No video

RC CHAMILA AKASIRIKA, WAFANYABIASHARA WA SIMU 2000 WAMKERA “NITAWAVURUGA, NITAONDOKA NA NINYI”

  Рет қаралды 12,981

Millard Ayo

Millard Ayo

Ай бұрын

Пікірлер: 151
@IsmailKidongo
@IsmailKidongo 26 күн бұрын
Watanzania wasenge sana wanatishwa Kama watoto
@valenakomba9218
@valenakomba9218 25 күн бұрын
Wewe ni mpumbavu Sanaa. Vijana Watanzania hakuna mnachokijuwa zaidi ya matusi na kuvuta bangi.
@charlesrimiru9301
@charlesrimiru9301 Ай бұрын
Kenya my country, si mtupee huyu siku moja tu ? anaongelesha nani hivyo ? mshahara anapewa ni kodi yenu.
@timothykaiza327
@timothykaiza327 Ай бұрын
Naona unaongeanao kama wanao, kwel ma TZ nimasenge na yametuliiia 😂😂😂
@JackKanyigo
@JackKanyigo 21 күн бұрын
🤣🤣🤣🤣 WTz ni kama myumbu Simba mmoja anatawanya nyumbu 100000
@isackmosha4283
@isackmosha4283 Ай бұрын
Punguza ukali wa maneno mkuu. Omba hekima kwa Mwenyezi Mungu
@magigesabai8674
@magigesabai8674 Ай бұрын
Chalamila safi sana angekua anagombezwa mtumishi wa umma mngeshangilia sana sasa kwenu mnatia huruma
@AndrewBakari
@AndrewBakari Ай бұрын
Eti eneo la serikali serikali ilinunua wapi ilo eneo mwenye ardhi ulimwengu mzma ni MUNGU pekee serikali mnatumia elimu yenu na vyeo vyenu vibaya mara ya mwisho nakumbuka interview ya shujaa wetu magufuri alimuita alie kua makamu wake ikulu pamoja na waziri wa Tami semi akiwasisitiza kuhusu wa machinga na kipindi hicho MTU mwenye wazfa wa uongozi region commissioner makonda mwamba alikua hapa Dar ila sasa😢😢😢😢
@japhetaverin-ou9rp
@japhetaverin-ou9rp 29 күн бұрын
Etii nimeacha kaz zangu kaz yako si ndio hiyo ,😔tumia busara hiko cheo kisikupe jeuri
@daudimchileg307
@daudimchileg307 Ай бұрын
Chalamila unadharau weee kijana daaah,
@Eliasmarwaturuka
@Eliasmarwaturuka Ай бұрын
Hakuna kiongozi hapa umbwa mbona ushonga umeshidwa kukemea,,walikuwepo zaidi yako umbwa ww
@AlhajiIssa-jb9hr
@AlhajiIssa-jb9hr 19 күн бұрын
Ongea kwa nidhamu nzuri kiongozi hao ni binadamu. Acha udicteta wa madaraka.
@BetySanga
@BetySanga 25 күн бұрын
Wewe chalamila wakawaida sana hata elimu uliyonayo kunawatu wamekuzidi hao unao wafokea hao kafoke malangali kwenu
@ilynpayne7491
@ilynpayne7491 Ай бұрын
Maneno makali mno sjawahi ona daah 😢
@user-yl5ol4ke9n
@user-yl5ol4ke9n Ай бұрын
APA pana shida ningekua na weza samia ninge mwambie APA afanye uteuzi upya
@naldclever
@naldclever Ай бұрын
Daah nmekosa cha kucoment..... Ivi hii Nchi ni ya Watanzania au niya viongozi ambao watanzania tumewapa hayo mamlaka ??
@johnsenzighe4086
@johnsenzighe4086 18 күн бұрын
Mungu amenionesha utawala wako unakaribia kufika mwisho.
@sheehamadnganzi8317
@sheehamadnganzi8317 Ай бұрын
Ungekua Kenya wewe ungekua kazi hauna kwa kuwadharau wananchi😂😂😂
@IddyAmir-gq1jr
@IddyAmir-gq1jr Ай бұрын
Kenya hakuna hakuna Askari eti
@linnerphilip4260
@linnerphilip4260 Ай бұрын
Hajui kujicontrol nilimuona kariakoo .... Kiingereza cha nn sasa hapo makonda atakumbukwa
@user13375
@user13375 Ай бұрын
Mtanikumbuka RIP magufuli
@NixonJohnson-r4m
@NixonJohnson-r4m 25 күн бұрын
Huyo ni kichaaaa
@noahemanuel7015
@noahemanuel7015 Ай бұрын
Wanaume wa Dar Kama kawaida yao😂😂😂
@dancerboy2686
@dancerboy2686 29 күн бұрын
😂😂
@user-od8tg1yt3g
@user-od8tg1yt3g Ай бұрын
tanzania wananchi wake ni maiti
@user-nk9jt7qo1j
@user-nk9jt7qo1j 21 күн бұрын
Mama kama ww nirais wwtu kweli huyu hafai kabisa weka kulee 😮😮 kiongozi hafai hana busara hana kauli nzuri kwaraia hata kwawakubwa waliomzidi. Hafaii kabisa kiongozi namna hiii hana sifa zakuwa kiongozi huyu
@msafirimhagama6445
@msafirimhagama6445 Ай бұрын
Hata sisi hatukuogopi bhana
@noelbryson7840
@noelbryson7840 Ай бұрын
Hapa kiongozi hatuna 😢
@BeniJohn-xd3cn
@BeniJohn-xd3cn Ай бұрын
Ndiyo maana kaletwa Dar ili akutane na wenzake wanaelewana wanatuchanganya
@JackKanyigo
@JackKanyigo 21 күн бұрын
Hata Wananchi ni viraza
@Rwambo-wn7sh
@Rwambo-wn7sh 15 күн бұрын
Mbwa kabisa uyu chalamila
@kadokemarco9966
@kadokemarco9966 Ай бұрын
Kiufupi huwezi kushindana au kupigana na serikali ukashinda. Njia pekee ya kupigana na serikali ni kwenye uchaguzi na kupiga kura basi.
@Hasnspop
@Hasnspop Ай бұрын
😂😂😂😂
@adamhashim3352
@adamhashim3352 Ай бұрын
Umepiga kura mara ngp
@user-to6cg8uf3f
@user-to6cg8uf3f Ай бұрын
Kura ambazo wanaiba wapendavyo?
@LumolaSteven
@LumolaSteven Ай бұрын
Fuatilia vizuri historia zipo Serikali nyingi sana Duniani ziliondolewa na wananchi kwa njia ya maandamano na migomo. CHA-LAMI-LA aache kiburi hakuna Kiongozi aliyewahi kuwa na kiburi hapa Duniani na akawa na mwisho mwema.
@NgunoSangano
@NgunoSangano 19 күн бұрын
Jamen muogope mungu hiyo ni dhamana tu ulaniwe
@user-sj3wf5vz7l
@user-sj3wf5vz7l 11 күн бұрын
Ni kweli hapo pana soko na wafanyabiashara walitolewa ubungo mataa wakaletwa hapo . Walianza hapo hapakuwa na watu mpaka pamechangamka. Chalamila na hao wafanyabiashara ni wako pia
@AwazAwaz-n7h
@AwazAwaz-n7h 19 күн бұрын
Wew ni mbwa
@user-jd5mn9sm9n
@user-jd5mn9sm9n Ай бұрын
Ndyo utishie watu wamejisahau sana ongea na watu wa kuelewe
@hakeemwamahoro5144
@hakeemwamahoro5144 19 күн бұрын
Tanzania ni nchi ya viongozi si nchi ya wananchi kiongozi kama uyu Chalamila afai kuwa kio gozi vitisho hekima,busara hana mama Samia uyu afai mtoe uyu anachafua chama cha CCM
@SafaryValentiney
@SafaryValentiney Ай бұрын
Tumeipenda wenyewe
@user-hb8er6dq2q
@user-hb8er6dq2q 22 күн бұрын
Matanzania ni manoyaaaaa sanaaaaa
@user-sj3wf5vz7l
@user-sj3wf5vz7l 11 күн бұрын
Lakini maeneo yote si ya serikali? Lakini kuna namna yakuongea na wafanyabiashara kwa sababu na wao ni sehemu ya serikali
@dancerboy2686
@dancerboy2686 29 күн бұрын
kavuluge matako yko, unalipwa mxhahara kwa kodi za hao unaowafokea kama watoto
@frankkidenya
@frankkidenya Ай бұрын
Boss pekee anayeweza kuwafokea wajili wake ni mwalimu TU nyii wengine aaah
@LumolaSteven
@LumolaSteven Ай бұрын
Nimeipenda hii
@user-fk8yp7ow7n
@user-fk8yp7ow7n 21 күн бұрын
Acheni ubabe kwa wananchi tanzania ni ya wote na wewe kiongozi paspo wananchi utamuongoza nani acheni ubabe!
@abiboseleman1649
@abiboseleman1649 13 күн бұрын
Pumbavu sana hawa watu unajua kuna watu wanawake nyumban na watoto ila wakifikaga mjini wanakua kama mazuzu hv
@stephenwakunyala4004
@stephenwakunyala4004 22 күн бұрын
Uongozi ni Kipaji ila kwa huyu Chalamila kauli zake sio za kiungwana kabisa
@user-il5pk2dr5n
@user-il5pk2dr5n 25 күн бұрын
Binafsi ningekuwa nipo na ofisi hapo ningejiondoa mapema si kwaukali huu..
@rashidsaid6015
@rashidsaid6015 Ай бұрын
Mkuu wa mkoa unalindwa na aliekuteua tu vinginevyo hatukutaki na hutufai mungu skia kilio chetu
@user-nk9jt7qo1j
@user-nk9jt7qo1j 21 күн бұрын
Huyu anahitaji apimwe suti maaaana hana sifaa yauongozi. Kwaraiya tu nihivi huko kwake mkewe hampigi kweli huyu sifa sana mama ww niraisi wetu tuondoleee huyu mtuu hana utu hata kudogo hawa ndio wanaokuchafua ww
@toshindugwa1085
@toshindugwa1085 25 күн бұрын
Acha ubabe wa kulitumia jeshi la polisi kwa vitisho, kuna kuchoka kwa lolote kutoweka kwa amani kuna chanzo.na uenda chanzo zinaweza zikawa kauli za viongozi kama hawa wanaolewa madaraka
@ShafiiTanzilu
@ShafiiTanzilu Ай бұрын
Yaana Hadi uruma jaman nawaonea huru duh wafa yabiashara jaman
@SuzanGabriel-tp2cx
@SuzanGabriel-tp2cx 28 күн бұрын
Tundu lisu akisema kuna viongozi wa hovyo amuelewi pigeni chini ma CCM yote. Magufuli mwenyewe alisema changua Magufuli, kafa majambazi yapo kazini kazi kuiba.awajali wananchi wala nini.
@ValentiniAvelini
@ValentiniAvelini Күн бұрын
Magufuli siyo kwamba alimuonea kumtoa kwenye uongozi ana akili ya uongozi
@AbdulhaamidSoud
@AbdulhaamidSoud Ай бұрын
Huo sio utawala Bora viongozinwa CCM acheni umungu watu
@johnsenzighe4086
@johnsenzighe4086 18 күн бұрын
Kumbuka cheo ni dhamana
@mwitamalwa2773
@mwitamalwa2773 22 күн бұрын
Huyu so kiogoz wakuogoza watu jamaniiiiii duuuh mkuu wamkoaa unaogea iv kwel
@pendorichard2986
@pendorichard2986 Ай бұрын
Hawa ndio viongozi wa tanzania , imagine we chalamila hujua wananchi ndio mabos wako? Yaani huna hekima wapa busara kabisa katika kuongea kwako , kifupi huna sifa za kiongozi kabisa , unatoaje lugha mbaya kwa wafanyabiashara tena wanaokupa ulaji
@yahyahamisi2038
@yahyahamisi2038 Ай бұрын
Hivi wa Tanganika aliyeturoga ni nani ni Wazanzibari, wazanzibara au kamwene 😮 nyambafu zetu CCM oyyeee nyambafu zetu tihamie Zanzibar labda titatosha 😂😂 😂😂😂
@user-hb8er6dq2q
@user-hb8er6dq2q 22 күн бұрын
Ww Fara tu uongozi ni temporary job tuuuuu ushamba mwingi nchi hii cio ya mamako ww
@michaelnehemia4932
@michaelnehemia4932 Ай бұрын
Mkuu umechemsha hizi no Mali zetu via hiko cheo unkua mwananchi wakawaida Sana tu
@leonardbarber9778
@leonardbarber9778 Ай бұрын
Matusi sio mazur kwa MTU mzima na familia zao
@gasperswai6963
@gasperswai6963 29 күн бұрын
Mhe mkuu wa mkoa kuwa makini saana unaongea na wananchi, huo unaongea nayo ndio wapiga kura usijisahau unapongea na wananchi, kenya walivumilia hivyohivyo tumia diplomasia kuongea na wananchi lugha mbaya ambayo siyo ya kiongozi
@user-sj3wf5vz7l
@user-sj3wf5vz7l 11 күн бұрын
Ila hapo si soko. Na kuna watu au ni wapi hapo?
@antonjohn134
@antonjohn134 Ай бұрын
Apa kiongozi Amna ubabe sio kuongoza na siku zako chache apo dar
@almarwazyahaythamy4905
@almarwazyahaythamy4905 Ай бұрын
Sauti ya kimamlaka!!
@alexsimon5576
@alexsimon5576 17 күн бұрын
Mtu hawezi kuanza hivyo akaongea vya mbolea
@EmmanuelNyinyigwa
@EmmanuelNyinyigwa Ай бұрын
Watanzani bwana yani kama dog kaona chatu wote kmya 😅
@valenakomba9218
@valenakomba9218 25 күн бұрын
WAKOMESHE HAO .
@massaweibrahim4346
@massaweibrahim4346 Ай бұрын
We close tuu usitutishe
@Nasibuhelemani
@Nasibuhelemani 21 күн бұрын
Kapime uongozi waachie wengine
@yahyahamisi2038
@yahyahamisi2038 Ай бұрын
Wanyonga hoyee 😂 wanyongwe ziiiii 😂😂 twendeni Zanzibar 😂😂
@Sheba4651
@Sheba4651 Ай бұрын
Mshije huku, kushajaa
@VeronicaEstar
@VeronicaEstar Ай бұрын
Hao siyo watoto wako wanahak na nchi yao ach ubabe wakijinga
@lovenessvisent9408
@lovenessvisent9408 20 күн бұрын
Chalamila huna sifa ya kuwa kiongoz unaongea kama mlevi wewe ni jipu naomba bi mkubwa akuone
@hamadsaburi3569
@hamadsaburi3569 Ай бұрын
Kura zenu ndio jibu lenu
@chembejohn9605
@chembejohn9605 Ай бұрын
KWANZA amenivuragah kisaikolojia....😂😂😂.wabongo bAdo ..
@aliakrabi8321
@aliakrabi8321 Ай бұрын
eti ameacha ubabe....!
@valenakomba9218
@valenakomba9218 25 күн бұрын
HATUTAKI UDIKITETA TANZANIA.
@KhamisBoss
@KhamisBoss Ай бұрын
Safi san mkuu WA mkoa Kwa ujinga tulipnao ngoja tuburuzwe ili tuwe na akili
@williamsunday-yg2bz
@williamsunday-yg2bz Ай бұрын
Ni suala la elimu kwa wananchi! Ardhi yote ni mali ya serikali, wewe mwananchi ni mpangaji tu! Huwezi kumgomea mwenye mali yake.
@bakarimwanjano730
@bakarimwanjano730 Ай бұрын
Heshima ndio kitu muhimu sana
@shaabanabdulrahman9458
@shaabanabdulrahman9458 Ай бұрын
Watafutieni wafanya biashara wadogo njia kabla ya kuwanyang'anya , acheni ubabe wa madaraka wakati utafika na nyie mtakuwa mtaani .😊
@user-rz1bj1yj3z
@user-rz1bj1yj3z Ай бұрын
Uyu siku zake zinahesabika
@msafirimhagama6445
@msafirimhagama6445 Ай бұрын
Hata sisi hatuna woga acha kututisha ipo siku mtakimbia spidi kama majirani
@yohanamugini3882
@yohanamugini3882 25 күн бұрын
😂😂huyu jamaa jau
@bakarimwanjano730
@bakarimwanjano730 Ай бұрын
Migomo sio solution ya tatizo
@janethferous
@janethferous Ай бұрын
Uyu siku tumzibue wananchi adi aone maruelue ngurue wew
@batashqiraa9936
@batashqiraa9936 Ай бұрын
Rc chalamila acha kutukana watu, kuna wengine wanakuzidi umri, k8ongozi unatumiaje maneno machafu ya kibabe, kiongozi unayeongoza watu hupaswi kuongea maneno ya pumba kwa kutisha watu
@michaelsamson9663
@michaelsamson9663 Ай бұрын
Ndio Mana mnalogwaga ao niwatu wazima wanafamilia zao waskilize wape utalatibu mzuli waishi
@Ba63828
@Ba63828 Ай бұрын
Inakuwaje karakana kuwa ktkt ya taasisi za serikali? Kuna TCRA, Law School, Hali ya Hewa n.k. Kwanini isitafutwe eneo Kibaha yenye maeneo ya wazi mengi? Hio karaķana ya DART itasababisha traffic jam no doubt.
@robertedward1992
@robertedward1992 Ай бұрын
Kumbuka hiyo kauri au hiyo pumzi kunasiku itakata
@Kijana-wa-Tanzania
@Kijana-wa-Tanzania Ай бұрын
Umeacha kazi zako tulizokupa na tunakulipa mpuuzi ww! Wewe zuzu kweli kama watu wakidai haki zao unadhani ni uhaini mjinga wewe. Wewe kiongozi labda wa familia yako zuzu wewe. Dar unakaa kuharibu tu hamna lolote. Eti uwe na eneo lako ujenge frame; huyu zuzu anajisikia kweli? Alafu serekali ni nani mpuuzi ww?
@easternyerembe7271
@easternyerembe7271 Ай бұрын
Nashindwa kukoment, ila dah
@richarddavidmk
@richarddavidmk Ай бұрын
Unatumia mda mwingi kuongea mambo yako
@tumvisiagekonga2142
@tumvisiagekonga2142 Ай бұрын
Daah poleni wafanyabiashara, kwa changamoto
@sirmungureombeni4218
@sirmungureombeni4218 29 күн бұрын
Matumizi mabaya ya mamlaka
@hamadsaburi3569
@hamadsaburi3569 Ай бұрын
Nchi si yako wala si yenu peke yenu tanzania ni yetu watanzania woote
@henrysangiwa1731
@henrysangiwa1731 Ай бұрын
Kwanini karakana isijenge nje ya mji ? Kerege , mapinga, chalinze , mbagala kulekea mtwara kote Kuna mapori vargin kabisa wakae huko
@mwitaprotus7649
@mwitaprotus7649 Ай бұрын
😂zakayo alikua hivyo ila alibadilika baada ya yes kumpa somo sasa wakina zakayo ata huku kwetu wapo sio kenya 🇰🇪 tu
@BeniJohn-xd3cn
@BeniJohn-xd3cn Ай бұрын
Wanapita maji kwa kutupa jiwe au kupima kwa mti na wameona maji Yana kasi kubwa wametulia kama nyauu😂😂😂
@ernestsinje9700
@ernestsinje9700 Ай бұрын
Huyu hafai kuwa mkuu wa mkowa wa Daressalaam Hana busara hata kidogo ,dharau Lugha isiyofaa nini hiki ?Maneno ya matusi Upumbavu ndiyo nini? MAMA SAMIA HAWA VIONGOZI ....something is wrong !uongozi huu wa kudharau watu na matusi I Don't like it hii nini? Au ndio uongozi mpya ?huwezi kutukana watu na kuwa na dharau kiadi hiki!
@kingxule6562
@kingxule6562 Ай бұрын
tayar tumechachua tuko wa moto😂😂
@MajidMajid-ll8mf
@MajidMajid-ll8mf Ай бұрын
Huna hekima
@AbuubakarKibela
@AbuubakarKibela Ай бұрын
Acha ujinga wako huo hao ni wnanch walioichagua iyo serekali ilioyopo madakaran kwa kuwa wew unatmbelea v8 au vipi
@chacha-255
@chacha-255 Ай бұрын
🍁🍁
@fanuelkatoto8913
@fanuelkatoto8913 Ай бұрын
Hakyamungu viongozi tunao
@abdullramadhanii626
@abdullramadhanii626 Ай бұрын
Amaniii yetu tuilindeee jamanii
@4karimu_
@4karimu_ Ай бұрын
We mpumbavu nini unaongea na wananchi sio demu wako mweu weww
@KarumeKindamba-lk1px
@KarumeKindamba-lk1px Ай бұрын
Mimi ninaamini ujumbe wa mkuu mkoa ni changamoto kwa viongozi wa machinga Dar ni vema kuwaandaa kuhama kwa amani na kutafuta suluu la muda mrefu.Miaka miwili iliyopita jamii ya wamachinga wamepoteza mali zao,wametengana na wake au wapenzi wao, wamefilisiwa mali walizochuma,wachache wamekufa au kujaribu kujiuwa,wametengwa kwasababu ya kufilisika au kuyumba kimapato n.k.Ni wakati umefika wakuwatoa wamachinga ktk sehemu ambazo ni mali ya jamii na kuwapeleka ktk nchi ya ahadi.Musa alifanya kwa wana wa Israel bila ya kuandamana au kufunga barabara.Wapo wataalam wa fedha,mipango miji,wamasoko nk mkiwatumia mtavusha jamii kubwa ya machinga ambao ni injini ambayo baadhi ya wanasiasa na wafanyabiashara wanaidharau.Amini,amini ninawambia masikini wakiwa wengi na matajiri wachache bunduki,mabomu,risasi,mbwa,nyaya za umeme,milango ya chuma n.k haitasaidia kuwazuwia masiki waliowengi.
@YohanaMwakaje
@YohanaMwakaje Ай бұрын
Sasa mbona una fika kuwa na hekima Kuna wazee hapo nchi yetu sote kama umetumwa ila mwakan tuta kutana na tulio Wacha gua ww si ume teuliwa sawa
The Explainer | Jimi Wanjigi explains why 'Ruto must go'
28:27
Citizen TV Kenya
Рет қаралды 15 М.
EVOLUTION OF ICE CREAM 😱 #shorts
00:11
Savage Vlogs
Рет қаралды 14 МЛН
SPILLED CHOCKY MILK PRANK ON BROTHER 😂 #shorts
00:12
Savage Vlogs
Рет қаралды 41 МЛН
Joker can't swim!#joker #shorts
00:46
Untitled Joker
Рет қаралды 29 МЛН
MKINIVURUGA NITAWAVURUGA RC CHALAMILA AWASHUKIA MACHINGA SIMU 2000
19:58
EVOLUTION OF ICE CREAM 😱 #shorts
00:11
Savage Vlogs
Рет қаралды 14 МЛН