RAIS DKT MAGUFULI AZUNGUMZA NA WAFUNGWA NA MAHABUSU KATIKA GEREZA LA BUTIMBA JIJINI MWANZA

  Рет қаралды 1,322,793

Ikulu Tanzania

Ikulu Tanzania

5 жыл бұрын

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt John Pombe Magufuli akitekeleza majukumu ya kiserikali

Пікірлер: 469
@user-lw3pq5yh9d
@user-lw3pq5yh9d 5 ай бұрын
Yan huyu mzee hyu ni1kwa1 pepon kabisayan❤❤❤❤jonh
@stephanojames2935
@stephanojames2935 Жыл бұрын
Mungu ailaze roho ya marehem magufuli mahalipema pepon
@givenjackson5449
@givenjackson5449 Жыл бұрын
Yuko wap uyu rafiki yangu what a lovely president 😭
@maramegamahega1991
@maramegamahega1991 9 ай бұрын
Mlio mkumbuk magufuri 😢😢😢 tujuane
@MarryLinors-hj7jb
@MarryLinors-hj7jb 9 ай бұрын
Ila huyu raisi alijitoa sana wala hakuogopa kua angeweza hata kudhuriwa na hawa watu,, Magufuli endelea kupumzika kwa aman😭😭😭ndo Nyerere wa pil
@MwanaharusiJumanne
@MwanaharusiJumanne 3 ай бұрын
Amina ♥️♥️♥️
@japhetmalahuleokilangi9872
@japhetmalahuleokilangi9872 5 жыл бұрын
Afande Kaufyata Mkia Hahahaaaa Chezea Magu Wewe
@gilbertmwilu7429
@gilbertmwilu7429 Жыл бұрын
😅
@grease7635
@grease7635 Жыл бұрын
Hakika mungu hajawah kuwaacha walio wake mungu nimwaminifu anatenda Kwa wakat tusio udhan.
@giftladis
@giftladis 4 ай бұрын
Tumtoe wapi raisi kama huyu kwetu Congo🇨🇩🇨🇩🇨🇩 😭😭😭
@olivasumundi9227
@olivasumundi9227 Жыл бұрын
Tunapenda kizazi Chalo kikurithi na kifanye Kama unachokifanya RIP my 😂🤣😭❤️❣️💘💛💚 President
@msafirinampya8986
@msafirinampya8986 Жыл бұрын
Leo nimemkumbuka Sana mheshimiwa mpaka machozi yamenilenga mungu amlazemahalipema peponi
@aloycesamba998
@aloycesamba998 4 ай бұрын
Amina
@MwanaharusiJumanne
@MwanaharusiJumanne 3 ай бұрын
Amina
@zuberigwakula8531
@zuberigwakula8531 5 жыл бұрын
Nimejikuta naliatu kiukweli
@King_Of_Everything
@King_Of_Everything 5 жыл бұрын
Muheshimiwa Raisi ameongea kwa hekima kubwa sana aiseeh. Mungu amuongoze vyema.
@lucaskanga6342
@lucaskanga6342 Жыл бұрын
T
@abdifatahbarkatle8696
@abdifatahbarkatle8696 3 ай бұрын
😊
@MwanaharusiJumanne
@MwanaharusiJumanne 3 ай бұрын
Amina 🙏🙏🙏
@kaburamechack4071
@kaburamechack4071 Жыл бұрын
Kweli tulimpoteza mutu muhimu katika taifa letu Mungu Amulaze mahali pema 🙏🙏🙏🙏
@JohnNjengaCOCO
@JohnNjengaCOCO 5 жыл бұрын
Magufuli mungu amulinde kweli. Gereza za hapa Kenya zaidi ya asilimia 50% ya wafungwa ni kusingiziwa au kutopata lawyers wa kuwatetea vilivyo.
@victoriamazula5592
@victoriamazula5592 3 ай бұрын
So sad alinyakuliwa malema mno
@mourinhonyamkekwa3568
@mourinhonyamkekwa3568 11 ай бұрын
Raisi wangu umelala chato,kwa sasa tunaishi kama wakimbizi kwenye nchi yetu
@user-so2si9dt9u
@user-so2si9dt9u Ай бұрын
Pole baba makonda anakuja Tena huyu mwingine tangu aingie madarakan nikuzurura tu makonda anakuja baba kuwa na aman
@qasammamachinya4448
@qasammamachinya4448 7 ай бұрын
Alikuwa mwenzetu, mungu amemkuchua, tunaomba mungu type mwingine mbora zaidi atimize kazi Yako,
@jacksonkabaata6011
@jacksonkabaata6011 3 ай бұрын
Anakuja Amin tu
@Theloopmenu
@Theloopmenu 7 күн бұрын
Mwenzetu😢😢😢
@mswanawamswana3129
@mswanawamswana3129 5 жыл бұрын
Umemuuliza swali la kiufundi huyu mfungwa wa Mwisho. Kama mguu wa tatu unafanya kazi.
@abubakarmwita6974
@abubakarmwita6974 Жыл бұрын
Mungu akueke mahali pema na naomba kizazi chako kiwe na muongozo kama wako
@neemagabrieli-ff4mq
@neemagabrieli-ff4mq 11 ай бұрын
Jaman namkumbuka babayetu wa taifa rais john pombe magufuli tunakukumbuka sana laiti ungekuepo leo
@nimujocentre2173
@nimujocentre2173 5 жыл бұрын
Hii inatufundisha mengi lakini kikubwa tuamini kuwa kiongozi sio kazi ndogo...Respect to you my President
@ramadhaniamri3465
@ramadhaniamri3465 Жыл бұрын
Rest in peace mkuu....Mungu Baba naomba utupe Raisi kama huyu wa Tanzania.....Aamiin
@WeInHere-nr8yz
@WeInHere-nr8yz 8 ай бұрын
haitakuja kutokea tena
@kellennehemiah2534
@kellennehemiah2534 5 жыл бұрын
Mungu aendelee kukutia nguvu baba wa baba la Taifa na uzao wako ukabarikiwe
@susananyasani6526
@susananyasani6526 11 ай бұрын
Wasemaji wote mbele ya Rais Magufuli aliyetuondokea nimepatwa na Uchungu wa Machozi Rais wa Wanyonge pumzika kwa Amani Wananchi babo wanakukumbuka kwa wema wako
@meshackgerald4032
@meshackgerald4032 Жыл бұрын
MUNGU tusaidie tupate kiongoz kama huy anaye sikiliz kero za watu masikin
@mswanawamswana3129
@mswanawamswana3129 5 жыл бұрын
Umenigusa sana Rais JPM. Umejibainisha kuwa wewe ni Rais wa wanyonge na mtetezi wao. Barikiwe sana Rais wetu
@gastoenock3020
@gastoenock3020 7 ай бұрын
Mungu amlaze marehemu JOHN POMBE JOSEPH MAGUFULI mahali pema peponi amina
@MwanaharusiJumanne
@MwanaharusiJumanne 3 ай бұрын
Amina kubwa 🙏🙏🙏❤❤❤
@mkangyailutashaggy7207
@mkangyailutashaggy7207 Жыл бұрын
Moyo unaniuma mno, tupo huk tuna furahia maisha wezetu wanalia mno, Mungu wape wepesi wanao
@user-es6rf4jq9w
@user-es6rf4jq9w 10 ай бұрын
Mungu akusamehe makosa yako kutoka ndani ya moyo wangu na akupe pepo unayo stahili kiongozi wa Africa
@MwanaharusiJumanne
@MwanaharusiJumanne 3 ай бұрын
Amina
@Theloopmenu
@Theloopmenu 7 күн бұрын
Km mmungu angetukubalia,amrehemu Rais wetu😢
@IddiJumanne-po2pp
@IddiJumanne-po2pp Жыл бұрын
Mungu ailaze roho ya marehemu peponi amen
@gaspeldaniel1140
@gaspeldaniel1140 Жыл бұрын
Huyu ndie Rais siyo sasa Raisi hajui hata watu wake wanaamka vip
@susananyasani6526
@susananyasani6526 11 ай бұрын
Natumaini kazi aliyoacha Rais Magufuli wakati wa Uhai wake inaendelea kufanyika kama aliyosema alipokuwa hai
@c.e.omasasi5131
@c.e.omasasi5131 Жыл бұрын
2022 November 😭 Rip my father John
@kidrajuma4092
@kidrajuma4092 Жыл бұрын
wema awana maisha cku zote
@auntmakochela4202
@auntmakochela4202 3 ай бұрын
Kweli 😢😢😢
@rashidkassim7836
@rashidkassim7836 Жыл бұрын
Nothing to say ila tamkumbuka sana mzee magu mungu ampunguzie makosa🙏🙏💯💯
@user-oi8yj1wy7t
@user-oi8yj1wy7t 9 ай бұрын
So now Magufuli had tojust leave us with tears. I hate to question my God, but God are we so cursed not to deserve such blessings of people like these ones? Kuna kipi tunaweza kifanya ee Mungu ili sasa adhabu yetu ifike tamat nasi pia tufurahie uongozi kama huu. Asante sana Tanzania kwa kutupa huyu ambaye Kenya na Afrika nzima tunamenzi sana.
@willistonemdindi9898
@willistonemdindi9898 9 ай бұрын
I have no question to ask you God you had a reason to take Magufuli ,am kenyan but this was the best African president continue resting in peace 🎉
@fadhilikaphizi7772
@fadhilikaphizi7772 2 жыл бұрын
Pumzika Kwa amani Mzee wetu
@JumanneAbdallah-vp3vk
@JumanneAbdallah-vp3vk Жыл бұрын
MUNGU akubaliki
@safari5774
@safari5774 Жыл бұрын
We will never forget you
@bettymapesa34
@bettymapesa34 Жыл бұрын
😭😭 ingekua inawezekana kurud we baba ningemuomba Mungu kwa bidii zote ili urudi tena Dunian
@JohnNjenga-em4fd
@JohnNjenga-em4fd 6 ай бұрын
True leader,chosen by God him self...
@vincentkadzomba3717
@vincentkadzomba3717 Жыл бұрын
Hatutapata Rais kama East Africa nzima tunakutambua uliko 🙏 RIP Kiongozi
@bettymapesa34
@bettymapesa34 Жыл бұрын
Achen tu kwakweli huyu baba Mungu ampe pumziko la milele
@issabella1455
@issabella1455 Жыл бұрын
Mweshimiwa rais makufuli mwenyezi mungu akulinde mahali pema peponi
@user-ct4jp1ux1z
@user-ct4jp1ux1z 11 ай бұрын
Hakika Magufuli umetuachia majonzi makubwa. We really miss you. Tutakukumbuka daima. Haya mazuri hayazungumzwi ila wanatoa kasoro tu wamesahau kwamba hakuna mkamilifu isipokuwa Mungu tu. RIP Magu.
@salumumsike8175
@salumumsike8175 5 жыл бұрын
Jamaa anamuangalia vibaya sana mfungwa..
@michaelthobias9967
@michaelthobias9967 Жыл бұрын
Najisikia vibaya moyoni mwangu kwajili ya kifo Cha hiyu binadamu Bora zaidi kuwahi kuishi ktk taifa langu mungu wewe ndio unajuwa pumzika kwa amani
@KelvinNassary-ld5yg
@KelvinNassary-ld5yg Жыл бұрын
A long night!!! 😭😭😭 knowing that this can never be replaced!!! Its gone and its gone Glory to God!!!😭😭😭
@brunomirambi8792
@brunomirambi8792 Жыл бұрын
MAGUFUL ULIKUWA MWANAUME WA SHOKA
@giftkitua9712
@giftkitua9712 10 ай бұрын
No one like you baba😢😢
@simontamba2189
@simontamba2189 Жыл бұрын
Ulikuwa na uzalendo Baba Rip no one can replace you
@joelmusyimi2565
@joelmusyimi2565 7 ай бұрын
Huyu rais nilimpenda xan i wish angekuwa rais wa kenya was a man of God kabisa alichaguliwa na mungu
@user-jm1kg4lu7b
@user-jm1kg4lu7b 8 ай бұрын
Ilikuwa raha sana wakati upo rais wangu mpenwa❤❤❤❤❤
@DenisOkuzi-je8jb
@DenisOkuzi-je8jb 6 ай бұрын
Rest in power comrade rais John Pombe Magufuli. You were a blessing to us.
@MwanasitiSalim-yb3dm
@MwanasitiSalim-yb3dm 5 ай бұрын
Lllllllllllllllll
@meshaksaidimusukuruiet-gc2zb
@meshaksaidimusukuruiet-gc2zb 11 ай бұрын
😭😭😭mungu ailase mahali pema Peponi mbado nakupenda sana ❤❤
@salomeorango9041
@salomeorango9041 Жыл бұрын
Huyu ndiye Rais halisi
@jumakichamo1344
@jumakichamo1344 5 ай бұрын
Huyo jamaa alieomba ni hatari sijawaah sikia,nasema sijawahi sikia.❤
@user-wh5gr3yw9s
@user-wh5gr3yw9s 10 ай бұрын
This was a gospel God nionyeshe Mungu
@wigoxfashionkiller8675
@wigoxfashionkiller8675 4 ай бұрын
Rest in peace kiongozi wetyu
@JoselineHokororo-ny3ke
@JoselineHokororo-ny3ke Жыл бұрын
Tunakukumbuka sana,chema hakidumu
@elisantej5512
@elisantej5512 5 жыл бұрын
Kama na wewe umesikia mtu akisema "uongoze miaka 100"
@yusufuheri6524
@yusufuheri6524 Жыл бұрын
Yahni
@amanihans5367
@amanihans5367 Жыл бұрын
Dah ila.Magu asee Mungu amsamehe makosa roho ailaze mahali pema
@japharykassim6371
@japharykassim6371 5 жыл бұрын
Kwani hawa wanaojiita watetezi wa wananchi wanapotoka magereza mbona haya huwa hawayasemi?
@user-wh5gr3yw9s
@user-wh5gr3yw9s 10 ай бұрын
This was a man of God
@khamisabdulla9517
@khamisabdulla9517 28 күн бұрын
STAFF SERGENT hongera❤
@emmanuelmwamlima1027
@emmanuelmwamlima1027 6 ай бұрын
DAAAH WE MUNGU KAMA ALIKOSEA MAHALI UNGEMPA HATA NAFASI YA MWISHO, KAMA ULIVYOMPA EZEKIEL, HATA HIVYO TUNAJUA WEWE NI MUNGU, NA KILA UNALOLIFANYA HALINA MAKOSE, TUNAKUSHUKURU HATA KWA MUDA ULIOMUWEKA KUWA RAIS WETU, HAKIKA MENGI TULIJIFUNZA
@ochiengbrian5065
@ochiengbrian5065 9 ай бұрын
RIP from kenya we loved uuuuu
@mashmashmkeyenge9210
@mashmashmkeyenge9210 5 жыл бұрын
MHESHIWA MM NINA OMBI ..WAFUNGWA WAFANYE KAZI NA PIA WALIPWE MISHAHARA KAMA WANAOFANYA KAZI URAIANI, WASAIDIE FAMILIA ZAO NJE ..MAANA KUFUNGWA NI KUNYWIMA UHURU TU ,LKN TUKIENDELEA NA MATESO JERA TUNAPOTEZA NGUVU KAZI.
@yusufuheri6524
@yusufuheri6524 Жыл бұрын
Tatizo wakilipwa mishahara wafungwa wataongezeka
@poaswahilimovies99k
@poaswahilimovies99k 9 ай бұрын
Point
@elizabethngowi6442
@elizabethngowi6442 24 күн бұрын
Pumzika kwa Ani mzee wetu,kiongozi wetu mpendwa.....tunakukumbuka Sana.
@Nyaburyaofficial217
@Nyaburyaofficial217 9 ай бұрын
Rest easy John pombe magufuli Mungu saidiya afrika utupe viongozi kama Magufuli
@marygregory7566
@marygregory7566 Ай бұрын
Mungu wetu mwema tupatie tena kiongozi mwenye hofu ya kukuogopa wewe Mungu
@AziziMsumba
@AziziMsumba 10 ай бұрын
Mungu wajalie wote
@user-ml4vn5zq9l
@user-ml4vn5zq9l 8 ай бұрын
Mungu wetu tunashukl sana kwa rais john pia tunaomba utujalie rais mweny hofu ya mungu
@user-dz1us2xw2s
@user-dz1us2xw2s 5 ай бұрын
Ivikweri baba ameenda kuskojurikana rest in peace babanimekukumbuka duuuh 😭😭😭
@hamisimkongwe5035
@hamisimkongwe5035 Жыл бұрын
Mungu akuzidishie pumziko la milele
@Madmax_kingTz
@Madmax_kingTz 9 ай бұрын
Nimepita kurudia rudia mambo yako mzee wewe hakika ulikuja kwa mipango ya MUNGU. Na kila kauli yako ulisisitiza tumtangulize MUNGU
@givenjackson5449
@givenjackson5449 Жыл бұрын
Kuja kwangu hapa Ili wewe UINULIWE hahahahaha ila magufuli jaman😭😭
@muhammadvirjee
@muhammadvirjee Жыл бұрын
RIP ma president John Pombe Joseph MAGUFULI 🙌🙌🙌m
@stevenbupamba4161
@stevenbupamba4161 5 ай бұрын
Jamani hakuna Rais ambaye atavunja record ya huyu mwamba.Mungu ampumzishe kwa amani.Amepigana vita mwendo kaumaliza.Apumzike kwa amani.Amen
@StewartUkason
@StewartUkason 3 ай бұрын
Sasa mtu amekamatwa Kwa ishu ya mafuta, halafu anapewa kesi ya mauaji...hii imekaaje ndugu zangu watanzania!? Tutampata wapi mtu kama huyu, ambaye Mungu alikaa ndani yake?
@user-qv2hj9rc3f
@user-qv2hj9rc3f 10 ай бұрын
Mungu aturehem maana tulikua na lulu tushndwa kuielewa haraka but hakika huyu alikua rais halali hatatikea mwingine
@user-zo9wt8vx8c
@user-zo9wt8vx8c 11 ай бұрын
Mbona maraisi wengine wasiige mienendo ya huyu kiongozi mpenda watu
@josephandrew8744
@josephandrew8744 5 жыл бұрын
Magufuli Oyeeee
@peterpaul591
@peterpaul591 5 жыл бұрын
Asante Rais wetu
@user-pt9kg9ri7r
@user-pt9kg9ri7r 3 ай бұрын
God Bless Him ,Tanzania and Africa as a whole is mourning him
@JoshuaJackson-of5mi
@JoshuaJackson-of5mi 20 күн бұрын
Fundisho sana na kwa viongozi wengine alikuwa na hofu ya mungu huyu kiongozi
@MeshackMarwakihengu
@MeshackMarwakihengu 2 ай бұрын
Mimi katika maisha yangu sijawahi kumpenda rais kwa kiwango kkubwa kama Magufuli
@rashidsaid678
@rashidsaid678 4 ай бұрын
Mwenyezimungu amulaze pema peponi R.I.P Magufuli
@rsonmangale
@rsonmangale Жыл бұрын
Lazima uyu king ako heaven
@akilimalilisholukazige
@akilimalilisholukazige 2 ай бұрын
mimi ni mkongomani ila tuta kukumbuka daima.
@ERASTOPONERA
@ERASTOPONERA Ай бұрын
Mungu amuweke mahali pema doctor john pombe magufuli
@hawamjungu3396
@hawamjungu3396 8 ай бұрын
😢😢😢😢 kwa kweli tutakukumbuka daima
@LAJUSEC
@LAJUSEC 7 ай бұрын
Mungu akubaliki sana raisi wetu, tutaendereya kukukumbuka na kufatiliya mufano wako muzuri baba!
@EmmanuelDaka-nu2dh
@EmmanuelDaka-nu2dh 10 ай бұрын
May your continue resting in peace president Magufuli
@user-ce4qg1gf9k
@user-ce4qg1gf9k 8 ай бұрын
I😊😅 1:28
@MwanaharusiJumanne
@MwanaharusiJumanne 3 ай бұрын
Mwenyezi mungu akupe pumziko la milele Amina 🙏🙏🙏
@scorahkuyava1834
@scorahkuyava1834 Жыл бұрын
Tutakukumbuka daima babaaaa😭😭😭
@DorcasManase-sp3ld
@DorcasManase-sp3ld 11 ай бұрын
Laiti wangekuwa wanarudi ningeomba huyu arudi jaman, ila yote sawa mungu ampe maisha ya raha
@mwanaidyhamis
@mwanaidyhamis 8 ай бұрын
Tunakukumbuka magufuli raisi wa wanyonge mungu akulaze nahala pema
@zuwenaalamin8985
@zuwenaalamin8985 Жыл бұрын
😭😭😭😭tutakukumbuka daima😭😭😭😭😭
@berthabushesha2068
@berthabushesha2068 Жыл бұрын
Pumzika kwa Aman baba
@JohnSebe-mp2fh
@JohnSebe-mp2fh 10 ай бұрын
Huyu ndiye raisi wa wanyonge
Rais Magufuli afanya ziara ya kushtukiza Terminal One JNIA Mei 13,2016
17:24
LIVE : RAIS DKT. JOHN P. MAGUFULI AKIWA NJIANI KURUDI DAR ES SALAAM
48:48
Can You Draw A PERFECTLY Dotted Line?
00:55
Stokes Twins
Рет қаралды 85 МЛН
MEGA BOXES ARE BACK!!!
08:53
Brawl Stars
Рет қаралды 35 МЛН
Maamuzi magumu aliyowahi kuyafanya Rais Magufuli katika uongozi wake
12:53
Mwananchi Digital
Рет қаралды 559 М.
MFUNGWA Amshushia MAOMBI MAGUFULI Gerezani/HAIJAWAHI KUTOKEA!
6:43
Global TV Online
Рет қаралды 272 М.
Wananchi 'WAMCHONGEA' MBUNGE, DC kwa MAGUFULI LAIVU - "WANATUTISHA"
15:50
Global TV Online
Рет қаралды 707 М.
Rais Magufuli afanya ziara ya ghafla Wizara ya fedha Nov. 6, 2015
14:29
Kipindi Maalum cha Rais Magufuli alipowasili Chato kwa mara ya kwanza
52:42
Can You Draw A PERFECTLY Dotted Line?
00:55
Stokes Twins
Рет қаралды 85 МЛН