini ya kiislam hatungwi na mtu wala serikali zaidi ya qur-aan ambayo ni maneno ya mungu na sunnah za mtume muhammadi (s.a.w)
@michaelkinga8216 жыл бұрын
suala la tarime ni ajali!!.
@abdulrahmanally14122 жыл бұрын
Umejua hili ni kaa la moto, huna uwezo wa kubadilisha Sheria ya Kiislamu, wewe zungumza tu kufurahisha wanaokupigia makofi, Sheria ya ndoa ya kIislamu ni kwa Mujib wa Qur'an ambayo hakuna yeyote duniani anayeweza kuibadili
@humphreymwihambi43302 жыл бұрын
Kwani ya wakristo nani anaweza kuibadili?
@alhaddajmohammed47682 жыл бұрын
@@humphreymwihambi4330 papa (binAda) anaweza kubadili. Sheria za Kiislamu tunaelewa na kuamini ni sheria zilizopangwa na Mungu Muumba na Mungu Mola Muumba hakosolewi sababu hana sifa ya kukosea ila binAdam wanasifa ya kukosea ndomana sheria za kutungwa na binAdam hubadilishwa kila mara kwa kutokana na madhaifu ya kibnAdam.
@pelgroup439 Жыл бұрын
Kasome uelewe mambo
@emmadora7848 Жыл бұрын
Kusema kweli wazazi ambao hawajasoma ndio wanaoozeesha watoto katika umri huo lkn walio soma si waisilamu Wala si Wakristo hakuna wanaoozeesha watoto kwatika umri mdogo ,zaidi sana hata wakifeli wanawatafutia namna ,kataa kubali huo ndio ukweli
@sudaissoud36703 жыл бұрын
Hujui ndoa wewe...nenda kwenye Qurani ndoa imeelezwa ...wewe mnafiki2