My name is Washington Moren Wasonga I'm akenyan, Rip Mr John pombe makufuli, we loved you bt God loves so much than as
@johnkieru63475 жыл бұрын
Mimi mkenya na kwa hakika watanzania mna bahati sana kwa kumpata rais magufuli,, kwa hakika ni rais wa kipekee na ninampenda kwa ujasiri wake na hekima ya uongozi. yeye ni mcha mungu na anajali haki za watanzania.. MUNGU azidi kumbariki na ampe maisha marefu
@RomwardWM5 жыл бұрын
Magerezani kuna laana nyingi na maswaibu mengi mm, nakumbuka mzee wangu alikamatwa na kuhukumiwa miaka mitatu au fain ya laki nane , namshukuru Mungu tulifanikissha muda huo huo ,, na mzee wangu anakwambia gerezani kubaya sana
@adammwita31505 жыл бұрын
Daah! haijawahi tokea Mkubwa kumkumbuka mdogo, Mh. JPM Mungu AKUPE MAISHA MAREFU
@miramuya15905 жыл бұрын
Mambo mengi sana yamejificha sana. Kwa mtindo huu kila kitu kitajulikana
@nyauskobies55225 жыл бұрын
You are a leader of all Africa
@eddymbezi82615 жыл бұрын
JPM hakika ana moyo wa pekee. kuna watu wanapewa uongozi, hata kata moja wanashindwa kuzungukia mpaka kipindi chao kinaisha
@ngederemkatamkaachuwakineg52395 жыл бұрын
Gerezan ni kesi nying za kupewa aisee na kuna mateso sana
@lugangosebastian56375 жыл бұрын
Nimeyaona mazingira ya ndani ya gereza la butimba hakika nimekumbuka mbali sana maana mimi pia ni miongoni mwa watu waliowahi kuingia na kulala nikiwa kama maabusu nililala siku 5 lakini nilihisi kama nimeishi miaka 6 nikiwa humo, wema uliniponza nilitenda wema kwa mtu asiye mwema akanihujumu nikaonekana mwizi wakati sijawahi hata siku moja katika maisha yangu kuiba cha mtu, nilisamehe na kumwachia ALLAH lakini niliyo yaona humo ndani hakika naapa sintoweza kuja kuyasahau abadani kifupi jela pasikie tu usiombe yakukute.
@natyvan40715 жыл бұрын
Pole sana
@hamidmweusiii35 Жыл бұрын
Heee pole sana ndgu
@Paplick95 жыл бұрын
Hili gereza kesi nyingi za kupewa .
@zainabumsigwa18865 жыл бұрын
Mungu awatokee hawa hadi huruma
@rachelasubisye53115 жыл бұрын
Rais wa wanyonge
@robertjunior99163 жыл бұрын
Dah aseee 🤔
@sendekakimani38255 жыл бұрын
Yan inahunzunisha kweli.ndo maana yahana batinzaj aliwaambia msimsinginzie mtu makosa ya uongo.ndo haya
@faidamasegenghe33795 жыл бұрын
Kweli kabisa mhhhh jamaa anaogea had I huluma
@thelistener83573 жыл бұрын
Doh kusema kweli nilikua simjui huyu raisi lakini sasa ninampa heshima. Handanganyiki na wala hataki upumbavu. Anawajali watu na nikipiga kura lazima nimpigie huyundie raisi wa kisawasawa
@petersconsolatha97835 жыл бұрын
👏👏👏👏
@Paplick95 жыл бұрын
Duuuh hi nchi hiii atari san
@paulmalambo17485 жыл бұрын
Allkib
@muqrinmuya96095 жыл бұрын
Duuuh, Hatari sana hii
@tanzania4635 жыл бұрын
VARDA ARTS NEW SONG ABOUT OUR RAISI @ZCp4
@edwinekwabe91675 жыл бұрын
Duh sio poa salut mjomba magufuri
@josephmremi13355 жыл бұрын
big up mzee mkubwa, chid alishawahi kusema viongozi wafanya magereza ni mahali pazuri kwa sasa maana hata wao wanajaweza kuwa wafugwa wa baaae, mdogo wangu mkuu wa mkoa ule mkubwa Tanzania uweke kichwani hilo
@ibel4lf3 жыл бұрын
Huyo mlemavu kaniacha hoi eti nilisingiziwa nimetomb... hivi kweli unaweza tamka hilo neno mbele za watu akiwemo raisi nimecheka sana Magu alivyomjibu kwa hiyo wewe ile kitu nyingine inafanya kazi
@RomwardWM5 жыл бұрын
Dunia hii ina mengi 😥😥
@johnmagembe76212 жыл бұрын
Baba pumzika kwA amani
@muqrinmuya96095 жыл бұрын
Kama itakuwa hivyo kila wakati. Mabo mengi sana yaliojificha yatajulikana
@RomwardWM5 жыл бұрын
Wale wenye kesi ambazo hazina ushahidi basi waachiliwe
@hawahashim70345 жыл бұрын
Kwakwel rais imekuzidia bey
@user-ec6sp6tm3g11 ай бұрын
W
@yohanaissaya15945 жыл бұрын
Muwe muna sogeza maik vzur hatusikii
@truthspeaker20625 жыл бұрын
Rais wa watu hajawahi tokea
@ramadhanjuma2655 жыл бұрын
Haki itendeke .. Atembelee na wanawake maana uko uZalishwa pasipo wanaume je hiZo mimba wanapewa na nani