Hii nzuri kukumbuka kwa mama baraka toshaaa mnooooo hongera mzee
@joycemashikolo90964 жыл бұрын
bibiangu mzuri Mungu akubariki sana.Nakupenda wazee na watoto hasa wanaoishi kwa mazingira mangumu!! Mungu niwezeshe siku moja nifanye jambo kubwa kwao!! Naomba maombi yenu Wapendwa siku moja nirudi kutoa shukrani hapa 13-07-2020
@japhethgeriad45194 жыл бұрын
Mungu akutendee Kwa jina la Yesu Kristo
@joycemashikolo90964 жыл бұрын
@@japhethgeriad4519 Amina ndugu yangu
@yusufumajinge594 жыл бұрын
Mzazi makini sana huyu aisee kizazi hiki tusikiache kipotee.
@giriadbirusha70064 жыл бұрын
Nakupenda sana mkuu wangu mstaafu wa mkoa Kigoma. Ninakuombea sana kwa Mungu upite kwa kishindo jimboni kwako. Natamani na ninapenda sana kuendelea kukuona ukijenga nchi hata kama umestaafu. Mungu akufungulie njia na awe na wewe daima, Amen. Asante Millard Ayo kwa updates za huyu ndugu. 🤝
@badenbensoni75164 жыл бұрын
Huyu mama anaongea kwa akili sana
@iviejustified81094 жыл бұрын
Hongera saana bibi kwa Maisha yako...
@ramadhanisuru18224 жыл бұрын
Milad ayo tuko pamoja nawewe kwa kaziyako safi
@ramadhanisuru18224 жыл бұрын
Namiye nakuombea mungu ushinde kwa kishindo aaamiiinaaa
@KigomaTV.3 жыл бұрын
Nakumiss mzee wangu Maganga😭😭 nakumbuka hii video nimefanya Mimi Asante kwa kuniamini kwa Kila kitu toka kigoma Hadi mvomero bado unaishi moyoni mwangu kusema ukweli.
@loishockmeitamei83444 жыл бұрын
Endelea Mkuu, bado una hazina ya kutumika kwa Watanzania
@sophiaalex77923 жыл бұрын
Pole sana bibi mungu akutie nguvu nimekuona kunke Umehuzunika sana bibi mshukuru mungu kwakila jambo
@texastexas25454 жыл бұрын
We nimzee wang lkn nakufatilia sa na uko vzr' nautashnda kwa kishindo na Bibi yetu Mola ambalik
@chichimputi11934 жыл бұрын
Alikuwa kigoma anaweza kazi sana
@fatemaligalawa19183 жыл бұрын
Iraalishindwa nakifo kimemchukuwa😭😭😭
@patriciamaganga38913 жыл бұрын
Mungu akupe pumziko la amani Amina
@stvenkiwili66304 жыл бұрын
Kumbe ukisitaafu unataka kazi nyingine
@idawakisambivi77474 жыл бұрын
Hiyo ndio shida ya kuingiza wanajeshi kwenye siasa, lazima atatamni zaidi
@jeanmubemba12044 жыл бұрын
haman wanajeshi hawana tamaa ni mtu anajiona anafaa anagombea sio mbaya ,afande maganga ana uzoefu mkubwa
@iviejustified81094 жыл бұрын
Brother , wazungu wanasema you are stricking personalities ...
@homeboybeyondtheborders49354 жыл бұрын
Mwanajeshi ni mtanzania,tusiwe na akili za leo...kesho kutwa tutaja jisuta.Hoja je anastahili.
@charlesmwambisya23974 жыл бұрын
Ongera sana
@masrergaudens39674 жыл бұрын
Nakushauri upumzike maana kule Bungeni utasikia usingizi mzito.
@markolazaro25614 жыл бұрын
Daaaaaah maneno ya huyu bibi mazito saana.Bwana ampe hatua sana
@fediliaulomi49694 жыл бұрын
Mm yupo vizuri na mungu
@alandoanthony87304 жыл бұрын
Hii ndio maana halisi ys mtoto kwa hakui,65 yrs lakin kwa mama ni mtoto tu anapewa shule ya Mungu wa Yakobo
@fatemaligalawa41514 жыл бұрын
Bado sukuma ndani
@msetikebwasi68954 жыл бұрын
Aaa,kumbe mchongo,!!!!!!!!!
@ibrahimkambi92884 жыл бұрын
Sawa Mkuu unastahili tena sana All the best
@swaleheamri23034 жыл бұрын
Dawa.
@asharamadhani46414 жыл бұрын
Ahaa
@rckkajuna21444 жыл бұрын
Saw
@allyarussinga8034 жыл бұрын
Mzee ni vizur upumzike umeshatumikia sana taifa inatosha
@emmanueljohn51624 жыл бұрын
Ila maza wa uyu RC ni mbabe
@piusjuma73844 жыл бұрын
Mzee ninakubali Sana hata marehemu baba yangu Paschal mpondi aliyekuwa askar jeshi katika kambi ya navy kigambon,kigoma pamja na mirambo barracks aliwai kunizungumzia kuhusiana na utendaji wako wa kazi na utu wako
@zegelibilishanga47613 жыл бұрын
Wp
@HASASON4 жыл бұрын
Huyu anafaa Kigoma aliipaisha
@geraldbenjamin93024 жыл бұрын
Kuna Jamaa, sehemu moja hivi limeandika vitu naona vinatokea sasa
@mothernatureanditsbeauty56033 жыл бұрын
Huyu mzee alikuwa candidate mwenzangu Jimbo la Mvomero. 😁🤣
@athumanikaroyo59994 жыл бұрын
Machozi yamenitoka kiongozi kua mmyenyekevu kwa mama yake na mama ni mama
@alexvenas26994 жыл бұрын
Mama nimekuelewa sana umeingea mambo mazri sana sana.
@nyambirotrueinformation75004 жыл бұрын
Pumzukeni wazeee muwaachie vijana nao wafanye kazi kujenga taifa unataka ustaafu na miaka 80 kweli nakushauri upumzike tulia hio pension yako kula Na Mama yako sio uigawe utakuja kujuta utagawa pension na mwisho wa siku ubunge hupati unabaki kupoangaza macho tulia Mzee wangu nakupenda Sana ndo Mana nakupa ushauri huu
@mtanzaniahalisimungunimwem6734 жыл бұрын
Ushauri mzr. Maana vijana wapo. Akikosa ubunge ujue presha na sukari vitamnyemelea kwa Kasi. Umri huo sio wa kuchezea. Ni atulie atoe ushauri kwa vijana
@shadrackmpama29474 жыл бұрын
Acha fikila za kitoto huyu bado kijana Jimbo hili linamfaa
@charlesnassary66894 жыл бұрын
saf mama
@xerxespersian13844 жыл бұрын
NAMKUBALI SANA MZEE HUYU HUYU MZEE NI MIONGONI MWA WATU WENYE NGUVUU
@alexbenedict53784 жыл бұрын
Dar
@najathakajumulo84294 жыл бұрын
Jamani mbona nafsi zenu haziridhiki mpumzikeni na wenzenu wale.
@husseinkonz51924 жыл бұрын
Jaman pumziken twna
@barakafidelisfidelis74514 жыл бұрын
Ukovizuli Mzee kunavitu najifunza kwako
@mathiasmsese61284 жыл бұрын
Mpaka octoba tutaona maigizo mengi. nijuavyo wanasiasa wapo location
@jicholafursa70584 жыл бұрын
Duh kuaga kote kumbe tamaa mbele haya subiri magufuli atakavyoamuka.
@msetikebwasi68954 жыл бұрын
Bado agrey mwanri.
@modestussanga54134 жыл бұрын
Na yule akipita nahis na uwazir juu
@mussakasela19374 жыл бұрын
Mkuu ndoto hua Haifi labda kwanaoishi bila kujua mungu aliwaleta kwaajili gani hapa duniania. Nikikuangalia wewe na kaka yangu wa sabini na moja . Mnafanana tuuu
@piussimtala51114 жыл бұрын
Ukuu wa mkoa hakuridhika? Mimi sijui Kama anaweza kushinda Ila Mwanry sawa
@tanzaniatouristsattraction16224 жыл бұрын
Pesa zote hizo kwa mamako unashindwa kuboresha makazi
@emanuelmwanga44 жыл бұрын
Baraka za bibi
@kipigapasilisungu25812 жыл бұрын
.
@miketzee8064 жыл бұрын
Wazee wetu mnaostaafu jaribuni muelewe nini maana ya kustaafu, Ina maana umri umekwenda unahitaji kupumzisha mwili na akili, Ushauri ni bora upumzike, nguvu ulizonazo bora ulime, utunze wajukuu furahia maisha uliyotesekea, Bungeni utaenda kusinzia tu mkuu wetu
@msetikebwasi68954 жыл бұрын
Aaaa,kumbe mzee anataka kutengeneza nchi yani akisitafu aache watu imara wasio penda utani.
@abubakarikisuju53744 жыл бұрын
Mbona nyumba yako hatuioni"au hujajenga kijijini?
@ashrafumohammedi50784 жыл бұрын
Nakushauri uuwachie vijana nao wafanye Mambo Yao pia ,nadhani huko bungeni hutofanya chochote zaidi ya kuupiga usingizi Kama mzee wasira.
@esterelias81894 жыл бұрын
Hahahahahaha mbavu zangu
@Hillary_Daudi_Mrema4 жыл бұрын
Kama akishinda ubunge, basi anaweza kuwa waziri wa ulinzi na jkt
@giriadbirusha70064 жыл бұрын
Kabisa ndg.
@kanuthmwegella93114 жыл бұрын
Hongera xn mkuu pambana kuijenga nchi na kijij chetu unatuhamasisha vijana tunaojaribu kufuata nyayo zako umeni inspire sana