No video

RC MSTAAFU MWANAJESHI AUTAKA UBUNGE, AFUATA BARAKA ZA MAMA YAKE ''MWANANGU BADO UNAHAMU NA KAZI'

  Рет қаралды 29,894

Millard Ayo

Millard Ayo

4 жыл бұрын

Пікірлер: 69
@mahamudmhawi2731
@mahamudmhawi2731 4 жыл бұрын
Hii nzuri kukumbuka kwa mama baraka toshaaa mnooooo hongera mzee
@joycemashikolo9096
@joycemashikolo9096 4 жыл бұрын
bibiangu mzuri Mungu akubariki sana.Nakupenda wazee na watoto hasa wanaoishi kwa mazingira mangumu!! Mungu niwezeshe siku moja nifanye jambo kubwa kwao!! Naomba maombi yenu Wapendwa siku moja nirudi kutoa shukrani hapa 13-07-2020
@japhethgeriad4519
@japhethgeriad4519 4 жыл бұрын
Mungu akutendee Kwa jina la Yesu Kristo
@joycemashikolo9096
@joycemashikolo9096 4 жыл бұрын
@@japhethgeriad4519 Amina ndugu yangu
@yusufumajinge59
@yusufumajinge59 4 жыл бұрын
Mzazi makini sana huyu aisee kizazi hiki tusikiache kipotee.
@giriadbirusha7006
@giriadbirusha7006 4 жыл бұрын
Nakupenda sana mkuu wangu mstaafu wa mkoa Kigoma. Ninakuombea sana kwa Mungu upite kwa kishindo jimboni kwako. Natamani na ninapenda sana kuendelea kukuona ukijenga nchi hata kama umestaafu. Mungu akufungulie njia na awe na wewe daima, Amen. Asante Millard Ayo kwa updates za huyu ndugu. 🤝
@badenbensoni7516
@badenbensoni7516 4 жыл бұрын
Huyu mama anaongea kwa akili sana
@iviejustified8109
@iviejustified8109 4 жыл бұрын
Hongera saana bibi kwa Maisha yako...
@ramadhanisuru1822
@ramadhanisuru1822 4 жыл бұрын
Milad ayo tuko pamoja nawewe kwa kaziyako safi
@ramadhanisuru1822
@ramadhanisuru1822 4 жыл бұрын
Namiye nakuombea mungu ushinde kwa kishindo aaamiiinaaa
@KigomaTV.
@KigomaTV. 3 жыл бұрын
Nakumiss mzee wangu Maganga😭😭 nakumbuka hii video nimefanya Mimi Asante kwa kuniamini kwa Kila kitu toka kigoma Hadi mvomero bado unaishi moyoni mwangu kusema ukweli.
@loishockmeitamei8344
@loishockmeitamei8344 4 жыл бұрын
Endelea Mkuu, bado una hazina ya kutumika kwa Watanzania
@sophiaalex7792
@sophiaalex7792 3 жыл бұрын
Pole sana bibi mungu akutie nguvu nimekuona kunke Umehuzunika sana bibi mshukuru mungu kwakila jambo
@texastexas2545
@texastexas2545 4 жыл бұрын
We nimzee wang lkn nakufatilia sa na uko vzr' nautashnda kwa kishindo na Bibi yetu Mola ambalik
@chichimputi1193
@chichimputi1193 4 жыл бұрын
Alikuwa kigoma anaweza kazi sana
@fatemaligalawa1918
@fatemaligalawa1918 3 жыл бұрын
Iraalishindwa nakifo kimemchukuwa😭😭😭
@patriciamaganga3891
@patriciamaganga3891 3 жыл бұрын
Mungu akupe pumziko la amani Amina
@stvenkiwili6630
@stvenkiwili6630 4 жыл бұрын
Kumbe ukisitaafu unataka kazi nyingine
@idawakisambivi7747
@idawakisambivi7747 4 жыл бұрын
Hiyo ndio shida ya kuingiza wanajeshi kwenye siasa, lazima atatamni zaidi
@jeanmubemba1204
@jeanmubemba1204 4 жыл бұрын
haman wanajeshi hawana tamaa ni mtu anajiona anafaa anagombea sio mbaya ,afande maganga ana uzoefu mkubwa
@iviejustified8109
@iviejustified8109 4 жыл бұрын
Brother , wazungu wanasema you are stricking personalities ...
@homeboybeyondtheborders4935
@homeboybeyondtheborders4935 4 жыл бұрын
Mwanajeshi ni mtanzania,tusiwe na akili za leo...kesho kutwa tutaja jisuta.Hoja je anastahili.
@charlesmwambisya2397
@charlesmwambisya2397 4 жыл бұрын
Ongera sana
@masrergaudens3967
@masrergaudens3967 4 жыл бұрын
Nakushauri upumzike maana kule Bungeni utasikia usingizi mzito.
@markolazaro2561
@markolazaro2561 4 жыл бұрын
Daaaaaah maneno ya huyu bibi mazito saana.Bwana ampe hatua sana
@fediliaulomi4969
@fediliaulomi4969 4 жыл бұрын
Mm yupo vizuri na mungu
@alandoanthony8730
@alandoanthony8730 4 жыл бұрын
Hii ndio maana halisi ys mtoto kwa hakui,65 yrs lakin kwa mama ni mtoto tu anapewa shule ya Mungu wa Yakobo
@fatemaligalawa4151
@fatemaligalawa4151 4 жыл бұрын
Bado sukuma ndani
@msetikebwasi6895
@msetikebwasi6895 4 жыл бұрын
Aaa,kumbe mchongo,!!!!!!!!!
@ibrahimkambi9288
@ibrahimkambi9288 4 жыл бұрын
Sawa Mkuu unastahili tena sana All the best
@swaleheamri2303
@swaleheamri2303 4 жыл бұрын
Dawa.
@asharamadhani4641
@asharamadhani4641 4 жыл бұрын
Ahaa
@rckkajuna2144
@rckkajuna2144 4 жыл бұрын
Saw
@allyarussinga803
@allyarussinga803 4 жыл бұрын
Mzee ni vizur upumzike umeshatumikia sana taifa inatosha
@emmanueljohn5162
@emmanueljohn5162 4 жыл бұрын
Ila maza wa uyu RC ni mbabe
@piusjuma7384
@piusjuma7384 4 жыл бұрын
Mzee ninakubali Sana hata marehemu baba yangu Paschal mpondi aliyekuwa askar jeshi katika kambi ya navy kigambon,kigoma pamja na mirambo barracks aliwai kunizungumzia kuhusiana na utendaji wako wa kazi na utu wako
@zegelibilishanga4761
@zegelibilishanga4761 3 жыл бұрын
Wp
@HASASON
@HASASON 4 жыл бұрын
Huyu anafaa Kigoma aliipaisha
@geraldbenjamin9302
@geraldbenjamin9302 4 жыл бұрын
Kuna Jamaa, sehemu moja hivi limeandika vitu naona vinatokea sasa
@mothernatureanditsbeauty5603
@mothernatureanditsbeauty5603 3 жыл бұрын
Huyu mzee alikuwa candidate mwenzangu Jimbo la Mvomero. 😁🤣
@athumanikaroyo5999
@athumanikaroyo5999 4 жыл бұрын
Machozi yamenitoka kiongozi kua mmyenyekevu kwa mama yake na mama ni mama
@alexvenas2699
@alexvenas2699 4 жыл бұрын
Mama nimekuelewa sana umeingea mambo mazri sana sana.
@nyambirotrueinformation7500
@nyambirotrueinformation7500 4 жыл бұрын
Pumzukeni wazeee muwaachie vijana nao wafanye kazi kujenga taifa unataka ustaafu na miaka 80 kweli nakushauri upumzike tulia hio pension yako kula Na Mama yako sio uigawe utakuja kujuta utagawa pension na mwisho wa siku ubunge hupati unabaki kupoangaza macho tulia Mzee wangu nakupenda Sana ndo Mana nakupa ushauri huu
@mtanzaniahalisimungunimwem673
@mtanzaniahalisimungunimwem673 4 жыл бұрын
Ushauri mzr. Maana vijana wapo. Akikosa ubunge ujue presha na sukari vitamnyemelea kwa Kasi. Umri huo sio wa kuchezea. Ni atulie atoe ushauri kwa vijana
@shadrackmpama2947
@shadrackmpama2947 4 жыл бұрын
Acha fikila za kitoto huyu bado kijana Jimbo hili linamfaa
@charlesnassary6689
@charlesnassary6689 4 жыл бұрын
saf mama
@xerxespersian1384
@xerxespersian1384 4 жыл бұрын
NAMKUBALI SANA MZEE HUYU HUYU MZEE NI MIONGONI MWA WATU WENYE NGUVUU
@alexbenedict5378
@alexbenedict5378 4 жыл бұрын
Dar
@najathakajumulo8429
@najathakajumulo8429 4 жыл бұрын
Jamani mbona nafsi zenu haziridhiki mpumzikeni na wenzenu wale.
@husseinkonz5192
@husseinkonz5192 4 жыл бұрын
Jaman pumziken twna
@barakafidelisfidelis7451
@barakafidelisfidelis7451 4 жыл бұрын
Ukovizuli Mzee kunavitu najifunza kwako
@mathiasmsese6128
@mathiasmsese6128 4 жыл бұрын
Mpaka octoba tutaona maigizo mengi. nijuavyo wanasiasa wapo location
@jicholafursa7058
@jicholafursa7058 4 жыл бұрын
Duh kuaga kote kumbe tamaa mbele haya subiri magufuli atakavyoamuka.
@msetikebwasi6895
@msetikebwasi6895 4 жыл бұрын
Bado agrey mwanri.
@modestussanga5413
@modestussanga5413 4 жыл бұрын
Na yule akipita nahis na uwazir juu
@mussakasela1937
@mussakasela1937 4 жыл бұрын
Mkuu ndoto hua Haifi labda kwanaoishi bila kujua mungu aliwaleta kwaajili gani hapa duniania. Nikikuangalia wewe na kaka yangu wa sabini na moja . Mnafanana tuuu
@piussimtala5111
@piussimtala5111 4 жыл бұрын
Ukuu wa mkoa hakuridhika? Mimi sijui Kama anaweza kushinda Ila Mwanry sawa
@tanzaniatouristsattraction1622
@tanzaniatouristsattraction1622 4 жыл бұрын
Pesa zote hizo kwa mamako unashindwa kuboresha makazi
@emanuelmwanga4
@emanuelmwanga4 4 жыл бұрын
Baraka za bibi
@kipigapasilisungu2581
@kipigapasilisungu2581 2 жыл бұрын
.
@miketzee806
@miketzee806 4 жыл бұрын
Wazee wetu mnaostaafu jaribuni muelewe nini maana ya kustaafu, Ina maana umri umekwenda unahitaji kupumzisha mwili na akili, Ushauri ni bora upumzike, nguvu ulizonazo bora ulime, utunze wajukuu furahia maisha uliyotesekea, Bungeni utaenda kusinzia tu mkuu wetu
@msetikebwasi6895
@msetikebwasi6895 4 жыл бұрын
Aaaa,kumbe mzee anataka kutengeneza nchi yani akisitafu aache watu imara wasio penda utani.
@abubakarikisuju5374
@abubakarikisuju5374 4 жыл бұрын
Mbona nyumba yako hatuioni"au hujajenga kijijini?
@ashrafumohammedi5078
@ashrafumohammedi5078 4 жыл бұрын
Nakushauri uuwachie vijana nao wafanye Mambo Yao pia ,nadhani huko bungeni hutofanya chochote zaidi ya kuupiga usingizi Kama mzee wasira.
@esterelias8189
@esterelias8189 4 жыл бұрын
Hahahahahaha mbavu zangu
@Hillary_Daudi_Mrema
@Hillary_Daudi_Mrema 4 жыл бұрын
Kama akishinda ubunge, basi anaweza kuwa waziri wa ulinzi na jkt
@giriadbirusha7006
@giriadbirusha7006 4 жыл бұрын
Kabisa ndg.
@kanuthmwegella9311
@kanuthmwegella9311 4 жыл бұрын
Hongera xn mkuu pambana kuijenga nchi na kijij chetu unatuhamasisha vijana tunaojaribu kufuata nyayo zako umeni inspire sana
@yaledihoza2068
@yaledihoza2068 4 жыл бұрын
Kunke hapo
A teacher captured the cutest moment at the nursery #shorts
00:33
Fabiosa Stories
Рет қаралды 56 МЛН
Spot The Fake Animal For $10,000
00:40
MrBeast
Рет қаралды 197 МЛН
LIVE: KUTOKA IRINGA RC HAPI NA WANANCHI USO KWA USO
1:17:52
Millard Ayo
Рет қаралды 19 М.
historia fupi ya marehemu BRIGEDIA EMMANUEL E MAGANGA
1:56
SUNGO TV
Рет қаралды 15 М.
How to win a argument
9:28
ajaxkmr
Рет қаралды 433 М.
Naomba mwili wa mwanangu Sabina niamini alikufa
50:14
Mwamogusii TV
Рет қаралды 157 М.
HOTUBA YA RAIS MAGUFULI AKIWA UKEREWE - 04/09/2018
59:24
Azam TV
Рет қаралды 800 М.
A teacher captured the cutest moment at the nursery #shorts
00:33
Fabiosa Stories
Рет қаралды 56 МЛН