MTOTO ALIYE BAKWA AMLIZA RC MAKONDA "KANIAMBIYA ATANIUA NIKISEMA""AKAMATWE LEO APELEKWE MAHAKAMANI"

  Рет қаралды 349,410

Adil TV

Adil TV

15 күн бұрын

#AdilTV

Пікірлер: 526
@JenniferJohnmshi
@JenniferJohnmshi 9 күн бұрын
Mungu ushushe moto juu ya wanaobaka watot wet
@heriethsixbert475
@heriethsixbert475 11 күн бұрын
Nmelia😢 hasira ya Mungu ishuke kwa kila anayewatendea watoto mabaya AMEN
@shanimbaruku2071
@shanimbaruku2071 9 күн бұрын
Aamin
@innocentinyasi9198
@innocentinyasi9198 8 күн бұрын
​@@shanimbaruku2071Watu wanarohooo mbayaaa sanaaa daah 😢😢😢
@Walesi-e4v
@Walesi-e4v 8 күн бұрын
Pole sana mdogo wangu maisha kazidiwa
@Walesi-e4v
@Walesi-e4v 8 күн бұрын
Yaenda kuungua
@FaudhiaAbrahaman
@FaudhiaAbrahaman 7 күн бұрын
Tunasafir jahaz moja hata mm Nimelia sana ..na niliyapitia kwa bint yangu japo muhuska hakufanikiwa illa ishahid tuu amehukumiwa miaka 30 jail😢😢😢 nashukuru sikuzungushwa kwa chchte
@Misheckkazilist-cv2hb
@Misheckkazilist-cv2hb 13 күн бұрын
Kaka makonda Fanya kazi kwamisimamo ya kimungu pia Mungu akulinde kikamilifu akupe afya isiyokua na kikomo ili naviongozi wegine waendele kujifunza kwako amina
@shanimbaruku2071
@shanimbaruku2071 9 күн бұрын
Aamin
@mohamedelmi7435
@mohamedelmi7435 13 күн бұрын
I'm not tanzania but please naombeni number ya huyu mtoto nitamu hudumiya mbaka amalize university I'm in Dar es Salaam. Kama mtu yote anamjuwa huyo bibi pls. Thank you.
@mejamiela7436
@mejamiela7436 13 күн бұрын
Alhamdullah
@rukiangilla3113
@rukiangilla3113 13 күн бұрын
Allah akufanyie wepesi naakujalie....Hata me roho imeniuma Sana😢
@wisemaliva5376
@wisemaliva5376 13 күн бұрын
Ngugu ukifika kwa makonda utampata mungu akujalie
@jacksonjamesndyabawe471
@jacksonjamesndyabawe471 13 күн бұрын
Mungu Akupe maisha marefu kwa rosho nzuri
@vickhongole6611
@vickhongole6611 12 күн бұрын
Asante
@StelaJohn-nj5yf
@StelaJohn-nj5yf 12 күн бұрын
Mungu yu upande wako Mh. Makonda.. Asante kwa kumpenda Mungu na ndipo Mungu akakupenda sana wewe. Be blessed hon.
@TwahaMaziku
@TwahaMaziku 13 күн бұрын
Hii nchi kama hauna pesa hakunaga haki na watu kama makonda hua hawatakiwi maana anapingana na wengi mungu amputee ulinzi utokao kwake naming huyu atuletee viongoz kama makonda
@DavalsonMarlony
@DavalsonMarlony 8 күн бұрын
uwo ndyo ukwel mapai wanapenda rushwa Sana haki ni kwa mwenyenz mungu tuu
@relaxstarman981
@relaxstarman981 11 күн бұрын
KWANINI HUYU JAMAA ASIPEWE URAISI ATUTETEE WANYONGE🎉🎉
@gloriamagoma5583
@gloriamagoma5583 9 күн бұрын
Wakipewa uraisi wanabadirikaga sana sannnnnnaaa utoamin nakuambia 😂😂😂😂 .....
@melinawilson1383
@melinawilson1383 3 күн бұрын
Anaeweza kuja kuwa Rais mzuri siku za usoni huko mbeleni
@mwajumasakina9599
@mwajumasakina9599 12 күн бұрын
Yaani watanzania muna neema kubwa ya viongozi itunzebi tafadhali Congo tunalia hata hatuna mtu wakutusikiza jamani, Mwenyezi Mungu akutunze kiongozi makonda
@allykagawa
@allykagawa 12 күн бұрын
Poleni sana ndugu zetu
@PrincessNechi
@PrincessNechi 10 күн бұрын
Mungu atawapa kiongozi sahihi, machozi yenu sio bure Mungu anayaona.
@user-tt7cu2et1x
@user-tt7cu2et1x 9 күн бұрын
Amen
@user-tt7cu2et1x
@user-tt7cu2et1x 9 күн бұрын
Aiseee hi dunia yahn wanawake tuko wengi...😢😢single unaenda kubaka bint mdgo hivoo akiijj😢😢😢😢.aiseee nmeumiaa saana
@user-tt7cu2et1x
@user-tt7cu2et1x 9 күн бұрын
Dah nmeumiaa saana 😢😢😢😢akii
@jacksonjamesndyabawe471
@jacksonjamesndyabawe471 13 күн бұрын
Huyo ndio kiongozi sasa.. Sio lele mama.. Keep it up brother
@esterjoseph6075
@esterjoseph6075 3 күн бұрын
Umeoneeehh makonda oyeeeeee
@user-xt7ue1jo9x
@user-xt7ue1jo9x 13 күн бұрын
Nadhani ingekua vyema kuuficha uso wa mtoto Kwa kumfocus Kwa sababu yupo chini ya umri wa 18 tulinde haki za watoto
@mwasoprince3459
@mwasoprince3459 9 күн бұрын
Ni sahihi huyu camera man hana ethics, lazima ufiche sura ya mhanga hasa mtoto,
@amanihenry7981
@amanihenry7981 9 күн бұрын
Hawajafanya vizuri kuonyesha sura ya mtoto ndo kumuharibia maisha
@nancyg8664
@nancyg8664 9 күн бұрын
😢 ata mimi niliwaza hvohvo, mitandao inatunza hii itamla mtoto akikua mkubwa
@esterlucassolah8823
@esterlucassolah8823 9 күн бұрын
Exactly
@user-ns4oj9cw1j
@user-ns4oj9cw1j 9 күн бұрын
Anyongwe akikamatwa
@user-vg7gh6df9w
@user-vg7gh6df9w 13 күн бұрын
Mungu akubariki mheshimiwa na akuongezee miaka mingi uzidi kuifanya kazi ya bwana. Tunahitaji sana mtu wa caliba yako
@muhammadmpahi338
@muhammadmpahi338 12 күн бұрын
Hawa mahakimu wa hovyo ndio wanaosababisha wananchi wanachukua sheria mkononi
@user-rt8ox1ht1m
@user-rt8ox1ht1m 8 күн бұрын
Kbsa ukianglia hki yko IPO hrf wanalet ubabaifu mwisho unachukua htua mkonon
@mamymoria4267
@mamymoria4267 6 күн бұрын
Kabisaa
@atuswegemposi1668
@atuswegemposi1668 10 күн бұрын
Mungu akubariki Neeema ya Mungu iwe juu Yako
@tresorkinyeshe6965
@tresorkinyeshe6965 10 күн бұрын
Muheshimiwa MAKONDA kweli mimi ni mkongomani DRC ila nakukubali sana na zidi kukuombeya duwa kwamungu azidi kukuzidishiya myaka nakupenda na nakukubali sana muheshimiwa
@MannesamEmmah
@MannesamEmmah 9 күн бұрын
Daaah!!!! Mungu amsaidie mtoto huyu aweze kutimiza malengo yake
@hassanalshaqsi6707
@hassanalshaqsi6707 13 күн бұрын
Your the best example they should all follow your strategy to help the nation Allah will reward you Hon.Makonda
@deodartngaiza6664
@deodartngaiza6664 12 күн бұрын
Hongera na kazi Mkuu, nakupongeza sana kwa namna unavyohidumia wananchi wenzetu. Asante sana Mh Makonda.
@neymantz
@neymantz 8 күн бұрын
Nimeumia kiukwel mungu aendeleee kukuhifadh mtu wa watu makonda🎉🎉🎉🎉 neyman tz🎉🎉🎉🎉🎉
@ramsojimmykelly3379
@ramsojimmykelly3379 9 күн бұрын
mahakimu wote kukumamee zenuuu....
@Ramakhanmalone-lz3qw
@Ramakhanmalone-lz3qw 7 күн бұрын
nakupenda sana makonda kwa kuwangalia matatizo ya wananchi,mungu akupe maisha marefu.
@reginamushi
@reginamushi 4 күн бұрын
Asante Rais Samia Suluhu Hasan kwa kutuchagulia kiongozi makini na mchapa kazi hakika huyu kijana anakuwakilisha vizuri sana! Laiti kwenye safu yako ya viongozi unaowateua ungekuwa nao kama Paul Makonda angalau wa 5 tuu❤
@annamtapila5761
@annamtapila5761 12 күн бұрын
😢😢😢 Haki ya watu iko wapi. Eee mwenyezi Mungu saidia watu wako wanyonge. Ahsante kiongozi kwa kuweka maisha na haki za watu mbele. Enyi polisi saidieni watu kwa haki huko vituoni. Mahakimu nanyi tendeni haki.
@habibuhabibu9728
@habibuhabibu9728 13 күн бұрын
Makonda endelea kua namoyo huo mungu akujalie akukinge nakila baya 🙏🏿🙏🏿
@EdithaNnko-fm6ph
@EdithaNnko-fm6ph 7 күн бұрын
Wakati Paschal Cassian anaimba Makonda ni kijana Jasiri sikimuelewa ila Sasa hv ndo naelewa. Mungu azidi kukutunza mheshimiwa
@marryjames-wl7be
@marryjames-wl7be 6 күн бұрын
Makonda yuko sahihi kwa nn mahakama haijafatilia ushahidi wa doctor alipima hadi kusema amebakwa mpaka akaandika dawa kwa nn mahakama imepuuza hivi vipimo na kusema huyu mama akawa anamtaka huyo mbakaji mweeee😢😢
@lilyshayo761
@lilyshayo761 11 күн бұрын
Jamani kuna maumivu nimelia Kama mzazi kuna maumivu jamani mungu mtunze MAKONDA na Kama
@ShamimHassan-qm1et
@ShamimHassan-qm1et 9 күн бұрын
Duh ila mttan kila mtu ana lake ni vile tu hawakupat wa kuwasikiliza mungu akubariki kiongoz kwa kuamua kuwasikiliza wananchi😢
@MariamJames-b5x
@MariamJames-b5x 12 күн бұрын
Mungu akubariki sana Mheshimiwa Makonda namungu akutie nguvu zaidi naulinzi, wasio kuwa napesa wanaonewa sana
@frankokenyamtumewaneema9179
@frankokenyamtumewaneema9179 4 күн бұрын
Makonda anatosha,anafuata nyayo za aliye kua kipenzi cha Tanzania magufuli🤗
@maniriyoali8675
@maniriyoali8675 13 күн бұрын
Mungu akubariki Kiongozi Mzuri kbs Mungu akuongoze kuenderea na kuwa Mu kweli Musema ukweli Mupenzi WA Mungu 😢
@henrymatebe
@henrymatebe 13 күн бұрын
Heee hivi unaelewa mada iliyopo hapo lakini?
@yasirfaisal9723
@yasirfaisal9723 13 күн бұрын
Kiwongozi gani huyo asiyo yatafakari statements za huyo maama huyo maama anataka kusaidiwa kumuleleya watoto ove which siyovibaya lakina asitake usaidizi Kwa kuwumiza mwengine
@MerlinaKubadesha
@MerlinaKubadesha 8 күн бұрын
Daaah amakweli maboy ni wanyama sana, mtoto kama huyo kweliii ,😢😢😢,pole sana mungu akuponye. Amen
@SixbertDamo
@SixbertDamo 12 күн бұрын
Mh makoda mungu akubariki sana mimi nipo mkoa wa mara lkn unafanya kazi ngumu sana wasaidie wanaoteseka nakuombea siku zote kwenye maisha yako,
@KitalambaMwinyimvuwa
@KitalambaMwinyimvuwa 8 күн бұрын
yaan utadhan mh Makonda Yuko nchi nyengine, hivi viongozi wengine mbona hata hawashughuliki na matatizo ya wananchi yanayowavunja migongo Yao!
@TheSalma1999
@TheSalma1999 7 күн бұрын
Umeona eh hata hawajali kabisa
@philipinamboya2204
@philipinamboya2204 10 күн бұрын
Mungu mlinde muheshimiwa makonda
@RuckieDady-gk3ph
@RuckieDady-gk3ph 10 күн бұрын
Muheshimiwa makonda ni mtu nanusu matunda ya baba ametuachia alama ❤
@MahdouMomba
@MahdouMomba 8 күн бұрын
Magufuli ametuachia alama sahihi kwa watanzania wote
@judicalosika7642
@judicalosika7642 5 күн бұрын
Uongozi ni mzigo
@judicalosika7642
@judicalosika7642 5 күн бұрын
​@@MahdouMombaprofile, profile, profile ✔️
@anthonymgina3893
@anthonymgina3893 11 күн бұрын
Makonda ni kiongozi sana na huruma tele mimi ninamwomba Mungu akulinde sana na akuepushe na shari yoyote, na iwe hivyo. Amina
@lucynkonya8709
@lucynkonya8709 8 күн бұрын
Kulaga uhangame Makonda kwa kazi nzuri na utume ulioitiwa na Mungu.
@danieljosephodada3195
@danieljosephodada3195 Күн бұрын
Mh Makonda Mungu akupe nafasi ya juu katika nchi hii
@HelmanDaud
@HelmanDaud 12 күн бұрын
Dah mweshimiwa mungu akulinde
@kyaro5945
@kyaro5945 13 күн бұрын
I lo❤ve you Makonda
@KatabaroCleophace
@KatabaroCleophace 12 күн бұрын
Makonda uwe Rais Sijawah kuona kiongozi kama wewe Tofauti na magufuli
@agnessangawe3844
@agnessangawe3844 12 күн бұрын
MH MAKONDA MUNGU AKUBARIKI. MASIKIO YAKO YAMESIKILIZA UCHUNGU MWINGI.
@JacksonEstomi
@JacksonEstomi 8 күн бұрын
Makonda chukua nchii ww raisi wa hii nchii unamaamuzi ya kifalme mkuu kuraaa yangu bilaa mjadala
@mpokimwakisimba692
@mpokimwakisimba692 6 күн бұрын
Nimeanza kumkubali sana Makonda. Mungu ampe ulinzi
@MerryUrio
@MerryUrio 11 күн бұрын
Mungu akulinde tuu maana wt awapend watu wenye msimamo ya kimungu mungu akulinde
@mpelienock
@mpelienock 4 күн бұрын
Mungu akusaidie RC ufikie wengi na kutoa suluhisho. Mungu akusaidie isiwe seasonal iwe endelevu na wawepo viongozi wengine wanaofuatilia kwa karibu na kutatua kero za wananchi. Mungu amponye mtoto kisaikolojia na kiafya. It hurts 😢
@user-yc1ef1mp3s
@user-yc1ef1mp3s 11 күн бұрын
Daah hatari Sana bila kujikaza yanatoka machoz ila yote MUNGU yupo na anayaona..
@AlexJackson-ig2yd
@AlexJackson-ig2yd 5 күн бұрын
Respect kwa Makonda na tu nakuamini kwa kazi nzuri pia tunakuomba kiongozi uzidi kuangalia kwa jicho la pili huu unyanyasaji wa kijinsia
@goodluckjohnuiso-gt1fg
@goodluckjohnuiso-gt1fg 13 күн бұрын
Si vizuri kumuanika huyo mtoto hadharani hivyo ni kzidi kumdhalilisha yangetengezwa mazingira rafiki kushughulikia hilo tatizo
@dickymediapro4179
@dickymediapro4179 11 күн бұрын
Ni kweli ila watu wamechokaa mno mana haki hazitendeki,wanajiamulia angalau wapate haki zao kwa namna yoyote wawezavyo
@SamwellubigisaLubigisa
@SamwellubigisaLubigisa 10 күн бұрын
Masikini! Mama anaeleza kwa masikitiko makubwa sana. MUNGU amsaidie sana
@teresiatemu4459
@teresiatemu4459 6 күн бұрын
Mungu akubariki Sana Mheahimiwa Makonda, nakukubali Sana, Tena sana
@GetrudesharifuMsuya
@GetrudesharifuMsuya 7 күн бұрын
Dunia imeisha jaman tulinde watoto si wakike wala wakiume😢😢😢😢😢
@magrethelias8734
@magrethelias8734 8 күн бұрын
Daaaaaah huyu mama kaniliza it so Painfully, Mungu saidia haki itendeke
@missarepafra3973
@missarepafra3973 4 күн бұрын
Yesu ulisema waleteni watoto wadogo waje kwangu, wala msiwazuie maana yake unawapenda sana. Kwa matendo haya ya ubakaji na ulawiti wa watoto, Mungu stroke, na maradhi yote yawe sehemu na ijara kwao sambamba na watendaji wanaotetea uovu huu. Mungu waweza kuwalinda watu wema na magonjwa na magonjwa mabaya yote yawapate wanaoratibu, wanaotenda na wanatetea uovu huo hapa nchini. Mungu uwe mtetezi wa watoto hawa. Maombi haya uyapokee Mungu, maana yanaumiza sana. Matendo haya ambayo msingi wake ni USHIRIKINA UGANGA NA UCHAWI kwa sehemu kubwa, yakomeshwe.
@user-pe9cl1bc7h
@user-pe9cl1bc7h 8 күн бұрын
Watu kama hao ni wanyama inafaa wauliwe....msenge kweli unabaka watoto wadogo
@rosemaryogallo4183
@rosemaryogallo4183 5 күн бұрын
Makonda l love you very much Mungu akubariki
@nurdinahmed9063
@nurdinahmed9063 8 күн бұрын
Yani wallahi wabillahi Mungu akupe maisha marefu makonda maana una roho ya uncle magufuli hakika wewe ni kiongozi bora
@MalimaDaudMunguibarikiSi-tl3ww
@MalimaDaudMunguibarikiSi-tl3ww 8 күн бұрын
Mungu akutie nguvu mkuu chapa kazi saidia wanyonge
@Mwaguntobi-ip1yi
@Mwaguntobi-ip1yi 7 күн бұрын
Pesa adui wa haki, Mungu jibu maombi yangu siku moja makonda awe Rais wa Tanzania
@frankmaeda4284
@frankmaeda4284 3 күн бұрын
Makonda adhihirisha wazi demokrasia haitendeki ila domokrasia
@paulinahussen9129
@paulinahussen9129 8 күн бұрын
Mungu baba wa yatima, mume wa wajane simama na watu wako ee Bwana
@user-sj1rf8ij7f
@user-sj1rf8ij7f 8 күн бұрын
Hii dunia tunapita mliopewa dhamana, Muwe na huruma hata kidogo wa Tanzania wa hari ya chini wanayeseka sana
@edinakyaruzi9226
@edinakyaruzi9226 8 күн бұрын
Kweli kubaka unakula pesa kubaka kweli tena katoto vipi maumivu ya mtoto uyo jamani haki ni muhimu
@mohammedmakarani2802
@mohammedmakarani2802 2 күн бұрын
Nice one R c makonda mungu atakuongoza
@zulfajuma6894
@zulfajuma6894 9 күн бұрын
Mungu ampe maisha marefu
@EmmanuelMurula
@EmmanuelMurula 9 күн бұрын
Mimi huwa naona ipo siku huyu makonda atakuja kuwa Rais wa Tanzania, hifazini hii comment mtaniambia hiyo siku ikifika
@KefaHamisi-k7x
@KefaHamisi-k7x 2 күн бұрын
😢😢 ila jamani kwa watoto mnatafuta nini
@samsonsanga4368
@samsonsanga4368 10 күн бұрын
Mkuu, Mungu akubariki San,,, ndo maana hata mm hutumia hyo lugha kwamba km kweli Mungu yupo. Umekuwa ukitatua matatizo ya wengi. Ninachoweza kusema nardia Imani yangu nikm yko,,, Yan km kweli Mungu yupo basi akupe maisha marefu San, ten San, maana huishi maisha ya kinafki unauishi ukweli mtupu, hakika una kitu ndani yko.
@marthamwampamba7127
@marthamwampamba7127 2 күн бұрын
Mungu akulinde
@husseinbachwa8372
@husseinbachwa8372 13 күн бұрын
Mungu mwenyezi akubariki mh Makonda hakika Kazi hii unayofanya inataka moyo saana....
@lilianevelyn6977
@lilianevelyn6977 Күн бұрын
Mtoto angefunikwa, kuna leo na kesho katika jamii, asije akaishi maisha ya kunyooshewa vidole ikamletea shida kisaikolojia. inasisimua
@judithkahise6451
@judithkahise6451 8 күн бұрын
Huyu ni Rais mtarajiwa mtetezi wawanyonge🙏
@DattiKassim
@DattiKassim 6 күн бұрын
Sahau
@z-1il
@z-1il Күн бұрын
Ni kweli kabisa mungu yupo na atamsaidia
@YefthaKornelio
@YefthaKornelio 12 күн бұрын
Hadi nimejikuta nalia mimi mwenyewe kwauchungu
@walterkiage6113
@walterkiage6113 9 күн бұрын
Ukeli Mungu yupo na wengi twajichongea motoni. Pongezi kwako kumtafutia mtoto haki.
@erickbarthazar9316
@erickbarthazar9316 4 күн бұрын
Huyu atakuwa Rais wajamuhuri ya Muungano wa Tanzania nimeota ndoto mara 3 Ile Ile Naimani itatimia 🙏
@ScolaMwansasu
@ScolaMwansasu 8 күн бұрын
Mungu akulinde akutunze najua mama anakuuamini ndio maan uko hapo baba utunzwe nabMungu
@hidayaswai3119
@hidayaswai3119 3 күн бұрын
Mishetani ya namna hiyo hata hofu ya Mungu haina. Tunafuga watu wa hovyo sana hata jamii zetu.
@godlovechaula7635
@godlovechaula7635 9 күн бұрын
Anacho kufanya Makonda kinatakiwa kuigwa naviongozi Kwa kusikiliza kero za watu
@neemanjau8648
@neemanjau8648 11 күн бұрын
Kwanini mmeonesha sura ya mtoto, hamjui sheria na haki za watoto? Atakua mtu mzima yamkini hatotaka hii historia ijulikana wengine wataifanya kama fimbo
@NewMarathon
@NewMarathon 12 күн бұрын
Dah yan nimetika machozi najivunia kuw muislam makanda aijajua din yako lakin allah akulinde sana maana ni vita na maadui hongera sana broo
@Umuhili_Ngendo
@Umuhili_Ngendo 11 күн бұрын
Sasa uislam unefikaje hapa??
@theopistachialo6750
@theopistachialo6750 10 күн бұрын
​@@Umuhili_NgendoNashangaa
@JULIUSNCHAGWA
@JULIUSNCHAGWA 10 күн бұрын
Hapa ndo mahali nawadharau Waislamu mnakuaga na mawenge Yan kila kitu mnaweka udini mbelee
@FrankPhilimon-e3n
@FrankPhilimon-e3n 4 күн бұрын
Mwenyezi Mungu akutie nguvu mh. Makonda
@TynerGodfrey
@TynerGodfrey 10 күн бұрын
Mungu akulinde makonda
@EduLimika
@EduLimika 7 күн бұрын
So painful, my God, this is so bad. Tanzanians you can do better. This is unacceptable
@MiliyaMhehe
@MiliyaMhehe 9 күн бұрын
Ubarikiwe sana
@user-nf1tg3kt3y
@user-nf1tg3kt3y 13 күн бұрын
Mkuu wa kituo Cha polisi Tengeru ndio tatizo kwa sababu hata RB amesema alipewa feki baadae kaenda kapewa original na mahakama pia imemnyima haki huyo mtoto
@anointedhandmaiden5261
@anointedhandmaiden5261 11 күн бұрын
I hurt deeply for the little one. May justice prevail in Jesus Name
@ezekielmadindula2679
@ezekielmadindula2679 13 күн бұрын
Hongera mkuu wa mkoa Arusha ❤
@JeannetteUwamwezi
@JeannetteUwamwezi 8 күн бұрын
Oooohhh nimeumia jamani hivi kweli mahakama kama hiyo imechunguza au wamekura rushwa
@omariselemani6578
@omariselemani6578 13 күн бұрын
Nihatari sana tanzania Jamani
@jasirimjasirimedia7940
@jasirimjasirimedia7940 11 күн бұрын
My leader makonda Mungu akusimamie
@malcomx4067
@malcomx4067 3 күн бұрын
Hii story inatia huzuni, yaani nimelia kanakeamba huyu mama ni mzazi wangu. Hii nchi inaitaji wakina Makonda 5.
@sturbbornvideoz8547
@sturbbornvideoz8547 8 күн бұрын
Pole bibi 😭 the world is so cruel wallah
@AlexJackson-ig2yd
@AlexJackson-ig2yd 5 күн бұрын
Mungu akupe hakili kama za Sulemani chief wetu Makonda because you are leader but not ruler maana na ruler wanajipenda wenyewe kulikokuwapenda wanaowaongoza.
@godymbanyi1878
@godymbanyi1878 11 күн бұрын
Wanyonge wanaumizwa Sana nchi hii! Hongera RC
@user-ct1lf6ox4t
@user-ct1lf6ox4t 8 күн бұрын
Hongera muheshimiwa kwa kazi ila mimi ningeomba wahusika waliopotosha haki za mtoto huyo Salma wawe wa kwanza kuwajibishwa iwe funzo kwa watenda kazi wengine wapenda rushwa
@RooneyKonga-qd4oo
@RooneyKonga-qd4oo Күн бұрын
Mheshimiwa makonda tunakushukuru sanasana watu wanateseka sana wanyonge hivi watu wanaofanya vitendo hivyo hawamwogopi Mungu kweli akatendewe watoto wake atafurahi kweli
@philomenastephen3364
@philomenastephen3364 12 күн бұрын
MHESHIMIWA MAKONDA UNABII ULIOPEWA ZAMANI UTARIMIA. MAANA NAONA UTAKUWA KIONGOZI MKUBWA WA TAIFA KAMA ALIVYONENA MTUMISHI. SIJUI KAMA UNAKUMBUKA UNABII HUO. MUNGU AKUTUNZE KWA KUTETEA WANYONGE.
@Asha-yn4bu
@Asha-yn4bu 6 күн бұрын
Wallahi huyu bibi ameniliza all the way from U.K
@CastoSungununu
@CastoSungununu 10 күн бұрын
Tuwe na Imani vijana tusiaribu vizazi vipya ni taifa la kesho
@edinakyaruzi9226
@edinakyaruzi9226 8 күн бұрын
Kweli kabisa watoto wa nini jamani majidada mengi sana Yana taka miguu ya bandia hata bure watoto wa nini
@user-wp2dc3dr3w
@user-wp2dc3dr3w 9 күн бұрын
Watz mko nawa tetezi sio kma kwetu Kenya aki😢😢😢
@paulinekamau9633
@paulinekamau9633 7 күн бұрын
Wa Tanzania make kama wakenya‼️ chomeni huyo mbakaji ‼️
WHO LAUGHS LAST LAUGHS BEST 😎 #comedy
00:18
HaHaWhat
Рет қаралды 23 МЛН
Scary Teacher 3D Nick Troll Squid Game in Brush Teeth White or Black Challenge #shorts
00:47
PENZI LA MTOTO WA BOSS 💞 NA DADA WA KAZI  | Love Story
40:44
Maamuzi magumu aliyowahi kuyafanya Rais Magufuli katika uongozi wake
12:53
Mwananchi Digital
Рет қаралды 576 М.