RC Makonda: Mtendaji Umesomea Nini? Nakupandisha Cheo Utakuwa Msaidizi Wangu Kuanzia Leo Nj..

  Рет қаралды 297,694

Tiki Tv

Tiki Tv

Ай бұрын

RC Makonda: Mtendaji Umesomea Nini? Nakupandisha Cheo Utakuwa Msaidizi Wangu Kuanzia Leo Nj..
.
.
.
.
.
.
.
.
.
.
.
#rcmakondaarumeru
#ARUSHAYASIMAMA #MKASAWAKUSIKITISHA #RCMAKONDA #rcmakondamonduli #rcmakondamonduli #MAKONDALIVE #makonda #makondaleo #makondakaratu #karatu

Пікірлер: 890
@martinsimtenda5990
@martinsimtenda5990 Ай бұрын
Hata kama watu wote watasema Makonda anafanya vibaya bado mimi nitaendelea kumpongeza
@HamisiForogo
@HamisiForogo Ай бұрын
Kabisaa Mimi namuombea huyu baba anatumiwa na MUNGU kabisa
@kristofuraha3369
@kristofuraha3369 Ай бұрын
Hatamm namuunga mkono!
@alfredamapunda1321
@alfredamapunda1321 Ай бұрын
Kazi anaifanya Mungu awe nae
@godfreyelibarikilaizer6178
@godfreyelibarikilaizer6178 Ай бұрын
Makonda ana utu kweli ni kiongozi wa mfano
@user-gt5yd4no7c
@user-gt5yd4no7c Ай бұрын
Hata mie
@Mima-cl2im
@Mima-cl2im Ай бұрын
Ni Nani kama Makonda? Haki mbele ya haki Mungu akulinde Makonda wetu kwa kusaidia voiceless people.
@user-gt5yd4no7c
@user-gt5yd4no7c Ай бұрын
Sana this man ni zaidi ya msaada
@mpambanajitz7026
@mpambanajitz7026 Ай бұрын
Hakuna 💪💪💪
@deograciakashaigili5973
@deograciakashaigili5973 Ай бұрын
Kabisa kabisa! Mtendaji hongera sana sana. Huyu ndiye Makonda!
@justice607
@justice607 Ай бұрын
John Nkini classmate wangu, hongera sana kwa kupandishwa cheo
@tanzcanmediatv4473
@tanzcanmediatv4473 Ай бұрын
Huyu kaka kaniliza.kama unaona bendera hapo nipp canada kwa. Hali kama ya huyo kaka.walikuja watu kazini kwangu kutoka marekani wakitaka majibunya miradi ya usaid yaani matron wa hospitali anababaika.mkurugenzi anababaika wakasema nani anaweza tuelezea walau kidogo ndipo nilivyosukumizwa mimi tena ni wa hovyo kabisa nurse wa kawaida nilivyosimama kiujasiri lila swali wananiuliza najibu waliniuliza elimu nikawajibu wako tunaomba jina lake na kila kitu huyu anahitaji kusoma zaidi ni hazina mliyonayo hamuuijui. Ndipo nikachukuliwa kuja canada masomoni nyumbani kwetu ni wa hovyo yaani tukibahatika wali ni christmas tena boxing day.
@saidnoumani7244
@saidnoumani7244 Ай бұрын
Inaonekana alikuwa intelligent and humble person
@kizittohescary1213
@kizittohescary1213 Ай бұрын
Dah kweli fanya kazi kwa uaminifu tu Siku Yako ikifika Mungu anakuinua kama huyu mtendaji
@alfredfande
@alfredfande Ай бұрын
Classmate kaonekana
@deograciakashaigili5973
@deograciakashaigili5973 Ай бұрын
Yaani nimeipenda hii
@mustaphakambangwa1407
@mustaphakambangwa1407 Ай бұрын
Safi sana mtu mzuri niyule aliefanya makosa jana Leo akagundua kosa Lake na akawa bora zaidi yajana
@user-gx4jx4gv9l
@user-gx4jx4gv9l Ай бұрын
Mtenda haki hulipwa kwa haki kweli mtendaji ni mchapa kazi hongera sana RC kwa mpandisha cheo mtendaji anafiti apo ulipomuweka.
@jackmabirangacharles9398
@jackmabirangacharles9398 Ай бұрын
Kweli Kila mtu ana Ridhiki yake Anatembea nayo 😅
@muddymuzungu4357
@muddymuzungu4357 Ай бұрын
@@jackmabirangacharles9398upo sahihi bro
@polloz77
@polloz77 Ай бұрын
Big up Makonda - USA
@BUDAMACHINOO-tq1uq
@BUDAMACHINOO-tq1uq Ай бұрын
Anafiti sanaaa
@Rehemamakuka
@Rehemamakuka Ай бұрын
Baraka za wazazi pengine ni Dua za wazazi tuwafanyieni wazazi mazuri
@halimamohamed5327
@halimamohamed5327 Ай бұрын
Kweli kabisa dadangu❤
@liverpoolfootballclub9985
@liverpoolfootballclub9985 22 күн бұрын
Baada ya mungu ni mzazi
@user-ds2qj3oi7k
@user-ds2qj3oi7k Ай бұрын
100% . Makonda huyo Mtu anafaa kuwa msaidizi ofisini kwako big up
@magdalenapeter5622
@magdalenapeter5622 Ай бұрын
Hongera sana kwake mtendaji
@stevenmabungi3245
@stevenmabungi3245 Ай бұрын
Nimefurahia sana kazi nzuri ya mtendaji na alistahili kupandishwa yuko smart sana. Big up Paul Makonda Mungu yupo na wewe daima na sisi hatutachoka kuwaombea hongera sana pia Mtendaji.
@user-kq6op8ll3p
@user-kq6op8ll3p Ай бұрын
Yupo smart sanaa, amejielezea vizuri aise
@johnsonpaul2883
@johnsonpaul2883 Ай бұрын
Na ana memory ya kutoshaaa YAANI kanifurahisha vibaya MNO huyo mtendaji na hata ningekuwa Mimi nisingemuacha hivi HIVI ❤ he deserve more than that
@ProsperJustine-nr6id
@ProsperJustine-nr6id Ай бұрын
Nimefurahi sana.. kwa namna Mtendaji alivyonyoosha Maelezo vizuri,huyo ni kiongozi Bora sana na Hongera Mh.Makonda kwa kumpandisha cheo hakika anastahili ....Namuona mbali zaidi na Mungu awabariki muendelee kusimamia haki za wananchi.
@presidentofafrica.5038
@presidentofafrica.5038 Ай бұрын
njia za Mungu ni nyingi sana na hazichunguziki, pengine mtendaji alienda na hofu lakini Bwana akamfanyia kicheko, Bwana akamwambia kwani ungetenda vyema usinge barikiwa.?, tuendelee kujituma na kuwa waaminifu Mungu atatupandisha kwa wakati wake.
@evodiuskalema2123
@evodiuskalema2123 Ай бұрын
Hata wakupinge vipi lkn wewe ni chaguo la wananchi Makonda makonda Mungu Akulindeeeeeeee
@frankmlalila1705
@frankmlalila1705 Ай бұрын
Kazi inaonekana hongera
@mwassajoseph8675
@mwassajoseph8675 Ай бұрын
Kama wote wanamkubali makonda mimi ni nani nisimpendekeze achukue form !! Mungu tulindie makonda wetu
@fedrickdenis4137
@fedrickdenis4137 Ай бұрын
Amen mungu mlinde sana makonda wanyonge wananyanyasika sana
@joycehaule9717
@joycehaule9717 Ай бұрын
Wow MAKONDA MAKONDA MAKONDA HALLELUJAH MTUMISHI WA MUNGU ALIYE HAI WEWE UNALINDWA NA BWANA WA MAJESHI ....
@suzan4200
@suzan4200 Ай бұрын
Kwenye maisha kuna kitu kinaitwa bahat lakin kuna kitu kikubwa zaidi kinaitwa KIBALI, achana na mambo ya bahati coz unaweza kuwa na bahat usiwe na kibali ila kibali kinabeba Bahati....hongera Mh hongera kaka uliyepandishwa cheo Mungu Anawakat wake tupige makofi kwa wengine tukiamin na sisi saa yetu yaja❤
@DM_15
@DM_15 Ай бұрын
Afisa mtendaji ubarikiwe ur a good leader
@benjaminf361
@benjaminf361 Ай бұрын
Yaan, Mheshimiwa Makonda kila nikikusikiliza na kuona vitu unavyofanya sikosi kutoa machozi nikimshukuru Mungu kwa ajili yako. Mungu akulinde na kuzidi kukutumia kuleta faraja na tumaini jipya kwa Watanzania walio wengi.
@samwelmachaka936
@samwelmachaka936 Ай бұрын
Mama mwangalie makonda atakusaidia sana kwenye selikali yako wengine wababaishaji tu ndiyo hao hawamtaki
@Ndu-wa.uroony2
@Ndu-wa.uroony2 Ай бұрын
Selikali ni nini?
@Hasnspop
@Hasnspop Ай бұрын
​@@Ndu-wa.uroony2hata wewe unaweza kutuambia serikari ni nini😂😂😂 mpaka unatunga mtihani wa swali maana yake jibu unalo mwenyewe kwan wewe unajuaje😂😂😂😂😂
@Peterchila-un2lx
@Peterchila-un2lx Ай бұрын
Kweliiii🎉🎉🎉
@judithkatabaro3294
@judithkatabaro3294 Ай бұрын
Yani mimi atakae msema makonda vibaya na anguka nae walahi
@Nim68182
@Nim68182 Ай бұрын
​@@judithkatabaro3294😂😂😂😂😂 kubabaabaaake😂
@rashidmkoga3053
@rashidmkoga3053 Ай бұрын
Eti mtendaji wa kata Halafu elimu kamshinda mkuu wa wilaya makonda hongera sana
@deograciakashaigili5973
@deograciakashaigili5973 Ай бұрын
Hujaambiwa kamshinda
@chemstry409
@chemstry409 Ай бұрын
PIGA KAZI MAKONDA WE SUPPORT YOU 100%.....
@onesmothimos2635
@onesmothimos2635 Ай бұрын
Makonda ni nani Mtu uyu mbona Kila sehemu ana fit niwashauli wote wenye chuki na Mtu uyu acha neni nae amta muweza sehemu aliopo ni wito wa Mungu pia ni kipenzi Cha watu mfano mm nipo Dar Ila namfuatilia sana
@zawadichalale4047
@zawadichalale4047 Ай бұрын
Haya jamani wengine wanatumbuliwa na wengine wanapandishwa vyeo hapohapo
@melanialeonard4031
@melanialeonard4031 Ай бұрын
Ndo maisha yalivo jema na baya kucheka na kulia
@japhetlinus3891
@japhetlinus3891 Ай бұрын
Bado kidogo Makonda ataachiwa Nchi..Japo watu wanasem kaul zake sio nzur, Namkubali Sana Makonda...
@gracemwakibolwa7910
@gracemwakibolwa7910 Ай бұрын
Hiii TZ inahitaji mtu kama Makonda Maana nchi imejaa mitapeli.
@japhetlinus3891
@japhetlinus3891 Ай бұрын
@@gracemwakibolwa7910 ,.bila shaka mkuu
@georgekipunga1174
@georgekipunga1174 Ай бұрын
I still don’t understand why most people hate Makonda it doesn’t make no sense to me.. at all
@cheiknamouna2058
@cheiknamouna2058 Ай бұрын
Huyo mtendaji amekaa smart kuanzia mavazi,kujieleza hadi kujiamini🎉🎉
@mrliverpoolynwa7641
@mrliverpoolynwa7641 Ай бұрын
Mheshimiwa MAKONDA ni miongoni mwa wakuu wa mikoa bora kabisa,hawa vijana ndo tunaowataka💪💪💪#CCM chama changu
@jeremiahkileo6641
@jeremiahkileo6641 Ай бұрын
Mtendaji amenyooka. Hongera makonda kwa maamuzi uliyofanya . Anaonekana atakusaidia sn kwenye kitengo ulichompa
@ramadhanborudiba6267
@ramadhanborudiba6267 Ай бұрын
Leader always aleader mungu akubariki sna makonda
@Alfredmusa24
@Alfredmusa24 Ай бұрын
Cheo kizidi kupanda kakangu, hongera sana Mtumishi nawatakia mafanikio zaidi
@user-tk2hd2eh1q
@user-tk2hd2eh1q Ай бұрын
Madonna wewe ndio yule Mungu aliempenda zaidi akaamua kumpumzisha.chapa kazi umerithi kipaji chema.
@deoluma1706
@deoluma1706 Ай бұрын
Hili dude linatakiwa liwe lirahis la nchi. Kwanza Bado umri mdogo na,Lina nguvu.yaan naanza kulifananisha na captain Traole.Mungu amlinde aseee
@user-fs7xc2bb5d
@user-fs7xc2bb5d Ай бұрын
Nikweli usemacho huyu ni Ibrahim Traole
@adamhashim3352
@adamhashim3352 Ай бұрын
Umeona ee
@michaelthobias9967
@michaelthobias9967 Ай бұрын
New jpm legas
@frankrobert9706
@frankrobert9706 Ай бұрын
Yaani mule mule hili jamaa likiwa Liraisi hii nchi itafika mbali sana
@godlovegeorge2334
@godlovegeorge2334 Ай бұрын
Kama kuwa Rahis hapo sawa, ila Rais bado
@kassimmanaramalika8592
@kassimmanaramalika8592 Ай бұрын
Kweli kwa ufanisi wake wa KAZI anastahili hiyo nafsi bravo👏
@josephmwabange9633
@josephmwabange9633 Ай бұрын
I love this man , na huyo jamaa ambaye ni afisa mtendaji ana vi element kama RC Makonda kushughulikia Critical issues ! Big up mtumishi wa umma
@Mweya-87
@Mweya-87 Ай бұрын
Aisee huyu mtendaji anastahili sana kiukweli. Kijana safi
@JafariKila-ih7kv
@JafariKila-ih7kv Ай бұрын
Mh Paul Makonda nakukubali kwa kazi unayoifanya unastaili pongezi unanikumbusha mbali saana na utafika mbali kwa uwezo wa mwenyezimungu ishallah
@geey7893
@geey7893 Ай бұрын
Katika mikutano ya RC Makonda leo nmemsikiliza mtu smart na mwenye Brain. Afu ni mtu wa chini sana. Goood Mtendaji. Sio ile mianamke inapataje sijui izo nafasi?
@doiabel3793
@doiabel3793 Ай бұрын
Hata mimi sielewi wale wamama walizipataje zile nafasi kujibu hawajui kila kitu niwabishi
@rashidjuma1969
@rashidjuma1969 Ай бұрын
Dah Yani huyu mtendaji kanipa fundisho ewe mungu mpe wepesi kwenye kazi yake mpya
@pauldotto7868
@pauldotto7868 Ай бұрын
Mr makonda naikubali sana kazi yako,, chapa kazi
@alfredamapunda1321
@alfredamapunda1321 Ай бұрын
Kiboko Yao
@user-mm4uy7cy9w
@user-mm4uy7cy9w Ай бұрын
Allah amlinde na amuongoze katika haki makonda
@dorahmushi-we6ts
@dorahmushi-we6ts Ай бұрын
Halafu anatokea mtu leo,anamrushia mawe Makonda, kama Mungu aishivyo, hayo mawe yatawarudia wenyewe ktk jina la Yesu.... Hebu tukiona watu wanasimama ktk zamu zao kwa uaminifu na ujasiri, tuwapo geze, na tumrudishie Mungu Sifa Heshima Shukrani na Utukufu.
@kristofuraha3369
@kristofuraha3369 Ай бұрын
Huyo mtu angekua karibu yangu ningemmeza bila mate!😏😒
@deograciakashaigili5973
@deograciakashaigili5973 Ай бұрын
Ameeen!.Na waanguke katika.utelezi wao wenyewe
@TunuAdam-gc9rc
@TunuAdam-gc9rc Ай бұрын
Kweli wakati wa Mungu ni wakati sahihi.
@simonsangu6040
@simonsangu6040 Ай бұрын
Hakika kbsa
@thepitch.3764
@thepitch.3764 Ай бұрын
Kweli kabisa ukute jamaa hata hakuwa na wazo hilo
@gracerichard8145
@gracerichard8145 Ай бұрын
Ila mtendaji nae ni kichwa du! Anakumbukumbu sana Yan Hadi nimelia jmn😭hongera kaka Kwa kazi nzuri mfanyie huyo mzee kazi yake
@user-kq6op8ll3p
@user-kq6op8ll3p Ай бұрын
Genious sana mtendaji
@user-wu7vz8ot5i
@user-wu7vz8ot5i Ай бұрын
Mh makonda ucku na mchana tunakuombea dua kwa Allah akulinde na husda za watu wabaya ili uzidi kuwatendea watanzania mema na haki zao amiin
@justussebastian4779
@justussebastian4779 Ай бұрын
Mtaje kwenye maombi kwelikweli
@user-wu7vz8ot5i
@user-wu7vz8ot5i Ай бұрын
@@justussebastian4779 Lazima tumuombee kiongozi kama huyu kwa sababu anafanya mambo manzuri ya kumpendeza mwenyezi mungu
@godfreysudi7264
@godfreysudi7264 Ай бұрын
Mungu asikie duwa yako njema watu wanonewa haki zao Kwa kweli awana msahada
@victoriaandrew1300
@victoriaandrew1300 Ай бұрын
Msaidizi wa mkuu wa mkoa wa Arusha mtarajiwa anajua kuongea kitu kilichonyooka bila mapindopindo utafkiri anasoma mahali, anastahili hongera sana na Mungu awalinde sambaba na mpendwa wetu Paul Makonda
@kinyongamediatz
@kinyongamediatz Ай бұрын
Kama wateule wote wanaomwakilisha Rais wangeiga mfano huu wa utendaji wa kazi wa Mh.Makonda Tanzania kungekuwa na kero chache kwa Wananchi.Hongera sana Mhe.Makonda Mungu azidi kukulinda
@ANETHKANSHWI-op8ow
@ANETHKANSHWI-op8ow Ай бұрын
Mungu akubariki makonda kumpandisha cheo ikawe heri
@africandarling6925
@africandarling6925 Ай бұрын
Ameen Yallaaby Ameen 🤲🤲🤲
@ndukulusudikucho_
@ndukulusudikucho_ Ай бұрын
Huyu Mhe alivyokuwa benchi baadhi yetu tulikuwa na huzuni kubwa na kubaki kumuombea tu Mungu, Mungu ibarik Tanzania, Mungu mbarik SSH
@taseleli9181
@taseleli9181 Ай бұрын
Kwa kweli anastahili pongezi Mungu aendelee kumbariki na kumlinda na watu wote wenye roho za chuki na husda dhifi yake
@augustinoevarist6754
@augustinoevarist6754 Ай бұрын
Pongezi kwake Ndg. John Nkini hakika ni mtu mwema sanaaaa. Mungu amtangulie
@emanuelkija7522
@emanuelkija7522 Ай бұрын
Makonda ni Kiongozi aliyesukwa vzr sana mzee Magufuli, Big up sana kiongozi
@yordanyona1234
@yordanyona1234 Ай бұрын
Tenda WEMA ipo siku ambayo huijui Mungu anawatumia watu dhaifu kuinua watu...hivyo Roho MBAYA HUTUFANYA KUKOSA maendeleo
@JeanMuzaliwa-bs6qh
@JeanMuzaliwa-bs6qh Ай бұрын
nakukubali pia akili zangu na zako safi kbs
@PeterStevennewsong
@PeterStevennewsong Ай бұрын
Makonda ubarikiwe sanaaaa mamayetu tuletee makonda mbeya
@DSFAMILYGRAPHIC
@DSFAMILYGRAPHIC Ай бұрын
Hapana hatutaki huyu haondoki, nitafunga nakuomba a baki arusha
@lightmashauri1725
@lightmashauri1725 Ай бұрын
Weee mtuache na makonda wetu hata mwezi haijaisha 😂
@allysunday8614
@allysunday8614 Ай бұрын
Kwa hapo big up....kwa maamuzi..ya kumpandisha cheo mtendaji...
@hamishatibu699
@hamishatibu699 Ай бұрын
Ongera xna mtendaji upo vizuli unajua kujieleza unafanya kazi ya wananchi vizuli, kila la kheri kwako.
@hakunamatata8065
@hakunamatata8065 Ай бұрын
Mama samiha suluhu mpe cheo Mtendaji ni mchapa kazi balaa ebu mpatie hata ukuu wa wilaya hakika hutojutia
@ramamabinda5063
@ramamabinda5063 Ай бұрын
Daah aisee Mwenyez Mungu amjaalie Makonda maisha mareefu yenye afya njema inshallah.
@owinomakochieng828
@owinomakochieng828 Ай бұрын
Makonda anaielewa kazi yake na anaifanya ipasavyo. Naomba Mungu akulinde na akupe neema ya kukamilisha kazi aliyoiweka mikononi mwako. Nahisi kuwa viongozi wa Kenya wana take notes.
@neemareuben311
@neemareuben311 Ай бұрын
Makonda ni makonda aisee huyu broo mungu ampe umri mrefu sanaaaaaa❤❤❤
@radhiasalum7156
@radhiasalum7156 Ай бұрын
😂😂raha ya kuwa mkweli.wote kama ni wakweli katika maisha yenu piga like hapa😂😂
@lawskuli9876
@lawskuli9876 Ай бұрын
Hongera kijana kwa kupanda cheo. Mungu akufanyie wepesi katika utekelezaji wa majukumu yako mapya ya kumsaidia Mkuu wa Mkoa.
@edwinlyimo5611
@edwinlyimo5611 Ай бұрын
Daa hadi machozi yamenitoka,Makonda Mungu atakulipa kwa kazi nzuri na utendaji wako wa haki, asante sana mkuu
@issaramadhani9141
@issaramadhani9141 Ай бұрын
Kwakweli toka nimefatilia mikutano ya Makonda huyu mtendaji ametoa majibu ambayo hata sisi tusiojua huo mgogoro unaona kuna juhudi za kiongozi zimefanyika. Kuna wakurugenzi jana walichokuwa wanajibu wanakijua wao
@geey7893
@geey7893 Ай бұрын
Umeonaa kakaee?? Yani Leo Kwa mara ya kwanza Nimemsikiliza mtu smart afu ni mtu wa chini kabisa. Afu Kuna mtu anakula Mshahara Milion 5 huko juu akiongea Utasema anaharisha. Arusha Haina watumishi naona wengi ni wanawake wa kuweka wekwa tu na wakubwa
@user-kq6op8ll3p
@user-kq6op8ll3p Ай бұрын
Wanapachikwa tuu, hawana kitu kichwani kabisa
@ayoubmkapa8906
@ayoubmkapa8906 21 күн бұрын
😂😂😂😂😂😂
@user-eu8ur4kt4v
@user-eu8ur4kt4v Ай бұрын
🔥🔥🔥🔥✅✅✅makonda hakika utakuwa mtu mkubwa sana zaid ya hapo na mungu atazidi kukulinda baba
@MasterOil-qm6vw
@MasterOil-qm6vw Ай бұрын
Haya wale wapumbuvu wanaosema makonda anazalilisha watumishi umeona uwadilifu anaofanya kwa watumishi wanaojitambua
@samwelnaal7952
@samwelnaal7952 Ай бұрын
This is how God promotes people❤
@5googleuuu727
@5googleuuu727 Ай бұрын
Makonda. Oyeeeeeeee mung akulinde na mabaya na akujalie mema na afya njema daima inshaalah ❤️❤️❤️
@DSFAMILYGRAPHIC
@DSFAMILYGRAPHIC Ай бұрын
Wakati wa Mungu ikifika hakuna wa kuzuia
@polloz77
@polloz77 Ай бұрын
Big up Makonda -USA Chapa kazi msadiye Mama yetu Samia Suluhu
@Zai-vh7jd
@Zai-vh7jd Ай бұрын
Simtofautishi Makonda na Captain wa Bukinafaso! Big up kijana!
@emmanuelmgwasi2296
@emmanuelmgwasi2296 Ай бұрын
Uncle makonda mungu azidi kukupa nguvu na uzidi kuwatumikia wananchi
@fatumamilimo7336
@fatumamilimo7336 Ай бұрын
jamani kuna mtendaji yupo kimamba kilosa jamani anafanya kazi vizuri na kwa waledi yaani i wish siku apandishwe cheo inshallah🤲🤲🤲
@lucknessgerana3031
@lucknessgerana3031 Ай бұрын
Mungu Tunakuomba umlinde huyu baba 8:41
@user-xk7vy4gb6g
@user-xk7vy4gb6g Ай бұрын
Hongera sana Mh Makonda kazi nzuri. Mafisadi mnaotuma watu kuwalipa milioni 6 iliwamuue Mh Makonda tuna mashaka hata kifo cha hayati Magufuli
@romanilyimo
@romanilyimo Ай бұрын
Kumbe ww unajua mpaka bei wanayilipwa tutanza na ww kwenye hili.
@JasminMneney
@JasminMneney Ай бұрын
​@@romanilyimokwani wee hujaona wametumwa watu 8 malipo milion 6
@mgosimkome9242
@mgosimkome9242 Ай бұрын
Safi Sana mtendaji yaani kuna baadhi ya watumishi wako vizuri, mtumishi anaulizwa kitu hajui hata anaongea nn
@manuchochannel5538
@manuchochannel5538 Ай бұрын
Mwenyezi Mungu akihitaji kukupa hakuandikii barua..hongera sana Mtendaji kata
@KeiFerouz-fn9oc
@KeiFerouz-fn9oc Ай бұрын
Nakuwa na wakati mgumu jinsi ya kumuombea kwa mungu ulinzi wa mungu mwenyewe sijui niombeje lkn hofu yangu haya maombi yanamfikia mungu? Au tutaumizwa kama tulivoumia kwa aliekuwa rais wetu mpendwa burudoza joni ee mwenyezi mungu nakuomba umlinde kijana huyu amen
@giztony2009
@giztony2009 Ай бұрын
Muovu haombewi maana amemwaga Damu za watu wengi watu kama ninyi ndo mtatumika kama kuni kumchoma moto mharifu huyu
@ShamsiKasoma-fn4cl
@ShamsiKasoma-fn4cl Ай бұрын
Dah! Wakati wa mungu ni sahihi
@LucyCornery
@LucyCornery Ай бұрын
Hakikaa🙌🙌🙌
@user-wc3hn4kt1x
@user-wc3hn4kt1x Ай бұрын
Kwelii jamaa ni haki yake apandoshwe cheo. Yuko vizuri kwenye kujieleza. Safi sana Mkuu wa Mkoa Paul Makonda
@creptonemadunda9006
@creptonemadunda9006 Ай бұрын
John Nkini keep the ball rolling.....mtendaji ni mtu na nusu 3:09
@benjaminjackson8567
@benjaminjackson8567 Ай бұрын
Nimefarijika sana big up president wa Arusha
@jedidahbintidaudi8241
@jedidahbintidaudi8241 Ай бұрын
hongera sana kupanda cheo afisa mtendaji. Mama Samia twaomba mrudishe Sabaya Ole kazini ni mchapa kazi mahiri mnoo kiongozi safi
@AmiriMtawatawa-oh6xj
@AmiriMtawatawa-oh6xj Ай бұрын
Makonda safi unafaa kuwa mkombozi wa wanyonge .jitahidi kutenda haki mungu atakufikisha mbai .good job
@patriciovicente2891
@patriciovicente2891 Ай бұрын
Muito emocionante, isso é que é ser líder. Parabéns Makonda👌
@Zai-vh7jd
@Zai-vh7jd Ай бұрын
Kijana wetu Makonda. Endelea kuchapa kazi. Kaa kwa kutulia. Nakuona ukifika mbali sana katika uongozi. Wananchi wanahitaji msaada kama unaoutoa.Barikiwa sana uwe na maisha marefu. Asante Mama Kutupa huyu kijana.
@hassankongolilo8408
@hassankongolilo8408 Ай бұрын
maashaallah wakati wa mola ni wakati sahihi wallah. mungu akubariki kwa uadilifu wako bwana mtendaji. kweli umenyooka. hongera pia kaka makonda salut savaaa
@godfreyelibarikilaizer6178
@godfreyelibarikilaizer6178 Ай бұрын
Makonda wewe ni kiongozi wa mfano na wa kuingwa haupo kisiasa upo kiutu zaidi raia tungepata viongizi kumi kama wewe nchi yetu tungeishi katika haki na usawa Mungu akutunze mkuu wangu baba yangu jasiri
@user-qe8km6sj3c
@user-qe8km6sj3c Ай бұрын
Ubarikiwe sanaà kwa kazi nzuri unayoifanya .ubarikiwe sanaaa
@shabanramadhan7632
@shabanramadhan7632 Ай бұрын
Safi sana makonda Kwa kumpandisha kijana mwenzako juu
@apolinamushi23
@apolinamushi23 Ай бұрын
Hongera sana mkuu wa mkoa na mtendaji ❤❤❤
@zebedayokatamaduni9676
@zebedayokatamaduni9676 Ай бұрын
Mungu ni Mungu tu. Hongera sana mtumishi wa umma Mungu akuinue zaidi. Makonda wewe❤
@g.gwemela5159
@g.gwemela5159 Ай бұрын
Kiongozi, Mungu atakulinda katika kazi yako. Usichoke
@respiciusndyanabo366
@respiciusndyanabo366 Ай бұрын
Hongera sana naipenda sana kazi unayoifanya ubarikiwe
@rashidkassim7836
@rashidkassim7836 Ай бұрын
Jamaa ni gooder speaker kaongea vizuri
@damianmcba9525
@damianmcba9525 Ай бұрын
Kasomea human resources and management,,, hao ndio wanakuwaga hata kwenye International relationships. Hupo sahihi pia ana kipaji cha kuongea kimpangilio
@Esterkomba-ef7eb
@Esterkomba-ef7eb Ай бұрын
Safi sana kijana ww nimtendaji bora
@ameirzapy1318
@ameirzapy1318 Ай бұрын
Jamaa anastahili sana, mfuatiliaji haswa
@ahmedsalim9463
@ahmedsalim9463 Ай бұрын
Safi sana makonda uko vizuri sana Mungu awe nawe milele amiin
@user-nh7ie5kz7l
@user-nh7ie5kz7l Ай бұрын
unabusara sana Makonda ila mama alidanganyika sana kukutoa uenezi. Makonda Mikono ya Mungu iwe juu yako.Amina.moyo mkuu piga kazi Mungu anakuona.Amina.
@stellamsokwa6785
@stellamsokwa6785 Ай бұрын
Asingemtoa jamani Mtendaji wa watu cheo kisingepanda, mwacheni Mungu aitwe Mungu🙏
@RobertChacha-hb9re
@RobertChacha-hb9re Ай бұрын
Kazi hadi usiku Big up saana makonda
@PaschalModaha
@PaschalModaha Ай бұрын
Hongora Sana makonda mungu akupe nguvu kuwatetea mwanyonge
@BeatriceKitembe-gs9si
@BeatriceKitembe-gs9si Ай бұрын
Big up makonda. Mungu azidi kukutunza na kukulinda🙏🙏🙏🙏
@mujukishe8823
@mujukishe8823 Ай бұрын
Mungu zidi kubariki kazi za makonda uweze kumponya na wabaya ili aendelee kutetea wanyinge asante Mungu kwa mtumishi wako Makonda zidi kumpandisha cheo atetee wanyonge. Makonda Mungu akubariki hata kwa kumpandisha mtendaji nawe utapandishwa na MUNGU.
@user-ml5tq8hj2x
@user-ml5tq8hj2x Ай бұрын
Kijana hongera umetulia sana na unaweza hiyo kazi sana ukikaa na mwamba makonda mambo swano
@vumbakingvumbaking9571
@vumbakingvumbaking9571 Ай бұрын
Jembe lime ondoka mpini ume Baki🙌waya lazima zigusane ⚡salute makonda mungu akutunze Amin
@ushindikapunga2705
@ushindikapunga2705 Ай бұрын
Huyu mtendaji Mungu ambariki
Tom & Jerry !! 😂😂
00:59
Tibo InShape
Рет қаралды 61 МЛН
Я нашел кто меня пранкует!
00:51
Аришнев
Рет қаралды 2,5 МЛН
Универ. 13 лет спустя - ВСЕ СЕРИИ ПОДРЯД
9:07:11
Комедии 2023
Рет қаралды 6 МЛН
Increíble final 😱
00:37
Juan De Dios Pantoja 2
Рет қаралды 113 МЛН
ALELUYA MIMI NDIMI CHAKULA. E.KALLUH.
3:57
Kwaya ya Mt Sesilia RUCU
Рет қаралды 979
TAZAMA SHOW YA ELIUD MBEYA, (PART 2)
13:55
Eliud Samwel
Рет қаралды 75 М.
5 маусым соңғы эфир!
2:27:27
QosLike / ҚосЛайк / Косылайық
Рет қаралды 508 М.
Добейти 100000 подписчиков | Тгк- @Rom4ik539
0:28
ЗА ЧТО ЧАПИТОСИКИ ТАК?🥹🥹
0:22
Chapitosiki
Рет қаралды 54 МЛН
Sion princess funny Haribo Donuts 🍊🚆😅🤣
0:35
SION /紫音
Рет қаралды 6 МЛН
Сначала скажи, а потом не мамкай 🗿 #shorts
0:16
Вика Андриенко
Рет қаралды 2 МЛН