Tunalisubiri hilo pira biriani huko upande wa pili, tutawapenda wengine wanaokuja hata hao walipokuja hatukuwa na upendo nao ila baada ya kukaa nao tukawapenda.
@SaidiIdd-f2x35 минут бұрын
Haposawa baba
@user-xd4lu1xl6c44 минут бұрын
Mh kwa usajili huu simba wanaweza kuchukua kombe la shirikisho
@emmanuelmayunga151857 минут бұрын
Sema simba hawawataki wakongo saizi, ila tungempata Ellie Mpanzu ingekuwa good signing zaidi
@giftkalenge418Сағат бұрын
sizitaki mbichi hizi ivi Saido hakuwaga mstaafu?
@hassanomar8157Сағат бұрын
Saf sana kisugu
@msemakweli...Сағат бұрын
Sawa karibuni sana akina jobe wa msimu ujao🤣🤣🤣🤣🤣
@charleslinhege690Сағат бұрын
Yuo ni uropokaji. Subirini wachezaji tuwaone wanavyofanyakazi uwanjani ndo mseme muwape hizo sifa wanazostahili
@slystudiotz96762 сағат бұрын
Allah awafanyie wepesi wachezaji wetu amin
@user-op7vm9mr3z2 сағат бұрын
Tunawasubiri wasema hovyo. Safari hii siyo kono la nyani mtakula nane. Wewe tema mate tu hapo kama nyoka
@KATEGILEMABADA2 сағат бұрын
Sidhani kama Miraji ni Simba kweli maana kila siku yeye ni kuisifia YANGA tu, huwa sipendi hata kumsikilza
@josepahatmargwe65042 сағат бұрын
Used out , Fresh blood innnnn❤❤❤❤ Simba
@josepahatmargwe65042 сағат бұрын
Toa wazee kama Chama lete Kijana toka Zambia Mtale
@MusaJuma-jr7wb2 сағат бұрын
Kisugu ni mropokaji Mimi mashabiki simba ila kisugu nichawa tunamkubali miraji maramoja wengine machawa Leo anaonge hili kesho kabadilisha unamuelewaje
@MusaJuma-jr7wb2 сағат бұрын
Acheni chaa kisugu
@LaurentMasangwaNyanda2 сағат бұрын
Miraji nae anasema anamkubali kisugu
@MohamedMshiti2 сағат бұрын
Wewe ndio chawa sio kisugu
@essaumapunda5766Сағат бұрын
Big up kisugu
@SurprisedFullMoon-gg9vuСағат бұрын
Mpe mkundu kama una mkubal
@jumasuleymani2 сағат бұрын
Tutakupiga kama ngoma kisha mdomo wako utaufunga
@raymondmilanzi2 сағат бұрын
Maduka yenu hayapo Tena Chama, Inonga na Manula
@onesmothimos26352 сағат бұрын
Wewe una enjoy kwasababu una ongwa
@SurprisedFullMoon-gg9vuСағат бұрын
Na mama yako au baba yakooo
@SuleimanIbrahim-lp7qs3 сағат бұрын
isa kihange mtoto wadodoma mjini
@Mwakilasa513 сағат бұрын
UMITASHUNTA
@user-bt6ep3yb2h3 сағат бұрын
Balinya anakusikiliza kwa makini.
@AndrewMnyamoga3 сағат бұрын
Koublan
@user-bt6ep3yb2h3 сағат бұрын
Ligi ya tz ni ngumu sana, siyo ya kuichukulia kirahisi hivyo.
@kombohamis24813 сағат бұрын
Hata jobe walisema ivoivo
@haidarysalehe90563 сағат бұрын
HAMNA MCHEZAK HAOPP
@user-ch2it3qt5z5 сағат бұрын
Waandishi muwe mnawakumbusha alisema chama akienda yanga Hana miaya Azam bado mnamuoj nn kuhus Simba ttz la watu Kama huyu wameona kuongea ongea nkama fursa kwako leo anaongea hivi kesho akumbk alihaidi nn huyu nayy n wa Mchongo😂😂😂😂
@iddykamona89177 сағат бұрын
Mbona huyo mtu Kama ameleft
@SamsonEdward-h3q7 сағат бұрын
Kweli mayele amekuja ximba au
@erickmhule8 сағат бұрын
Aise isijeikawa mnatulusha tu hapa
@JuhudiKasanga-yq5ks9 сағат бұрын
Selo nimeamini inalegeza fusi kwa watu huyu jamaa Saini Bora kisugu anahoja za msingi amebaki kuwa kolo full sasa na wanasimba msipo kuwa makini kesha ramba asali Hana msaada kwenu amekuwa mchumia tumbo
@user-tg7qf4ei5n11 сағат бұрын
Iuongo huo
@LovelyBoat-cm9hc18 сағат бұрын
Jibi ulisema akitoka chama unahama je umehama
@DismasiMunish9318 сағат бұрын
Sisi taki mbichi hizi wewe mzenge Chama ni mzuri kuliko hao wenye
@user-fs5jc4it7i19 сағат бұрын
Huyu naye chawa tuu
@ikulunimahalipatakatifu764219 сағат бұрын
NAWAZA CHAMA AKIWAGA KWENYE 18 anavotulia na mapande yake.