No video

RAIS SAMIA AINGILIA KATI SAKATA la BABA KUOA DADA wa KAZI na KUMTESA MKE WAKE MLEMAVU -POLISI WAFIKA

  Рет қаралды 237,582

Global TV  Online

Global TV Online

Күн бұрын

RAIS SAMIA AINGILIA KATI SAKATA la BABA KUOA DADA wa KAZI na KUMTESA MKE WAKE MLEMAVU -POLISI WAFIKA....
============================================================
⚫️ JE, NA WEWE UNA HABARI?
⚫️ WASILIANA NA GLOBAL TV ONLINE: ( +255 739 750910), ( +255 783453136)
⚫️ Email: globaltvonlinenews@gmail.com
⚫️ OUR PLAYLISTS:
⚫️ MICHEZO na BURUDANI: • Habari zote za michezo...
⚫️ HISTORIA ZA VIONGOZI ZA KUSISIMUA: bit.ly/mikasa_y...
⚫️ GLOBAL RADIO TV: bit.ly/255globa...
⚫️ EXCLUSIVE INTERVIEW: bit.ly/exclusiv...
⚫️ SIKILIZA + 255 GLOBAL RADIO LIVE: ndstream.net/gl...
⚫️ Kwa UPDATES zote, Download GLOBAL APP:
⚫️ ANDROID:bit.ly/38Lluc8
⚫️ iOS:apple.co/38HjiCx

Пікірлер: 872
@globaltv_online
@globaltv_online 6 ай бұрын
JIUNGE KWENYE CHANELI YETU YA WHATSAP ==> whatsapp.com/channel/0029Va7u...
@user-xe4vi6cj7m
@user-xe4vi6cj7m 6 ай бұрын
Channel ten
@rugendorunene545
@rugendorunene545 6 ай бұрын
Nime mpenda sana huyu dada wa jeshi La Police... Baraka 🙏🙏.
@maryupendo8706
@maryupendo8706 6 ай бұрын
Huyu dada apandishwe cheo mara moja,,,,watching from Kenya❤❤❤❤
@MaryMatereadvicer011
@MaryMatereadvicer011 6 ай бұрын
❤❤❤❤
@joyce55727
@joyce55727 6 ай бұрын
Mama samia Mungu azidi kukubariki pia azidi kukupa afya njema uendelee hivyo hivyo mama ❤❤
@user-gg1gp8ib2u
@user-gg1gp8ib2u 6 ай бұрын
😊
@user-gg1gp8ib2u
@user-gg1gp8ib2u 6 ай бұрын
😊😊
@Bikhafija
@Bikhafija 6 ай бұрын
Lkn usimchoke kaka yangu ndio mgonjwa tena
@Bikhafija
@Bikhafija 6 ай бұрын
Lkn na uyu msichana ange mlea uyu.mama kama mzazi wake
@khadjamhozya
@khadjamhozya 5 ай бұрын
acha unafiki amekuwa magufuri
@rosehillary8742
@rosehillary8742 6 ай бұрын
Mm naomba uelewe Huyu mama ni Mgonjwa sawa na umeoa nakubali. 1. Huyu bi mdogo ni mpuuzi na hajui kula na kipofu. Angemhudumia huyo bi mkubwa kwa upendo kwakuwa ni mdogo kwa upendo wote ila kakosea sana atafutiwe pakukaa eneoblingine kabisaaaa 2. Baba ambae ni mume mtunze mkeo kwa Upendo amtafutie msichana wa kazi wakumtuza na Pia msomeshe mwanao wa Kiume na baba mpatie chakufanya aweze kujisimamia nakumsimamia Mume wake. 3. VIONGOZI WA DINI NA WANASAIKOLOJIA WAITEMBELEE HII FAMILIA MARA KWA MARA KWA AFYA YAO YA ROHO NA MWILI Mbarikiwe sana mloshiriki kwa Hili❤❤❤❤❤❤
@zaidasalumualute6437
@zaidasalumualute6437 6 ай бұрын
Mpuuzi sanaa huyo bimdogo,angemuhudumia huyu mama kwa nguvu zote angerisi malizote zahuyu mama,lakin sasa kujitafutia laana,haya yalimkuta huyu mama nayeyatamkuta,Chezaa matajiri wa kichaga??
@rubenprince8990
@rubenprince8990 6 ай бұрын
​@@zaidasalumualute6437selekari za afrika ni mbovu sana kesi ya kuipeleka mahakamani munaiongelea barabarani hiyo kesi ni kubwa ingekuwa huku ulaya huyo jamaa angeisoma namba tatizo la selekari za afrika hazina sheria hata kidogo
@stamillusatila9084
@stamillusatila9084 6 ай бұрын
Hata ongea yako unaonyesha jinsi ulivyo fedhuli wee Baba
@orsolinaleonsminja6436
@orsolinaleonsminja6436 6 ай бұрын
Mkatili kabisa huyu. Hana lolote! Hizo Mali atakuwa na ataziacha! Mungu hapendi! Kama ana fedha kwanini asimuwekee mtu WA kumhurumia?
@annamosha968
@annamosha968 6 ай бұрын
​@@stamillusatila9084Sana, sura tu inamuonesha ni KATILI
@ruthhamisi2902
@ruthhamisi2902 6 ай бұрын
Asante mungu kwa kuona mda mrefu mateso ya huyu mama na ukashuka mwenyewe kumsaidia, ameeen
@ahmadamohamed1907
@ahmadamohamed1907 6 ай бұрын
Kashuka mwenyewe?daah
@mariansumari2179
@mariansumari2179 6 ай бұрын
Mama Samia kipenzi cha wanawake rais wetu MUNGU baba akutunze Mama TUNAKUPENDA ❤❤❤
@paulmisalaba3364
@paulmisalaba3364 6 ай бұрын
Mungu aniepushe na visa kama hvi siwez mfanyia hv mke wangu akiwa katika hali hiyoo😢😢
@user-xc4or2vp6l
@user-xc4or2vp6l 6 ай бұрын
Na iwe hivyo kama ulivyosema
@joycemkeka3769
@joycemkeka3769 6 ай бұрын
Amina kaka mungu akuwezeshe
@annamosha968
@annamosha968 6 ай бұрын
Na ukabarikiwe mnooo kaka, wewe una Mungu 🙏
@marysdiosa8764
@marysdiosa8764 6 ай бұрын
Kama mim siwezi mfanyia mume wangu hivyo, sema hatupatagi watu wa kuolewa nao wakweli
@jescajulius8023
@jescajulius8023 5 ай бұрын
Kweli kabsa kaka
@user-ox3ij7ki3t
@user-ox3ij7ki3t 6 ай бұрын
Kusaga na wenzie mungu awabarki kwa kuwa jana mlilifikisha hili jambo kwenye mamlaka za juu nasasa tunaona likifanyiwa kazi ahsante Mungu
@berthamakortha8387
@berthamakortha8387 6 ай бұрын
Mama. Samia. MPENDWA WETUUU Rais WETU mwema 🎉. Mungu. AKUZIDISHIE mama
@marthakimia4075
@marthakimia4075 6 ай бұрын
Uko vizuri Kolumbas Mungu atakubariki sana Kwa Kwa hilo
@stellamoses4496
@stellamoses4496 6 ай бұрын
Mum Samia your amazing Mungu akupe maisha marefu na Amani.
@sunherybabie1472
@sunherybabie1472 6 ай бұрын
Baba hana haya huyu,kumtolea damu ni wajibu wako si mke wako,si uliapa kiapo kanisa katika hali zote za utajiri na umasikini,furaha na maradhi,leo hii unaongea maneno kwa jazba unataka kujiliza unafiki. Mungu atadili na wewe maumivu anayopitia mwanamke huyu juu yako utalipia hapa hapa dunia. Na huyu mfanyakazi Mungu atakuchapa kisawa sawa,na wewe ni mwanamke bado unasafari ndefu,utakuja kujuta.
@user-uc8ei8kn3l
@user-uc8ei8kn3l 6 ай бұрын
Kabsa
@anneth7572
@anneth7572 5 ай бұрын
Baba katili bado anaonekana tu, Mungu halali we baba
@LevinaMichael-oy8cu
@LevinaMichael-oy8cu 6 ай бұрын
Duuuh aisee mama kumbe anaona mama mungu akulinde sana
@mackarioussmakuri6147
@mackarioussmakuri6147 6 ай бұрын
Lakini ingekua ni wewe bwana umeugua je ungekubali hayo unayomtendea mwenzako akutendee?
@gorethlupembe5502
@gorethlupembe5502 6 ай бұрын
Kulipa pesa ya dialysis na huduma zote huyo ni mke wako ni haki yako.muogope Mungu hujui kesho yako.usifikiri mkeo aliomba huo ugonjwa.
@latifamama4627
@latifamama4627 6 ай бұрын
Wewe mke mdogo jiangalie, yatakukuta mambo tofauti na umri wako
@user-el6ev9dt5k
@user-el6ev9dt5k 6 ай бұрын
Kabisa yaani anahisikm anamsadia tu
@user-xk7vy4gb6g
@user-xk7vy4gb6g 6 ай бұрын
Huyo mfanyakazi ambae kwa Sasa ni mke wallah kipo kitu kitamkuta Mungu hachezewi
@joymrema4141
@joymrema4141 5 ай бұрын
Mama samia mama bigapu
@joymrema4141
@joymrema4141 5 ай бұрын
Wana wake tumepitia magumu mengi mimi niliwahi kunywanyasika nikaacha kit lakitu huyo dada wakazi hanaakili w
@rosehaule6765
@rosehaule6765 6 ай бұрын
Mungu ni mwamnifu sana asntee sana jamani 😢 ee yesu mwema bariki viongozi wetu Rais wetu Mungu akutunze
@rosekilawe786
@rosekilawe786 6 ай бұрын
Mimi nimshauri huyo mgonjwa usimpe shetani nafasi kaa karibu na Mungu mpe maisha yako Yesu anaponya na anafanya njia ukimkubali anakupa uzima Kama alivyofanya kwangu na atakupa kila kitu msaada wa mwanadamu aufai pia Akikupa Amani ya moyo wako inazidi utajiri wa Mali Mungu akuponye Kama alivyoniponya Ameeen.
@BarbaraPatience-qt9cc
@BarbaraPatience-qt9cc 6 ай бұрын
Asante sana afisa wa tz,yaani tz bwana, nawapenda munakuwa na ujamaa na ni uzuri sana!!!! Asante Raisi wa tz
@JehovaJonas
@JehovaJonas 6 ай бұрын
Adui wa mwanamke ni mwanamke full stop
@yukundapeter8200
@yukundapeter8200 6 ай бұрын
Asante Mungu! Hilo malaya mwixi mchawi, acfikiri hakuna Mungu.Mtakoma mbwa nyie. 2:45
@roviykamage5423
@roviykamage5423 6 ай бұрын
Usifikilie katika ubaya ona mazur ya mme pia . Uwewepesi wa hukumu huku na hulka hio
@salmabinyaga2357
@salmabinyaga2357 6 ай бұрын
We nae huyo mume ana mazuri gani
@user-jx4rx6jy6y
@user-jx4rx6jy6y 6 ай бұрын
Nimefulahi sana kusikia ivyo mungu akubaliki mama samia
@neemaisaac8356
@neemaisaac8356 6 ай бұрын
Pole dada utaona Mungu ni mwema huyo mwizi wa mabwana za watu dunia itamfundisha
@victorianganyagwa2467
@victorianganyagwa2467 5 ай бұрын
Waachen waendelee Hao wanawake wanaoiba wa ume za watu n kutesa fmlia za wtu ipo ck yan wayalip kwa uchung San n km dem c angeend UK mbl n hudum ziendelee km kawaid lkn hamuheshimu mkew huo n mtihan wa kiapo walichokul mbl y madhabah
@user-qn3cf2bg4u
@user-qn3cf2bg4u 6 ай бұрын
hatasisitumefurahi kwahilo asantedawati lakijinsiya asanteni majirani pamojana mwenekiti
@user-im9wf2tb2r
@user-im9wf2tb2r 6 ай бұрын
Jaman we mwanaume hukumbuki hata mlikotoka!!!!ugonjwa hajauomba jua hata ww hujui kesho yako!pole mama Mungu atakusaidia
@khalsasalim7930
@khalsasalim7930 6 ай бұрын
Huyu baba jeuri mshenzi mkubwa mungu ampe na yy maradhi akome
@user-dm8pv2ck3i
@user-dm8pv2ck3i 6 ай бұрын
Rais Samia hongela saana mungu akukulinde
@tatutumbi4640
@tatutumbi4640 6 ай бұрын
Mama Samia, Rais wetu. Mungu Azidi kukulinda. Ubarikiwe Daima🙏
@sadikidaudi460
@sadikidaudi460 6 ай бұрын
Hapo mwanaume angeumwa mwanamke angeolewa tungeskia maneno Mengi Saana
@ZsbAlbarwani
@ZsbAlbarwani 6 ай бұрын
Ni kweli kabisa
@FayeezAlbahassaney
@FayeezAlbahassaney 6 ай бұрын
Nkpnd sadikd
@joycemkeka3769
@joycemkeka3769 6 ай бұрын
Bora nawewe umeliona
@sarahburetta8547
@sarahburetta8547 4 ай бұрын
Kweli aisee
@gorethlupembe5502
@gorethlupembe5502 6 ай бұрын
Asante mama Samia Mungu akulinde sana uzidi kututetea
@user-qq6mv6vh3e
@user-qq6mv6vh3e 6 ай бұрын
Kabisa
@MaryMatereadvicer011
@MaryMatereadvicer011 6 ай бұрын
Aki huko Tanzania 🇹🇿 nitaamia uko yaani serekali yao❤❤❤❤
@vickylupemba6055
@vickylupemba6055 6 ай бұрын
Mwandishi msomi hongera, you are the best, God bless you 🙏🏾
@cleversalbaba-em4jf
@cleversalbaba-em4jf 6 ай бұрын
Mungu akuponye mama Liston Mungu akupiganie na usisahau kuomba huenda huyo House girl aliyeolewa kwenye ndoa ya mwenzake ninavyomuona huenda kashamloga mwenzake ili yeye aweze kumliki huyo mume na kula alichotafuta kwa jasho mwenziwe aliye mgonjwa. Ashindwe kwa jina la Yesu na Damu ya Yesu ikuponye mumy..
@teresiangoya6950
@teresiangoya6950 6 ай бұрын
Haugel kamloga mwenzie
@marrypius576
@marrypius576 6 ай бұрын
​@@teresiangoya6950mimi natak kujua huy House girl ni kabil gani tuanzie hapo 😂😂😂
@teresiangoya6950
@teresiangoya6950 6 ай бұрын
@@marrypius576 mwenzangu mhh hatujui kabila gani
@JasminMneney
@JasminMneney 6 ай бұрын
Alafu kapendeza kushindaa Mama mwenye mji kaivaaa uso unateleza khaaa wafanyakaziii@@teresiangoya6950
@eddahkobong271
@eddahkobong271 6 ай бұрын
Rais wetu mama Samia. Kweli nimefurahi sana kwa kulishughulikia hili jambo Mungu azidi kukubariki, uendelee kutuongoza. Kweli wewe ni mama yetu.
@KiongoziMwandamizi
@KiongoziMwandamizi 6 ай бұрын
Mh Rais ni Mama mwenye huruma na utu.Matukio mengi yakimgusa anawajibika,kongole nyingi Mh Rais Dkt SSH.Mungu aibariki hii familia na ampe hekima huyu mwanaume kumsitiri mkewe wa ujana wake,Amen🙏
@mwakamwatsimu
@mwakamwatsimu 6 ай бұрын
Huyu baba Mungu amuongeze na azidi kusimama na mkewe licha ya changamoto aliyonayo ya mkewake asimchoke akatupa baraka na kujibebea haraka.kisha mke mdogo nawe siatumie busara na hekima ya kuishi kwenye ndoa yaani anajisahau unataka kutawala kila kitu ulisikia wapi mali ambayo haukuitolea jasho inaweza kusitiri hebu ajiongeze nadhali ashaolewa na ajue kubalance mambo na sio kujitoa fahamu akifanya mchezo mume atamkosa na mali atakosa ajui kula na kipofu anatanguliza wivu badala ya kutumia akili na marifa kama mke acha tamaa na kujisahau.
@stanleymsenga2436
@stanleymsenga2436 6 ай бұрын
Mama SAMIA MUNGU Akupe maisha marefu sana na aendelee kukuweka kwenye hicho kiti akubariki na uzao wako kwa kumtetema huyu mama,
@user-uh7to2kw2z
@user-uh7to2kw2z 6 ай бұрын
Mama Samia mungu atakulipa.kwa kumpigania mm huyu huyu baba anaonekaa mkatili sn na huyo bimdogo.kua makini mm wasikutilie sumu2 apew ulinzi
@dorothysamwel2648
@dorothysamwel2648 6 ай бұрын
Hilo housegirl ndilo lichawi liliomroga huyu mama.
@Rich-wo
@Rich-wo 6 ай бұрын
Mtu wa kwanza kbs kumsuspect ni mme wake
@lilianluhasi311
@lilianluhasi311 6 ай бұрын
Kabisa
@MsAggie5
@MsAggie5 6 ай бұрын
Usikute kweli yaani
@lucykimambo487
@lucykimambo487 6 ай бұрын
Kweli kabisa
@ZainabuOmary-nt7xf
@ZainabuOmary-nt7xf 6 ай бұрын
Wanaume shikamoniiiii mungu atawalipeni apa chini ya jua
@BeullahBujah-lk3sx
@BeullahBujah-lk3sx 6 ай бұрын
Ubarikiwe sana Mama Rais wetu Samia..
@rahabumwalongo25
@rahabumwalongo25 6 ай бұрын
Nimeanza kumuelwa Rais wetu mama samia. Uyumama angekosamsaada sijui nini kingetokea. Mama mimi kwahili niponaww kilichokua kinarndelea hapo niuonevu. Mungu akulinde mama samia🎉
@goodluckminja9101
@goodluckminja9101 6 ай бұрын
Global TV wacheni ushamba,, Sasa hiyo sauti NI ya nini wakati tunaona NI global TV
@monicambuva529
@monicambuva529 6 ай бұрын
😂😂😂😂😂😂
@norahkyando8809
@norahkyando8809 4 ай бұрын
😅😅😅😅
@DativaMbowe
@DativaMbowe 2 ай бұрын
🤣🤣🤣🤣 unatazama, global tv
@juliuslengai5089
@juliuslengai5089 6 ай бұрын
Hongeren global.. ila hii saut ya unatazamaaaa global tv inanikera
@sophiasingano6944
@sophiasingano6944 6 ай бұрын
😂
@zainabzanzibar1518
@zainabzanzibar1518 6 ай бұрын
😂
@nyabahailani3169
@nyabahailani3169 6 ай бұрын
Mungu akubariki sana korumba tarifa zako tunazielewa sana" hilo li hose gal liondoke haraka mshenzi mkubwa huyo " mama samia hoye rais wetu kipenzi anaye jali
@saida5091
@saida5091 6 ай бұрын
Ubarikiwe sana mama yetu mpendwa Samia Suluhu.......umetisha mama...hapo ni kazi tuu❤❤❤ Mungu awabariki nyote.
@neemareuben311
@neemareuben311 6 ай бұрын
Huyu msichana wa kazi anaonekana mkatiliii balaaaa yani Ana hasira anaongea anahema baoaaa
@lizzynkifu4179
@lizzynkifu4179 6 ай бұрын
Na nina wasiwasi alipokuwa mfanyakaz alikuwa anaitamani ndoa ya huyu mama akayafanya aliyoyafanya kumpa ulemavu mwenzake ili achukue nafas yake MUNGU ATUSAIDIA SANA
@rosedohho8971
@rosedohho8971 6 ай бұрын
Asante mungu hakika wewe nimwaminifu
@marysdiosa8764
@marysdiosa8764 6 ай бұрын
​@@lizzynkifu4179umewaza kama mimi
@jescajulius8023
@jescajulius8023 5 ай бұрын
Yan mh
@user-mq4yq6rw1w
@user-mq4yq6rw1w 6 ай бұрын
Mama yangu Samia Suluhu Mungu akubariki,kwa hayo unayotenda Mungu atakulipa .Mungu akubariki na kukulinnda wewe na Familia yako.Soma Isaya 41:10
@veronicaagonga7415
@veronicaagonga7415 6 ай бұрын
Asante sana mama samia hakikisha huyo mama na mtoto wake wako salama na haki zao za msingi wanazipata niko hapa kenya thank u very much
@user-rl3yh6ls7b
@user-rl3yh6ls7b 6 ай бұрын
Swafiii Sana Amiri Jeshi Mkuu, yaani hawa waumeeeee
@tianarest
@tianarest 6 ай бұрын
Viburi vya uzima vinaponza sana hiv huku tukiwa hatuijui kesho yetu, ahsante sana mama Samia kwa kuliona ilo Mungu akuweke kipenzi
@bulengepetite6062
@bulengepetite6062 6 ай бұрын
Mungu apewe sifa ❤❤❤❤❤❤
@janetchinga695
@janetchinga695 6 ай бұрын
Amina mama Samia mungu akulinde mama akae bali na moto Rais wetu wa Africa yote na mama wetu sote watching from Capetown
@user-yv7xg4em4s
@user-yv7xg4em4s 6 ай бұрын
Mama yetu samia tunakuombea sana Mungu akutunze kwa ajili yetu.
@mysoulproclaimsthelordmygodmam
@mysoulproclaimsthelordmygodmam 6 ай бұрын
Mungu Atukuzwe sana na Kumbariki kila anayemtetea mnyonge na anayeonewa. Ubarikiwe sana Mama Samia. Mtu mwonevu Atubu na kuacha uonevu wake. Kama kuna mtu anayeweza kujitolea kumpatia figo Mama huyu endapo Madaktari wanashauri hivyo, Mungu Ambariki sana.
@SalimhchialaAtilio-qj5cs
@SalimhchialaAtilio-qj5cs 5 ай бұрын
Simlikuwa mnasema vibaya Samia suluhu Hasan raisi wetu ssa kiko wapi aibu inawatoka hongera sana raisi wetu nikiwa omani muscat mungu akulinde sana❤❤❤
@franciscakija1702
@franciscakija1702 6 ай бұрын
Mungu twakuomba utuomdolee maradhi jaman 😭😭
@EsterMbise-pj4vd
@EsterMbise-pj4vd 4 ай бұрын
Nashukuru sana sana kwa rais kujali wananchi wake nakukubali sana mama Samia rais wetu
@user-yz2it2qm3p
@user-yz2it2qm3p 6 ай бұрын
Mama samia wengi wanateseka sana,Mungu akupe maisha marefu,utulivu wa familia ili upate muda wa kupitia mitandaoni huyaone haya,Mungu akufunike kwa bwawa zake kila
@martinmollel1363
@martinmollel1363 6 ай бұрын
Hongera sana Afande,hiyo ni positive observation na umeeleza vizuri sana,umeonesha professionalism heko sana,hiyo ndiyo image ya serikali tija sana.Huyo mwanaume hajasimamia wajibu wake,ni unyanyasaji uliobeba dhambi sana.Huyo dada wa kazi aache tamaa,kimtizamo yeye ndiye muharibifu na amemdhibiti huyo jamaa mpaka ameshindwa kusimamia wajibu wake.All in all hii Dunia tunapita, tupendane,tuthaminiane, MUNGU hadhihakiwi.
@user-pm7pj6zi6q
@user-pm7pj6zi6q 6 ай бұрын
Jamani safi sana mama yetu kipenz na Rais wa Jamhuri ya mhungano Wa Tanzania Mungu akubariki sana na akutunze kwa kitendo kama hiki kuguzwa nacho hongera sana mama wetu mlesi❤❤❤❤
@zaidasalumualute6437
@zaidasalumualute6437 6 ай бұрын
Asante Mama Samia,pole mgonjwa,pole familia,bimdogo toka Ktk boma lamwenzio,kama nikufa afevizuri,asife nawewe moyoni.
@mamirybenson2516
@mamirybenson2516 6 ай бұрын
MUNGU akubariki Rais wetu aendelee kukupa jicho lakuangalia zaidi watu wenye shida kubwa ktk jamii
@user-mc5zb3ox9c
@user-mc5zb3ox9c 19 сағат бұрын
Mama mungu akubariki
@hajihassan5433
@hajihassan5433 6 ай бұрын
Hii nchi viongozi wameshindwa kazi kabisa. Issue za kimtaa ashughulikie Rais, viongozi wengine wako wapi na wanafanya nini?
@cbegram6161
@cbegram6161 6 ай бұрын
😂😂😂
@leokamil6284
@leokamil6284 6 ай бұрын
Wapo kula mishahara ya bure na hongo .bora kaamua Mh Raisi la sivyo wangekula mlungula wakamkandamiza huyo mgonjwa mpaka aage Dunia uscheze na hii nchi .Si wewe mwenyewe unaona mafuriko kwenye mikusanyiko ya Makonda ?
@dicksonkilupa2258
@dicksonkilupa2258 6 ай бұрын
Mshukuru Mungu alikuinua kiuchumi hivyo huwezi kushindwa kumtunza mama mkubwa. Huyo mkeo mdogo ondoa hapo akakae kwake.
@graceannah8452
@graceannah8452 6 ай бұрын
Kila jambo linakuja kwa sababu flani,baba kukuchagua wewe kuwa msaidizi wake aliongozwa na Mwenyezi Mungu sio kwa hakiri yake, ndio sababu magumu makubwa unatusaidia watoto wako, mama Mwenyezi Mungu akutunze akuzidishie zaidi hekima upendo na busara ulizonazo.umekuwa ni msaada wa watanzania,uko sawa na kaulimbiyu ulioichagua mama Asante sana
@mariamutarimo5398
@mariamutarimo5398 5 ай бұрын
Hongera sana kamanda umeelezea vizuri kabisa suala la ndoa ,huyo baba ni mnyanyasaji aondoke na huyo mwanamke wake mbona sisi tunavumilia wao wakiumwa au anafikiri kuna fungu ambalo kampa Mungu yeye abakie kua mzima ,hebu ona huruma kaka wewe tambua hayo ni maisha hata yeye anahitaji kupona na kua mzima kama zamani .
@wamadoropushthestar4145
@wamadoropushthestar4145 6 ай бұрын
Global TV Punguzeni Ushamba Sasa Ninaona Kabisa Ni Glogal TV Lakini Bado Mnaendelea Tu Kuongea Unataza Global TV.. Badilikeni.....Wanaume Ndio Maana Tunachukiwa Na Watoto Unafikiri Huyo Mtoto Wa Kiume Anamuwazia Nini Baba Yake?.
@africandarling6925
@africandarling6925 6 ай бұрын
Kabisa baba anajisaau kabisa kama kuna mungu anawza kubadrisha Maisha sekunde tu yani mwezake mgonjwa yeye mijaziba tu sijui vipi huyo
@aishaabdul9287
@aishaabdul9287 6 ай бұрын
Msichoke kutembelea family ili muwe mnajua kinachoendelea jamani shukrani mama Samia Kwa kuguswa na hii family
@ashurakiswamba7085
@ashurakiswamba7085 6 ай бұрын
MIMI NAOMBA NISHKURU ASANTE MAMA SAMIHA SULUHU HASSAN...HIKI KILIO KIMEKUFIKIA NA UMEKITATUWA KWA KWELI ASANTE SANA 🙏🙏🙏.SANA MUNGU AKUBARIKI AKUPE UMRI MREFU AKUONDOLEE HUSDA ZA KILA PEMBE YA TANZANIA NA DUNIANI.ASANTE MAMA UMEMSAIDIA MWANAMKE MWENZETUUU.AMIN🌹🌹🌹
@lightdahaye9099
@lightdahaye9099 6 ай бұрын
Daaah jamani wanaume…😭😭😭 Yeye angekuwa anaumwa mwanamke wake angekuwa na mwanaume mwngne hapohpo kwake ingeezekana 😰😰😰 Huo ni ukatili Mkubwa sana, Mama samiah tunakushuru kuingilia kati hili swala wapo weng sana wanateseka na kunynyasika msichoke kuwasaidia dawat la jinsia hongeren sana 👏👏👏 Mmefanya jambo ambalo licha ya kaz yenu tu hata mbele za Mungu mnathawabu zake, nachoomba tu msiache kumfutilia huyo mama apate haki zake Kama mke wa ndoa huyo na ndoa yake batili ya pili na ndoa ya kanisani haijafa waktafute vyao hapo aondoke anamuumiza huyo mama akili na kumpa mawazo, kingne wasisahau kumukea dda wa kumtunza huyo mama hajaomba kuumwa, wamuekee deadline huyo baba wa utekelezaj aliombiwa na wamfutilie Kama ameshfanikisha waliyokubalina, Wasimuache tu aamue bila kumuekea ukomo wa siku, mwsho Asante Mama yetu samia kumsaidia mwanamke mwenzetu Ruti, Mwenyez Mungu aendelee kukutunza 🙏
@gracemuro4109
@gracemuro4109 6 ай бұрын
Big up Rais wetu kipenzi Mhe. Mama Samia Sulusu Hassan kwa kuingilia kati swala hili la Ukatili wa Kijinsia kwa huyu Mama na kusimamia vema upatikanaji wa Haki zake. Mungu yu nawe Rais wetu katika kupiga vita na kutokomeza kabisa Ukatili huu ndani ya Jamii. Hongera kubwa kwa Jeshi la Polisi kwa kazi nzuri. Naamini mnafuatilia kwa karibu utekelezaji wa makubaliano kuhusu upatikanaji wa haki zote za huyu Mama. Mungu awabariki.
@dorahmushi-we6ts
@dorahmushi-we6ts 3 ай бұрын
Naipenda serikali yetu ya Tanzania....namkubali mama Samia,asante sana mama yetu, Mungu azidi kukulinda, na sasa tunaona hata alivyomteua Makonda kupambania haki za binadamu..
@aminathaabubakarmasoud565
@aminathaabubakarmasoud565 6 ай бұрын
Nimefurahi kuona Mh. Raisi wetu kutuma watu wake kufatilia issue ya huyo Mama, Asante Mungu... Asante Mama Samia ❤🙏
@khaijakadija2082
@khaijakadija2082 6 ай бұрын
Alhamdulillaah
@lilianluhasi311
@lilianluhasi311 6 ай бұрын
MUNGU AKUBARIKI SANA MAMA YETU MPENDWA ❤️ RAISI WETU MAMA SAMIA.
@NdongaKichwa-hz7jf
@NdongaKichwa-hz7jf 6 ай бұрын
Nani kaona msuko alosuka kamanda😅😅😅😅
@azizaaziza7996
@azizaaziza7996 6 ай бұрын
😂😂😂😂. Kumbe na wewe umeona na wewe 😂😂😂😂
@cbegram6161
@cbegram6161 6 ай бұрын
😂😂😂
@NdongaKichwa-hz7jf
@NdongaKichwa-hz7jf 6 ай бұрын
@@azizaaziza7996 nimeona
@mariyamgharib940
@mariyamgharib940 6 ай бұрын
Ahsante kayumba mwandishi kwa habari kuweza kutatuliwa nimelia wallah jana Allah atampa shifaa uyu mama inshaa allah.
@rosehaule6765
@rosehaule6765 6 ай бұрын
Mama.samia mama Mungu peke yake atakulipa ss tunakuombea sana mama Mungu akupe nguvu afya njema na.kila.lenye heri Mungu wetu wa mbinguni anaona.moyo wko mwema..huruma na upendo wa hali ya juu❤ tunakupenda sana
@safroniaurio8392
@safroniaurio8392 5 ай бұрын
Mmefanya jambo jema sana Mungu awatunze kwenye kazi kwa kusimamia haki za huyu mama. Mama Samia wewe ni mama Mungu akutumze Hekima ya Mungu iwe ndani yako
@nenenongi66
@nenenongi66 Ай бұрын
Ruth Mungu akuponye hayo maradhi.
@carolinenjiro41
@carolinenjiro41 6 ай бұрын
Acha jazba wewe mwanaume, ungekuwa wewe unaumwa hivyo mkeo akaongea hivyo ungefurahi?????
@hyacintagugu7
@hyacintagugu7 6 ай бұрын
Mwambie huyu mbwa
@zainabuhamisimmbaga1840
@zainabuhamisimmbaga1840 6 ай бұрын
Afande YUKO vizuri Sana 🙏🙏🙏😭😭😭
@aminafundikira126
@aminafundikira126 6 ай бұрын
Mh kweli wanawake tukisha tokewa na udhaifu wanaume hawatuthamini tena, ila Mungu yuko nawe mama. Hongera Raisi wetu mama samiya, Allah akulinde.
@mhubirichoir-ntyuka568
@mhubirichoir-ntyuka568 6 ай бұрын
Mungu awabariki sana.Huu ni uandishi wenye faida za ukombozi na siyo majungu
@user-jl8nf3yt6j
@user-jl8nf3yt6j 6 ай бұрын
Asante mama Samia umenikuna yapo mijiamaume na mijianawake wasio na huruma Kwa hili ulomtendea huyu mama utabarikiwa na jamaa yako maisha hongera mm
@prismaphilip2478
@prismaphilip2478 6 ай бұрын
🙏🙏🙏🙏🙏 Asante mama Samia mama yetu kwa kumsaidia mama Ruti kwa sasa ana Amani kubwa sana mungu akulinde Kila Kona mama yetu🙏🙏
@aidaharuna5549
@aidaharuna5549 4 ай бұрын
Safi sana Mama yetu Samia Mungu akubariki umemtendea Haki huyo Mama
@monadinadi5295
@monadinadi5295 6 ай бұрын
Mungu ni mwema ❤❤
@MohammedLali-k3r
@MohammedLali-k3r 13 күн бұрын
❤Hongera mama samia god blee you
@lilianluhasi311
@lilianluhasi311 6 ай бұрын
Mungu akubariki sana mama Samia kwa kumjali huyu mama
@mzirayshangwe8224
@mzirayshangwe8224 5 ай бұрын
Dada Happy . Wewe ni mwanamke wa shoka. Hongra sana kumsaidia huyu mama. Wanawake wengi wananyanyasika sana.
@maryammeme3203
@maryammeme3203 6 ай бұрын
Mungu Akujali kwa utedaji wako wa kazi
@fatmaalnabhani3609
@fatmaalnabhani3609 6 ай бұрын
Asante sana mama Samiya mungu akutangulie inshaallah, Amin 🤲🤲
@zainabuibrahim4766
@zainabuibrahim4766 4 ай бұрын
Nawatakia kila kheri katika maisha haya ya uzee musisahahu mlikotoka .ewe baba wanawake mi fitina simama Imara kwa bi mkubwa kwani angekuwa niwewe unaumwa hivi kisha unafanyiwa hivi ungejisikiaje.wewe bi mdogo kumbuka hata bi mkubwa aliwahi kuwa na Afya.kuwa hivi siyeye kakadiriwa.
@sheryphamwenevalley6124
@sheryphamwenevalley6124 6 ай бұрын
Kiukweli wanawake wanapitia mambo mengi, Mungu amsaidie huyu mama kwakweli
@mariamusameer3742
@mariamusameer3742 6 ай бұрын
Uyo baba atakuwa ndio anamloga mke wake sio bure😢
@user-uc8ei8kn3l
@user-uc8ei8kn3l 6 ай бұрын
Baba mbaya sana wew ulitaka nani amtolee damu na kumuoa msichana wa kazi ulimuoa wa nin
@anajoycejoseph3313
@anajoycejoseph3313 4 ай бұрын
Yaaani nazidi KUMSHUKURU mama Samia kutetea haki za wanawake huyo akampangie sehemu nyingine kupenda vya bure ila na mme naona hana ubabe sana Mungu amuongoze amsaidie mke wake maana wametoka mbali hata kama anaumwa ila na mme ana mahitaji binafsi kwa hiyo hajafanya vibaya kuoa labda mke mdogo apunguze kiherehere
@suzanbegas4139
@suzanbegas4139 6 ай бұрын
Mama Yetu Kipenzi Samia Mungu azidi Kukubariki💕🙏🏼💕 Wanawake Tunanyanyasika Sn
@angelaminde1247
@angelaminde1247 6 ай бұрын
Hongera mama yetu Samia Suluh. Tunakupenda mama
@dorahmushi-we6ts
@dorahmushi-we6ts 3 ай бұрын
Nimelia sana, kuletewa mke mwenza ukiwa mgonjwa ki ukweli haipendezi, ila huyu binti ni kweli hajui kula na kipofu, angeendele kumuhudumia vizuri haya yasingetokea, na ni mabinti wengi sana wa kazi ambao baadae hugeuka mama mwenye nyumba.
@user-up2kg1wm9p
@user-up2kg1wm9p 6 ай бұрын
Nimefurahi nimefarijika. Mama Samia. Hongera Sanaa na serekaliyako
لااا! هذه البرتقالة مزعجة جدًا #قصير
00:15
One More Arabic
Рет қаралды 52 МЛН
Underwater Challenge 😱
00:37
Topper Guild
Рет қаралды 33 МЛН
Schoolboy Runaway в реальной жизни🤣@onLI_gAmeS
00:31
МишАня
Рет қаралды 3,9 МЛН
New bionics let us run, climb and dance | Hugh Herr | TED
19:01
WATCH LIVE: 2024 Democratic National Convention Night 4 | Direct feed
11:54:59
Malema addresses Gauteng EFF members
1:25:51
SABC News
Рет қаралды 266 М.
لااا! هذه البرتقالة مزعجة جدًا #قصير
00:15
One More Arabic
Рет қаралды 52 МЛН