Tunasafir jahaz moja hata mm Nimelia sana ..na niliyapitia kwa bint yangu japo muhuska hakufanikiwa illa ishahid tuu amehukumiwa miaka 30 jail😢😢😢 nashukuru sikuzungushwa kwa chchte
@Misheckkazilist-cv2hb13 күн бұрын
Kaka makonda Fanya kazi kwamisimamo ya kimungu pia Mungu akulinde kikamilifu akupe afya isiyokua na kikomo ili naviongozi wegine waendele kujifunza kwako amina
@shanimbaruku20719 күн бұрын
Aamin
@mohamedelmi743513 күн бұрын
I'm not tanzania but please naombeni number ya huyu mtoto nitamu hudumiya mbaka amalize university I'm in Dar es Salaam. Kama mtu yote anamjuwa huyo bibi pls. Thank you.
@mejamiela743613 күн бұрын
Alhamdullah
@rukiangilla311313 күн бұрын
Allah akufanyie wepesi naakujalie....Hata me roho imeniuma Sana😢
@wisemaliva537613 күн бұрын
Ngugu ukifika kwa makonda utampata mungu akujalie
@jacksonjamesndyabawe47113 күн бұрын
Mungu Akupe maisha marefu kwa rosho nzuri
@vickhongole661112 күн бұрын
Asante
@StelaJohn-nj5yf12 күн бұрын
Mungu yu upande wako Mh. Makonda.. Asante kwa kumpenda Mungu na ndipo Mungu akakupenda sana wewe. Be blessed hon.
@TwahaMaziku13 күн бұрын
Hii nchi kama hauna pesa hakunaga haki na watu kama makonda hua hawatakiwi maana anapingana na wengi mungu amputee ulinzi utokao kwake naming huyu atuletee viongoz kama makonda
@DavalsonMarlony8 күн бұрын
uwo ndyo ukwel mapai wanapenda rushwa Sana haki ni kwa mwenyenz mungu tuu
Wakipewa uraisi wanabadirikaga sana sannnnnnaaa utoamin nakuambia 😂😂😂😂 .....
@melinawilson13833 күн бұрын
Anaeweza kuja kuwa Rais mzuri siku za usoni huko mbeleni
@mwajumasakina959912 күн бұрын
Yaani watanzania muna neema kubwa ya viongozi itunzebi tafadhali Congo tunalia hata hatuna mtu wakutusikiza jamani, Mwenyezi Mungu akutunze kiongozi makonda
@allykagawa12 күн бұрын
Poleni sana ndugu zetu
@PrincessNechi10 күн бұрын
Mungu atawapa kiongozi sahihi, machozi yenu sio bure Mungu anayaona.
@user-tt7cu2et1x9 күн бұрын
Amen
@user-tt7cu2et1x9 күн бұрын
Aiseee hi dunia yahn wanawake tuko wengi...😢😢single unaenda kubaka bint mdgo hivoo akiijj😢😢😢😢.aiseee nmeumiaa saana
@user-tt7cu2et1x9 күн бұрын
Dah nmeumiaa saana 😢😢😢😢akii
@jacksonjamesndyabawe47113 күн бұрын
Huyo ndio kiongozi sasa.. Sio lele mama.. Keep it up brother
@esterjoseph60753 күн бұрын
Umeoneeehh makonda oyeeeeee
@user-xt7ue1jo9x13 күн бұрын
Nadhani ingekua vyema kuuficha uso wa mtoto Kwa kumfocus Kwa sababu yupo chini ya umri wa 18 tulinde haki za watoto
@mwasoprince34599 күн бұрын
Ni sahihi huyu camera man hana ethics, lazima ufiche sura ya mhanga hasa mtoto,
@amanihenry79819 күн бұрын
Hawajafanya vizuri kuonyesha sura ya mtoto ndo kumuharibia maisha
@nancyg86649 күн бұрын
😢 ata mimi niliwaza hvohvo, mitandao inatunza hii itamla mtoto akikua mkubwa
@esterlucassolah88239 күн бұрын
Exactly
@user-ns4oj9cw1j9 күн бұрын
Anyongwe akikamatwa
@user-vg7gh6df9w13 күн бұрын
Mungu akubariki mheshimiwa na akuongezee miaka mingi uzidi kuifanya kazi ya bwana. Tunahitaji sana mtu wa caliba yako
@muhammadmpahi33812 күн бұрын
Hawa mahakimu wa hovyo ndio wanaosababisha wananchi wanachukua sheria mkononi
Muheshimiwa MAKONDA kweli mimi ni mkongomani DRC ila nakukubali sana na zidi kukuombeya duwa kwamungu azidi kukuzidishiya myaka nakupenda na nakukubali sana muheshimiwa
@MannesamEmmah9 күн бұрын
Daaah!!!! Mungu amsaidie mtoto huyu aweze kutimiza malengo yake
@hassanalshaqsi670713 күн бұрын
Your the best example they should all follow your strategy to help the nation Allah will reward you Hon.Makonda
@deodartngaiza666412 күн бұрын
Hongera na kazi Mkuu, nakupongeza sana kwa namna unavyohidumia wananchi wenzetu. Asante sana Mh Makonda.
@neymantz8 күн бұрын
Nimeumia kiukwel mungu aendeleee kukuhifadh mtu wa watu makonda🎉🎉🎉🎉 neyman tz🎉🎉🎉🎉🎉
@ramsojimmykelly33799 күн бұрын
mahakimu wote kukumamee zenuuu....
@Ramakhanmalone-lz3qw7 күн бұрын
nakupenda sana makonda kwa kuwangalia matatizo ya wananchi,mungu akupe maisha marefu.
@reginamushi4 күн бұрын
Asante Rais Samia Suluhu Hasan kwa kutuchagulia kiongozi makini na mchapa kazi hakika huyu kijana anakuwakilisha vizuri sana! Laiti kwenye safu yako ya viongozi unaowateua ungekuwa nao kama Paul Makonda angalau wa 5 tuu❤
@annamtapila576112 күн бұрын
😢😢😢 Haki ya watu iko wapi. Eee mwenyezi Mungu saidia watu wako wanyonge. Ahsante kiongozi kwa kuweka maisha na haki za watu mbele. Enyi polisi saidieni watu kwa haki huko vituoni. Mahakimu nanyi tendeni haki.
@habibuhabibu972813 күн бұрын
Makonda endelea kua namoyo huo mungu akujalie akukinge nakila baya 🙏🏿🙏🏿
@EdithaNnko-fm6ph7 күн бұрын
Wakati Paschal Cassian anaimba Makonda ni kijana Jasiri sikimuelewa ila Sasa hv ndo naelewa. Mungu azidi kukutunza mheshimiwa
@marryjames-wl7be6 күн бұрын
Makonda yuko sahihi kwa nn mahakama haijafatilia ushahidi wa doctor alipima hadi kusema amebakwa mpaka akaandika dawa kwa nn mahakama imepuuza hivi vipimo na kusema huyu mama akawa anamtaka huyo mbakaji mweeee😢😢
@lilyshayo76111 күн бұрын
Jamani kuna maumivu nimelia Kama mzazi kuna maumivu jamani mungu mtunze MAKONDA na Kama
@ShamimHassan-qm1et9 күн бұрын
Duh ila mttan kila mtu ana lake ni vile tu hawakupat wa kuwasikiliza mungu akubariki kiongoz kwa kuamua kuwasikiliza wananchi😢
@MariamJames-b5x12 күн бұрын
Mungu akubariki sana Mheshimiwa Makonda namungu akutie nguvu zaidi naulinzi, wasio kuwa napesa wanaonewa sana
@frankokenyamtumewaneema91794 күн бұрын
Makonda anatosha,anafuata nyayo za aliye kua kipenzi cha Tanzania magufuli🤗
@maniriyoali867513 күн бұрын
Mungu akubariki Kiongozi Mzuri kbs Mungu akuongoze kuenderea na kuwa Mu kweli Musema ukweli Mupenzi WA Mungu 😢
@henrymatebe13 күн бұрын
Heee hivi unaelewa mada iliyopo hapo lakini?
@yasirfaisal972313 күн бұрын
Kiwongozi gani huyo asiyo yatafakari statements za huyo maama huyo maama anataka kusaidiwa kumuleleya watoto ove which siyovibaya lakina asitake usaidizi Kwa kuwumiza mwengine
@MerlinaKubadesha8 күн бұрын
Daaah amakweli maboy ni wanyama sana, mtoto kama huyo kweliii ,😢😢😢,pole sana mungu akuponye. Amen
@SixbertDamo12 күн бұрын
Mh makoda mungu akubariki sana mimi nipo mkoa wa mara lkn unafanya kazi ngumu sana wasaidie wanaoteseka nakuombea siku zote kwenye maisha yako,
@KitalambaMwinyimvuwa8 күн бұрын
yaan utadhan mh Makonda Yuko nchi nyengine, hivi viongozi wengine mbona hata hawashughuliki na matatizo ya wananchi yanayowavunja migongo Yao!
@TheSalma19997 күн бұрын
Umeona eh hata hawajali kabisa
@philipinamboya220410 күн бұрын
Mungu mlinde muheshimiwa makonda
@RuckieDady-gk3ph10 күн бұрын
Muheshimiwa makonda ni mtu nanusu matunda ya baba ametuachia alama ❤
@MahdouMomba8 күн бұрын
Magufuli ametuachia alama sahihi kwa watanzania wote
@judicalosika76425 күн бұрын
Uongozi ni mzigo
@judicalosika76425 күн бұрын
@@MahdouMombaprofile, profile, profile ✔️
@anthonymgina389311 күн бұрын
Makonda ni kiongozi sana na huruma tele mimi ninamwomba Mungu akulinde sana na akuepushe na shari yoyote, na iwe hivyo. Amina
@lucynkonya87098 күн бұрын
Kulaga uhangame Makonda kwa kazi nzuri na utume ulioitiwa na Mungu.
@danieljosephodada3195Күн бұрын
Mh Makonda Mungu akupe nafasi ya juu katika nchi hii
@HelmanDaud12 күн бұрын
Dah mweshimiwa mungu akulinde
@kyaro594513 күн бұрын
I lo❤ve you Makonda
@KatabaroCleophace12 күн бұрын
Makonda uwe Rais Sijawah kuona kiongozi kama wewe Tofauti na magufuli
@agnessangawe384412 күн бұрын
MH MAKONDA MUNGU AKUBARIKI. MASIKIO YAKO YAMESIKILIZA UCHUNGU MWINGI.
@JacksonEstomi8 күн бұрын
Makonda chukua nchii ww raisi wa hii nchii unamaamuzi ya kifalme mkuu kuraaa yangu bilaa mjadala
@mpokimwakisimba6926 күн бұрын
Nimeanza kumkubali sana Makonda. Mungu ampe ulinzi
@MerryUrio11 күн бұрын
Mungu akulinde tuu maana wt awapend watu wenye msimamo ya kimungu mungu akulinde
@mpelienock4 күн бұрын
Mungu akusaidie RC ufikie wengi na kutoa suluhisho. Mungu akusaidie isiwe seasonal iwe endelevu na wawepo viongozi wengine wanaofuatilia kwa karibu na kutatua kero za wananchi. Mungu amponye mtoto kisaikolojia na kiafya. It hurts 😢
@user-yc1ef1mp3s11 күн бұрын
Daah hatari Sana bila kujikaza yanatoka machoz ila yote MUNGU yupo na anayaona..
@AlexJackson-ig2yd5 күн бұрын
Respect kwa Makonda na tu nakuamini kwa kazi nzuri pia tunakuomba kiongozi uzidi kuangalia kwa jicho la pili huu unyanyasaji wa kijinsia
@goodluckjohnuiso-gt1fg13 күн бұрын
Si vizuri kumuanika huyo mtoto hadharani hivyo ni kzidi kumdhalilisha yangetengezwa mazingira rafiki kushughulikia hilo tatizo
@dickymediapro417911 күн бұрын
Ni kweli ila watu wamechokaa mno mana haki hazitendeki,wanajiamulia angalau wapate haki zao kwa namna yoyote wawezavyo
@SamwellubigisaLubigisa10 күн бұрын
Masikini! Mama anaeleza kwa masikitiko makubwa sana. MUNGU amsaidie sana
@teresiatemu44596 күн бұрын
Mungu akubariki Sana Mheahimiwa Makonda, nakukubali Sana, Tena sana
@GetrudesharifuMsuya7 күн бұрын
Dunia imeisha jaman tulinde watoto si wakike wala wakiume😢😢😢😢😢
@magrethelias87348 күн бұрын
Daaaaaah huyu mama kaniliza it so Painfully, Mungu saidia haki itendeke
@missarepafra39734 күн бұрын
Yesu ulisema waleteni watoto wadogo waje kwangu, wala msiwazuie maana yake unawapenda sana. Kwa matendo haya ya ubakaji na ulawiti wa watoto, Mungu stroke, na maradhi yote yawe sehemu na ijara kwao sambamba na watendaji wanaotetea uovu huu. Mungu waweza kuwalinda watu wema na magonjwa na magonjwa mabaya yote yawapate wanaoratibu, wanaotenda na wanatetea uovu huo hapa nchini. Mungu uwe mtetezi wa watoto hawa. Maombi haya uyapokee Mungu, maana yanaumiza sana. Matendo haya ambayo msingi wake ni USHIRIKINA UGANGA NA UCHAWI kwa sehemu kubwa, yakomeshwe.
@user-pe9cl1bc7h8 күн бұрын
Watu kama hao ni wanyama inafaa wauliwe....msenge kweli unabaka watoto wadogo
@rosemaryogallo41835 күн бұрын
Makonda l love you very much Mungu akubariki
@nurdinahmed90638 күн бұрын
Yani wallahi wabillahi Mungu akupe maisha marefu makonda maana una roho ya uncle magufuli hakika wewe ni kiongozi bora
@MalimaDaudMunguibarikiSi-tl3ww8 күн бұрын
Mungu akutie nguvu mkuu chapa kazi saidia wanyonge
@Mwaguntobi-ip1yi7 күн бұрын
Pesa adui wa haki, Mungu jibu maombi yangu siku moja makonda awe Rais wa Tanzania
@frankmaeda42843 күн бұрын
Makonda adhihirisha wazi demokrasia haitendeki ila domokrasia
@paulinahussen91298 күн бұрын
Mungu baba wa yatima, mume wa wajane simama na watu wako ee Bwana
@user-sj1rf8ij7f8 күн бұрын
Hii dunia tunapita mliopewa dhamana, Muwe na huruma hata kidogo wa Tanzania wa hari ya chini wanayeseka sana
@edinakyaruzi92268 күн бұрын
Kweli kubaka unakula pesa kubaka kweli tena katoto vipi maumivu ya mtoto uyo jamani haki ni muhimu
@mohammedmakarani28022 күн бұрын
Nice one R c makonda mungu atakuongoza
@zulfajuma68949 күн бұрын
Mungu ampe maisha marefu
@EmmanuelMurula9 күн бұрын
Mimi huwa naona ipo siku huyu makonda atakuja kuwa Rais wa Tanzania, hifazini hii comment mtaniambia hiyo siku ikifika
@KefaHamisi-k7x2 күн бұрын
😢😢 ila jamani kwa watoto mnatafuta nini
@samsonsanga436810 күн бұрын
Mkuu, Mungu akubariki San,,, ndo maana hata mm hutumia hyo lugha kwamba km kweli Mungu yupo. Umekuwa ukitatua matatizo ya wengi. Ninachoweza kusema nardia Imani yangu nikm yko,,, Yan km kweli Mungu yupo basi akupe maisha marefu San, ten San, maana huishi maisha ya kinafki unauishi ukweli mtupu, hakika una kitu ndani yko.
@marthamwampamba71272 күн бұрын
Mungu akulinde
@husseinbachwa837213 күн бұрын
Mungu mwenyezi akubariki mh Makonda hakika Kazi hii unayofanya inataka moyo saana....
@lilianevelyn6977Күн бұрын
Mtoto angefunikwa, kuna leo na kesho katika jamii, asije akaishi maisha ya kunyooshewa vidole ikamletea shida kisaikolojia. inasisimua
@judithkahise64518 күн бұрын
Huyu ni Rais mtarajiwa mtetezi wawanyonge🙏
@DattiKassim6 күн бұрын
Sahau
@z-1ilКүн бұрын
Ni kweli kabisa mungu yupo na atamsaidia
@YefthaKornelio12 күн бұрын
Hadi nimejikuta nalia mimi mwenyewe kwauchungu
@walterkiage61139 күн бұрын
Ukeli Mungu yupo na wengi twajichongea motoni. Pongezi kwako kumtafutia mtoto haki.
@erickbarthazar93164 күн бұрын
Huyu atakuwa Rais wajamuhuri ya Muungano wa Tanzania nimeota ndoto mara 3 Ile Ile Naimani itatimia 🙏
@ScolaMwansasu8 күн бұрын
Mungu akulinde akutunze najua mama anakuuamini ndio maan uko hapo baba utunzwe nabMungu
@hidayaswai31193 күн бұрын
Mishetani ya namna hiyo hata hofu ya Mungu haina. Tunafuga watu wa hovyo sana hata jamii zetu.
@godlovechaula76359 күн бұрын
Anacho kufanya Makonda kinatakiwa kuigwa naviongozi Kwa kusikiliza kero za watu
@neemanjau864811 күн бұрын
Kwanini mmeonesha sura ya mtoto, hamjui sheria na haki za watoto? Atakua mtu mzima yamkini hatotaka hii historia ijulikana wengine wataifanya kama fimbo
@NewMarathon12 күн бұрын
Dah yan nimetika machozi najivunia kuw muislam makanda aijajua din yako lakin allah akulinde sana maana ni vita na maadui hongera sana broo
@Umuhili_Ngendo11 күн бұрын
Sasa uislam unefikaje hapa??
@theopistachialo675010 күн бұрын
@@Umuhili_NgendoNashangaa
@JULIUSNCHAGWA10 күн бұрын
Hapa ndo mahali nawadharau Waislamu mnakuaga na mawenge Yan kila kitu mnaweka udini mbelee
@FrankPhilimon-e3n4 күн бұрын
Mwenyezi Mungu akutie nguvu mh. Makonda
@TynerGodfrey10 күн бұрын
Mungu akulinde makonda
@EduLimika7 күн бұрын
So painful, my God, this is so bad. Tanzanians you can do better. This is unacceptable
@MiliyaMhehe9 күн бұрын
Ubarikiwe sana
@user-nf1tg3kt3y13 күн бұрын
Mkuu wa kituo Cha polisi Tengeru ndio tatizo kwa sababu hata RB amesema alipewa feki baadae kaenda kapewa original na mahakama pia imemnyima haki huyo mtoto
@anointedhandmaiden526111 күн бұрын
I hurt deeply for the little one. May justice prevail in Jesus Name
@ezekielmadindula267913 күн бұрын
Hongera mkuu wa mkoa Arusha ❤
@JeannetteUwamwezi8 күн бұрын
Oooohhh nimeumia jamani hivi kweli mahakama kama hiyo imechunguza au wamekura rushwa
@omariselemani657813 күн бұрын
Nihatari sana tanzania Jamani
@jasirimjasirimedia794011 күн бұрын
My leader makonda Mungu akusimamie
@malcomx40673 күн бұрын
Hii story inatia huzuni, yaani nimelia kanakeamba huyu mama ni mzazi wangu. Hii nchi inaitaji wakina Makonda 5.
@sturbbornvideoz85478 күн бұрын
Pole bibi 😭 the world is so cruel wallah
@AlexJackson-ig2yd5 күн бұрын
Mungu akupe hakili kama za Sulemani chief wetu Makonda because you are leader but not ruler maana na ruler wanajipenda wenyewe kulikokuwapenda wanaowaongoza.
@godymbanyi187811 күн бұрын
Wanyonge wanaumizwa Sana nchi hii! Hongera RC
@user-ct1lf6ox4t8 күн бұрын
Hongera muheshimiwa kwa kazi ila mimi ningeomba wahusika waliopotosha haki za mtoto huyo Salma wawe wa kwanza kuwajibishwa iwe funzo kwa watenda kazi wengine wapenda rushwa
@RooneyKonga-qd4ooКүн бұрын
Mheshimiwa makonda tunakushukuru sanasana watu wanateseka sana wanyonge hivi watu wanaofanya vitendo hivyo hawamwogopi Mungu kweli akatendewe watoto wake atafurahi kweli
@philomenastephen336412 күн бұрын
MHESHIMIWA MAKONDA UNABII ULIOPEWA ZAMANI UTARIMIA. MAANA NAONA UTAKUWA KIONGOZI MKUBWA WA TAIFA KAMA ALIVYONENA MTUMISHI. SIJUI KAMA UNAKUMBUKA UNABII HUO. MUNGU AKUTUNZE KWA KUTETEA WANYONGE.
@Asha-yn4bu6 күн бұрын
Wallahi huyu bibi ameniliza all the way from U.K
@CastoSungununu10 күн бұрын
Tuwe na Imani vijana tusiaribu vizazi vipya ni taifa la kesho
@edinakyaruzi92268 күн бұрын
Kweli kabisa watoto wa nini jamani majidada mengi sana Yana taka miguu ya bandia hata bure watoto wa nini
@user-wp2dc3dr3w9 күн бұрын
Watz mko nawa tetezi sio kma kwetu Kenya aki😢😢😢
@paulinekamau96337 күн бұрын
Wa Tanzania make kama wakenya‼️ chomeni huyo mbakaji ‼️