Thanks chamade for all the best you done.I as a simba fan will not disregard ,real you are the special legend.Let it be the end with all splendid success there you will be if possible in the coming season.
@JosephKilusu-rd2lg7 күн бұрын
Cham karbu yanga Bab cc wanayangatwakukaribisha kwakishindo as jamn wanayanga naomben like senu as❤😢🎉😊😅😮❤
@rahmalutengwe290111 күн бұрын
Chama yupo Simba sanaaa
@makamelila12 күн бұрын
Kwakweli Bora aende viongozi ondoa vijeba wote hai waende na maringibyao
@issanangambu171910 күн бұрын
Kwani yanga si wamefungiwa 😅
@SmilingHibiscus-tx8qv12 күн бұрын
Karibu wanayanga tunakusubir
@user-jk5qb6sz3k10 күн бұрын
Mwamba bdo simba sana ayonimanenotu ya semaji la CAF
@MachanguMasirori12 күн бұрын
Muache aende tu Kwan atafia hpo Simba. Acha aende Kama ameamua kwenda
@joshuamwambene287412 күн бұрын
Mtu akimbeza Chama hajui mpira
@GregorySulle-we2zl8 күн бұрын
Chama still tunakupenda ila asiende kwa uroporo
@NyasanaTv-ol4ix12 күн бұрын
atoke achie damu changa zifanye kazi mpira wa sasa ni vijana sio wazee hatutaki sisi tena hoyo hapo okhora walimchukua yako wapi sasa wamchukue tu hatunae shida malingo yamezidi sana
@user-vz3bb3ch3z12 күн бұрын
Tutaumia sana akitoka chama kwa sababu pasi za mwisho nimtalam .
@ibrahimmkamba633912 күн бұрын
Mkude ameenda Yanga bila kinyongo chochote na watu wa Simba. Mpaka sasa wengi humfurahia akicheza vizuri huko Yanga.
@rahmalutengwe290111 күн бұрын
Hii sio kweli kabisaaa,mbona Ahmed haongei
@clarencemeena162812 күн бұрын
Hakuna mchezaji mkubwa kuliko Simba, nafikiri kama Chama anataka kuondoka aondoke tu maana hapo Msimbazi sio nyumbani kwao
@stanslausmachege217912 күн бұрын
Kama wameucha wamechanganyikiwa hakuna viongozi
@EmanuelMwambu11 күн бұрын
Hata timu ya taifa Hana namba ,ndiye aliye mharibu hata mosses phiri.aende zake. Rafiki yake mkude yupo huko
@jaywi568111 күн бұрын
Chama ni mchezaji kwa Mpira wa kizamani usiohitaji Kasi. Tumpeni Mtani atamsaidia sana
@user-uh9db8is8i12 күн бұрын
Najua mnamia polen sana wanasimba
@Husenimuddi12 күн бұрын
aondoke tu bwana amesha zeeka bwana tuletee vijana wapige kazi simba ni kubwa kuliko chama
@januarysungura811913 күн бұрын
Hawa wendawazimu ndo wanatumika na tu mike twao kuivuruga timu yetu ,hawa ndio maana wenye hasira wanawakamata na kuwafunga machawa hawa.
@abdisalim790013 күн бұрын
Timu imekuwa shamba la bibi hakuna mtetezi dhiya ujinga wote unaoendelea,Ni upuuzi wa.kiwango cha lami,wanaojiita viongozi wa Simba wamekuwa mawakal wazuri wa NYUMA MWIKO,lkn naamini usaliti una mwisho wake
@selemanishabani92112 күн бұрын
Aendezake kwanza ana maringo sana
@frankraphael754611 күн бұрын
Imetosha aondoke kafanya mengi mazuri Simba Sasa basi tunashukuru aondoke tu akiendelea kubaki atatuvuruga zaid
@CornenciaFaustine-pd2rc12 күн бұрын
Asepe tu nini chama. Wapo vyama wengine wanaokuja simba.
@SaidMana-dp4et12 күн бұрын
Aondoke wala hatuna. Plesua mzee huyo tunataka vijana sio wazee tena maringo mengi aende yanga akamalizie mpila wake
@user-dp1td4ij7h12 күн бұрын
Aondoke tu
@abubakarbajun350313 күн бұрын
Torekodi ya msemaji wetu akisemaaa takoo ni i
@mapambanotv1912 күн бұрын
Yanga bwana. Wanaume wa shoka
@kassidpandu86612 күн бұрын
Simba hatuna Maumivu kwa Tunasafisha Wazee sasa wache wamchukuwe huko kuna wazee wenzake kina Mkude
@SwaleheManeno8 күн бұрын
Hatujafurahi bado tuone badili yake
@Luganoamos-jv5in12 күн бұрын
Aende Hana jipya auliuza mechi hyo ,hatufahi
@venancemwanya421212 күн бұрын
Chama alitakiwa awe amesepa zake tangu msimu uliopita.
@konradkowa666812 күн бұрын
Simba sawa na mbwa tu
@petromwashusa994812 күн бұрын
Amechoka enzi zake zinaishia
@mbwigamwakipesile502412 күн бұрын
Aende tu wapo wachezaji wazuri zaidi yake afrika kwanza umri umeenda
@julianajeremiah435312 күн бұрын
Anajua kucheza lkn km anataka pesa nyingi wenzie walipwe nini? Aende tu bwana kila kitu kina mwisho walbeza Yanga sasa wanamtaka hahahah msiwe mnawasikiliza
@mustaphawelder702212 күн бұрын
Aondoke tu, hatutaki
@kassidpandu86612 күн бұрын
Chama ni Mzeee bwana ha utoporo wamesema hayo kila siku juu yake
@drvaxminja213312 күн бұрын
Haha 😂Yanga wametaka kuwathibitishia kuwa ni wakubwa zenu
@ELIAChires8 күн бұрын
Humu tuuu
@stanslausmteme845512 күн бұрын
Viongozi wajitafakari kwa hilo
@abdisalim790013 күн бұрын
Ni uongozi wa kizembe tu ndio unaoweza kuruhusu mchezaji wa aina ya Chama aondoke kizembezembe tu,.Visingizio vya umri ni kuhalalisha dhambi yao na naamini msimu ujjao kwa viongozi hawa mzigo tutalia tena sn.SIMBA tuna bahati mby sn
@kassidpandu86612 күн бұрын
wazee wa Nini chama wa leo sio yule unataka acheze akiwa na miaka 49 simba? wazee wezake wako utoporo
@seifntandala913712 күн бұрын
Atakapo anza kugawa dozi msiumie tulieni tu ukiona mchezaji kachukuliwa na yanga jiulize malambili
@raymondmulumba939112 күн бұрын
Hata kama anataka kukamua mpaka damu? Kwani walipomsajili walikushirikisha?Au kuna kitu ulichangia? Walimleta wameamua kumwacha sasa unabeza nini? Ya ngoswe mwachie ngoswe.
@taseleli918112 күн бұрын
Mabadiliko katika maisha ni jambo la kawaida sana wacha aende atakako huwezi kumlazimisha mtu kufanyakazi nawe wakati yeye hahitaji watapatikana wengine.
@HajiHija-od2db12 күн бұрын
Ao wazee ndo walowadhalilisha nyinyi vijana goli tano @@kassidpandu866