Allah azidi kukubariki kwa KAZI nzuri Baba safisha kote
@annamussa1858 ай бұрын
Chalamila safi sana yani ulikuwa ukisoma zamani madanguro yapo mpaka umeajiliwa umekuja kuyaondoa kweli wewe ni mfano wa kuigwa vijana someni kwa bidii mtuondolee uozo ulobaki chalamila Mungu akubariki sana 😍
@shebatimathayo84718 ай бұрын
Safi kabisa Rc piga kazi usiogope ili jiji liwe na heshima na nchi nzima iwe hivyo.
@user-mq6se9dg5u8 ай бұрын
Salute kamamda komesha na utokomeze kabsa hakina mtu atabakwa
@massudidadi6798 ай бұрын
Hakuna Dini yoyote inayokubali biashara hii kwa iyo tuiyunge mkono serkali kwa hili Kazi nzuri
@BigZhumbe8 ай бұрын
Wakati dini zote mitume yake ilikua watumwa waliokuwa wanawatumia kingono. Mfamle Suleimani alikua na michepuko 300
@huseniaidani64708 ай бұрын
TafuTa hela kwa namna yako usiseme dini kweny maisha iulize nafc yako katika utaftaj wako hujawah fanya kitu ambacho dini ako imekataza Hao unaowaunga mkon Wanayajua madanguro makubwa ya hadh na miongon mwao ni sehem zao za kutuliza stress kwa undan Zaid ulizia bar inaitw escrow ipo maeneo ya kisiwan matenkin_kigambon jumamoc Kuna Ben bat wanawake wanatembea uchi na polisi wanalinda
@massudidadi6798 ай бұрын
Kwa iyo ww ujiumba mwenyewe hauna dini
@mamyomar12418 ай бұрын
@@BigZhumbepumzi hizo zinakuhadaa. Mche MMungu.
@BigZhumbe8 ай бұрын
@@mamyomar1241 Kwaivo unamaanisha nimedanganya kuwa Mfalme Suleimani na mitume wengine walikua na michepuko?
@Jayhood288 ай бұрын
RC Chalamila..Nimejifunza Hekima.Mungu Akubariki!
@isaacopolot20277 ай бұрын
My man Chalamila. Nakushangilia kutoka Uganda. We ni mchapa kazi mkweli. Nakukubali sana yaani
@user-zw5km8kl9l8 ай бұрын
Mungu akubari mzee wetu
@user-et2ci1rl1y8 ай бұрын
Chalamila Yuko sahihi wakuu wote wa mkoa wangekua kama huyu Tanzania mzima tungepata maendeleo makubwa sana huyu anafaa pia haya mambo yangefanywa na wakuu wote wa mikoa Tanzania mzima kuvunja haya madanguro nikumuasi mungu hongera chalamila mungu akubariki nawakuu wa mikoa yote Tanzania nzima waige Kila mkoa wakague madanguro kwani kuzini hivyo ni kumuasi mungu mungu tuepushe na zinaa
@user-ug6pj6dn2y8 ай бұрын
Uko vizuri mkuu. Mungu akutangulie❤
@user-tw5me8up5t8 ай бұрын
Mkuu wa mkoa hongera kwa kazi nzuri
@chusseboywcb28088 ай бұрын
Nafurahia sanaaaa hiii mungu awe nawe hiii nimeipenda sanaaa❤❤❤
@cosmascastory91938 ай бұрын
Safiii sana RC wetu piga kazi
@mwamvuamagongo81638 ай бұрын
Mbakaji anaweza kubaka hata mwanawe hiyo ni hulka ya mtu, RC kazi iendelee.
@errydeo88658 ай бұрын
hilo sio jibu;serikali inabidi iwe na jibu la swali la huyo dada
@Allybinamour8 ай бұрын
mkuu wa mkoa umeongea ponts kabisa,huku zanzibar hayo madanguro yapo na watoto kila siku wanabakwa.na wala sio sahihi kama madanguro yanaondoa ubakaji huyo dada anaonesha na yeye ni katika hao wenye biashara.big up mkuu wa mkoa.
@YohanaChalamila-or4qp8 ай бұрын
Hongera mkuu wa mkoa daresaalam mana kizazi kinahalibika kwakwel mana mtot akishatazama vitu hvy ndo bs Tena akigoma shule anaona hiyo ndo kazi ya mwisho fikra zake zote zimeishia hapo
@marianguli79948 ай бұрын
Huyo dada bila shaka na yeye anajiuza toka lini dhambi ikaondolewa kwa dhambi???? Toka lini ubakaji ukaondolewa na madanguro?? Muheshimiwa hongera sana kazi iendelee
@OmanOman-dd5qk8 ай бұрын
Mkuu safi sana mtu kamahajatoshekana halali halamu haiwezi mtosha
@huseniaidani64708 ай бұрын
Ety halali haramu wew unaijua haramu au halali uliona kwa Nan mnakaa mnazurumiwa rasilimali zen kisa kutokuwa na maelimu umeme haki yako unaunganishwa laki 3 na bado wanakupangia mara leo wakate kesho wawashe wanakula hela wanajiuzuru hamsemi wakija kuwarudisha nyuma wananchi wenzen kimaisha mnaunga mkon ety haramu unafikir ukiwapa hzo hela wanazokula ao mnaowaunga mkon unafikir wangejiuzaaa wewe
@hemediswaibu51998 ай бұрын
Mziki nayo muiangalie vizuri aina maadili kabsa na inapingwa kiolela
@geeva998 ай бұрын
Point kubwa sana
@zuberimohamedi57618 ай бұрын
Safi
@halidimgonza59458 ай бұрын
safi sn RC charamila 💪💪💪
@SamirLudovick8 ай бұрын
Safi sana , zoezi lifanyike nchi Nzima kahama pia tatizo
@justinemaganga41398 ай бұрын
Kahama na shinyanga mjini sugu
@sabihaibrahim1438 ай бұрын
@@justinemaganga4139akaa mpaka hukoo
@tvstation64728 ай бұрын
Kwa kahama ndugu hapana ,hapawezekani,had nguo hawavai???!
Mheshimiwa Mkuu wa Mkoa Ndg.Albert Chalamila wewe ni mtu wa Mungu kwa wakati huu naomba uzidi kusaidia Taifa usipolipwa duniani utalipwa na Mungu,Bado madawa ya kulevya yanauzwa kama karanga nguvu kazi inateketea Baba.Mama tunahitaji watu kama Chalamila wanao.
@ramadhanmohamed32618 ай бұрын
Great Hon RC DSM. On the other side of the coin, am critically thinking this problem why? RC DSM is a public figure and can influence a governmental institutions to reframe their committment to social services.We may think these women and men in these ghettos are committing guilty in hidden areas No, this is a total public rot, a terrible social problem to count AND the impact is at large not only at Mwananyamala, tandale,buguruni, kinondoni, sinza, mbagala,and other cities all over Tanzania. RC PLEASE, MAKE A NEW PLAN TO ALLEVIATE POVERTY IN DSM AND TZ AS A WHOLE.
@rehemamajaliwa8 ай бұрын
Kazi nzuri muheshimiwa👍👍
@MuhammadHassan-xp6dc8 ай бұрын
mtu ana mke wake na anambaka mtoto wake,kama alivyosema mkuu wa mkoa kuwa mbakaji ni mbakaji tu tafteni kazi za kufanya vunja madanguro yote.
@yohanalukindo37378 ай бұрын
Siku akibakwa mwanao au ndugu yako utajua tamu yake kuzuia madanguro ni ngumu sana watu wanaunda madanguro Hadi mitandaoni hii inch Ina majanga mengi yakutatua sio kupoteza muda na madanguro
@salimmalaka2568 ай бұрын
@@yohanalukindo3737HIYO KAULI YA HII NCHI FUTA KICHWANI MWAKO KILA NCHII DUNIANI MATATIZO YAPO LEO WAKUU KAZI NI HIYO NA MENGINE SIKU INGINE USILETE SABABU ZA KISHAMBA HAPA.
@Mpakauseme8 ай бұрын
siku akibanduliwa mke wako ndio akili itakuka sawa
@LinusEdward8 ай бұрын
@@Mpakausemekwaiyo nawewe unasapoti madangulo yawepo au
@huseniaidani64708 ай бұрын
@@salimmalaka256unaona mawazo ya mwenzak ya kishamba kumbe wew ndo mshamba na maheruf yako makubwa hiv unakaa chin unasifia madanguro kuondolewa hayo sio madanguro hzo ni nipe nikupe madanguro yanamilikiwa na watu wenye pesa na wanaoenda kweny madanguro sio sis hatuna hela Ila Hao wanaojifanya wanazuia hzo biashar miongon mwao ndo sehem zao za kupunguza stress Kuna madanguro Yana VIP na VVIP unafikir wa naingia mbwa kachoka wakina PRO. DR. MHE. KMND. hayo hauwez Yaona kweny Kamera yakizalilishwa anaweza akafukuzwa mtu kazin kuuumbua stare he za wakubwa wako wakaz
@salimmalaka2568 ай бұрын
WENYE NYUMBA HIZO WASHITAKIWE KWA KOSA LA KUSAMBAZA UKIMWI MAKUSUDI NA KUIDHOFISHA NCHI.
@reginameitavan40328 ай бұрын
Good work Rc
@reginameitavan40328 ай бұрын
Vyumba vinatia kinyaa hatari,kuna starehe gani hapo kama sio ufirauni,bomoaaa
@zulfahaji918 ай бұрын
Yaani ilo jibu limenigusa
@ntegrity2778 ай бұрын
RC NAKUAPIA UKIKOMESHA UNDANGURO DAR YOU WILL BE THE BEST ZINZA JE!
@ummySheikh728 ай бұрын
Huyu mama naona kama mmoja ktk hao madada powa? Anahasira hatari😮😢
@IdarousPossy8 ай бұрын
Umeonaeee hata mimi nimeliona hilo Yan mazungumzo yake tu inaonesha alikua mmoja wao
@binaljabirmshihirzanzibar83698 ай бұрын
Upo sahihi maneno yako
@Ndu-wa.uroony28 ай бұрын
Ni kweli kabisa huyo atakua dada poa tena ana hasira sana.
@GeofreyWilliam-ev7qd8 ай бұрын
Lakn mkuu wa mkoa kashindwa kujibu swali 😂
@sabihaibrahim1438 ай бұрын
ndiyeee ukimuangalia tu macho keshaathirika kwa mboo mia moja kwa siku
@lakisuleimani91128 ай бұрын
Mungu azidi kukufungua uyaone mengine zaidi ya madagulo hongera sana
@rehemamajaliwa8 ай бұрын
Mbakaji ni mbakaji tu mamaeee
@huseniaidani64708 ай бұрын
In fact of life hakun cha kusifiwa utendaji wa kazi wew maisha yapo kwa matabaka sisi hali ya chin tutaend kweny madanguro ya uswahilini wenye hela wanaend kweny madanguro ya hela na hauwez Ona madanguro wanoingia watu wenye vpato vya juu yanaendewa na Kamera na kuonesha utendaji mzur wa Kaz kmy kmy koz wanaend vgogo lakin huku ambapo serikali hainufaiki weeee chap
@valenakomba92188 ай бұрын
Siyo kweli. Ubakaji ulipunguwa tuu, sababu ya Rais Magufuli alikuwa mkali. Na wengi walikuwa wanaogopa sababu Rais Magufuli alikuwa hana mchezo.
@victorkivuyo61268 ай бұрын
HONGERA BABA, MR BOB SOSY AKA KATIA WA ARUSHA MURIETI JIRANI KABISA NA MHESHIWA GAMBO
@tinnahagustinolyelu42478 ай бұрын
Bwana wewe watu Kila siku watu wanabaka wanalawiti kwani hai wadada hawakuwepo tumuogope Mungu yaani mtu unachochea Kabisa dhambi ya uzinzi hapana
@huseniaidani64708 ай бұрын
Wew hujawah zini au ndo kweny MITANDAO kazi iendeleee utaftaj wa hela wa mtu usiwe karaha kwako we ulitakiwa ujiulize kwanin wanajiuza kwa sabab Kuna wanunuaji we unahisi Kuna shda hapoooo
@JoanithaManyamaАй бұрын
Safi sana swali zurii kabisa
@Worldunite8 ай бұрын
Mheshimiwa, tambua kuwa mama wa maasi ni POMBE, piga marufuku vilabu,mabaa,vigrocery na pombe/ulevi wa aina zote HAKIKA TUTAISHI KWA AMANI. Nakupongeza kwa hatua ya kupiga stop madanguro lkn wakti huohuo piga STOP pombe na mahala panapiuzwa pombe na ulevi, hata vitabu vitakatifu vinakataza mambo hayo
@festinamwakipale39198 ай бұрын
Wenye tamaa na ngono waoe waolewe ivi.binadamu wa sasa hataki.kuoa na kuolewa.Tanzania tuogope hukumu za Mungu
@delapitoresavage37468 ай бұрын
Mujenge na barabara kama mnavyofanya iyo kazi nchi itakua kwa kasi 😃💪🏾
@jumannerajabu82598 ай бұрын
hahaaaa ww chamila mhuni kweli mbakaji abomolewe Yani kwakifupi nayy abakwe ww siumesema ivo subil ss dar watu wanajua kuitikia wito watashuhulikiwa mno
@annamussa1858 ай бұрын
Huyu mama anaeuliza swali ningemchapa makofi mshenzi kahaba kama makahaba wenzake
@Mpakauseme8 ай бұрын
Wewe umajuaje kama kahaba ? echa unafiki wewe kwann umuhukumu mtu husiyemfahamu
@annamussa1858 ай бұрын
@@Mpakauseme pumbavu malaya mbele na nyuma kaa kimya tuliza Domo lako chafu baya kaa ngozi ya mikundu ya kuku jinga kabisa
@huseniaidani64708 ай бұрын
umetukana matusi kibao sehem ambayo hukutakiwa kutukana sasa cjajua yule mama na wew Nan kahaba maaan yey kaonesha sio tu hasara za danguro na faida ake ni hii ina punguza vitendo vya ubakaji ni kwel sasa wew umemwita Malaya mwanamke mwenzio anaejihadhirisha kwaajil ya Familia yake kesho ije imuokoe katika biashar hzooo
@annamussa1858 ай бұрын
@@huseniaidani6470 wewe na yeye ndo makahaba
@cosmascastory91938 ай бұрын
Ukimaliza hapo uende Manzese uwanja wa Fisi,uende pia Buguruni kimboka halafu ukamalizie Tandika hayo ndo maeneo makubwa wanapokaaga hao wasenge wasenge
@KuluthumuHaji-vi9hn8 ай бұрын
Umefanya vizur. Maana watoto we2wame haribika sana
@prince.eric_msemwa97328 ай бұрын
Hoja ya kishenzi sana ya uyo dada
@salimmalaka2568 ай бұрын
HAYO MABANDA YABOMOLEWE KABISA HATA KAMA NI NYUMBA YA NANI ILI WAWE NA ADABU NA SERIKALI NA ANAEKUJA KUDAI AFUNGWE MWAKA MMOJA SHENZISTAN HAWO.
@malikally22538 ай бұрын
Waje na huku sinza mori muda huu wanejazana kibao nje ya nyumba zetu mpka kitambaa cheupe
@dicksonkilupa22588 ай бұрын
KWA KWELI JIJI LIMEHARIBIKIWA SANA KILA KONA MADANGURO MATUPU.
@jaydon33618 ай бұрын
Serekal mnawivu sana, kule sisi wanaume tulikua tuna enjoy kwa buku mbil
@jumarajabu62368 ай бұрын
Hongera sana .
@MOJAZAIDI.8 ай бұрын
Mungu awaongezee morali
@georgewinford28098 ай бұрын
Chara Master Acha Kazi Iendelee.
@producerema2918 ай бұрын
Nimeishi Dar es salaam sikuwahi kujua kuna maeneo kama haya
@farajimgunya64688 ай бұрын
Kiongozi umekosea Sana omba radhi hakun mwanamke wa hovyo dunian please please please waombe msamaha hawa ni mama zetu sote
@elbaricktv16328 ай бұрын
Uyo dada aseme ukweli na yeye ni muuza mbunye aseme atasaidiwaje na maisha
@suzancharles16398 ай бұрын
Kabisa hilo lidada nilidangulo halafu mawazo ya kijinga eti
@gooleserviceyoutubescandar34508 ай бұрын
Kazi Nzuri Kabisa, M/Mungu Awalinde Katika Hili.
@user-qy7he6cl8w8 ай бұрын
Kati ya mambo yasioweza kudhibitika ni pamoja na hili ....Hata mfanyeje biashara itaendelea tu..Kikubwa kuwaombea wanaofanya ivo Mungu awasaidie ..waokoke
@PeterJohn-sg4oe8 ай бұрын
Mayor kazi ya kuelezea ni ya DC tulia basi!!
@katunzijasson54108 ай бұрын
Kwani hayo maji wanayokuuliza siyo kero au ni fuvu lako gumu unachagua mzigo wakubeba......kero zote majibu yanatoka kwako toa danguro toa maji watu wakaishi walau kidgo maisha yanayoendana na unakoishi ww
@estonmnthali371928 күн бұрын
Mh Safi sana
@user-vu9vx4mf2o8 ай бұрын
Uyu mkuu wa mkoa naona hajielewi tafuta miundombinu ya kuwapa watu ajira kwisha uwakataze kujitafuta wawo Kam wawo me naiman ata Hao wanao fanya iyo beshara ya kuuza mwili so kupenda kwao Bali nishida na umaskini ulio kidhiri 😢😢 pole Sana dada zangu najua nyie wengi ndo masingo mother am sorry for that but I min
@YohanaChalamila-or4qp8 ай бұрын
Kuhus kubakwa kwa mtot wake inawezekan ni malezi mabovu alompa mtot anajiwekaje na anaishije nae vp mtot kama mtot huwa anakutazam vitu unayofanya na anapitia humohumo inabid wew uwe mlinzi au mtoa elimu kwa wazazi mtot asivae nguo fupi hata akikutana n mwanaume ajikute yupo huru kwasabu mtot anabakwa kulingana alivojiweka
@user-xc6bb9nn6d8 ай бұрын
Wakibaka sweka ndani wakijikusanya kwenye danguro sweka ndani....wakilawiti sweka ndani Cha msingi police fanyeni kazi imeisha hiyo
@UmayyaNkya-ze3ri8 ай бұрын
Uwii hapo ndo wanakolala hao wadada mungu aawasamehe waja wako c mujishuulishe uza ata karanga upate mia ni yako ama olewa atlist mtasaidiana na mume maisha ngoja nioshe vyoo vya warabu huku mie wanangu wasome😔😢😢🥴😭😭😭
@user-gg2yf3zl3l8 ай бұрын
Maana ilikuwa buku tatu UNATOA upwiru sasa ITAKUWAJE wabakaji maana NYETO nayo inachosha
@NkubaStar8 ай бұрын
safi sana hii iwe kwa inchi nzima wanahalibu tabia za mabinti waludi waolewe tu
@hasamjebe46858 ай бұрын
Mhhh kazi kweer kweri hawa wapo mpka siku ya kiyama , uwezo wa kuwamaliza wewe hauna hata kidogo wapo tangu na tangu na wataenderea kuwepo ,mm ushauri wangu kwako ,watafutue ajira au wape misingi ya bihashara utapunguza kidogo
@eminenceboy83868 ай бұрын
Ivi kati ya mashoga na hao wanao jiuza ni wapi wa athari katika jamii zetu,
@najmasalim-rg6ow8 ай бұрын
Wotewote
@myunaniniahmad64638 ай бұрын
Ni woooooote.
@FredChaki-jb8zj8 ай бұрын
Ni wote 😂😂😂 tu kurwa na doto baba mmoja mama mmoja
@jazilambaji27898 ай бұрын
Haiuna cha kusema madanguro yakivunjwa watu watabakwa sana hakuna kitu km hicho mtu akitaka mtu wa kumaliza shida zake binafs aoe 'kuzini mungu kakataza
@hasamjebe46858 ай бұрын
Leo unazuia umewawezesha au ndio kila mkuu wa mkoa anakuja na miamko.yake?? Wape mitaji alafu wafatilie huu ni ushauri bora sana kwako
@TununuMotors8 ай бұрын
Safi sana
@credomwenda85188 ай бұрын
Hlf pia ,,wakimaliza kwa hawa madada,,wahamie kwa mashoga,,,mashoga ni wengi hii nchi
@elioimer84238 ай бұрын
Nawashangaa watz kushangilia matatizo ya wenzao. Sijui wengine wetu Tukoje.
@producerema2918 ай бұрын
Maji na madanguro bora nn😂
@geeva998 ай бұрын
Mbengo tv kuna battery mbovu kwenye vifaa vyenu kuna mic zinapiga kelele
@gyeong59728 ай бұрын
Tatizo sio sheria kuwepo tatizo sheria zenyewe hafatwi
@jessemathew46968 ай бұрын
Mkuu wa mkoa hujajibu swali... Yaani kiuhalisia watoto hapo mtaani watabakwa kweli kweli. Kesi zitaenda mahakama wakati mtoto wa masikini kabakwa
@abdulhamidbasha21088 ай бұрын
Suluhisho walipe kodi tuu kwa kila anaefanya biashara hiyo
@finiaskalist7478 ай бұрын
Aseee nyumba ni mbovu mnooo
@bornmwambemba84978 ай бұрын
Big up rc
@maryringo22398 ай бұрын
Wenye haya maeneo wakamatwe kwa kuruhusu biashara haramu iwe fundisho kwa wote .
@AnethEdward-nf6sc8 ай бұрын
Ni kweli wakamatwe kama buguruni kwa madenge zile nyumba serikali ingezitaifisha, mtu ana nyumba anapangisha zifanyiwe ujinga . Zinaleta laana ktk nchi .
@Mpakauseme8 ай бұрын
Huyo dada full confidence yupo vizuri sana , Mjomba haujatoa jibu unabwabwaja tu eti mbakaji mbakaji oh mara mwanamke mzuri aisee huyo mkuu wa mkoa hana akili kichwani tantalia yani ameshindwakulijibu swali kichwa kibovu mara mwisho kama kuna bia 🤣
@alexsuleiman37958 ай бұрын
Acha kumtetea mjinga mwenzio mkuu yuko sawa
@user-zb2mj5nd5g8 ай бұрын
Hiyo biashara ni yawenye nyumba na viongozi waserikali za mitaa, wakishabanwa tu hao watu , hiyo biashara inaweza kufa ila kama mnatumia njia zamripuko kama hizo hapo mnapoteza muda wenu bure hiyo biashara siyo yakuiendea kisiasa kama hivyo taifisheni hizo nyumba hizo
@annayambayamba86148 ай бұрын
Wazituletee Sonoma na ngomora kwenye inch yetu washindwe kbs
😂😂😂😂 umejua mwamba Mimi mwenyewe nilicheka kwa kweli
@EthanPerfect-gb5fv8 ай бұрын
Umejibu vzr mkuu wa mkoa
@estonmnthali371928 күн бұрын
Kazi zuri sana Mc
@abdulwahababdulkadir99658 ай бұрын
Anachokisema mama huyu ni kua kwa vile walizoea kuosha mikono yao kwa kutumia haja ndogo si bora waachiwe tu waendeleee kunawia maana watabaki wakiwa na uchafu mikononi
@lucaschisamalo28528 ай бұрын
Uchaguzi ukikalibia wote wanaludi mnatuchezea mchezo tu hapo
@braviuscosta14308 ай бұрын
Kama itawezekana upite mfagio wa ukiwakuta wauawe kimyakimya Rc good job nakubali baba naona wanapanga chumba kimoja wanalala 9
@efraimjohn49568 ай бұрын
na mafisafi ambao wanaiba wabako hai, kwasababu hao wawili wanaofanya wamekubaliana. basi tupitishe sheeia ya kunyinga wala rushwa kwanza
@Mtazyinstrumental8 ай бұрын
Jaman swali hili angeulizwa mwenye nguvu za kiume ata kibaka akipata chaka moja awes enda kwingine
@jacksonamos20088 ай бұрын
Maji na madanguro bora nini 😢
@petermsangi27018 ай бұрын
Ungeanza na mashoga bana,hai madada poa muwasake muwape mitaji maana kujiuza ni ziki hakuna anayependa kufanya hivyo ni umaskn,Narudia wapeni elimu yabiashara then muwape mitaji.
@georgemovieproduction18428 ай бұрын
Acha ilo la huyo dada Sasa ngono zembe na maradhi yanarudi kwa spidi..mkoa isio na hao madada ukimwi ni mwingi sana magetoni dry sana..kama kweli hawatakuwepo hao mtasema tu
@salumsamata65008 ай бұрын
🎉🎉🎉 congratulations
@jacksonmtazama28218 ай бұрын
Huyo dada kaulizwa swali LA msingi San sema tu kwavile 🤭🤭🤭 anyway ila kama kwel mmedhamilia kusomesha basi mkomeshe na Kule Whatsapp
@wamoyothenumberone43568 ай бұрын
Chalamila nakukubali sana unajua naunajua teena
@user-if8nd9cg7w8 ай бұрын
jonas manyika njoo umsikie Mh Chalamila anasema m'bomoaji Ame bomolewa
@yordanyona12348 ай бұрын
uje Na Banana eneo airwing .....yamejaa pembeni ya bar 。。。。tunaogopa hata kupita mkato unaweza onekana umetoka huko
@user-po8hz7xw9j8 ай бұрын
Wanao watetea hao hawana akili kwani mwanaume siwaoe watu hawatoi kwa sababu yahao watu