No video

Rais Ruto aagiza makundi mbalimbali kuteua wawakilishi kwenye mazungumzo ya kitaifa

  Рет қаралды 111,155

Citizen TV Kenya

Citizen TV Kenya

Күн бұрын

Ofisi ya rais imeanzisha mpango wa kuhusisha vijana katika mazungumzo siku mbili baada ya Rais William Ruto kukataa kutia saini mswada wa fedha wa mwaka 2024 kuwa sheria. Barua kutoka kwa mkuu wa utumishi wa umma Felix Koskei imewataka washikadau kutoka sekta mbalimbali kuwasilisha majina ya wawakilishi katika kamati itakayobuniwa ya kutatua maswala yaliyoibuliwa na vijana wakati wa maandamano ya kupinga mswada huo. Na kama vile Emily Chebet anavyoarifu, Rais William Ruto aliendeleza mikutano yake na viongozi wa kidini katika ikulu ya Nairobi, leo akikutana na maaskofu kutoka kanisa la (AIPCA).

Пікірлер: 962
@lakeinrocks
@lakeinrocks Ай бұрын
WE WILL STOP GOING TO CHURCH. WE CAN PRAY FOR OURSELVES
@Triplem233
@Triplem233 Ай бұрын
Religions were created to control masses.
@petronillahosoro4828
@petronillahosoro4828 Ай бұрын
This are hypocrites be warned
@ViceAdmiralVasilyArkhipov
@ViceAdmiralVasilyArkhipov Ай бұрын
Yesss
@baloz8974
@baloz8974 Ай бұрын
GenZ hawana waakilishi,unataka waakilishi ili uwahonge no way just speak na sisi tutakujibu kwa social media .tumesema hatukutaki sasa ,kazi yako kuharibu nchi kuhonga wabunge kupitisha hoja zako kwanini .
@rockyrocki-fo4sl
@rockyrocki-fo4sl Ай бұрын
Kabisaaaa hakuna leader,they will be bought up asap
@Patoh254Somie
@Patoh254Somie Ай бұрын
There must be leaders ngoja utaona ni nyinyi ni wachache hawakupata kakitu
@davisbett
@davisbett Ай бұрын
True hao pia wataturuka atutaki viongozi ,kiongozi ni kila mtu
@chegepatrick2730
@chegepatrick2730 Ай бұрын
Amewashika mateka
@shabankolia8204
@shabankolia8204 Ай бұрын
Hatuna haja na kuongea na wewe sai is too late pls Mr zakayo ok
@MohamedNoormohamed-lc4rg
@MohamedNoormohamed-lc4rg Ай бұрын
😊😊😊😊when he not flying he is lying
@baloz8974
@baloz8974 Ай бұрын
Haha 😄 🤣 😂 umeona now he's lying
@aligedi2869
@aligedi2869 Ай бұрын
😂😂😂😂
@Onguti
@Onguti Ай бұрын
We are tribeless We are partyless We are leaderless 🇰🇪🇰🇪❤🇰🇪🇰🇪
@miltonmawewe5248
@miltonmawewe5248 Ай бұрын
Simple📌
@erickjuma7643
@erickjuma7643 Ай бұрын
Thank you?
@alphonceokoth6381
@alphonceokoth6381 Ай бұрын
Yes yes yes 🎉 viva
@MaryDavid-hw2zy
@MaryDavid-hw2zy Ай бұрын
Exactly
@zionwatchman9389
@zionwatchman9389 Ай бұрын
Powerful
@Mohalira
@Mohalira Ай бұрын
Mnataka wawakilishi ndio muwateke nyara...na wenye mlichukua si mrudishe...shame on this government. Too bad wallah.
@agathawanjiku6919
@agathawanjiku6919 Ай бұрын
Ruto has to go , no negotiations
@Afro-Funk-withFroKatai.-ld8ti
@Afro-Funk-withFroKatai.-ld8ti Ай бұрын
Sis.. itabaki umezoea Ruto is our President. Ukienda Uganda utapata Museveni. Take your pick.
@lyfondiamond7273
@lyfondiamond7273 Ай бұрын
​@@Afro-Funk-withFroKatai.-ld8tithen Wacha abaki na uinga wake state house na hao mapastor ,,let 2027 come
@susannangurai3348
@susannangurai3348 Ай бұрын
Why let kenya burn bcs of nonsense
@susannangurai3348
@susannangurai3348 Ай бұрын
Ilikuwa ni Finance bill...sasa amekubali kusikiza.....sasa ni Ruto must go? Hawa ni watu wanataka inchi ichomeke na hawa ni wakora na idlers...They need to be dealt with
@walteralulu8483
@walteralulu8483 Ай бұрын
Na mbona aliua vijana githurai​@@susannangurai3348
@nerryakanda3733
@nerryakanda3733 Ай бұрын
Nonsense, too late . Let the compromised church meet him. He has no moral authority to continue leading having killed children. His voice nauseates.
@isaiahmuyekho6703
@isaiahmuyekho6703 Ай бұрын
Can you lead
@ugenyapasi
@ugenyapasi Ай бұрын
@@isaiahmuyekho6703keep quiet nonsense!!you sound stupid and dumb in one sentence
@samkaybeauty2862
@samkaybeauty2862 Ай бұрын
​@@isaiahmuyekho6703 you can you lead 🚮
@michaelkauku9714
@michaelkauku9714 Ай бұрын
Who will believe or trust Ruto surely? This man can very compromise even 1000 people. A true sweet talker
@elizabethmbula9388
@elizabethmbula9388 Ай бұрын
Vasco danganya ni mwongo kuliko shetani
@Berly841
@Berly841 Ай бұрын
Atawadanganya na 1k pekee akuna mazungumzo
@susannangurai3348
@susannangurai3348 Ай бұрын
Why let kenya burn bcs of all these? Let him serve his term and leave...Kenyans will regret burning their country
@michaelkauku9714
@michaelkauku9714 Ай бұрын
@@susannangurai3348 kenya was burnt economically long time ago by the so called leaders
@susannangurai3348
@susannangurai3348 Ай бұрын
@@michaelkauku9714 well said my brother....it was burnt economically but sio vijana kukufa....pls aki let's just all calm down and wait for 2027 pls
@jumangala4925
@jumangala4925 Ай бұрын
Hatukubaliani na ww ata nukta moja💯💯cha msingi uende home ukalime juu hiezi kuendesha KENYA.
@philipchirchir7035
@philipchirchir7035 Ай бұрын
Do what you want, president have offered himself for dialogue and if you don't want get your ass to street and see if you can get it.😂😂
@user-ul8xh7dk5p
@user-ul8xh7dk5p Ай бұрын
​@@philipchirchir7035Acha umama
@user-zz9qw5iw8z
@user-zz9qw5iw8z Ай бұрын
@@philipchirchir7035you’re a reckless idiot who doesn’t understand anything
@petronasken7504
@petronasken7504 Ай бұрын
Now, repeat that without exposing your teeth and spitting murski everywhere. Take your nyani with you please!​@@philipchirchir7035
@DavidNyamongo-un1sc
@DavidNyamongo-un1sc Ай бұрын
You are very stupid,arm yourself with voter's card and vote him out in 2027, other wise naona mama zenu wakiwazika sana
@moscowjumah2089
@moscowjumah2089 Ай бұрын
We don't trust pastors coz the hypocrisy in them its alarming
@whitneyngati4750
@whitneyngati4750 Ай бұрын
After death fear pastors.
@Patoh254Somie
@Patoh254Somie Ай бұрын
​@@whitneyngati4750 pastors there work is to maintain peace to both parties wenye walichoma ni criminals I agree sisi tuliandamana peacefully
@SupremeKimani
@SupremeKimani Ай бұрын
Pastor nganga ako na sisi kwani umesahau
@dreadlocks_sisterlocksbahrain
@dreadlocks_sisterlocksbahrain Ай бұрын
😢sio baba wetu we don't trust church chat hypocrisy and betrayal 😮😮 narcissistic behaviour
@user-kg9gy9pw3l
@user-kg9gy9pw3l Ай бұрын
Pastors wako side ya Ruto juu wanapewa vibahasha every sunday
@beatricekarani7675
@beatricekarani7675 Ай бұрын
Ruto must go Ruto must go
@baloz8974
@baloz8974 Ай бұрын
Haina mjadala hilo limepita
@Geowematv
@Geowematv Ай бұрын
Vijana hawana kiongozi, labda tukutane mtandaoni.God help Kenya, peace, love & harmony, Kenya Moja si Kenya kwisha.
@davisbett
@davisbett Ай бұрын
Hautaki kiongozi
@baloz8974
@baloz8974 Ай бұрын
Kabisa
@flavourboyke
@flavourboyke Ай бұрын
Hawa ma bishop ndio wametuharibia kenya yetu wanapokea hongo
@vivianne_sati
@vivianne_sati Ай бұрын
Wanafaa kusalimiwa pia
@PaulineMugure
@PaulineMugure Ай бұрын
He has not taken responsibility for the killings. He has not mentioned the Githurai massacre by police. This man CANNOT BE TRUSTED!
@rosendunge4217
@rosendunge4217 Ай бұрын
Ruto enda sugoi hatuna rais. Just go
@PeterAmollo-pk2lo
@PeterAmollo-pk2lo Ай бұрын
Genz hatuna kiongozi🇰🇪🇰🇪 kama anataka tuongee atuite sisi wote kenya nzima kwa kiwanja na akae kati kati kila mtu ajiongelele😂😂😂
@BenardWanjala-cc2cu
@BenardWanjala-cc2cu Ай бұрын
Nakuunga mkono
@harrisonkimani9921
@harrisonkimani9921 Ай бұрын
Church inakuja sai after gen z wamekufa...nkt
@DavidNyamongo-un1sc
@DavidNyamongo-un1sc Ай бұрын
Kwani Gen z waliendewa makwao?walijitakia kifo,na bado
@alphonceokoth6381
@alphonceokoth6381 Ай бұрын
Wakwende huko hao wafarisayo na wasadusayo, shikilieni hapo hapo mpaka zakayo aende Hague Kwa kuua watoto wetu
@sheilamwai7546
@sheilamwai7546 Ай бұрын
​@@DavidNyamongo-un1scwewe ungenyamaza tu. Just sharrap!
@David200dee
@David200dee Ай бұрын
Kwani hukuona nn kilifanyika Githurai 45,waliuliwa kwao usiku ​@@DavidNyamongo-un1sc
@lakeinrocks
@lakeinrocks Ай бұрын
AONGE NA 56 MILLION KENYANS DIRECTLY. KILA MTU NI LEADER. AKITAKA KUTUHONGA SOTE SAWA. HE CAN START BY SELLING ALL HIS PROPERTIES ALIPE DENI YA KENYA. NEXT, ADISSOLVE PARLIAMENT NA ARESIGN. PERFECT BRIBE FOR ME
@alphonceokoth6381
@alphonceokoth6381 Ай бұрын
Yes yes yes Aluta continua viva 💪
@zionwatchman9389
@zionwatchman9389 Ай бұрын
You are a genius!
@samkaybeauty2862
@samkaybeauty2862 Ай бұрын
💯💯
@johnabuyanyakundinyakundi
@johnabuyanyakundinyakundi Ай бұрын
Viongozi ni wale walidedi
@erickjuma7643
@erickjuma7643 Ай бұрын
Good point. Aende awaamshe aongee nao
@CalistoLucha
@CalistoLucha Ай бұрын
Tuzungumze nn
@w.s.rchiefhustlernews5727
@w.s.rchiefhustlernews5727 Ай бұрын
Ruto must go, we
@Afro-Funk-withFroKatai.-ld8ti
@Afro-Funk-withFroKatai.-ld8ti Ай бұрын
You want him to go where. To your home?
@Victor62.
@Victor62. Ай бұрын
He ain't going anywhere, ata 2027
@jeremiahotuto6250
@jeremiahotuto6250 Ай бұрын
He is going nowhere. People with low reasoning capacity like you matter economics are the one shoutig ruto must go day in day out .
@Freedomfighter-fizz
@Freedomfighter-fizz Ай бұрын
He brings all those children he killed back to life kwanza ndio tuongee
@kagamedimaria4787
@kagamedimaria4787 Ай бұрын
Ruto must go
@SEMSE-FELIX
@SEMSE-FELIX Ай бұрын
Leaders ndio he bribe them
@obbiemikeke8763
@obbiemikeke8763 Ай бұрын
Appoint yeyote tumumalize hatutaki ujinga
@bernardowino8091
@bernardowino8091 Ай бұрын
Hata izo kanisa tutagoma kuenda,hakuna hata mmoja wa hao ma Bishop wameenda kutembelea waathiriwa
@erickjuma7643
@erickjuma7643 Ай бұрын
True kabisa. They are quick to visit statehouse but can go to KNH
@bernardowino8091
@bernardowino8091 Ай бұрын
@@erickjuma7643 tuwaweke kwa group moja na Mps halafu tutaenda kwa salimia one by one ,any body anaji associate na zakayo yenye ni adui
@samkaybeauty2862
@samkaybeauty2862 Ай бұрын
For real 😮😮😢
@user-me5sv6ye8m
@user-me5sv6ye8m Ай бұрын
Akih😢 so sad
@clarekenyani4263
@clarekenyani4263 Ай бұрын
Hatuna kiongozi sisi
@azizayassin3623
@azizayassin3623 Ай бұрын
😂😂😂😂😂nakupenda sana❤
@user-wl1gn9gq3s
@user-wl1gn9gq3s Ай бұрын
Stop importing problems
@user-wl1gn9gq3s
@user-wl1gn9gq3s Ай бұрын
Hao maskofu walafi hatuwataki
@user-wl1gn9gq3s
@user-wl1gn9gq3s Ай бұрын
Ilepesa walikua wanapatiwa imeisha .no more money laundering in churches.
@isaacbulemi1382
@isaacbulemi1382 Ай бұрын
Criminals tena!!! Kwani si wakenya? You must go.
@abigelmombasa2323
@abigelmombasa2323 Ай бұрын
Ruto Must Go Na Wote Walio Vote Yes Watoke Wote .They Must Go Home Na Hawa Mapostor Tuwanyoroshe Pia
@victorotieno65
@victorotieno65 Ай бұрын
We shall give Zakayo the names of the heroes who were fallen on Tuesday abonge nao
@Smith_Kenya
@Smith_Kenya Ай бұрын
Leo nimeskia mtu akisema ati Ruto akiwa news heri stima ipotee😂
@vikahmotors
@vikahmotors Ай бұрын
GEN-Z Hatuna kiongozi,hawa ma askofu waache ujinga
@baloz8974
@baloz8974 Ай бұрын
Washapewa pesa
@EverlyneLiavuli
@EverlyneLiavuli Ай бұрын
Ruto must goo
@Haron-lk7bn
@Haron-lk7bn Ай бұрын
We will never forget
@danlabsofficial3722
@danlabsofficial3722 Ай бұрын
To keep things transparent, I think the discussions should be aired live on the internet... Some of the youths who rejected the finance bill might not be economists or well versed with politics so it might be easy for the govt to tune them to their song
@msamsa1031
@msamsa1031 Ай бұрын
Kiongozi wa gen Z ni MUNGU,
@zionwatchman9389
@zionwatchman9389 Ай бұрын
Kiongozi wa GenZ ni MUNGU kweli bro..
@baloz8974
@baloz8974 Ай бұрын
Na mungu ndio atatutapa nguvu
@samkaybeauty2862
@samkaybeauty2862 Ай бұрын
AMEN 🙏🙏🙏
@mariaw8442
@mariaw8442 Ай бұрын
Kweli kabisa
@cwezymusic
@cwezymusic Ай бұрын
True ❤
@kiganmoschinoo
@kiganmoschinoo Ай бұрын
Ruto must goooooooooo😢
@user-nr3yp6sk9k
@user-nr3yp6sk9k Ай бұрын
Zakayo enda sugoi hatuna rais just goooo period
@alphonceokoth6381
@alphonceokoth6381 Ай бұрын
Aende Hague
@24.179
@24.179 Ай бұрын
He's even outlining agenda he wants to be discussed. This guy does not get it and wont get it. He is still overlooking the issues Gen Z has outlined including his resignation😂😂
@user-yq3hl1cp6b
@user-yq3hl1cp6b Ай бұрын
Imagine😢
@alphonceokoth6381
@alphonceokoth6381 Ай бұрын
Shenzi kabisa
@zionwatchman9389
@zionwatchman9389 Ай бұрын
Point
@samkaybeauty2862
@samkaybeauty2862 Ай бұрын
That's what I'm wondering. Yaani he just doesn't get it 🤦🏽‍♀️🤦🏽‍♀️
@MULLAMUSICWORLDWIDE
@MULLAMUSICWORLDWIDE Ай бұрын
Do this religious leaders really know who Ruto is ?Do They ?
@SAUTI_YA_DHAHABU
@SAUTI_YA_DHAHABU Ай бұрын
Sisi hatuna kiongozi 😊kila mtu ni kiongozi
@alphonceokoth6381
@alphonceokoth6381 Ай бұрын
Yes yes yes 💪
@user-wl1gn9gq3s
@user-wl1gn9gq3s Ай бұрын
We dont want this meeting at state house .lets do zoom meeting
@crescentomenda7626
@crescentomenda7626 Ай бұрын
are you our leader...
@timothykiogora3372
@timothykiogora3372 Ай бұрын
Hao wenye watachaguliwa si atawaua wote 😢😮
@shadracknyamwange7410
@shadracknyamwange7410 Ай бұрын
Give him another chance maybe ame reform
@Littlecrafties_
@Littlecrafties_ Ай бұрын
We dont have leaders as gen z sawa????
@johncylasmwadime6372
@johncylasmwadime6372 Ай бұрын
Viongozi wa vijana ndio wale uliuwa
@zionwatchman9389
@zionwatchman9389 Ай бұрын
Tell him bro
@LizKuz-xk3hv
@LizKuz-xk3hv Ай бұрын
Exactly
@suzanwang7654
@suzanwang7654 Ай бұрын
Yes
@samkaybeauty2862
@samkaybeauty2862 Ай бұрын
YES 😢😢
@Rhodakananu-zo3bm
@Rhodakananu-zo3bm Ай бұрын
Anataka kujua waakilishi wa Gen Z ndiyo aweze kuwaua shetani tunakujua, just resign and leave Kenyans with peace
@lydiah-3953
@lydiah-3953 Ай бұрын
Hatuna viongozi Mungu ndie kiongozi wetu❤
@eunicejefwa1935
@eunicejefwa1935 Ай бұрын
Ubaya akili yako na Gen z ni tofauti. Gen z wamekushinda ujanja kuwapata ni ngumu
@user-yq3hl1cp6b
@user-yq3hl1cp6b Ай бұрын
Then the Bishops call him their Bishop. People are sick
@clintonpools3595
@clintonpools3595 Ай бұрын
Divede and rule strategy
@chidebrutechs
@chidebrutechs Ай бұрын
Ameagiza nani kama nani??? Hatuna viongozi kama vijana. Ruto must go home now.
@coinblock-rv1pm
@coinblock-rv1pm Ай бұрын
This president ataacha kama tumefirisika.. adding loan interest every month through central bank....worst president ever,Ruto must go##
@SEMSE-FELIX
@SEMSE-FELIX Ай бұрын
We will have leaders but now we don't want to talk to a liar .... Heartbreaking of all using church
@crescentomenda7626
@crescentomenda7626 Ай бұрын
sameway mzungu alitumia church to colonize us
@john-m2z
@john-m2z Ай бұрын
No hope,on this one
@susannangurai3348
@susannangurai3348 Ай бұрын
Jiongelele....some of us have Hope in him
@prosperjuma4993
@prosperjuma4993 Ай бұрын
Kuma la mamaako changudoa mkubwa ww ​@@susannangurai3348
@MalikshotelsMalikshotels
@MalikshotelsMalikshotels Ай бұрын
Hatutaki mazungumuzo MSHEZI ww RUTO MUST GO
@vicentepascal6758
@vicentepascal6758 Ай бұрын
Huyu anajifanya ni kama haelewi chochote. Eti gen z wajipange wafanye mkutano na yeye. ? Hii ujuaji na kiburi ya ichungwa unatumia itamramba tena.
@simonjuma6849
@simonjuma6849 Ай бұрын
Kumbe Ruto hana adabu. He is supposed to be telling us how to compensate for the death caused by him
@ArafatJuliusNyerere
@ArafatJuliusNyerere Ай бұрын
Ujiuzuru mara Moja burukenge hiiii
@kagamedimaria4787
@kagamedimaria4787 Ай бұрын
Ruto must go, period
@omarybakunda2554
@omarybakunda2554 Ай бұрын
Shida Ruto ni wewe kujiunga na marekani wazee wa ushoga ndio mana vijana wa kenya hawakuelewi.
@wafulak2
@wafulak2 Ай бұрын
Before atafute watu na kuuwa please Gen z mtoe aende home please
@salomemuimi5156
@salomemuimi5156 Ай бұрын
Akitaka kuzungumza na Gen Z awaite wote state house, vijana over 2 million wakuje
@crescentomenda7626
@crescentomenda7626 Ай бұрын
plus wale aliua tubebe miili yao..
@kopiyokratos6759
@kopiyokratos6759 Ай бұрын
Vijana ni over 20million, hatuezi tosha anywhere maybe tuende huku kwa shetani
@annewanjiru818
@annewanjiru818 Ай бұрын
Kweli hawa GenZ wako na a leader kweli? 🤔? Again if anyone goes there I think they will be compromised
@joykhayega6974
@joykhayega6974 Ай бұрын
Yea atawanunua
@gordonobala4999
@gordonobala4999 Ай бұрын
Yani Rais anabehave nikama alichaguliwa bila plan yoyote, hii mazungumuzo mingi niyanini na alikua na manifesto ya Chama,
@mcakeiymuriithi3342
@mcakeiymuriithi3342 Ай бұрын
Ruto must goo...period
@isaacmaskati392
@isaacmaskati392 Ай бұрын
He is still calling innocent Kenyan criminal
@crescentomenda7626
@crescentomenda7626 Ай бұрын
huyu hatujui...everytime he speaks nachemka mbaya..
@samkaybeauty2862
@samkaybeauty2862 Ай бұрын
​@@crescentomenda7626me too 😡😡
@ViceAdmiralVasilyArkhipov
@ViceAdmiralVasilyArkhipov Ай бұрын
Upuzi Hatuna leader
@NjoleZuma-ue9yo
@NjoleZuma-ue9yo Ай бұрын
Hatuna kiongozi. Gen z si chama cha kisiasa. Hatuna ukabila lugha yetu ni mbili tu. Kiswahili na Kiingereza
@salimbilali5174
@salimbilali5174 Ай бұрын
Kwani kenya iko na wakristo pekee.....tutakuja sote hatuna kiongozi pika mahamri kwa wingi na rooms za wageni
@GladMbori-pf3cx
@GladMbori-pf3cx Ай бұрын
😂😂😅Aki kuwa stressed Kenya ni kupenda kwako .
@briankwala7923
@briankwala7923 Ай бұрын
Huyu. zakoyo huwa hasikii maneno, tuondolee uwongo hapa
@Kingchima_h
@Kingchima_h Ай бұрын
Once a ruler becomes religious, it becomes impossible for you to debate him. Once someone rules in the name of religion, your life becomes hell. Before that start with: -Dropping SHIF and reinstate NHIF -Drop land amendment Act -Stop parenting kenyans by talks from church elders, be a leader. -Give us the audit of the kenyan debt.
@ElizabethNafunamakhanu
@ElizabethNafunamakhanu Ай бұрын
Hapo hapana
@RobinOyie
@RobinOyie Ай бұрын
Kazi ya mjengo ndio unasema
@MuniraShughuli-kc7vj
@MuniraShughuli-kc7vj Ай бұрын
Huyu aende tu una ukabila Sana kwani ikulu ni ya wakristo tu🤔
@Afro-Funk-withFroKatai.-ld8ti
@Afro-Funk-withFroKatai.-ld8ti Ай бұрын
Kwani Wakristo si Wakenya?
@carrasco416
@carrasco416 Ай бұрын
​@@Afro-Funk-withFroKatai.-ld8ti aite Gen Zs hivo pia
@SSk5k
@SSk5k Ай бұрын
The only latter we want see is Ruto's and gachagua"s resignation latters
@franciskienji2691
@franciskienji2691 Ай бұрын
Point of collection Gen Z hawana kiongozi president akuje kila County atuongereshe lakini huwez sema ati Uite huyu na huyu hiyo zii
@SteephenNyangau
@SteephenNyangau Ай бұрын
Hoja Ruto must go
@lethalforce6421
@lethalforce6421 Ай бұрын
Marehemu ruto...no talks
@canikissu-hb2ig
@canikissu-hb2ig Ай бұрын
😂😂😂
@Victor62.
@Victor62. Ай бұрын
Criminals lazima wapatikane, hawawezi kuhepa
@lethalforce6421
@lethalforce6421 Ай бұрын
@@Victor62. ni yeye criminal number 1 then hao kurutu wake
@Victor62.
@Victor62. Ай бұрын
@@lethalforce6421 wewe enda state house basi
@lethalforce6421
@lethalforce6421 Ай бұрын
@@Victor62. Victor wewe ni coward sana
@babuuosama8752
@babuuosama8752 Ай бұрын
Gen Z's you step in state house NO different to Mpigs 2 million zakayo bribes. Gen Z's remember sons and daughters of mau mau Mungiki there mission was about lands but mzee moi invited them to state house and after cheating them used them and you all know what happened to mungiki . Same to Gen Z's you go to state house ends of Gen Z's used.and DUMPED.
@user-yo8st5ms1r
@user-yo8st5ms1r Ай бұрын
Baada ya kuuwa watu mia tano? Damu imekutosha? Gen Z haina viongozi. Simply do what is right and Kenya will be safe. Bado unajitetea hapa? Mdomo mdomo. Maaskofu mkicheza tutawasalimia. Nyinyi ndio mlikula pesa za ruto za campaign.
@georgesagwe6703
@georgesagwe6703 Ай бұрын
These men of the church must stop going to state house and calling the president their Bishop..Let them pray for the government and stick yo their mandate
@user-yq3hl1cp6b
@user-yq3hl1cp6b Ай бұрын
Imagine. That he is their Bishop. Disgusting
@aomealaome4933
@aomealaome4933 Ай бұрын
Rutax must go ..Kenya hatuna president
@kenixomwoyo6356
@kenixomwoyo6356 Ай бұрын
We don't have such plans to meet up with the president we are leadless we are united
@FelixOkanga
@FelixOkanga Ай бұрын
Hatutaki mazungumzo na ruto no way!
@IvonneQueen
@IvonneQueen Ай бұрын
Roto must go 😢😢😢 hatutaki mamba yako tena
@chanceobondo3843
@chanceobondo3843 Ай бұрын
Hapana, kama watu hawangetokea na kukufa then you wouldn't have done this. This is unexceptable. We have no leaders
@WorldStagee
@WorldStagee Ай бұрын
Can someone help me stop seeing ruto as a criminal. 😢😢. When I see him, I just see the blood of hundreds who left us in demos and in the past.😢😢. This man!!😭
@ControllerAfrica
@ControllerAfrica Ай бұрын
First to view. Citizen mnipee kazi
@baloz8974
@baloz8974 Ай бұрын
Hongera 😅
@whitneyngati4750
@whitneyngati4750 Ай бұрын
😂🤣😂🤣
@ahmedfeleb4877
@ahmedfeleb4877 Ай бұрын
labda ya mjengo 😂😂
@sheemainah2989
@sheemainah2989 Ай бұрын
Baada ya kuua sasa unakimbia kanisani. Shetani!!!! EVIL
@crescentomenda7626
@crescentomenda7626 Ай бұрын
we all know even the devil goes in the presence of the Most High
@TrezLewis-hv2eu
@TrezLewis-hv2eu Ай бұрын
With all due respect KUMAMAKO Mr president hatuna leadership
@richardmugoh6801
@richardmugoh6801 Ай бұрын
Ukifanya vile ulituahindi tunakulegeza Tena na hakuna Pahari utatupereka 😂😂 tumekunyuria
@franciskimani9950
@franciskimani9950 Ай бұрын
Tutaketi chini kwa maobolezi ya waliouawa...tupatane uko pls
@azizayassin3623
@azizayassin3623 Ай бұрын
Watu wanalipwa mshahara tangu enzi za wakoloni sio wewe wakwanza 😂😂😂😂 kulipa watu mshahara tupatane Tuesday na sio tafadhali utatiiii tu
@judithnawire9050
@judithnawire9050 Ай бұрын
Ukweli anajaribu mbinu zote kuaingiza watu box,anajaribu vile watamwonea huruma
@uniquevicky2284
@uniquevicky2284 Ай бұрын
We can't listen to a father who called us criminals
@HISEXCELLENCEFAMILY
@HISEXCELLENCEFAMILY Ай бұрын
Speak to Kenyans we don't have leaders
@directorme6669
@directorme6669 Ай бұрын
Hivi ndivyo wataingizwa box.
@godblessyoumheshikieru6503
@godblessyoumheshikieru6503 Ай бұрын
Gen z haina wakubwa...hawaite uhuru Park ama nyayo stadium
@SymonMwangi-j3x
@SymonMwangi-j3x Ай бұрын
Ruto must go that is my slogan
@kakoxspgnewton
@kakoxspgnewton Ай бұрын
Gen Z don't have a leader
@justinebosire9804
@justinebosire9804 Ай бұрын
wee wacha...no kuongozi..hapa waende wapewe peza waepe .hii n kenya mzima..
@napleieunice
@napleieunice Ай бұрын
NHIF plzz pesa yake itaenda wapi??
@joykhayega6974
@joykhayega6974 Ай бұрын
My question too
@estherkabiru6457
@estherkabiru6457 Ай бұрын
Me too asking??
@napleieunice
@napleieunice Ай бұрын
@@joykhayega6974 as thus is supposed to be in the list
Ex-President Uhuru tells President Ruto to arrest him
6:25
Citizen TV Kenya
Рет қаралды 591 М.
Ik Heb Aardbeien Gemaakt Van Kip🍓🐔😋
00:41
Cool Tool SHORTS Netherlands
Рет қаралды 6 МЛН
UNO!
00:18
БРУНО
Рет қаралды 4,8 МЛН
Wabunge waomba msamaha kwa kupitisha mswada wa fedha
3:05
Citizen TV Kenya
Рет қаралды 94 М.
Kufutwa kwa mawaziri wandani wa rais Ruto ni zaidi ya hasara
3:37
Citizen TV Kenya
Рет қаралды 84 М.
Mohammad bin Salman: Prince With Two Faces
54:00
Show Me the World
Рет қаралды 4,5 МЛН
DP Gachagua fires at Ruto allies
4:49
Citizen TV Kenya
Рет қаралды 288 М.
Makali Ya Gen Z: Kizazi cha Gen Z chasimama kidete na kuikosoa serikali
29:11
OGOPA: Kama umezoea Kubet angalia alichosema Rais Magufuli
5:08
Mwanzo TV Plus
Рет қаралды 233 М.
Ip Man 2 | The Boxing Competition
15:57
Cinewatch
Рет қаралды 7 МЛН