This is JPM!! Penda sana rais wangu!!! MUNGU BABA AKUTUNZE MILELE!
@gilbertrutayuga46765 жыл бұрын
Jamani watanzania tusome alama za nyakati nchi imebadilika hii. Yatupasa kufanya kazi kwa uadilifu sana.
@kwayayakanisawainjilisti-b67945 жыл бұрын
"Waambie Tanzania is a peaceful country, politically stable" ninaikubali hii Kauli, viva Mhe. Magufuli.
@meritinakashaba9685 жыл бұрын
Tanzania sasa ni sehemu ya kuishi kwa mambo anayofanya mh raisi hata wazungu wataomba kuishi tanzania
@geofreymbogolela52585 жыл бұрын
Heshima kubwa kwa mheshimiwa Rais chapa kazi
@billalphilip57765 жыл бұрын
Pliz tz tusaidieni na Rais Magufuli atawale kenya 2 weeks onlyy Please please tusaidieni😂😂😂
@nelsonpeter78575 жыл бұрын
Hahahahaha
@mectridasimon67755 жыл бұрын
Ukicheka na nyani utavuna mabua. Nakupenda Sana Dr. JPM piga kazi
@valenakomba76865 жыл бұрын
MR. PRESIDENT DO NOT THINK THAT EVERY EDUCATED PEOPLE ARE CLEVER. LIKE I SAID THEY JUST CREEMING BOOKS. WHAT YOU NEED IS YOUR HEARD AND BRAIN TO WORK (THINK) . SO CHANGE THAT IDEA OF CHOOSING EDUCATED PEOPLE WITHOUT BRAIN.
@emmanuelayall50295 жыл бұрын
Man in action not word, JPM kiukwel unastahili kuwa hapo.
@frankjonas10945 жыл бұрын
Duuuuh!Safi sana mheshimiwa nakubali uamzi wako!Mungu akukumbuke
@afidhusultan49675 жыл бұрын
Mweshimiwa nakubali kazi unayopiga ni ya ukweli heee Mubarak rais wetu na pia mbarik mkuu wa mkoo wetu bwana Paul makonda pia ibarik tanzania
@ombennassary74385 жыл бұрын
JPM sijui ulikuwaga wapi ungeongoza hii nchi mapema tungekuwa mbali
@leonidamukandala59895 жыл бұрын
Uongozi ni shughuli ngumu sana waweza kuwa mwadirifu ila unaofanya nao kazi wakawa mabomu yakaja kukulipua
@yunzassevara6175 жыл бұрын
That's very true!!
@amaninaupendo.35395 жыл бұрын
Amen Amen. Pole Mzee wetu. Mungu akusaidie . Amen.
@twahibayasini73735 жыл бұрын
Hongera sana rais wangu mungu akuongeze miakamingi sana yakuongoza nchihii miaka yote mpaka munguakupende zaidi
@jtheophil54995 жыл бұрын
Rais uko smart kila sekta uko sawa.sijawai kuona mtu mwenye kipawa kama uyu baba.haiwezi kutokea tena.Piga kazi babangu.Ongera sana
@goodluckndambo40655 жыл бұрын
Raisi wanaotumbuliwa wasishike tena nyazifa wapowengi mtahani wanao tafuta ajira
@fahminasser38555 жыл бұрын
Sasa jmn hawa wanaoteuliwa na waliopo watafundshwa na jpm mpaka lini yani wamekuwa kama mazezeta pole father JPM una majanga na hawa watu tumbua
@tinyaanosiatha11185 жыл бұрын
Wow! Jpm hapa umenichekesha . Eti watu wa TRA. Hawakusoma. Tatizo lililopo walizoea serikari zizopita walikuwa hawafwatiliwi . Kila kitu ilikuwa freedom .
@alystidesthomas52425 жыл бұрын
Tunaomba Mh Rais aaangalie sababu ya kupanda kwa ada za m-pesa elfu 5,000 makato 900 inatuumiza sana
@lazaromnjeja45725 жыл бұрын
Thomas umeongea point watu wanachekelea tumbuaaaa tumbuaa wanajisahau kuwa wanaliwa na mchwa wa mitandao
@momadeatibo67294 жыл бұрын
kila kitu yeye tu;;;.
@robertjunior99165 жыл бұрын
Dah asee Hongera JPM
@paulsimon58385 жыл бұрын
Magufuri ulitakiwa uongoze zaidi ya miaka20
@sheryphamwenevalley61245 жыл бұрын
Ni kweli muheshimiwa hata ukinunua.nyumba .pia wanakulipisha pesa nyingi na wao.pia wanataka pesa lakini ss dawa tushaijua tutawanyoosha tu TRA.na.kupenda rushwa kwenu kiukweli wananchi tumechoka
@deoclespantaleo92785 жыл бұрын
kiongozi Shupavu ndiye Mwenye maamuzi.
@banshbansh23295 жыл бұрын
Hata viwanja pia wanachukua pesa nyingi sana
@oscarkasalile13394 жыл бұрын
Mzee hao Tra wanakuhujumu
@danielgwilenza42095 жыл бұрын
Sawa baba tunakupata vizuri mzee wetu Magu
@leonidamukandala59895 жыл бұрын
Dawa ya wapenda vya dezo ni ndogo tu kujua majina yao na uzuri ni kuwa wafanyakazi wa serikali wanavaa vitambulisho na vina majina
@peterluoga4585 жыл бұрын
Hongera mh rais mungu akuzidishie uzima na afya njema
@jastinmatoz75705 жыл бұрын
Mh vipi kuhusu wastafu haki zao hadi wanakufa hawajapata tumbua na hawa wanakwama WAP?!
@katokabuhaya8595 жыл бұрын
Tulichezewa mno rais wetu mungu akutangulie akupe afya njema
@borndorminant27015 жыл бұрын
Mnyonge mnyongeni... haki yake....
@zakayocomplex51265 жыл бұрын
Mzee baba mm naomba tu unaibu waziri huo Moto mm ndo nauweza
@radhiasalum71565 жыл бұрын
Watumbue baba.msema kweli mpenzi wa mungu
@tanzaniamycountry93085 жыл бұрын
Dah kuongoza nchi n kaz
@bahishaalexander36415 жыл бұрын
NICE SPEECH.
@abdallahmwanyende665 жыл бұрын
Tamaa,,, greedy will take us all to hell fire 🔥,,, tatizo lao tamaa tu roho hazija ridhika
@mogelachengula35015 жыл бұрын
Mjomba magu naomba uwe baba wa taifa wa pill Tanzania ss masikini tunakuelewa sana
@valenakomba76865 жыл бұрын
WHAT WE DO AT SCHOOL WE JUST CREEM THE BOOKS , AND THAT EVERYBODY CAN DO IT . WHAT WE WANT IS ACTION.
@immanuelinvocavith14985 жыл бұрын
Tutamlaumu huyu mze kwamba ni mkali lakini watanzania walijisahau sana watu wanawabambikia watu madeni makubwa watu wanashindwa kufanya biashara mnamlaumu mze baba piga kazi Mungu atakulinda
@abuudharishahidy30745 жыл бұрын
Nna wasi wasi nao hao unaowateuwa mh rais Tatizo ni wao na wizara zao Wanyonge bado wanalia lkn kwa Mungu watajibu, hatutoweza kumsukuma mtu sisi milioni 50 watanzania apenye kwenye tundu ya sindano mbele ya Mungu.bora wafukuze na uteuwe wanyonge ili nawe uje upate mwisho mwema, wasije kukukosesha pepo. kwani mtaulizwa🎁🎁🙏
@nestorymbossa70615 жыл бұрын
Hongera mh rais wangu sasa nitaanza kuipenda Airtel baada ya kuichukia miaka yote iliyopita.
@samwelsirieli16245 жыл бұрын
Hahaaaaas
@tinyaanosiatha11185 жыл бұрын
Kweli kabisa baba nchi ni kodi. Mimi naishi us iwe hoter mfanyakazi anayetumika kutandika vitanda lazima check yake ikatwe kodi migahawa lazima ulipe kodi .
@sulymanothman71225 жыл бұрын
Watumbue baba wamezidi sn hawa
@cecy38315 жыл бұрын
He's actually sensible, and stands for truth and the benefit of every citizen! I love my president.
@emmanueldundo60465 жыл бұрын
Formula ya mungu 😂😂😂
@shalomchaula44203 ай бұрын
Wangapi mmeangalia hii baada ya report ya CAG ya 2023/2024
@venahsithole64635 жыл бұрын
Kujengea wananchi nyumba nzuri zakuishi ni kodi
@salminiyussuf9895 жыл бұрын
😄"Chai moto, kombe la bati, jua kali, pekupeku. Unaambiwa kunywa!!!" 😊"kwikwiikwiiiii.Bongo ile sio ya leo bhana!!!" 👴"Zama za kubembelezana na kulindana-lindana RIP"
@evaristmandilindi61475 жыл бұрын
Nimecheka sana
@badrudinrashidi78255 жыл бұрын
Wale wa Chadema in blood muwe mnatoa hisia zenu. Mm huyu Raisi nampenda sana. Ati kuna mtu anajiita raisi wa Mbeya. Jamani!!! Watanzania wana vituko!!!
@reubenmajambo12705 жыл бұрын
@@badrudinrashidi7825 😀😀😀
@sofialinus29445 жыл бұрын
Something is better than nothing 🙄🙄🙄 👏 👏
@fatmafa18965 жыл бұрын
Kweli ni MUNGU ni mwema kweli tena ni mwesa wa kila kitu na hakuna mwingine badala yake HALLELUJAH
@jamesjahasa33485 жыл бұрын
Speed 180 magufuli
@patrobamaingumtwale60195 жыл бұрын
Pengine wanahisi hujawapa Uhuru huo walio wengi hawafanyi kazi kwa weledi wa taaluma zao ila wanaogopa huku wakisubiria kusukumwa
@nestor3845 жыл бұрын
Mhe. rais Magufuli akimaliza muda wake sijui tutapata wapi mwingine mwenye spirit kama yake. Mungu wa mbinguni tuongoze.
@pirminmatumizi54645 жыл бұрын
Hapo ndipo Watz mtatambua kuwa pilipili siyo mboga. Changamoto siyo aina ya Rais bali ukosefu wa Mfumo wa kudumu na imara wa kusimamia mifumo mbalimbali Nchini.
@user-eg2wk4xx3h9 ай бұрын
Magufuri msema kweli .kukusanya kodiiiii
@samwelshilungu43705 жыл бұрын
Ukiwatoa uwafirisi. Maana wameshafisadi tayari. Sasa unatumbua na kuwaacha wale maisha.
@tithomwamengo65713 жыл бұрын
Kwamaamuz tu nakukubali
@amosmoses78003 жыл бұрын
Kwako Mh.Magufuli Mheshimiwa mimi kula yangu utaipata iwapo tu utajibu masuali yangu haya - Kwavile wewe ni msema kweli. Na unadai unamuogopa Mungu : ___ 1. Uliahidi milioni 50 kila kijiji. Je! Ututajie kijiji Angalau kiMoja ulizowapelekea. 2. Utuambie hizo ndege. Ni nani alieizinisha ununuzi? Na zimenunuliwa kwa Kiasi gani. Na hadi muda huu zimeingiza faida Kiasi gani. Utuambie sababu za kuzuiliwa ndege zetu mala kwa Mala zikienda nje. Mbona zinaMADENI $ 133 milioni ? Utuambie wanaozipanda hizo ndege ni akina nani? 3. Utuambie Uwanja wa Chato wa kiMataifa ulijengwa kwa Kiasi gani. Nani alieizinisha . Na hela ya ujenzi imetoka wapi? Na kwanini Uwanja huo ujengwa kijijini CHATO ? 4. Utuambie zile Trilioni 1.5 mfuko wa hazina ya selikali zimepotea wapi? Au zimetumika vipi ? Na kwanini Ukamtumbua CAG Mzee Musa Asadi? 5. Mh.Laisi Utuambie kwanini vyombo vyako vya Dola vimeshindwa kuwatambua Na kuwakamata " KIKUNDI CHA WATU WASIOJULIKANA " .? kilichokuwa kinawanyonga Laia zako. Wengine kutekwa. Wengine kupigwa lisasi. Kama bado kipo inchini . Unawakikishiaje laia zako usalama wao? Ili Mo Dewji aondokwe Na hofu. 6. Utuambie wale " mafisadi wawili wa ccm " walioekeza nje ya inchi. Uliwachukulia hatua gani? Mbona hatukukuona ukifatilia miHela yao iyo kwenye Account za nje ya inchi? 7. Mh. Laisi unapoongelea COLONA. Kila kwenye kampeni zako. ivi ni Wapinzani ndio walioileta ? Na Je ! Imeondoka kwa Nguvu za mungu wa Chato au Mungu Mkuu wa mbinguni baada ya maombi yaliofanywa kanisani Na misikitini? 8.Mh Laisi ulidai uchaguzi huu utakuwa wa haki Na hulu. Mbona tayali tunaona wagombea wengi tu wa ccm Na wale wa upinzani wakienguliwa ? 9. Mh.Laisi uliahidi Utajenga mashule na MaHospitali hadi wilayani. Ni hospitali ipi iliojengwa hadi muda huu? 10. Mh.Laisi ulisema inchi yetu ni tajili sana. Mbona laia wako wanaishi maisha duni. Hela haionekani. ? Tunaowaona wakifaidika ni vigogo vya ccm / vigogo vya selikali na watu wa usalama taifa. Wanaozi kujenga majumba ya kifahali kila sehemu Bila ya wasiwasi. 11. Kwanini unawatumia wasanii kwenye kampeni zako zote.? Utuambie hiyo mikataba uliofanya na wasanii. .wanalipwa na hela za nani? 12 Mheshimiwa Laisi. Eti kama tunaitaji kuanzisha Kiwanda Tuanzie na CHELEHANI ngapi ? Suali la mwisho Muheshimiwa 13. Wanasema Ulitembea na shemegi yako. Je ! Ulizaa nae ? Au ulikuwa ukipita pita juu juu tu? KULA YANGU MHESHIMIWA NI KWAKO. UKINIJIBU VISUALI VYANGU IVO. BWANA YESU ASIFIWE ! CCM OYEEE !!
@izzataman62195 жыл бұрын
Nicca got two side 🤔🤔
@jumamkanjima26705 жыл бұрын
Mjomba mmi japo c mwanachama wa chama chochote ila ni 1 mpenda mageuzi ya kweri ili kwa hiri mjomba 2po pa1. Ila2 mjomba labda nikupe nikupe neno hao viongozi wa t.r.a hata wabunge wengiwao ndani ya bunge akiwemo spika ndugai hao ndo wanaokuhujumu ili mwakani wamuweke mwizi wa nnchi anaeweza kuibanao
@evelynebwire76843 жыл бұрын
Sasa nimekuelewa
@victustemba5 жыл бұрын
Chumaa
@awadhirajabu77545 жыл бұрын
Sema Raisi Wetu Hao Wanaonunua Mazao Shambani Wajitaidi Kupandisha Bei Kwa Wakulima Mana Kama Kodi Zinatolewa Hau Kupunguza Wakulima Wapewe Bei Nzuri
@Mr_Ben2555 жыл бұрын
Sawa baba magu
@davidkaguru95115 жыл бұрын
Maigizo tu haya ,yani anasifia kupandisha kodi huku anaponda malalamiko ni mengi
@khalidali11305 жыл бұрын
Mzee tumekukubali wazi wamezoea kutunyanyasa wanadhan nafas wameumbiwa wao hao ndio wanawafanya watu waish km tupo ukimbizn nchi mwetu dah hatar
@mariamabdull41345 жыл бұрын
Safisana mh. Rais waeleze ukweli
@musanoha11355 жыл бұрын
Wahivyo hatakwetu wapo ngongona dodoma
@majosamalundi40165 жыл бұрын
Katika siku ambazo nimekusikiliza mweshimiwa laisi leo umeongea ukweli mtupu
@micamathew64335 жыл бұрын
Hakuongea ukweli leo tu, kama ulikuwa hujui bac nikwamba anaongea ukweli siku zote...
@rafiuiliyasa24165 жыл бұрын
Majosa Malundi k
@aammede5 жыл бұрын
Rais awaombe radhi messengers wote..kazi yao ni ya ajabu! 😂😂😂
@nestor3845 жыл бұрын
Ukiilinganisha na ya umeneja wa forodha ndani ya tra kweli umessenger ni kazi ya ajabu
@ablysonco88505 жыл бұрын
Its true...Something is better than Nothing...
@mubasosi79323 жыл бұрын
Samahan jaman mwenye namba ya mheshimiwa raisi anipe tafadhali nateseka sana jaman
@asiaokeay16545 жыл бұрын
👏👏👏👏👏👏👏👏👏
@mwajumamachalila29285 жыл бұрын
Mzee nakuelewa ujue
@williamsesthony49515 жыл бұрын
Tumbua Tunduma
@nyandamisana36305 жыл бұрын
Haiwezekani mtu mwenye dhambi aende mbinguni et kisa watu wengi wamemuombea, matendo yake ndio yatamuweka mahari anapotaka
@barnabaschuwa78205 жыл бұрын
Mng akupe miakaa km yoteee
@ibraeliya77605 жыл бұрын
Usicheke na mtu, we kaza tu one day tutaona matunda yake
@banshbansh23295 жыл бұрын
walidekezwa sana
@hanifawaliya79765 жыл бұрын
Walegezee kidogo mkuu. Duuu 180 naona
@abdullysalim84405 жыл бұрын
Hamna kulegeza hapa
@atikombogolo23565 жыл бұрын
KICHERE AMESHINDWA CHUKUA KODI KWA BISHOP KAKOBE😉😉😉😎😎😎
@deusabinery58335 жыл бұрын
.
@tinyaanosiatha11185 жыл бұрын
Wambie baba nadhani watakuelewa tu
@husseinkonz51925 жыл бұрын
Huu mwaka wa mafisad watanyooka tuu
@salumumsike81755 жыл бұрын
Unafanya vnzr baba
@evaristmandilindi61475 жыл бұрын
Bonge la presida
@ernestsinje95325 жыл бұрын
kodi kubwa mnoo
@musanoha11355 жыл бұрын
Uko vizul baba endelea vnyohinyo
@hamisibena80575 жыл бұрын
Twende kazi ata uku wapo
@rockcitynative99855 жыл бұрын
Mzee kwani vipi! hutaki tena yale makusanyo ya kuvunja record 1.3 trillion? Au sasa unataka turudi kule kwa 0.8 trillion?
@hshshdhnddhhdjdjdhdbxbdx35825 жыл бұрын
Ni kweli mh sasa unajenga taifa letu na mataifa mengine yataiga
@faustinejoseph3625 жыл бұрын
tumbua wajingajinga wote wanao jinufaisha wenyew nchi c mama zao ni yawatanzania wote penda sana rais wngu
@olivercloud55975 жыл бұрын
Sasa rais unatuhambia kodi kodi kodi, ila atuhoni kodi yetu inafanya nini? Barabara atuna kabisaaaaa. Dar kwenyewe barabara akuna. Kodi kodi kodi.
@kiyabonjemu98855 жыл бұрын
Huna busara
@davidchesco525 жыл бұрын
Mzee Wabusara kumbe huon eeh yanayofanyika bac watoto wako ama ndugu zako wataona
@bettymassanja8815 жыл бұрын
Barabara za Dar ni mahandaki utadhani hatulipi kodi mbalimbali!
@comrademlewaisavile3365 жыл бұрын
Zilipendwa enzi za kupiga dili mh jpm tumbua hao
@raphaelsamwel26405 жыл бұрын
Usahau pia unakinyongo!!!!! Kwanini sheria muweke ya mtu kukadiria??? Upuuuzi!!! Utawabadilisha sana!! Kamishina hawexi kuwepo kila mahala!!!! Utapigwa sana!!! Mfumo!!! Maneno manenooooo!!
@freddokuckelmann85025 жыл бұрын
Haha, Mbinguni huendi kwa sala. Mungu ndiye anayeamua kutokana na matendo yako.
Nyanda Misana ukitenda mema watu wanaweza kukuombea kumbuka yule mtu kwenye biblia aliombewa na watu kwa Yesu kwa sababu tu aliwajengea hekalu na Yesu akamsikiliza
@lasteckmmary97415 жыл бұрын
Ninatamani, sana rais wangu, utawale miaka yoteeeee, uliyopewa na munguu
@haroubhamoud87015 жыл бұрын
Hawa watendaji wangekuwa na akili robo tu za muheshimiwa Rais basi nisingekuwa na haja ya kuzeeka mapema.
@pascalsauwa49145 жыл бұрын
Nilimwamini sana Rais wetu ila kwa haya! Rais analalamika kama Mimi na we we du! sijui kama tutafika. Shida ya malengo binafsi au yakufikirika? Stglas, Rail ya kisasa kwa hela zetu! wakati bajeti iko wazi, ukweli tuambiwe tuu, mbona tunalipishwa kwa namna inayotuumiza hivi? Rais analalamika pengine kuliko walipa kodi! Serikali inabidi kujitafakari
@micamathew64335 жыл бұрын
Safi mkuu mi nakuekewaga sana tangu zamani sana tena za kaleeee
@fatmafa18965 жыл бұрын
Kweli ni MUNGU ni mwema kweli tena ni mwesa wa kila kitu na hakuna mwingine badala yake HALLELUJAH
@Mr_Ben2555 жыл бұрын
Sawa baba magu
@tinyaanosiatha11185 жыл бұрын
Wambie baba nadhani watakuelewa tu
@abdallahmohamed26695 жыл бұрын
Watu tulio wengi tunashindwa kuelewa kwamba maofisa wengi maofisini wanafanya kazi kwa woga mno. Hawako huru ktk kutekeleza majukumu yao. Wengi hujiuliza nikifanya maamuzi haya je yatamridhisha bwana mkubwa?!?!
@lucasmkui93335 жыл бұрын
SAFISANA, TENAWATOE MOJAKWAMOJA WAKALIME, TUNAKUOMBEA RAIS WETU UDUMU TENA UWE RAIS WAKUDUMU