Wewe ni mpumbavu Sanaa. Vijana Watanzania hakuna mnachokijuwa zaidi ya matusi na kuvuta bangi.
@charlesrimiru9301Ай бұрын
Kenya my country, si mtupee huyu siku moja tu ? anaongelesha nani hivyo ? mshahara anapewa ni kodi yenu.
@timothykaiza327Ай бұрын
Naona unaongeanao kama wanao, kwel ma TZ nimasenge na yametuliiia 😂😂😂
@JackKanyigo21 күн бұрын
🤣🤣🤣🤣 WTz ni kama myumbu Simba mmoja anatawanya nyumbu 100000
@isackmosha4283Ай бұрын
Punguza ukali wa maneno mkuu. Omba hekima kwa Mwenyezi Mungu
@magigesabai8674Ай бұрын
Chalamila safi sana angekua anagombezwa mtumishi wa umma mngeshangilia sana sasa kwenu mnatia huruma
@AndrewBakariАй бұрын
Eti eneo la serikali serikali ilinunua wapi ilo eneo mwenye ardhi ulimwengu mzma ni MUNGU pekee serikali mnatumia elimu yenu na vyeo vyenu vibaya mara ya mwisho nakumbuka interview ya shujaa wetu magufuri alimuita alie kua makamu wake ikulu pamoja na waziri wa Tami semi akiwasisitiza kuhusu wa machinga na kipindi hicho MTU mwenye wazfa wa uongozi region commissioner makonda mwamba alikua hapa Dar ila sasa😢😢😢😢
@japhetaverin-ou9rp29 күн бұрын
Etii nimeacha kaz zangu kaz yako si ndio hiyo ,😔tumia busara hiko cheo kisikupe jeuri
Ongea kwa nidhamu nzuri kiongozi hao ni binadamu. Acha udicteta wa madaraka.
@BetySanga25 күн бұрын
Wewe chalamila wakawaida sana hata elimu uliyonayo kunawatu wamekuzidi hao unao wafokea hao kafoke malangali kwenu
@ilynpayne7491Ай бұрын
Maneno makali mno sjawahi ona daah 😢
@user-yl5ol4ke9nАй бұрын
APA pana shida ningekua na weza samia ninge mwambie APA afanye uteuzi upya
@naldcleverАй бұрын
Daah nmekosa cha kucoment..... Ivi hii Nchi ni ya Watanzania au niya viongozi ambao watanzania tumewapa hayo mamlaka ??
@johnsenzighe408618 күн бұрын
Mungu amenionesha utawala wako unakaribia kufika mwisho.
@sheehamadnganzi8317Ай бұрын
Ungekua Kenya wewe ungekua kazi hauna kwa kuwadharau wananchi😂😂😂
@IddyAmir-gq1jrАй бұрын
Kenya hakuna hakuna Askari eti
@linnerphilip4260Ай бұрын
Hajui kujicontrol nilimuona kariakoo .... Kiingereza cha nn sasa hapo makonda atakumbukwa
@user13375Ай бұрын
Mtanikumbuka RIP magufuli
@NixonJohnson-r4m25 күн бұрын
Huyo ni kichaaaa
@noahemanuel7015Ай бұрын
Wanaume wa Dar Kama kawaida yao😂😂😂
@dancerboy268629 күн бұрын
😂😂
@user-od8tg1yt3gАй бұрын
tanzania wananchi wake ni maiti
@user-nk9jt7qo1j21 күн бұрын
Mama kama ww nirais wwtu kweli huyu hafai kabisa weka kulee 😮😮 kiongozi hafai hana busara hana kauli nzuri kwaraia hata kwawakubwa waliomzidi. Hafaii kabisa kiongozi namna hiii hana sifa zakuwa kiongozi huyu
@msafirimhagama6445Ай бұрын
Hata sisi hatukuogopi bhana
@noelbryson7840Ай бұрын
Hapa kiongozi hatuna 😢
@BeniJohn-xd3cnАй бұрын
Ndiyo maana kaletwa Dar ili akutane na wenzake wanaelewana wanatuchanganya
@JackKanyigo21 күн бұрын
Hata Wananchi ni viraza
@Rwambo-wn7sh15 күн бұрын
Mbwa kabisa uyu chalamila
@kadokemarco9966Ай бұрын
Kiufupi huwezi kushindana au kupigana na serikali ukashinda. Njia pekee ya kupigana na serikali ni kwenye uchaguzi na kupiga kura basi.
@HasnspopАй бұрын
😂😂😂😂
@adamhashim3352Ай бұрын
Umepiga kura mara ngp
@user-to6cg8uf3fАй бұрын
Kura ambazo wanaiba wapendavyo?
@LumolaStevenАй бұрын
Fuatilia vizuri historia zipo Serikali nyingi sana Duniani ziliondolewa na wananchi kwa njia ya maandamano na migomo. CHA-LAMI-LA aache kiburi hakuna Kiongozi aliyewahi kuwa na kiburi hapa Duniani na akawa na mwisho mwema.
@NgunoSangano19 күн бұрын
Jamen muogope mungu hiyo ni dhamana tu ulaniwe
@user-sj3wf5vz7l11 күн бұрын
Ni kweli hapo pana soko na wafanyabiashara walitolewa ubungo mataa wakaletwa hapo . Walianza hapo hapakuwa na watu mpaka pamechangamka. Chalamila na hao wafanyabiashara ni wako pia
@AwazAwaz-n7h19 күн бұрын
Wew ni mbwa
@user-jd5mn9sm9nАй бұрын
Ndyo utishie watu wamejisahau sana ongea na watu wa kuelewe
@hakeemwamahoro514419 күн бұрын
Tanzania ni nchi ya viongozi si nchi ya wananchi kiongozi kama uyu Chalamila afai kuwa kio gozi vitisho hekima,busara hana mama Samia uyu afai mtoe uyu anachafua chama cha CCM
@SafaryValentineyАй бұрын
Tumeipenda wenyewe
@user-hb8er6dq2q22 күн бұрын
Matanzania ni manoyaaaaa sanaaaaa
@user-sj3wf5vz7l11 күн бұрын
Lakini maeneo yote si ya serikali? Lakini kuna namna yakuongea na wafanyabiashara kwa sababu na wao ni sehemu ya serikali
@dancerboy268629 күн бұрын
kavuluge matako yko, unalipwa mxhahara kwa kodi za hao unaowafokea kama watoto
@frankkidenyaАй бұрын
Boss pekee anayeweza kuwafokea wajili wake ni mwalimu TU nyii wengine aaah
@LumolaStevenАй бұрын
Nimeipenda hii
@user-fk8yp7ow7n21 күн бұрын
Acheni ubabe kwa wananchi tanzania ni ya wote na wewe kiongozi paspo wananchi utamuongoza nani acheni ubabe!
@abiboseleman164913 күн бұрын
Pumbavu sana hawa watu unajua kuna watu wanawake nyumban na watoto ila wakifikaga mjini wanakua kama mazuzu hv
@stephenwakunyala400422 күн бұрын
Uongozi ni Kipaji ila kwa huyu Chalamila kauli zake sio za kiungwana kabisa
@user-il5pk2dr5n25 күн бұрын
Binafsi ningekuwa nipo na ofisi hapo ningejiondoa mapema si kwaukali huu..
@rashidsaid6015Ай бұрын
Mkuu wa mkoa unalindwa na aliekuteua tu vinginevyo hatukutaki na hutufai mungu skia kilio chetu
@user-nk9jt7qo1j21 күн бұрын
Huyu anahitaji apimwe suti maaaana hana sifaa yauongozi. Kwaraiya tu nihivi huko kwake mkewe hampigi kweli huyu sifa sana mama ww niraisi wetu tuondoleee huyu mtuu hana utu hata kudogo hawa ndio wanaokuchafua ww
@toshindugwa108525 күн бұрын
Acha ubabe wa kulitumia jeshi la polisi kwa vitisho, kuna kuchoka kwa lolote kutoweka kwa amani kuna chanzo.na uenda chanzo zinaweza zikawa kauli za viongozi kama hawa wanaolewa madaraka
@ShafiiTanziluАй бұрын
Yaana Hadi uruma jaman nawaonea huru duh wafa yabiashara jaman
@SuzanGabriel-tp2cx28 күн бұрын
Tundu lisu akisema kuna viongozi wa hovyo amuelewi pigeni chini ma CCM yote. Magufuli mwenyewe alisema changua Magufuli, kafa majambazi yapo kazini kazi kuiba.awajali wananchi wala nini.
@ValentiniAveliniКүн бұрын
Magufuli siyo kwamba alimuonea kumtoa kwenye uongozi ana akili ya uongozi
@AbdulhaamidSoudАй бұрын
Huo sio utawala Bora viongozinwa CCM acheni umungu watu
@johnsenzighe408618 күн бұрын
Kumbuka cheo ni dhamana
@mwitamalwa277322 күн бұрын
Huyu so kiogoz wakuogoza watu jamaniiiiii duuuh mkuu wamkoaa unaogea iv kwel
@pendorichard2986Ай бұрын
Hawa ndio viongozi wa tanzania , imagine we chalamila hujua wananchi ndio mabos wako? Yaani huna hekima wapa busara kabisa katika kuongea kwako , kifupi huna sifa za kiongozi kabisa , unatoaje lugha mbaya kwa wafanyabiashara tena wanaokupa ulaji
@yahyahamisi2038Ай бұрын
Hivi wa Tanganika aliyeturoga ni nani ni Wazanzibari, wazanzibara au kamwene 😮 nyambafu zetu CCM oyyeee nyambafu zetu tihamie Zanzibar labda titatosha 😂😂 😂😂😂
@user-hb8er6dq2q22 күн бұрын
Ww Fara tu uongozi ni temporary job tuuuuu ushamba mwingi nchi hii cio ya mamako ww
@michaelnehemia4932Ай бұрын
Mkuu umechemsha hizi no Mali zetu via hiko cheo unkua mwananchi wakawaida Sana tu
@leonardbarber9778Ай бұрын
Matusi sio mazur kwa MTU mzima na familia zao
@gasperswai696329 күн бұрын
Mhe mkuu wa mkoa kuwa makini saana unaongea na wananchi, huo unaongea nayo ndio wapiga kura usijisahau unapongea na wananchi, kenya walivumilia hivyohivyo tumia diplomasia kuongea na wananchi lugha mbaya ambayo siyo ya kiongozi
@user-sj3wf5vz7l11 күн бұрын
Ila hapo si soko. Na kuna watu au ni wapi hapo?
@antonjohn134Ай бұрын
Apa kiongozi Amna ubabe sio kuongoza na siku zako chache apo dar
@almarwazyahaythamy4905Ай бұрын
Sauti ya kimamlaka!!
@alexsimon557617 күн бұрын
Mtu hawezi kuanza hivyo akaongea vya mbolea
@EmmanuelNyinyigwaАй бұрын
Watanzani bwana yani kama dog kaona chatu wote kmya 😅
Hao siyo watoto wako wanahak na nchi yao ach ubabe wakijinga
@lovenessvisent940820 күн бұрын
Chalamila huna sifa ya kuwa kiongoz unaongea kama mlevi wewe ni jipu naomba bi mkubwa akuone
@hamadsaburi3569Ай бұрын
Kura zenu ndio jibu lenu
@chembejohn9605Ай бұрын
KWANZA amenivuragah kisaikolojia....😂😂😂.wabongo bAdo ..
@aliakrabi8321Ай бұрын
eti ameacha ubabe....!
@valenakomba921825 күн бұрын
HATUTAKI UDIKITETA TANZANIA.
@KhamisBossАй бұрын
Safi san mkuu WA mkoa Kwa ujinga tulipnao ngoja tuburuzwe ili tuwe na akili
@williamsunday-yg2bzАй бұрын
Ni suala la elimu kwa wananchi! Ardhi yote ni mali ya serikali, wewe mwananchi ni mpangaji tu! Huwezi kumgomea mwenye mali yake.
@bakarimwanjano730Ай бұрын
Heshima ndio kitu muhimu sana
@shaabanabdulrahman9458Ай бұрын
Watafutieni wafanya biashara wadogo njia kabla ya kuwanyang'anya , acheni ubabe wa madaraka wakati utafika na nyie mtakuwa mtaani .😊
@user-rz1bj1yj3zАй бұрын
Uyu siku zake zinahesabika
@msafirimhagama6445Ай бұрын
Hata sisi hatuna woga acha kututisha ipo siku mtakimbia spidi kama majirani
@yohanamugini388225 күн бұрын
😂😂huyu jamaa jau
@bakarimwanjano730Ай бұрын
Migomo sio solution ya tatizo
@janethferousАй бұрын
Uyu siku tumzibue wananchi adi aone maruelue ngurue wew
@batashqiraa9936Ай бұрын
Rc chalamila acha kutukana watu, kuna wengine wanakuzidi umri, k8ongozi unatumiaje maneno machafu ya kibabe, kiongozi unayeongoza watu hupaswi kuongea maneno ya pumba kwa kutisha watu
@michaelsamson9663Ай бұрын
Ndio Mana mnalogwaga ao niwatu wazima wanafamilia zao waskilize wape utalatibu mzuli waishi
@Ba63828Ай бұрын
Inakuwaje karakana kuwa ktkt ya taasisi za serikali? Kuna TCRA, Law School, Hali ya Hewa n.k. Kwanini isitafutwe eneo Kibaha yenye maeneo ya wazi mengi? Hio karaķana ya DART itasababisha traffic jam no doubt.
@robertedward1992Ай бұрын
Kumbuka hiyo kauri au hiyo pumzi kunasiku itakata
@Kijana-wa-TanzaniaАй бұрын
Umeacha kazi zako tulizokupa na tunakulipa mpuuzi ww! Wewe zuzu kweli kama watu wakidai haki zao unadhani ni uhaini mjinga wewe. Wewe kiongozi labda wa familia yako zuzu wewe. Dar unakaa kuharibu tu hamna lolote. Eti uwe na eneo lako ujenge frame; huyu zuzu anajisikia kweli? Alafu serekali ni nani mpuuzi ww?
@easternyerembe7271Ай бұрын
Nashindwa kukoment, ila dah
@richarddavidmkАй бұрын
Unatumia mda mwingi kuongea mambo yako
@tumvisiagekonga2142Ай бұрын
Daah poleni wafanyabiashara, kwa changamoto
@sirmungureombeni421829 күн бұрын
Matumizi mabaya ya mamlaka
@hamadsaburi3569Ай бұрын
Nchi si yako wala si yenu peke yenu tanzania ni yetu watanzania woote
@henrysangiwa1731Ай бұрын
Kwanini karakana isijenge nje ya mji ? Kerege , mapinga, chalinze , mbagala kulekea mtwara kote Kuna mapori vargin kabisa wakae huko
@mwitaprotus7649Ай бұрын
😂zakayo alikua hivyo ila alibadilika baada ya yes kumpa somo sasa wakina zakayo ata huku kwetu wapo sio kenya 🇰🇪 tu
@BeniJohn-xd3cnАй бұрын
Wanapita maji kwa kutupa jiwe au kupima kwa mti na wameona maji Yana kasi kubwa wametulia kama nyauu😂😂😂
@ernestsinje9700Ай бұрын
Huyu hafai kuwa mkuu wa mkowa wa Daressalaam Hana busara hata kidogo ,dharau Lugha isiyofaa nini hiki ?Maneno ya matusi Upumbavu ndiyo nini? MAMA SAMIA HAWA VIONGOZI ....something is wrong !uongozi huu wa kudharau watu na matusi I Don't like it hii nini? Au ndio uongozi mpya ?huwezi kutukana watu na kuwa na dharau kiadi hiki!
@kingxule6562Ай бұрын
tayar tumechachua tuko wa moto😂😂
@MajidMajid-ll8mfАй бұрын
Huna hekima
@AbuubakarKibelaАй бұрын
Acha ujinga wako huo hao ni wnanch walioichagua iyo serekali ilioyopo madakaran kwa kuwa wew unatmbelea v8 au vipi
@chacha-255Ай бұрын
🍁🍁
@fanuelkatoto8913Ай бұрын
Hakyamungu viongozi tunao
@abdullramadhanii626Ай бұрын
Amaniii yetu tuilindeee jamanii
@4karimu_Ай бұрын
We mpumbavu nini unaongea na wananchi sio demu wako mweu weww
@KarumeKindamba-lk1pxАй бұрын
Mimi ninaamini ujumbe wa mkuu mkoa ni changamoto kwa viongozi wa machinga Dar ni vema kuwaandaa kuhama kwa amani na kutafuta suluu la muda mrefu.Miaka miwili iliyopita jamii ya wamachinga wamepoteza mali zao,wametengana na wake au wapenzi wao, wamefilisiwa mali walizochuma,wachache wamekufa au kujaribu kujiuwa,wametengwa kwasababu ya kufilisika au kuyumba kimapato n.k.Ni wakati umefika wakuwatoa wamachinga ktk sehemu ambazo ni mali ya jamii na kuwapeleka ktk nchi ya ahadi.Musa alifanya kwa wana wa Israel bila ya kuandamana au kufunga barabara.Wapo wataalam wa fedha,mipango miji,wamasoko nk mkiwatumia mtavusha jamii kubwa ya machinga ambao ni injini ambayo baadhi ya wanasiasa na wafanyabiashara wanaidharau.Amini,amini ninawambia masikini wakiwa wengi na matajiri wachache bunduki,mabomu,risasi,mbwa,nyaya za umeme,milango ya chuma n.k haitasaidia kuwazuwia masiki waliowengi.
@YohanaMwakajeАй бұрын
Sasa mbona una fika kuwa na hekima Kuna wazee hapo nchi yetu sote kama umetumwa ila mwakan tuta kutana na tulio Wacha gua ww si ume teuliwa sawa