No video

Rais MAGUFULI Alivyowabana TANESCO, Nusura AWATUMBUE!

  Рет қаралды 303,136

Global TV  Online

Global TV Online

Күн бұрын

Rais MAGUFULI Alivyowabana TANESCO, Nusura AWATUMBUE!
Rais Dk John Magufuli amelitaka shirika la umeme nchini TANESCO kuwasaidia wabunifu na wazalishaji ili waweze kuzalisha umeme mwingi zaidi.
Rais Magufuli ameyasema hayo leo alipokutana na John Mwafute pamoja na Gairos Ngairo ambao ni wakazi wa Mkoa wa Njombe wanaojishughulisha na uzalishaji umeme kwa njia ya maji na kusambaza kwa wakazi katika maeneo yao, Ikulu jijini Dar es salaam ambapo wazalishaji hao wamepewa jumla ya shilingi millioni 55 kwa ajili ya kuendeleza kazi zao, ambapo Rais amewachangia milioni tano,
Aidha katika hatua nyingine Rais Magufuli ametoa maagizo wabunifu hao kupewa cheti cha kutambua mchango wao katika maendeleo ya Taifa, na kuongeza kuwa kwakuwa wao hawana elimu yoyote juu ya umeme CHETI hicho ndicho kitakuwa utambulisho wao.
#IKULU
Https://www.youtube.co.... Watch More Videos here: goo.gl/GvVdZw Watch More Videos here: goo.gl/ae33fL Website: www.globalpublishers.co.tz FaceBook: globalpublishers
Instagram: globalpublishers Twitter: GlobalHabari Install Global App: ANDROID: goo.gl/QvT6RV Install Global App: iOS: goo.gl/2jDyho

Пікірлер: 347
@pastorhermantv5420
@pastorhermantv5420 6 ай бұрын
Wangapi tunaangalia 2024 tunatamani siku ziludi nyuma tuwe na raisi wetu MGFL leo umeme umekua dhahabu 😢😢😢😢😢
@sixberthcostantini9290
@sixberthcostantini9290 6 ай бұрын
Dah inauma sana
@shahabdallah9407
@shahabdallah9407 5 ай бұрын
hamna tumlaumu tu si alikua dikteta? haya sasa na tujionee..... @@sixberthcostantini9290
@blackkid7377
@blackkid7377 6 ай бұрын
Nipo naangalia baada ya shida ya umeme kutokea 2024
@fakiikibakola1300
@fakiikibakola1300 5 ай бұрын
KAMA UNAAMINI MAGUFULI ATALUDI NGONGA LIKE HPA
@brianeliaki9436
@brianeliaki9436 5 жыл бұрын
Huyu ndie kiongozi tunae mhitaji Tanzania. Na atakae kuja ajipange tunataka awe zaidi ya huyu "Tudhamini Vyetu kwanza".🇹🇿 kama tupo pamoja gonga like!
@josephelisha8413
@josephelisha8413 6 ай бұрын
This man was something else... May his soul find eternal peace
@khamishaji9508
@khamishaji9508 6 ай бұрын
Jamaa anatisha,, kweli hujui faida ya kitu mpaka kikutokee 😢😢
@khalidballeth5957
@khalidballeth5957 5 жыл бұрын
Huyu ni OUR HISTORY PRESIDENT KATIKA NCHI YETU,JAMANI SIJAWAHI KUPIGA KURA MAISHA YANGU,TO BE HONESTY KURA YANGU NA YA RAIS WANGU TU JPM,ni kuomba uzima tu INSHAALLAH tuombe uhai🙏🏻
@drgeofreykupaza7707
@drgeofreykupaza7707 4 жыл бұрын
Hapo umeanza kuzungumza Kama umesikia gonga like apa
@dicksonshekivuli3076
@dicksonshekivuli3076 5 жыл бұрын
Mh. Rais hongera sana kwa kuwaona wabunifu wetu wa ndani. Hao watu wapewe kibali mh. Rais wauze umeme na wapewe makadirio wachangie kodi serikalini. MUNGU AKUBARIKI SANA
@amirisingitu1631
@amirisingitu1631 5 жыл бұрын
Mh Rais wewe ni wamfano Duniani, Mwenyezi mungu akupe Afya njema ili ulitumikiye Taifa hili la Tanzania. Mh, Rais kwa uchapakazi ulionao wewe, miaka kumi ya kikatiba haitoshi , Mwenyezi mungu ametuchaguliya kiongozi sahihi, kwa maoni yangu, utuongoze miaka kumi na Tano, Inchi yetu itakuwa ya mfano wa kuigwa Duniani.
@saidysuleiman5360
@saidysuleiman5360 4 жыл бұрын
Raisi mwambie akujibu uyoo
@nwntz
@nwntz 5 жыл бұрын
KAMA UMESIKIA MKURUGENZI AKIMWITA RAIS MH. WAZIRI GONGA
@chedichedi1475
@chedichedi1475 4 жыл бұрын
😂😂😂 keshafurugwa yule
@nasseralhabsi1483
@nasseralhabsi1483 5 жыл бұрын
Mheshimiwa raisi, sisi wote tunakukubali.Kwa kweli ni hodari ktk. kila sekta, hudanganyiki. Tunakukubali ,hongera sana.
@kangongomusa9140
@kangongomusa9140 5 жыл бұрын
jembe LA tz imulike manyara kiteto Sunya utaona mapungufu makubwa sana tena sana
@luganosimon4111
@luganosimon4111 5 жыл бұрын
Really if we go in this way really we are going to fly soon and reach to Canan, congraturations our beloved president
@mkumbojaphe616
@mkumbojaphe616 4 жыл бұрын
Lugano imon
@jamesakhabuhaya6194
@jamesakhabuhaya6194 5 жыл бұрын
Asante hiyo point ya vyura,fuvu la mtu wa kale lipo karibu kuibiwa tanzania hii,hawamsaidii raisi
@husseinhussein4148
@husseinhussein4148 5 жыл бұрын
So proud of this president. God Bless 🇹🇿
@bedashauri8179
@bedashauri8179 5 жыл бұрын
Kunawakati mguu , useme utetee kazi
@mesutnyaryanga8932
@mesutnyaryanga8932 Жыл бұрын
And you will never see these type of people - kwasababu hamna 10% - hapa.
@henryford1571
@henryford1571 2 жыл бұрын
We miss you JPM,Itatuchukua miaka mingi sana kupata kichwa kama hiki
@emmanuelmlowe-ew7gx
@emmanuelmlowe-ew7gx 10 ай бұрын
Hatutampata
@neemakilomoni4258
@neemakilomoni4258 5 жыл бұрын
Yani mpaka namuonea imani huyo Baba wa Tanzania 🇹🇿 badilikeni jamani tu m support Rais wetu haya maendeleo ni ya kwetu sio yake acheni ubinafsi watu mko kwa matumbo yenu tu
@adamdaudi6191
@adamdaudi6191 5 жыл бұрын
Hili jamaa lina akili sana mpaka basi, a kind of genius president Tanzania ever had including Nyerere and Mkapa, big up JPM, karibia kila field anajua, engineering and Chemistry so far!.
@nicholausmakundi2663
@nicholausmakundi2663 6 ай бұрын
Mr President Dr Magufuli aka Ability nyingi.
@MarieHeleneEtienne-bf9ub
@MarieHeleneEtienne-bf9ub 3 ай бұрын
hili jamaa ni noma la manoma
@sabihimngetuka6971
@sabihimngetuka6971 5 жыл бұрын
Rais ww wazir ww hii noma
@ramahawai7056
@ramahawai7056 5 жыл бұрын
Raisi Mugufuli you are God sent. Mungu akulinde, akupe afya, na nguvu undelee na kazi njema unayofanya.
@josephyyohana7943
@josephyyohana7943 5 жыл бұрын
Baba Nkulu Wiswe Magufuli Olame Welelo..Nakupongeza nakupenda raisi wangu!!Mungu NDIYE aliyekuleta Tanzani.Wabunifu tuko wengi tumsaidie baba.
@jayjay4313
@jayjay4313 5 жыл бұрын
Dah. Namkubali sana mkuu wa majeshi yetu. Hakuna keshe, mi ningejibu naenda sasa hivi mzee.
@mtatiromgeka7270
@mtatiromgeka7270 5 жыл бұрын
mungu wangu akuongezee hekima zaidi ktk haya
@imanimasasa7042
@imanimasasa7042 5 жыл бұрын
I'm proud of you my president! This country needs you more! May God bless you.
@danielmgonja9906
@danielmgonja9906 5 жыл бұрын
kwel iv ndo kiongoz anatakiwa kuwa..,Dr.JPM I real appreciate this man.
@enockcharles6835
@enockcharles6835 5 жыл бұрын
Kweli rais wetu Magufuli una utu ndani yako, Mwenyezi Mungu akujalie hekima, busara na uzalendo ambao unaendelea kuionyesha. Tunakuombea sana, we ni wetu
@juvenalibrahim2929
@juvenalibrahim2929 5 жыл бұрын
Duuu kufanya kazi na Magufuli inabidi uwe na akili nyingi sana. Mungu ibariki Tanzania mungu ibariki Africa.
@bigowillythomaskayanda7763
@bigowillythomaskayanda7763 5 жыл бұрын
Just tell me, to defend your job, Kama umesikia hiyo gonga like hapa..
@MartinsAgufana
@MartinsAgufana 5 жыл бұрын
Hapana mchezo na JPM subutuu utumbuliwe...
@saidysuleiman5360
@saidysuleiman5360 4 жыл бұрын
Duh kweli ww ndio raisi
@dullydully8863
@dullydully8863 5 жыл бұрын
Muheshimiwa Rais ww safi nakukubali sana 100% president ww geneus
@rajabumalupu4184
@rajabumalupu4184 5 жыл бұрын
Zaid ya genous
@Allyhujjat
@Allyhujjat 6 ай бұрын
Everlasting love and respect kwako uncle magufuli wewe kweli ni kocha mchezaji
@crispinbisimwa7397
@crispinbisimwa7397 6 ай бұрын
Want the full video. Rest in power Dr JPM 🎉 🙏 Forever in our hearts 💕 A true son of Africa. In our eyes, you will always be a hero ❤️
@liliansamson4239
@liliansamson4239 5 жыл бұрын
Rais Wangu. Mungu akutunze, akupe Maisha Marefu. Unahitajika sana. Mambo ni mengi inasikitisha sana. Mungu akutie Nguvu una kazi Ngumu sana.
@abdullahnassor9433
@abdullahnassor9433 5 жыл бұрын
Magufuli has to be given more time to fix the country. Tanzanian should stand up and add more time for him
@hamisimkulupalile9461
@hamisimkulupalile9461 5 жыл бұрын
Our president Magufuli sina neno kwako, nakukubali haijawahi kutokea.
@TheMakala21
@TheMakala21 5 жыл бұрын
Najisikia kulia ninapoona Rais wangu anaumia kiasi hiki!!! Tubadilike jamani!!
@jacobcharles1604
@jacobcharles1604 3 жыл бұрын
Raisi wangu mm nakupenda sana Mungu akurinde skuzote na udumu miaka mingi ktk uongozi wako
@petermasele5692
@petermasele5692 5 жыл бұрын
Rais miaka 10 hajanitosha Kwa maoni yang uendelee mpaka 2030 itakuwa powa Sana saluti kwako siyo Kwa ccm
@anuaryally6177
@anuaryally6177 5 жыл бұрын
Mimi kwa miaka 2030 ajatosha kwa maoni yangu awe wa maisha kwangu ndio safiii iiiii
@juliethhouseofdesigns147
@juliethhouseofdesigns147 4 жыл бұрын
Yaani mpaka awe anashikiliwa na watu ndio tutamuondoa
@idriisayasinimlisho5148
@idriisayasinimlisho5148 3 жыл бұрын
Kwer
@MarieHeleneEtienne-bf9ub
@MarieHeleneEtienne-bf9ub 3 ай бұрын
sio 2030 awe kama wale u.a.e ingekuwa poa Sana my opinion
@charlesmugisha6529
@charlesmugisha6529 2 жыл бұрын
Nashindwa niseme nini kumpoteza uyu baba mungu ndo anae jua.nitalia mpaka na Mimi nitakapo mfata uko aliko baba angu magufuri😭😭😭
@clementmwaitebele7687
@clementmwaitebele7687 5 жыл бұрын
Big up Mr President JPM yaani tulizoe maneno meeengi upigaji mwiingi lakini utendaji ulikuwa zero... Sasa Umeingia JPM maneno kidogo vitendo super.. Good.. I admire you so much...
@juliethhouseofdesigns147
@juliethhouseofdesigns147 4 жыл бұрын
Walijua kutuibia kwa maneno wakishasema habari za tathimini na research basi tunaishia apo na ndio inakuwa imeisha
@peternyambo1439
@peternyambo1439 5 жыл бұрын
Aloooo MZEE BABA nakukubali , muda sio mrefu tutasonga mbele ka mishale, bravo Mr President JPM
@emmanuelyusufu6568
@emmanuelyusufu6568 5 жыл бұрын
Darasa la saba tupo apa niite mimi siku unipe kitengo chochote niongoze awo wasomi nakumbuka bibi zetu awakusoma kama hao lakin utendaji wa kazi ni zaid ata ya hao wasomi
@jamestitus7889
@jamestitus7889 3 жыл бұрын
Pamoja sana
@johnbanzi884
@johnbanzi884 5 жыл бұрын
I cant see a president like you GOD bless
@andrewluhamo6853
@andrewluhamo6853 5 жыл бұрын
pongezi kwako Mh Raisi asee kwakweli una uchungu na hii nchi
@kwisa4899
@kwisa4899 2 жыл бұрын
Who is watching this after this big mess of Tanesco & Dawasco Nov 2021
@MarieHeleneEtienne-bf9ub
@MarieHeleneEtienne-bf9ub 3 ай бұрын
best president ever
@kelvinchidabwa2538
@kelvinchidabwa2538 3 жыл бұрын
HApo kazi TUUU MH Rais MAGUFUli utendaji bola
@zawadiyusuf538
@zawadiyusuf538 4 жыл бұрын
Hongera sana raisi wetu kwa kuongoza nchi kwa ufasaha na kuomba utukumbuke huku tanga lushoto baba asante
@julietsingerke3094
@julietsingerke3094 4 жыл бұрын
Mimi ni mkenya lakini nafwatilia sana Raisi bombe magufuli wa Tanzania. Ni Raisi wa kumwenzi sana,nampa heko kwa Kazi nzuri anayo fanya.
@pilotmadata5791
@pilotmadata5791 6 ай бұрын
Baba ni baba ...ila mama hapa kwa tanesco kapoa sana ..
@samirymwita7162
@samirymwita7162 10 ай бұрын
Ndio rais
@user-eh5ss4dw1c
@user-eh5ss4dw1c 6 ай бұрын
Akili nyingi mpaka zinamwagika,pumzika kwa amani baba Magufuli❤❤❤❤
@johnsonchonja4032
@johnsonchonja4032 5 ай бұрын
Jamaa sayansi ilikuwa imelala kichwani
@maridadi8
@maridadi8 5 жыл бұрын
Tatizo la Africa. Tunathamini technologia ya nje
@juliethhouseofdesigns147
@juliethhouseofdesigns147 4 жыл бұрын
Uo ndio ukweli tunataka umoja wa mataifa pamoja na marekani waseme ndio tuone ni kweli au haki
@sonnyr1899
@sonnyr1899 6 ай бұрын
2024 bado tunakuona upo hai Baba
@paulowangoma4932
@paulowangoma4932 5 жыл бұрын
Viongozi hawamsaidii Rais, plain and simple.
@emmanueljohn6672
@emmanueljohn6672 3 жыл бұрын
Jpm ni kiongozi making na anatosha
@faridyassin2116
@faridyassin2116 3 жыл бұрын
Kusema kweli Tanzania 🇹🇿 imepoteza kiongozi, Africa tunahitaji kiongozi kama huyu, Mungu mrehemu msamehe makosa yake na amlaze mahali pema peponi Amen.
@kuchenavhe0028
@kuchenavhe0028 5 жыл бұрын
Tanesko wamejiumauma sana wanajifanya hawawajui hao wazee wkt wanawajua😂😂😂 Hao wazee wapo kitambo sana mitaa hiyo na habari zao zinafahamika sana
@husseinkihame9542
@husseinkihame9542 3 жыл бұрын
Magu baba tunakukumbuka naendelea kujifunza kupitia kumbukizi zako #25/04/2021
@user-wg1hw5kj2o
@user-wg1hw5kj2o 6 ай бұрын
MR. PRESIDENT 💪
@paulonshulo6435
@paulonshulo6435 5 жыл бұрын
Hapo magufuli nampenda Sana
@hamisidale2704
@hamisidale2704 Жыл бұрын
Mungu akulinde mpaka tuonane, Watu wema maisha yao mafupi"Tungekuwa mbali Magufuli! Kama kulipita njama ya kuutoa uhai wako,Mungu atawaumbua mchana kweupe ' wameshaanza kuropoka hadharani"
@SafeHaven_TV
@SafeHaven_TV 5 жыл бұрын
Mhe Rais nakupenda mno kwa utendaji wa hali ya juu.Hongera sana my president.
@bigowillythomaskayanda7763
@bigowillythomaskayanda7763 5 жыл бұрын
Aisee Global TV online,, fatilia hii kitu hadi mwisho jamanii, .!!
@waryobamahunyo4990
@waryobamahunyo4990 5 жыл бұрын
Aiseee Tanzania tumepata Rais, huyu ndio kiongozi bora kwangu.Viongozi wengine tujifunze kwa huyu.
@jeninunu9177
@jeninunu9177 5 жыл бұрын
Hongera sana Mheshimiwa Rais Magufuli kutuonyesha mapambano ya kila siku kuwafungua macho viongozi na raia
@jitujitume2927
@jitujitume2927 5 жыл бұрын
Namkubali sana Rais wangu mungu mkubwa
@user-wg1hw5kj2o
@user-wg1hw5kj2o 6 ай бұрын
MR. PRESIDENT 🇹🇿🇹🇿
@omarkanout8684
@omarkanout8684 5 жыл бұрын
Nakukubali rais wangu kwenye utendaji
@masachihorticultureunitcol711
@masachihorticultureunitcol711 5 жыл бұрын
Njombe kuna maporomoko mengi. Kuna opportunity ya kuzalisha umeme kwa bei rahisi
@noronhacompanylimited5370
@noronhacompanylimited5370 4 жыл бұрын
Naomba Naomba sana Mheshimiwa Rais Magufuli aongezewe muda angalau miaka 20 katiba sio msahafu ibadilishwe!!!!!
@kivakumshana9388
@kivakumshana9388 5 жыл бұрын
Kilichobaki ni kubadili tyu utaratibu JPM_5 agonge miaka kama 35 .,..niaminini wote jaman Tanzania itakuw kama ulaya
@brianeliaki9436
@brianeliaki9436 5 жыл бұрын
Na Global Tv. Tunahitaji Feedback za hawa Genious wa Tanzania... Please!!!!
@jayjay4313
@jayjay4313 5 жыл бұрын
Hahahaaa. Kuna mjeshi kajibu naondoka nao. Safi sana, hapa kazi tu. Lazima tufike tu hata kwa bakora. Hakuna wiki tatu hapa. La saba yulee, kapata uboss juu. 😆😆😆Nani mwingine anataka kuongea. 😆😆😆
@issacknnko7822
@issacknnko7822 3 жыл бұрын
Lovely president its only God can provide a person like u
@georgemzoo4417
@georgemzoo4417 5 жыл бұрын
Pongezi Mh.Rais....
@eliasmalisti934
@eliasmalisti934 3 жыл бұрын
Mungu aendelee kutupa viongozi kama hawa... kiongozi mwenye uchungu na maendeleo ya nchi yake.
@omaryabdi2055
@omaryabdi2055 4 жыл бұрын
Huyu ndio mzalendo halisi wa Tanzania Rais J P M
@jacksonngusi4122
@jacksonngusi4122 5 жыл бұрын
Hongera Anko Magu Unamaono ya kuwasaidia Watanzania
@user-wg1hw5kj2o
@user-wg1hw5kj2o 6 ай бұрын
Mr president aliipenda sana TANZANIA ❤
@othmanshahib1115
@othmanshahib1115 5 жыл бұрын
Mkawe vibaruwa wa hawa huyu mzee noma sana 😅😅
@nyangimarwa3448
@nyangimarwa3448 6 ай бұрын
Dah pumzika kwa amani Baba Magufuri hakika sichoki kukusikiliza hakika
@mr.machange1377
@mr.machange1377 5 жыл бұрын
Mguu pande mguu sawa ni mwendo wa KIJESHI tu no kubembelezana
@jerrjamary2649
@jerrjamary2649 Жыл бұрын
Jamani ongeeni daaaah watu wanaogopa uyu mtu alikua kichwa sana
@emmanuelmlowe-ew7gx
@emmanuelmlowe-ew7gx 10 ай бұрын
Tutampata lini mtu kama magufuli? Ana akili, anambinu, mbinifu, anaamuzi. Haogopi hata kama lingeonikana gum kiasi gani
@innocentjohn4040
@innocentjohn4040 2 жыл бұрын
I miss you my lovely president
@user-vv9wb9he2x
@user-vv9wb9he2x 6 ай бұрын
Magufuri is seriously Genius of Tanzania
@francismkenda
@francismkenda 5 жыл бұрын
Mheshimiwa rais yan wewe huna mpinzani mpka utakapoamua kustaafu. Mungu akulinde sana
@alimakaba6170
@alimakaba6170 5 жыл бұрын
Limenishtua sana hilo tangazo nilijua ndo uchambuzi waDAMPO LEVO unakuja kwa kishindo. Dah.. Live longer than the long itself Mr. JPM 5
@jofreysanga9520
@jofreysanga9520 5 жыл бұрын
Nakupongeza sana Raisi wangu na ninakupenda sana tangia umeingia madarakani hata mimi nimepiga hatua kubwa sana katika maisha yangu.. hakika Mungu azidi kukupa pumzi zaidi ili watanzania tuzidi kunufaika
@emmanuelsanareemmanuelsana9137
@emmanuelsanareemmanuelsana9137 Жыл бұрын
Mungu utupe mwingine kama huyu ❤❤❤❤❤❤❤❤
@chachamagoti2400
@chachamagoti2400 5 жыл бұрын
Duuuuu Raisi wetu geneus kweli
@edgarmgeni7181
@edgarmgeni7181 5 жыл бұрын
Chacha Magoti umeona yuko good uyu father
@jedidahbintidaudi8241
@jedidahbintidaudi8241 3 жыл бұрын
whose here after the pass on of our beloved President John Magufuli?
@elizambilinyi2880
@elizambilinyi2880 4 жыл бұрын
Watu wanjombe Wana akili Sana. Pongezi kwa watu wanjombe🤸🤸👏👏
@omarjumanne4471
@omarjumanne4471 5 жыл бұрын
Viongozi wengi rais ni mbumbu wamesoma siyo wabunifu
@emmapoulo3651
@emmapoulo3651 4 жыл бұрын
Yani raisi unamuita mbumbu ubarikiwe sana
@renatusmatungwa6800
@renatusmatungwa6800 3 жыл бұрын
@@emmapoulo3651 ww sio muelewa rudia tena kusoma comment yake
@charlesenock8586
@charlesenock8586 5 жыл бұрын
Mzee anafata nyao za marais wakubwa walioleta maendeleo ya kudumu Hadi Italy-Benito Mussolini German-Adolf Hitlaa China-mao the dong Us -Ibrahim linkon Among others This the steps are same but the took long time of power A really leader is you magufuli unafaa
@kastorkidumu6579
@kastorkidumu6579 5 жыл бұрын
wakabe tu vipaji vipo
@salimsoho5515
@salimsoho5515 3 жыл бұрын
Mungu akupe maisha marefu
@ibrahimjoseph2789
@ibrahimjoseph2789 3 жыл бұрын
Hii ndio kasi ya aliyekuwa rahisi wetu, hakika umetutoka na umetupigania sana wallah, MUNGU akulipe heri uko ulipo.
@stephanokanyika6321
@stephanokanyika6321 5 жыл бұрын
Big up sana
@paschaljohnmwaisumo6180
@paschaljohnmwaisumo6180 6 ай бұрын
8:10 mungu turudishie john wetu japo nikama ninakukufuru ira tuurumie😢😢❤
@emmapoulo3651
@emmapoulo3651 4 жыл бұрын
Ila huyu raisi ana hakili sana
@Zungu_Mwamba
@Zungu_Mwamba 6 ай бұрын
TANESCO njooni huku
@clementluvanda4364
@clementluvanda4364 4 жыл бұрын
Kweli kabisa saf rais
@nsengiyumvabienvenu8491
@nsengiyumvabienvenu8491 5 жыл бұрын
Mungu akubaliki Baba 🙏🙏🙏
JKLIVE | Lee Njiru: Ears of Power [Part 1]
35:23
Citizen TV Kenya
Рет қаралды 6 М.
Алексей Щербаков разнес ВДВшников
00:47
Running With Bigger And Bigger Feastables
00:17
MrBeast
Рет қаралды 126 МЛН
CHOCKY MILK.. 🤣 #shorts
00:20
Savage Vlogs
Рет қаралды 29 МЛН
Little brothers couldn't stay calm when they noticed a bin lorry #shorts
00:32
Fabiosa Best Lifehacks
Рет қаралды 18 МЛН
MBELE YA MAGUFULI: Wazee Wanaotengeneza UMEME Wawalipua TANESCO!
31:10
Global TV Online
Рет қаралды 46 М.
Matukio MATANO YALIYOTIKISA Mkutano wa JPM na WAFANYABIASHARA
27:07
Global TV Online
Рет қаралды 1,2 МЛН
MAGUFULI AMPIGIA MKURUGENZI TAKUKURU LAIVU, AMFUKUZA KAMISHNA WA MKOA!
13:52
MJADALA MZITO, MASWALI MAGUMU MAGUMU ALIOUENDESHA RAIS MAGUFULI
58:04
Mwanzo TV Plus
Рет қаралды 209 М.
HOTUBA YA MAGUFULI KWENYE MKUTANO NA WADAU WA MADINI      22/1/20199
1:12:14
Алексей Щербаков разнес ВДВшников
00:47