MAGUFULI AMVAA KICHERE, AMTAJIA MAKOSA ALIYOFANYA "NITAKUTUMBUA TENA"

  Рет қаралды 180,849

Millard Ayo

Millard Ayo

5 жыл бұрын

Пікірлер: 136
@sponsor7882
@sponsor7882 5 жыл бұрын
WE NEED MAGUFULI IN KENYA JUST FOR A MONTH
@louisendunguru7106
@louisendunguru7106 5 жыл бұрын
SPONSOR 😂😂😂😂😂😂
@felixmuzambele9031
@felixmuzambele9031 5 жыл бұрын
No plz we need him for 20 yrs.
@izzataman6219
@izzataman6219 5 жыл бұрын
@@louisendunguru7106 hi 👋👋
@greciousnewgeness3170
@greciousnewgeness3170 5 жыл бұрын
This is JPM!! Penda sana rais wangu!!! MUNGU BABA AKUTUNZE MILELE!
@gilbertrutayuga4676
@gilbertrutayuga4676 5 жыл бұрын
Jamani watanzania tusome alama za nyakati nchi imebadilika hii. Yatupasa kufanya kazi kwa uadilifu sana.
@kwayayakanisawainjilisti-b6794
@kwayayakanisawainjilisti-b6794 5 жыл бұрын
"Waambie Tanzania is a peaceful country, politically stable" ninaikubali hii Kauli, viva Mhe. Magufuli.
@meritinakashaba968
@meritinakashaba968 5 жыл бұрын
Tanzania sasa ni sehemu ya kuishi kwa mambo anayofanya mh raisi hata wazungu wataomba kuishi tanzania
@geofreymbogolela5258
@geofreymbogolela5258 5 жыл бұрын
Heshima kubwa kwa mheshimiwa Rais chapa kazi
@billalphilip5776
@billalphilip5776 5 жыл бұрын
Pliz tz tusaidieni na Rais Magufuli atawale kenya 2 weeks onlyy Please please tusaidieni😂😂😂
@nelsonpeter7857
@nelsonpeter7857 5 жыл бұрын
Hahahahaha
@mectridasimon6775
@mectridasimon6775 5 жыл бұрын
Ukicheka na nyani utavuna mabua. Nakupenda Sana Dr. JPM piga kazi
@valenakomba7686
@valenakomba7686 5 жыл бұрын
MR. PRESIDENT DO NOT THINK THAT EVERY EDUCATED PEOPLE ARE CLEVER. LIKE I SAID THEY JUST CREEMING BOOKS. WHAT YOU NEED IS YOUR HEARD AND BRAIN TO WORK (THINK) . SO CHANGE THAT IDEA OF CHOOSING EDUCATED PEOPLE WITHOUT BRAIN.
@emmanuelayall5029
@emmanuelayall5029 5 жыл бұрын
Man in action not word, JPM kiukwel unastahili kuwa hapo.
@frankjonas1094
@frankjonas1094 5 жыл бұрын
Duuuuh!Safi sana mheshimiwa nakubali uamzi wako!Mungu akukumbuke
@afidhusultan4967
@afidhusultan4967 5 жыл бұрын
Mweshimiwa nakubali kazi unayopiga ni ya ukweli heee Mubarak rais wetu na pia mbarik mkuu wa mkoo wetu bwana Paul makonda pia ibarik tanzania
@ombennassary7438
@ombennassary7438 5 жыл бұрын
JPM sijui ulikuwaga wapi ungeongoza hii nchi mapema tungekuwa mbali
@leonidamukandala5989
@leonidamukandala5989 5 жыл бұрын
Uongozi ni shughuli ngumu sana waweza kuwa mwadirifu ila unaofanya nao kazi wakawa mabomu yakaja kukulipua
@yunzassevara617
@yunzassevara617 5 жыл бұрын
That's very true!!
@amaninaupendo.3539
@amaninaupendo.3539 5 жыл бұрын
Amen Amen. Pole Mzee wetu. Mungu akusaidie . Amen.
@twahibayasini7373
@twahibayasini7373 5 жыл бұрын
Hongera sana rais wangu mungu akuongeze miakamingi sana yakuongoza nchihii miaka yote mpaka munguakupende zaidi
@jtheophil5499
@jtheophil5499 5 жыл бұрын
Rais uko smart kila sekta uko sawa.sijawai kuona mtu mwenye kipawa kama uyu baba.haiwezi kutokea tena.Piga kazi babangu.Ongera sana
@goodluckndambo4065
@goodluckndambo4065 5 жыл бұрын
Raisi wanaotumbuliwa wasishike tena nyazifa wapowengi mtahani wanao tafuta ajira
@fahminasser3855
@fahminasser3855 5 жыл бұрын
Sasa jmn hawa wanaoteuliwa na waliopo watafundshwa na jpm mpaka lini yani wamekuwa kama mazezeta pole father JPM una majanga na hawa watu tumbua
@tinyaanosiatha1118
@tinyaanosiatha1118 5 жыл бұрын
Wow! Jpm hapa umenichekesha . Eti watu wa TRA. Hawakusoma. Tatizo lililopo walizoea serikari zizopita walikuwa hawafwatiliwi . Kila kitu ilikuwa freedom .
@alystidesthomas5242
@alystidesthomas5242 5 жыл бұрын
Tunaomba Mh Rais aaangalie sababu ya kupanda kwa ada za m-pesa elfu 5,000 makato 900 inatuumiza sana
@lazaromnjeja4572
@lazaromnjeja4572 5 жыл бұрын
Thomas umeongea point watu wanachekelea tumbuaaaa tumbuaa wanajisahau kuwa wanaliwa na mchwa wa mitandao
@momadeatibo6729
@momadeatibo6729 4 жыл бұрын
kila kitu yeye tu;;;.
@robertjunior9916
@robertjunior9916 5 жыл бұрын
Dah asee Hongera JPM
@paulsimon5838
@paulsimon5838 5 жыл бұрын
Magufuri ulitakiwa uongoze zaidi ya miaka20
@sheryphamwenevalley6124
@sheryphamwenevalley6124 5 жыл бұрын
Ni kweli muheshimiwa hata ukinunua.nyumba .pia wanakulipisha pesa nyingi na wao.pia wanataka pesa lakini ss dawa tushaijua tutawanyoosha tu TRA.na.kupenda rushwa kwenu kiukweli wananchi tumechoka
@deoclespantaleo9278
@deoclespantaleo9278 5 жыл бұрын
kiongozi Shupavu ndiye Mwenye maamuzi.
@banshbansh2329
@banshbansh2329 5 жыл бұрын
Hata viwanja pia wanachukua pesa nyingi sana
@oscarkasalile1339
@oscarkasalile1339 4 жыл бұрын
Mzee hao Tra wanakuhujumu
@danielgwilenza4209
@danielgwilenza4209 5 жыл бұрын
Sawa baba tunakupata vizuri mzee wetu Magu
@leonidamukandala5989
@leonidamukandala5989 5 жыл бұрын
Dawa ya wapenda vya dezo ni ndogo tu kujua majina yao na uzuri ni kuwa wafanyakazi wa serikali wanavaa vitambulisho na vina majina
@peterluoga458
@peterluoga458 5 жыл бұрын
Hongera mh rais mungu akuzidishie uzima na afya njema
@jastinmatoz7570
@jastinmatoz7570 5 жыл бұрын
Mh vipi kuhusu wastafu haki zao hadi wanakufa hawajapata tumbua na hawa wanakwama WAP?!
@katokabuhaya859
@katokabuhaya859 5 жыл бұрын
Tulichezewa mno rais wetu mungu akutangulie akupe afya njema
@borndorminant2701
@borndorminant2701 5 жыл бұрын
Mnyonge mnyongeni... haki yake....
@zakayocomplex5126
@zakayocomplex5126 5 жыл бұрын
Mzee baba mm naomba tu unaibu waziri huo Moto mm ndo nauweza
@radhiasalum7156
@radhiasalum7156 5 жыл бұрын
Watumbue baba.msema kweli mpenzi wa mungu
@tanzaniamycountry9308
@tanzaniamycountry9308 5 жыл бұрын
Dah kuongoza nchi n kaz
@bahishaalexander3641
@bahishaalexander3641 5 жыл бұрын
NICE SPEECH.
@abdallahmwanyende66
@abdallahmwanyende66 5 жыл бұрын
Tamaa,,, greedy will take us all to hell fire 🔥,,, tatizo lao tamaa tu roho hazija ridhika
@mogelachengula3501
@mogelachengula3501 5 жыл бұрын
Mjomba magu naomba uwe baba wa taifa wa pill Tanzania ss masikini tunakuelewa sana
@valenakomba7686
@valenakomba7686 5 жыл бұрын
WHAT WE DO AT SCHOOL WE JUST CREEM THE BOOKS , AND THAT EVERYBODY CAN DO IT . WHAT WE WANT IS ACTION.
@immanuelinvocavith1498
@immanuelinvocavith1498 5 жыл бұрын
Tutamlaumu huyu mze kwamba ni mkali lakini watanzania walijisahau sana watu wanawabambikia watu madeni makubwa watu wanashindwa kufanya biashara mnamlaumu mze baba piga kazi Mungu atakulinda
@abuudharishahidy3074
@abuudharishahidy3074 5 жыл бұрын
Nna wasi wasi nao hao unaowateuwa mh rais Tatizo ni wao na wizara zao Wanyonge bado wanalia lkn kwa Mungu watajibu, hatutoweza kumsukuma mtu sisi milioni 50 watanzania apenye kwenye tundu ya sindano mbele ya Mungu.bora wafukuze na uteuwe wanyonge ili nawe uje upate mwisho mwema, wasije kukukosesha pepo. kwani mtaulizwa🎁🎁🙏
@nestorymbossa7061
@nestorymbossa7061 5 жыл бұрын
Hongera mh rais wangu sasa nitaanza kuipenda Airtel baada ya kuichukia miaka yote iliyopita.
@samwelsirieli1624
@samwelsirieli1624 5 жыл бұрын
Hahaaaaas
@tinyaanosiatha1118
@tinyaanosiatha1118 5 жыл бұрын
Kweli kabisa baba nchi ni kodi. Mimi naishi us iwe hoter mfanyakazi anayetumika kutandika vitanda lazima check yake ikatwe kodi migahawa lazima ulipe kodi .
@sulymanothman7122
@sulymanothman7122 5 жыл бұрын
Watumbue baba wamezidi sn hawa
@cecy3831
@cecy3831 5 жыл бұрын
He's actually sensible, and stands for truth and the benefit of every citizen! I love my president.
@emmanueldundo6046
@emmanueldundo6046 5 жыл бұрын
Formula ya mungu 😂😂😂
@shalomchaula4420
@shalomchaula4420 3 ай бұрын
Wangapi mmeangalia hii baada ya report ya CAG ya 2023/2024
@venahsithole6463
@venahsithole6463 5 жыл бұрын
Kujengea wananchi nyumba nzuri zakuishi ni kodi
@salminiyussuf989
@salminiyussuf989 5 жыл бұрын
😄"Chai moto, kombe la bati, jua kali, pekupeku. Unaambiwa kunywa!!!" 😊"kwikwiikwiiiii.Bongo ile sio ya leo bhana!!!" 👴"Zama za kubembelezana na kulindana-lindana RIP"
@evaristmandilindi6147
@evaristmandilindi6147 5 жыл бұрын
Nimecheka sana
@badrudinrashidi7825
@badrudinrashidi7825 5 жыл бұрын
Wale wa Chadema in blood muwe mnatoa hisia zenu. Mm huyu Raisi nampenda sana. Ati kuna mtu anajiita raisi wa Mbeya. Jamani!!! Watanzania wana vituko!!!
@reubenmajambo1270
@reubenmajambo1270 5 жыл бұрын
@@badrudinrashidi7825 😀😀😀
@sofialinus2944
@sofialinus2944 5 жыл бұрын
Something is better than nothing 🙄🙄🙄 👏 👏
@fatmafa1896
@fatmafa1896 5 жыл бұрын
Kweli ni MUNGU ni mwema kweli tena ni mwesa wa kila kitu na hakuna mwingine badala yake HALLELUJAH
@jamesjahasa3348
@jamesjahasa3348 5 жыл бұрын
Speed 180 magufuli
@patrobamaingumtwale6019
@patrobamaingumtwale6019 5 жыл бұрын
Pengine wanahisi hujawapa Uhuru huo walio wengi hawafanyi kazi kwa weledi wa taaluma zao ila wanaogopa huku wakisubiria kusukumwa
@nestor384
@nestor384 5 жыл бұрын
Mhe. rais Magufuli akimaliza muda wake sijui tutapata wapi mwingine mwenye spirit kama yake. Mungu wa mbinguni tuongoze.
@pirminmatumizi5464
@pirminmatumizi5464 5 жыл бұрын
Hapo ndipo Watz mtatambua kuwa pilipili siyo mboga. Changamoto siyo aina ya Rais bali ukosefu wa Mfumo wa kudumu na imara wa kusimamia mifumo mbalimbali Nchini.
@user-eg2wk4xx3h
@user-eg2wk4xx3h 9 ай бұрын
Magufuri msema kweli .kukusanya kodiiiii
@samwelshilungu4370
@samwelshilungu4370 5 жыл бұрын
Ukiwatoa uwafirisi. Maana wameshafisadi tayari. Sasa unatumbua na kuwaacha wale maisha.
@tithomwamengo6571
@tithomwamengo6571 3 жыл бұрын
Kwamaamuz tu nakukubali
@amosmoses7800
@amosmoses7800 3 жыл бұрын
Kwako Mh.Magufuli Mheshimiwa mimi kula yangu utaipata iwapo tu utajibu masuali yangu haya - Kwavile wewe ni msema kweli. Na unadai unamuogopa Mungu : ___ 1. Uliahidi milioni 50 kila kijiji. Je! Ututajie kijiji Angalau kiMoja ulizowapelekea. 2. Utuambie hizo ndege. Ni nani alieizinisha ununuzi? Na zimenunuliwa kwa Kiasi gani. Na hadi muda huu zimeingiza faida Kiasi gani. Utuambie sababu za kuzuiliwa ndege zetu mala kwa Mala zikienda nje. Mbona zinaMADENI $ 133 milioni ? Utuambie wanaozipanda hizo ndege ni akina nani? 3. Utuambie Uwanja wa Chato wa kiMataifa ulijengwa kwa Kiasi gani. Nani alieizinisha . Na hela ya ujenzi imetoka wapi? Na kwanini Uwanja huo ujengwa kijijini CHATO ? 4. Utuambie zile Trilioni 1.5 mfuko wa hazina ya selikali zimepotea wapi? Au zimetumika vipi ? Na kwanini Ukamtumbua CAG Mzee Musa Asadi? 5. Mh.Laisi Utuambie kwanini vyombo vyako vya Dola vimeshindwa kuwatambua Na kuwakamata " KIKUNDI CHA WATU WASIOJULIKANA " .? kilichokuwa kinawanyonga Laia zako. Wengine kutekwa. Wengine kupigwa lisasi. Kama bado kipo inchini . Unawakikishiaje laia zako usalama wao? Ili Mo Dewji aondokwe Na hofu. 6. Utuambie wale " mafisadi wawili wa ccm " walioekeza nje ya inchi. Uliwachukulia hatua gani? Mbona hatukukuona ukifatilia miHela yao iyo kwenye Account za nje ya inchi? 7. Mh. Laisi unapoongelea COLONA. Kila kwenye kampeni zako. ivi ni Wapinzani ndio walioileta ? Na Je ! Imeondoka kwa Nguvu za mungu wa Chato au Mungu Mkuu wa mbinguni baada ya maombi yaliofanywa kanisani Na misikitini? 8.Mh Laisi ulidai uchaguzi huu utakuwa wa haki Na hulu. Mbona tayali tunaona wagombea wengi tu wa ccm Na wale wa upinzani wakienguliwa ? 9. Mh.Laisi uliahidi Utajenga mashule na MaHospitali hadi wilayani. Ni hospitali ipi iliojengwa hadi muda huu? 10. Mh.Laisi ulisema inchi yetu ni tajili sana. Mbona laia wako wanaishi maisha duni. Hela haionekani. ? Tunaowaona wakifaidika ni vigogo vya ccm / vigogo vya selikali na watu wa usalama taifa. Wanaozi kujenga majumba ya kifahali kila sehemu Bila ya wasiwasi. 11. Kwanini unawatumia wasanii kwenye kampeni zako zote.? Utuambie hiyo mikataba uliofanya na wasanii. .wanalipwa na hela za nani? 12 Mheshimiwa Laisi. Eti kama tunaitaji kuanzisha Kiwanda Tuanzie na CHELEHANI ngapi ? Suali la mwisho Muheshimiwa 13. Wanasema Ulitembea na shemegi yako. Je ! Ulizaa nae ? Au ulikuwa ukipita pita juu juu tu? KULA YANGU MHESHIMIWA NI KWAKO. UKINIJIBU VISUALI VYANGU IVO. BWANA YESU ASIFIWE ! CCM OYEEE !!
@izzataman6219
@izzataman6219 5 жыл бұрын
Nicca got two side 🤔🤔
@jumamkanjima2670
@jumamkanjima2670 5 жыл бұрын
Mjomba mmi japo c mwanachama wa chama chochote ila ni 1 mpenda mageuzi ya kweri ili kwa hiri mjomba 2po pa1. Ila2 mjomba labda nikupe nikupe neno hao viongozi wa t.r.a hata wabunge wengiwao ndani ya bunge akiwemo spika ndugai hao ndo wanaokuhujumu ili mwakani wamuweke mwizi wa nnchi anaeweza kuibanao
@evelynebwire7684
@evelynebwire7684 3 жыл бұрын
Sasa nimekuelewa
@victustemba
@victustemba 5 жыл бұрын
Chumaa
@awadhirajabu7754
@awadhirajabu7754 5 жыл бұрын
Sema Raisi Wetu Hao Wanaonunua Mazao Shambani Wajitaidi Kupandisha Bei Kwa Wakulima Mana Kama Kodi Zinatolewa Hau Kupunguza Wakulima Wapewe Bei Nzuri
@Mr_Ben255
@Mr_Ben255 5 жыл бұрын
Sawa baba magu
@davidkaguru9511
@davidkaguru9511 5 жыл бұрын
Maigizo tu haya ,yani anasifia kupandisha kodi huku anaponda malalamiko ni mengi
@khalidali1130
@khalidali1130 5 жыл бұрын
Mzee tumekukubali wazi wamezoea kutunyanyasa wanadhan nafas wameumbiwa wao hao ndio wanawafanya watu waish km tupo ukimbizn nchi mwetu dah hatar
@mariamabdull4134
@mariamabdull4134 5 жыл бұрын
Safisana mh. Rais waeleze ukweli
@musanoha1135
@musanoha1135 5 жыл бұрын
Wahivyo hatakwetu wapo ngongona dodoma
@majosamalundi4016
@majosamalundi4016 5 жыл бұрын
Katika siku ambazo nimekusikiliza mweshimiwa laisi leo umeongea ukweli mtupu
@micamathew6433
@micamathew6433 5 жыл бұрын
Hakuongea ukweli leo tu, kama ulikuwa hujui bac nikwamba anaongea ukweli siku zote...
@rafiuiliyasa2416
@rafiuiliyasa2416 5 жыл бұрын
Majosa Malundi k
@aammede
@aammede 5 жыл бұрын
Rais awaombe radhi messengers wote..kazi yao ni ya ajabu! 😂😂😂
@nestor384
@nestor384 5 жыл бұрын
Ukiilinganisha na ya umeneja wa forodha ndani ya tra kweli umessenger ni kazi ya ajabu
@ablysonco8850
@ablysonco8850 5 жыл бұрын
Its true...Something is better than Nothing...
@mubasosi7932
@mubasosi7932 3 жыл бұрын
Samahan jaman mwenye namba ya mheshimiwa raisi anipe tafadhali nateseka sana jaman
@asiaokeay1654
@asiaokeay1654 5 жыл бұрын
👏👏👏👏👏👏👏👏👏
@mwajumamachalila2928
@mwajumamachalila2928 5 жыл бұрын
Mzee nakuelewa ujue
@williamsesthony4951
@williamsesthony4951 5 жыл бұрын
Tumbua Tunduma
@nyandamisana3630
@nyandamisana3630 5 жыл бұрын
Haiwezekani mtu mwenye dhambi aende mbinguni et kisa watu wengi wamemuombea, matendo yake ndio yatamuweka mahari anapotaka
@barnabaschuwa7820
@barnabaschuwa7820 5 жыл бұрын
Mng akupe miakaa km yoteee
@ibraeliya7760
@ibraeliya7760 5 жыл бұрын
Usicheke na mtu, we kaza tu one day tutaona matunda yake
@banshbansh2329
@banshbansh2329 5 жыл бұрын
walidekezwa sana
@hanifawaliya7976
@hanifawaliya7976 5 жыл бұрын
Walegezee kidogo mkuu. Duuu 180 naona
@abdullysalim8440
@abdullysalim8440 5 жыл бұрын
Hamna kulegeza hapa
@atikombogolo2356
@atikombogolo2356 5 жыл бұрын
KICHERE AMESHINDWA CHUKUA KODI KWA BISHOP KAKOBE😉😉😉😎😎😎
@deusabinery5833
@deusabinery5833 5 жыл бұрын
.
@tinyaanosiatha1118
@tinyaanosiatha1118 5 жыл бұрын
Wambie baba nadhani watakuelewa tu
@husseinkonz5192
@husseinkonz5192 5 жыл бұрын
Huu mwaka wa mafisad watanyooka tuu
@salumumsike8175
@salumumsike8175 5 жыл бұрын
Unafanya vnzr baba
@evaristmandilindi6147
@evaristmandilindi6147 5 жыл бұрын
Bonge la presida
@ernestsinje9532
@ernestsinje9532 5 жыл бұрын
kodi kubwa mnoo
@musanoha1135
@musanoha1135 5 жыл бұрын
Uko vizul baba endelea vnyohinyo
@hamisibena8057
@hamisibena8057 5 жыл бұрын
Twende kazi ata uku wapo
@rockcitynative9985
@rockcitynative9985 5 жыл бұрын
Mzee kwani vipi! hutaki tena yale makusanyo ya kuvunja record 1.3 trillion? Au sasa unataka turudi kule kwa 0.8 trillion?
@hshshdhnddhhdjdjdhdbxbdx3582
@hshshdhnddhhdjdjdhdbxbdx3582 5 жыл бұрын
Ni kweli mh sasa unajenga taifa letu na mataifa mengine yataiga
@faustinejoseph362
@faustinejoseph362 5 жыл бұрын
tumbua wajingajinga wote wanao jinufaisha wenyew nchi c mama zao ni yawatanzania wote penda sana rais wngu
@olivercloud5597
@olivercloud5597 5 жыл бұрын
Sasa rais unatuhambia kodi kodi kodi, ila atuhoni kodi yetu inafanya nini? Barabara atuna kabisaaaaa. Dar kwenyewe barabara akuna. Kodi kodi kodi.
@kiyabonjemu9885
@kiyabonjemu9885 5 жыл бұрын
Huna busara
@davidchesco52
@davidchesco52 5 жыл бұрын
Mzee Wabusara kumbe huon eeh yanayofanyika bac watoto wako ama ndugu zako wataona
@bettymassanja881
@bettymassanja881 5 жыл бұрын
Barabara za Dar ni mahandaki utadhani hatulipi kodi mbalimbali!
@comrademlewaisavile336
@comrademlewaisavile336 5 жыл бұрын
Zilipendwa enzi za kupiga dili mh jpm tumbua hao
@raphaelsamwel2640
@raphaelsamwel2640 5 жыл бұрын
Usahau pia unakinyongo!!!!! Kwanini sheria muweke ya mtu kukadiria??? Upuuuzi!!! Utawabadilisha sana!! Kamishina hawexi kuwepo kila mahala!!!! Utapigwa sana!!! Mfumo!!! Maneno manenooooo!!
@freddokuckelmann8502
@freddokuckelmann8502 5 жыл бұрын
Haha, Mbinguni huendi kwa sala. Mungu ndiye anayeamua kutokana na matendo yako.
@JOHN16verse33
@JOHN16verse33 5 жыл бұрын
Cant you get a joke? Geees!
@justinezablon6699
@justinezablon6699 5 жыл бұрын
mmmh asijal tutamsukuma ataingia tyuu mbingunii😅😅😅😅😅
@laumasefi66
@laumasefi66 5 жыл бұрын
Rais tumepata
@Kwelihukuwekahuru
@Kwelihukuwekahuru 5 жыл бұрын
Nyanda Misana ukitenda mema watu wanaweza kukuombea kumbuka yule mtu kwenye biblia aliombewa na watu kwa Yesu kwa sababu tu aliwajengea hekalu na Yesu akamsikiliza
@lasteckmmary9741
@lasteckmmary9741 5 жыл бұрын
Ninatamani, sana rais wangu, utawale miaka yoteeeee, uliyopewa na munguu
@haroubhamoud8701
@haroubhamoud8701 5 жыл бұрын
Hawa watendaji wangekuwa na akili robo tu za muheshimiwa Rais basi nisingekuwa na haja ya kuzeeka mapema.
@pascalsauwa4914
@pascalsauwa4914 5 жыл бұрын
Nilimwamini sana Rais wetu ila kwa haya! Rais analalamika kama Mimi na we we du! sijui kama tutafika. Shida ya malengo binafsi au yakufikirika? Stglas, Rail ya kisasa kwa hela zetu! wakati bajeti iko wazi, ukweli tuambiwe tuu, mbona tunalipishwa kwa namna inayotuumiza hivi? Rais analalamika pengine kuliko walipa kodi! Serikali inabidi kujitafakari
@micamathew6433
@micamathew6433 5 жыл бұрын
Safi mkuu mi nakuekewaga sana tangu zamani sana tena za kaleeee
@fatmafa1896
@fatmafa1896 5 жыл бұрын
Kweli ni MUNGU ni mwema kweli tena ni mwesa wa kila kitu na hakuna mwingine badala yake HALLELUJAH
@Mr_Ben255
@Mr_Ben255 5 жыл бұрын
Sawa baba magu
@tinyaanosiatha1118
@tinyaanosiatha1118 5 жыл бұрын
Wambie baba nadhani watakuelewa tu
@abdallahmohamed2669
@abdallahmohamed2669 5 жыл бұрын
Watu tulio wengi tunashindwa kuelewa kwamba maofisa wengi maofisini wanafanya kazi kwa woga mno. Hawako huru ktk kutekeleza majukumu yao. Wengi hujiuliza nikifanya maamuzi haya je yatamridhisha bwana mkubwa?!?!
@lucasmkui9333
@lucasmkui9333 5 жыл бұрын
SAFISANA, TENAWATOE MOJAKWAMOJA WAKALIME, TUNAKUOMBEA RAIS WETU UDUMU TENA UWE RAIS WAKUDUMU
Amazing weight loss transformation !! 😱😱
00:24
Tibo InShape
Рет қаралды 56 МЛН
Red❤️+Green💚=
00:38
ISSEI / いっせい
Рет қаралды 80 МЛН
Mom's Unique Approach to Teaching Kids Hygiene #shorts
00:16
Fabiosa Stories
Рет қаралды 29 МЛН
Sigma girl and soap bubbles by Secret Vlog
00:37
Secret Vlog
Рет қаралды 11 МЛН
Rais MAGUFULI Alivyowabana TANESCO, Nusura AWATUMBUE!
27:53
Global TV Online
Рет қаралды 302 М.
Sababu za madini kutoroshwa hizi hapa
16:08
Azam TV
Рет қаралды 105 М.
Magufuli 'ashangaa' Papai, Mbuzi, kukutwa na Corona
10:34
EastAfricaRadio
Рет қаралды 245 М.
RAIS DKT. MAGUFULI AWASIMAMISHA TBA KUJENGA NYUMBA ZA MAGEREZA UKONGA
3:00
Amazing weight loss transformation !! 😱😱
00:24
Tibo InShape
Рет қаралды 56 МЛН