HOTUBA YA RAIS MAGUFULI AKIWA UKEREWE - 04/09/2018

  Рет қаралды 799,551

Azam TV

Azam TV

5 жыл бұрын

Rais Magufuli ambaye yuko ziarani mkoani Mwanza amezungumza na wananchi wa Nansio wilayani Ukerewe katika mkutano wa hadhara uliofanyika katika uwanja Ukuta Mmoja ambapo amesema Serikali imedhamiria kutekeleza dhamira ya Baba wa Taifa Hayati Mwl. Julius Kambarage Nyerere ya kukiendeleza kisiwa cha Ukerewe kwa kuhakikisha inajenga miundombinu ya barabara ya uhakika, inaimarisha huduma za elimu, maji, umeme na afya, na hivyo amewataka wananchi kutoa ushirikiano kwa Serikali katika utekelezaji wa dhamira hiyo.
Ameongeza kuwa sambamba na juhudi hizo Serikali ya Awamu ya Tano imechukua hatua madhubuti za kusimamia rasilimali za umma ikiwemo kudhibiti wizi, ufisadi na rushwa pamoja na kutekeleza miradi mikubwa ikiwemo kuongeza uzalishaji wa umeme utakaoiwezesha nchi kuwa na umeme wa gharama nafuu kwa ajili ya maendeleo ya viwanda.
Kuhusu uvuvi, Rais Magufuli amempongeza Waziri wa Mifugo na Uvuvi Luhaga Mpina kwa juhudi zake za kukabiliana na uvuvi haramu ambazo sasa zimeanza kuzaa matunda kwa samaki kuongezeka katika ziwa Victoria huku akibainisha kuwa uvuvi haramu uliokuwepo umesababisha viwanda vingi vya samaki kufa, ajira kupotea na samaki kupungua kwa kiasi kikubwa kutokana uharibifu mkubwa wa mazalia na uvuvi wa samaki wadogo.

Пікірлер: 329
@ramadhaniamri3465
@ramadhaniamri3465 2 жыл бұрын
Wakati unagombea uraisi, uripokua unafanya kampeni urikuta ccm ni mbovu sana pia warikususa baadhi ya viongozi uripita kuomba kura mikoani peke yako na uripopita ccm ikawa juu, magufuri roho yako ipumzike kwa amani, mahari pema peponi AMIN
@susannaikuni8595
@susannaikuni8595 2 жыл бұрын
Mfalme lala salama from Kenya lakini nlikupenda xna mtetenzi wawanyonge hutawahi sahaolika Africa nzima Mungu umrehemu
@purposetowalkwithjesuschri2455
@purposetowalkwithjesuschri2455 2 жыл бұрын
We really miss you so much our beloved Dad. Tutamkumbuka daima shujaa wetu
@purposetowalkwithjesuschri2455
@purposetowalkwithjesuschri2455 2 жыл бұрын
Oh thank you dia
@aisharajimbo6784
@aisharajimbo6784 2 жыл бұрын
Inna lilahi wa Ina ilaihi rajiun mungu ailaze Mahali pema peponi roho yake Insha_allah
@khuiii9032
@khuiii9032 2 жыл бұрын
Kafiri makazi yKee motoni tuu kwani hujuii ww
@shirfadigubike7920
@shirfadigubike7920 2 жыл бұрын
Ulikuwa kipenzi cha watu.ukisema unafanya.mungu akuepushe na moto wajehanamu.makazi yako yawe peponi ukutani na mahulilain wa peponi🙏
@Vuvuzelaz1
@Vuvuzelaz1 2 жыл бұрын
Mwamba umelala baba Mungu yupo nawe na kama kuna ubaya atakulipia kama alikuita upumzike kwa amani
@bekabakari7394
@bekabakari7394 2 жыл бұрын
Hata hasomi speech huyu mzee Mungu muweke pema peponi
@jenyyusuph4973
@jenyyusuph4973 2 жыл бұрын
Yani nafikili mm peke yangu kumbe wengi tunaye msitajabia baba huyu😭😭😭😭😭 TUMEPOTEZA KICHWA
@dianamahendekamahendeka1344
@dianamahendekamahendeka1344 2 жыл бұрын
Huyu hakuwa mtu was kawaida alikua kashushwa na mungu daah 😭😭😭😭
@mansourmkanakuta6641
@mansourmkanakuta6641 2 жыл бұрын
Rip rais wetu wa mda ote hayat magufuli
@josephrobert3928
@josephrobert3928 4 жыл бұрын
hii ndo speech saf ya mkuu wa nch Mungu akubaliki
@wilsonchishomi1083
@wilsonchishomi1083 2 жыл бұрын
Umetuacha yatima mzee wetu.. Asante kwa mema yote uliyotufanyia.. daima utaishi mioyoni mwetu.. I’m missing you 😞.. may your soul rest in eternal glory.. 🙏🏾
@godwinshoo3101
@godwinshoo3101 2 жыл бұрын
Mwenyenzi Mungu tunakuomba utuandalie mwingine mwenye upeo mpana , juhudi ,uzalendo na siasa za kweli ili aje aendeleze haya yenye manufaa kwa wananchi
@annaswai2434
@annaswai2434 2 жыл бұрын
mungu akuweke mahali pema baba yetu magu uku duniani mafisadi wanatunyanyasa wanajua watakula izo hela milele awajui Kama ipo siku nao watakufa
@afrimediake.9568
@afrimediake.9568 2 жыл бұрын
Kiongozi wa kwanza duniani mwenye hekima na msimamo wake dhabiti,, kongole Mzee,, safiri salama,, Nakupenda toka Kenya kakamega
@mayanjajackson3585
@mayanjajackson3585 2 жыл бұрын
👏🏾👏🏾👏🏾👏🏾👏🏾Kazi ulio fanya iko myoyoni kweli ushuja ume onyesha hata kosa mtu fulani ata ufwata mfano wako baba 👏🏾👏🏾👏🏾
@redeemed4327
@redeemed4327 5 жыл бұрын
Hapa Kazi tu! Asante JPM! Keep the tune, tutaelewa tu ambao vichwa vigumu.
@kelvinmulengo8555
@kelvinmulengo8555 2 жыл бұрын
That was man of action those who remains in ccm ni vigeugeu they don't want poor anymore JPM were are you father we miss you papa God send someone to comfort the machinga and the orphans in Tanzanian am Kelvin from l s k Zambia
@robsonlotyloy5678
@robsonlotyloy5678 2 жыл бұрын
Ni maneno ya kiongozi shujaa. Haya yote yanabaki kwenye mioyo yetu daima.
@fatumagillah2319
@fatumagillah2319 2 жыл бұрын
RIP tutakukumbuka daima Kambarage namba 2
@rehemaphinias3977
@rehemaphinias3977 2 жыл бұрын
Tunakukumbuka jpm, baba raisi wa dunia uliye teuliwa na mungu, mungu alitoa na mungu alitwaaa jina lake lihimidiwe,
@faustienealexi2268
@faustienealexi2268 2 жыл бұрын
Kweli Magufuli alikuwa Raisi wa Dunia tumepoteza jembe kweli kweli
@eliakundanoe4486
@eliakundanoe4486 2 жыл бұрын
Salaam zako zenyewe zina hamasa , lala baba tutakukumbuka daima
@alexedward4069
@alexedward4069 2 жыл бұрын
Tanzania tulipata Rais. Pumzika milele kwa amani. Mimi mungu akijalia nikiwa Rais ntakua kama wewe
@frankngoloka2589
@frankngoloka2589 2 жыл бұрын
Nchi yetu ingefika mbali sana,tungekuwa nchi ya mfano
@rogasianshayo3740
@rogasianshayo3740 27 күн бұрын
Magufuli kiongozi bora kuwahi kutokea Tanzania 🇹🇿 RIP 🙏, nakuangalia mzee wangu 3.7.2024 tunaseka uku mzee wangu 😢
@pendonaomi1825
@pendonaomi1825 2 жыл бұрын
Hata salaam yako tu ilinipa furaha na amani 😢😭😭 JPM ntakulilia daima😪😪😪
@gaburieremanuel6785
@gaburieremanuel6785 2 жыл бұрын
Gr Post
@gaburieremanuel6785
@gaburieremanuel6785 2 жыл бұрын
Om
@susananyasani6526
@susananyasani6526 2 жыл бұрын
Hotuba ya Rais Dkt John Pombe Maguli ni yaukweli yenye Siasa na Katiba kama inavyotakia alitimiza Miradi aliyowaahidi Wananchi wongozi wake ni wakipekee Mungu alimchagua kutumikia Watanzania asante Mungu
@seifjuma4743
@seifjuma4743 2 жыл бұрын
Mm n mkerewe daaah nimeumia san hutuba hiiii
@musicmylife5417
@musicmylife5417 2 жыл бұрын
Pumzika kwa amani baba.
@user-qc2qf7fe5o
@user-qc2qf7fe5o 5 ай бұрын
Pumzika kwa amani baba tulikupenda sana Mungu amekupenda zaidi
@johnhoswad8385
@johnhoswad8385 2 жыл бұрын
Amakweli ulikuwa ukimcha mungu siyokama uliotuachia hatakulitamka jina la mungu Hakuna kwakuwa hofu ya mungu haipo ndani yao hatutafika zaidi yakuyumbishwa na kunyanyaswa
@halimushabani9480
@halimushabani9480 2 жыл бұрын
Tutakkumbuka daima.
@susananyasani6526
@susananyasani6526 2 жыл бұрын
Hotuba hii ya kutoka kwa Mheshimiwa Rais Dkt John Pombe Maguli ya mwaka 2018 September ni Hotuba yenye Katiba na Uchumi wa kujenga Nchi anayoifahamu Uongozi si kazi rahisi nikilingani Tansania na Nchi zenye maendeleo ndio maana asisahulike tumpe shukrani milele na milele
@rosetreffert6727
@rosetreffert6727 2 жыл бұрын
Kipenzi cha WATANZANIA REST IN PEACE SHUJAA WETU MAGUFULI 😭😭😭❤💔
@rohitatri95
@rohitatri95 5 жыл бұрын
Melanga Chikubati nimefurahi sana kumuona raisi yupo kwetu ukerewe
@beatricekihehe3733
@beatricekihehe3733 2 жыл бұрын
Mungu wangu sijui kama tutamsahau huyu
@emmanyahubah5820
@emmanyahubah5820 2 жыл бұрын
BADO VILIO VIMETANDA !!! NIMELIA SANA 😭😭😭👆
@josephwambua5874
@josephwambua5874 2 жыл бұрын
Pole sana mungu yupo
@JumaBondo
@JumaBondo 9 ай бұрын
Mwamba nimekuerewa, Hakika machozi hajaisha mioyoni mwetu,
@neematweve3150
@neematweve3150 2 жыл бұрын
Baba tunakukumbuka Sana. Tunalia Sana kwa ulio tufanyia.tuombee unafuu was maisha kwa mungu.nasi tunakuombea.mungu akupokee
@fredkyara.babamunguwambing482
@fredkyara.babamunguwambing482 5 жыл бұрын
Shimbonyi. Mae. Shimbonyi mmbe. Magufuli kweli we nomaa.
@issakara9403
@issakara9403 2 жыл бұрын
YANI JAPO ALIKUA NA MABAYA YAKE ILA SALAMU TU UNAJUWA KAMA HUYU RAISI
@gesusgegangphray7689
@gesusgegangphray7689 2 жыл бұрын
Kodi yaatanzania ndio inajenga nchi na matrilion kuibiwa na mafisadi na wengi wapo CCM .uzuri ilijuwa kilakitu ..lala Salama Baba
@hatari9591
@hatari9591 2 жыл бұрын
Ulikuwa unanikosha sana mzee wetu. Hata wasipokuenzi kitafa tutakuenzi kwenye mioyo yetu.
@coffeemuya618
@coffeemuya618 2 жыл бұрын
Pumzika kwa amani chumaa Dr John pombe magufuli hakika ww ulikua mtumishi wetu na sio rais wetu
@shebyshababa6242
@shebyshababa6242 2 жыл бұрын
Tutakukumbuka daima
@t1910j
@t1910j 2 жыл бұрын
I miss my president so much! RIP 😞
@mhamedabdalah2234
@mhamedabdalah2234 2 жыл бұрын
Kupata Rais kama huyu huenda atoke kanda yaziwa
@ezekieljacob5795
@ezekieljacob5795 2 жыл бұрын
Sidhani
@simonmagaigwa5496
@simonmagaigwa5496 2 жыл бұрын
Hotuba hizi zulitutia moyo, wananchi walihamasika kuja kumwona na kumsikiliza kiongozi wao, leo hii nchi imepoa kabisa.
@tawusishaban5130
@tawusishaban5130 2 жыл бұрын
tonge tam haifiki mdomoni lala pema peponi amiin
@gambobakari4978
@gambobakari4978 2 жыл бұрын
Cna lakuandika zaid ya kukuombea kwa Mungu akupe pepo ktk maisha y huko akhera, naumia sana kw kfo chako.
@zuberinzige6452
@zuberinzige6452 5 жыл бұрын
nakuelewa sn rais wangu mungu akutangulie kwa maendeleo unayo tuonyesha
@michaelmgwambe7256
@michaelmgwambe7256 2 жыл бұрын
Hakika mungu mpunzisha kwa amani mtu huyu amina
@codermasye3763
@codermasye3763 2 жыл бұрын
Wangapi mpaka leo wakitazama video zake wanaisi bado yupo hai gonga like hapa
@filbertluambano4178
@filbertluambano4178 2 жыл бұрын
R.I.P Mwamba
@chidiomari.65
@chidiomari.65 2 жыл бұрын
R.I.P Papaa we missed you🤲🤲
@exaverymakoye6026
@exaverymakoye6026 2 жыл бұрын
Daah,🙆😭😭
@halimahamady8089
@halimahamady8089 2 жыл бұрын
@@exaverymakoye6026 1111111111111111
@athanassimbila2603
@athanassimbila2603 2 жыл бұрын
TUNAKUKUMBUKA.BABA.MUNGU ATUPATIE TENA WA.AINA YAKO MAPEMAAA.EEE MUNGU
@epifaniamilinga2848
@epifaniamilinga2848 2 жыл бұрын
Jamani,siku hizi simkii Ndalichako.sijui kazi zote anafanya ummy
@geraldmakalala6091
@geraldmakalala6091 2 жыл бұрын
Kweli
@simonmagaigwa5496
@simonmagaigwa5496 2 жыл бұрын
Amepotea kabisa.
@graciamligo120
@graciamligo120 2 жыл бұрын
Rest in Peace mwamba wa Afrika
@jisamjoseph4558
@jisamjoseph4558 2 жыл бұрын
Rest in paradise Papa.....love you
@josephnchunga1247
@josephnchunga1247 2 жыл бұрын
Tutakukumbuka daima sasa hivi umetutoka yamerudi tena Yale Yale inchi imepoa sana bei bidhaa mafisadi wanatamba mambo ,upande Wa madini hawayasemei kwa nguvu tena ili kuyasimamia vizuri sasa hivi kimya duh Mungu atusaidie 2025 tupate rais Mwenye maona kama magufuli
@khadejarajab844
@khadejarajab844 2 жыл бұрын
Allah akuweke apendapo milele amin
@eliasylvester6429
@eliasylvester6429 5 жыл бұрын
HAPA KAZI TUU MH MAGUFULI
@rohitatri95
@rohitatri95 5 жыл бұрын
Nimekubali na nimependa sana najivunia nyumban ukerewe
@ramadhanmahongole5663
@ramadhanmahongole5663 2 жыл бұрын
Hapa kazi tu... na siyo uhuru na kazi
@ginustimotheo2148
@ginustimotheo2148 2 жыл бұрын
Mimi nazani Tanzania hatuhitaji maendeleo ya nchi bali tunahitaji tudidimizane ila mungu yupo anawaona. Magu wangu ntakueka moyoni milele
@pirminkillumbe4727
@pirminkillumbe4727 2 жыл бұрын
Mweee Baba RUDI...Baba J.P.M Unatuliza....Mungu turudishie mtu huyu mweee.😭😭😭
@sammanjeka7357
@sammanjeka7357 Жыл бұрын
Dady we missed you.
@tajimwakasese9457
@tajimwakasese9457 2 жыл бұрын
Hapa kazi tu tunakukumbuka sana
@owinochris9886
@owinochris9886 2 жыл бұрын
Aliye muuwa this man alani we e
@loner_wolf
@loner_wolf 2 жыл бұрын
Hii nchi tumechezewa sana, watu wa hovyo wameharibu sana nchi hii, sikutegemea jpm anaweza kufa kifo cha utata kiasi kile, naumia moyoni, najiona nimekosea kutomlinda akiwa hai , kiukweli wote tulijua wapo downpressers wa haki za watu wa nchi hii waliomchukia sana na walikuwanaye karibu na kumbe behind dem try to eliminate em. Jah protect you bro Jpm. 😪😪😪
@thomasmartinez786
@thomasmartinez786 2 жыл бұрын
Habakuki 3:2 [2]Ee BWANA, nimesikia habari zako, nami naogopa; Ee BWANA, fufua kazi yako katikati ya miaka; Katikati ya miaka tangaza habari yake; Katika ghadhabu kumbuka rehema. O LORD, I have heard thy speech, and was afraid: O LORD, revive thy work in the midst of the years, in the midst of the years make known; in wrath remember mercy.R.I.P JPM
@thomasmartinez786
@thomasmartinez786 2 жыл бұрын
Maombolezo 5:1 [1]Ee BWANA, kumbuka yaliyotupata; Utazame na kuiona aibu yetu. Remember, O LORD, what is come upon us: consider, and behold our reproach.R.I.P CHUMA 😭😭
@adammwita3150
@adammwita3150 2 жыл бұрын
Tubaki kuyaishi maisha yake katika nafasi zetu tulzonazo, pengne ni mpango wa Mungu kutuletea JPM. JPM alitufundsha Uzalendo na Uongozi bora na ametufunulia ukweli wa baadhi ya mambo tuliyokuwa hatujui. Mungu ampokee Mzalendo wetu JPM.
@loner_wolf
@loner_wolf 2 жыл бұрын
@@adammwita3150 moja wapo ni kuhusu kuvunja mikataba tuliyoambiwa ni yamiaka 100 na haivunjikagi ....yeye alivunja bila hata kusikilizia labda kunakitu kitatokea hahahaha kweli Chuma kweli kweli
@adammwita3150
@adammwita3150 2 жыл бұрын
@@loner_wolf huyu mzee akuwa peke yake MUNGU ALIAMUA KUMTUMIA AWEZE KUTUONYESHA NAMNA TULVYO CHEZEA NA VIONGOZI WETU.
@salumugidion
@salumugidion 2 жыл бұрын
Jamaa kilikuwa kichwa kweli kweli 🙏
@mwalimumstaafu8529
@mwalimumstaafu8529 2 жыл бұрын
Baba umeondoka lakini utabaki kuwa ndani ya mioyo ya watanzania. RIP Baba.
@vitalismagambo7017
@vitalismagambo7017 2 жыл бұрын
Hakika Magufuli angelipeleka Tanzania pazuri. Mimi nilimpenda huyu raisi.
@wamoroboy8963
@wamoroboy8963 2 жыл бұрын
Mim nilimpenda huyu rais sasa hiv umpendi kwa sababu amekufa au vp
@sr.helenarhobi8886
@sr.helenarhobi8886 2 жыл бұрын
Babetu Magufuli umebaki mioyoni mwetu daima. Tuombee kwa Mungu aliyekuwa msaidizi wako ndiye yupo madarakani Sasa anatusulubusha kwa machanjo yao hovyo hovyo uliyoyakataa. Du! Baba tunatendewa Kama kuku wa kuchinjwa, hatuna mahali pa kukimbilia Tanzania Ni pana ila kwa Sasa imekuwa finyu. Pumzika kwa amani mwana mpendwa na mzalendo wa kweli wa Afrika!
@ronniebertin3563
@ronniebertin3563 2 жыл бұрын
Nilimpenda huyu rais na nitaendelea kumpenda. Ni mtu wa wa vitendo
@bonny-tz2323
@bonny-tz2323 2 жыл бұрын
Go Papa Go.... Maneno na vitendo vyako vinaishi mioyoni mwa-watanzania tu sio hao waliobaki madarakan 😭😭
@jeniphjohn9718
@jeniphjohn9718 2 жыл бұрын
Joh
@simonmagaigwa5496
@simonmagaigwa5496 2 жыл бұрын
Kweli, ndo maana unaona mpaka leo kuna watu bado wanapambana na kivuli chake bado hawaamini kama ameondoka.
@gwishtztz8784
@gwishtztz8784 2 жыл бұрын
Chuma in my heart will live for ever
@zachariamagwasa42
@zachariamagwasa42 2 жыл бұрын
upup
@ramadhanimntambo6053
@ramadhanimntambo6053 2 жыл бұрын
@@zachariamagwasa42 ÀÀAaa
@ramadhanimntambo6053
@ramadhanimntambo6053 2 жыл бұрын
@@zachariamagwasa42 aaaàaA
@ramadhanimntambo6053
@ramadhanimntambo6053 2 жыл бұрын
aaàaaaààÀaaÀaaaaaaaàAAAAAA
@christinamendrady9148
@christinamendrady9148 2 жыл бұрын
Continue resting in piece or presdaa
@emmanyahubah5820
@emmanyahubah5820 2 жыл бұрын
You missed by us Tanzanians
@imanimakene8542
@imanimakene8542 2 жыл бұрын
kwel ww ni raise wa wa2
@jongosalehe1036
@jongosalehe1036 2 жыл бұрын
Hapa kazi tu..
@eugymaro9623
@eugymaro9623 2 жыл бұрын
Love sana papaaa RIP
@davidthoya3790
@davidthoya3790 2 жыл бұрын
R.I.P MZEE MAKUFULI
@SteraMisana-us5ov
@SteraMisana-us5ov Жыл бұрын
Last in peace fother😭😭😭😭tutakukumbuka daima milele.
@margarethsolomon9823
@margarethsolomon9823 2 жыл бұрын
Maneno ya uwazi, maamuzi magumu, yataishi katika vizazi vya leo na vitakavyoendelea. Utasimuliwa kwa mema na wachache watasimulia Yao mabaya. Sijui Ni Magufuli gani atakuja kupatikana tena katika hii nchi ya Tanzania.🙆🙆🙆😭😭🙏🏼🙏🏼🙏🏼
@calvinbakari6016
@calvinbakari6016 2 жыл бұрын
Hatariiiiiiii sn huyu mzeee nampenda sn jmn daaaaa??
@josephwambua5874
@josephwambua5874 2 жыл бұрын
Tumuamini mungu atawapa kiongozi mwingne
@josephwambua5874
@josephwambua5874 2 жыл бұрын
@@calvinbakari6016 pole sana bro mungu yupo
@margarethsolomon9823
@margarethsolomon9823 2 жыл бұрын
@@josephwambua5874 Duuuuuuiuuuu! Si rahisi kwa sasa, washauri muhimu wote wametangulia mbele ya Haki. Tuko kipindi kigumu kuliko Wakati wa kutafuta Uhuru. Dereva aliyeko nyuma ya mwanafunzi huwa ana KIU isiyoelezeka. Ila Sitaki nimukufuru Mungu kwani anajua kusudi lake 🙏🏼🙏🏼😭😭
@erickmwani1085
@erickmwani1085 2 жыл бұрын
Yani huyu jpm alikuwa rahisi Wa dunia. Aliwekwa na mungu kwenye madalaka yake kafanya kazi vizuri.
@gesusgegangphray7689
@gesusgegangphray7689 2 жыл бұрын
Upo sahihi 100% Mungu alitupa na cyo kura..ila amin mdugu tanzania ingekuwa ulaya ma umaskini story..kaa ukijuwa viongozi wanalipwa na wazungu kurudi nyuma .haji tokea kama huyu..matibabu bure pesa Zinaenda wapi
@athumaniomari2833
@athumaniomari2833 2 жыл бұрын
Ewe mwenyezi MUNGU mkuu
@dannyosolo2752
@dannyosolo2752 2 жыл бұрын
Magufuli....no words !!!
@barutwanayoamani2464
@barutwanayoamani2464 2 жыл бұрын
Mungu amlaze mahala pema pepon
@sandrabernard751
@sandrabernard751 2 жыл бұрын
Your the best.. Leo mwezi wa 11 uwiii
@kasigajoseph811
@kasigajoseph811 2 жыл бұрын
My lovely country Tanzania
@zickgregory5138
@zickgregory5138 4 жыл бұрын
ukerewe oyeeee!
@fanuelmakelegeta8562
@fanuelmakelegeta8562 2 жыл бұрын
Maguful lala Salam
@frankkashner
@frankkashner 5 ай бұрын
Rest in Peace Baba JPM hakika bila Mashaka ninakupenda sanaa sanaa Pasinakifani japo umelala
@zainaburajabu9665
@zainaburajabu9665 2 жыл бұрын
Tutakukumbuka Sana baba,yanayo endelea kwasasa ni vioja tu
@vedastormwazela2622
@vedastormwazela2622 2 жыл бұрын
Rest in peace mwamba
@vwtv800
@vwtv800 5 жыл бұрын
Mko powa sana azam TV hongereni sana
@agnessjohn1222
@agnessjohn1222 2 жыл бұрын
Pumzika Kwa Amani shujaa wa Africa mtetezi wawanyonge nivigumu kukusahau lala salama mtetezi wawanyonge pumzika Kwa Amani shujaa wetu
@elifasimwigema1327
@elifasimwigema1327 2 жыл бұрын
Hajafa kiroho,,,, Bali kimwili
@epafrangweshemi4014
@epafrangweshemi4014 2 жыл бұрын
Ataishi milele hadi tutakapokutana mbinguni.Ama kweli dunia inapita.
@hassanmbwego6426
@hassanmbwego6426 2 жыл бұрын
RIP
@rosetreffert6727
@rosetreffert6727 2 жыл бұрын
@@epafrangweshemi4014 kabisaa
@machoguhameri7757
@machoguhameri7757 2 жыл бұрын
Tanzania,Afrika na,Dunia nzima tumekupoteza, lakini Mwenyezi Mungu hajakupoteza kamwe. Uko mbinguni kama .Masikini Razalo, ukiwatizama adui zako ng'ambo ya pili, yenye hatima mbaya kwao;kama yule tajiri dharimu dhidi ya Masikini Razaro. Tumepoteza sura yako tu,lakini maneno yako ya busara na hekima yanaendelea kutujenga kupitia hotuba zako mbalimbali."RIP our DaDy"
@paulnyasta6439
@paulnyasta6439 2 жыл бұрын
Mungu amweke mahala pema peponi
@deohank5995
@deohank5995 2 жыл бұрын
TATIZO ulikuwa unatoa ELIMU kwa WASIO ELIMU. HAKIKA ULIKUWA MKWELI
@davidcurtis8556
@davidcurtis8556 2 жыл бұрын
Dah! Rest in power my hero!
@nusaania2950
@nusaania2950 Жыл бұрын
Bado nakumiss toka hapa kisumu kenya
@mwisyoadam593
@mwisyoadam593 2 жыл бұрын
Tunakukumbuka Sana
@happinesszabron7635
@happinesszabron7635 2 жыл бұрын
Nimekumis kipenzi changu
@happynessmsogoya7224
@happynessmsogoya7224 2 жыл бұрын
Tulimpoteza Raisi wa maana
@patrickndichu3905
@patrickndichu3905 2 жыл бұрын
Naku-miss Mzee..Lala salama. .
@kambamazig02024
@kambamazig02024 Жыл бұрын
N kweli kazi hiyo ilianza na daraja pale Lugezi linajengwa. RIP son of Tanzania.
@ezekielkazingo890
@ezekielkazingo890 2 жыл бұрын
Ila kama kuna mtu aliusika?Mungu atamwona tunazidi kudondosha machozi
@alfredovang2428
@alfredovang2428 2 жыл бұрын
Machozi ya watanzania kamwe hawez kuyabeba
@bekabakari7394
@bekabakari7394 2 жыл бұрын
Hii ilikua inatosha Speech ya un Nawagetuelewa duniani
@petromtakati2975
@petromtakati2975 2 жыл бұрын
😃😃😃 kabisa na ingepigwa kiswahili hawataki waache
@adammwita3150
@adammwita3150 2 жыл бұрын
RIP JPM, MENGI ULITUFUNDISHA
@alicksinkamba3401
@alicksinkamba3401 2 жыл бұрын
Kati ya Watanzania ambao elimu waliipata na kuitendea haki Ni huyu mwamba JPM
@kalumbabenard4336
@kalumbabenard4336 2 жыл бұрын
Kweli tutakukumbuka JPM
@octaviussaulo1758
@octaviussaulo1758 2 жыл бұрын
Tutakukumbuka baba
@blessmerody7979
@blessmerody7979 2 жыл бұрын
Jpm my presdent
@justusmutakyawa9802
@justusmutakyawa9802 2 жыл бұрын
Nilikupendasana.
@mussanganda505
@mussanganda505 2 жыл бұрын
Njoo uone walevi wa gongo wamewaludisha wafanyakazi wenye vyet feki wote,eti uzarendo,wakati no wizi tupu,
@ezekieljacob5795
@ezekieljacob5795 2 жыл бұрын
Bila kubagua vyama !!!!!!
Hotuba ya uzinduzi wa Bunge la 11 dodoma Nov 20,2015
1:38:02
Ikulu Tanzania
Рет қаралды 146 М.
КАК ДУМАЕТЕ КТО ВЫЙГРАЕТ😂
00:29
МЯТНАЯ ФАНТА
Рет қаралды 10 МЛН
Finger Heart - Fancy Refill (Inside Out Animation)
00:30
FASH
Рет қаралды 25 МЛН
HOTUBA KAMILI YA RAIS MAGUFULI AKIWA TARIME - 07/09/2018
1:23:49
Maamuzi magumu aliyowahi kuyafanya Rais Magufuli katika uongozi wake
12:53
Mwananchi Digital
Рет қаралды 585 М.
Wananchi 'WAMCHONGEA' MBUNGE, DC kwa MAGUFULI LAIVU - "WANATUTISHA"
15:50
Global TV Online
Рет қаралды 719 М.
Matukio MATANO YALIYOTIKISA Mkutano wa JPM na WAFANYABIASHARA
27:07
Global TV Online
Рет қаралды 1,2 МЛН
Itakuliza.! HOTUBA YA KUSISIMUA NA HISIA KALI YA HAYATI MAGUFULI
11:36